HARMONIZE FT DIAMOND - BADO Behind the Scene Video Ep1
HTML-код
- Опубликовано: 9 мар 2016
- WCB WASAFI
For Bookings contact :harmonize@gmail.com
Follow me on:
Twitter : / harmonize_tz
Facebook : / harmonize255
Instagram : / harmonize_tz
Copyright ©2016 WCB WASAFI .All rights reserved. Видеоклипы
Kama umeangalia baada ya konde kutoka WCB gonga like👇
Wenye tumerudia kuwatch 2024 piga like😂
Bado tunahitaji collabo yako nyingine na diamond
achieni hilo goma la najaribu kusema Mambo... kali sana baba... nimeipenda hiyo staili
Daaah maisha yanaenda kasi sana hamo leo anamzarau mond
Kamzarau nn sasa uo unafki uyo Domo ndo zarau na choyo babu vp
Alomzarau nan wakat uy dom yy nd anatk awe juu kwa kil k2
mmmmh wanaume hawana huruma kwawanauma wenzao ingekua dem angesema nimemsamehe hahaha poleni
pole sana Simba for that tough and hard time trying to convince that man, now I know how it is expensive to entertain us pole sana Simba (Diamond Platinum)
ùnazengua wew
Q
Wale wa 2020 Gonga like
hahahahhahhahaha hyo mkaka wa pikipiki kama mnigeria mswahili hataar anataja kabisa thz and thz hhhhaahhha pole Harmonize
Mjombaa nchumal leo anajikuta mjanjaa kwel tendaa wema uendee zakoo😢
Learn from this experience. Speak to your Insurance company and obtain a special events liability Insurance protection. Then next time you will not need to negotiate with anyone as your Insurance agents will bring adjusters to finalise compensation if needed. Insurance, Insurance Insurance !
Rajabu usimzalau m2 alie kusaidia maishan mwako
That dude that wanted you guys to buy the bike is crazy..WTF!😂😂😂
i love the "mambo" part of it
Huyo Mwenye bike afanya watu washamba kweli eti exhaust $30K bei ya bike nzima hio
Kumbe penye marafiki ndo kuna wasaliti we Harmonize saivi unamwona diamond mbaya akiamungu tunamadhaifu lakin unaboa sana
harmonize we mkaleeeeeeeeeeeee
NATAFUTA COMMENT ZA 2022 😶😶😥😭
Hahahaha bana eeeh do me a favour make that song ''mambo''.. i'll be happy for that
@harmonize next time don't take risk bro...anyway all is good you had courage that's the🔑to being great in life👊.
Wakenya Mpoo?🤣🤣
Daah hili tukio liliuma sana linaonekana na ikabidi mtu uwe mpole maana huna cha kufanya bless up bro mdg ako pia mm ni msanii npo nyuma yenu 🙏
Vizur lazim vigharamiwe ndoman video zinakua kali..mekubal tim wassafiiii uhalisia ndo mpango....harmonize umetisha sana boi unajiamini
Ntajaribu kusema Mambo 2021
Huyu jamaa wa bike ana ufala mob sana...hataki kuelewa ni hali ya Kazi
mnautani na mombo wangu ouk big up brother!!!! #WCB
nice simba
Simbaa wauwa na hiyo wimbo "Najaribu kusema mambo ila nashindwa..... ooh mamboo ooh mambo fanyeni hiyo clip itakuwa kali sanaa
Konde boy akiona hii arudi kwa simba
nilidhani diamind atanunua io bike ,kwanza times two juu ya hasira ,i hear he is rich
🐘🐘🐘🐘now wanamuita jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ubayq sasa hakuna button ya kudownload, mm n shabiki wako mkubwa kutoka 254 kenya
Harmonize !!!!!!! mkAlI
duh poleni sanaaa
😁😁😁😁😁😁 vanny boy jogoo la shamba aliwikii mjini🐓🐓🐓🐓🐓
Bonge moja la ngoma kuwah kutokea TZ
Shetta kazungumza point mchz anataka kuuza kilazima
Litakufa jitu
Daah,awa,washkaji,walikuwa,wanapendana,sana,van boy,chibu,konde
Diamond- "We are Customer, We are Customer" 😂😂😂
Toyo imeharibika sitemorror anataka alipwe pesa ya pikipiki yote
😂😂😂😂😂😂😂 mtoto wa tandale katisha dah 😂😂😂🙌
😂😂😂😂😂😂😂 mtoto wa tandale katisha dah 😂😂😂🙌
We go buy😂
😂🤣🤣🤣
wabongo nawampa mkono hhh from kenya
Diamond dah we zaidi alafu ulikua ukimfagilia Sanaa huyu mmakonde sema mmakonde msengenyaji sanaaa
Whenever nikiangalia ii video,inanipea moyo sana,,
I love Mambo song 😂😂❤️❤️❤️
Ajali Kazini .... Jamaa Kakaza " 😬😬😬
Mm n shabiki wako mkubwa kutoka 254 kenya
sheet kweli mdanandaa
Increase your focus diamond
kila aliye fanikiwa alipitia vikwazo pale
@Shetta Ahahaha Jamaa Yuataka Kutuuzia Piki Piki Kwa Lazima 13.28
Hii ni RR bana mwanangu wa kisizwa aliniambia anichukulie kwa njia ya bank alafu mimi nimlipe yeye kidogo kidogo nikamwambia niache kwanza! Hii kitu plug moja ni R500 na zinatakiwa nne!
Engine oil Lita moja ni R260 na inatakiwa lita nne hii kitu ni noma bana s1000rr
thanks habari tushaipata
😀unajaribu kuimba bass
That was a tough experience hahaha good job
Hi bor
poleni sana
dar changamoto nyingi Sanaaa
Wewe kiba wewe Hatareeee
NICE HARMONIZE
Awewome piece
Ipo gud ndug
Wozaaaaa
Hapo kwa bik rayvañny kachoka kweli
Wasouth wana roho mbaya sana...!
Hahahahaha jamaa pikipiki imeumia kidogo anakwambia upande mzima aloo kumbe mmpaka huko wananjaa hahahah noma sana
mshkaji anataka kuwauzia pikipiki kwa lazima!! khaaaaa..
wananjaa mwamba mpaka aibu
Poleni kwa kweli kazi ni ngumu hakuna cha rahisi
mwisho cku ikawaje sasa
Man that man so mane
huyo dem ndo kasababisha na mawenge yake angetulia hayo yote yasingekuwepo msifanye nalo kazi tena mxwiiiiiiiii limenikwaza
nice one bro
Kw hyo jamaa alkua anakaza au co aache hbr zake
noma sana yapendeza
GOOD
Harmonize kuliendaje Mukanunua pikipiki au mlibadilisha tu
oya jamaa analazimisha mununue pkpk, njaa nomaa.
Kwa wabongo kitu kidogo sana mmiliki angechukulia poa. Lkn south Africa walivyo na roho mbaya!! lazima utegemee kutokea kitu kama hicho cha kukomoana. Na pengine hata hazifiki hiyo gharama waliyotozwa.
Iko amazing
Broo napenda insipire yako
I like this song bado
Konde boy jeshiii tembo mbunge
Nice bro...
Yaaph
bado sana kaza but
the dude wants money he keep insist for it.. but diamond had him on locker hahahah...
HAHAHAHA... at 06:50-07:13... BABA KAYLA.... #MY_NEW_RIDE... FANYA BIDII BANA ACHANA NAKUSHOBOKEA WENZIO...KKKKKK
Good song
am really sorry
Nywele zako zikiwa nyeusi unapendeza lakini ukiweka yale mausenge unakua mbaya kama harmorapa
hacra ya nn we n baba lea kwa upole motto wako
ahahaha mamba anaelewa ngeli
acident is accident
❤❤
NICE
nice
Très cool
Hahahaha jamaa anahesabu damages eti
kweli mwanangu demu anamawenge huyo unaona mpaka kawatia hasara
😂😂😂😂its crazy tho diamond he dont care hes asking if he want new replacement the nigga want to sell the motor bike by force niggah you tripping
good
wakukaya uchdach
shetta mzeya