HARMONIZE FT DIAMOND - BADO Behind the Scene Video Ep1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 мар 2016
  • WCB WASAFI
    For Bookings contact :harmonize@gmail.com
    Follow me on:
    Twitter : / harmonize_tz
    Facebook : / harmonize255
    Instagram : / harmonize_tz
    Copyright ©2016 WCB WASAFI .All rights reserved.
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 166

  • @djrautz733
    @djrautz733 4 года назад +73

    Kama umeangalia baada ya konde kutoka WCB gonga like👇

  • @user-cl5qv3lt6v
    @user-cl5qv3lt6v 8 месяцев назад +4

    Wenye tumerudia kuwatch 2024 piga like😂

  • @AROMAAR_KING001
    @AROMAAR_KING001 5 месяцев назад +3

    Bado tunahitaji collabo yako nyingine na diamond

  • @1mjanja
    @1mjanja 8 лет назад +10

    achieni hilo goma la najaribu kusema Mambo... kali sana baba... nimeipenda hiyo staili

  • @francismsafiri1106
    @francismsafiri1106 2 года назад +5

    Daaah maisha yanaenda kasi sana hamo leo anamzarau mond

    • @feisalabdul6652
      @feisalabdul6652 Год назад

      Kamzarau nn sasa uo unafki uyo Domo ndo zarau na choyo babu vp

    • @NassirMagosso
      @NassirMagosso 8 месяцев назад

      Alomzarau nan wakat uy dom yy nd anatk awe juu kwa kil k2

  • @anitaphilip2070
    @anitaphilip2070 8 лет назад +3

    mmmmh wanaume hawana huruma kwawanauma wenzao ingekua dem angesema nimemsamehe hahaha poleni

  • @martinemwinyi6853
    @martinemwinyi6853 8 лет назад +11

    pole sana Simba for that tough and hard time trying to convince that man, now I know how it is expensive to entertain us pole sana Simba (Diamond Platinum)

  • @frankmboya3485
    @frankmboya3485 4 года назад +5

    Wale wa 2020 Gonga like

  • @kaeselionvidoti947
    @kaeselionvidoti947 8 лет назад +3

    hahahahhahhahaha hyo mkaka wa pikipiki kama mnigeria mswahili hataar anataja kabisa thz and thz hhhhaahhha pole Harmonize

  • @michaeljames3480
    @michaeljames3480 6 месяцев назад +1

    Mjombaa nchumal leo anajikuta mjanjaa kwel tendaa wema uendee zakoo😢

  • @Tausiism
    @Tausiism 7 лет назад +5

    Learn from this experience. Speak to your Insurance company and obtain a special events liability Insurance protection. Then next time you will not need to negotiate with anyone as your Insurance agents will bring adjusters to finalise compensation if needed. Insurance, Insurance Insurance !

  • @tumainijohn8489
    @tumainijohn8489 4 года назад +2

    Rajabu usimzalau m2 alie kusaidia maishan mwako

  • @leongeorge644
    @leongeorge644 8 лет назад +4

    That dude that wanted you guys to buy the bike is crazy..WTF!😂😂😂

  • @elizabethmakhanu3347
    @elizabethmakhanu3347 8 лет назад +5

    i love the "mambo" part of it

  • @fahadabdallah8879
    @fahadabdallah8879 8 лет назад +5

    Huyo Mwenye bike afanya watu washamba kweli eti exhaust $30K bei ya bike nzima hio

  • @Spagles
    @Spagles 6 месяцев назад +1

    Kumbe penye marafiki ndo kuna wasaliti we Harmonize saivi unamwona diamond mbaya akiamungu tunamadhaifu lakin unaboa sana

  • @allenmichael1226
    @allenmichael1226 7 лет назад +4

    harmonize we mkaleeeeeeeeeeeee

  • @TeresiahWairimu-ir7rq
    @TeresiahWairimu-ir7rq Год назад +1

    NATAFUTA COMMENT ZA 2022 😶😶😥😭

  • @mr.dopects
    @mr.dopects 8 лет назад +1

    Hahahaha bana eeeh do me a favour make that song ''mambo''.. i'll be happy for that

  • @bukhaled0018
    @bukhaled0018 8 лет назад +2

    @harmonize next time don't take risk bro...anyway all is good you had courage that's the🔑to being great in life👊.

  • @brianboss7057
    @brianboss7057 3 года назад +2

    Wakenya Mpoo?🤣🤣

  • @phoncedadie
    @phoncedadie 2 года назад

    Daah hili tukio liliuma sana linaonekana na ikabidi mtu uwe mpole maana huna cha kufanya bless up bro mdg ako pia mm ni msanii npo nyuma yenu 🙏

  • @MagodoroEmpire
    @MagodoroEmpire 8 лет назад

    Vizur lazim vigharamiwe ndoman video zinakua kali..mekubal tim wassafiiii uhalisia ndo mpango....harmonize umetisha sana boi unajiamini

  • @judithrichard2665
    @judithrichard2665 2 года назад +1

    Ntajaribu kusema Mambo 2021

  • @TruphenahLiyala
    @TruphenahLiyala 8 лет назад +2

    Huyu jamaa wa bike ana ufala mob sana...hataki kuelewa ni hali ya Kazi

  • @emmytemba31
    @emmytemba31 8 лет назад +1

    mnautani na mombo wangu ouk big up brother!!!! #WCB

  • @willy3447
    @willy3447 5 лет назад

    Simbaa wauwa na hiyo wimbo "Najaribu kusema mambo ila nashindwa..... ooh mamboo ooh mambo fanyeni hiyo clip itakuwa kali sanaa

  • @manpc
    @manpc 4 года назад +2

    Konde boy akiona hii arudi kwa simba

  • @charleskavithishorts
    @charleskavithishorts 8 лет назад +2

    nilidhani diamind atanunua io bike ,kwanza times two juu ya hasira ,i hear he is rich

  • @ibrahimbyaese9148
    @ibrahimbyaese9148 3 года назад

    🐘🐘🐘🐘now wanamuita jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @DukeOndieki-ms5ur
    @DukeOndieki-ms5ur Год назад

    Ubayq sasa hakuna button ya kudownload, mm n shabiki wako mkubwa kutoka 254 kenya

  • @omarmohammed1190
    @omarmohammed1190 8 лет назад +3

    Harmonize !!!!!!! mkAlI

  • @zuhuraali9983
    @zuhuraali9983 8 лет назад +2

    duh poleni sanaaa

  • @fransicnoel56
    @fransicnoel56 2 года назад +1

    😁😁😁😁😁😁 vanny boy jogoo la shamba aliwikii mjini🐓🐓🐓🐓🐓

  • @Billiontrophy
    @Billiontrophy 11 месяцев назад

    Bonge moja la ngoma kuwah kutokea TZ

  • @youngkisu
    @youngkisu 8 лет назад +1

    Shetta kazungumza point mchz anataka kuuza kilazima

  • @makopamusic
    @makopamusic 4 года назад +2

    Litakufa jitu

  • @mussajabili6836
    @mussajabili6836 3 года назад

    Daah,awa,washkaji,walikuwa,wanapendana,sana,van boy,chibu,konde

  • @farajiyusuph8146
    @farajiyusuph8146 8 лет назад +10

    Diamond- "We are Customer, We are Customer" 😂😂😂

    • @allysalum993
      @allysalum993 8 лет назад

      Toyo imeharibika sitemorror anataka alipwe pesa ya pikipiki yote

    • @willygraphics360
      @willygraphics360 4 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂 mtoto wa tandale katisha dah 😂😂😂🙌

    • @willygraphics360
      @willygraphics360 4 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂 mtoto wa tandale katisha dah 😂😂😂🙌

    • @ibrahimbyaese9148
      @ibrahimbyaese9148 3 года назад

      We go buy😂

    • @mutshammy743
      @mutshammy743 3 года назад

      😂🤣🤣🤣

  • @saudahmedsaudahmed7074
    @saudahmedsaudahmed7074 8 лет назад +2

    wabongo nawampa mkono hhh from kenya

  • @famaualjaufy3090
    @famaualjaufy3090 3 года назад

    Diamond dah we zaidi alafu ulikua ukimfagilia Sanaa huyu mmakonde sema mmakonde msengenyaji sanaaa

  • @kevomsaffeh7785
    @kevomsaffeh7785 Год назад

    Whenever nikiangalia ii video,inanipea moyo sana,,

  • @user-tn8sz1ds6d
    @user-tn8sz1ds6d 5 месяцев назад

    I love Mambo song 😂😂❤️❤️❤️

  • @meddychaurembo9037
    @meddychaurembo9037 8 лет назад +1

    Ajali Kazini .... Jamaa Kakaza " 😬😬😬

  • @DukeOndieki-ms5ur
    @DukeOndieki-ms5ur Год назад

    Mm n shabiki wako mkubwa kutoka 254 kenya

  • @Duurhla
    @Duurhla 8 лет назад +1

    sheet kweli mdanandaa

  • @justinamati6705
    @justinamati6705 6 лет назад +1

    Increase your focus diamond

  • @emmanuelchannel195
    @emmanuelchannel195 8 лет назад +2

    kila aliye fanikiwa alipitia vikwazo pale

  • @munirabdi5827
    @munirabdi5827 8 лет назад +2

    @Shetta Ahahaha Jamaa Yuataka Kutuuzia Piki Piki Kwa Lazima 13.28

  • @Tygermnyama
    @Tygermnyama 4 месяца назад

    Hii ni RR bana mwanangu wa kisizwa aliniambia anichukulie kwa njia ya bank alafu mimi nimlipe yeye kidogo kidogo nikamwambia niache kwanza! Hii kitu plug moja ni R500 na zinatakiwa nne!
    Engine oil Lita moja ni R260 na inatakiwa lita nne hii kitu ni noma bana s1000rr

  • @sylviakanguhi2439
    @sylviakanguhi2439 8 лет назад +1

    thanks habari tushaipata

  • @jessicamm3171
    @jessicamm3171 5 лет назад +1

    😀unajaribu kuimba bass

  • @MohamedAhmed-yn1lx
    @MohamedAhmed-yn1lx 8 лет назад +1

    That was a tough experience hahaha good job

  • @jashmaida8665
    @jashmaida8665 8 лет назад +3

    Hi bor

  • @philipmajura7378
    @philipmajura7378 8 лет назад +2

    poleni sana

  • @doyermaziwa6382
    @doyermaziwa6382 8 лет назад +2

    dar changamoto nyingi Sanaaa

  • @augustinopius2802
    @augustinopius2802 6 лет назад +1

    Wewe kiba wewe Hatareeee

  • @juniorgeorge3658
    @juniorgeorge3658 8 лет назад +2

    NICE HARMONIZE

  • @officialmikella4537
    @officialmikella4537 8 лет назад +2

    Awewome piece

  • @agustimsoma7754
    @agustimsoma7754 8 лет назад +1

    Ipo gud ndug

  • @user-gw5lb9ju5m
    @user-gw5lb9ju5m 9 месяцев назад

    Wozaaaaa

  • @starkidtvexclusive
    @starkidtvexclusive Год назад

    Hapo kwa bik rayvañny kachoka kweli

  • @piusmnanka2755
    @piusmnanka2755 5 лет назад

    Wasouth wana roho mbaya sana...!

  • @kingabry3160
    @kingabry3160 8 лет назад +7

    Hahahahaha jamaa pikipiki imeumia kidogo anakwambia upande mzima aloo kumbe mmpaka huko wananjaa hahahah noma sana

    • @habibuanga347
      @habibuanga347 8 лет назад +1

      mshkaji anataka kuwauzia pikipiki kwa lazima!! khaaaaa..

    • @hafidhahmed642
      @hafidhahmed642 4 года назад

      wananjaa mwamba mpaka aibu

  • @halimambwego8287
    @halimambwego8287 8 лет назад

    Poleni kwa kweli kazi ni ngumu hakuna cha rahisi

  • @happygeorge2709
    @happygeorge2709 8 лет назад +1

    mwisho cku ikawaje sasa

  • @Oliver-nm9xm
    @Oliver-nm9xm 5 лет назад +1

    Man that man so mane

  • @emmytemba31
    @emmytemba31 8 лет назад +4

    huyo dem ndo kasababisha na mawenge yake angetulia hayo yote yasingekuwepo msifanye nalo kazi tena mxwiiiiiiiii limenikwaza

  • @givenpeter9213
    @givenpeter9213 8 лет назад +1

    nice one bro

  • @abdulnurudini8563
    @abdulnurudini8563 8 лет назад +1

    Kw hyo jamaa alkua anakaza au co aache hbr zake

  • @kizanglahypeman5511
    @kizanglahypeman5511 8 лет назад +1

    noma sana yapendeza

  • @dj20international74
    @dj20international74 8 лет назад +2

    GOOD

  • @allyjamal6600
    @allyjamal6600 8 лет назад

    Harmonize kuliendaje Mukanunua pikipiki au mlibadilisha tu

  • @seedmbegu4567
    @seedmbegu4567 8 лет назад

    oya jamaa analazimisha mununue pkpk, njaa nomaa.

  • @allymtuguta933
    @allymtuguta933 8 лет назад

    Kwa wabongo kitu kidogo sana mmiliki angechukulia poa. Lkn south Africa walivyo na roho mbaya!! lazima utegemee kutokea kitu kama hicho cha kukomoana. Na pengine hata hazifiki hiyo gharama waliyotozwa.

  • @salimsaid8827
    @salimsaid8827 8 лет назад +1

    Iko amazing

  • @dichadazang1
    @dichadazang1 4 года назад +1

    Broo napenda insipire yako

  • @babakecoll8243
    @babakecoll8243 2 года назад

    I like this song bado

  • @gemajackson6114
    @gemajackson6114 2 года назад

    Konde boy jeshiii tembo mbunge

  • @rabinlacha3701
    @rabinlacha3701 8 лет назад +1

    Nice bro...

  • @user-zt5dq8ws3f
    @user-zt5dq8ws3f 10 месяцев назад

    Yaaph

  • @johnmanyika8894
    @johnmanyika8894 8 лет назад +1

    bado sana kaza but

  • @mashellemichael4769
    @mashellemichael4769 8 лет назад +2

    the dude wants money he keep insist for it.. but diamond had him on locker hahahah...

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 8 лет назад +1

    HAHAHAHA... at 06:50-07:13... BABA KAYLA.... #MY_NEW_RIDE... FANYA BIDII BANA ACHANA NAKUSHOBOKEA WENZIO...KKKKKK

  • @babaaqabusshaame4863
    @babaaqabusshaame4863 8 лет назад

    Good song

  • @marymamtei2141
    @marymamtei2141 8 лет назад +1

    am really sorry

  • @colmanmassawe2830
    @colmanmassawe2830 5 лет назад

    Nywele zako zikiwa nyeusi unapendeza lakini ukiweka yale mausenge unakua mbaya kama harmorapa

  • @godfreykalinga3155
    @godfreykalinga3155 8 лет назад +1

    hacra ya nn we n baba lea kwa upole motto wako

  • @samsonhenry3871
    @samsonhenry3871 8 лет назад +2

    ahahaha mamba anaelewa ngeli

  • @faykian5682
    @faykian5682 8 лет назад +2

    acident is accident

  • @fabicshofficial
    @fabicshofficial Год назад

    ❤❤

  • @africalandculturetours2200
    @africalandculturetours2200 8 лет назад

    NICE

  • @eliaslazaro4228
    @eliaslazaro4228 7 лет назад

    nice

  • @papeniang5686
    @papeniang5686 3 года назад

    Très cool

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 8 лет назад +2

    Hahahaha jamaa anahesabu damages eti

  • @paulsantana363
    @paulsantana363 8 лет назад

    kweli mwanangu demu anamawenge huyo unaona mpaka kawatia hasara

  • @slimessy6632
    @slimessy6632 8 лет назад

    😂😂😂😂its crazy tho diamond he dont care hes asking if he want new replacement the nigga want to sell the motor bike by force niggah you tripping

  • @aizackdidas682
    @aizackdidas682 8 лет назад

    good

  • @mropedeus1074
    @mropedeus1074 8 лет назад +1

    wakukaya uchdach

  • @starjay3052
    @starjay3052 4 года назад

    shetta mzeya