😂😂😂 nimecheka sana hpo kwenye "MICHICHA MILENDA" kumbe hiyo michicha ilikuja2 juu kwa juu..😅😅 ila All in All.. NLM for Life.. Rayvany.. Best Artist in 🇹🇿
he is Tanzanian he went to Burundi because he had trouble with police in Tanzania because he had been sold stolen studio equipment,😜😜😜😜try finding try he confessed himself
kuunda wimbo siyo kazi rahisi! dah! kama huna subira na kujituma hutoboi. Halafu kesho wasikia eti ohh fulani kaingia illuminati , Ibilisi yu wapi hapa vijana wanapotia bidii hivi?
daah nakumbuka ulivyotoa single yako huko TipTop then kuna wakati kwenye post za diamond alivyompost Harmonize nikakoment amchukue Raymond cox nilona kipaji chake knaendana na WCB kaza buti man ur a star now
Who is watching this again after 7years
Team vanny from burundi 🇧🇮🌹🌹
DAAH naangalia hii mwaka 2019 kumbe rayvanny ni talented kiasi hiki GOD BLESS YOU KAKA
These kids are working really hard this is beautiful!!!
😂😂😂 nimecheka sana hpo kwenye "MICHICHA MILENDA" kumbe hiyo michicha ilikuja2 juu kwa juu..😅😅 ila All in All.. NLM for Life.. Rayvany.. Best Artist in 🇹🇿
The energy... the patience... the consistency 💯
Watching this every year .. every month 🔥🔥 inspirational
2021 still one of my favorite song may God continue to bless you always for this masterpiece🔥🔥🔥
You really work hard to give us good music. God bless you guys
It at this stage and I believe one day I'll perform with Ray. Mungu si athumani. Hongera sana Wasafi.
Kama unampenda vanny boy achia like hapa uni follow pia as mwanamuziki from Uganda Kampala
Dreams come true🙏 kwetu💯 wen ur happy ur enjoy the song🤣 wen ur sad u understand the lyrics 😔😔
All the way from Kenya ..wapi likes zangu wadau
muziki sio kazi rahisi watanzania punguzeni kutuchuklia poa tunatumia sana nguvu na akili tukiwa studio
Hakika jombi
Sema lizer anahaso sana kuwatengeneza newcomers wanapofika wcb ila wakitoboa hata kumuongelea tena hawawezi
Da kaza buti ,maisha so kucheza ukuti,Sanaa ina mengi manoti,so piga moyo konde zitaongezeka zako futi.mi nakukubali saaaaaaaaaaaaaaaaana.
Dah kumbe nyimbo yangu ya mwaka ndo ilitengenezwa hivii, vizuri
Iddy Kijiko mmmmm
Pamoja
Rayvany my role model am RayJack bongo Artist from kenya 🇰🇪 Embu
Rayvanny its 2021 u still the bestttt chuiii❤😭😭😭😭😭😭
I love this kind of production and chemistry between you and Lizzer classics
I’d love to some day work with you 👊🏾🙏🏾
Ulitisha vayvnny boy
It shows him taking his time 😁
Aiseee huyo Layzer ni mtu hatari sana katika kunyonga beats... Rayvanny pia upo vizuri sana katika kutafuta melodies na kuandika.... safi sana
All applause should go to the guy making the beats
#
Been waiting for this comment all along
E por isso eu respeito muito os artistas eles fazem muito trabalho com muito esforço.eu sou teu fã de 🇲🇿
Raymond good job wewe noma kishezi bro
Next Level Music 🙌🏼🙌🏼🙌🏼😁
We love you rayvanny from Zimbabwe 🇿🇼
Daah hapa kichwa hakilaliii mazee, hata kusoma haiko hiviii,, nakukubali
Rayvan
rizer hatar naskia rism kali Kita tamu so amaizing
Mziki ni safari ndefu na tunatumi nguvu na akili nyingi lakini wabongo wanakuj kuuchukulia pow tu
Good
Kweli bro.
Hustle is real 🤣🤣🙌
Naipenda sana hiii nyimbo tumie kwenye siku ya wapenda nao
Kali sana vanboy nakutambua,#jacksol kenya.
vannyboy nakubali sana daaah brazaa unaeza xana
Who's here march 2021🙂🔥🔥🔥
Am here
March 2022
Mwenye kujenga beat achane nywele...
😂😂
Dah! Vanny boy noma sana ukiunganisha na lizer alivo noma ndo kabsaaa!
Polen kumbe ndo mnaumiza vichwa kias ik kazen
baba umetishaa..hahaa sema nini ule mstari wa kabeji mirenda usingeufutaa :-) kaza mwanangu
Gb
jembe lang rayvan boy nakukubali kinoma one day ntakutafuta
kama wampenda vanny wapi likes zake
Nakubar sanaa ii ngoma kumbe ndoilikuwa ivoo alooh
Unatxha xnaa
Dar simchrzo
😍😍
Ngoma poa
Kumbe ni kazi, count my views always, this song is my favorite one
hahaha nimecheka sana aty cabbage milenda😂😂...the struggle is real🙌🙌 #salute
🤣🤣
Wewe unaona rahisi kwasababu wimbo ushatoka 🤔we fala kweli 🤣😂🤣😂
Hahhahhaha ahsante cjawai unserstand
My producer lizer chapa kazi Nakuja dar verry soon
Nakukubali xana Reymond kiukwel yani
Lizer naye kapambana sana adi Leo hii wenye alikuwa nao na mabillionea akumbukwe na yeye kafanya kazi kubwa ayooo Lizer 🙏
Mko juu kushinda wakenya bana
simple studio.great job!big up sana
Kazi safii
Hapo mumeweza kakaaaaa
Jamani Lyzzer hizo nywele
big shoutout to my burundian prouducer lizer classic keep up with the good work
he is Tanzanian he went to Burundi because he had trouble with police in Tanzania because he had been sold stolen studio equipment,😜😜😜😜try finding try he confessed himself
2020,, watching
F ff
2019 i still watching aiyoo lizer
You really work hard in order for us to get good 🎶 music. Thanks so much raaaaaayy
Wonderful
hbr yako
Blessed 🙏🕌
Cabbage millenda🤣🤣🤣🤣hii Kaz achia wenyew🙌
Ahsante produced mnamchango mkubwa sana kwa wasanii
kaka nakubali kila ngoma unayo ifanya Bigup bro
Nakubali Sana Lizer🔥🔥🔥
Amazing ngoma mkl Ray Gy mzee baba
Dha kweli una teseka sana kwa kutunga
Naichek hii 2021 January...Ila daaaaah laizer alikuw bado hajaw toz Kama saiv
inakuaga shida kumbe
Rayvanny mkali sana mgotee lizer producer wa nguvu among the best in Africa
fresh
Huwa napenda sana kuangalia hizi studio time moments kwa sababu hata mimi pia ni msanii... huwa namiss sana studio nikiona ivi
Daah jmn nyie achen tu sanaa kaz sana muanglie #VANY_BOY anaangaik apo kuandik alaf mt anakuj tu anafungia nyimb
Producers wanakazi kubwa bana...big shout out to them
Nakukubali tupo pamojaa
It's 2030 and I'm still vibing with this🤗
Nimekubli hii until now is trendy 🇧🇮🇧🇮 🇧🇮 🇹🇿🇹🇿 2⃣0⃣2⃣1⃣
Waaaaa kurecode mizengwe kwel
I love this not the current amapiano songs
Kwetu making so hard big up #lizerclassic 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤2️⃣0️⃣2️⃣2️⃣
My song😭😭❤❤....from kenya👸
Really?, i love this song🤩
Nakubali sana kaka vanny boy
Nakubal sana mwanang vanny boy umetishaaa
Hako kabitii mbona katamuuuu vipii namimi niingizee voko kaka nakuomba nirukee nayoo🙏🙏🙏
nakubali sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
This boy is so work hard in music 🎶 industry
We ongea Tu Kiswahili😂
Dogo ametoka mbali saana mwacheni avimbe tuh
Hii crip naiche kila siku 🔥🔥🔥🔥
mh.....ebwana eeeh we fundi itx goo song
Kumbe kazi ndo iko hv😳
🤨
Unaandika mwenyew Kaz nzur
Sichokii kusema hata mbuyu ulianza kama mchicha 2021
Ayoooooooo Lizeeeer!!! Huyu producer kiberiti bana.
Yaani hivi ndivo ulikua unafanana miaka Ile
Kutunga mashahiri mpaka yakamilike kazi kweli bgup kaka komaa maana
Kweli mzk Kaz sana
hatar
Vijana wanahaingaika afuvwakitoka wananchi wanawachukulia poa sio poa
mambo
Raibina Shabani
Nice ray god bless u
James
.
Fact
kweli kazi
HUYU LAIZA KAKONDA SANA. YAONESHA YUWAFANYISHWA KAZI NYINGI NA MALIPO DUNI... MPUNGA HAKUNA.
venda, limpopo province from south africa approved
Mwezi wa 10/2020 hapa like
Weldone Rayvanny, Zim loves the final product!
Lizer nakupenda
Kube kazi gumu hivyo #chuma wewe expert
Noma sana vanny
kuunda wimbo siyo kazi rahisi! dah! kama huna subira na kujituma hutoboi. Halafu kesho wasikia eti ohh fulani kaingia illuminati , Ibilisi yu wapi hapa vijana wanapotia bidii hivi?
Jared Ngesa ni kujituma
Good work
Kama hii ngoma unaitambua utamu wake hadi mwaka huu wa Korona, naomba like za kwako tafadhali
Naitaji wimbo na msani yeyote wa Tanzania nipo marekani natowa 15.000 dollars
Steha jos Music eeeh?
Nipo hapa
Hata saivi Kuna mpya nyingi..njoo asap +255625921121 😊😁
Take my no# 0678351320
Watanzania sio maskini kiivyo choko wewe
daah nakumbuka ulivyotoa single yako huko TipTop then kuna wakati kwenye post za diamond alivyompost Harmonize nikakoment amchukue Raymond cox nilona kipaji chake knaendana na WCB kaza buti man ur a star now
Bundagala