Kazi nzury brooo mungu akutangurie mafanikio mema NILKUA NAOMBA UNISAPOTI CAMERA HARMONIZE,NINACHANELI YANGU LAKINI NIMEKOSWA CAMERA KUFANYIA KAZI NIPO DARESALAAM
Hahaaaaaa we na saloon yako hujanikomoa tena umefanya nipate kazi nzuri zaidi badala ya kujenga ww ukabomoa saiz umefunga Hujanikomoa 😀😀🤓 Lov Konde Boy Jesh la mtu Mmoja 💪💪 bado macho yangu yanakuona kuleeeee Tena soon
💥2020 haitako makasiriko ur hardwork is on another level..👌🎖🎖👑king star am praying for u kindly continue with the same spirit..kabisa more power mungu mbele
Umeua sanaaa konde jeshi mbunge, I like the way your taking this afro singli to the world...❤❤❤💪💪💪💪can't imagine how the afro east Album gonna be...... Go go my G
Bonge la song aiseee linagusa uhalisia kabisa!!! big up conde boy 😁 maana kwa namna moja ama nyingine umetatua changamoto zilizopo kati ya wanaokunywa bia kama maji na wanaokunywa maji kama bia
Yani we diamond wewe mbaya sana unampa ndugu zako akina vanboy mbosso na wengine awabebe kwenye show zote na wisho wa wiki unachukua mapato yote sio poa🙄ila ujue tu aujamkomoa bado analisongesha kupata majaariwa ipo siku mtakubali mana baada ya kujenga we unabomoa 🤣🤣🤣🤣konde ganga we kiboko aisee Asante salam zimewafikia
oooyoooooo kondeeeeeeeeee singeliii kenya tunaipendaaaaaa....nifikishie salamu kwa omari omariiiiiiiiiii..oyaaaaaa..barida sana aiseee.
Mungu hakutangulie konde unajituma Sana zaidi ya Sana af kila Kaz unayotoa Makini... MunguNiMwena🙏
🙏🏼
Kila Kona upo🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦♥️♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥
BIG UP KONDE BOY MUNGU AKUTANGULIE KATIKA KAZI ZAKO.
Amin
Hujakosena
Kabixa
Nakubali jeshii wewe kaza kazi mana wcb nakundi lake nzima awapendi usikike . Kumbuka ulituambiya dont give up
Wambien Upande wa pili hawajatukomoa,,,,,,,Konde boy Good music good song 🙏🙏🙏🙏
Yaani hii ngoma ni booongee la surprise sikutegemea kabisaaa.. Sasa mwambieni Konde boy hajanikomoa..
Nakubali kondey boy
Wazi tena c la kitoto bonge la ngoma
Talented boy
Mwambie mond ajanikomoaaa badala ya kujenga anaboa hahahahaahhaha
Konde boy for everybody 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupenda sana
sijawahi kupenda singeli, lakini hii🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻.... Konde baaaasii, wewe umeshindikana!
Kazi nzury brooo mungu akutangurie mafanikio mema NILKUA NAOMBA UNISAPOTI CAMERA HARMONIZE,NINACHANELI YANGU LAKINI NIMEKOSWA CAMERA KUFANYIA KAZI NIPO DARESALAAM
Mwaka wa singeli🔥🔥🔥🔥🔥konde ametuonesha Ana uwezo wakuimba any style🔥🔥🔥🔥gonga like
Kwangu nitahamia tu, hata kama ikichelewa 🔥In God we trust
Good boy kazi Nzuri hili goma nataman kulicheki kila time umenikosha na ngoma ya hainistui
Hii umepatia inasumbua Sanaa
Mtaan💯🏃🏃🤛🤛🇺🇬🇹🇿🇺🇸🙏🙏🙏🙏🙏👏👏big up sana iyo ndo nyimbo za show za bongo
Kumanina ngoma ina mzuka hatari sana huu😂😂😤😤🔥🔥🔥🙌🏻
Habari Umezifikisha Wasafi inawahusu Amjakomoa Mwanetu Kawalipa tiali like.
konde wewe ni hatari.... yaani wewe unafanya mziki ambao umeenda shule.... Salute from KE
Konde appreciate you kinoma BT for sure hiii umetukomoa mashabiki wako 🙉🙉
Priiiiiiiiiiiiiiiiii kwa konde boy tujuane kama ww team konde boy 💃💃💃💃💃💃💃💃pingiliiiiiiiii langaaaaaaaaaaaaaaaaa💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃
beuty mtto beutty nice
Mamb
Harmonize umepeleka singeli inernational
Tunakubali sana mpambanaji KONDE BOY🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
konde boy ujanikomoooooooooa......
et badala yakufeli unatoboaaaaaa......🔥🔥🔥
Tatizo lakoo harmonize unakurupukaa unakosa creativity
Don’t know Tanzanian Swahili but I have watched this song 12x since last night. Watching from Canada 🇨🇦
MARLove JESSY it's sound well if doesn't know
Hahaaaaaa we na saloon yako hujanikomoa tena umefanya nipate kazi nzuri zaidi badala ya kujenga ww ukabomoa saiz umefunga Hujanikomoa 😀😀🤓
Lov Konde Boy Jesh la mtu Mmoja 💪💪 bado macho yangu yanakuona kuleeeee Tena soon
Asanteeeee na kutuwakilisha wana buzaaa
Hii ngoma ingebd uchangamke kinoma maan inavibe kinoma big up konde gang
Konde boy🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥konki fire
Tunaokaa uswahilini tunaelewa ngoja hipi now habari ya mjini #hujanikomoa tujuane🔥🔥🔥🔥🔥
Umeuaaaaaaaaa baba , the Authentic Swahili style .. Hii kitu hatari Fire 🔥 . The industry is getting juicy
My bloodbruh 💪🇹🇿🇨🇩 18 stop kbs
Ladhima huyo dogo afikishe East Africa Mbali
Do ur bestie JESHI
Wooow, that's amazing. I really love Harmonize. I'm from Rwanda
Leo ni leo konde konde never give up
The konde boy jeshii ee bwana me nataka uwe wa kwanza africa uqchane na kina mondi wanao toa miziki ya kisenge👏👏
MOTO HAUZIMWI KWA MOTO WEWEEEEE.... 🔥🔥🔥🔥💪
🔥🔥🔥🔥 Yaani uyu mto lazima uwachome
Kusini juu juu juu zaidiiiiiiii nakuelewa sana JESHIIIIIIIIIIIIIII Mwambieni hajanikomoa👌👌👌👌
Tuelewane kabsa hii sio singeli ni mnanda vionjo adimu sana ...love the song
Kizazi #salum njechele wachache sana ndio wataelewa
Ooh wasafi hamjanikomoa...,badala ya kujenga mna bomoa...konde gang 🔥🔥🔥🔥🔥
Acha kumanisha wewe
Wasafi wafe hukoo
Hahahaha angalia views na masaa mpk saiv kazi mnayo
It was premiered, wacheni ufala...washamba nyie😂😂
@@respiciuserick7486 wacha ushamba,it was premiered... Ufala tu
Yaani hii ngoma inanikumbusha enzi za uchaguzi sn, Mwenyezi Mungu MPE pepo njema JPM
Konde uko vzur 🔥 🔥 🔥🔥 🔥🔥🔥 🔥🔥 🔥
Kazi zuri kwa harmonize 🔊🔊🔊💯💯💯💯💯
Namupenda xana contry boy ningepata bahati ya kukutana nae ningefulahi xna endelea hvo HVO jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kila idara sisi 2napiga2! Jeshiiii!
This is what we call, mad talent. Kudos to you.
Noma sn jeshiii imetisha na wanafiki kukaa wanatusema hawawez kutukomoa respect for you harmonize
JEEEEEEEESHI ............et badala ya kujenga anabomoa.
hujanikomoa
ruclips.net/channel/UCcW-idfVUa195amDiN1oEeA?sub_confrimation=1
Can
Byxxn
Wow 🔥🔥🔥 na sentir boulot internationale 🔝🎹🌠🔥🔥 les vraie Congolais like ici 👇👇
Totasheeee jeshiiiii
Dogo huwa unaniboa saaaana , lakini kwa ngoma hii umenikosha sana, big up , hii ngoma imewafanya watu wachuchumae na watulie.
Ngoma kali ya singeli ni 🔥🔥🔥
Ungejaribu ushirikishe wale wasanii wa singeli....huu wimbo ungeenda mbali
💥2020 haitako makasiriko ur hardwork is on another level..👌🎖🎖👑king star am praying for u kindly continue with the same spirit..kabisa more power mungu mbele
Kutoka Kenya Nairobi - wapi likes za Harmonize🔥👑
like Kama zote wadau
Ushirikiano ndio Kila kitu, naombeni jaman Kusubscribe akaunt yang na Mungu akubariki.
Mfalme konde boy🔥🔥🔥🔥🔥👑
Kwenye mafanikio apakosi maneno
SAPORT YAKO NI MUHIM SANA KWETU. TUNAOMBA SUBSCRIBE ACCOUNT YETU
BARIKIWA SANA.
ruclips.net/video/QzcaFTSrtVQ/видео.html
Jamani mwee bando nalo hujanikomoa💃💃💃💃💃 Jeshiiiiiiii 🔥 🔥 🔥
Nakubali mwanang konde boy mjeshi ni 🔥 🔥
Nilikua sipendi music ila konde boy kanifanya nipende music Nakupenda sana harmonize juuuuuuuu wataelewa tuuuu
Live
@@geofreymsengi9971 l1m...1a
Mussa the don makonde mbishi hormonize w kwere askuambia mtu babu
Kazi nzuri Sana kaka # hujanikomoa napenda Sana singeli
Umeua sanaaa konde jeshi mbunge, I like the way your taking this afro singli to the world...❤❤❤💪💪💪💪can't imagine how the afro east Album gonna be...... Go go my G
Jaman uyu mkuu wa majeshi ya konde gang kweli anajua sasa tumshawishi atoe ngoma moja achane kama mnakubali iyo nipeni japo like tano tu💪💪💪💪
Erick Mwang'onda sikiliza litakufa jitu dj7 ft harmonize&country
Litakuf jitu
jeshiiiiii piga kaziiiiiiiiii bosss ujanikomoaaaa wapeee
Kondee boy umeua atal 👏👏👏
Jeshiiiiiiiiiiiiiii 🔥🔥🔥🙌🙌🙌 Hii ni Oda toka Jeshini
Motooo
Kali
anamsimamo kila sehemu anataka kua yeye tu, bado kua rapper na bolingo, waachie wenyewe bana. imepooza sanaa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪💓💓💓 Nairobi Kenya...Singeliii🔥🔥🔥🔥..umetisha bro.uku tunasema umeuwaaaah
Kwahiyo mzee baba singeri nairobeee Bango kubwa Yan inaeleweka
haiseeeeee wew ni noma singeli kali
@@Iddy830 🙏🙏..wabongo napenda Ngoma zenuu sio nachukia za Kenya hila napenda kusiliza nyimbo nzuri..
Anayekubali kuwa kwenye singeli harmo amemtuwa vanny ...tupa hapa likes na comments tukiendaga..
I am from Kenya,the truth is that HARMONIZE is talented than DIAMOND...😁😁🙄🙄
The song is dope,so touching and more east African way🤸🤸🤼
Genius boy
2023 badooo inang'aaas konde boy 🔥🔥🔥🔥🌷🌷
Baba mwenye nyumba kwel hujanikomoa like kwa mwanetu konde boy
Hatareeeee ila broo sasa iv tunataka kimataishaa achana na nyumnban maana wamepanga wakushushee sasa sisi forever
Haikushitui na 2.2M kwa siku moja, wew na wiki2 imekwamia 1.1M ,mheshimu bro wako Mond sio wa kawaida huyo
😂😂😂😂😂😂😂
Konde for life🔥🔥🔥
Munakubar leivan aipindue hii ngoma yetu kwer
Mwandishi wa hii Ngoma ni hamisi wa bss, afu jeshii kaimba kama yule Dogo,
Safi kaka kazi kazi mifani Wamifano apa somanga kilwa
Unakoelekea unajijua mwenyewe! Uwe unashirikisa wenzio walio mastaa kuongeza ladha!
Konde boy forever....🔥🔥🔥🔥🔥
Mimi hapo ningali shabiki wako nitakusapoti niwezavyo from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nakuzikiza nikiwa 🇱🇧🇱🇧 km tuko wengi like sasa
Recho Kezia jack
Recho Kezia nice
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪nasikiliza🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@@didahamatanodidahamatano2458 hiyo n poa tusapoti jeshii hana mengi
@@asuntabakali9338 sio jack hizu nyimbo n km ungochwa lzm nimusikizea aki
Go love go....wewe ndio baba lao wana wivu tu sijui Simba gani ile.254.
Mad respect and love from Kenya....konde gang for life❤❤
Big up konde boy (jeshi)
Bad booyyyyyyy ........ KONDEEEEEE 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥💪💪
Wow hii nyimbo ni fire hata vibonge mzuka ni good msg imebeba
That is how to find money..piga kazi baba I really proud..
Fire from Australia 🇦🇺 . Ongeza sauti 👌🏾👌🏾
baba uko australia stat gani ?na mimi niko hapa
mubalama mulumemunene Niko Adelaide SA
mimi QLD
Harmonize endelea kupambana zaidi na zaidi upo good babuuuuuu
Wataelewa tuuuu mbona
Best street dance ever love from +237 🇨🇲
20 hours views still under 60,000 Harmonize anadidimia vibaya
umeona kama mimi sasa ni 4 days anacheza na laki sita.
si kawaida kabisa tumezoea siku moja anacheza kwenye M
Baba mwenye nyumba hujanikomoooo😀😀😀👏
I miss the Wasaaaaaaaafi hype on your songs....
Gondegang4everybody
This song should have a repeat button, daah singeli huniweza
Is love
Bonge la song aiseee linagusa uhalisia kabisa!!! big up conde boy 😁 maana kwa namna moja ama nyingine umetatua changamoto zilizopo kati ya wanaokunywa bia kama maji na wanaokunywa maji kama bia
hermonize will soon dominate Tanzania just watch the space
You are right. he is dominating now in 2022
Yani we diamond wewe mbaya sana unampa ndugu zako akina vanboy mbosso na wengine awabebe kwenye show zote na wisho wa wiki unachukua mapato yote sio poa🙄ila ujue tu aujamkomoa bado analisongesha kupata majaariwa ipo siku mtakubali mana baada ya kujenga we unabomoa 🤣🤣🤣🤣konde ganga we kiboko aisee Asante salam zimewafikia
Daaaaaaa mashallah nilidhan dogo jack simela kafufua, we mkaliiiii
Wow harmonize .......i see sometimes you have leave other people for you to star
Daaa kaka hv unajua mwezi unang'aa kwa sababu ya jua ngoma ingekua usafini daaa
Conde boy mnatisha ni nomaaaaaa
I'm the first today I love konde boy from Australia love you 💪🏼💪🏼🇦🇺🇦🇺🔥🔥
Eh mwambieni Ex wangu hajanikomo 🤪😜, team kondeboy
🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅
Fanya kazi wewee, tuko pamoja. Tunakupenda sana konde. Hapa Kigali/ Rwanda. Turagushyigikiye
Goma kali kinoma sema video ujaitendea vzur xnaa but team konde forever 🔥🔥
Noma sana
Singeri ndo inavyo takiwa sasa
Sio singeri hiyo huo ni mnanda
Lama alokua anaimba omari omari na dogo mfaume ndomana umeskia kawataja
Team konde boy inatisha jmn like km zote wadau
Jeshi ndio hbr ya mjin
Mwanzo wa kufeli huu hapa naona kabisa
Uko poa sana konde boy kwa kubadilika badilika wakanyagie masnichi wote sema tena eti wanakukomoa awawezi imekula kwako konde boy for life
Baba konde sisi mashabiki zako tunataka konki nyimbo hatataki tushindwe na mtu napia usije ukatuaibisha tu