Harmonize - Mpaka Kesho (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 19 июл 2020
- Harmonize - AfroEast
Stream/Download: album.link/afroeast
Subscribe for more official content from Harmonize: / harmonize255
Follow Harmonize
Instagram: / harmonize_tz
Twitter: / harmonize_tz
Facebook: / harmonize255
TikTok: vm.tiktok.com/JYFv7PN/
Listen to Harmonize
RUclips: / harmonize255
Audiomack: audiomack.com/harmonize
Apple Music : / harmonize
Spotify : open.spotify.com/artist/1eCae...
The official RUclips channel of Harmonize. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
For Bookings & More
Email: Harmonizemanagement@gmail.com
Call: +255 752 222 442, +255 658 135 762
#Harmonize #MpakaKesho #Kondegang - Видеоклипы
Kama umerudi kutazama hiyi ngo 2024 gonga like hapa
Tatizo wa bongo mna bagua kwaku like sana tuuuuu yahani. Hendeleeni na ubaguzi ila so Poa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🤣🤣🤣🤣usijali ❣❣🇰🇪🇰🇪🇰🇪
100%true 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Apana ubaguzi Africa MTU Wang 💯💯
Mbona tuna like jomba
❤
Tunaoukubali wimbo huu Hadi Leo 2024 wapi like za tembooooo😮🇰🇪🇰🇪🇰🇪
who else is still listening to this all time hit in 2024🥺💪
Hii nyimbo mpaka rais mstaafu jakaya kikwete aliomba irudiwe siku ile kwenye uzinduzi wa album weka like za kutosha kwa kikwete hapa
Niko hapa mpaka kesho nata ifike millions of viewers Hadi billions iko sawa sana, Wapi like zawa kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪👍🏻
🍎🍏
You are the number one in Africa, Simba anapiga kelele tu
ila huu wimbo Harmonize ulijua kuandika bwanaaa aaaaaah. ♥️♥️♥️😭😭
Hii ndo tofauti ya harmonize na vitu vingine, huyu ni msanii anayekonga nyoyo za watu kwa kutunga vitu ambayo vipo kwa jamii, na ndio maana halisi ya artist. Sio unaimba vitu havieleweki yaani hadi vinakera .
Huyu #harmonize akiimba vitu vinaimbika na vinaeleweka. Big up sana young bro!
Amaboko 🤣🤣🤣🤣🤣
Ni kosa kubwa sana kufananisha mond mwenye miaka 10 anatrend yeye tu na kifaranga cha juzi hichi atashuka tu huo ni mhemuko wa mda mfup kwan aslay wakat wameacha yamoto alikuaje had mkasema aslay anaenda kua msanii namba moja yuko wap sasa hili gem we liache tu mond katushika pumb wala hatubanduki tunaangalia kifalanga kimefanya nn kisha tunalud kwa baba lao
Bro you’re very right
Umenena bro🤛🤛🤛
@@sniperbogo6210 kwani kamtaja diamond hapa kuma ww kwanza unafata nn hapa kwenye himaya ya kondegang
Nimewai leo Toto bad. Like jmn Kama unamfuatilia Sana harmo love
Alafu njoo inbox mariam 0752163651
your bud guy konde boy I believe you my guy konde gang 4 everybody
Thanks konde konde boy God be with you forever my love
Nakubali km unamkubali konde usipite biya ku lek
Wacha we kondeyyy nice
Mlitakiwa muweka ❤️❤️ kama sehemu ya like maana huu wimbo nauprndaa snaa yaaniii...love nyingi kwakoooo broooo❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kama unakubali uyo jamaa anacho zaidi ya kipaji dondosha like yako apo
Tulio zimiss nywele nyeusi za harmonize tu like apa😂😂
Kawakijana sasa, amependeza mzuri eeh..🤩
Kwel angebaki ivo kapendeza
Kweli amependeza sana.tena ngoma kali sana.
Kweli amependeza sana.tena ngoma kali sana.
Harmonize sauti umejaliwa mashallah.
Bro unajua jeshi ..gonga like twende sawa basi🇹🇿🇹🇿
Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli
ruclips.net/video/W-JsBjNmG4w/видео.html
ruclips.net/video/C8-SAdAY244/видео.html
Huyu jama Ni Moto kabisa kua kila nyimbo anayo toa Ina hit kwa muda.
Nani ana kubali @Harmonize ako na ladha😋 kwa muziki team 🇰🇪 more love😍
Harmonize ataendelea kutuburudisha MPAKA KESHO!😋😋
Diamond watch out!!!!
Harmonize is coming out harder
Hii inakaa wimbo wa diamond
Huu wimbo hunitoa machozi😢😢😢
My favourite from the 2020 album. 2024 who's here❤❤❤
Naamin mtoto w simba n simba unajua sn mpk unakera JESHiiii shout out to KONDE BOY 🔥🔥🔥
Finally my guy is back in his black hair
Tokea enzi za mitumba.....tukaanza na aiyola...tukaingia nambie WCB....tukawapigia Never give up....vijana tukatoka kwa baba sasa hivi tunajisimamia ....👊gang worldwide we never disappoint........
kwakeli nijambo linalo onekan kabisa ni wapambanaji
Wale watu wangu wa 2024 gonga like zenu
Like za harmonize from Kenya zikam🔥🔥🔥
Kenya Niko ndaani
001 mombasa
Nairobi
Wakenya wapi views za vijana wetu # local talents👇👇
ruclips.net/video/rNhKYbnScec/видео.html
Ndani Kama kawa
Napenda wimbo huu sana from South Sudan 🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸
Nagupenda sana ❤❤kutoka burundi nawengin wana mupenda gutoka burundi gonga like
Ngoma itaishi milele as long as love 💘 exists shout harmonize
Wale wa Kenya mko wapi?
🇰🇪🇰🇪🇰🇪Harmonize 🔥🔥🔥
Aki uko vizuri konde kama umerudia zaidi ya Mara tano gonga like tuende swa🤗🤗
kazinzuri
Sina breaki .......move to 100 real quick. What's up 💅🤳
You big uuuuuup monde boy ithink diamond akufikiii
Who love kondeboy like me . Nipewe like teketeke i winnie from kenya
ruclips.net/video/rwPtB7kHj2M/видео.html
we tutolee hiyo uchafu yako mbosso ako poa sana
Is that Mimi Mars?❤❤ ... Konde gang 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yes she is
Yeah
Was asking the same question
Yeah ni yeye
Yea you again
Bado inafanya vyema 2024
Daaah hiii nyimbo nimerudia ten
Wale wanaopenda konde boy akilalamika...tujuane hapa😍
HUYU JAMAA NI MKALI KONDE BOY FOR EVERYBODY
Waaa Harmonize never disappoints😊❤
We ndo baba Lao. JESHI MWENYEWE
JESHI+TEMBO=Kisanga na nusu 💥💥💥 like
After 3 days we reach 7 million above
My boss all the way ✍️💌
Kaimb kW hicia xnaaa,,,,big up Broo,,,achana na zile za jejeeje je
😥😥😥 linanikumbusha my 1 st love...I wish nikutane na yule atanifanya nimsahau...
Haki hata Mimi leo nipeni like ---254
Naomba likes za Konde boy...hapa anoga na kubamba
She's on the way coming just b calm
@@sharinesimwa505 imagin siezi kuota hata usingizi sina
@@felixochungo5656 👊 kabisa 254 inthe building
Konde is doing a nice job ,,, Kama we ni shabiki wake shusha like🇰🇪
So sweet I like that boy
Yupo vzur
Sooo sooo... Swwweeet
hapa kazi tu yani Bampa tu bampa!!!! TEMBO NI SHIDAAAAA
Where my South Sudan people ?🇸🇸
254..mko wapi.. Support ya konde boy Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪gonga likes
Tuko hapa
@@kesawamutilu7889 karibu
Kwa harmonize siwezi kosa
utamu komedy
#254 tuko japo tuko🇬🇧 bt hi song iko meaningful sana bigup xana gang. Hpe corona is no longer with us thank you God.
My Kenyan people gonga like twende sawa🇰🇪
It seems like this song was dedicated to me😢
Take love❤from 🇰🇪
Mungu akutunze tuburudike na utupe muziki mzuri
Konde for life 💪🔥huyu jamaa mbunifu sana 💯 naangalia hii vidéo mpaka kesho 🔥🔥
likes mingi kwa mimi mars
👌👌👌👌👌
Mapya yazuka kuhusu barua ya makonda kwa magufuli
ruclips.net/video/W-JsBjNmG4w/видео.html
Team kenya representing aki si nipewe likes tu
Nikukamilishie like zifike 50?
@@adrophstephano4416 ňıţѧғuяıѧ sana
karibu ndugu og_mambo mbaya, katika RUclips channel yangu, Ikufundishe Mambo mbalimbali ya Maisha, Tafadhali Subscribe. ~ Youth Insider Channel ruclips.net/channel/UCJLNzFu1Kn3mVi4JfF3CnPg
ruclips.net/video/XSs_UbIVOBI/видео.html
@@flowwizzyofficial ruclips.net/video/CL7c1WQh7iE/видео.html
Wakenya ee ,njoo hapa , Hii video ime shootiwa Mang'ola mahali mnapochukuliaga vitunguu kam mlikuw hamjui,❤❤❤❤❤❤❤.
Niukweli boss wangu.
Kenyan Harmonize Fan..❤️❤️ Like here
Piga kelele kwa jeshi yakeeee weeeeeeeeeeeee tembo mwenyewe.lazima.tuzo tupape
Mukowangapi ambao bado munaitazama ngoma hii 2023
Back here after kimeniramba 2024😂😂 barua hasomi 😢
kama umeupenda ubunifu uliotumika humu ndani ili kutuletea entertainment from Harmonize tujuane kwa like apo chini
Ngoma na videos tumekuachia harmonize hao I am jungu na WBC wajua kutongozana tu na gari. Chapa mziki tuenjoy 🤒🤒🤒🤒watu wa weed mko area🔥🔥🔥🔥🔥
u gorra love itttttttt
Jeshi kwel mwamb wa Tanzania nakubali san tembo 👌👌👌👌
Konde gang tujuane weka like iwe blue tuende sawa🔥
Naomba like ata moja jamono konde gang for everybody 🇰🇪 wakenya tujuane
From kenya too
Nakuamin harmonize
@@wazirymgululi5335 Fiji huh
Very Smart Yaani smart sana Konde Boy
Sijawai kukujutia tembo kama ni timu jeshiiii twende sawa
Lots of love from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪Likes za KONDEGANG.zishuke bila kipimo jameni,naomba tu.
*LEO NDIO NIMEAMINI HARMONIZE NDIO KING 👑*
King wa wapi na vdio yote amecopy kwa ngoma ya diamond ya mdogo mdogo
papa banny manule pole sana akuna kipya chini ya jua
@@Lazaro_kibukira mwambie na yeye acopy tuone
Zuhura Bizabishaka yeah mahana Naona Bado Yuko nyuma sana
King ni Kiba au unasema wa wapi
If you're from Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, South Sudan, Sudan, Comoros, Seychelles, Mauritius, Democratic Republic of Congo, Congo-Brazaville, Nigeria, Ivory Coast, Madagascar, Angola, Senegal, Ghana, Gambia, Somalia, Ethiopia, Eritrea, Djibouti, Botswana, Guinea, Benin, Cameroon, Cape Verde, Togo, Burkina Faso, Gabon, Chad, Sierra Leone, Mauritania, Namibia, Lesotho, Zambia, Malawi, Mozambique, Zimbabwe...etc, weka like yako hapa kwa harmonize konde boy for everybody
Natamani nikusifu Tembo ila maneno sina......you are, mwaaaaa!!!! Waliodhani utaanguka wajionee.
Naipend burudan please like xenu na mim from Uganda🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Huyu jamaaa uongo dhambi kwenye video yupo Creative sana hili ni bonge la video jamaa kwenye video huna mpinzani unajuaaa. 🙌🙌🙌
gnimbo zako zuri minazipenda kabisa !
I am the best fan for harmonize my konde boy
Nyimbo nzuri maashaallah hongera sana mjeshi 🙏mungu akupe hitaji lamoyo wako
Who else is here for kondee boy....much love from🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Much love from Uganda ❤
If you heart has ever been broken then you will understand this song🔥
Sure 😭😭😭😭that me at the moment
I love this song
One love Konde boy😇💝💥Kenya tumeipokea👌imagine siezi kukuoona........izo likes musininyime leo😂😂🔥🔥10/10 rating Konde for everybody💥
Kenya representing team konde boy , jua tunakupenda kupindukia.
😍😍😍❤❤❤tunakupenda paka bure
Nakukubali Sana'a harmoniz saut tamu ongeraa
I wish yawe ndoto aya ninayopitia,,mbona unanikimbia💔
Konde Ni umeme💯💯🇰🇪...weka like tusonge pamoja
ruclips.net/video/NJ9d50uRBq0/видео.html
Sasa hapo amefanya nini yani nyimbo iko sawa ila video hamna kitu , acha tu ukwel usemwe
Sasa tazama hii uone kisha usubscribe ruclips.net/video/QQA1rozR-nE/видео.html
ruclips.net/video/VwtBI9NZfm4/видео.html
WCB 4 life
Lakini nyie likes mnapewa za kwendapi??
Nipeni Basi nivimbe mpaka kesho💯
❤❤ ndo nyimbo ninao kubali kwa uyu jama
Love you konde boy,yoz fun from Zambia ninapenda bongo flava
Konde boy forever,,, full ubunifu,,,,,,, basi gongeni like
Konde gang for life kutoka kwa wakwe zako huku Italy hujawahi toa nyepesi!!. please like 5 tu mi naomba Mungu atakubariki sanaa💗💙💜🇹🇿
Tanzania one 🔥🔥🔥🔥🔥🔥!
Most emotional bongo hit,,, this was👌👌👌
Like kama unataka twende number one on trending
Wapi likes za Kenya nduguzanguni😅😅😅 nyimbo tamu msiwe wanafiki✍️✍️✍️✍️
Hongera kwa mistari yako bro
Ningekuw na uwezo ningepandisha wimbo huu kwa kiwango cha juu sana
Konde gang for every body,king of east Africa ...wapi likes za wakenya wezangu na Tanzania kwa jumla jameni
ruclips.net/video/NJ9d50uRBq0/видео.html
MPAKA TOMORROW LIKE NYINGI KWA KONDEGANGE4EVERBADY
Apo kwenye hello baby Harmonize akuwa kwenye simu angaeuwa zaidi 🔥👌
OMG!!!harmonize is a bombshell walai