DUDU BAYA ALIVYO CHUKIZWA NA DIAMOND KUMUACHA ZUCHU, ONA ALIVYO WASHA MOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2024

Комментарии • 31

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 11 дней назад

    Aolewe Dudubaya bathi.....

  • @user-oc8jo9cj6e
    @user-oc8jo9cj6e 11 дней назад

    Sana kamkubwa nikweli kabisa

  • @zakiaabdalla3761
    @zakiaabdalla3761 14 дней назад +1

    Hata kama hajamuowa lakini Kuna mahusiyano

  • @user-gf2sq5ux4o
    @user-gf2sq5ux4o 13 дней назад

    😂😂😂😂😂ila kaka umetufungua macho hatali hongela sana

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 13 дней назад +1

    Umevaaa shungi sawa lakini mbona bega liko wazi

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 13 дней назад

      Tuendelee kumpa maoni atavaa vizuri zaidi maana akivaa stara anapendeza 100% kuliko akivaa kama mwanzo. Tangu Ramadhan anajitahidi kujistiri lakini ahakikishe anavaa stara kamili inampendeza sana

    • @whitetigerprincy5882
      @whitetigerprincy5882 13 дней назад

      ​@@DonMooSTUDIO_Expressmuda udini mwingi 😂

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 12 дней назад

    Kwenye mahusiano ni vigumu kujua ukweli. Kwakua hata sisi hatukuwajurisha mambo yatu ya ndani

  • @PeninaAnthony
    @PeninaAnthony 14 дней назад

    Mmh dada Baki namsimamo wako huwohuwo usiludi nyuma

  • @ummialey6391
    @ummialey6391 14 дней назад

    Nimekuelewa

  • @user-no8mp7yg1m
    @user-no8mp7yg1m 14 дней назад +2

    Kwani alikua mkewe wa halali ?

  • @suleimanmussa5792
    @suleimanmussa5792 13 дней назад

    Diamond si muoaji?

  • @diagfinamix1861
    @diagfinamix1861 13 дней назад +1

    Mtangazaji Yani hawezi kuvaa atosheke na kujisitir , mpaka aonyeshe badhi ya viungo vya muili , uislam wa Leo ni noma sana .

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 13 дней назад

      Tumsifu japo kidogo nakumpa maoni atapendeza zaidi maana mavazi aliyokuwa anayavaa mwanzo yalikuwa hayampendezi hata kidogo. Hili linaafadhari lakini awe makini avae stara sahihi

    • @whitetigerprincy5882
      @whitetigerprincy5882 13 дней назад

      nyie ni watumwa wa waarabu kisa Muhammad 😂

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 12 дней назад

      @@whitetigerprincy5882 huo ndio utahila unaowaua vibaya baadhi ya watu kama wewe. Nenda mji wa Roma uone masidta nguo wanazovas kama wanavaa vimini kama masista wenu wa Tz. Kaangalie mavazi ya asili ya China, Japan, Islael n.k uone kama walikuwa wanavaa nguo zinazoacha miili yao wazi. Huo utahila wa mwanamke akivaa nguo ndefu akajifunika kichwa ni UISILAMU au UARABU utawaua matahila kama wewe

    • @saidisafarikenya
      @saidisafarikenya 11 дней назад

      Ww nawe unakaa kama malaika. Dini ulifanya kuletewa wajifanya kana kwamba niyako

    • @saidisafarikenya
      @saidisafarikenya 11 дней назад

      Mtu usivae unacho kipenda sababu ya din

  • @user-fm4un6bv4v
    @user-fm4un6bv4v 14 дней назад

    Yani wewe ni Jin azi

  • @chumuali9468
    @chumuali9468 14 дней назад

    Wote malaya

  • @Rizikiskitchen
    @Rizikiskitchen 14 дней назад

    I know this guy years back, is he sick? I'm not satisfied with his health. He looks so different.

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 14 дней назад

    Mie nahisi wivu tu sie wazanzibary tuna wivu sanaaa. Sasa zuchu awe na tahadhari

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 14 дней назад

      Ndio na bora aschane nae wanini kwa mwanamme gani anaepukwa na zinaa apate mwanamme wa maana anajizalilisha tu toka sie tukataka wanaume wa bongo

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 14 дней назад

    Allah amnusuru zuchu

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 14 дней назад

      Amiin🤲 kama ni kweli anamahusiano nae na yamevunjika Mungu amjaalie yavunjuke kweli aache uzinzi apate mwanamme wa maana chubu si mwanamme

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 14 дней назад

      @@Shuu.A Naam ni kweli

    • @user-wi6uk1vz1h
      @user-wi6uk1vz1h 6 часов назад

      ​@@Shuu.Atu dirigé sa vie maintenant ?

  • @user-fm4un6bv4v
    @user-fm4un6bv4v 14 дней назад

    Umeongea baba ukweli mtupu