BAMBO ATANGAZA VITA NA DIAMOND, ATAJA SABABU YA UGOMVI WAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 май 2024

Комментарии • 149

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 22 дня назад +8

    Huyu mnafiki tu

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o 21 день назад +5

    Sasa kwa mtizamo huwo kosa la mondi nilipi kwani mondi ndo alipanga utaratibu za show nyie wote mlialikwa , pili umesema unahisi, neno nahisi linamaanisha ,hauna ushahidi

  • @doctorpillo
    @doctorpillo 22 дня назад +9

    Yaaani Kila mtu akitaka jambo lake liende lazima amtaje diamond

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o 21 день назад +9

    Muache kutumiya jina la mondi kwakutaka kupandisha vipaji vyenu anapambana kama mwanaume na nyie pambaneni kivyenu

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 21 день назад +2

    Jamani wewe mchekeshaji,diamond na wewe wapi na wapi?Acha kiki,hamtoki mpaka diamond mwacheni mtoto wa Sandra,wanga wakubwa na hamumwezi

  • @user-cv4yx4uf8u
    @user-cv4yx4uf8u 22 дня назад +6

    Unazeeka vibaya bambo unabaniwa nn wakati huna mpya

  • @user-cr6xk7cy1v
    @user-cr6xk7cy1v 22 дня назад +3

    Mzee bambo umekua chawa wa makonde

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 22 дня назад +3

    Kwani bambo umenuna au umefrahia maana sikuelewiiii😀😀😀😀😀

  • @user-gn8zs4qx2y
    @user-gn8zs4qx2y 21 день назад +3

    Ukweli lakini msamehe

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 22 дня назад +3

    Mimi nimemuelewa Jamaa, yaani anamanisha, mfano choo cha kuchangia harafu mtu anaingia ndani, anaanza kuchezea simu , wakati watu wapo nje wamebanwa na haja . Siyo sawa

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 21 день назад +1

    Bambo kama unatafta kiki hapo sawa ila kwa kudai wenae msanii mmmmmh kweli

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 21 день назад +1

    Kalee wajukuu mzee acha kuzunga Media kuntukana momdi

  • @methordbuzinza9378
    @methordbuzinza9378 19 дней назад +1

    Wewe babo umeshachoka turia murikuwagawapi zamani tusapotisana hakunana murichokifanya

  • @aidanmaganga7051
    @aidanmaganga7051 15 дней назад

    Mtangazi mwenyewe choko,hajui kuhoji maswali

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 11 дней назад

    Nilikuwa nampenda mondy lakini kwa kumkosea huyu mwamba legend nimechukia kama kinyesi

  • @philimonmwakio647
    @philimonmwakio647 22 дня назад +3

    Kaka bambo nichuma cha zamani sana

  • @omaar5693
    @omaar5693 21 день назад +3

    mboso haangalii nyuma,,
    najikuti nacheka tu😅😅

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi 20 дней назад

      Mboso ni fata upepo hata kwa harmo ametengeneza chuki ata haihereweki

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 21 день назад +1

    Nakujibu zigge. Mimi siko kwenye list. Mimi niko mashambani tu huku LInd vijijini. Nampenda tu Nassibu mwanangu namwelimisha tu.

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 21 день назад +1

    Bambooo kwa hili huna jipyaaaa jipange upya na huna la MSINGI ktk unacho semaaaaa

  • @omaar5693
    @omaar5693 21 день назад +1

    5:37 eh banaee
    mstari uu

  • @priscusnyoni8933
    @priscusnyoni8933 21 день назад +2

    We bambo umetumwa kumuharibia mond,a

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 22 дня назад +5

    Diamond Ina maana alikua MC

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 12 дней назад

    Baba badilisha kazi wabongo hatuna furaha utamuchekesha nani tuna hasila bro hata Baar zenye mziki siku hizi hatuingi mawazo maisha ni magimu sana alafu nyinyi munach

  • @HenryNuhu
    @HenryNuhu 21 день назад +1

    Yaan wasanii wetu bila mondi kwenda nishida sana sana yaaan mond mond kila sku

  • @DENNISMUTUA-nf7qt
    @DENNISMUTUA-nf7qt 11 дней назад

    Kama huyo mondi wenu ni mshezi,atabaki kuwa mshezi tu,,kitambo alikuwa mzuri bt anaendelea kujiaribia sifa zake

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 22 дня назад +2

    Kwani aliekuwa ana panga wasanii kuim ba ni diamond hebu muulize swali bamb o aliekuwa anapang a wasanii kupanda jukwaani ni Nani ma nake msipende kum laumu mtu bila kosa

  • @user-dy8yc5ml1p
    @user-dy8yc5ml1p 19 дней назад +1

    🤣🤣🤣🤣Sasa hapo diamond anahusika nanini?.

  • @Lilmbunah
    @Lilmbunah 22 дня назад +4

    Jamaa haja nyooka mm mwenyewe si muelewi yani ana baniwaje mtu kama hakua kwenye ratiba

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 21 день назад +2

    aukuwepokwenye ratiba

  • @alisuleiman303
    @alisuleiman303 21 день назад

    Bambo nakukubali unchoongea safi sana

  • @isayajoram2434
    @isayajoram2434 8 дней назад

    Zee zima akili chenga

  • @MwemajaphetyZackalia
    @MwemajaphetyZackalia 17 дней назад

    Jamani Alrmasi NAE mtu na kama walitakiwa kupanda bambo awakupewa nafasi kwanini Kuna kitu apo

  • @user-vm4zq7kf4e
    @user-vm4zq7kf4e 21 день назад

    Nimekupenda bambo umenyooka sana

  • @user-yq4sn6cq1l
    @user-yq4sn6cq1l 22 дня назад +2

    SIMBAAAA ni brandi kubwa daraja

  • @kindulijumanne7632
    @kindulijumanne7632 19 дней назад

    Mwacheni aseme ya Moyon kwenye Music kuna kubaniana Sana

  • @aidanmaganga7051
    @aidanmaganga7051 15 дней назад

    Daaaah!kweli diamond ni mti wenye matunda cz kwa hapo sioni kosa la diamond

  • @Hsmufalme-vv3rn
    @Hsmufalme-vv3rn 16 дней назад

    kiekiekiekiekie hatumujuwi congo huyo anatafuta treding na jina la platnumz

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 11 дней назад

    Wasanii wa kizazi cha leo ni wavuta bangi hawaoni matunda ya malegend

  • @user-eu5uy8vm6i
    @user-eu5uy8vm6i 14 дней назад

    Siku diamond atakapoanza kufuatilia hizi lawama watafungwa wengi sana .huyo kiongozi aliyewalipa kina bambo mbona hasemi jambo ?

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 20 дней назад

    Pole bambo

  • @Ommyblacktz13
    @Ommyblacktz13 18 дней назад

    Kawaida kwenye shoo kila kitu kipo kwa mc anaratibu muda wa pafomance na muda na ww unamuliako acha umanga bambo kutembea magomen to fire imekuchanganya😂😂😂😂😂😂😂🎉

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 22 дня назад +5

    Bambo kwani ulikuwa kwenye ratiba, ya performance, au ni chuki tuu.

    • @davidpaschal778
      @davidpaschal778 21 день назад

      😅😅 kwaiy ela alilipwa y nn au alienda kufanya Nini japo anachekesha😂😂

  • @user-fp4ir4ej9v
    @user-fp4ir4ej9v 16 дней назад

    Hata alichokiongea hakieleweki bamboo Acha uchiz

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 19 дней назад

    Huyu mzee nae njaa inamsumbua mda mrefu sana huwa anamtukana kiba na kumsifia Mwambino kama mme wake,,sasa leo unajitilisha huruma ya nini...achana na vijana kaa kwako utulie ulee watoto 😅

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 22 дня назад +1

    Mondi apendwe na.watu wote kwani yeye pesa! Mwacheni mtoto wa watu apite na maisha yake! Mondi brand kubwa sasa na huyu mzee mwenzangu hajamaliza tu!!

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 22 дня назад +5

    Katoka kwa konde kunywa bia sasa anamchafua simba wasanii wa bongo hamna kitu kichwani

  • @JamesThomas-fx5tp
    @JamesThomas-fx5tp 15 дней назад

    Bambo usha potea jitafute saiz mond anakubalika😅😅😅

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 22 дня назад +3

    Diamond ni tunu ya taifa! Kwanza anauma sana, na kila alie potea ktk game anatumia jina lake kutaka kurudi mjini 😅 sasa diamond show ya mwenge ni yake? Enzi zenyu zishapita hamkutumia umaarufu wenyu ipasavyo acheni wivu nendeni ITV

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 21 день назад

      Nani alikuambia bamboo anachukaga 😂😂 neno Moja tu la kuchekesha tayari yupo mjini😂😂 .. hapo Enyewe anaongea ni vichekesh 😂😂

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o 21 день назад +2

    Mondi mumuache mondi ni brand kubwa , lazima awe makini ,sio kila mwenye kutaka jina apatiye kwamondi , wewe pesa ulipata ugali wako uliula Sasa nini tena, unaroho mbaya na wivu Kama unataka sapoti kwa mondi wewe sema

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 17 дней назад

    Mtangazaji unarudi rudia maswali mtu anahasira Halafu unamwambia anapenda wimbo gani wa adui yake ni aibu

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h 14 дней назад

    Sasa bambo naye apande stejini kupaform nyimbo zipi sasa?mzee bambo unazingua

  • @robertj.4484
    @robertj.4484 19 дней назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nyumanyuma kama wachezaji ngonjera....🤣🤣🤣🤣🤣😅

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 21 день назад

    Bambo mkongwe sana kwenye fani

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 19 дней назад

    Bambo Tuuungane wasanii tumuombee kifo huyo ni jini mtuuu kuwapoteza wengi kina rich mavoko nk wengi mimi ata radio yake sisikilizagi kama kumkataa baba yake mzazi mzee Abduli Utakua Wewe Bambo??? sasa ivi anajiita ukooo WA muuza mchele huku kwetu tandale sokoni

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 15 дней назад

    Uchawi

  • @MusabmusakotiKoti
    @MusabmusakotiKoti 13 дней назад

    Yani apa duuh Amna ata ukweli ila mjue mnavojitaftia chakula ivo hamjuy tu Yani mnazidid kumuongezea rizki tu Yan mtasubiri sana duuh mtakufa wajukuu zenu ndo watashuudia akianguka simba

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 17 дней назад

    Anatafuta kaz ya urinzi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 22 дня назад +2

    Nassibu usiwe na tabia ya kuwazibia wenzio ridhiki sio jambo jema.Wewe ni tajiri sana sio wa kugombana na wenzako. Mimi nakupenda sana Nassibu. Ukipata show za kwa pamoja waachie wa chini yako.

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 21 день назад

    Kama mbwa koko😂😂

  • @user-vh4rz4qp8z
    @user-vh4rz4qp8z 14 дней назад

    Mbona nyinyi wambongo munafituko sana why kila mtu simba fanyeni kazi asheni simba in peace

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 22 дня назад +1

    Diamond hana mak osa msipende kuml aumu mtu bila kosa utaratibu pengine s io wa diamond mum laumu aliepanga sio diamond

  • @shamamamalisa6513
    @shamamamalisa6513 21 день назад +3

    Bambo mbona hujanyooka maelezo yako halafu mtu mzimaa

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 21 день назад

    Hapo umemuone mzeee pia huo siouungwana bambo

  • @user-fy3um6vu2i
    @user-fy3um6vu2i 17 дней назад

    Hapan vyema wasanii kupenda

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 21 день назад +1

    Kumbe Huna akili yeye alikua mc au muandaaji? Umekwisha nenda songea ukalime au endelea kunywa visungura

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 22 дня назад +2

    Mbona aeleweki kwani iyo show ilikuwa ya simba mpaka awazuie wao wasipande

    • @steverwillecha8559
      @steverwillecha8559 22 дня назад +2

      Simba yeye anakuwa kimbele mbele kila sehem kama mtu mkubwa anaeweza kuamua chochote ndo alichokifanya kwa kina bambo

  • @MamaBaraka-gw9sw
    @MamaBaraka-gw9sw 21 день назад

    Duuu Atari laxana mwamba ndoyuko ivyoo😂😂😂

  • @abdallahmindika1641
    @abdallahmindika1641 20 дней назад

    bambo mhuni anatafta Hela tuu hahahah uongeaj wake tu niuhun anausanii gan mkubwa wakati joti peke yake tu amuwezi hahahahah

  • @user-rk9ut4nz3z
    @user-rk9ut4nz3z 12 дней назад

    Mpuuzi uyoo anaongea pumba

  • @salehekaswahili3236
    @salehekaswahili3236 21 день назад +1

    Sa we upaform unapaform nn vitu vingine bwana

  • @user-fy3um6vu2i
    @user-fy3um6vu2i 17 дней назад

    13:41

  • @JofuAmuko
    @JofuAmuko 10 дней назад

    POLE SANA,, BAMBO,, NIMEKUELEWA VIZURI SANA, WEWE NI COMEDIAN,,, MZURI SANA SANA, NA WALA UJAZEEEKA KIIIVYO, NIMEANGALIA, MAIGIZO YAKO YOOOTE KABISA, TOKA ENZI HIZO HUJAWAHI KUCHUJA, BADO UKO VIZURI MNOOO, WEWE NA MTANGA, WASAMEENI BURE TU, KWA WALICHO WAFANYIA, MIMI NAWA KUBALI SANA.

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 21 день назад

    kkkkkkkk mlienda kuuzasula

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 21 день назад

    mond hanakosa kwa hapi

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 21 день назад

    kkkkkkkk we kicha

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul 20 дней назад

    Atulize pumbu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 20 дней назад

    RAKINI MACHO YANGU WEWE NA DAIMOND MSIKITI NA KANISA MUPO MBALI MBALI SANA WASANII WETU MJIPANGE SIO CHUKI NA ROO MBAYA 😂😂😂

  • @emmanuelmpuya8164
    @emmanuelmpuya8164 20 дней назад

    Huyu jamaa n muongo coz ile sherehe ya kupokea mwenge ilikuwa ya kiserikali..na diamond na team yake ya wasafi walikuwa waalikwa na ile show ilikuwa na ratiba zake sasa huenda hamkuwa kweny ratiba ya show za mwenge...mzee acha kuzeeka kwa ktafuta kiki ...si ungemwambia aweso na si diamond .

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 21 день назад +1

    zitakukosti ww

  • @kasandaRichard
    @kasandaRichard 22 дня назад +3

    Nahona majabu yeye diamond amelipwa naww umelipwa Sasa awezi kumzuhiya msani wowote

  • @RehemaHaruna-di6sk
    @RehemaHaruna-di6sk 20 дней назад

    Kiki hzooooo

  • @user-ml1yx5jk8z
    @user-ml1yx5jk8z 21 день назад

    Kwann usimfuate mwenyewe unaongea mitandaoni na una levo gn ya kupanda stage na diamond halafu bambo we mshamba Sana au tuseme ni mjinga uliezeeka

  • @Juma-de9uh
    @Juma-de9uh 20 дней назад

    uyo choko mbona diamond akuwepo alikua dubai

  • @alisuleiman303
    @alisuleiman303 21 день назад

    Hamna tunu wala nini ana roho mbaya

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 22 дня назад +1

    Dah pole sana Bambo

  • @JumanneMungula
    @JumanneMungula 20 дней назад

    Mtu mjinga na mpuuzi ndio atasikiliza huu ujinga shughuli ya serikali WCB ni nani kupanga nani atumbuize huyu ni chuki na mfitinishaji.

  • @user-nw3ie8yq1x
    @user-nw3ie8yq1x 22 дня назад +1

    bambo acha zako una lolote wana kijiji wametaka mpafomu inaonekana hamkua mumepangiwa sasa la wama zanini kwa daymond wala hakujua kama ukopale

  • @user-cr6xk7cy1v
    @user-cr6xk7cy1v 22 дня назад +1

    Sasa wewe ulilipwaje alafu uzuiliwe kuingia mimi nazani umetumwa na hamo

  • @zainabmuhammed6294
    @zainabmuhammed6294 20 дней назад

    No .sorry kwa storry ndogo niliyyo sikia bc my bro ulitakiwa uwa kuze pleas say sorr for that my bro

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy 19 дней назад

    huyu mbwa tu mchekeshaji atakuwa yeye? tafuta pesa mzee kwanza hata huchekeshi, acha njaa njaa zako kajambe mbele huko

  • @boniphacejames3356
    @boniphacejames3356 21 день назад

    Aliogopa kufichwa Mbwa yule pole sana Bambo

  • @user-sf3ys8rm5s
    @user-sf3ys8rm5s 21 день назад

    Nyie wapumbavu sn kutafuta riski zio lazima kuwa kijana wala mzee ndio nyie munawatoa wazazi wenu mafala wa kibongo

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 21 день назад

    Iliii msanii afanikiwe nilazima amchane diamond? Huu ni ushamba tena ushamba mkubwa

  • @KingsleyHachiwa
    @KingsleyHachiwa 21 день назад

    Do you remember what happened 2 chid benz

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 21 день назад

    Hivi huwa mnataka diamond awanyenyekee? Hata mkimchukia haimpunguzii kitu huyu bambo kalipwa na harmonize juzi tu alikuwa na harmonize nyumban kwake et leo anaongea utumbo na maelezo yake hayaeleweki kwan diamond ndo alikuwa promoter

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 14 дней назад

    Usipoteze muda na Diamond hana mji wa kujibu na bado utaongea mpaka utajiona mpuuzi inapoteza nguvu zako. Maana unaongea media zote. Take your time..Time is money

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 21 день назад

    We mtangazaji mnafiki mkubwa we!

  • @user-uo8xw9kr4b
    @user-uo8xw9kr4b 21 день назад

    Sasa una mlaum mtu sio mwenye sherehe na wala hujaongea nae na wala yy hakuelewa lengo laww kuepo hapo je km ulienda tu km wengne yy atajuje .

  • @user-ip4ie7pt6i
    @user-ip4ie7pt6i 21 день назад

    Mshamgeuza diamond jalala sasa

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 21 день назад

    Mimwenyewe cjaelewa jamaan