KIJANA ALIEFARIKI AZINDUKA WAKATI WA MAZISHI, MAAJABU MAZITO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 68

  • @lyidiajuakaly3335
    @lyidiajuakaly3335 7 месяцев назад +2

    Mtu akifa na kufufuka kwanza anakua na bahati sana pia hawezi kuongea vizuri kwamaana atatoa siri ya kifo na hakiri zinakua pungufu zingine anaziacha kwenye usingizi wa kifo nashangaa huyu anajua kila kitu bro usituigizie 😅😅

  • @IssackMsimbangombe-jy3nd
    @IssackMsimbangombe-jy3nd 7 месяцев назад +3

    Mm naweza amini anacho ongea kunashangazi wa rafiki angu alifariki na wakamuweka mochwali alifariki uck na mda wa saa ahsubuhi wakawa wanamuandaa kumuweka kwenye jokofu na Wales Wamesha mchoma na sindano na wakamuweka ck yapili mm narafiki angu tunafika kwao tukimsindikiza kutoka shule tayari kwa mazishi ya shangazi yake tukiwa tunaaga alifufuka na paka leo yupo sema alishakuwa Bubu na nikiziwi japo awali kabla hajafa alikuwa mzima kwa kilakitu kwahiyo hayo mambo yapo

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 7 месяцев назад +1

    Mungu wangu mhhh eee m/mungu naomba unijalie mwisho

  • @princessmakwega2444
    @princessmakwega2444 7 месяцев назад +3

    Uyo baba ako anajua kua wali taka kukufanya msukule na iyo inshu yoote ana ijua

  • @OmaryChipeta-mh2wi
    @OmaryChipeta-mh2wi 7 месяцев назад +1

    Uyu jamaa anatangaza uganga wake

  • @lyidiajuakaly3335
    @lyidiajuakaly3335 7 месяцев назад +1

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 dunia hii

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 7 месяцев назад

    Baba yako ni mganga wa kienyeji tu ongera ukweli tu.

  • @kiri5807
    @kiri5807 7 месяцев назад

    Alizimia huyo , Hakuna kufa na kufufuka kwa hii dunia . Ni vile tunaharakisha mazishi na hivyo ndio quran imesema .

  • @kingeibiy
    @kingeibiy 7 месяцев назад

    Uyo hajakafiniwa au

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 7 месяцев назад

    Kwani chemical nyie huwa mnajua ni nini?

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 7 месяцев назад

    Wee sema ni mganga wa kienyeji au ndo alikutesti

  • @MwajabuShabani-p2f
    @MwajabuShabani-p2f 7 месяцев назад +13

    Navyojua Mimi islail akija kutoa roho ya mtu harudi Tena labda ulizimia au ulitaka kugeuzwa msukule

  • @JoycePoul-l8y
    @JoycePoul-l8y 7 месяцев назад +5

    Mtu akifa na kuamka tena anakuwa kama akili zimepungua

  • @RehemaSilau
    @RehemaSilau 7 месяцев назад +1

    ufufuo ulikua mmoja tu ni yesu kristo lands ulizumia

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 7 месяцев назад

      Sio kweli

  • @aishaabdul9287
    @aishaabdul9287 7 месяцев назад +1

    Walitaka kukufanya msukule tu ila hujafa

  • @fridahkaari4373
    @fridahkaari4373 7 месяцев назад +5

    Tanzania mna mambo😂😂

  • @jacksonmbwasi8366
    @jacksonmbwasi8366 7 месяцев назад +3

    Kwahyo hayo maelezo unayotoa ww ulijuaje Kama hayo yalikuwa yanaendelea wakat ulikufa ?

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 7 месяцев назад +4

    Na mimi ndo maana sitakagi mtu anizike mapema yaani nife mchana jioni kaburini hapana mtakuwa mmezika wengi wakiwa hai

    • @abedimhjeshi593
      @abedimhjeshi593 7 месяцев назад +1

      Hiyo ni kweli boss

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 7 месяцев назад +1

      Kweli si uongo nishaona testimony nyingi za watu wanafanya kazi mochwali

  • @AidathRweyongeza
    @AidathRweyongeza 7 месяцев назад +1

    Sema ulikuwa umezimia acha kutujaza ujinga

  • @fashyahmed4135
    @fashyahmed4135 7 месяцев назад +2

    Jaman kafa akafufuka???? how 😅...ww baba angu ulikuwa umekata moto tu sema ndg zko wakaharakisha kukuvalisha sanda....we alikwambia nan israel akishatoboa tundu kuvuta roho huwa anairudisha?? asubuutuuuuuu😅😅....Allah atupe mwisho mwema

  • @nzanzex7831
    @nzanzex7831 7 месяцев назад +1

    Au mzazi wako alikua na siri flani? Mbn??

  • @Sallah-jv4rq
    @Sallah-jv4rq 7 месяцев назад +1

    Anataka kupigwa nao tu uyo

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 7 месяцев назад +1

    Kila sk watu wanafufuka aisee tz yangu ni noma😂😂😂😂

  • @chebetdebrah
    @chebetdebrah 7 месяцев назад +1

    Hayo Ni mapepoo😂😂😂ulijua ajee kinachoendelea Na ulikuwa mkufi surely 😂😂😂😂

  • @restitutakisamo7607
    @restitutakisamo7607 7 месяцев назад +2

    Jamani huyu kaka anaongea hayo yote alielezewa na familia kwa sababu yeye alikuwa mdongo hajui kitu.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 7 месяцев назад +1

    BASI HITAKUA YESU KALUDI HUYO KAMA MINADAMU ALIZIMIA TU AU UNATAKA KUTOA NYIMBO KWASABABU NDIO ZENU WABONGO

  • @restitutakisamo7607
    @restitutakisamo7607 7 месяцев назад +2

    Kamani alielezewa yey alikuwa mdogo

  • @zeyanaalgheithy6561
    @zeyanaalgheithy6561 7 месяцев назад +1

    Wanapenda waonekane media😂

  • @alialkiyumi9372
    @alialkiyumi9372 7 месяцев назад +3

    Alizimia acheni ujinga

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 7 месяцев назад +2

    Hakufa

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 7 месяцев назад +1

    Alizimia 😂😂😂😂😂😂

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 7 месяцев назад +1

    Part 2 please

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 7 месяцев назад +1

    Kitu kama kinapikwa

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 7 месяцев назад +1

    Hawakuwaga,aliululizaga,aliwaga,akawaga,hakufikaga,alishangaaga 😂

    • @alisaleh7040
      @alisaleh7040 7 месяцев назад +1

      Wakajaga... wakaga 😅.....

  • @backamwasha8280
    @backamwasha8280 7 месяцев назад

    Acha kudanganya watu kijiji kilitetemeka wapi mie ni mwenyeji Wa uko mwanza Sema ukweli baba yako ni mganga wakyenyeji

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 7 месяцев назад

      Mchawi, labda majini yake hiyo nana ake

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 7 месяцев назад

    Sasa umekufa alafu unaongea au ulikuwa unasikia yanayotendeka

  • @HemedSaleh-oh3cz
    @HemedSaleh-oh3cz 7 месяцев назад +1

    Move 😂😂

  • @edwardleonard5793
    @edwardleonard5793 7 месяцев назад

    Bahati ni kwamba hakuwa amepelekwa mochuari angefufukia huko wangemalizanae tuu

  • @khadijakhamis7957
    @khadijakhamis7957 7 месяцев назад

    Ah haiwezkn bhn tuacheeee 😅😅😅😅

  • @alicehaule1306
    @alicehaule1306 7 месяцев назад

    Ulijuaje ametokea gafla na ww ulikuwa mfu acha kutusokota bhana

  • @نجمةكينيا
    @نجمةكينيا 7 месяцев назад

    Majabu mengi yatokea uko Tanzania 🇹🇿

  • @backamwasha8280
    @backamwasha8280 7 месяцев назад

    Acha uongo Wewe siyo Wa mwaka1990 mbona mnapenda kutudanganya

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 месяцев назад

      anawez ,mwanangu wa Mwaka 89 wako Sawa tu kama yeye

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 месяцев назад

      Rangi hiyo ni mbaya Inachakaa Haraka

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 7 месяцев назад +3

    Hao wanaokimbikiza kuzika watakuwa wanazika watu hai..

    • @maindamai8374
      @maindamai8374 7 месяцев назад

      😢😢

    • @abedimhjeshi593
      @abedimhjeshi593 7 месяцев назад

      Kweli uwaga wana kimbiza watu haraka haraka kuzika ipo siku MTA tuzika wengi tupo hai afu tuna zinduka tukiwa kaburini

  • @JoseLuisJorge-u4k
    @JoseLuisJorge-u4k 7 месяцев назад

    100kilo🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @backamwasha8280
    @backamwasha8280 7 месяцев назад

    Sema mganga Wa kyenyeji

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 7 месяцев назад

      Mchawi 😂

  • @kristenongo7094
    @kristenongo7094 7 месяцев назад

    HUYU ALIZIMIA HAKUFA KABISAA