Mtu akifa na kufufuka kwanza anakua na bahati sana pia hawezi kuongea vizuri kwamaana atatoa siri ya kifo na hakiri zinakua pungufu zingine anaziacha kwenye usingizi wa kifo nashangaa huyu anajua kila kitu bro usituigizie 😅😅
Mm naweza amini anacho ongea kunashangazi wa rafiki angu alifariki na wakamuweka mochwali alifariki uck na mda wa saa ahsubuhi wakawa wanamuandaa kumuweka kwenye jokofu na Wales Wamesha mchoma na sindano na wakamuweka ck yapili mm narafiki angu tunafika kwao tukimsindikiza kutoka shule tayari kwa mazishi ya shangazi yake tukiwa tunaaga alifufuka na paka leo yupo sema alishakuwa Bubu na nikiziwi japo awali kabla hajafa alikuwa mzima kwa kilakitu kwahiyo hayo mambo yapo
Jaman kafa akafufuka???? how 😅...ww baba angu ulikuwa umekata moto tu sema ndg zko wakaharakisha kukuvalisha sanda....we alikwambia nan israel akishatoboa tundu kuvuta roho huwa anairudisha?? asubuutuuuuuu😅😅....Allah atupe mwisho mwema
Mtu akifa na kufufuka kwanza anakua na bahati sana pia hawezi kuongea vizuri kwamaana atatoa siri ya kifo na hakiri zinakua pungufu zingine anaziacha kwenye usingizi wa kifo nashangaa huyu anajua kila kitu bro usituigizie 😅😅
Mm naweza amini anacho ongea kunashangazi wa rafiki angu alifariki na wakamuweka mochwali alifariki uck na mda wa saa ahsubuhi wakawa wanamuandaa kumuweka kwenye jokofu na Wales Wamesha mchoma na sindano na wakamuweka ck yapili mm narafiki angu tunafika kwao tukimsindikiza kutoka shule tayari kwa mazishi ya shangazi yake tukiwa tunaaga alifufuka na paka leo yupo sema alishakuwa Bubu na nikiziwi japo awali kabla hajafa alikuwa mzima kwa kilakitu kwahiyo hayo mambo yapo
😮poke
Pole
Hapo sawa maana hakili uwa haiwi sawa sasa namshangaa huyu kua anajua kila kitu
Mungu wangu mhhh eee m/mungu naomba unijalie mwisho
Uyo baba ako anajua kua wali taka kukufanya msukule na iyo inshu yoote ana ijua
Uyu jamaa anatangaza uganga wake
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 dunia hii
Baba yako ni mganga wa kienyeji tu ongera ukweli tu.
Alizimia huyo , Hakuna kufa na kufufuka kwa hii dunia . Ni vile tunaharakisha mazishi na hivyo ndio quran imesema .
Uyo hajakafiniwa au
Alizimia tu mtu hafi halafu akafufuka
Kwani chemical nyie huwa mnajua ni nini?
Wee sema ni mganga wa kienyeji au ndo alikutesti
Navyojua Mimi islail akija kutoa roho ya mtu harudi Tena labda ulizimia au ulitaka kugeuzwa msukule
Walitaka kumueka msukule ndio maana akarudi uhai
Hakuwa kafs
Mtu akifa na kuamka tena anakuwa kama akili zimepungua
ufufuo ulikua mmoja tu ni yesu kristo lands ulizumia
Sio kweli
Walitaka kukufanya msukule tu ila hujafa
Tanzania mna mambo😂😂
Kwahyo hayo maelezo unayotoa ww ulijuaje Kama hayo yalikuwa yanaendelea wakat ulikufa ?
Hukusikia ameanza kusema alisimuliwa?
amesema Alisimuliwa Sikiliza Kwa Makini ndugu
Na mimi ndo maana sitakagi mtu anizike mapema yaani nife mchana jioni kaburini hapana mtakuwa mmezika wengi wakiwa hai
Hiyo ni kweli boss
Kweli si uongo nishaona testimony nyingi za watu wanafanya kazi mochwali
Sema ulikuwa umezimia acha kutujaza ujinga
Jaman kafa akafufuka???? how 😅...ww baba angu ulikuwa umekata moto tu sema ndg zko wakaharakisha kukuvalisha sanda....we alikwambia nan israel akishatoboa tundu kuvuta roho huwa anairudisha?? asubuutuuuuuu😅😅....Allah atupe mwisho mwema
Au mzazi wako alikua na siri flani? Mbn??
Anataka kupigwa nao tu uyo
Kila sk watu wanafufuka aisee tz yangu ni noma😂😂😂😂
Hayo Ni mapepoo😂😂😂ulijua ajee kinachoendelea Na ulikuwa mkufi surely 😂😂😂😂
Jamani huyu kaka anaongea hayo yote alielezewa na familia kwa sababu yeye alikuwa mdongo hajui kitu.
BASI HITAKUA YESU KALUDI HUYO KAMA MINADAMU ALIZIMIA TU AU UNATAKA KUTOA NYIMBO KWASABABU NDIO ZENU WABONGO
Kamani alielezewa yey alikuwa mdogo
Wanapenda waonekane media😂
Alizimia acheni ujinga
Hakufa
Alizimia 😂😂😂😂😂😂
Part 2 please
Kitu kama kinapikwa
Hawakuwaga,aliululizaga,aliwaga,akawaga,hakufikaga,alishangaaga 😂
Wakajaga... wakaga 😅.....
Acha kudanganya watu kijiji kilitetemeka wapi mie ni mwenyeji Wa uko mwanza Sema ukweli baba yako ni mganga wakyenyeji
Mchawi, labda majini yake hiyo nana ake
Sasa umekufa alafu unaongea au ulikuwa unasikia yanayotendeka
Move 😂😂
Bahati ni kwamba hakuwa amepelekwa mochuari angefufukia huko wangemalizanae tuu
😂
Ah haiwezkn bhn tuacheeee 😅😅😅😅
Ulijuaje ametokea gafla na ww ulikuwa mfu acha kutusokota bhana
Aliadisiwa
Majabu mengi yatokea uko Tanzania 🇹🇿
Acha uongo Wewe siyo Wa mwaka1990 mbona mnapenda kutudanganya
anawez ,mwanangu wa Mwaka 89 wako Sawa tu kama yeye
Rangi hiyo ni mbaya Inachakaa Haraka
Hao wanaokimbikiza kuzika watakuwa wanazika watu hai..
😢😢
Kweli uwaga wana kimbiza watu haraka haraka kuzika ipo siku MTA tuzika wengi tupo hai afu tuna zinduka tukiwa kaburini
100kilo🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Sema mganga Wa kyenyeji
Mchawi 😂
HUYU ALIZIMIA HAKUFA KABISAA
😂😂😂😂