BAMBO AMCHANA DIAMOND NI MCHOYO WEWE SIO MUNGU/HAKUTUTAKA SISI ALITUMBANIA/BABALEVO/TULIANO KIDOGO

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 129

  • @dollsouthtv2136
    @dollsouthtv2136 16 дней назад +8

    Watoto wa juzi hawawezi muongelea vizuri bambo hawamjui

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 17 дней назад +9

    😂😂bambo hata akiwa serious unajikuta unacheka tuu

  • @Heisfeisalmwema
    @Heisfeisalmwema 16 дней назад +3

    Kanumba alikuw ana bumshiti mamaee 😂😂😂

  • @baizobaizo6638
    @baizobaizo6638 12 дней назад +1

    Naisubir Hiyo Lugha Mmun'gunyo Inaonekana Itakuwa Balaa Sana

  • @jameswissa9981
    @jameswissa9981 16 дней назад +5

    Bambo katoa ya moyoni mwacheni aseme ukweli.
    Bambo ni Msanii mkubwa,lazima aumie kufanyiwa hivyo na watoto wadogo waliomkuta.

  • @Kushgang-cr4pv
    @Kushgang-cr4pv 16 дней назад +2

    Bambo kakasirika kwasabab dai mabaunsa wake walimzuia aspande kwa stage wakat anaparform.

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645 17 дней назад +4

    Mbona mzee wangu kakasirika

  • @salimrashidy3513
    @salimrashidy3513 11 дней назад

    Iyo mmung’unyo na izo akili za Bambo😅😅

  • @ramiatebe8373
    @ramiatebe8373 17 дней назад +2

    C uandae show zako we kazee😂 eti nae kapiga piano😂😂

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed7556 15 дней назад +1

    Hahaha eti Bambo kisa mkongwe anamuelekeza mondi kupga show hahahah

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 17 дней назад

    Noma

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 16 дней назад +1

    Wewe Bambo acha kutafuta kiki zisizo na msingi!

  • @suncheafrica
    @suncheafrica 12 дней назад

    I love this guy 💪🏿

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 14 дней назад

    Mzee bambo naye kaingia kwenye mapiano 😅 toaizo pigachini mpaka bakuli

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j 12 дней назад

    Ss wee naye shida minis na dai

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 14 часов назад

    Kibakuri alienda wapi?

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 15 дней назад

    Umbea uwo

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 18 дней назад

    Tunalijua hilo kitambo..

  • @samirakashililika4223
    @samirakashililika4223 15 дней назад

    Nawewe kua mchoyo

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 14 дней назад

    ukweli lakini umefika hongera Bambo utuuzima dawa

  • @ngolocomedian
    @ngolocomedian 16 дней назад

    Bambo wala hujakosea mimi mwenyewe yamenikuta hayo ...alikuja kigamboni huku ..ulikuwa mda wangu wa kupanda stagini kupafom comedy wakaanza kupanda wao aisee tangia saa nane hawakushuka mpaka show inaisha

  • @princebulas737
    @princebulas737 15 дней назад

    Babalevo ni mwanamke

  • @EzekielTv49
    @EzekielTv49 15 дней назад +2

    Watanzania mtu akifanikiwa wanahisi anatakiwa awasaidie na wao!!!mtu akifanikiwa sio lazima akusaidie na kama unaona ni rahisi kusaidia mtu fanikiwa na wewe awasaidie wengine,,,,sasa mtu anasema diamond hataki wengine wafanikiwe wale wasanii hawajafanikiwa!!,,aliiwaajiri je,,
    Watanzania wengi ni wapumbavu sana

    • @mudibojaffar9269
      @mudibojaffar9269 15 дней назад +1

      Asante sana,, Nadhani watajifunza kupitia Comment Yao .sasa wanataka Diamond awasaidie Kila mmoja anaye taka Msaada,,alafu kingine nikuwa,,huezi famia show ya mtu bila mpangilio

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 12 дней назад

      Ukiwemo na wewe

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone 17 дней назад

    Bambo nimtu wakale sie vijana wakale namjua saan,toka 99 bambo yupoo anaimba anafanya music pia

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950 16 дней назад

    Duuuh

  • @Larrytzatza
    @Larrytzatza 15 дней назад

    Hakuna mtu aliyemzuri kwa watu wote.....kila mtu ana story mbaya kwa mtu fulani... that's life.....Bambo n mtu mzima sana hakutakiwa kuongea yote ayo maan pia kuna kesho.....Km yeye anajiona ana roho mzuri atuoneshe vijana wenzake au wazee wenzake aliowashika mkono wakapata ridhiki wakatoboa😂😂maan uyo mwenzake anayemsema kafanya tumeona na yeye atuoneshe......Maisha yako ni jukumu lako....pambana tu anko bambo😂😂😂

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 14 дней назад

    achausenge bambo tafutamaishamapya basi ww unalonzuli ungepereka uchafu stejini ulitakaufanyenini stejini

  • @mugishasteve325
    @mugishasteve325 16 дней назад

    Maisha yanafunza vitu vingi malafiki wanakupenda kwasababu ya kile ulichonacho.wachache wanakuthamini ukiwa hauna kitu.kikubwa ni kupiga moyo konde ukapambana na Mungu anakuwekea wepesi unafanikiwa yeye atakuletea watu sahii

  • @ananiamwatebela3159
    @ananiamwatebela3159 15 дней назад +1

    Sio kila mtu atasaidiwa na mond afu bambo umefilisika vibaya mzee mzima ovyo sana ww hivi huyo unayemsifia katokea wapi mpuz kweli huyu

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 14 дней назад +1

      WEWE FARA BAMBO HAKUTAKA MSAADA KWA MOND ISIPOKUWA MTANGA NA BAMBO WALIPATA MWALIKO NA WAZRI AWESU LAKINI MOND KAWABANIA WASIPANDE KUFANYA YAO MJINGA WEWE

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 14 дней назад

    kazizawatu ww ulitakaushukenanini

  • @jerrymfinanga3773
    @jerrymfinanga3773 17 дней назад +1

    Etii mzaziii wetuu😂😂😂😂😂😂😂

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 15 дней назад

    Sasa nyie ikiwa mlimtangulia huyo diamond sasa mna nini?

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1s 18 дней назад +1

    😂bambuu

  • @T-Fellow
    @T-Fellow 18 дней назад +2

    We Bambo, wewe kunamtu amekutuma kusema hayo.

  • @j...876
    @j...876 18 дней назад +3

    Bamboo ahujawayi ku msemeya diamond kizuri hata sisi wa Kongo tuna lifahamu hilo

    • @dannylema3125
      @dannylema3125 17 дней назад +1

      Nyie wakongo si miyayesho amuwezi elewa

  • @slymsameer5415
    @slymsameer5415 17 дней назад

    Kwani unafuta wapi kwenye RUclips au inakuwaje ok sasa hiyo show alipanga yeye ilikuwa yake au nae alialikwa tuu maana mnampango wakuchukia watu

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 17 дней назад

    8:38 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @michaeljames403
    @michaeljames403 16 дней назад

    Kwani hapo Bambo anafanya comedy ama yuko serious!!? maaana nahisi kucheka

  • @ismailisungura3491
    @ismailisungura3491 16 дней назад

    Tafuta pesa yako acha majungu kenge m1 we

  • @simba9563
    @simba9563 17 дней назад

    😂😂😂povu

  • @melcksedeki1012
    @melcksedeki1012 17 дней назад

    Bambo anaroho mbaya sana

  • @gideonemmanyi9593
    @gideonemmanyi9593 17 дней назад +1

    Kwamba mngepanda siku hile show ingezaraulika au?

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 15 дней назад +1

      hahaaaaaaa kweli bn show ingechuka thamani kinoma watu wangesema duh mpaka yupo kweli huu niutoto

  • @apollolwoga9019
    @apollolwoga9019 17 дней назад

    Sawa umefuta nyimbo zake,umekusaidia nini sasa

    • @ngolocomedian
      @ngolocomedian 16 дней назад

      Acha izo ndugu acha aseme ukweli mi mwenyewe yamenikuta Hayo

    • @emiliuskifigo3062
      @emiliuskifigo3062 15 дней назад

      We mtoto mdogo humfaham au umechelewa kuingia mjinii diamond kalalamikiwa na Ommy dimpoz kalalamikiaaa na Chidbenz Aya hermonize kama mmerogwa mnatetea ujinga

  • @atunselu2401
    @atunselu2401 16 дней назад

    Wakati wako ulishapita,acha makasiriko baba

  • @bonita329
    @bonita329 18 дней назад

    Sijawai kumuona bambo kakasirika kiasi hiki😂😂😂😂

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 14 дней назад

    uingiekufanyanini sasa

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 17 дней назад +2

    BAMBO NAE ANATAFUTA KIKI TU

    • @dronemiguel2230
      @dronemiguel2230 15 дней назад

      Toka lin bambo akatafuta kiki mapenz yanakuzid na ww kias kwamba kila m2 akizungumza ukwel unaona kama anaonewa

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 15 дней назад

      @@dronemiguel2230 Ukraine BWA wake wasanaa anatataka kupanda BILA mualiko Kwa stage kwakuwa bamboo noooooo

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 12 дней назад

      ​@@mashramadhani1989alialikwa na wewe acha chuki za wazi

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 12 дней назад

      @@agnesjohn9382 simchukii lkn muda wake wa kisanaa sio Mambo anatakiwa kupambana mayo sasa Kwa watoto zake.

  • @ramiatebe8373
    @ramiatebe8373 17 дней назад +1

    Nawe ushazeeka

    • @PatrickEmanel
      @PatrickEmanel 16 дней назад +1

      Siku baba yako akikukalisha kukushaur mwambie umezeeka ndo utajua ulimwengu ni nini

    • @ramiatebe8373
      @ramiatebe8373 16 дней назад

      @@PatrickEmanel sawa babu ushauri

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 12 дней назад

      ​@@PatrickEmanel😂😂😂😂

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx 18 дней назад

    Anatafuta Kik kwa pikipik huyo inaonekana mkundu wake unamuwasha huyu mzee

  • @DeogratiusMadeje-os5ur
    @DeogratiusMadeje-os5ur 17 дней назад +1

    Kwenye ukweli mtu aambiwe ili ajilekebishe, kwan mwambino yeye n MUNGU? Hakuna binadam mkamilifu kwaiyo punguzeni ushabiki

  • @jumachacha1439
    @jumachacha1439 18 дней назад +2

    Acha njaa bambo

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 16 дней назад

    Weee zombi simba la masimba dangote yaani mkimsema ndio mnampa kiki

  • @chekakizenjyzanzibar4153
    @chekakizenjyzanzibar4153 16 дней назад

    ukute bambo jina lake ni bambi😂

  • @boniphacejames3356
    @boniphacejames3356 14 дней назад

    😀😀 Futa kabisa mbwaa yule

  • @user-je8iw9jk1v
    @user-je8iw9jk1v 17 дней назад

    Mxenge sana huyo domo

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950 16 дней назад

    Mond jambazi sio wewe tu mulize chidi

  • @nangondoson1367
    @nangondoson1367 14 дней назад

    😂

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy 15 дней назад

    mond ana management yake na ni mkubwa, siyo akimuona bambo amwite, futa kwani ukifuta we nani ? peleka njaa zako huko swaini

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 14 дней назад

      CHAWA KAMA CHAWA MTAFILIKA SIKILIZA NDO UTOWE COMMENT BAMBO HAKUTAKA MSAADA ISIPOKUWA MOND KAWABANIA WASIPANDE JUKWANI KUTOA COMEDY YAO NA MTANGA BOYA WEWE

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy 15 дней назад +1

    yani hili zee pumbavu sana, alitaka diamond apite anagawa hela, bola mond kiki haopo linatafuta kiki kwanza hata halichekeshi halina hela njaa inalisumbua saa hz lawama we hela zako ulimpaga nani tuachie mond wetu pumbavù wewe

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 18 дней назад +4

    Domo ana roho mbaya q chif pia ashalalamika

    • @hoseanobocka7140
      @hoseanobocka7140 16 дней назад

      Huwezi kupendwa na Kila mtu hata yesu alikataliwa sembuse, hafu bambo anatafuta kiki anataka Diamond aongee hawezi kumjibu chochote na

  • @mudibojaffar9269
    @mudibojaffar9269 15 дней назад +2

    Huyu Katumwa Na Mataira wenzake kina Konde GIRL

    • @alibachirofficial3939
      @alibachirofficial3939 15 дней назад

      Q chief alitumua piya?
      Mond sio mtu mzuri

    • @mudibojaffar9269
      @mudibojaffar9269 15 дней назад +1

      @@alibachirofficial3939 Udhibitisho unao kama sio mtu mzuri.. Listen in this world not everyone will like you...Wengine wanamchukia kutokana na Wivu...So F*ck them All

  • @mpsanga2914
    @mpsanga2914 18 дней назад +2

    Hiyo kauli ya kufeli wewe hataufanyeje diamond atabaki kuwa mkubwa mbwa wewe

  • @user-go6hi2pl8o
    @user-go6hi2pl8o 16 дней назад

    We mzee punguza shobo wewe na familia yako mkifuta nyimbo za simba sisi na uko wetu wote tuna download 😂😂😂sasa cakufanya aca maneno tuko bize na comment ça va na raha 😛🤪🤪🤪🤪🤪

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 15 дней назад

    Daimon angekuwa mkristo wangekuwa washamuabudu

    • @cathbetsolomon3151
      @cathbetsolomon3151 15 дней назад

      Matako nn unauhakika na unachosema have respect na dini za watu kiande weee

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 15 дней назад

      @@cathbetsolomon3151 ukiambiwa usibitishe ukristo dini unalo andiko aw unasema tu

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 17 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @danrappergangamaa1190
    @danrappergangamaa1190 18 дней назад +4

    Bambooo kaongea pointi tupuuuu Diamond Platnumz roho mbaya....
    Ila bambooo sahizi umerudi kwenye chati SAFI

  • @user-qz5yh1dl1n
    @user-qz5yh1dl1n 16 дней назад

    Huyu d Mond ni umbwa kabisa kama umbwa wengine

  • @marokeyLFM
    @marokeyLFM 18 дней назад +10

    Diamond platinumz sio mchoyo angalia ajira alizo wapea kwanza watu wengi wasafi 😂

    • @bfofficial1735
      @bfofficial1735 18 дней назад

      Acha shobo na wasafi

    • @musiccaentertainment100k8
      @musiccaentertainment100k8 18 дней назад +3

      Hyo ni kazi na biashara tofautisha biashara na kusaidia

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 16 дней назад

      Duh we naeee

    • @mbwaralali5049
      @mbwaralali5049 16 дней назад

      ​@@bfofficial1735kwaiyo tz mzima mwenye roho mbaya ni mondi. Amuoni wale walio pandishwa kwenye show asubui. Wacheni basi kumuongea mtu abaye hata time na porojo zenu

    • @user-qx8wb1lf1v
      @user-qx8wb1lf1v 16 дней назад +2

      Ametowa Ajira Kwa manufaayake Ili Nayeye Anufaike Wacha Ukuma

  • @luckybarbershop2342
    @luckybarbershop2342 18 дней назад +2

    Oyawe muzeh mbambo kafanye comedy achana kwongea ushuzzzz www mzehe au do unska kufa

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 16 дней назад

    Njaa huleta lawama ⛷️😂

    • @emiliuskifigo3062
      @emiliuskifigo3062 15 дней назад

      Ommy dimpoz alimlalamikia Chidi dyna nyange bambo Q chief wote Wana wivu nae?

  • @ramiatebe8373
    @ramiatebe8373 17 дней назад +3

    Kwani bambo ndio nani😂

    • @PatrickEmanel
      @PatrickEmanel 17 дней назад

      Wewe motor wa 2ooo huwezi mjua huyu mwwamba tulia

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 14 дней назад

      UTAJUWA WAPI MTOTO MDOGO WEWE?

  • @khamisidowany6262
    @khamisidowany6262 15 дней назад

    Shabiki yangu diamond ila yanayo ongelewa abadilike bamboo kama bambooo ni mkongwe sana hawez kumsemea uongo pltnum abadilike

  • @raphaelmwaura1648
    @raphaelmwaura1648 18 дней назад +2

    Mjinga wewe wapi kasema yeye mungu ubwa wewe wivu tu una kusubua

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 15 дней назад

    ila bambo naww bn hivi kweli mtu andae show ya mamilion watu kibao Naww nae et upande pale sasa ww ukafanye Nini hebu acha utoto mzeee hii ww vp

  • @KashindeKilovele
    @KashindeKilovele 17 дней назад

    Wewe wakati wako uliwajar wangap mzeee tuoneshe hata nmoja uliyemshika mkono wakati wako

  • @dollsouthtv2136
    @dollsouthtv2136 16 дней назад

    Tuache unafiki uchoyo sio kwamba sababu kawaajili watu eti sio mchoyo anaweza kuajiri kuizuga Jamii ila ukweli wa nafsi huonekana kwa baadhi ya matendo mi sibishi ila lisemwalo lipo kama halipo laja