Ndugu zangu nawakumbusha tuu Mcheni MUNGU na kumtukuza kwa maana saa ya hukumu yake imefika. Msujudieni yeye aliyeziumba mbingu na nchi, mito na chemchem za maji.
Jambo muhimu sana kuwakumbusha wenzio hizi ni nyakati za mwisho ishara mingi zishaa onekana mitume walio yasema yametimia kabla kuje zile ishara kubwa jameni tumrudie mungu😢 Asante
Movie ya white maria niliitazama ktk banda la sinema mida ya usiku, wakati wa kurudi nyumbani sikulala kwa amani na niliota ndoto za kutisha kuhusu huyu white maria... 🤣🤣
Huyu mwandishi anapenda kuleta taarifa za uchonganishi sana. Kaanza kwa madebe, kaaribu reputation yaka now kaja kwa kanumba, hapo sijataja taarifa zake nyingine alizopost za kichonganishi, stori zako zinaboa watu wameanza kuipuuzia mbengo tv
@@jescarmbena9094 niwale watu ambao hata movie hawakuiona kwaiyo alivyo kosea na wao wakapata Cha kukoment bila kuwaza kukosea katika maongezi kupost naawez danganya wakati movie kaicheza
Ndugu zangu nawakumbusha tuu Mcheni MUNGU na kumtukuza kwa maana saa ya hukumu yake imefika. Msujudieni yeye aliyeziumba mbingu na nchi, mito na chemchem za maji.
Allah atupe husn alkhatima yarab
Shukraan sana
Aamiyn ya'Rabby
Jambo muhimu sana kuwakumbusha wenzio hizi ni nyakati za mwisho ishara mingi zishaa onekana mitume walio yasema yametimia kabla kuje zile ishara kubwa jameni tumrudie mungu😢 Asante
@@zahraabdul9652 hakika yaan sisi ni maiti watarajiwa haki namuomba Allah atujaalie mwisho mwema Aamiyn ya'Rabby
Acheni uhongo Kanumba kafarika 2012 Sasa iyo 2014 ulihigiza namzimu wa kanumba
Uyu dad khaaa KANUMBA KAFARIKI linibasi 🤦♀️🤦♀️ 2014 Ulishutunaye sasa kafarikilini😓😓😓??
Weee dada ulijua kunifanya niwe kikojozi na kuota ndoto mbaya usiku mbwa ww😂😂😂😂
Weweeeee 2014, kanumba kafa 2012, matumbo ya siafuu
Wema nae kazid umalaya 😂😂😂kumtaman kaka wa mwenzie vp
Mtangazaji uko vizuri sana❤❤
Movie ya white maria niliitazama ktk banda la sinema mida ya usiku, wakati wa kurudi nyumbani sikulala kwa amani na niliota ndoto za kutisha kuhusu huyu white maria... 🤣🤣
Jmn kukosea lazim ulimi aun mfup jmn
Jamani izi interviews zamchongo mchongo eti 2014 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu mwandishi anapenda kuleta taarifa za uchonganishi sana. Kaanza kwa madebe, kaaribu reputation yaka now kaja kwa kanumba, hapo sijataja taarifa zake nyingine alizopost za kichonganishi, stori zako zinaboa watu wameanza kuipuuzia mbengo tv
Ndo maana ulifeli shule🤣🤣🤣
I don’t care ever time I remember that movie it gives me jump scared🤣🤣🤣🤣
Jaman😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
Uyo nae muongo muongo tu et 2014 ndo alienda kushoot na kanumba wakati kanumba alifariki 2012 Uwiii 😂
Tena muongo mkubwa
@@user-re2em2zd2ukachanganya alikua anaongelea 2004
@@user-re2em2zd2ukachanganya alikua anaongelea 2004
Amekorogeka walaah 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ametupiga na kitu kizito
White maria alikuwa anataka kuwa nani kabla ya kuwa white maria🤷♀️🤣na amekwambia anaitwa shajumbe 🤣we shajumbe uwe unasikiliza maswali vizuri
na io ndo legacy tunayosemeaga,,ani kuna m2 ukimuona 2,,inakujia picha m2 fulani...kanumba was the best
Huyu white maria anataka kujifanya anajua kiingereza anajikuta anashindwa kuendelea😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂jinga hiii😂😂😂
Ety my mama🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watanzania na kizungu nayo hapana😂😂😂
😂😂😂
WEMA ALIKUWA NAUSHEZIMUNOOO SAS LOOK NOW 😢😢😢
Naisiiii wemaaa ndioo kidemm kinaongozaaa kwaaa umarayaaa
Hata mama ako pia ni malaya
@@SharifaOmary-ui8vs siooo mama zetuuu Mimi nawewe
Nakukubali mtangazaji
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂uwiiiiiiii
Kumbe Wema Umalaya kaanza kitambo eeeh 😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Nime cheka mpaka kufa 😂😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
😂😂😂😂😂😂naikumbuka hiyo lazima uchungulie alafu nduki 😂😂😂😂ndo umesha toka kuangalia TV kwa jiran 😅😅
😂😂😂
😅😅😅
Duh kaz ipo😄😄😆 0:50
Kafanana na neema ndepanya,au fontana🙂🙃
Kabisa hapo umenena
Yasiiii
❤❤❤❤❤❤
Umeamini ukivaa hivii mtangazajii wapendeza mashaallah ❤❤❤❤
Kweli kabisaa
Isiwe tuu interview ya uongo maana 😅😅😅😢
Mtangazaji Umevaa Vzr,,, Usikutuvalia ile Kofia yko
Apo sasa
Ila pengo tv waongo contents zao yan wanaandika vingine na interview inasema vingine
😅😅😅 Lazima wafanye hvyo ndo apate views 😅 anyways nikirecomend #feelingyou song by NegoLetMeDo hutojutia
She forgot when Kanumba Dead was 2012 so how about 2014 😂
❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂❤❤
ILOBEGINALO BASILISHUSHENI HAPO😂😂😂😂😂
😅😅😅😅
It's one mistake forgive her please
Sasa mnachchamaa muongo mnacho shindwa kujuwa ulimi hauna mfupa nini katekeza katamka 2014 badala 2012 lakini sikwenye kazi alicheza kwaiyo anaelewa ila kakosea kama unavyo kosea kuandika
Afadhari umewaambia yaan wanavokazania muongo utafikiri hakuigiza iyo movie
@@jescarmbena9094 niwale watu ambao hata movie hawakuiona kwaiyo alivyo kosea na wao wakapata Cha kukoment bila kuwaza kukosea katika maongezi kupost naawez danganya wakati movie kaicheza