@@anthaall4582 kanumba umetumpa.wakati mgumu sana mm kama.mm sita kaa nikusahau haki yamungu mm nakuombeya kwa mungu akupokee ili utushikie nafasi mbele yetu nyuma yako kk
Nlimpenda huyu kaka sana,tangu kuondoka kwake siangalii bongo movies tena,alikuwa star sio siri tulipenda sana movie zake.Mpaka kesho twampenda sana huku Kenya, Mungu amlaze mahali pema peponi,amina.
Ooooh kanumba it's now almost ten years since you left ulikuwa mtu wa maono na WA msaada kwa Dunia ukatoweka ghafla still in my memory continue resting in peace Mungu akupunguzie adabu ya kaburi much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nafunga mwaka 2019 kwa kuangalia interview ya jembe langu R.I.P #Steven Mungu akupe wepesi ulipo naomba like zangu kama nawewe umemaliza huu mwaka na na steve
Kifo chako kilikuwa mshituko sana kwangu kanumba maana sijaamini mpaka Leo hii, inanibidii nitazame filamu zako Mara kwa Mara kuoneshe kwamba ungali hai, tulikupenda sana tens sana lakini mungu kakupenda zaidi na aiweke roho yako mahali pema tutaishi kukumbuka kanumba.
HE WAS BRIGHT,HANDSOME AND HE WAS IN GOD ...I LIKE THE GUY REST IN PEACE...YOUR INSPIRATIONS WILL REMAIN FOREVER WORKING WITHIN OUR LIVES...REST IN PEACE KANUMBA STEVEN
Kifo cha Kanumba ilikuwa ni pigo kubwa sana kwa sanaa ya filamu Tanzania. Tangu alipofariki, sanaa ya filamo imebaki pale papel alipoiacha. Yeye kwa mikono yake aliinyanyua sanaa ya filamu kutoka vikundi vya vichekesho kuwa industry yenye hadhi ya kimataifa. RIP Kanumba
Really we remember you mr Kanumba. Dah! it's true the world is not our permanent home. Bado nakuona kanumba yuu hai but bongo movie hoi,sipati ushawishi saana wakuangalia labda komedi bado nipo.
Dah kama unaangalia interview mpaka Sasa gonga like dah kanumba umeacha pengo kubwa kumbe ulikua utumii kilev na tuliambiwa alilewa ndo maana alivyosukumwa kidogo kafa😭😭😭
Najiuliza sana kwann kanumba alikufa..!!, inaniuma sana coz sipati jibu..'' but all in all Mungu alimpenda zaidi japo na sie tulimpenda zaidi. Mungu ailaze maali pema peponi roho yake. "AMINA""
DAH KANUMBA HAKI NILILIA NA NILIKUWA NAKUONA TU KWA MOVIE TULIKUPENDA ILA MUNGU ALIKU PENDA ZAIDI ILA MOVIE NILIACHA KUANGALIA REST IN PEACE KANUMBA SO SAD HAKUNA ANAE WEZA KUZIBA PENGO
i have only watched two tanzanian movies..one was 10 years ago..called girlfriend featuring tid ,ay and crazy gk...and later on ......couple years ..i watched a movie called ..oprah...boy...what a remarkable improvement ..both in quality ,sound and acting..en that was the first time i saw..this..and the girl who played the leading female role i though they were all terrific.
Hapa ndo nazidi kuamini kwamba huyu jamaa alikuwa #ZeGreat cheki hii interview ni tofauti na interview zingine zote za mastaa koz Salama J alionekana ni mtu mwenye furaha mwanzo mwisho na mpk rozali kavaa aiseeee Rest In Peace brother Kanumba
Man, u were a shooting star.Steve rest in peace coz the good ones never live 4 long due to the myths...........Sanaa uliimundu sana....nitaendelea kutazama sinema zako.Ziko na maadili mema na mafunzo tele..
Dah yan hakuna muigizaji atakuja kuwa kama huyu ..Dah Boss kanuamba ungewahi kuzaa ..Natumaini mtoto wako au watoto angekuzid mara mbili..Punzika kwa amani ndugu Unapendwa sana
kama bado unaitizama hii interview mpaka leo 2024 gonga like hapa itakuwa unyama mwingi
Tupo
Tupo 🎉🎉🎉
@@BrigitteRachel-gf9zz pamoja sana
@@DativaMbowe pamoja sana
@@jacobojames7086 amen
Kama bado unaangalia
Interview hi 2020
Gonga like tujuane
Tupo pamoja
2021 i like it
Nimemkubar hamza apumzike kwaaman
i know I'm kinda randomly asking but do anyone know of a good site to stream newly released tv shows online?
2023
Huu ni mwaka 2024 na bado Kanumba was the greatest RIP
2022 still watching.. the guy was so talented and unique. May his soul rest in peace
Tunaoangalia mkasi mpaka November 2019 tujuane kwa like hapa chini.
Ileile mzee km kw 2019
Good
huyu jamaa hatopita kamwe nahakuna atae weza ziba pengo lake kama unakubaliana nahili gonga laki
Nipo ndugu tumekosa
@@anthaall4582 kanumba umetumpa.wakati mgumu sana mm kama.mm sita kaa nikusahau haki yamungu mm nakuombeya kwa mungu akupokee ili utushikie nafasi mbele yetu nyuma yako kk
Kama unamuangalia kanumba mpaka leo 28.november. 2019 nautazidi kumuenzi gonga likes..
Cjaamini kama hayuko mimi,, naona tu kama ako
2023 still Viewing this 🥲🫡 RIP KANUMBA 🙏🏾
So 😔
R.i.p
Kama bado unaitazama hii interview mapaka Leo 2024 gonga like tujuane
Pa1 xana
Kama bado unaangalia interview hii leo 2022 gonga like tujuane...
Tunaenda 2023. TUNAENDELEA ku watch
@@wasaficlassicshoes 2023 nipo
2023
Mie naangalia leo 2023
2023 nipooo
Kama bado unaangalia 2019 gonga like
Og
Dunia nyingine
Kanumba bana
R. I. P KANUMBA
Nlimpenda huyu kaka sana,tangu kuondoka kwake siangalii bongo movies tena,alikuwa star sio siri tulipenda sana movie zake.Mpaka kesho twampenda sana huku Kenya, Mungu amlaze mahali pema peponi,amina.
Jamn nan anaangali hii clip mwaka 2019 kwenda 2020 like hapa
Kumbukumbu nzuri.
Kama unaangalia hii 2019 like hapa twende sawa Kisha comment ''RIP king of film''
R I P Kanumba
R.I.P kanumba
Kama bado unaenjoy Mkasi huu November2019 gonga like hapa andika R I P Kanumba the great
Bong
We siku zote hujaangalia unaangalia sasa hv hlf unataka like?
@@anordmpambanaji9497 ahahaaa sawa
16/12/2019 nipo naenjoy
R.i.p
2021 bdo naaangalia Kam upo sambamba na mm gonga like
Nko hapa bado nangalia
2023
Kama bado unaangalia Interview gonga like leo hii 2024
👊🏿👊🏿
Ooooh kanumba it's now almost ten years since you left ulikuwa mtu wa maono na WA msaada kwa Dunia ukatoweka ghafla still in my memory continue resting in peace Mungu akupunguzie adabu ya kaburi much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nafunga mwaka 2019 kwa kuangalia interview ya jembe langu R.I.P #Steven Mungu akupe wepesi ulipo naomba like zangu kama nawewe umemaliza huu mwaka na na steve
Kama bado unaangalia hii interview 2024 gonga like zako hapa 🙏🙏🙏🙏🙏
Tupo
R. I . P Kanumba the Great, you were a source of inspiration and light to many other film stars and supporters in general. Forever we will miss you.
14/06/2019
Kama bado unamcheck the Great Gonga like then coment R.I.P the great Kanumba
R.I.P
@@bongespea6567 RIP
Rest in peace
Kibinafsi mm nilimkubali sana mzee Baba kanumba
Uyu jamaa noma sanaaa
Kama bhado unaangalia kipindi hiki na unatamani kuludi on Air gonga like hiii ni December 2019
Kisha subscribe #HIGHTECHTZ
Aliyekuja huku baada ya kusikia mama kanumba akiomba msaada kwa diamond tujuane!! By the way R.i.p bro
Kifo chako kilikuwa mshituko sana kwangu kanumba maana sijaamini mpaka Leo hii, inanibidii nitazame filamu zako Mara kwa Mara kuoneshe kwamba ungali hai, tulikupenda sana tens sana lakini mungu kakupenda zaidi na aiweke roho yako mahali pema tutaishi kukumbuka kanumba.
weboya na wewe utakufa sio uyo tu
Jmn ni kujifariji huko kifo ni wote
Moham kuma kbs ww
Yusra yahaya mmmmh! Binti
Just imagine ad leo 2024 kanumba angekuwepo soko letu la filamu lingekuwa wapi... Oky kama unaitazama hii 2024 gonga like itakuwa unyama sana
kanumba tangu ututoke saiv watu hatuangarii move za bongo move za season zimekamata soko hapa nchini
Km bd nww unangalia interview hii 2021 km mm tafadhali weka like yk hp
Dah cjui atatokea lini kwenye movie kama KANUMBA handsome, anajua kuongea,anajua kuigiza alikua anaanza kuipeperusha bendera dah😭 Bongo fleva tunaye Mondi tunashukuru pia🙏🏾
This's one of the most HONESTY interview with KANUMBA...RIP bro!
Kinachoniuma zaidi ni pale ninapoangalia movie ya family tears harafu muhusika hayupo duniani😭😭😭😭R.I.P brother
You will remain to be a STAR......MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI STEVE KANUMBA
jamn. mi. nimeludia. 2019. nauliza. kwan. huyu jamaa. ndo hayupo. tena. eeeh. daaaaaah😭
Hayupo
Masikini Kanumba! kasema kuwa anafanya vitu ili hata wanawe waje kusifia kuwa Baba alifanya vizuri. Kumbe haikupangwa hivyo.RIP Kanumba.
umekufa kanumba hadi filam nayo imekufa tulikupenda sana kaka yetu ila mungu kakupenda zaidi pumnzika kwaamani na mungu akupunguzie adhabu za kaburi
filamu haijafa
imekufaje
Da! Yani kiukweli filamu ya mbongo ilishikwa na kanumba JB anafuatia lakininiiiiiiiiiiii!
Mm nakubaliana kweli filam za kibongo zimekufa bora tuangaliage sultan
Aameeeeen
Tujuane hapa 2023 😢 R.I.P King 👑
November 11th, 2019... Rest in Peace Baba Lao...
Uyu kwa uyumuda njokaitwa baba laojaman tumekosa
June 2024 wenye wangaliki pale for kanumba gonga like tujuwane
Jamani mnaomkubali kanumba na mnaangalia hebu like hapa.
7/3/2021 continue resting in peace the legend Stephen kanumba napenda kuzirudia movies zako 😭😭
Miaka 12 iliyopita I was 12 years old dahhh nmekuja kuiangalia leo rip kipenzi kanumba the greatest.
Pengo lakanumba bado halijazibika. Anaekubaliana nami gonga laik
Nani yupo hapa kwaajili ya msiba wa SETH BOSICO KANUMBA
Rest in Peace legend you will always be in our heart🌹🙏
Nani yuko hapa 2019?😪
inafulaisha xana
December2019
👇🏿
Jamaa alikuwa anaweza Kama wote
Tunaoangalia december 15 2019 like tujuane
We Kanumba hujafa jamani,kweli we boss wa filamu umeondoka na filamu zako,mi siamini mpaka kesho lakin kazi ya Mungu haina makosa.
Nikiona akiongea hivi...naona ni kaa bado ako hai siamini kabisa kweli steven aliaga...R.I.P...kanumba
HE WAS BRIGHT,HANDSOME AND HE WAS IN GOD ...I LIKE THE GUY REST IN PEACE...YOUR INSPIRATIONS WILL REMAIN FOREVER WORKING WITHIN OUR LIVES...REST IN PEACE KANUMBA STEVEN
napennda kua kma mtu flan but kuyafikia malengo inahitaj moyo naomba mungu anitangulie kwa kila jamboa ninalolifanya
kazya mungu
@@amadeuskileo9191 usijali mtuu wangu kila kitu nikumuomba mungu wala usiw nachaka
alazwe pema peponi huyu alikuwa muwakilishi wa tz nzima kwa sanaa yake nzuli apewe sifa
Tutakukumbuka daima daah Seth pia kweli Duniani sio nyumbani 9.Dec. 2019 😭
Oman Mahla .
Salama nimekukubali my Dear
Unamwambia mtu unampenda kama Yuko Hai
That is Good
*Kama Bado unaangalia Mkasi November23.2019 gonga like twende sawa*
7years ago, I can't believe how fast the time flies..Continue rest in peace brother kanumba
I missed you today and thought to check on you Steve.. .you are the man I wished to meet but hopefully we shall meet in heaven
hata mimi
Neema is that you?
I too best,
Daaaah acha 2😭😭😭
nimmo mwangi
Nipo hapa march 2020 R. i. p Steven kanumba tutakukumbuka daima, wallah sichoki kutizama movie zako.
masikini kanumba. mungu atakuweka pahala alipokuewekea pazuri anapopajua. lakini mamboz yalikuwa yashajionesha mapema katika magomvi ya mades
LOoking at this and i feel like its real like he's still alive😢😢
Tuliorudi kumuangalia Kanumba leo siku ya kumbukumbu ya kifo chake tujuane,R.I.P KANUMBA
Kifo cha Kanumba ilikuwa ni pigo kubwa sana kwa sanaa ya filamu Tanzania. Tangu alipofariki, sanaa ya filamo imebaki pale papel alipoiacha. Yeye kwa mikono yake aliinyanyua sanaa ya filamu kutoka vikundi vya vichekesho kuwa industry yenye hadhi ya kimataifa. RIP Kanumba
Steven Kanumba,the Legend.we shall always miss you.Much love from Kampala.
😥😥😥😥😥 I miss the great Steven, jamn his legacy lives and will live foreverrrrrr❤
Kama bado tupo pamoja November 2019 tujuane hapa...R.I.P Kanumba
daima nitakukumbuka kanumba
Tunaoangalia interview ya kanumba 2020 tujuane kwa comment hapa
Bado naaangalia hii 2019 nani ananiunga mkono kwamba huyu jamaa alikufa na bongo movie anipe like kama zote
Really we remember you mr Kanumba. Dah! it's true the world is not our permanent home. Bado nakuona kanumba yuu hai but bongo movie hoi,sipati ushawishi saana wakuangalia labda komedi bado nipo.
U did more dan anyone has everdone b4 and even now,RIP baba yao
Plezzz owner of Mkasi Bring Backkk it, THE SHOW IS GENIUS MANN
I miss this cute guy so much.how I wish he even had a kid wth someone
Ya, so sad for real 😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭
Kanumba hajafa ila kafariki dunia tu🙌RIP legend.. mega S/O to th best female presenter ever SALAMA JABIR🙌 2024 watchin'
Jamani uliemwangali kanumba 2021 like hapa aendelee kupumzika kwa Amani
Still watching this interview from kenya.. RIP my legend
May Allah forgive ur sins and ease your life in the kabr.Ameen rest in peace inshAllah.we all miss u
Amar♥️♥️♥️
Nimekuja kuangalia hii interview leo 07/04/2024, miaka 12 baada yakifi chako kaka Kanumba😢😢
From 🇨🇩 7:25
Deeply sorry, R.I.P the great. respect from A.A {Ethiopia}
Dah kama unaangalia interview mpaka Sasa gonga like dah kanumba umeacha pengo kubwa kumbe ulikua utumii kilev na tuliambiwa alilewa ndo maana alivyosukumwa kidogo kafa😭😭😭
Najiuliza sana kwann kanumba alikufa..!!, inaniuma sana coz sipati jibu..'' but all in all Mungu alimpenda zaidi japo na sie tulimpenda zaidi. Mungu ailaze maali pema peponi roho yake. "AMINA""
Loyce Mallya Mimi binafsi siamini kama kweli Kanumba hayupo Dunian.
mipango ya Mungu
duh!! Lulu alikosea sana
Loyce Mallya amekufa yesu atakuwa kanumba
shedrack meshack huna uakika Ni Lulu
R.I.P. Bro KANUMBA......We will alwayz Remember and Love yu!
Yupo anatumikia huko huoni hata nguo alizovaa ona huo mdalaba ona sura yake inaupepo fulani wakishetani
@@nyabahailani3169 mshamba kweli wew
I love kanumba all the time❤️❤️❤️❤️❤️
2021 bado naimiss sauti ya Kanumba. R.I.P Kanumba
This guy is so honest even his face tells that he is saying the truth. too bad he is gone with much more to give to the young once......
Rest pis tumekumis
i can't stop watching him he will always be the Tanzania G.O.A.T keep relaxing Legend. Share some love it's 2023...🥲😪
DAH KANUMBA HAKI NILILIA NA NILIKUWA NAKUONA TU KWA MOVIE TULIKUPENDA ILA MUNGU ALIKU PENDA ZAIDI ILA MOVIE NILIACHA KUANGALIA REST IN PEACE KANUMBA SO SAD HAKUNA ANAE WEZA KUZIBA PENGO
i have only watched two tanzanian movies..one was 10 years ago..called girlfriend featuring tid ,ay and crazy gk...and later on ......couple years ..i watched a movie called ..oprah...boy...what a remarkable improvement ..both in quality ,sound and acting..en that was the first time i saw..this..and the girl who played the leading female role i though they were all terrific.
Nafunga mwaka na hii video. 1M💪💪💪💪
Umeona eeh my
Hapa ndo nazidi kuamini kwamba huyu jamaa alikuwa #ZeGreat cheki hii interview ni tofauti na interview zingine zote za mastaa koz Salama J alionekana ni mtu mwenye furaha mwanzo mwisho na mpk rozali kavaa aiseeee Rest In Peace brother Kanumba
Wangap tumekuja kucheck hii interview tna baada ya kuona kwenye RUclips channel ya SNS (simulizi na sauti) shout out to them
Man, u were a shooting star.Steve rest in peace coz the good ones never live 4 long due to the myths...........Sanaa uliimundu sana....nitaendelea kutazama sinema zako.Ziko na maadili mema na mafunzo tele..
dah 2nakukumbuka braza,wapo wanaoweza ila ww uliweza zaid.ulikua na idear tofaut na ya pekee,,ur only 1 to me.THE GRETAR R.I.P STEVEN KANUMBA
Kamumba alikuwa KICHWAZ sana, Mwenyenz MUNGU AMREHEMU.
Dah yan hakuna muigizaji atakuja kuwa kama huyu ..Dah Boss kanuamba ungewahi kuzaa ..Natumaini mtoto wako au watoto angekuzid mara mbili..Punzika kwa amani ndugu Unapendwa sana
still watching this 2020?? kanumba was genius
Umetuachia pengo Miaka 100 Nakukubar sana Broo.. BT RIP
Davis Goodluck 9
😭😭😭😭Umeliza weng broo
My all time favourite actor love you Steven kanumba continue resting in peace
I stopped watching Bongo movie! 2012,Rip King of Bongo Movies... You were the best.
Kanumba u will always be remembered. Rest in paradise
haters stay out of this.kama hukumpenda we loved him....great guy kanumba.RIP
R.I.P General Kanumba mpaka leo 26/01/2020 bongo movie bado haijafufuka
Kama bado unaangalia hii interview 2023,gonga like tujuane..