AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC MUNGU AKISEMA NDIYO ORIGINAL 2020

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • AICT Chang'ombe Choir Official

Комментарии • 260

  • @onexgozbert2554
    @onexgozbert2554 4 года назад +5

    Sollo ya kwanza ya Mama yangu Diana imetaka kunitoa machoz imeimbwa kwa hisiaa balaaa ure the best Alwayz and Alwayz CVC 🙌

    • @favouropande1065
      @favouropande1065 4 года назад +1

      Mama Diana ni mtumishi wa mungu.,. Upako wa tofauti kabisa

  • @emmajoxe8633
    @emmajoxe8633 3 года назад +1

    Ooh my God. Mama Diana umegusa moyo wang lkn changombe hatujazoea kuona masolo wengi kwa album zenu aiseee mpunguze bana maana mpaka mnakuwa kama mnataka kunichanganya vile. Mungu wa mbingunii awabariki kwa Kaz yake

    • @daudimungure9279
      @daudimungure9279 3 года назад

      Usijali kuhusu masolo wengi, kila mwenye pumzi na amsifu bwana na kila mtu ahudumu kwenye nafasi yake. Barikiwa sana

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 4 года назад +7

    Naipenda Sana hii Kwaya, bwana awape hatua zaidi

  • @daudimungure9279
    @daudimungure9279 3 года назад +4

    AICT CHANG'OMBE Mungu awabariki sana kwa uimbaji wenu uliotukuka, nipo na nyie toka Albam ya kwanza ya "Vunja" hadi leo. You are of high quality in everything.

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu1 4 года назад +6

    6:00 Mmweeh! Hkika huyu Dada alibarikiwa sana katika mpangilio wa sauti

    • @marrypius4868
      @marrypius4868 3 года назад +1

      We mkate wewe! Ubarikiwe sana. Na dianastephano mungu ambark kwa Sauti nzuri

    • @boazkitela6960
      @boazkitela6960 3 года назад +1

      Mungu azidi kumuinua kwa jina la yesu

  • @MaheHema-cr9px
    @MaheHema-cr9px 3 месяца назад

    Mama mungu awe nawe hata ukamilifu wa dahari

  • @eliakibandike345
    @eliakibandike345 4 года назад +3

    Wimbo mzuri mno mbarikiwe na bwana pia naomba kufahamu huyo dada aliyeimba mwishoni sio yule wa AIC NYAKATO aliyeimba VITA IKIREJEA ? kama ni huyo basi USAJILI MZURI MMEFANYA MWAKA HUU Ameeeeen

  • @lilianmutinda7569
    @lilianmutinda7569 4 года назад +4

    Napenda uimbaji wenu sana...I wish ningekuwa tz ningekuwa mmoja wenu...song zenu unibariki sana

  • @sheddy2417
    @sheddy2417 4 года назад +4

    Nakubali soloist mama Diana..... Kweli hakuna Mungu kama wewe wetu.... 🙏🙏

    • @johncavishe353
      @johncavishe353 4 года назад +1

      Et wanasaligi kanisa gani hapa dar nawakubal sana

    • @danierjohn1375
      @danierjohn1375 4 года назад +1

      @@johncavishe353 unapanda magar ya temeke unashuka kwa sokotaa , ukishuka tuu hpo unaliona kanisa lao linamsalaba mrefuu

    • @johncavishe353
      @johncavishe353 4 года назад

      @@danierjohn1375 haya Asante broo

  • @jothamson9118
    @jothamson9118 2 года назад +1

    Mimi hufurahi zaidi ninapowaona wazazi wangu kwenye kwaya hii mamangu Lydia Kashimba, Victoria Nsolo na Bahati Kayaga nawependa zaidi.

  • @mkinajoseph7632
    @mkinajoseph7632 4 года назад +1

    NI maajabu!!! Kutoka kwenye kuchunga kondoo, Hadi kuwa mfalme!! MUNGU WETU NI MKUU, AKISEMA NDIYO HAKUNA WA KUPINGA. AIC CHANG'OMBE KWAYA,CVC. MUNGU AWABARIKI NA KUWATUNZA, Muendelee zaidi na zaidi.

  • @mimwaninelitha6666
    @mimwaninelitha6666 4 года назад +1

    MUNGU akisema ndio hakuna Wa kupinga hakika mmenibariki sana MUNGU azidi kuwainua kwa viwango vya juuu zaidi

  • @isaacmutunga9078
    @isaacmutunga9078 3 года назад +3

    Really you guys blesses tangu utotoni nimekuwa nikisika nyimbo zenu na still messenging

  • @pendojeremia9687
    @pendojeremia9687 4 года назад +1

    Nawapenda Sana wanakwaya nazipenda nyimbo zenu zote Kwan nizisikiliza nafarijika Sana mugnu azidi kuwabariki

  • @patrickdaniel8026
    @patrickdaniel8026 4 года назад +2

    Kwakweli huwa nabarikiwa nanyimbo zenu Sana mungu azidi kuwapamja nanyie mungu awabariki Sana ikosiku ntakuja kanisani kwenu

  • @victormajenge1396
    @victormajenge1396 4 года назад +2

    Jamaniii huyu Mungu wa mbinguni aendelee kuwatunza maana mliitwa kumuimbia milele na milele.. Tangu miaka ile hadi leo hii ni wapya asubuhi na jioni hata sura ngeni nazo zinakua kitu kimoja.. Alleluya Bwana atawalindeni hadi kusudi lake litimie..

  • @254joel6
    @254joel6 4 года назад +18

    I believe if there is a choir that sings with passion and delivers the true gospel to the whole world is AIC CHANGOMBE CVC..Am always blessed by your singing may God keep blessing you with more strength

  • @felixmasae
    @felixmasae Год назад +2

    Nimefuatilia nyimbo zenu zote jameni mnaimba vizuri sana asanteni sana kwa kutubariki Mungu awajalizie zaidi

  • @princesskioko1549
    @princesskioko1549 4 года назад +5

    Mungu awatie nguvu ya kuendelea kuhubiri kwa nyimbo zenu. Aksante kwa kunibariki hivyo. Nawapenda

  • @slyvesternzogera5340
    @slyvesternzogera5340 4 года назад +2

    mbarikiwe sana,nyimbo za chang'ombe hakika ni muumini haswa nafarijika mno

  • @dorcasmanda1793
    @dorcasmanda1793 4 года назад +5

    Hongera kwa wimbo huu umewaweka katika level ingine.

  • @paulsamsonkishindo1030
    @paulsamsonkishindo1030 3 года назад +1

    Duh! Raha sana. Hongera wapiga saxaphone, keyboard na mpiga bass. Mmevitendea haki hivyo vyombo. Super kabisa.

  • @ombaawycky3542
    @ombaawycky3542 4 года назад +1

    Wakumbuke Hawa waimbaji mungu, Tanzania imebarikiwa kweli, Chang'ombe hongera,

    • @favouropande1065
      @favouropande1065 4 года назад +1

      Amen. Wamejitoa munoo. WA barikiwa Hadi washangae

  • @janemusyoka6125
    @janemusyoka6125 4 года назад +2

    Mungu akisema ndio hakuna wa kupinga,great song barikiweni sana watumishi wa Mungu

  • @mosesaisu4380
    @mosesaisu4380 3 года назад +1

    Samueli, utamlilia paka lini Sauli, ikiwa mimi nimemkataa, ichukue pembe yako ukamtie mafuta Daudi.
    Ohh my God, this is the best part of this song and blessings from God upon Chang'ombe AICT choir, Amen

  • @kmlproduction2694
    @kmlproduction2694 4 года назад +6

    Good job Mungu awainue watunzi na waimbaji wote kwa ujumla kazi nzuri sana nyimbo nzuriii

  • @josephngei4072
    @josephngei4072 4 года назад +3

    Mungu akawatumie CVC favorite..naskiza nkiwa Nairobi Kenya

  • @shedrackedius1267
    @shedrackedius1267 4 года назад +1

    Mko vizuri Sana kwa huduma ya Uimbaji,kazaneni hivo hivo mpaka Yes atakaporudi mtapata TAJI huko mbinguni.Amen Amen

  • @reubenismail3672
    @reubenismail3672 4 года назад +6

    Ila hao masololist wa chang'ombe nawaelewa Sana!kwa ujumla kwa yote mungu awabariki kwa huduma nzuri.

  • @joelkalimbiya6418
    @joelkalimbiya6418 4 года назад +3

    Hakika ni album nzuri 2020, Mungu awabariki

  • @favouropande1065
    @favouropande1065 4 года назад +1

    The instrumentalists , Mr. Stephen Deffa, Mr. Yusuf , Jeremiah the saxaphonists ( Kanisa La Epheso hapo kwa saxaphone upako umeongezeka and then Mama Diana James soloist esh...nabirikiwa 100 percent. Endeleni kwa neema hii.

  • @jeremiahlazaro6612
    @jeremiahlazaro6612 3 года назад +1

    Jamani kwa kweli sio siri kazi mnaifanya. Daah! Mungu aendelee kuwainua kwa kiwango cha juu saan

  • @marycianabwana7265
    @marycianabwana7265 4 года назад +1

    Niliwasubiri kwa hamu sana mbarikiwe sana nyimbo ni nzuri

  • @zabronpastory3086
    @zabronpastory3086 3 года назад +2

    naupenda huu wimbo huwa naupiga hata mara 5 kwasiku

  • @simonmagaigwa6634
    @simonmagaigwa6634 4 года назад +1

    Kwa sasa hii kwaya haina mpinzani nchini. Mawazo yangu tu.

  • @yulymseven5194
    @yulymseven5194 4 года назад +2

    Naipenda
    Naitaman
    Naitaka
    Mungu awabariki sana

  • @saraleonard2975
    @saraleonard2975 4 года назад +1

    Rege fulani hiv safi sana baba Deffa kwa kazi yako nzuri

  • @jacklineayoub2996
    @jacklineayoub2996 4 года назад +4

    Ameeen....hakuna wa kupinga!!!!

  • @marymyonga3808
    @marymyonga3808 4 года назад +1

    Weuweeeeeeeeee lege flan hivi amaizing
    Daaah aiseee sijui nisemaje najifunza mengi kwa hii kwaya sio Siri
    Salamu zimfikie mwalimu wa hii kwaya

    • @favouropande1065
      @favouropande1065 4 года назад

      Kweli kabisa hawa wanao fundisha hii kwaya Mungu awabariki sana. They are doing a good job

    • @marymyonga3808
      @marymyonga3808 4 года назад

      Kwa kweli Mana nyimbo zake konki kwa utukufu wa Bwana Ila hao masorolist ndo wananikosha hatari

  • @shedrackedius1267
    @shedrackedius1267 4 года назад +5

    LAZIMA NIWAALIKE KANISANI KWETU HUKU FREE PENTECOSTAL CHURCH OF TANZANIA (F.P.C.T.) TAWI LA KIEMBENI DAR ES SALAAM KWA HUDUMA

    • @chausikujuma477
      @chausikujuma477 4 года назад

      Safi kabsa na mm nitawaita fpct lwamgasa mkoa wa geita

  • @jacksonkisenge5270
    @jacksonkisenge5270 Год назад

    My favorite choir CVC Bwana awabariki. Twabarikiwa na huduma yenu hapa Kenya...

  • @bacarlen7873
    @bacarlen7873 4 года назад +1

    Kwani mlishawahi kukosea toleo?? Nadhani hata mbingu zinajivunia kwa uimbaji wenu🙌🙌

    • @favouropande1065
      @favouropande1065 4 года назад

      Amen. Kutoka kwa utunzi waa nyimbo, mavazi, vyombo vya muziki...kila kitu on point

  • @charlesfaida1515
    @charlesfaida1515 4 года назад +3

    Mungu ni mwema siku zote, mbarikiwe Sana nyimbo zenu zina upako wa roho mtakatifu 🙏, Album wap nipo Mwanza

  • @davidkisalimwala9458
    @davidkisalimwala9458 4 года назад +15

    Mungu akisema ndio hakuna wa kupinga. Hallelujah powerful song

  • @felixkendrick3718
    @felixkendrick3718 4 года назад +7

    Our lives is based on God. Ur preaching is real and ur are pride of east Africa and entire world. This is master piece of good work with full of passion and dedication. God bless CVC from Canada❤️❤️❤️

    • @favouropande1065
      @favouropande1065 4 года назад

      Amen. I love them like my own choir. One thing is sure...they are dedicated and committed

    • @joshuakinyili8787
      @joshuakinyili8787 2 года назад

      @@favouropande10651P, mo a it to ru he d me an and an an. You

  • @wilsonbaha102
    @wilsonbaha102 2 года назад

    Aminaaa xanah na asemeh ndiyoo kwely but nabarikiwaaa xanaa na huyu sololist mungu akutunze

  • @philipnyakundi9786
    @philipnyakundi9786 4 года назад +3

    Naomba mpost wimbo wa yerusalemu tafadhani

    • @Papafrenky
      @Papafrenky 4 года назад

      pia mimi nmeusubiri sana

  • @dismasalex5064
    @dismasalex5064 4 года назад +3

    Hallelujah, wow nimebalikiwa sana na huu wimbo. Mungu awabariki sana naamini siku moja nitakuwa miongoni mwa chama hiki kikubwa CVC.

  • @edwardmbillu3244
    @edwardmbillu3244 4 года назад +1

    Hongereni sana kwa kazi hii nzuri, nimeipenda kwa kweli

  • @asfiwemkumbwa5520
    @asfiwemkumbwa5520 Год назад

    Amesema Ndyo tumevuka mwaka salama sisi so wakamilifuu tunaitaji ndyo yako katika mwaka huu

  • @kennethbett3110
    @kennethbett3110 9 месяцев назад +1

    You always bring the real taste and meaning of Gospel in the changing times . mbarikiwe sana.

  • @samuelokoyaro1888
    @samuelokoyaro1888 4 года назад +2

    napenda nyimbo zenu- ni biblia tupu

  • @dorcaslor2166
    @dorcaslor2166 2 года назад

    Alafu mu n’a Pendeza na Tena mu n’a Pendezewa Mu barikiwe Kamwe Shalommmmmmmm Amen Amen

  • @danstanmathayo1332
    @danstanmathayo1332 4 года назад +5

    Tarehe 4/8/2020 saa 1:30 nakua mtu wa kwanza kubarikiwa na huu wimbo.

    • @kyodiaamisi466
      @kyodiaamisi466 4 года назад

      Jamani uyo dada wamwanya sauti yake inanibariki saana

  • @dayanalushina4993
    @dayanalushina4993 4 года назад +2

    Hongereni kwa Utume...!

  • @rispathequeen
    @rispathequeen 4 года назад +7

    Great song with alot of teaching Be blessed choir watching through RUclips in Qatar Doha.

  • @julietmoonka7155
    @julietmoonka7155 4 года назад +3

    Amina. Mungu humwinua mnyonge

  • @faithmusyoki5998
    @faithmusyoki5998 4 года назад +3

    Am feeling blessed nkikumbuka venye cpendwi...His words are final...🙏🙏🙏

  • @marymyonga3808
    @marymyonga3808 4 года назад +1

    Huyu solorist wa mwisho si alikuwa AIC nyakato au nimemfananisha

    • @sheddy2417
      @sheddy2417 4 года назад

      Kweli ni yeye alikuwa wa nyakato ila ss yupo CVC

    • @marymyonga3808
      @marymyonga3808 4 года назад

      Ahaaaa kumbe amekuja kukutana na vyombo vikali huku kumenoga sasa

    • @kalamuyangu1
      @kalamuyangu1 4 года назад

      Naam!

  • @kigamwandote4758
    @kigamwandote4758 4 года назад +3

    Powerful song. Good cordination as one team. Ningekuwa Tz ningejiunga nanyi. Aim higher 🙏

  • @wilsonne6
    @wilsonne6 4 года назад +4

    Kweli hakuna wa kupinga alichosema Mungu

  • @emmathe0160
    @emmathe0160 4 года назад +1

    Watumishi mbarikiwe bofya hapa pembeni kuona nyimbo zenye ujumbe kutoka kwetu

  • @marionmwanza1391
    @marionmwanza1391 Год назад +1

    Wow, I can't stop listening to this song. Much love from Kenya🇰🇪

  • @barakabonny9415
    @barakabonny9415 4 года назад +1

    Safiiiii mpo vzr mnanibariki

  • @esthermutua1287
    @esthermutua1287 4 года назад +4

    Amen love this choir since I was young.be.blessed Aic changombe ...am from Kenya.

    • @puritymusyoki289
      @puritymusyoki289 4 года назад

      Indeed no one like you God.What a powerful message God bless you guys.Lot's of love from kenya

    • @esthermutua1287
      @esthermutua1287 4 года назад

      Be blessed too

    • @esthermutua1287
      @esthermutua1287 4 года назад

      @@puritymusyoki289 thanks my dear

  • @salumuandrew6775
    @salumuandrew6775 3 года назад +2

    I really blessed by this song

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo2516 4 года назад +5

    I am really blessed by Aic Changombe choir. glory to God.

  • @ThatAfricanDude1
    @ThatAfricanDude1 4 года назад

    Good prissier music. Mbarikiwe Siku zote watu wa Mungu.

  • @mosseskilongola6922
    @mosseskilongola6922 3 года назад

    Hongereni sana watumishi wa Mungu mko vizuri. Mbarikiwe

  • @johncavishe353
    @johncavishe353 4 года назад +1

    Nawapenda sana hii kwaya sjui hata ntawaonaga wapi

  • @eunicekithome1205
    @eunicekithome1205 3 года назад +1

    Amen

  • @warrenhenrick5565
    @warrenhenrick5565 4 года назад +3

    Number one choir in Tanzania never seen before 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @wycliffewekesa5630
    @wycliffewekesa5630 4 года назад

    Hakuna Hakika wa kupinga, akisema ndiyo ni ndiyo, LA ni LA. Huyo ndiyo Mungu. Barikiweni wana cvc choir.

  • @stevendolo6230
    @stevendolo6230 3 года назад

    Congrats Good song

  • @AicKambarageChoir
    @AicKambarageChoir 4 года назад +1

    Kazi nzuri. Mbarikiwe sana watumishi

  • @suzanmathias797
    @suzanmathias797 3 года назад +3

    my favourite choir!be blessed

    • @eliasadrian5026
      @eliasadrian5026 3 года назад +1

      Amen naamin bwana ataniinua kwa wakat wake

  • @joramwilson8400
    @joramwilson8400 4 года назад +1

    MBarikiwe na Yesu kristo ,Huduma yenu ni njema sana .Glory be to God

  • @josserebornking4649
    @josserebornking4649 3 года назад +1

    We learn alot from you guys, I remember the time you come to our church, we really learned from you

  • @samoragoodwin7309
    @samoragoodwin7309 4 года назад

    Mungu awabariki kwa ujumbe unaofaa kwa wakati hakuna tena wakupinga na ndo mungu tunayemuabudu

  • @munanie
    @munanie 4 года назад

    Ameni...kwa kweli Mungu Ni mwaminifu akibariki hakuna was kulaani

  • @emmymringo6621
    @emmymringo6621 4 года назад

    Mungu akisema ndiyo hakuna wa kupinga.Mbarikiwa.

  • @manthimusyoka150
    @manthimusyoka150 4 года назад +2

    Very inspirational song!!God bless you.

  • @davidkisalimwala9458
    @davidkisalimwala9458 4 года назад +1

    ooooooooh Jesus i cant have enough of this song , HAKUNA WA KUPINGA

  • @happymushi8197
    @happymushi8197 4 года назад

    Hii kwaya ni kiboko! Nafikir inaongoza Tanzania Mungu awainue zaid

  • @chrisgerry6644
    @chrisgerry6644 4 года назад +1

    Nawapenda buree....Mungu azidi kuwainuaa

  • @faykewell9444
    @faykewell9444 4 года назад +1

    Amen...May God continue to bless you. I love this choir

  • @livinohaule8442
    @livinohaule8442 Год назад

    Rege murua maridhawa kabisa. Nimeipenda

  • @z.shondezshonde5663
    @z.shondezshonde5663 4 года назад +2

    Hakika hakuna wa kulaani

  • @neemaarajick6402
    @neemaarajick6402 3 года назад +1

    Nice song be blessed

  • @richardansah156
    @richardansah156 2 года назад

    I see my crush in the video clip

  • @user-sk7gw8zz9c
    @user-sk7gw8zz9c 9 месяцев назад +1

    Mungu adhidi kuwainua

  • @ntahondinathan8628
    @ntahondinathan8628 3 года назад +1

    Thank you singers your song touches deeply my heart. May God bless you in all.

  • @user-hq5jp8hi2x
    @user-hq5jp8hi2x Год назад

    Asanten sana jaman

  • @angelinesyoweu2409
    @angelinesyoweu2409 2 года назад

    Nataka aseme ndiyo leo maishani mwangu,,, ndiyo yake hakika inatosha

  • @happynessmathias4085
    @happynessmathias4085 4 года назад

    Safi sana Diana nmekuelewa hyo solo ulivyoiimbisha,

  • @isacksamwel9488
    @isacksamwel9488 2 года назад

    Itoshe tu kusema nimebarikiwa na wimbo huu.

  • @lucymwaluma2622
    @lucymwaluma2622 3 года назад +4

    My All time soloist,my all time choir... Much love from 🇰🇪. Hakika akisema ndio hakuna wa kupinga

  • @saraleonard2975
    @saraleonard2975 4 года назад

    Safi sana kaka Steven Deffa kaka wa simba SC naburudika sana na nyimbo zenu

  • @tumpenaboth799
    @tumpenaboth799 4 года назад

    Nabarikiwa napenda masolo wako vizur japo solo wa pazia la hekalu yule bonge jamani sijamwona

    • @danierjohn1375
      @danierjohn1375 4 года назад

      Yupo mbna angalia nyimbo zote utamuona anaitwa lydia

  • @catherinemutie3476
    @catherinemutie3476 3 года назад +2

    Hallelujah, great song
    Blessings