Chang'ombe Choir CVC-MANENO SABA YA YESU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Chang'ombe Choir Official

Комментарии •

  • @EugeneMushi
    @EugeneMushi 6 месяцев назад +5

    2024 niko hapa Nikiwaona CVC kweny Ubora wa Hali ya Juu kabisaaa🔥🔥🔥

  • @timothykosgei1980
    @timothykosgei1980 8 месяцев назад +3

    Thanks for keeping the banner of Christ high for many years now

  • @rabiamenshoo1988
    @rabiamenshoo1988 5 лет назад +22

    Mko vizuri sana CVC,namshukuru Mungu kwa kunikutanisha na 9 nyie June 2019,nilibarikiwa sana,nawakubali sana,mnaimba kwa kumaanisha,yaani hamjawahi nilaza njaa kabisa.Huwa nikila nyimbo zenu huwa nashiba kabisaaaaaa.Mungu awabariki sana,akina dada Diana,Bahati,Lydia,Mary na wengine woteeeeeeeeeeeeeee

    • @annempesha2971
      @annempesha2971 4 года назад

      Nawapenda bure mola awajalie kabisa,mnatia nguvu na moyo pia mungu awaongeze masiku

    • @isackmakundi195
      @isackmakundi195 3 года назад

      Hawa watu ni hatari sn kwa kuimba hakika wamebarikiwa sn

    • @MarryPeter-uw9tn
      @MarryPeter-uw9tn 7 месяцев назад

      Yesu watunze hawa wanakwaya jamani

    • @MarryPeter-uw9tn
      @MarryPeter-uw9tn 7 месяцев назад

      Moyo wangu umefarijika sana jamani

    • @MarryPeter-uw9tn
      @MarryPeter-uw9tn 7 месяцев назад

  • @andymukima6292
    @andymukima6292 4 года назад +12

    The song, Maneno Saba ya Yesu Msalabani, is purely a masterpiece. There is a very special thing about Tanzanian Choirs, especially those from the Protestant established churches. They sing pure gospel. Pure scriptures. Simple and clear. Period. Pray for our Kenyan choirs. They dont sing from the Holy Bible, oftenly. They obsess about the clothes they wear, hair styles, beautiful faces and all. It is largely cosmetic gospel. The audience is not God, unfortunately. That's why after so many years of trying, not a single choir can measure up to a Tanzanian village choir. Tuombeeni kwa dhati, ndugu zetu, tuweze kujitoa manga katika huduma ndio tuweze kuongozwa na Mwenyezi Mungu, na kuwezeshwa kuimba.

  • @KeffahMucioke
    @KeffahMucioke 24 дня назад +1

    Barikiweni sana.. strong msg

  • @MarryPeter-uw9tn
    @MarryPeter-uw9tn 7 месяцев назад +2

    Karibu arusha jamani mimi ndugu yenu mary niko arusha ngaramtoni karibuni sana

  • @naomisimei5217
    @naomisimei5217 5 лет назад +18

    Niseme nini mimi ila Mungu mwenye Enzi hawabarika Sana Chang'ombe 😭😭😭 nahisi nipo kwa Bwana Tayari 🙏

  • @RahmaIbrahm-jz3hp
    @RahmaIbrahm-jz3hp 5 месяцев назад

    Nawapenda bure ndugu zangu Mungu hawabariki sana🎤🎤🎻🎸

  • @Ezekielgeorge-zp5pl
    @Ezekielgeorge-zp5pl 4 месяца назад

    MUNGU anawatu wampendae kabisa kwanamna hii balikiwa❤

  • @patricemniko
    @patricemniko 6 месяцев назад +1

    Wimbo unanibariki sana hasa nikikumbuka mateso ya Bwana wetu Yesu,mbarikiwe sana CVC.

  • @FikiriPascal-z6z
    @FikiriPascal-z6z 7 месяцев назад +1

    Ninawapenda Sana kwa ujumbe mzuri waneno la mungu🙏🙏🙏

  • @gracelyimojoseph7236
    @gracelyimojoseph7236 3 года назад +1

    nabarikiwa San na kwaya aic changombe mungu awabariki sanaa

  • @alisilemwankejela228
    @alisilemwankejela228 6 месяцев назад +1

    Nimebarikiwa sana ,hongereni waimbaji Mungu awabariki sana

  • @godfreyochogo9086
    @godfreyochogo9086 6 месяцев назад +1

    Wimbo Mzuri sana Mungu awabariki

  • @andymukima6292
    @andymukima6292 3 года назад +1

    Maneno Saba Msalabani, ni mahubiri kamili. Mungu ni mwema sana, Kuala hawa waimbaji wa AIC Changombe, uwezo wa kutunga nyimbo safi sana. Mungu ni mwaminifu.

  • @bukombeshy3644
    @bukombeshy3644 4 года назад +4

    What a song😘😘 nimeusikia upendo radio, sauti tu nikajua ni CVC, Mungu awabariki sana kwa utumishi huu

  • @allanlwambo9066
    @allanlwambo9066 2 года назад

    Mungu awabariki na azidi kuwainua viwango na viwango

  • @maryegehiza6614
    @maryegehiza6614 3 месяца назад

    My best Song Ee Mungu mbarikiwe sana

  • @magrethcostantine9223
    @magrethcostantine9223 Год назад

    Big up chang'ombe nawapenda sana

  • @msyanituntufye3441
    @msyanituntufye3441 3 года назад +1

    Hakika haya ni mahubiri kabisa tangia nimeanza kuwasikia mpaka leo ni miaka zaidi ya 14 huwa nabarikiwa sana Mungu aibariki kazi yenu mzidi kutuhubiria nawapenda sana.

  • @annawilliam347
    @annawilliam347 3 года назад +1

    Daaah yaani sio mara mia hata, mara mia mbili, au mara mia tatu nitauangalia na kuusikiliza

  • @jeniphaluchemba2462
    @jeniphaluchemba2462 5 лет назад +12

    yani natamani muda wote niusikilize mbarikiwe sana

  • @elizabethgwimile9020
    @elizabethgwimile9020 2 года назад +1

    Nyimbo nzuri sana.

  • @richardnyavanga1058
    @richardnyavanga1058 3 года назад +1

    Baba awabarki kwa uimbaji

  • @HappyClogShoes-ix8zu
    @HappyClogShoes-ix8zu 6 месяцев назад +1

    Mungu akubariki sana Kwa ujumbe wa ijuma kuu,

  • @MauaGabriel
    @MauaGabriel 5 месяцев назад

    Amen amen nabarikiwa sana napockiliza nyimbo zenu cvc chang'ombe hakika jina la bwana lihimidiwe milele

  • @ErickKolesa
    @ErickKolesa 9 месяцев назад

    Jamani Mwenyezi Mungu ka wabariki saaana munakuwa kwaya ambayo ime nibariki Sana mara kwa Mara. Baraka ziwe nanyi katika huduma hii ya utangazaji wa habari njema. Ni mushabiki wenu Erick toka DRC BUKAVU

  • @reubenmasseri6763
    @reubenmasseri6763 4 года назад +1

    Akiii mbarikiwe sanaa

  • @helenajaphet4767
    @helenajaphet4767 3 года назад +1

    Nyimbo nzuri kwa kweli mungu awatangulie katika uimbaji wenu

  • @jacquelinahemmanuel7903
    @jacquelinahemmanuel7903 5 месяцев назад

    Huu wimbo huwa unanibariki Sana ,,,, kwakweli mnapepo yenu kwaya nzuri Mungu awazidishie ❤❤❤❤

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +1

    Barikiweni sana. Uvuvio huu udumu milele

  • @MarryPeter-uw9tn
    @MarryPeter-uw9tn 7 месяцев назад +1

    Jamani hil dhehebu gani nyimbo zao nzuri sana sana jamani

  • @FikiriPascal-z6z
    @FikiriPascal-z6z 7 месяцев назад +2

    Mbarikiwe San wanna chango'mbe

  • @mteulemaxie8432
    @mteulemaxie8432 5 лет назад +21

    Always producing and ministering inspiring songs to this generation. May God keep you to preach and spread the gospel through your songs... Much love from +254🇰🇪

  • @anna.munguakutienguvudadau4525
    @anna.munguakutienguvudadau4525 4 года назад

    Mungu awabariki Sana muendelee kuichapa injili

  • @shadrackboaz2148
    @shadrackboaz2148 Год назад

    Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu CVC. Nakuona Hosea, Nakuona Meshack, Nakuona Mama ITEMO, na wengine. Ninabarikiwa sana na wimbo huu. Baraka za Bwana zimfikie Mtunzi, waimbaji na Kanisa kwa ujumla.

  • @deokaswende3868
    @deokaswende3868 3 года назад +1

    Hongereni mko pow ila zameni ndani mioyo

  • @joycephilipo6456
    @joycephilipo6456 4 года назад +1

    Baba uwasamehe hawajui walitendalo

  • @rapahelkamwela6808
    @rapahelkamwela6808 5 лет назад +1

    NAWAPENDA SANA AIC...KARIBUNI SANA BAGAMOYO.........WIMBO NI MZURI SANA KWA MAANA YA KWAMBA UNAWEZA KABISA KUKUFANYA UKIRI KWA KINYWA YA KUWA YESU NI BWANA...MUNGU AWAINUE SANA WAPENDWA WETU.....KEEP IT UP

  • @assinhandayiragije4844
    @assinhandayiragije4844 Год назад +1

    Mungu awa bariki naishi DRC

  • @josephambasu6119
    @josephambasu6119 6 месяцев назад +1

    Shalom shalom 🙏

  • @elizabethstephano427
    @elizabethstephano427 5 лет назад +7

    mmenikonga moyo sana kwakweli ni mnaimba ila tabiazenu ziendane na uwimbaji mungu anaangalia matendoo

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 Год назад

    Hallelujah hallelujah Hallelujah hallelujah hallelujah Hosanna na muana wa DAWUDI Yesu nifundishe kutenda Mwema ❤❤❤

  • @elipidiusmwijage993
    @elipidiusmwijage993 4 года назад +1

    Wimbo mzuri sana unamsogeza mtu karibu Mungu wetu. Barikiwa sana. Pia naomba kujua namna ya kuupatawimbo huu.

  • @wemaeliaugustino-fk2jb
    @wemaeliaugustino-fk2jb Год назад

    Huu wimbo lazima kila siku niusikilize una ujumbe mzuri

  • @albertkavano9222
    @albertkavano9222 2 года назад

    Wimbo Bora Sana mbarikiwe

  • @dannoh1
    @dannoh1 7 месяцев назад +1

    Maneno saba ya Msalabani ,Baba uwasamehe hawajui walitendalo 🙏🙏🙏sisi tu wanyonge na wadhaifu wa Moyo ❤ooh Lord have mercy on us 🙏🙏26/02/2024.

  • @ruthomboto3855
    @ruthomboto3855 4 года назад +6

    This song is so good that I keep on playing and it's has teachings am blessed. my all time choir mob love from 254

  • @EdnaMaziwa
    @EdnaMaziwa 5 месяцев назад

    Nyimbo bora ya nyumbani Kwangu kwa Muda wote
    Mbarikiwe sana.

  • @nicemollel8657
    @nicemollel8657 4 года назад +1

    Napenda San

  • @imaninziku5148
    @imaninziku5148 3 года назад +2

    Amen... Ee Mungu tuhurumie

  • @jenipherludovick5906
    @jenipherludovick5906 6 месяцев назад +1

    Leo ndio ñimeusikia huu wimbo ila umefanyika baraka sana kwangu, mmbarikiwe saña 29/3/2024

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 Год назад

    Mungu ni Fundiche Ku tends wema Na Ku Hurumia Na Uvumilifu DUNIA Inanichocha na Choka Mimi Mwami Yesu Ni pe Nguvu Bila Vile Utanipoteza Chetani Ana Winda Moyo Wangu Yesu Nipiganie Vita mi na Chindwa Christu Ni Wezeche Ni Simame IMARA Acha Mungu wa Mbiguni a mibarikie Ba Pendwa Iyi Wimbo Iko Ina Ponya Bidonda y’a Roho yangu Pôle pôle ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂❤

  • @prof_Martin
    @prof_Martin 5 лет назад +8

    Mbarikiwe sanaaa sanaaa sanaaa
    🎶Nataman mngeendelea mpaka maneno 80😊🤝

    • @kigutucatyedo5285
      @kigutucatyedo5285 5 лет назад

      Hahahhaha nimecheka ujue...

    • @modestaabeli3389
      @modestaabeli3389 5 лет назад

      Yaan wimbo unafaliji sana kweli tena wakati huu wa mateso yke yesu mbalikiwe sana sana sana

    • @stellagodfrey2229
      @stellagodfrey2229 4 года назад

      😂😂😂😂 unautani wa ngumi

  • @beckiechepsiror8028
    @beckiechepsiror8028 5 лет назад +3

    Wimbo nzuri wa Pasaka, mbarikiwe sana.
    +254 tunazipenda nyimbo zenu

  • @rizikinabintu3928
    @rizikinabintu3928 5 месяцев назад

    Naonda sana nyimbo zenu mme imba kama wa romani catholic kabisa mbarikiwe

  • @thadeomihayo3795
    @thadeomihayo3795 5 лет назад +2

    Hamjawahi kukosea aiseee kwa nyimbo tu kuimba mpo vizuri AIC Chang' ombe.
    Mungu awajalie umoja mlionao udumu siku zote

    • @paulinalokete4617
      @paulinalokete4617 4 года назад +1

      Dhamaculous!!!!!!!CVC keep moving and GOD will bless you 😇🙏❣️ much love from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @maryegehiza6614
    @maryegehiza6614 3 месяца назад

    Iam always proud of this choir Mungu hawabariki sana

  • @barnabapeter5021
    @barnabapeter5021 4 года назад +1

    Mgekuwa mnaimba hivi siku zote ingekuwa safi sana

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 4 месяца назад

    Barikiwa sana

  • @pendojeremia9687
    @pendojeremia9687 4 года назад +1

    Kazi nzuri Sana 🙏🙏🙏🙏

  • @charlesmassawe5413
    @charlesmassawe5413 5 лет назад +8

    Nimebarikiwa / huwa nabarikiwa sana na nyimbo zenu
    MUNGU azid kuzibark karama zenu 👏👏

  • @josephatmbithi2255
    @josephatmbithi2255 3 года назад +1

    as passover is around..God forgive me.usiniache peke yangu

  •  6 месяцев назад +1

    Wimbo umenibariki sana

  • @peternyakunga9796
    @peternyakunga9796 4 года назад +1

    Mbarikiwe xana watumishi wa bwana,Mungu azidi kuwatia nguvu msikate tamaa

  • @Alex-qy8yk
    @Alex-qy8yk 2 года назад

    Mungu awe nasi milele.🙏

  • @geraldlaurent4673
    @geraldlaurent4673 5 лет назад +3

    Mko juu sana Mungu awainue zaidi

  • @joshwakaunda5052
    @joshwakaunda5052 5 лет назад +7

    Am always proud of this choir, am praying that one day, I will get all their CDs copy songs;Efeso, pumzi, usiku wa manane, pazia, iweni Safi, gusa, nyenyekeeni, nk, will be blessed.

    • @favouropande1065
      @favouropande1065 5 лет назад +1

      Where are you based? If in Kenya kindly in box me l show where to get call their CDs

  • @gracelavu9849
    @gracelavu9849 5 лет назад +8

    Thx Chang'ombe for good work ur doing very interesting ad nice song it has touched my heart ad it will always keep us closer to God

  • @anthonymwandu2615
    @anthonymwandu2615 5 лет назад +6

    MUNGU AWABARIKI SANA MAANA NABARIKIWA SANA NA NYIMBO ZENU NA MUONA HAPO DAUD ZEPHANIA KWA MBALI NAWAPENDA SANA CVC

  • @kimbulumabina8150
    @kimbulumabina8150 4 года назад +1

    Mko vizuri watumishi, mbarikiwe sana kwa maono ya wimbo huu

  • @ruthjoel695
    @ruthjoel695 4 года назад +1

    Wow.creativity on another level.
    God bless you.
    Mnisambazie huu upako

  • @michaeltz3446
    @michaeltz3446 5 лет назад +2

    Siku zote ninapotazama nyimbo zenu tangu nikiwa kijana mdogo sana, mpaka leo namuomba Mungu sana katika Kristo Yesu atunze mbegu aliyoipanda ndani ya kundi lenu CVC. Tunaotazama na kusikiliza huwa Mungu anatubariki na kutuhudumia kupitia nyimbo zenu lakini ni hakika mbegu ya huduma Mungu aliyopanda ndani yenu si ndogo. Ni maombi yangu Mungu atunze mbegu hiyo kizazi hata kizazi. Nawapenda CVC your my all time number one best gospel choir in Tanzania.

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 4 месяца назад

    Naipenda Cana

  • @Wapower_twofivefour
    @Wapower_twofivefour 5 лет назад +8

    My all time choir I love this choir with all my heart May God bless you guys with more songs to bless us much love from🇰🇪

  • @ShijaKishabi-dj6nf
    @ShijaKishabi-dj6nf Год назад

    Mung ni mwema mpewe maua yenu

  • @glorygodsonlyimo145
    @glorygodsonlyimo145 4 года назад

    Mbarikiwe sana na mungu aendelee kuwatunza nawapenda sana.

  • @safinanamgales5580
    @safinanamgales5580 3 года назад +1

    Wimbo na mziki vimeenda shule.this is the best choir

  • @floranyefwe3464
    @floranyefwe3464 5 лет назад +8

    I really appreciate this choir you're blessed for sure. I see God when I listen this song. Nawapendaa mnoo

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 4 года назад +2

    Safi Sana ,,acheni kuruka km watu wa mikoa yetu

  • @jacquelinekitheka8746
    @jacquelinekitheka8746 5 лет назад +2

    Huwa napata kubarikiwa na nyimbo zenu jamani. Hongereni wanaCvc

  • @ronardbukuku2984
    @ronardbukuku2984 4 года назад

    Ujumbe umetosheleza Mungu awabariki sana.

  • @sheddy2417
    @sheddy2417 5 лет назад +1

    Wana CVC mtabaki kuwa the best. Mungu amewaneemeshea baraka na nehema kochokocho.. Hongereni sana kwa wimbo huu unaogusa na kufundisha zaidi kuhusu Yesu msalabani. Deffa na wacheza vyombo mko poa. Mungu azidi kuwatumia kwa utukufu wake. Amina

    • @dorcasjoseph5149
      @dorcasjoseph5149 5 лет назад

      Mubarikiwe saan watumish Mungu aendelee kuwatumia

  • @favouropande1065
    @favouropande1065 5 лет назад +15

    Baas muki tukipeleka hivi tutakuwa Sawa. Keep posting your songs on you tube .. you are a blessing and will remain a blessing. Rose Gewe l.see you thank you for joining us in this song.. Instrumentalists l.see you...upako waa ajabu Diana James,Mr and Mrs Meshack Bahati, the Kashimbas barikiwa sana.Endeleni Kwa neema hii

    • @sylvianzilani9966
      @sylvianzilani9966 5 лет назад

      Yaani wakiweza wanaweka kila mwezi wimbo mmoja. Their songs have deep meanings

    • @hensongunman1680
      @hensongunman1680 5 лет назад

      Jamani, da Bahat umemyoa kwanini?

    • @go500tv8
      @go500tv8 5 лет назад

      Ety huyo anayeitw rose gewe origin yk wap maan majina ya kwetu

  • @nancykiminza3034
    @nancykiminza3034 5 лет назад +7

    You did it "pazia LA hekalu " Yove done it again Maneno 7...keep up guys en more blessings

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 5 лет назад +1

    nyie ni wabunifu sana...Mungu awabariki kwa umoja wenu.

  • @johnjulius3084
    @johnjulius3084 5 лет назад

    Mingu awabaliki xana,pia hongera san mwalimu wa kwaya hii, unakpaji kizuri na chakiwango cha juu sana.mungu awabariki

  • @jumabukwimba3614
    @jumabukwimba3614 5 лет назад +3

    Nawakubali sana wana CVC choir chang'ombe

  • @janethjames3726
    @janethjames3726 4 года назад +1

    Mungu awabarki aisee hii ni njema san

  • @paulinedaniels5125
    @paulinedaniels5125 5 лет назад +1

    Nimewamiss sana... Mbarikiwe zaidi

  • @neemakasanda7781
    @neemakasanda7781 4 года назад

    Barikiwa Sana

  • @marthamsafiri5352
    @marthamsafiri5352 5 лет назад +3

    Wimbo mzur sn mbarikiwe waimbaji

  • @ellichrissjohn5304
    @ellichrissjohn5304 5 лет назад +1

    Mbarikiwe watumishi kwa kazi nzuri ya wimbo mzuri wa mahubiri sahihi. Nabarikiwa na kazi zenu...Praise the Lord.

  • @herirehema3554
    @herirehema3554 4 года назад +2

    Mbarikiwe na Bwana Yesu Kristo!
    Pia ninaposikiliza ninabarikiwa na sauti adimu sana siku za leo., sauti ya besi iliyotulia wow!

  • @eddyndimbwa7695
    @eddyndimbwa7695 4 года назад

    Hii kwaya kiukweli hua inanibariki xana

  • @daudichande9756
    @daudichande9756 5 лет назад +3

    Wimbo mzuri umenikuna
    With speciel message for Easter!
    God bless CVC!

  • @innocentpatrick3090
    @innocentpatrick3090 4 года назад

    Ujumbe Mzito sana na wabaraka mno kwa maisha ya mkristo, Mungu aibariki kazi hii

  • @MarryPeter-uw9tn
    @MarryPeter-uw9tn 7 месяцев назад +2

    Mwaka huu ndo nimeusikia huu wimbo masikioni pangu jamani Mungu awabariki sana huyo baba mwenye bez amenibarik Yesu mwinue na mme wangu awe anamtukuza Mungu kama hawa wababa jamani kuna mwenye bez inasikika mpaka mbinguni.

  • @emmanueldpaul9501
    @emmanueldpaul9501 5 лет назад +3

    Mungu awainue kwa viwango vya rohoni zaidi

    • @femurechvideos
      @femurechvideos 5 лет назад

      Mwenyezi awafanye upya kila siku kwa maana kazi mnayoitenda haina kifani.
      Kina defa
      Zakayo nawatambua sana

  • @faithmbula7148
    @faithmbula7148 5 лет назад +16

    Wow, what a song. So blessing with life teaching on point.