AIC Chang'ombe Choir (CVC) - ELOHIM (Official Live Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #ELOHIM, wimbo wa kwanza katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
    Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
    Tunaamini wimbo huu utaenda kuwa muongozo wako katika kumshukuru Mungu kwa yale mambo makuu aliyokutendea katika safari ya maisha yako.
    LYRICS
    Asante ELOHIM
    Wewe Ni MUNGU Unaetenda
    Asante ELOHIM
    Wewe Ni MUNGU
    Ni Mungu ( Unaetenda)
    Tumetembea na wewe
    Toka mwanzo uko pamoja nasi
    Hapa Tulipo Ni kwanguvu Zako (Asante ELOHIM)
    Ulitangulia Mbele
    Bila wewe Tusingeweza
    Hapa Tulipo Ni kwanguvu Zako
    ( Asante ELOHIM)
    Mabaya Yaliinuka
    Lakini hayakutupata
    Ulitutetea, Ulitushindia
    ( Asante ELOHIM)
    Ndio Maana Tunakusifu
    Umetenda Makuu Kwetu
    Umetutetea,Umetushindia
    (Asante ELOHIM)
    Tunashukuru Ee Baba (Asante ELOHIM )
    Mkono Wako Umetubeba(Asante ELOHIM)
    Special Thanks
    AICT CHANG'OMBE CHURCH
    Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
    CREDITS.
    Audio production - CVC Music Department
    Video production - CVC Media
    Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
    Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
    Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro

Комментарии • 1,5 тыс.

  • @rosemarypeter4416
    @rosemarypeter4416 9 месяцев назад +289

    Wenye tumetoka tiktok tukaja kuwatch huku tupite na like

  • @ednalameck9783
    @ednalameck9783 9 месяцев назад +342

    Anaengalia zaid ya mara moja mkono juu

  • @gladsilaa6078
    @gladsilaa6078 9 месяцев назад +32

    Waoooo tulio toka TikTok kuja kuutafuta tujuane❤🎉

  • @lugembe1057
    @lugembe1057 9 месяцев назад +28

    It is a great song. Mwanzoni wimbo unaanza kama siyo mzuri hivi, lakini mwishoni hasa kwenye kiitikio unavuta na kuvuta hisia sana. Shortly mmenigusa sana

  • @MARTHAKAZEMBE-q4o
    @MARTHAKAZEMBE-q4o 2 месяца назад +22

    Tulitoka tiktok. Kuutafuta huu wimbo tupo hapa lovely

    • @SammySam-ki1jj
      @SammySam-ki1jj Месяц назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂dah hii mitandao bana nkajua nipo mwenyewe nmekuja mbio

  • @jacksonayubu7309
    @jacksonayubu7309 9 месяцев назад +11

    Hakika mnaweza kumtoa mtu kwenye zambi kupitia nyimbo zenu mbalikiwe sana❤

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад

      Amen. Jina la BWANA libarikiwe na sifa zimrudie yeye Mungu wetu.

  • @chenge_ernest
    @chenge_ernest 9 месяцев назад +7

    Mimi na familia yangu tunabarikiwa sana na nyimbo zetu. Mzidi kubarikiwa zaidi na zaidi.

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад +1

      Amen mtumishi wa BWANA. Sifa, heshima na utukufu kwa BWANA.

  • @happinessngusa5073
    @happinessngusa5073 9 месяцев назад +7

    Ogopa ni hatari MUNGU wangu awabariki sanaaa hii kitu ya moto sanaaaa ❤ kwenye mkesha lazma niipige hii❤

  • @faithngangi6865
    @faithngangi6865 9 месяцев назад +7

    Wimbo mzuri Sana wasisimua moyo wangu🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu1 9 месяцев назад +7

    Wimbo mzito, ujumbe mzito, daraja kwa mhitaji. Hongera nyingi kwenu @Aic_Chang'ombe

  • @JulianaGewe-j1q
    @JulianaGewe-j1q 9 месяцев назад +8

    Hakika Wewe Baba Ni Elohim, Umetushika mkono❤

  • @PendoMbise-rl3tf
    @PendoMbise-rl3tf 9 месяцев назад +7

    Huu wimbo unaweza kukutoa mahali kukuweka mahal pengine

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад

      Amen. Hakika, tuendelee kuuombea nguvu ya ki Mungu ili watu wake wavushwe walipo kwa utukufu wake tu.

  • @NusuraSilvester
    @NusuraSilvester 9 месяцев назад +5

    Jaman waambieni club hakuna issue njoon kwa yesu Kuna Raha km hizi❤❤

  • @davidfrank1644
    @davidfrank1644 9 месяцев назад +11

    Imagine in the same church there is #Neema gospel and CVC 🔥🔥🔥🔥

  • @MosesNkinda
    @MosesNkinda 9 месяцев назад +6

    Winbo umejaa upako wa Mungu na kibali, mbarikiwe sana watumishi wa Mungu

  • @stephenmumo194
    @stephenmumo194 9 месяцев назад +9

    Gusa raised me when I was 7 years old.....I'm 22 nasema asante kwa Mwenyezi mbarikiwe zaidi walezi wangu

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад +1

      Mungu aendelee kukuinua

    • @stephenmumo194
      @stephenmumo194 9 месяцев назад

      @@rachelsenni8919 amina Rachel. Amejibu maombi na huu wimbo wa walezi wangu naomba uwe wako🙏

  • @meshackwilson1909
    @meshackwilson1909 9 месяцев назад +6

    Wimbo unaimbika kila wakati unasinzia zako ndotoni upo nao tu. ELOHIM

  • @joellumala3206
    @joellumala3206 9 месяцев назад +11

    Hata usiku wa Manane tupo tu 01:03am Asante Elohim!

  • @samsonbaptistdrummer607
    @samsonbaptistdrummer607 9 месяцев назад +5

    Nasema hivi gonga like na subscribe kabisaa kama umeipenda ELOHIM❤❤❤❤❤

  • @cosmaspeter9273
    @cosmaspeter9273 9 месяцев назад +7

    Hakika ni Elohim CVC Mungu awabariki huduma izidi kusomga mbele.. hii imeenda

  • @Protas_joseph1
    @Protas_joseph1 9 месяцев назад +7

    Ahsante Elohim, Mungu utusaidiae

  • @neemakitula3004
    @neemakitula3004 9 месяцев назад +9

    Asante sana huu wimbo kwa kweli unaponya majeraha yote asante ELOHIM 🙏

  • @ballackntaliho2597
    @ballackntaliho2597 9 месяцев назад +17

    Du! Aise aliyepewa maono ya kutunga huu wimbo Mungu amubarikia sana, adi majilani wananishangaa et mtu gani wiki nzima unapiga wimbo mmoja, nabaki natabasamu tu ukuu wa Mungu kwa yale ambayo anatuepusha nayo.

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад +2

      Amina. Jina la BWANA libarikiwe. Barikiwa mtumishi.

    • @AICTChangombeChoir_
      @AICTChangombeChoir_  9 месяцев назад +2

      Ubarikiwe mtumishi

    • @nestoryntogwa805
      @nestoryntogwa805 9 месяцев назад +1

      Endelea kumtukuza Elohim kwa anayoyatenda kwako.

    • @LeahJoshuwa
      @LeahJoshuwa 9 месяцев назад

      Kwakweli majirani waache tu washangae hawajui vyenye MUNGU anatupiganiaga

  • @IssacWambua
    @IssacWambua 9 месяцев назад +8

    Aic Changombe vijana choir mnanibari tangu Guza,pazia ya hekalu hadi Elohim from Machakos county Kenya

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад +1

      Amen. Be blessed for following us, we believe you're praying for us

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад

      Glory be to God. Before Gusa kuna Vunja.

  • @SaraMasanyiwa
    @SaraMasanyiwa 9 месяцев назад +6

    ❤❤❤❤❤❤waoooooooh hii ndo maan ya kwaya kubwaaa 🎉🎉🎉hakiika mmeonesha ukubwa wenu Mungu awabarik sana .......kazi nzuri sana aiseee nakosa maneno ya kusema ....ila Mungu awabariki sana

  • @andersonmsumanje143
    @andersonmsumanje143 9 месяцев назад +6

    Asante ELOHIM, Wimbo wa kufunga mwaka na kufungua mwaka

  • @eunicembatia6804
    @eunicembatia6804 8 месяцев назад +8

    At the moment I have a fracture on my right leg but I can't stop dancing to this beautiful song. I know ELOHIM is healing me in Jesus name. Oh God may you fight all my battles. AMEN

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 8 месяцев назад

      Amen. Jehova Rapha is healing you in Jesus's name

    • @elizabethyusuph9221
      @elizabethyusuph9221 8 месяцев назад +1

      Receive the healing in Jesus name 🙏

  • @jonathanmremi4345
    @jonathanmremi4345 8 месяцев назад +7

    Wimho wa Mwaka Hongereni sana such a sweet song

  • @fabricendayikorere8832
    @fabricendayikorere8832 9 месяцев назад +11

    Murakoze cane! Imana ibahezagire! Listening from Burundi!

  • @Protas_joseph1
    @Protas_joseph1 9 месяцев назад +7

    Kila mmoja wetu akiri kwa kinywa chake kwamba kama si Bwana tusingefika hapa, kisha Sifa na utukufu zimrudie Yeye.

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад +2

      Amen. Hakika kama si BWANA tusingekua hapa. Sifa, heshima na utukufu vimrudie BWANA.

    • @joellumala3206
      @joellumala3206 9 месяцев назад +1

      Hakika ni kwa mkono wa Bwana

  • @aicdaressalaamchoir
    @aicdaressalaamchoir 9 месяцев назад +8

    Congrats alot servants of Jesus Christ..#ELOHIM

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад +1

      Asanteni sana watumishi wenzetu shambani mwa BWANA

  • @lucymukhavi1405
    @lucymukhavi1405 9 месяцев назад +12

    My favourite choir CVC.I saw the short clip of this song as you were practicing it. Be blessed brethren. Always your biggest supporter . I'm blessed.Mabaya yaliinuka lakini hayakutupa,ulitutetea,ulitushindia Asante Elohim wewe ni Mungu unayetenda❤. 🇺🇸 🇺🇸

  • @MUSSAMMAPUNDA
    @MUSSAMMAPUNDA 9 месяцев назад +9

    mnavyoimba raha sana na mnanifanya niikumbuke ukombozi kkkt msasani .,nimebarikiwa na huduma yenu watumishi wa MUNGU ,MUNGU atukuzwe

  • @Protas_joseph1
    @Protas_joseph1 9 месяцев назад +7

    Elohim, Mkono wako umetubeba

  • @Protas_joseph1
    @Protas_joseph1 9 месяцев назад +8

    Hakika atuteteaye ni MUNGU tu, Mengi mabaya yanainuka kwetu lakini MUNGU anatushindia

  • @nestoryntogwa805
    @nestoryntogwa805 9 месяцев назад +6

    Wimbo wangu wa muda wote,namshukuru Mungu kila mara nahaya ndiyo maneno yangu

  • @joseymhina5025
    @joseymhina5025 9 месяцев назад +6

    Libarikiwe jina la Bwana Yesu. Aliyetunga huu wimbo, Md nawasalimiaa katika jina la Bwana Yesu, mmebarikiwa.

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад

      Amen. Sifa na utukufu kwa BWANA

    • @joseymhina5025
      @joseymhina5025 9 месяцев назад

      @@rachelsenni8919 kuna powefull message.

  • @yusuphdeogratius1036
    @yusuphdeogratius1036 9 месяцев назад +7

    Sifa na utukufu kwa Mungu

    • @unclesammykaniki1184
      @unclesammykaniki1184 9 месяцев назад +1

      Hayupo na hatakiwepo..Sifa Zote tunapmatia Yeye aliye mbele yetu..Asante Elohim

  • @dannymkogoti961
    @dannymkogoti961 9 месяцев назад +6

    Sijui kwanini natokwa na machozi😢 asante ELOHIM

  • @NuruMwatebela
    @NuruMwatebela 9 месяцев назад +5

    Waooh...wimbo mzuriii

  • @maryaloyce4913
    @maryaloyce4913 9 месяцев назад +5

    Elohim haichoshi kusikiliza jamani,wimbo mzuri sana.

  • @berhamyegela1787
    @berhamyegela1787 9 месяцев назад +5

    Utukufu KWA Bwana kazi nzur sanaaaa

  • @ruthmagulu4896
    @ruthmagulu4896 9 месяцев назад +6

    Kumekuchaaa na Elohim

  • @malucharles7964
    @malucharles7964 9 месяцев назад +15

    Production Niko safi sana nimependa stage arrangements nimependa digital stage plus lights set ups lan wange rotate light nyeupe kuwa main light ikirotare more ili kupunguza darkness kwa mbali,nyimbo nzuri mtunzi kafanya kweli.dressing safi,color za nguo safi ila nilitamani wide shots zingepungua then medium shots zingeongezwa,ningetamani medium shots za watoto hapo mbele kuimpress watoto wetu kupenda kuimba pia. otherwise 90% excellent

  • @jacksonkapongo6193
    @jacksonkapongo6193 9 месяцев назад +6

    Wimbo mzuri wa kumtukuza Mungu,kwa kutulinda kwa yote yaliyopita nyuma. Mungu atukuzwe.

  • @JulianaGewe-j1q
    @JulianaGewe-j1q 9 месяцев назад +5

    Tunaomba Uendelee Kutembea nasi Ee Bwana. Asante Elohimu

  • @joellumala3206
    @joellumala3206 9 месяцев назад +5

    Heri ya mwaka mpya ndugu zangu 🎉, uwe wenye Baraka tele kwa Jina La Yesu Kristo.,#Elohim😊

  • @ESTERHAMIS-is9kl
    @ESTERHAMIS-is9kl 9 месяцев назад +5

    Nikikunbuka january ilipo anza hata leo decenber Mungu ametusaidia Asante Elohim

  • @joshuamkali4598
    @joshuamkali4598 9 месяцев назад +5

    Kazi yenu ni njema.
    Mungu azidi kuwainua!

  • @johnmichaeljr5682
    @johnmichaeljr5682 9 месяцев назад +5

    Kazii nzuri Sanaa Ndugu zangu Miziki imeliaa mwalim wenu Elisher Apewe maua yake🎉🎉

  • @daynessmollel9962
    @daynessmollel9962 9 месяцев назад +6

    Nawapenda Mungu azidi kuwatumia💞💯🙏

  • @EliaIvan
    @EliaIvan 9 месяцев назад +6

    Asante ELOHIM Huu ni wimbo Bora wa kufungia Mwaka wimbo umeimbwa haushoshi kusiliza jamani miziki imepigwa aisee MUNGU aendelee kuwabariki sanaa yani nyie nawapenda hadi naumwa ❤❤🔥🔥

  • @amoslilande8855
    @amoslilande8855 9 месяцев назад +8

    The best song ever it can bring heaven down weee

  • @annaelias1250
    @annaelias1250 9 месяцев назад +4

    Hallelujah 👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥wimbo mzuri Sanaa, mbarikiwe watumishi wa mwokozi

  • @stephenodhis-s1v
    @stephenodhis-s1v 9 месяцев назад +7

    What a chorus 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @PeninaWilson-gd4rx
    @PeninaWilson-gd4rx 9 месяцев назад +2

    Mabaya yaliinuka lakini ulitutetea umekuwa nasi Mungu 2023 endelea kuwa nasi tena Bwana 2024🙏, mbarikiwe❤

  • @marysingili8892
    @marysingili8892 9 месяцев назад +5

    Hongereni kwa kazi njema, Mungu awabariki sana

  • @sonnozac4189
    @sonnozac4189 9 месяцев назад +6

    Best song..song of the year! Mungu awabariki na awatetee..

  • @SophiaErick-q7s
    @SophiaErick-q7s 9 месяцев назад +6

    Nawapenda sana.karibuni Singida mtupe Siri ya mafanikio yenu

  • @nancygidion6965
    @nancygidion6965 9 месяцев назад +4

    Nyimbo kali sana imenitoa TikTok fasta kuifata umu jamaa hawajawai kosea 🥰🥰🙋‍♀️💞

  • @BerthaLimbe
    @BerthaLimbe 9 месяцев назад +5

    Hakika Mungu ni mwema wakati wote hapa nilipo ni kwa nguvu zako❤❤

  • @code.africa
    @code.africa 9 месяцев назад +10

    Jamani tunaomba no ya Account tutume sadaka.

  • @josephwayesu338
    @josephwayesu338 9 месяцев назад +6

    Nimetazama mala kumi.nawapenda sana cvc toka niko kijana mdogo.gusa na nyimbo zingine

  • @unclesammykaniki1184
    @unclesammykaniki1184 9 месяцев назад +6

    #Mimi huu wimbo ndo chakula changu chai ya asubuhi,'#Chakula cha mchana,na #Usiku yani hupati njaaa kabisa maana ni #Mungu Ndo anayetenda kwakila Jambo Nilazima Umshukuru ELOHIM KWAKUSEMA ASANTE.

  • @nancybukhaya5067
    @nancybukhaya5067 7 месяцев назад +12

    The repeat on the chorus!!!if you know what God has done in your life,nishukurani tu

  • @vedamusa8033
    @vedamusa8033 9 месяцев назад +6

    AICT-vijana choir chang'ombe,tangu enzi za Gusa mpaka leo Mungu anawatumia kuhudumu na kufanya kazi yake kwa njia ya uimbaji mnaendelea kuwa choir kwangu mm kwa East Africa mnaongoza.Elohim amekuja vzr sana ila hatamfikia"Nafsi yangu imechoka sana."

  • @Solomonnyambu
    @Solomonnyambu 9 месяцев назад +4

    Aki wimbo unabariki Sana, hongereni na Mungu awabariki sana

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад

      Amen mtumishi, nanyi mbarikiwe kwa kutuombea. We value your support.

  • @ruthmagulu4896
    @ruthmagulu4896 9 месяцев назад +7

    My Team❤

  • @rodgersmbaga9236
    @rodgersmbaga9236 9 месяцев назад +5

    nimebarikiwa sana na huu wimbo,,,asanteni sana na Mungu awabariki

  • @barakasanga9436
    @barakasanga9436 9 месяцев назад +5

    Tangu enzi za gusa vunja na nyingine nyingi hampoi barikiweni sana

  • @marthathomas1478
    @marthathomas1478 9 месяцев назад +6

    Asee yaan tunaiangalia Mara mbili mbili mungu azidi kuwatumia sawasawa na mapenzi yake 🙏🏿🙌🔥🔥❤️

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 7 месяцев назад +8

    Tanzania inaenda kuwa taifa teule

  • @JoelinaPareso
    @JoelinaPareso 9 месяцев назад +4

    Nahisi kutokwa na machozi, kweli hapa nilipo ni kwa nguvu za mungu!!!! Ahsante ELOHIM

  • @rachelsenni8919
    @rachelsenni8919 9 месяцев назад +6

    Nikitazama nilikopita mwaka jana!!! Hakika ELOHIM anastahili kupwewa shukrani kwa wema wake kwetu.

  • @BerylAyuma
    @BerylAyuma 9 месяцев назад +7

    Imekuwa national anthem kwa masikio yangu🎉

    • @glorymyega
      @glorymyega 9 месяцев назад +1

      Hakika kama ilivyokuwa kwenye usiku wa manane

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад

      Amen. Glory be to God.

  • @sayunimrocky8445
    @sayunimrocky8445 6 месяцев назад +9

    Huu wimbo ni kama wameniimbia mimi na wanangu, yani kila nikisikiliza najikuta namwaga machozi kwa shukrani zangu kwa Mungu. Mkono wa Mungu umetubeba

  • @edwardmguye2483
    @edwardmguye2483 3 месяца назад +9

    Mwanzoni huwez kuelewa huu wimbo ila utamu wake unazidi kunoga zaidi pale unapo endelea kuusikiliza

  • @GraceNicolas-tr8sk
    @GraceNicolas-tr8sk 9 месяцев назад +5

    Maana kwanza ni wengi halafu pia Wana sare nzuri sana na nyingi sasa wanafanyaje dah

  • @AngelGwassa
    @AngelGwassa 9 месяцев назад +4

    Asante Elohim❤

  • @dianaringo2969
    @dianaringo2969 9 месяцев назад +5

    Kazi nzuri sana

  • @Abjmedia596
    @Abjmedia596 9 месяцев назад +4

    Wimbo mzuri nimeuangalia zaid ya mara 3🎉🎉🎉🎉😊

  • @PhilipoBukelebe
    @PhilipoBukelebe 9 месяцев назад +5

    Mungu ni mwema mno wimbo unabariki sana

  • @RebekaDindi-so6ev
    @RebekaDindi-so6ev 9 месяцев назад +5

    Asant elohim mungu awabariki san wapendwa

  • @ezekielmasaga258
    @ezekielmasaga258 9 месяцев назад +5

    Ni Elohim tu muda wote

  • @ezekielmasaga258
    @ezekielmasaga258 9 месяцев назад +6

    Asante ELOHIM

  • @SamsonJohn-hw1jq
    @SamsonJohn-hw1jq 9 месяцев назад +7

    Mabaya yaliinuka lkn hayakunipata. aiseeeee nyie watumishi neema ya Mungu isiwapungukie jamani

  • @JacklineIbrahim-tk5di
    @JacklineIbrahim-tk5di 3 месяца назад +10

    Kuna choir afu kuna chang'ombe na neema gospol😊😊😊😊😊

    • @VictoriaMafie
      @VictoriaMafie 2 месяца назад

      Mapacha hao❤️‍🔥🔥🔥🔥

  • @dorcastesha423
    @dorcastesha423 9 месяцев назад +5

    Mabaya yaliinuka lkn Mungu wa mbinguni alitutetea
    🙌🙌

  • @tirzajoshua9592
    @tirzajoshua9592 9 месяцев назад +5

    Mungu azidi kuwainua zaidi watumishi❤

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 9 месяцев назад +1

      Amen. Sifa zirudi kwa Mungu wetu

  • @gloriaphilip7573
    @gloriaphilip7573 2 месяца назад +16

    Tusiochoka kusikiza huu wimbo tujuaneee

  • @ruthmagulu4896
    @ruthmagulu4896 9 месяцев назад +5

    Tumetembea nawee toka mwanzo upo pamoja nasii hapa tulipoo ...........

  • @hellengladwilliam6770
    @hellengladwilliam6770 2 месяца назад +8

    AIC Chan'gombe kwaya zao ni balaa! Sipati picha ukisali hapo na Neema Gospel wawepo pamoja na hawa uwi

  • @SaraMasanyiwa
    @SaraMasanyiwa 9 месяцев назад +4

    🎉🎉Mungu ainuliwe juu hakika hamjawah kukosea😊

  • @nestoryntogwa805
    @nestoryntogwa805 9 месяцев назад +5

    Asante Elohim nimetoka kwenda kwenye shughuli zangu nakurudi salama

  • @ericsteven3655
    @ericsteven3655 9 месяцев назад +6

    Like nyingi
    Mungu ameishakushindia

  • @Sharonaworofficial
    @Sharonaworofficial Месяц назад +6

    I had this song on tiktok kwa clip ya zoravo...nakuambia ilibidi nikimbie youtube nitafute full song...God glory to you...

  • @WelluIzumbe
    @WelluIzumbe Месяц назад +12

    Mungu akufanyie wepesi yoyote unayepitia Magumu. Mungu atakutetea siku zote.

  • @lindajohn8236
    @lindajohn8236 8 месяцев назад +8

    Iam in love with the chorus of this blessed song oohh..be blessed🙏🙏

  • @sammKE
    @sammKE 9 месяцев назад +4

    Wimbo mzuri wa kufungua 2024 🎉 Shukrani kwa Mungu kwa kuwa nasi kila wakati, hallelujah

  • @suzzie642
    @suzzie642 9 месяцев назад +4

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪nyimbo nzuri sana