AIC Chang'ombe Choir (CVC) - ELOHIM (Official Live Video)
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- #ELOHIM, wimbo wa kwanza katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
Tunaamini wimbo huu utaenda kuwa muongozo wako katika kumshukuru Mungu kwa yale mambo makuu aliyokutendea katika safari ya maisha yako.
LYRICS
Asante ELOHIM
Wewe Ni MUNGU Unaetenda
Asante ELOHIM
Wewe Ni MUNGU
Ni Mungu ( Unaetenda)
Tumetembea na wewe
Toka mwanzo uko pamoja nasi
Hapa Tulipo Ni kwanguvu Zako (Asante ELOHIM)
Ulitangulia Mbele
Bila wewe Tusingeweza
Hapa Tulipo Ni kwanguvu Zako
( Asante ELOHIM)
Mabaya Yaliinuka
Lakini hayakutupata
Ulitutetea, Ulitushindia
( Asante ELOHIM)
Ndio Maana Tunakusifu
Umetenda Makuu Kwetu
Umetutetea,Umetushindia
(Asante ELOHIM)
Tunashukuru Ee Baba (Asante ELOHIM )
Mkono Wako Umetubeba(Asante ELOHIM)
Special Thanks
AICT CHANG'OMBE CHURCH
Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
CREDITS.
Audio production - CVC Music Department
Video production - CVC Media
Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro
Wenye tumetoka tiktok tukaja kuwatch huku tupite na like
Tupo hapa
Yean nlivyoisaka hii nyimboo yule dada apewe mauwa yake
Meeeee💯💯
Nipo 🎉🎉
❤❤❤❤❤
Anaengalia zaid ya mara moja mkono juu
Wimbo wa kuombea mkopo Bank huu. 😂
🙌🙌🙌🙌
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Narudisha rudisha jmn kukodoa mweee,kazi nzuri sanaaa
🖐️🖐️
Waoooo tulio toka TikTok kuja kuutafuta tujuane❤🎉
Tunakoment wapi
Tupo
It is a great song. Mwanzoni wimbo unaanza kama siyo mzuri hivi, lakini mwishoni hasa kwenye kiitikio unavuta na kuvuta hisia sana. Shortly mmenigusa sana
Mwanzo mwisho wimbo mzuri
Tulitoka tiktok. Kuutafuta huu wimbo tupo hapa lovely
😂😂😂😂😂😂😂dah hii mitandao bana nkajua nipo mwenyewe nmekuja mbio
Hakika mnaweza kumtoa mtu kwenye zambi kupitia nyimbo zenu mbalikiwe sana❤
Amen. Jina la BWANA libarikiwe na sifa zimrudie yeye Mungu wetu.
Mimi na familia yangu tunabarikiwa sana na nyimbo zetu. Mzidi kubarikiwa zaidi na zaidi.
Amen mtumishi wa BWANA. Sifa, heshima na utukufu kwa BWANA.
Ogopa ni hatari MUNGU wangu awabariki sanaaa hii kitu ya moto sanaaaa ❤ kwenye mkesha lazma niipige hii❤
Wimbo mzuri Sana wasisimua moyo wangu🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amina
Wimbo mzito, ujumbe mzito, daraja kwa mhitaji. Hongera nyingi kwenu @Aic_Chang'ombe
Hakika Wewe Baba Ni Elohim, Umetushika mkono❤
Huu wimbo unaweza kukutoa mahali kukuweka mahal pengine
Amen. Hakika, tuendelee kuuombea nguvu ya ki Mungu ili watu wake wavushwe walipo kwa utukufu wake tu.
Jaman waambieni club hakuna issue njoon kwa yesu Kuna Raha km hizi❤❤
Imagine in the same church there is #Neema gospel and CVC 🔥🔥🔥🔥
Winbo umejaa upako wa Mungu na kibali, mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Gusa raised me when I was 7 years old.....I'm 22 nasema asante kwa Mwenyezi mbarikiwe zaidi walezi wangu
Mungu aendelee kukuinua
@@rachelsenni8919 amina Rachel. Amejibu maombi na huu wimbo wa walezi wangu naomba uwe wako🙏
Wimbo unaimbika kila wakati unasinzia zako ndotoni upo nao tu. ELOHIM
😂😂😂😂😂
Yaaani Dah
Hata usiku wa Manane tupo tu 01:03am Asante Elohim!
Amen
Nasema hivi gonga like na subscribe kabisaa kama umeipenda ELOHIM❤❤❤❤❤
Hakika ni Elohim CVC Mungu awabariki huduma izidi kusomga mbele.. hii imeenda
Ahsante Elohim, Mungu utusaidiae
Asante sana huu wimbo kwa kweli unaponya majeraha yote asante ELOHIM 🙏
Amen. Hakika sissy.
Ameen my Dada
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Du! Aise aliyepewa maono ya kutunga huu wimbo Mungu amubarikia sana, adi majilani wananishangaa et mtu gani wiki nzima unapiga wimbo mmoja, nabaki natabasamu tu ukuu wa Mungu kwa yale ambayo anatuepusha nayo.
Amina. Jina la BWANA libarikiwe. Barikiwa mtumishi.
Ubarikiwe mtumishi
Endelea kumtukuza Elohim kwa anayoyatenda kwako.
Kwakweli majirani waache tu washangae hawajui vyenye MUNGU anatupiganiaga
Aic Changombe vijana choir mnanibari tangu Guza,pazia ya hekalu hadi Elohim from Machakos county Kenya
Amen. Be blessed for following us, we believe you're praying for us
Glory be to God. Before Gusa kuna Vunja.
❤❤❤❤❤❤waoooooooh hii ndo maan ya kwaya kubwaaa 🎉🎉🎉hakiika mmeonesha ukubwa wenu Mungu awabarik sana .......kazi nzuri sana aiseee nakosa maneno ya kusema ....ila Mungu awabariki sana
Amen. Endelea kutuombea.
Asante ELOHIM, Wimbo wa kufunga mwaka na kufungua mwaka
At the moment I have a fracture on my right leg but I can't stop dancing to this beautiful song. I know ELOHIM is healing me in Jesus name. Oh God may you fight all my battles. AMEN
Amen. Jehova Rapha is healing you in Jesus's name
Receive the healing in Jesus name 🙏
Wimho wa Mwaka Hongereni sana such a sweet song
Amen. Glory be to God.
Murakoze cane! Imana ibahezagire! Listening from Burundi!
Be blessed
Urakoze chane na wewe 🙏
@@AngelAfric Welcome!
@@rachelsenni8919 Amen,you too!
Kila mmoja wetu akiri kwa kinywa chake kwamba kama si Bwana tusingefika hapa, kisha Sifa na utukufu zimrudie Yeye.
Amen. Hakika kama si BWANA tusingekua hapa. Sifa, heshima na utukufu vimrudie BWANA.
Hakika ni kwa mkono wa Bwana
Congrats alot servants of Jesus Christ..#ELOHIM
Asanteni sana watumishi wenzetu shambani mwa BWANA
My favourite choir CVC.I saw the short clip of this song as you were practicing it. Be blessed brethren. Always your biggest supporter . I'm blessed.Mabaya yaliinuka lakini hayakutupa,ulitutetea,ulitushindia Asante Elohim wewe ni Mungu unayetenda❤. 🇺🇸 🇺🇸
Now you have it all
Amen. Continue praying for us.
mnavyoimba raha sana na mnanifanya niikumbuke ukombozi kkkt msasani .,nimebarikiwa na huduma yenu watumishi wa MUNGU ,MUNGU atukuzwe
Amen mtumishi
Amen
Amen
Amen
Elohim, Mkono wako umetubeba
Hakika atuteteaye ni MUNGU tu, Mengi mabaya yanainuka kwetu lakini MUNGU anatushindia
Wimbo wangu wa muda wote,namshukuru Mungu kila mara nahaya ndiyo maneno yangu
Libarikiwe jina la Bwana Yesu. Aliyetunga huu wimbo, Md nawasalimiaa katika jina la Bwana Yesu, mmebarikiwa.
Amen. Sifa na utukufu kwa BWANA
@@rachelsenni8919 kuna powefull message.
Sifa na utukufu kwa Mungu
Hayupo na hatakiwepo..Sifa Zote tunapmatia Yeye aliye mbele yetu..Asante Elohim
Sijui kwanini natokwa na machozi😢 asante ELOHIM
Elohim ni Bwana na Anatenda
Waooh...wimbo mzuriii
Elohim haichoshi kusikiliza jamani,wimbo mzuri sana.
Utukufu KWA Bwana kazi nzur sanaaaa
Amen
Kumekuchaaa na Elohim
Production Niko safi sana nimependa stage arrangements nimependa digital stage plus lights set ups lan wange rotate light nyeupe kuwa main light ikirotare more ili kupunguza darkness kwa mbali,nyimbo nzuri mtunzi kafanya kweli.dressing safi,color za nguo safi ila nilitamani wide shots zingepungua then medium shots zingeongezwa,ningetamani medium shots za watoto hapo mbele kuimpress watoto wetu kupenda kuimba pia. otherwise 90% excellent
Kazi imebamba hatari
Shukran @Charles
Amen
Asante kwa ushauri mkuu,umechukuliwa
Wimbo mzuri wa kumtukuza Mungu,kwa kutulinda kwa yote yaliyopita nyuma. Mungu atukuzwe.
Tunaomba Uendelee Kutembea nasi Ee Bwana. Asante Elohimu
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu 🎉, uwe wenye Baraka tele kwa Jina La Yesu Kristo.,#Elohim😊
Amen. Na iwe kwako.
Nikikunbuka january ilipo anza hata leo decenber Mungu ametusaidia Asante Elohim
Kazi yenu ni njema.
Mungu azidi kuwainua!
Kazii nzuri Sanaa Ndugu zangu Miziki imeliaa mwalim wenu Elisher Apewe maua yake🎉🎉
Nawapenda Mungu azidi kuwatumia💞💯🙏
Amina Yesu azidi kuinuliwa
Asante ELOHIM Huu ni wimbo Bora wa kufungia Mwaka wimbo umeimbwa haushoshi kusiliza jamani miziki imepigwa aisee MUNGU aendelee kuwabariki sanaa yani nyie nawapenda hadi naumwa ❤❤🔥🔥
Barikiwa mtumishi, tuombee
The best song ever it can bring heaven down weee
Amen. Glory be to God.
Hallelujah 👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥wimbo mzuri Sanaa, mbarikiwe watumishi wa mwokozi
What a chorus 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mabaya yaliinuka lakini ulitutetea umekuwa nasi Mungu 2023 endelea kuwa nasi tena Bwana 2024🙏, mbarikiwe❤
Hongereni kwa kazi njema, Mungu awabariki sana
Best song..song of the year! Mungu awabariki na awatetee..
Amina. Yesu ni Mwema
Nawapenda sana.karibuni Singida mtupe Siri ya mafanikio yenu
Tuombeane
Nyimbo kali sana imenitoa TikTok fasta kuifata umu jamaa hawajawai kosea 🥰🥰🙋♀️💞
Amen🙏
Hakika Mungu ni mwema wakati wote hapa nilipo ni kwa nguvu zako❤❤
Jamani tunaomba no ya Account tutume sadaka.
Oooh Barikiwa shem tutakutumia
Mungu akubariki kwa sadaka yako
Nimetazama mala kumi.nawapenda sana cvc toka niko kijana mdogo.gusa na nyimbo zingine
Asante mtumishi wa Mungu,endelea kubarikiwa tu❤
Barikiwa sana Mtumishi🙏
Amen amen tubarikiwe sote
#Mimi huu wimbo ndo chakula changu chai ya asubuhi,'#Chakula cha mchana,na #Usiku yani hupati njaaa kabisa maana ni #Mungu Ndo anayetenda kwakila Jambo Nilazima Umshukuru ELOHIM KWAKUSEMA ASANTE.
A BIG AMEN
Amen
The repeat on the chorus!!!if you know what God has done in your life,nishukurani tu
AICT-vijana choir chang'ombe,tangu enzi za Gusa mpaka leo Mungu anawatumia kuhudumu na kufanya kazi yake kwa njia ya uimbaji mnaendelea kuwa choir kwangu mm kwa East Africa mnaongoza.Elohim amekuja vzr sana ila hatamfikia"Nafsi yangu imechoka sana."
Aki wimbo unabariki Sana, hongereni na Mungu awabariki sana
Amen mtumishi, nanyi mbarikiwe kwa kutuombea. We value your support.
My Team❤
nimebarikiwa sana na huu wimbo,,,asanteni sana na Mungu awabariki
Amen
Tangu enzi za gusa vunja na nyingine nyingi hampoi barikiweni sana
Sifa kwa BWANA
Amen
Asee yaan tunaiangalia Mara mbili mbili mungu azidi kuwatumia sawasawa na mapenzi yake 🙏🏿🙌🔥🔥❤️
Tanzania inaenda kuwa taifa teule
Amen
Nahisi kutokwa na machozi, kweli hapa nilipo ni kwa nguvu za mungu!!!! Ahsante ELOHIM
Nikitazama nilikopita mwaka jana!!! Hakika ELOHIM anastahili kupwewa shukrani kwa wema wake kwetu.
Amen🙏
Amen
Amina mama
Imekuwa national anthem kwa masikio yangu🎉
Hakika kama ilivyokuwa kwenye usiku wa manane
Amen. Glory be to God.
Huu wimbo ni kama wameniimbia mimi na wanangu, yani kila nikisikiliza najikuta namwaga machozi kwa shukrani zangu kwa Mungu. Mkono wa Mungu umetubeba
Amen 🙏🏾
Utukufu kwa Mungu
Mwanzoni huwez kuelewa huu wimbo ila utamu wake unazidi kunoga zaidi pale unapo endelea kuusikiliza
Maana kwanza ni wengi halafu pia Wana sare nzuri sana na nyingi sasa wanafanyaje dah
Asante Elohim❤
Kazi nzuri sana
Wimbo mzuri nimeuangalia zaid ya mara 3🎉🎉🎉🎉😊
Endelea mpaka mara 10000
Mungu ni mwema mno wimbo unabariki sana
Asant elohim mungu awabariki san wapendwa
Amen. Sifa na utukufu kwa BWANA
Ni Elohim tu muda wote
Kabisa
Asante ELOHIM
Mabaya yaliinuka lkn hayakunipata. aiseeeee nyie watumishi neema ya Mungu isiwapungukie jamani
Amen
Kuna choir afu kuna chang'ombe na neema gospol😊😊😊😊😊
Mapacha hao❤️🔥🔥🔥🔥
Mabaya yaliinuka lkn Mungu wa mbinguni alitutetea
🙌🙌
Amen
Mungu azidi kuwainua zaidi watumishi❤
Amen. Sifa zirudi kwa Mungu wetu
Tusiochoka kusikiza huu wimbo tujuaneee
Tunacomment wapi😅
Tumetembea nawee toka mwanzo upo pamoja nasii hapa tulipoo ...........
AIC Chan'gombe kwaya zao ni balaa! Sipati picha ukisali hapo na Neema Gospel wawepo pamoja na hawa uwi
🎉🎉Mungu ainuliwe juu hakika hamjawah kukosea😊
Asante Elohim nimetoka kwenda kwenye shughuli zangu nakurudi salama
Like nyingi
Mungu ameishakushindia
I had this song on tiktok kwa clip ya zoravo...nakuambia ilibidi nikimbie youtube nitafute full song...God glory to you...
Mungu akufanyie wepesi yoyote unayepitia Magumu. Mungu atakutetea siku zote.
Amen 🙏
Iam in love with the chorus of this blessed song oohh..be blessed🙏🙏
Amen. Glory and honour to God
Wimbo mzuri wa kufungua 2024 🎉 Shukrani kwa Mungu kwa kuwa nasi kila wakati, hallelujah
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪nyimbo nzuri sana