AIC Chang'ombe Choir (CVC) - NARUDI KUKUSHUKURU (Official Live Video)
HTML-код
- Опубликовано: 27 апр 2024
- #NARUDI KUKUSHUKURU , ni wimbo wa Sita katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
Tunaamini wimbo huu utaenda kubadilisha maisha yako, MUNGU ametuvusha na mambo mengi tunapaswa kurudisha sifa kwake.
MUNGU AKUBARIKI.
LYRICS
NARUDI
(Narudi) kukushukuru
BWANA wangu
mwokozi wangu
pokea sifa za moyo wangu,
(Narudi) kukushukuru
Mtakatifu, Elishadah mioyo yetu inakupa sifa,
(Narudi) kukushukuru
Na ahimidiwe mwamba wangu,
Bwana ndiye aliye hai
Amenitendea mambo makuu
yasiyo hesabika
Bwana ndiye ngome yangu na wokovu wangu
(Ndiyo maana ninarudi kumshukuru)
Naye huwaongoza wakamilifu wa mioyo,
(Iyelee eeh..Iiiihyelelee)
Nitakwenda mbele za BWANA,
Kwa moyo wa shukurani
Matendo mengi mema amefanya
lazima nimshukuru,
Narudi kumshukuru
Amefanya kwa wingi siwezi kueleza
BWANA ndiye wokovu wangu, Na ngome ya wokovu wangu
Ametenda Zaidi siwezi kueleza,
BWANA ndiye wokovu wangu
Na ngome ya wokovu wangu..
Bwana ndiye ngome yangu na wokovu wangu
(Ndiyo maana ninarudi kumshukuru)
Naye huwaongoza wakamilifu wa mioyo
(Iyelee eeh..Iiiihyelelee)
BWANA unapendezwa na wenye moyo wa shukurani
Shukurani (Shukurani),
Leo ndiyo maana nimerudi
kuja kukushukuru
Kushukuru (Kushukuru),
Pokea BABA shukrani zangu ,
Asante eeh (Asante)
Nimerudi kwako..kuja kukushukuru,
Asante eeh (Asante) Asante
Special Thanks
AICT CHANG'OMBE CHURCH
Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
CREDITS.
Song writer - Jeremia Madaha
AICT Chang'ombe Church
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
MUSIC DEPARTMENT
Music Team - Benjamin Makolobela (MD,MAIN KEYS)
Elisha Gurlaty (AUX 1)
Elia Mahuna (AUX 3)
Onesmo Peter (AUX 2)
Emmanuel Yusuph (BASS)
Jeremia Madaha (LEAD GUITAR)
Mayala Bubele (TRUMPET)
Charles Stenson (TROMBONE)
Meshack Wilson (TROMBONE)
Eliya Makaya (ALTO SAX)
Raphael Luhende (ALTO SAX)
Samson Mathew (DRUMS)
Video production - CVC Media
Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro Видеоклипы
Naomba likes za kutosha kwa CVC 🇹🇿🇹🇿
Tunaorudia rudia kipande cha legend bahatiii gonga like
Warudi kwa zamani na masoro warudi walewale 3 hii hapana hainongi kabisa
Wapoo sema nyimbo Zao bado hazjatoka
@@beatricesamwel8161khaa hizo ndio hila zenyewe sasa
Hainogi hata ile wangekuwa wanafanya kupokeza utatu wao ndio inanoga ila hii yakupokezana na wengne teena vitoto hapana legend anatakiwa kuimba na malegend wenziee
@@DanfordJohan-zd1cg hakunaga u legend kwenye kazi za MUNGU ndugu yangu lazima kile kizazi Cha zamani kitengeneze watu wapya ...kilichoharibu mi ninaona ni wimbo mmoja kuimbishwa na watu 4 halafu wimbo ni mzuri lakini mfupi sababu ma solo list wamekua wengi halafu akishaimbisha anaondoka stejini Kuna vitu vinapoteza ladha ya wimbo kuangalia
Huyu mkaka ameimba vzr Asante 🙏🏻🙌😁
Wana wa mungu kazi nzuri mukuje huku kwetu mby
Hongera CVC kwa wimbo huu ni vyema kumshukuru Mungu kwa makuu anayotutendea.
Maoni yangu in kuwa Masoloists wameimba vizuri Ila wanne ni Wengi kwa wimbo mmoja.iAt most watatu.
Pili,ni vizuri mnavyowapa vijana nafasi ya kukuza vipaji.
Mungu awaimarishe na awalinde katika huduma yenu.
Woooow... Mama is back... Wenzake wako wapi❤❤❤wa kitaaambo kweli. Baraka tele toka Kenya🇰🇪🇰🇪
🔥🔥🔥Mungu azidi kuwainua jamani,from Korongwe fpct.🎉
Bwana ndiye ngome ya uzima wetu ❤. Tuna Kila sababu ya kumshukuru Mungu Kwa matendo yake makuu.
nawapenda wale wamama watatu hasa yule mweupe
Huu wimbo umenibariki sana kuliko nyimbo zote kwenye toleo hili nadhan ni kwa sababu ya sauti hii niliyoijua toka utotoni
Hii choir hunibariki sana I have always turned on the notification so that when they release a song I get notified. Sijui nitafanya nini nifike huko hata siku moja before the last minute of my breath.Am in kenya but please know that your songs from way back imenitia moyo sana.
Karibu Bongoland brother. Karibu AIC Chan'gombe Dar es Salaam
@@eliufoosimonchuri4160 Nikipata uwezo ya kuja nitakuja bro
Huyo dada aliyefuata kusolo namkubali sana ❤❤❤anaimb vzr sana
Asante Bwana Yesu, Kwa Wema na fadhili zako, Hakika ninakuona ukiwa upande wangu, kila siku inapoitwa leo, Nakuja Mbele zako kwa moyo wa shukrani, pokea sifa na heshima zote, Nakuomba umtendee dada na kaka yule ambaye anangoja kwa saburi, AMINA
Tuwe kama huyu ALIYETAKASWA na akarudi.
15 Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu;
Luka 17:15
16 akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
Luka 17:16
17 Yesu akajibu, akanena, Hawakutakaswa wote kumi? Wale kenda wa wapi?
Luka 17:17
18 Je! Hawakuonekana waliorudi kumpa Mungu utukufu ila mgeni huyu?
Luka 17:18
TURUDI KWAKE BWANA WETU YESU MTENDA MIUJIZA. Nimejisikia Amani sana kwa huu wimbo Bwana azidi kuwa nanyi Sasa na hata kale na kale(milele)
Hongereni ndugu zangu.Bahati Hongera.
Wimbo mzuri sana
Nilikuwa na hamu ya kumuona Bahat hongera sans Dada umesoro vizur Mungu aendlee kukutumia vyema
Mungu aendelee kuwaongoza mtafanya vizur zaid ya hapa
Mama ana sauti Tamu balaaaaaaaa❤❤❤❤❤
Wimbo wangu pendwa❤😔
Nitakwenda mbele za Bwana.
Pokea Baba shukrani zangu.
❤❤❤❤
Wale wa mama wa tatu ,sasa kaonekana mmoja,BAHAT MESHACK ,bado yule Nafsi yangu na songa songa
Nawapenda mno jamani mungu awainue zaidi
Mungu awabariki sana aic chang'ombe kwaya.kazi njema sana
Lazima tumshukuru, kwa moyo wa shukurani...
A good song.
Amen nimebariwa na huu wimbo
Tuna subiria video baraka za Bwana mbarikiwe watumishi wa MUNGU
kazi safi AIC Changombe...MOB LOVE
Asante, Asante Asante ... Mwenyenzi, Mungu wangu.
Sarah samaga najivunia wewe🎉🎉wimbo unabaliki
Unibariki bwana.
Hongera sana, gurlat boy, (Elisha) nakuona kiongozi
Nimebarikiwa sana na wimbo huu mzidi kusonga mbele zaidi
What a nice song! Stay blessed, your songs edify me whenever I listen to them❤️🙌
Ametenda makuu yasiyo hesabika , hallelujah Glory to God 🙏
Well done from Japane❤❤❤
❤❤
❤❤❤❤❤
Ashukuriwe Mungu daima. The video may not be the best but the song itself, uplifts the heart!
Hongera kaz nzr
Waooooh ❤❤❤❤ Hongereni sana sifa na Utukufu kwa Mungu,kila siku na kila nyakati tusichoke kumshukuru Mungu.Mungu aendelee kuwainua kwa Utukufu wa jina lake,Hakika mnatubariki Sana kwa nyimbo nzuri.
Murakoze cane! Listening from Burundi,my home.
Very nice to see mama again.
🎉🎉🎉
Mungu awatumie sana na awaongoze katika huduma yenu....
❤
Narudi kukushuku Mungu wa Mbinguni 🔥🔥🔥♥️🙏😀🙏🙏
Glory to God kurundi nimuhimu tuseme Asante God bless you brother and sister love you from kenya
very nice song
Mungu wainue zaidiii
Nilikuwa nanshauku ya kuona time ya watu watatu timu ya Bahat Mungunazid kuwatumi umeimba vzr sana
Asante Mungu. 🎉🎉🎉 kazi nzuri,leaders mbarikiwe.❤❤
My mama katika ubora wake ,Bahati
such a blessing. With the super soloist back
❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Be blessed more
Ametenda makuu yasiyo hesabika❤
Hallelujah...Nimebarikiwa
This is just awesome I even lack words may this team be blessed, continue singing for the lord and winning hearts for Him.
Always here from +254 the grace is sufficient on these great ministers of the word.
Narudi kukushukuru
Tumsifu Yesu Kristo. Hallelujah
Huyu solo namba tatu ninasoda yake wallah asee mtt anajua mpaka basi
Thank you Lord, for all you have done to us, we say thank you, nice song, mbarikiwe sana
Hamjawahi kuniangusha kongore kwenu
Amen
Barakaaaa
Utukufu kwa yesu
Wimbo mzuri ila mtu wa taa ovyo kabisa
🙌🙌🙌🙏
Glory to God🙌🙌
Mungu tu
Wale masolo watatu wangeimba tu mmeshuka kiwango sana
nawapenda sana
GOD BLEES YOU
Merci pour ces belle mélodies qui est dedans
This time mmeamua kutuonesha ingizo jipya upande wa ma solo 🔥
Amen 🙏
Kwa kweli mmeimba Wana wa Mungu
❤❤❤❤❤❤
Nice song
So kwamba alifumba macho wewe ulihisi anaogopa labda ni anaimba kutoka rohoni upako umejaaa sanaa
Very nice song
Amazing
Nice
😮😮😮❤❤
Munguaendelee kuwapigania
Nice song, wenye walikuwa wanagojea wale kinamama watatu kujeni muone😅
😅😅
😂😂😂😂kwamba kina mama 3 😂😂😂🎉🎉🎉
Umenichekesha SANA mpendwa😂😂😂
Tupoooooo😁😁😁
@@israelkisaila8401 Kila mtu alikuwa anauliza wako wapi, sasa tumeona mmoja
Iiii loovee this,wooow.hongereni sana
❤❤❤❤❤❤❤ sjui nsem nn ila tyu mung awabrikiiiii
❤❤❤
Baraka tele🥰🙏
Bora nimeona mma mmja bdo yule nnaemtaka mm jmniii wa nafsi yang🤣
Tazama hiyo link utamuona
Kwakweli wa nafsi uangu😂😂😂❤❤
Hongereni sana
Haya ngoja tusubiri ili turudi kushukuru
Awaiting ❤❤
Asanteeee
Waiting
pia niongezee hapo shangaziaangu bahati,hajatoa ushilikiano kabisa na watu walioko mbeleyake,watu wana mpa ushirikiano yeye hatoi,anajiimbia mwenyewe tu,kafumba macho sana,hatupi ishirikiano kabisa
Nampenda huyu Mama Huwa anaimba vizuri, sema labda ameona aibu tyu
Bahati meshack
❤❤❤❤
Hi everyone plz nipitieni pia
Tunashukuru kwa kazi nzr
But
Ni naona mambo za kurecord live
Tuachane nazo kwanza
Otherwise
Tutafute mwarobaini
Nyimbo zenu nzr