AICT Chang’ombe Choir - Saa ya Mwisho (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 мар 2023
  • Shalom Shalom Mpendwa Katika Bwana!
    Imekuwa baraka sana kukuletea wimbo huu wa saa ya mwisho ikiwa kama zawadi yetu ya Pasaka kwako.
    LUKA 23:32-43
    Wimbo huu unaeleza namna gani tunatakiwa kuutumia muda tulionao vizuri, mfano wa wanyang’anyi wawili walipokuwa pamoja na YESU msalabani, mmoja aliamua kuitumia saa yake ya mwisho vizuri, akasema ‘’Ee YESU! unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako” ingawa alikuwa mtenda dhambi lakini YESU alimwambia Leo hii utakua pamoja nami peponi.
    Haijalishi umefanya maovu kiasi gani, umepitia magumu mangapi bado nyumbani mwa BWANA una nafasi unachotakiwa ni kutubu, kuacha njia mbaya na kumgeukia BWANA ili ukaurithi ufalme wake wa milele.
    #Saayamwisho #pasaka #choir
    SONG LYRICS;
    Kiitikio : Saa ya mwisho kumbuka inakuja
    Kumbuka..saa ya mwisho karibu inakuja
    Iyo..oooh x2
    Beti 1: Wanyang’anyi wawili msalabani wakiwa naye YESU
    Wanangojea kifo msalabani wakingojea kifo
    Wenye dhambi wawili msalabani wakiwa naye YESU
    Saa yao ya mwisho msalabani wakingojea kifo.
    Wenye dhambi wawili msalabani wakiwa naye YESU
    Saa yao ya mwisho msalabani wakingojea kifo.
    Solo 1 : Iye iye iye iye iye Baba ooh
    : Iye iye iye iye iye ooh
    Wa kwanza alianza kumwambia Bwana YESU
    Kwa kejeli alianza kumwambia Bwana YESU
    Ulijifanya MUNGU..mbona unateseka
    Kama wewe ni MUNGU ebu jiponye sasa
    Ulijifanya MUNGU, mbona unateseka
    Kama wewe ni MUNGU ebu jiponye sasa tuponye na sisi
    Yesu hakujibu
    (Yesu hakujibu) x2
    Kiitikio : Saa ya mwisho kumbuka inakuja
    Kumbuka..saa ya mwisho karibu inakuja
    Iyo..oooh X2
    Solo 2 : Wa pili alianza kumwambia Bwana YESU
    Kwa adabu alianza kumwambia Bwana YESU
    Mimi ni mwenye dhambi
    Naomba msamaha
    Unikumbuke Baba unakokwenda Baba
    Nimetenda maovu naomba msamaha
    Unikumbuke Baba unakokwenda Baba..(Aaaah)
    Unikumbuke Baba unakokwenda Baba..(Aaaah)
    Solo : Yesu alijibu
    Wote: (Yesu alijibu) x2
    Leo hii utakua nami peponi
    Leo hii utakua nami mbinguni
    Leo hii..
    Kiitikio : Saa ya mwisho kumbuka inakuja
    Kumbuka..saa ya mwisho karibu inakuja
    Iyo..oooh x2
    SONG CREDITS TO;
    Song Writer - Papaa Clement Buhembo
    Video Director - Elidadi
    Videographer - Amigo Johnson
    Lights - Sengati
    Audio - CVC Media
    Tufuatilie kupitia
    Instagram / cvcchoirtz_official
    Facebook / cvc-choir
    ©2023 AICT Chang'ombe Choir | All Rights Reserved.Channel Administered by Huru Digital
    Instagram: / hurudigital
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 293

  • @smilemediatz
    @smilemediatz Год назад +22

    kama umerudi hapa zaid ya mara mia like hapa

  • @onexgozbert2554
    @onexgozbert2554 Год назад +76

    Kama unarudia rudia kipande cha solo wa pili bahati gonga like twende sawa😁

    • @doriskilele4025
      @doriskilele4025 Год назад +3

      Sana, Sauti yake ooh inabariki, imekomaa

    • @damsonmsalangi3900
      @damsonmsalangi3900 Год назад +5

      Hata yule wa kwanza ni hatarii🥳🥳

    • @MrErickfuraha
      @MrErickfuraha Год назад +1

      Bahati hajawahi kufeli

    • @beatricesamwel8161
      @beatricesamwel8161 Год назад

      Bahati hajawahi kufeli yupo vizuri Sanaa kwenye kusoro na kumiliki jukwaaa

    • @elizabethmabula6044
      @elizabethmabula6044 Год назад

      Waaaaaaoh!! CVC on. 🔥🔥🔥🔥,, Saa ya mwisho inakujaa🙌🙌🤗🤗

  • @edwinjohn1852
    @edwinjohn1852 Год назад +10

    Aiseee sauti ya huyu dada ni kinanda tokea mimi mdogo anagonga key zake zilezile Mungu akubariki sana dada🎉

  • @mussaphilemon8612
    @mussaphilemon8612 Год назад +7

    Mungu awabariki sana watumishi kwa uimbaji wenu, Endeleen hivyo hivyo na Tune ya Kanisa msije mkahama na kufuata tune za Mataifa Mengine. Nawapenda sana.
    @Rebeka Stephano, Mayala Budele + Wapiga tarumbeta wote, Diana, Bahati, Lydia Kashimba, Dickson Seni, Naomi Zebedayo na wengine wote Mungu awabariki sana

  • @sinzasoundbandtanzania6200
    @sinzasoundbandtanzania6200 Год назад +5

    2023 Hatimaye kwaya pendwa mmerudi baada ya kitambo kirefu.

  • @james008BOND7
    @james008BOND7 Год назад +9

    Neema iwabebe na ivunje Sheria watumishi wa MUNGU 🙏🙏🙏🙏 mbingu zitetee huduma yenu🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪 twawapenda sana 🙏

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 Год назад +2

      Amen

    • @james008BOND7
      @james008BOND7 Год назад +2

      ​@@rachelsenni8919 nawaombea baraka tele🙏🙏🙏🙏

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 Год назад +1

      @@james008BOND7 asante sana na Mungu akubariki na kukupa haja ya moyo wako maana kutuombea ni upendo mkubwa sana

    • @james008BOND7
      @james008BOND7 Год назад +1

      Amen🙏🙏🙏C.V.C mnatutia moyo sana kwa nyimbo zenye maadili🙏

    • @nestoryntogwa805
      @nestoryntogwa805 4 месяца назад

      Amina

  • @MasanjaTVgospel
    @MasanjaTVgospel Год назад +8

    NAWAKUBALIGIIII MIAKA BUKUUUUUUUU

  • @henrybaraka5258
    @henrybaraka5258 Год назад +7

    Sololist wa kiume Yuko vizuri
    Mbarikiwa CVC

  • @ngikangosso9323
    @ngikangosso9323 Год назад +8

    Wimbo mzuri masolo wote safi, nakupenda sana CVC, hasa hao masolo list akinamama wawili duh! Mmenitoa mbali tangu enzi zile za album ya GUSA bado ningali mtoto duh! mmenilea vyema ndugu zangu. Mungu anaijua thamani yenu, then keep it up.

    • @zakariamsumba-gr8vr
      @zakariamsumba-gr8vr Год назад

      Yana ata mm nlikuw katoto xana enzi za GUSA 2009's,,,, 👍👍

  • @lucymukhavi1405
    @lucymukhavi1405 Год назад +7

    Loving this. Napenda nyimbo zenu CVC kwanzia Vunja. God bless you. 🇺🇸🇺🇸

  • @jenysullesulle7678
    @jenysullesulle7678 Год назад +7

    Hahaha huyo voice ya mkaka amazing

  • @fadhiligabriel-jz3xh
    @fadhiligabriel-jz3xh Год назад +9

    Aic wanajuwa tuwap heshma Yao maan hawjawah kuimba vibay

    • @gloriousn6425
      @gloriousn6425 Год назад +1

      Hawabahatishi 🙌🏾📌🙏🏿

  • @nimrodtitus9950
    @nimrodtitus9950 Год назад +8

    Lots of love from Kenya ❤ Bahati's voice is Soo young

  • @jenysullesulle7678
    @jenysullesulle7678 Год назад +6

    Nawapenda Sana cvc nawaombea mzidi kuinuliwa

  • @raymondzachariah-xr4ys
    @raymondzachariah-xr4ys Год назад +8

    Salluti nyingi nyingi na misi Sana mwalimu wangu Crement papa Ameacha urithi kwa wengine kwa utunzi mzuri

  • @vedamusa8033
    @vedamusa8033 Год назад +6

    Hii ndo yenyewe uwiiiii

  • @henrymhande4796
    @henrymhande4796 Год назад +6

    BAHATI 🔥🔥🙌🙌

  • @jacklinemwandoloma285
    @jacklinemwandoloma285 Год назад +6

    Much love to you CVC ❤️💯 Mungu azidi kuwatunza sanaaa

  • @janemusyoka6125
    @janemusyoka6125 Год назад +7

    Have been waiting for this new release 🎉🎉🎉🎉🎉 Mungu awabariki sana kwa huduma mnayofanya kwa njia ya uimbaji🎤🎧

  • @AlfredSamwel-sz2lb
    @AlfredSamwel-sz2lb Год назад +6

    Sina swalii kabisa ila nawakubalii sana kijana na bahatii sio wapole pole

  • @GodwinNgoye-en2lv
    @GodwinNgoye-en2lv Год назад +7

    nyimbo zenu nzuri sana wapendwa♡nabarikiwa sana hasa ninapowaona BenjaminMack na bi.Esther Mkandia nawapenda sana

  • @ynashimba
    @ynashimba Год назад +6

    You guys are blessed, I see new talents.....CVC❤❤

  • @gracemhaya3707
    @gracemhaya3707 Год назад +7

    Powerful Powerful 🥰🥰🥰 Hongereni Sana CVC

  • @estherrnyangasa1389
    @estherrnyangasa1389 Год назад +7

    Asanteni kwa kubakisha ladha ya kwaya zetu.

  • @sebastianmagulu614
    @sebastianmagulu614 Год назад +3

    🎷🇹🇿🎶🎉 Asanteni ilabado tunasubiria zawadi nyingine wadau. Mungu aibariki huduma yenu Amen 🙏

  • @samuellimbu2693
    @samuellimbu2693 Год назад +8

    blessing one.... Papaa was a great songwriter!! may he R.I.P

  • @willisaida-fi6kb
    @willisaida-fi6kb Год назад +3

    Kazi nzuri nabalikiwa sana natamani kila mda nisikilize saa ya mwisho

  • @emmanueldavidondahani2009
    @emmanueldavidondahani2009 Год назад +4

    My family CVC nawapenda Sana ♥️♥️♥️♥️🎹🎹🎹🎸🎸🎤

  • @vedamusa8033
    @vedamusa8033 Год назад +5

    Hii kwaya wote mnaenda mbinguni sio kwa wimbo huu

  • @danielworshiper6002
    @danielworshiper6002 Год назад +4

    Mungu amefanya kuwa chuo cha uimbaji Tz
    Mungu awabariki sana wapenzi ❤💗❤❤

  • @angelakibwana3965
    @angelakibwana3965 Год назад +5

    Who is addicted with this beautiful song just like me ....

  • @christophermusyoki7378
    @christophermusyoki7378 Год назад +5

    Wow what a nice song...saa ya mwisho msalabani ilikuwa ya maana sana

  • @bukombeshy3644
    @bukombeshy3644 Год назад +7

    Bahati Mungu akubariki sana, unaimba dada tena unaimba kweli, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu zaidi

  • @johnmutinda6220
    @johnmutinda6220 Год назад +7

    Wimbo mzuri sana...mbarikiwe sana

  • @nurumwangoka5924
    @nurumwangoka5924 Год назад +3

    Aiseeeee YESU Ana watu ❤❤❤❤❤❤❤mnaimba hadi mwili unasisimka

  • @juliusjapheth1657
    @juliusjapheth1657 Год назад +4

    I wish one day I'll visit AICT chang'ombe..,kwaya imeetulia vizuri.watching from Kenya 🇰🇪

  • @lusekelodaison8159
    @lusekelodaison8159 Год назад +6

    Kila lililojema liwe juu yenu, m'barikiwe kwa kazi njema ya kumtangaza Kristo

  • @doninciamichael6309
    @doninciamichael6309 Год назад +4

    Silvester you are gifted! Keep serving our almighty Mungu anaenda kukuinua sana❤

  • @davidpeter9589
    @davidpeter9589 Год назад +6

    This my favourite choir

  • @damsonmsalangi3900
    @damsonmsalangi3900 Год назад +5

    The real choir ♥️

  • @dismasalex5064
    @dismasalex5064 Год назад +5

    Wimbo mzuri sana. Mungu awabariki sana watumishi.

  • @daudnyenye2882
    @daudnyenye2882 Год назад +4

    Hogeren sana MUNGU aedereee kuwatumia ujembe mzuli sana barikiwa wote

  • @samsonbaptistdrummer607
    @samsonbaptistdrummer607 Год назад +5

    Mungu ibariki CVC CHOIR AMEN👏

  • @LazaroKajole-bt4nm
    @LazaroKajole-bt4nm Год назад +5

    Best song 🔥🔥🔥

  • @zakariamsumba-gr8vr
    @zakariamsumba-gr8vr Год назад +4

    Nawapenda sana chang'ombe asee, mbarikiwe sana kwa huduma...

  • @davidpeter9589
    @davidpeter9589 Год назад +5

    Very blessed

  • @gladnessshola2718
    @gladnessshola2718 Год назад +4

    Waaoooooooooooow tunawapenda wana chang'ombe 🇹🇿

  • @shigomabasi6145
    @shigomabasi6145 Год назад +5

    Mungu aendeleee kuwatunza mtuhubilie zaid na zaid

  • @Protas_joseph1
    @Protas_joseph1 Год назад +4

    The reminding about the last hour is very clear, everyone should obey and repent.

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 Год назад +4

    Amen nimepata Wimbo Wa Maombi

  • @irenekasembe9864
    @irenekasembe9864 Год назад +4

    My favorite choir I love ❤️ it one and last forever.

  • @happymerry8675
    @happymerry8675 Год назад +5

    Kazi nzuri, naomba Tu mubaki na identity yenu ya uimbaji Ile Radha yenu isipotee.

  • @nurumwangoka5924
    @nurumwangoka5924 Год назад +3

    Aiseeee mnaimba mnaimba mnaimba mnaimba tena YESU awatunze🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @japhetmgema3208
    @japhetmgema3208 Год назад +4

    Mungu azidi kuwainua CVC... Hii ni Taasisi, damu ya Yesu iwafunike...

  • @simonmahega3085
    @simonmahega3085 Год назад +4

    Wa 2190 😊😊😊😊😊

  • @emmanuelkisumo7741
    @emmanuelkisumo7741 Год назад +3

    Amina Hallelujah
    Mungu awabariki mnoo watumishi ,Kwa wimbo mzuri wa #saa ya mwisho. Hakika saa ya mwisho inakuja , nimebarikiwa.

    • @unclesammykaniki1184
      @unclesammykaniki1184 Год назад

      Amen Mtumishi Hasante sifa na utukufu tumludishie Mwenyezi Mungu.

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 Год назад +3

    Nawapenda sana watumish wa MUNGU Hamjawai kukosea ety.Hkika MUNGU Nimwema..Aendlee kuwainua kila iitwapo Leo...DADA Bahati hakika MUNGU Ankutmia vyema,,,,kaka nawe umetisha,,

  • @FredSylivester-yu3zt
    @FredSylivester-yu3zt Год назад +4

    Mbarikiwe sana, Mwenyezi Mungu azidi kuwatia nguvu katika kuitenda kazi yake.

  • @paskalkihombo7158
    @paskalkihombo7158 Год назад +2

    Kazi nzuri mbarikiwe watumishi kwa huduma nzuri. Mungu awakumbuke

  • @francesmpangwa8801
    @francesmpangwa8801 Год назад +4

    Hamjawahi kukosea hata mala Moja
    Jamani sijamwona lidya

    • @nimrodtitus9950
      @nimrodtitus9950 Год назад

      Lydia nadhani yupo kwenye zawadi ya pili ya sadaka pamoja na Diana

  • @Regnard999
    @Regnard999 8 месяцев назад +4

    Masolo mmeutendea haki wimbo huu🎉🎉🎉,, solo wa kwanza wa kiume ni sura ngeni kwangu lakini anastahili pongezi nyingi maana yuko vizuri sana kwenye vocal na kuimba kwa hisia!!!❤❤

  • @estherdaudi2838
    @estherdaudi2838 Год назад +2

    Hakika saa ya mwisho inakuja 🙇,,Mungu awabariki kwa kazi nzuri 🔥🔥

  • @neemanyerere817
    @neemanyerere817 Год назад +3

    Hongereni CVC, Bahati 🙌

  • @karistachusi4874
    @karistachusi4874 Год назад +3

    Mbarikiwe

  • @joshuaenock5431
    @joshuaenock5431 Год назад +3

    Barikiwa na saa ya mwisho

  • @juliuskioko1839
    @juliuskioko1839 Год назад +4

    Kali sana..nawapenda kabisa...wimbo wa pasaka ndo huu...

  • @shadrackwilliam8218
    @shadrackwilliam8218 Год назад +3

    Mungu azidi kuwatumia, kwaajili ya utukufu wake

  • @dicksonsenni9109
    @dicksonsenni9109 Год назад +2

    Yesu ni Mwema.Tuzidi kuombeana na kumshukuru Mungu

  • @martinecharles9716
    @martinecharles9716 Год назад +3

    Dah hyo solo mwananke nawenzake wapo wawili nyimbo zao znanibariki Sana 🤝😊

  • @julietpaul7988
    @julietpaul7988 Год назад +4

    2 nd soloist is always on top

  • @nasseralhabsi4121
    @nasseralhabsi4121 Год назад +3

    Ameen, mbarikiwe watumishi wa MUNGU 🙏

  • @emmanuelbageni4388
    @emmanuelbageni4388 Год назад +3

    25/3/2023. God bless all of you. Keep serving God

  • @deboraphales5108
    @deboraphales5108 Год назад +2

    Jamani wadogo zangu Silvester na kamoga Mungu azidi kuwainua

  • @brightonisaack-iq4up
    @brightonisaack-iq4up Год назад +2

    Mungu ni mwema tuliingojea kwa hamu sana hii zawadi ya PASAKA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😊

  • @gracemahushi9654
    @gracemahushi9654 Год назад +3

    Nawapenda mno wapenzi,,,, Mungu awatie nguvuu

  • @marrynaftali7969
    @marrynaftali7969 Год назад +2

    Kwakweli wimbo mzuri mno,Kaka umeimba vizuri sanaaaa,dada bahati umeimba kwa utulivu mpaka Raha mbarikiweee

  • @joellumala3206
    @joellumala3206 Год назад +2

    We thank God for this song., #Saayamwisho

  • @deomajuva2432
    @deomajuva2432 Год назад +3

    Iko sawa sana Mungu awabariki lakn mbona sijamuona Mombeki hapo kwenye kusolo anaweza sana yule mtumishi 🎉🎉

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial Год назад +3

    Unikumbuke baba alipo YESU 🙌😢🙏👏

  • @thomasnjebele6522
    @thomasnjebele6522 Год назад +3

    Hakika mnazidi kuifanya kazi kubwa kulitangaza neno la Mungu kupitia uimbaji. Ahsanteni sana CVC kwa wimbo mzuri🙏

  • @dicksonsenni9109
    @dicksonsenni9109 6 месяцев назад +3

    Ukitoka saa ya mwisho unaingia ELOHIM Asante Yesu

  • @grolyqueen5833
    @grolyqueen5833 Год назад +3

    Mbarikiwee sanaaa CVC

  • @isayankindwa4480
    @isayankindwa4480 Год назад +3

    Mungu awabariki sana kazi yenu ni njema sana

  • @ellymichael672
    @ellymichael672 Год назад +3

    CVC mnajua sana abarikiwe zaidi mtungaji Wa huu wimbo

  • @victorlespicus6884
    @victorlespicus6884 Год назад +3

    hii ni Choir❤

  • @linamassawe
    @linamassawe Год назад +3

    Nawapenda mno. Barikiweni watumishi.

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz Год назад +3

    Mungu ni mwema. Hakika saa ya mwisho yaja. Hongereni Kwa kazi nzuri CVC❤❤❤

  • @nichonyambitta7769
    @nichonyambitta7769 Год назад +2

    Chuma hewani 🔥🔥🔥🔥

  • @boazkitela6960
    @boazkitela6960 Год назад +2

    Mungu awazidishie baraka nyingi

  • @maicokezl924
    @maicokezl924 Год назад +3

    Good job

  • @florencemakaranga4787
    @florencemakaranga4787 Год назад +2

    💥🔥 after long waiting. Zawadi ya Pasaka

  • @JeffMbugua-je1oh
    @JeffMbugua-je1oh Год назад +3

    Mie ni mwana AIC bibirioni nawapenda Sana❤❤❤❤

  • @jeremiah2763
    @jeremiah2763 Год назад +2

    nzuri sana barikiweni wapendwa

  • @user-wj5zz4mr9q
    @user-wj5zz4mr9q 8 месяцев назад +4

    Nawapenda.sana

  • @jamesnyamwaya1841
    @jamesnyamwaya1841 Год назад +2

    Mbarikiwe zaidi wanakwaya wetu

  • @CellinaJacob-jp1fc
    @CellinaJacob-jp1fc Год назад +2

    Mungu awabariki ndugu zangu

  • @josephmkina
    @josephmkina Год назад +2

    Steve, sikuoni!! Mmeimba vzr. Hongereni. CVC.

  • @witnesslyanga
    @witnesslyanga Год назад +3

    ,🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️🙏🏻

  • @nurumwangoka5924
    @nurumwangoka5924 Год назад +3

    Saaa ya mwisho inakukujaaaa wapendwa tujiandae

  • @ShaquenwerNaseba-ch2tq
    @ShaquenwerNaseba-ch2tq Год назад +3

    Mungu awabariki sana .