BWANA NINAKUJA KWAKO [Official Video]
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Kwaya ya Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu , Jimbo katoliki la Geita _Parokia ya Kalebejo, Kigango cha Bukokwa Center.
Wanatukaribisha kushiriki kutazama na Kusikiliza wimbo huu uitwao Bwana ninakuja kwako ukiwa ni utunzi wake Mtazamo GR. Wimbo huu ni miongoni mwa nyimbo zilizomo katika album yao mpya iitwayo WEMA WA MUNGU iliyoandaliwa kwa ustadi wa hali ya juu na Kurekodiwa katika studio za DADY Productions.
Ili kupata album hii usiache kuwasiliana nao kupitia namba zifuatazo +255 762 994 947 & +255 744 773 508
Kazi hii imerekodiwa katika studio za DADY PRODUCTIONS
_Sound Engineer: Dady Rutta
_Video Shot & Directed By Dady Rutta
Contact DADY Productions for booking
dadyrutta88@gmail.com
+255 745 260 131/+255 715 068 534
Get more videos from DADY Productions
TWAJA KUKUSHUKURU
• TWAJA KUKUSHUKURU [OFF...
MBEBA MIUJIZA
• MBEBA MIUJIZA [OFFICIA...
WEMA WA MUNGU
• WEMA WA MUNGU (Officia...
#dadyproduction
Safiiiii sana
Barikiw san
Safi sana watu wa nyumbni mmejitahidi sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu awabariki
Wimbo mtamu sana wenye ujumbe wa kutia Imani!!!
Ako imenjaza neno LA mungu mbarkiwe xna imentakaza Nami nfike apo
Naomba nota
Asanti Santa!!!!
Mabugai kwaya
Hello kwenu choir geita inavutia
Very nice 🙏🙏
Wanakwaya wote mbarikiwe kwa kazi nzuri mnayoifanya has a hii ya kuimba na kumsifu bwana
Amina m barikiwe
Hongereni sana wimbo mzuri sana
Waaaaaah
Mungu awaomgezee vipaji ivyo
Hongereni Sana wanakwaya
Good voice
Smart
Hongereni kwa utume,,,wimbo mzuri nimebarikiwa mnooo!!!
Ongeren sana wanakwaya wezangu.
Mbarikiwe sana kwa kaz nzri 🙏
Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri sana
Bwana nakuja kwa unyenyekevu nikiomba neema,uniinue bwana🙏🏼🙏🏼🙌🏼
Hongereni sana mbarikiwe naomba namba za cm za aliecheza kinanda
💓💓🎶
Mungu awatie nguvu Katika utume wenu 🙏🕊️🕊️🕊️
Safi sana
Asante kwa wito nzuri wanadada.
Barikiwe sana kwa utume mzr
Mbarikiwe sana waimbaji
ASANTENI SANA WANAKWAYA KWA WIMBO MZURI KABISA. MUNGU AEDELEE NA KUWATIA GUVU ZA KUMTUMIKIA MILELE NA MILELE AMINA. GOD BLESS YOU ALL. FROM QATAR BUT A KENYAN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tujifunze kitu kiziri...comment ziambatane na kusubscribe ndo njia nzuri ya kusapotiana usikomee kutazama tu huo sio ungwana.
Mbarikiwe... Great
Furedy musc wanafi
Bwana awabariki
Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri najihisi nina baraka mno🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Q
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri
Mlio wa simu
Yaani, watanzania mmebarikie, na karamu ya kuimba. Mko Tajiri Kwa Mungu. Ninaburudika Sana na nyimbo zenu
Amina
Mungu awape nguvu mpate kuwa imara katka kaz yake🙏🏼❤️
Amina kuu
Asanteni Sana. Kazi nzuri saaaaana.
Tujifunze kitu hiki kizuri....comment ziambatane na ku subscribe ndo njia ya kusapotiana Bonyeza neno jekundu hapo Mambo yasonge mbele.
Karoli
Jaman nyimbo nzur sana ongera mwalm kazungu
Haaa umeniona?
Nice song congratulations.
So beautiful and wonderful. To God be the glory🙏🙏 Continue praising Him🥳
Tunahitaji maombi yenu Ili kuendelea na utume
Kwaya hii zulisana
Nice song God bless you
Wimbo mzuri na mmeuimba vizuri sana. Heko waimbaji na mpiga kinanda, asanteni sana na barikiweni sana.
Mr. Naomba uje kwetu pia ulianza bt tuko Kwa prosess uko chelelemuk parish sub parish ya machakha tumesisimka xna karbuni Asanten xana amen
Hongereni sana sana,kazi nzuri mnoo.
Asantani
Kazi nzuri saaaan 🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️
Ongereni.sana.umeimba.vizuri.sana.adi.kajinogea
Nimefurahia na kubarikiwa
Amina
Thank you Jesus 🙏🙏🙌🙌 amen
Congratulations 👦👬👦👬
Kazi nzuri sana hongereni na utume Mungu. awabaliki
👏👏👏👏😃
Tunaomba saport yenu watanzania kwa ujumla kwenye channel yetu hii na mungu awabariki sana sana kwa moyo wwnu
Amazing
Waooh
Beautiful song 🤩🤩
Nice song indeed
Nice song
Lovely vocals
Beautiful voices loved the song from the start
Hongeren wanakwaya wetu wimbo huu nimeupenda na una ujumbe mzr umenigusa sana
God bless you all.
Ameeeen
Wonderful Voices be blessed all.
Phone memory
Hi
Nice song 🎵 👌 👍 👏 ♥
Congratulations
Naombeni copy za Wimbo huu
Hakika huu wimbo mtamu .Mungu awabariki.Bwana nitie nguvu
find
Sauti safi asante sana...