AIC Chang'ombe Choir (CVC) - MOYO (Official Live Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #MOYO, ni wimbo wa Tatu katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
    Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
    Tunaamini wimbo huu utaenda kufanyika Baraka katika maisha yako. MUNGU AKUBARIKI.
    LYRICS
    Kama machozi yangeweza kusimulia
    namna gani moyo unatunza mengi
    Kama machozi yangeweza kusimulia
    namna gani moyo unavumilia
    Moyo umebeba jeraha zangu
    Eeh Moyo umebeba huzuni zangu
    Moyo umebeba furaha yangu
    Eeh Moyo umebeba ushindi wangu
    Kuna muda kinywa kinatabasamu lakini Moyo unalia
    Kuna muda macho yanafurahi lakini Moyo unalia
    Nitaulinda moyo wangu kuliko yote niyalindayo , niyalindayo,
    Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima , Za uzima, za uzima
    Nitaulinda moyo wangu kuliko yote niyalindayo niyalindayo,
    Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima , Za uzima, za uzima
    Kama machozi yangeweza kusimulia
    namna gani Moyo unatunza mengi
    Kama machozi yangeweza kusimulia
    namna gani Moyo unavumilia
    Linda Moyo wako kuliko yote uyalindayo
    Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima
    MUNGU BABA nifute machozi yangu mimi
    Waujua Moyo wangu nigange jeraha zangu nibaki
    MUNGU BABA nifute machozi yangu mimi
    Waujua moyo wangu nigange jeraha zangu nibaki
    Special Thanks
    AICT CHANG'OMBE CHURCH
    Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
    CREDITS.
    Song writer - Elisha Gerlad
    Music Team - Benjamin Makolobela (MD,MAIN KEYS)
    Elisha Gurlaty (AUX 1)
    Elia Mahuna (AUX 3)
    Onesmo Peter (AUX 2)
    Emmanuel Yusuph (BASS)
    Daniel (LEAD GUITAR)
    Mayala Bubele (TRUMPET)
    Charles Stenson (TROMBONE)
    Meshack Wilson (TROMBONE)
    Eliya Makaya (ALTO SAX)
    Raphael Luhende (ALTO SAX)
    Samson Mathew (DRUMS)
    Video production - CVC Media
    Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
    Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
    Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro

Комментарии • 769

  • @SamsonJohn-hw1jq
    @SamsonJohn-hw1jq 7 месяцев назад +127

    Nione like za wanao linda mioyo yao kama mimi hapa🎤

    • @RichMotherr
      @RichMotherr 7 месяцев назад +1

      ❤❤❤❤here I am

    • @ManziElysee-xh1nc
      @ManziElysee-xh1nc 7 месяцев назад +1

      wauuu . yure amama anegonga nafasi yangu na mwokozi jaman ninaomba namba zake please

    • @kavughoanne8985
      @kavughoanne8985 7 месяцев назад

      🎉🎉🎉yy le je suis la hč

    • @JanetNdungu-ke4to
      @JanetNdungu-ke4to 6 месяцев назад

      Be blessed

    • @Elishajohaness-qd5tk
      @Elishajohaness-qd5tk 5 месяцев назад

      I'm to I like this song.pia nahuyo man aliye solo

  • @ibzanruheta
    @ibzanruheta 7 месяцев назад +7

    Adelina Gasto Umeutendea Haki huu Wimbo

  • @beatricemalle4422
    @beatricemalle4422 7 месяцев назад +14

    Wimbo uliobeba uponyaji hakika mbarikiwe maana huu wimbo unaweza sikiliza siku nzima moyo ukawa na amani kubwa

  • @LydiaKashimba
    @LydiaKashimba 7 месяцев назад +7

    Hakika Kristo mwenyewe ahusike ktk kuiponya mioyo iliyozimia na kujeruhika ktk changamoto yoyote ya kimaisha🙏

  • @TeresiaJohn-wk3sz
    @TeresiaJohn-wk3sz 6 месяцев назад +9

    Jamn huu wimbo unaupako mno nausikiliza kuanzia asubuh mpka jion,,,,Mungu azudi kuwainua watumishi wa Mungu🙏🙏

  • @Mwakibingahanna-fz4oy
    @Mwakibingahanna-fz4oy 6 месяцев назад +11

    Yhe song is anointed mmejua kumwambia MUNGU agange MOYO wangu thanks CVC❤❤❤

  • @MadilishaSimon-sb9kk
    @MadilishaSimon-sb9kk 6 месяцев назад +9

    Duuuh Tanzania nchi yangu imebarikiwa sana , MUNGU ibariki Tanzania na MUNGU ibariki Israel

  • @LovenessPeter-r6o
    @LovenessPeter-r6o 7 месяцев назад +7

    huu wimbo niliungoja kwa mda sana hatimaye yamekuwa napenda sana vipenzi vyangu nimebalikiwa sana na huu wimbo mungu aendelee kutenda juu yenu❤❤❤❤❤❤❤

  • @leonardjoseph4206
    @leonardjoseph4206 7 месяцев назад +7

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤nawapenda sana hakika wimbo huu unanipa fraja saana😢

  • @Mwakibingahanna-fz4oy
    @Mwakibingahanna-fz4oy 6 месяцев назад +11

    Huyu dada Nataman kumuona live the voice is VOCALIZED ❤❤❤ duh watu wanaimba jmn AIC CHANG'OMBE ❤❤

  • @samsonbaptistdrummer607
    @samsonbaptistdrummer607 7 месяцев назад +14

    Hii mixing apple music lazima itake iwe live ni balaaaa😂😂

  • @MaryMalale-r5z
    @MaryMalale-r5z 7 месяцев назад +6

    wimbo unasikiliza mpaka unasisimka🙌 wimbo mzuri mno

  • @kipkiruigillie4332
    @kipkiruigillie4332 7 месяцев назад +9

    Moyo wimbo mkubwa sana 🙏 kenya mnapendwa sana 🇰🇪

  • @Regnard999
    @Regnard999 7 месяцев назад +7

    Amina sana, naulinda moyo wangu maana ndiko zitokazo chemichemi za uzima. CVC Mungu azidi kuwainua viwango hata viwango😭😭❤️❤️

  • @HappySamwel-z6b
    @HappySamwel-z6b 7 месяцев назад +6

    Wimbo umenibariki sana nilikuwa nasubr huu wimbo utoke

  • @ngatatv1365
    @ngatatv1365 7 месяцев назад +9

    Hii nyimbo imebadilisha kabisa uimbaji wa cvc aise😊 May God truly use our loved ones in him who strengthens us

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 7 месяцев назад

      Sifa, heshima na utukufu kwa BWANA Yesu KRISTO

  • @happynessmathias4085
    @happynessmathias4085 7 месяцев назад +9

    Nmejikuta machozi yananitiririka ahsant kwa wimbo mzr uliobeba maisha ya watu wengi sana, nawapenda sana cvc

  • @hellen9056
    @hellen9056 7 месяцев назад +21

    Kitu cha muhimu kuliko yote nini hatima baada ya uimbaji huu je tunavyo viimba tunaviishi ? Niushauri tu jitaidi kuishi utakatifu wa ndani na nje msiige staili za Dunia hii na mitindo ya Dunia hii namaurembo ya dunia hii kama watakatifu wapendwao na yesu mokozi Mungu awe nanyi

    • @nestoryntogwa805
      @nestoryntogwa805 7 месяцев назад

      Asante kwa ushauri

    • @stepsdecor
      @stepsdecor 6 месяцев назад

      Mungu anaangalia moyo !! Haijalishi na karama za Mungu hazina majuto !!! Keep it up guys! Mlindwe na huyu Mungu mnaemuabudu na kumpa sifa zake🔥🔥🔥

    • @bennyngereza9619
      @bennyngereza9619 2 месяца назад +1

      Ubarikiwe sana Mpendwa kwa kuuliza hili swali na kutoa Ushauri mzuri. Mara nyingi/ Waimbaji wengi huwa wanatuimbia sisi wasikilizaji na watazamaji, LAKINI WAO HUWA HAYAWAGUSI WALA HAYAWASAIDII KUBADILISHA MAISHA YAO. GOSPEL MUSIC NI KAMA HAIPISHANI NA DANCE MUSIC. MUNGU ATUSAIDIE SANA NA AWASAIDIE WAIMBAJI NA KUWAONDOLEA ROHO YA KIBURI CHA UZIMA

  • @DanielMkandama
    @DanielMkandama 7 месяцев назад +5

    Tunaoponywa mioyo tu gonge like hapa

  • @estherkafula7356
    @estherkafula7356 7 месяцев назад +8

    Yaaan nimerudia nikarudia nakurudia nikajikuta yamekua maombi yangu...... Anigange moyo wangu nibaki salama!

  • @HurumaMfelo
    @HurumaMfelo 7 месяцев назад +7

    Mungu nigange moyo wangu ,mpaka nimelia Mungu wajua Mapito ninayo pitia. Mungu awabariki sana CVC

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 7 месяцев назад +6

    Kiukweli wimbo unaimba sana ndani yangu narudia kila mda kutazama haswa kwa huyu solo mdada aisee anamafuta ya ajabu mnooo

  • @quenlameck2835
    @quenlameck2835 7 месяцев назад +15

    Bro ana sauti ya Joel lwaga,hakika Mungu kaachilia vipawa Tanzania,sifa na utukufu ni kwako Mungu wa isaka,Mungu wa Ibrahim,❤❤

  • @sund2553
    @sund2553 4 месяца назад +9

    Huyu dada solo ni 🔥 (ingizo jipya chang'ombe upande wa ma solo) mkaka yupo vizur pia ukisikiliza kwa audio waeza sema ni joellwaga

  • @mwl.ombimahenge6782
    @mwl.ombimahenge6782 7 месяцев назад +5

    Mungu ugange moyo wangu katika maisha yangu

  • @aziramartine252
    @aziramartine252 7 месяцев назад +8

    Yeye ajuaye mahali sahihi pa kuuweka moyo wakati anatuumba anajua huwa unabeba majeraha,huzuni lakini pia furaha na ushindi wetu hivyo ni maombi yangu atugange tubaki salama🙌

  • @elishgurlat4716
    @elishgurlat4716 7 месяцев назад +22

    MUNGU Ugangae Mioyo Yetu Tuko Tayari Kupokea Ibaada hii Tuhudumie Bwana Tugange Jeraha zetu Tubaki Salama🙏

  • @destinygift2424
    @destinygift2424 6 месяцев назад +10

    Nimejikuta natoa machozi masna jeraha nilizo nazo ni chunguuu 😭😭😭😭😭

  • @MafanghaAmos
    @MafanghaAmos 7 месяцев назад +5

    Nausubili sana huu wimbo maana nimesikia kionjo two nautanigagnga moyo wangu

  • @therezastephen1361
    @therezastephen1361 7 месяцев назад +5

    Wimbo unagusa moyo wangu, Mungu unisaidie niulinde moyo maana ndiko itokako chemichemi

  • @mussatv7320
    @mussatv7320 7 месяцев назад +8

    Mpaka mwili umesisimka

  • @latifar.kichuna-kwamboka
    @latifar.kichuna-kwamboka 7 месяцев назад +5

    ❤❤❤❤ Nita linda moyo wangu

  • @floranyefwe3464
    @floranyefwe3464 7 месяцев назад +5

    Kila siku naingia four times huku RUclips kuangalia huu wimbo wa Moyo najikuta Mungu ananivusha kwa kuganga Moyo uliojeruhiwa na marafiki, ndugu, mahusiano, kazini lakini Mungu anatuvusha 🙏🙏

  • @GeorgMgaye
    @GeorgMgaye 7 месяцев назад +9

    Hongera sana mfello na hyu dada mmeimba vzri nmebarkiwa mno ila mfello kaimba kma Joel lwaga au ndguu yake nni

  • @BerthaLimbe
    @BerthaLimbe 7 месяцев назад +4

    Kama machozi yangeweza kusmulia namna gani moyo unavumilia Yesu nigange nigange ❤❤❤

  • @agnesmwangama2553
    @agnesmwangama2553 6 месяцев назад +6

    Hongera Kwa uwimbaji unaogusa mioyo ya watu mmenibariki mno.

  • @marymakima9093
    @marymakima9093 7 месяцев назад +6

    Mungu Baba nifute machozi yangu mimiiii .... mbarikiwe sana jamani.

  • @GracePetro-oz7ns
    @GracePetro-oz7ns 7 месяцев назад +3

    Duu hongereni sana ,,mpaka machozi yananitoka MUNGU azidi kuwainua zaid

  • @danielreuben-vg8ro
    @danielreuben-vg8ro 6 месяцев назад +12

    Nimechelewa wapi, kuusikia wimbo mzuri hivi😢😢😢!!! Bless you people of God...the song is very powerful..
    The leaders wamefanya wonders..the back vocals...the musicians and arrangements just superb.

  • @MaryWMwasupa
    @MaryWMwasupa 7 месяцев назад +3

    ❤ 😢😢Kwa kweli mmeganga moyo Wang , Mungu wa Mbingun awabariki nimechilia mengi 😭😭

  • @adamndamayape428
    @adamndamayape428 7 месяцев назад +3

    Mbarikiwa sana watumishi wa Mungu kazi yenu ni njema

  • @mwangalimijr1894
    @mwangalimijr1894 7 месяцев назад +7

    Yah Wimbo mkubwa sana huu , Mungu awabariki sana watumishi

  • @raphaelntambi6404
    @raphaelntambi6404 7 месяцев назад +6

    Mlio lead🙌 Mungu awakumbuke

  • @NdutiThomas
    @NdutiThomas 7 месяцев назад +3

    Hakika MOYO umebeba mengi mazuri na mabaya, yenye kufurahisha na yenye kuhuzunisha pia, Eee Mungu igange Mioyo yetu✊🙏📖🕊️............!!

  • @DanielMkandama
    @DanielMkandama 7 месяцев назад +3

    Mungu nisaidie kuulinda moyo wangu kuliko yote niyalindayo

  • @LydiaMzuri-pb7ne
    @LydiaMzuri-pb7ne 7 месяцев назад +3

    😭😭😭😭Mungu awabariki sana hakika moyo una vitu vingi sana

  • @NeemaBuluba
    @NeemaBuluba 7 месяцев назад +4

    ❤hongereni wapendwa kazi nzuri

  • @ZainabAbdul-dl4jn
    @ZainabAbdul-dl4jn 7 месяцев назад +3

    Tunaendelea kugangwa ♥

  • @MaryWMwasupa
    @MaryWMwasupa 7 месяцев назад +3

    Mfelo kwa steg.... Mungu aakubariki san best yangu huduma yako ni njemaaa ❤❤😭😭

  • @MariamMariam-bq3vm
    @MariamMariam-bq3vm 7 месяцев назад +3

    ❤ umebeba furaha yangu umebeba ba huzuni zangu pia. Mungu awabariki sana watumishi wake

  • @festosolomon5625
    @festosolomon5625 7 месяцев назад +2

    Kaka yangu Elisha Mungu azidi kukuinua saana

  • @AICTBUJINGWAKWAYA-tx2yu
    @AICTBUJINGWAKWAYA-tx2yu 7 месяцев назад +7

    Wmbo mzr sana

  • @rachaelntinyari8847
    @rachaelntinyari8847 7 месяцев назад +5

    Huu wimbo umeninenea sana. Nimeusikia kwa wakati ufaao. Asante wana AIC . Mbarikiwe na Mungu azidi kuinuliwa na kupokea sifa zote.

  • @magrethmkemwa9287
    @magrethmkemwa9287 6 месяцев назад +9

    ❤❤ 🤗🔥🔥🔥,Soloist ,jiandae kuimba na Malaika,Heven verv soon,Dont lost that you have,Jesus is coming.

  • @zawadhussein1583
    @zawadhussein1583 Месяц назад +2

    Solo wa kike anafanana na ana wa jua kali mmbarikiwe sana nyimbo zenu zinafanyika baraka na faraja kwetu Mungu aongoze hatua zenu.

  • @ClaireHappy
    @ClaireHappy 7 месяцев назад +6

    Oh Halleluyah.. 😢uyo dAda jmn saut tamu kutoka Mbingun

  • @officialgivenjacksonngalla
    @officialgivenjacksonngalla 6 месяцев назад +7

    Blessed are those pure in heart for they shall see God! Ahsante kwa wimmbo mzuri! Ila ni kazi kuulinda Moyo! Mungu tupe nguvu!

    • @AICTChangombeChoir_
      @AICTChangombeChoir_  6 месяцев назад

      Amen 🙏🏾

    • @johnkolingo6323
      @johnkolingo6323 6 месяцев назад

      Amina! Mungu atusaidie jamani atutie nguvu tuombe uponyaji wa mioyo yetu iwe safi, inayomwadhimisha Mungu siku zoote

  • @neemaandrew6593
    @neemaandrew6593 7 месяцев назад +5

    Mungu awainue zaidi watumishi wa Mungu,Mfelo barikiwa mno,na huyu dada jamani kaimba hadi nimejisikia kulia,nawapenda

  • @ElizaGasper-q8u
    @ElizaGasper-q8u 7 месяцев назад +4

    nawapenda sana CVC nina kaka yangu anaimba humo

  • @neemamboyi9903
    @neemamboyi9903 7 месяцев назад +3

    Ganga mioyo yetu kristo ❤😢 tuzidi kuokolewa na neema yako kupitia huu Wimbo

  • @EsterKway
    @EsterKway 7 месяцев назад +7

    CVC never disappoint us ❤❤ Asante kwa wimbo mzurii

  • @DeviAlexander-jf8nz
    @DeviAlexander-jf8nz 7 месяцев назад +5

    Hapa mumetisha hakika nawapenda nipo mwanza nawapenda saana jamn Kaz yenu zur saana

  • @Malema_alfa
    @Malema_alfa 6 месяцев назад +7

    Mungu awabariki na kuwazidisha

  • @dorcastesha423
    @dorcastesha423 7 месяцев назад +11

    nmeiskiliz hii nyimbo nikiwa kzn najikuta tu nalia 😢 moyo wangu umejaa maumivu ila najua kupitia huu wimbo naamin ntawez kuheal tena Yesu awatunze

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 7 месяцев назад +1

      Amen. Be healed on Jesus's Name

    • @ezekielmasaga258
      @ezekielmasaga258 7 месяцев назад +1

      Amen dada,Mungu awezaye kutenda mambo Makuba na atende kwako

    • @WisalaJulius
      @WisalaJulius 7 месяцев назад

      Mungu akutane na maisha yako

  • @faustina2248
    @faustina2248 7 месяцев назад +8

    This song Khai, has got something so big ... We look for bigger places to heal forgetting that we have our own heart to guide .... Kama machozi yangeweza kusimulia namna gani moyo unavumilia..... Mioyo inalia sana ndani yetu tunabeba mizigo ... May God keep the hearts that are broken and strengthen the heart..... The lady and man in the song are blessed ... Singing live gives it the heart felt vocals... Be blessed team

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 7 месяцев назад

      Amen. Glory be to God. Pray for CVC Team

  • @PriscarDaniel-eq2jp
    @PriscarDaniel-eq2jp 6 месяцев назад +7

    Nimeusikia kwenye zamaradi TV nikakimbilia huku hongeren kwa kazi nzur mavazi yenye utukufu kwa mungu

    • @AICTChangombeChoir_
      @AICTChangombeChoir_  6 месяцев назад +1

      Amen 🙏🏾

    • @DeboraNgura
      @DeboraNgura Месяц назад

      Me nmeuona Jana usiku arise n shine tv ..nmeona nmechelewa kuujua

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 7 месяцев назад +5

    Naweza kukiri kuwa huu ni moja ya nyimbo bora zaidi za CVC katika siku za karibuni. Unagusa!

  • @DorcasKachwele
    @DorcasKachwele 6 месяцев назад +6

    Amen wimbo mzuri sana

  • @danielgunyesha7129
    @danielgunyesha7129 6 месяцев назад +6

    Hapo chang'ombe mmetisha sana

  • @floranyefwe3464
    @floranyefwe3464 7 месяцев назад +3

    Mioyo yetu Inavumilia mengi mnooo ila Mungu anatuvusha 😢

  • @polyjoh549
    @polyjoh549 7 месяцев назад +2

    😢😢😢😢❤❤ eeh Mungu naomba ugange jeraha zangu ili nibaki salama 🙌🙌

  • @janeanethmtagwaba3967
    @janeanethmtagwaba3967 7 месяцев назад +6

    Mungu awabariki katika uimbaji wenu mzidi kutuponya mioyo yetu.
    Hadi mwili unasisimuka. Mungu atukuzwe.

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 7 месяцев назад

      Amen. Sifa, heshima na utukufu kwa BWANA

  • @zakariaphilemon8275
    @zakariaphilemon8275 7 месяцев назад +3

    Wimbo safi sana kwa Pasaka hii

  • @joycemanyenye1137
    @joycemanyenye1137 7 месяцев назад +3

    Yesu nisaidi moyo wangu unapika wakati mgumu 😭😭😭😭

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 7 месяцев назад

      Bwana Yesu KRISTO akutendee kwa wema, agange jeraha zako uwe salama kabisa

  • @judithgodifrey4297
    @judithgodifrey4297 6 месяцев назад +5

    Nifute machozi yangu Yesu unigange jereha nibaki salama

  • @KelvinMushi-st6rd
    @KelvinMushi-st6rd 7 месяцев назад +4

    Mungu wa mbinguni azidi kuwabariki maana mnafanyika baraka kwa watu wengi sana.
    Kazi njema kwa uongozi wa kanisa na uongozi wa kwaya pamoja na watu wote waliohusika

    • @AICTChangombeChoir_
      @AICTChangombeChoir_  7 месяцев назад +1

      Amen..endelea kutuombea lakini pia msiache kutufuatilia kama bado huja subscribe..fanya hivyo na BWANA akubariki 🙏

    • @KelvinMushi-st6rd
      @KelvinMushi-st6rd 7 месяцев назад

      @@AICTChangombeChoir_Amen

  • @RuthYusuph-x6o
    @RuthYusuph-x6o 7 месяцев назад +6

    Mungu awabariki katika uimbaji wenu na ailinde mioyo yetu maan ndiko zitokako chemchem za uzima

  • @DanfordJohan-zd1cg
    @DanfordJohan-zd1cg 7 месяцев назад +3

    Uyo solo wakiume anaitwa nan😁😁😁😁😂 amenifuraishaa sanaa anaimba vzr

    • @deonjau-hr4xp
      @deonjau-hr4xp 7 месяцев назад

      Anaitwa Mfello angalia nyimbo zake hapo RUclips

  • @zakayomussa8504
    @zakayomussa8504 7 месяцев назад +3

    Nilikuwa natamani San nione huu wimbo ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉muñgú awe pamoja nanyi

  • @aghatamaziku6173
    @aghatamaziku6173 7 месяцев назад +4

    Nawapenda mno nyie watu..Mungu awabariki

  • @carolinemballa5952
    @carolinemballa5952 7 месяцев назад +4

    😢Bwana waujua Moyo wangu

  • @mariampaulo7894
    @mariampaulo7894 7 месяцев назад +6

    Mungu awabariki sana tena sana Jaman wimbo huu umenigusa sana Mungu azidi kuwainua❤

  • @jacobmwanza3292
    @jacobmwanza3292 7 месяцев назад +5

    I love it.... Utukufu kwa Mungu. Linda moyo

  • @magrethmanyanda714
    @magrethmanyanda714 7 месяцев назад +3

    Great Song!! Mungu aendelee kuwatumia!

  • @NshomileStore
    @NshomileStore 2 месяца назад +8

    Team august gether here....Linda moyo wako MITHALI 4:23

  • @jordanwillingtone4361
    @jordanwillingtone4361 7 месяцев назад +4

    Hongereni watu wa Mungu wimbo umenigusa sana

  • @kentech7
    @kentech7 7 месяцев назад +7

    I love this.... I'll guard my heart, from it comes the spring of life

  • @godfreysanziki1461
    @godfreysanziki1461 7 месяцев назад +2

    Utukufu Kwa Muuuungu ooooh kazi inapasua mbingu patakatifu pake Mungu ☝️

  • @godlistenmkonyi5109
    @godlistenmkonyi5109 7 месяцев назад +5

    Mmeimba kwa kiwango cha juu sana, tunabarikiwa na wimbo huu mzuri wenye ujumbe mzuri

  • @geofreyluguma3259
    @geofreyluguma3259 7 месяцев назад +5

    The lady is talented. Wimbo mzuri sana. Barikiwa sana

  • @JanethMathayo-dh8cu
    @JanethMathayo-dh8cu 7 месяцев назад +3

    Una Wazo zuri sana wimbo huu,unatia moyo unafariji Na una ujumbe my might God Bless you so 🙏

  • @makulamonde3792
    @makulamonde3792 7 месяцев назад +5

    Wimbo mzuri sana
    Moyo nichombo cha sifa.

  • @AdelaKauki
    @AdelaKauki 6 месяцев назад +6

    Mimi pia naulinda moyo wangu,mithali 4:23.

  • @ElizabethMbombo-wz4xl
    @ElizabethMbombo-wz4xl 6 месяцев назад +6

    Very touching

  • @joycemakiya8672
    @joycemakiya8672 6 месяцев назад +6

    Mungu kanipa wimbo,😢 Yesu nigange hakika....

  • @pendomkumbo8262
    @pendomkumbo8262 7 месяцев назад +3

    Nigange jeraha zangu Yesu Kristo nibaki salama .......uzima wangu si kitu bila salama na afya ya Moyo wangu

  • @marystephen1183
    @marystephen1183 7 месяцев назад +4

    Mungu ganga jereha zangu nibaki salama

  • @richardnorman5179
    @richardnorman5179 7 месяцев назад +3

    Kutoka Nairobi Kenya,hongera,so artistic.🙏

  • @GibsonMinani
    @GibsonMinani 7 месяцев назад +5

    Hakika wimbo mzuri.

  • @cellinechiwambo
    @cellinechiwambo 7 месяцев назад +4

    Watching from Malawi, I love this choir from the moon n back....they really bless me even if I don't understand fully