AIC Chang'ombe Choir (CVC) - MOYO (Official Live Video)
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- #MOYO, ni wimbo wa Tatu katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
Tunaamini wimbo huu utaenda kufanyika Baraka katika maisha yako. MUNGU AKUBARIKI.
LYRICS
Kama machozi yangeweza kusimulia
namna gani moyo unatunza mengi
Kama machozi yangeweza kusimulia
namna gani moyo unavumilia
Moyo umebeba jeraha zangu
Eeh Moyo umebeba huzuni zangu
Moyo umebeba furaha yangu
Eeh Moyo umebeba ushindi wangu
Kuna muda kinywa kinatabasamu lakini Moyo unalia
Kuna muda macho yanafurahi lakini Moyo unalia
Nitaulinda moyo wangu kuliko yote niyalindayo , niyalindayo,
Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima , Za uzima, za uzima
Nitaulinda moyo wangu kuliko yote niyalindayo niyalindayo,
Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima , Za uzima, za uzima
Kama machozi yangeweza kusimulia
namna gani Moyo unatunza mengi
Kama machozi yangeweza kusimulia
namna gani Moyo unavumilia
Linda Moyo wako kuliko yote uyalindayo
Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima
MUNGU BABA nifute machozi yangu mimi
Waujua Moyo wangu nigange jeraha zangu nibaki
MUNGU BABA nifute machozi yangu mimi
Waujua moyo wangu nigange jeraha zangu nibaki
Special Thanks
AICT CHANG'OMBE CHURCH
Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
CREDITS.
Song writer - Elisha Gerlad
Music Team - Benjamin Makolobela (MD,MAIN KEYS)
Elisha Gurlaty (AUX 1)
Elia Mahuna (AUX 3)
Onesmo Peter (AUX 2)
Emmanuel Yusuph (BASS)
Daniel (LEAD GUITAR)
Mayala Bubele (TRUMPET)
Charles Stenson (TROMBONE)
Meshack Wilson (TROMBONE)
Eliya Makaya (ALTO SAX)
Raphael Luhende (ALTO SAX)
Samson Mathew (DRUMS)
Video production - CVC Media
Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro
Nione like za wanao linda mioyo yao kama mimi hapa🎤
❤❤❤❤here I am
wauuu . yure amama anegonga nafasi yangu na mwokozi jaman ninaomba namba zake please
🎉🎉🎉yy le je suis la hč
Be blessed
I'm to I like this song.pia nahuyo man aliye solo
Adelina Gasto Umeutendea Haki huu Wimbo
Wimbo uliobeba uponyaji hakika mbarikiwe maana huu wimbo unaweza sikiliza siku nzima moyo ukawa na amani kubwa
Amen. Sifa na utukufu kwa BWANA
Hakika Kristo mwenyewe ahusike ktk kuiponya mioyo iliyozimia na kujeruhika ktk changamoto yoyote ya kimaisha🙏
Jamn huu wimbo unaupako mno nausikiliza kuanzia asubuh mpka jion,,,,Mungu azudi kuwainua watumishi wa Mungu🙏🙏
Yhe song is anointed mmejua kumwambia MUNGU agange MOYO wangu thanks CVC❤❤❤
Amen 🙏🏾
Duuuh Tanzania nchi yangu imebarikiwa sana , MUNGU ibariki Tanzania na MUNGU ibariki Israel
huu wimbo niliungoja kwa mda sana hatimaye yamekuwa napenda sana vipenzi vyangu nimebalikiwa sana na huu wimbo mungu aendelee kutenda juu yenu❤❤❤❤❤❤❤
Amina
Amen 🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤❤nawapenda sana hakika wimbo huu unanipa fraja saana😢
Huyu dada Nataman kumuona live the voice is VOCALIZED ❤❤❤ duh watu wanaimba jmn AIC CHANG'OMBE ❤❤
Hii mixing apple music lazima itake iwe live ni balaaaa😂😂
wimbo unasikiliza mpaka unasisimka🙌 wimbo mzuri mno
Moyo wimbo mkubwa sana 🙏 kenya mnapendwa sana 🇰🇪
Amen..Tunawapenda pia
Amina sana, naulinda moyo wangu maana ndiko zitokazo chemichemi za uzima. CVC Mungu azidi kuwainua viwango hata viwango😭😭❤️❤️
Amina
Wimbo umenibariki sana nilikuwa nasubr huu wimbo utoke
Hii nyimbo imebadilisha kabisa uimbaji wa cvc aise😊 May God truly use our loved ones in him who strengthens us
Sifa, heshima na utukufu kwa BWANA Yesu KRISTO
Nmejikuta machozi yananitiririka ahsant kwa wimbo mzr uliobeba maisha ya watu wengi sana, nawapenda sana cvc
Amen. Glory be to God
Kitu cha muhimu kuliko yote nini hatima baada ya uimbaji huu je tunavyo viimba tunaviishi ? Niushauri tu jitaidi kuishi utakatifu wa ndani na nje msiige staili za Dunia hii na mitindo ya Dunia hii namaurembo ya dunia hii kama watakatifu wapendwao na yesu mokozi Mungu awe nanyi
Asante kwa ushauri
Mungu anaangalia moyo !! Haijalishi na karama za Mungu hazina majuto !!! Keep it up guys! Mlindwe na huyu Mungu mnaemuabudu na kumpa sifa zake🔥🔥🔥
Ubarikiwe sana Mpendwa kwa kuuliza hili swali na kutoa Ushauri mzuri. Mara nyingi/ Waimbaji wengi huwa wanatuimbia sisi wasikilizaji na watazamaji, LAKINI WAO HUWA HAYAWAGUSI WALA HAYAWASAIDII KUBADILISHA MAISHA YAO. GOSPEL MUSIC NI KAMA HAIPISHANI NA DANCE MUSIC. MUNGU ATUSAIDIE SANA NA AWASAIDIE WAIMBAJI NA KUWAONDOLEA ROHO YA KIBURI CHA UZIMA
Tunaoponywa mioyo tu gonge like hapa
Yaaan nimerudia nikarudia nakurudia nikajikuta yamekua maombi yangu...... Anigange moyo wangu nibaki salama!
Bwana ni mwema,atatenda kulingana na hitaji la moyo wako kwake.
Amen
Mungu nigange moyo wangu ,mpaka nimelia Mungu wajua Mapito ninayo pitia. Mungu awabariki sana CVC
Amen 🙏 Mungu angage jeraha zetu tubaki salama 😭😭
Amen..🙏
Kiukweli wimbo unaimba sana ndani yangu narudia kila mda kutazama haswa kwa huyu solo mdada aisee anamafuta ya ajabu mnooo
Bro ana sauti ya Joel lwaga,hakika Mungu kaachilia vipawa Tanzania,sifa na utukufu ni kwako Mungu wa isaka,Mungu wa Ibrahim,❤❤
Amen
Ujakosea
Was looking for this comment
Yeeeees
Huyu dada solo ni 🔥 (ingizo jipya chang'ombe upande wa ma solo) mkaka yupo vizur pia ukisikiliza kwa audio waeza sema ni joellwaga
Mungu ugange moyo wangu katika maisha yangu
Yeye ajuaye mahali sahihi pa kuuweka moyo wakati anatuumba anajua huwa unabeba majeraha,huzuni lakini pia furaha na ushindi wetu hivyo ni maombi yangu atugange tubaki salama🙌
Amen
Ameni
MUNGU Ugangae Mioyo Yetu Tuko Tayari Kupokea Ibaada hii Tuhudumie Bwana Tugange Jeraha zetu Tubaki Salama🙏
Haaki hahaha imenyooka😂🔥🔥🔥🔥
Iko hot sana kaka tunabarikiwa sana
Jamanii Pongezi kwenuu Kazi nzuriii sanaa❤
Amen
Amen
Nimejikuta natoa machozi masna jeraha nilizo nazo ni chunguuu 😭😭😭😭😭
Mungu atakuvusha🤲🏾
Nausubili sana huu wimbo maana nimesikia kionjo two nautanigagnga moyo wangu
Amen
Wimbo unagusa moyo wangu, Mungu unisaidie niulinde moyo maana ndiko itokako chemichemi
Amina
Mpaka mwili umesisimka
Mungu akuhudumie
❤❤❤❤ Nita linda moyo wangu
Kila siku naingia four times huku RUclips kuangalia huu wimbo wa Moyo najikuta Mungu ananivusha kwa kuganga Moyo uliojeruhiwa na marafiki, ndugu, mahusiano, kazini lakini Mungu anatuvusha 🙏🙏
Hongera sana mfello na hyu dada mmeimba vzri nmebarkiwa mno ila mfello kaimba kma Joel lwaga au ndguu yake nni
Ni fundi anaujua mziki kwa kipaji
Utadhani ni yeye
Kama machozi yangeweza kusmulia namna gani moyo unavumilia Yesu nigange nigange ❤❤❤
Hongera Kwa uwimbaji unaogusa mioyo ya watu mmenibariki mno.
Mungu Baba nifute machozi yangu mimiiii .... mbarikiwe sana jamani.
Amen
Duu hongereni sana ,,mpaka machozi yananitoka MUNGU azidi kuwainua zaid
Amen. Glory be to God
Nimechelewa wapi, kuusikia wimbo mzuri hivi😢😢😢!!! Bless you people of God...the song is very powerful..
The leaders wamefanya wonders..the back vocals...the musicians and arrangements just superb.
❤ 😢😢Kwa kweli mmeganga moyo Wang , Mungu wa Mbingun awabariki nimechilia mengi 😭😭
Mbarikiwa sana watumishi wa Mungu kazi yenu ni njema
Yah Wimbo mkubwa sana huu , Mungu awabariki sana watumishi
Mlio lead🙌 Mungu awakumbuke
Hakika MOYO umebeba mengi mazuri na mabaya, yenye kufurahisha na yenye kuhuzunisha pia, Eee Mungu igange Mioyo yetu✊🙏📖🕊️............!!
Mungu nisaidie kuulinda moyo wangu kuliko yote niyalindayo
😭😭😭😭Mungu awabariki sana hakika moyo una vitu vingi sana
❤hongereni wapendwa kazi nzuri
Tunaendelea kugangwa ♥
Mfelo kwa steg.... Mungu aakubariki san best yangu huduma yako ni njemaaa ❤❤😭😭
❤ umebeba furaha yangu umebeba ba huzuni zangu pia. Mungu awabariki sana watumishi wake
Kaka yangu Elisha Mungu azidi kukuinua saana
Wmbo mzr sana
Huu wimbo umeninenea sana. Nimeusikia kwa wakati ufaao. Asante wana AIC . Mbarikiwe na Mungu azidi kuinuliwa na kupokea sifa zote.
Amen
❤❤ 🤗🔥🔥🔥,Soloist ,jiandae kuimba na Malaika,Heven verv soon,Dont lost that you have,Jesus is coming.
Anaimba vizuri sana, Dadaa
Solo wa kike anafanana na ana wa jua kali mmbarikiwe sana nyimbo zenu zinafanyika baraka na faraja kwetu Mungu aongoze hatua zenu.
Oh Halleluyah.. 😢uyo dAda jmn saut tamu kutoka Mbingun
Blessed are those pure in heart for they shall see God! Ahsante kwa wimmbo mzuri! Ila ni kazi kuulinda Moyo! Mungu tupe nguvu!
Amen 🙏🏾
Amina! Mungu atusaidie jamani atutie nguvu tuombe uponyaji wa mioyo yetu iwe safi, inayomwadhimisha Mungu siku zoote
Mungu awainue zaidi watumishi wa Mungu,Mfelo barikiwa mno,na huyu dada jamani kaimba hadi nimejisikia kulia,nawapenda
Amen
nawapenda sana CVC nina kaka yangu anaimba humo
Amen. Twakupenda pia
Ganga mioyo yetu kristo ❤😢 tuzidi kuokolewa na neema yako kupitia huu Wimbo
CVC never disappoint us ❤❤ Asante kwa wimbo mzurii
Amen. Glory be to God
Hapa mumetisha hakika nawapenda nipo mwanza nawapenda saana jamn Kaz yenu zur saana
Amen. Sifa na utukufu kwa BWANA
Mungu awabariki na kuwazidisha
Amen 🙏🏾
nmeiskiliz hii nyimbo nikiwa kzn najikuta tu nalia 😢 moyo wangu umejaa maumivu ila najua kupitia huu wimbo naamin ntawez kuheal tena Yesu awatunze
Amen. Be healed on Jesus's Name
Amen dada,Mungu awezaye kutenda mambo Makuba na atende kwako
Mungu akutane na maisha yako
This song Khai, has got something so big ... We look for bigger places to heal forgetting that we have our own heart to guide .... Kama machozi yangeweza kusimulia namna gani moyo unavumilia..... Mioyo inalia sana ndani yetu tunabeba mizigo ... May God keep the hearts that are broken and strengthen the heart..... The lady and man in the song are blessed ... Singing live gives it the heart felt vocals... Be blessed team
Amen. Glory be to God. Pray for CVC Team
Nimeusikia kwenye zamaradi TV nikakimbilia huku hongeren kwa kazi nzur mavazi yenye utukufu kwa mungu
Amen 🙏🏾
Me nmeuona Jana usiku arise n shine tv ..nmeona nmechelewa kuujua
Naweza kukiri kuwa huu ni moja ya nyimbo bora zaidi za CVC katika siku za karibuni. Unagusa!
Amen wimbo mzuri sana
Hapo chang'ombe mmetisha sana
Mioyo yetu Inavumilia mengi mnooo ila Mungu anatuvusha 😢
😢😢😢😢❤❤ eeh Mungu naomba ugange jeraha zangu ili nibaki salama 🙌🙌
Mungu awabariki katika uimbaji wenu mzidi kutuponya mioyo yetu.
Hadi mwili unasisimuka. Mungu atukuzwe.
Amen. Sifa, heshima na utukufu kwa BWANA
Wimbo safi sana kwa Pasaka hii
Yesu nisaidi moyo wangu unapika wakati mgumu 😭😭😭😭
Bwana Yesu KRISTO akutendee kwa wema, agange jeraha zako uwe salama kabisa
Nifute machozi yangu Yesu unigange jereha nibaki salama
Mungu wa mbinguni azidi kuwabariki maana mnafanyika baraka kwa watu wengi sana.
Kazi njema kwa uongozi wa kanisa na uongozi wa kwaya pamoja na watu wote waliohusika
Amen..endelea kutuombea lakini pia msiache kutufuatilia kama bado huja subscribe..fanya hivyo na BWANA akubariki 🙏
@@AICTChangombeChoir_Amen
Mungu awabariki katika uimbaji wenu na ailinde mioyo yetu maan ndiko zitokako chemchem za uzima
Uyo solo wakiume anaitwa nan😁😁😁😁😂 amenifuraishaa sanaa anaimba vzr
Anaitwa Mfello angalia nyimbo zake hapo RUclips
Nilikuwa natamani San nione huu wimbo ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉muñgú awe pamoja nanyi
Nawapenda mno nyie watu..Mungu awabariki
😢Bwana waujua Moyo wangu
Mungu awabariki sana tena sana Jaman wimbo huu umenigusa sana Mungu azidi kuwainua❤
Amen. Barikiwa pia
I love it.... Utukufu kwa Mungu. Linda moyo
Amen
Great Song!! Mungu aendelee kuwatumia!
Amen my wii
Team august gether here....Linda moyo wako MITHALI 4:23
Hongereni watu wa Mungu wimbo umenigusa sana
I love this.... I'll guard my heart, from it comes the spring of life
Sure. Be blessed
Utukufu Kwa Muuuungu ooooh kazi inapasua mbingu patakatifu pake Mungu ☝️
Mmeimba kwa kiwango cha juu sana, tunabarikiwa na wimbo huu mzuri wenye ujumbe mzuri
The lady is talented. Wimbo mzuri sana. Barikiwa sana
Una Wazo zuri sana wimbo huu,unatia moyo unafariji Na una ujumbe my might God Bless you so 🙏
Wimbo mzuri sana
Moyo nichombo cha sifa.
Hakika
Mimi pia naulinda moyo wangu,mithali 4:23.
Very touching
Mungu kanipa wimbo,😢 Yesu nigange hakika....
Nigange jeraha zangu Yesu Kristo nibaki salama .......uzima wangu si kitu bila salama na afya ya Moyo wangu
Mungu ganga jereha zangu nibaki salama
Kutoka Nairobi Kenya,hongera,so artistic.🙏
Hakika wimbo mzuri.
Watching from Malawi, I love this choir from the moon n back....they really bless me even if I don't understand fully
Amen