AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC UKO WAPI ADAMU ORIGINAL 2020

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • AICT Chang'ombe Choir Official

Комментарии • 174

  • @LilianPakilo
    @LilianPakilo 2 дня назад

    Oooh niko huku Bwana. Ninakupenda sana ji😮ni 7:34 nakungoja tu unitendee makuu ❤❤❤

  • @gitiganiibrahimdanhi7692
    @gitiganiibrahimdanhi7692 3 года назад +7

    Wimbo Mzuri,Sauti Zao ni nzuri,Ubunifu wa Hali ya juu Sana huu.
    Mwenyezi Mungu awabariki sana kwenye hii kazi AICT Chang'ombe Choir.
    Stay blessed always 🙏🙏🙏

  • @VincentOtwori
    @VincentOtwori 2 месяца назад +1

    Huu wimbo uko na nguvu za kipekee, umenipa nguvu Sana . Watu walisema mengi wakati nilinyanganywa pikipiki ya kanisa yaani nikapitia Mambo magumu mpaka kanisa wenyewe wakakosa kuamini ya kwamba nimeibiwa pikipiki.lakini mungu akaonekana mtu wa nne kwangu baada ya maombi ikapatikana imewekwa Kwa miwa. Kutoka kisii hadi migori

  • @gloryatv1779
    @gloryatv1779 4 года назад +8

    WOW...huyu dada anaitwa nani...aisee abarikiwe sana anaimbwa vizuri sana

  • @elimwemazacharia714
    @elimwemazacharia714 4 года назад +11

    Kwaya nayoipenda sana, namshukuru Mungu kwa ajili yenu.
    Naomba nami nimtolee Mungu sadaka kwa kufanya ukalimani wa lugha ya alama (Sign Language Interpretation) hata wimbo mmoja naamini Mungu atanibariki zaidi.

    • @jerrymadaha9895
      @jerrymadaha9895 4 года назад

      Tunashukuru sana kwa moyo wa kujitoa tutakapo andaa album nyingine utahusika

  • @beatricemwakalukwa3151
    @beatricemwakalukwa3151 4 года назад +5

    You are the best sana tu, since.. Ushauri tu badilisheni ladha ya nyimbo maana zinafanana sana hata kama hujauliza unajua tu ni ninyi.. Mtunzi wa nyimbo kama ni mmoja ni kawaida kutunga nyimbo zenye test moja hata mziki pia huko hivyo... I love u

    • @jerrymadaha9895
      @jerrymadaha9895 4 года назад

      Amina tutalifanyia kazi ndugu

    • @gibsonntamamilo490
      @gibsonntamamilo490 4 года назад +5

      Mimi naomba mbaki kwenye Key yenu. Huo ndio utambulisho wenu unaowatofautisha na kwaya nyingine. - From Kigoma TZ.

    • @shadrackmpama2947
      @shadrackmpama2947 3 года назад +3

      @@gibsonntamamilo490 safi wabaki hivi hivi Mana wakipiga sebene watapotea

    • @inteafrica6640
      @inteafrica6640 3 года назад

      Ni kweli wachanganye key ladha itakua tamu zaid

    • @dorianclarain102
      @dorianclarain102 10 месяцев назад

      Msi mfurahishe mwanadamu maana nikiumbe kisicho rithika. Kila mtu Ninae share nae nyimbo zanu ana penda sana naku wa ombea baraka. Msi jichanganye msije mka kuwa kama wale wengine. Mungu awa bariki zaidi 🙏🙏

  • @linetobilo1746
    @linetobilo1746 4 года назад +4

    Naupenda sana hii choir!nyimbo zenu zinanibariki ajabu....Mimi naitika

  • @vedmandudwa7658
    @vedmandudwa7658 4 года назад +6

    Aise hongeren sana kwa vidio ya huu wimbo,nakumbuka mliupiga sku ya uznduz wa kanisa la nyihogo pale kahama,,,
    Mbarikiwe saana....Wapendwa

  • @ziribarmurumwa
    @ziribarmurumwa 4 года назад +2

    Mungu azidi kuwabariki kwa huduma yenu,
    Ningependa kuwajua masoloist Wako vizuri sana.

  • @emmiysteven3535
    @emmiysteven3535 4 года назад +2

    My favourte choir mbarikiwe sana Mungu azidi kuwainua viwango vingine vikubwa zaidi .Nawapenda

  • @muyisengeonaan792
    @muyisengeonaan792 Год назад +1

    Wonderful song !! Good voices !! Mungu awabarikiwe !!

  • @dayanalushina4993
    @dayanalushina4993 4 года назад +1

    Nice CVC.. Hongereni kwa utume..!
    Waimbishaji wapya wenye vipaji vikubwa vya sauti ...!. Nimeipenda hivyo..!! Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu...!

  • @josephkafumu6921
    @josephkafumu6921 4 года назад +2

    Nitawapenda mpaka kufa naona yusufu ndani ya suti Safi saaaaanaaa

  • @fransiscodaud7243
    @fransiscodaud7243 4 года назад +1

    Hongera sana Dada yangu rahabu kipaji kimekuwa tutakumisi sana A.C.T mganza

  • @sausausamuelmeshack2318
    @sausausamuelmeshack2318 3 года назад +5

    God bless you so much, you are a vessel of honor in God's kingdom. By serving Him you are best utilizing the special gift He deposited in you therefore He's raising you from glory to glory. In your next album production inform me, good to support God's work. God bless you

  • @mroruraare
    @mroruraare 4 года назад +1

    Huyo mrembo mwenye anaimba ako na talanta,nimependa huu wimbo.Mungu na abariki hii kwaya

    • @suzanaclud4405
      @suzanaclud4405 3 года назад

      Mtoto wa geita Chato huyo uko vizuri mumy

  • @IssacWambua
    @IssacWambua 8 месяцев назад

    AIC Changombe vijana choir you are my favourite since 2007 enzi zile za Guza song you never disappoint.

  • @geofreynassary8585
    @geofreynassary8585 4 года назад +2

    Nawakubali hadi naumwaaaa.... Mwaaaaaaa

  • @aaliyahpaul3473
    @aaliyahpaul3473 10 месяцев назад +1

    Nawapenda sana cvc mungu awatumie ipendavyo😅

  • @geraldlaurent7465
    @geraldlaurent7465 4 года назад +1

    Siku zote Mungu atusaidie tuushinde Ulimwengu huu mbingu nikuzurii Sana

  • @Architectzbn
    @Architectzbn 4 года назад +2

    Sound quality💥,music quality💥,ujumbe💥,,,,💥💥💥bless

  • @cleopatrabindangmanana576
    @cleopatrabindangmanana576 Год назад +1

    Soy Ecuator Guineano me encanta este grupo de alabanza,y me encantaría conocer de dónde es este grupo,y en ke país se. Encuentra? Y kiero el nombre completo de esta chica ke canta,esta canción de Adamu,porfa y ke tengáis un feliz Domingo

  • @daudkatungwa6867
    @daudkatungwa6867 4 года назад +1

    Naitwa Godfrey Baruth from kitunda tabora, nawapenda sana katika huduma yenu ya uimbaji mungu awabariki sana.

  • @shadii660
    @shadii660 3 года назад +1

    Thank God for this Choir. Music that is very nourishing spirits. AICT my favourite any time am in Dar-el-salaam and always here in Kenya always blessed. Hongera kwa nyote kwa kazi nzuri ya Msalaba.

  • @evalinembowe7965
    @evalinembowe7965 2 года назад

    Naomba kumfahamu mwalimu wa kwaya yenu jmn ...waimbaji mpo vzuri sn jmn

  • @floranyefwe3464
    @floranyefwe3464 4 года назад +3

    Nawapendaaaa snaaaa jaman . God bless you abundantly AICT

  • @clementasumayimorotabani8548
    @clementasumayimorotabani8548 3 года назад

    Nifuraha Kweli kuabudu Mungu pamoja na wandugu Wa kanisa hui. Mungu awabariki

  • @dorcasmoseti5948
    @dorcasmoseti5948 3 года назад +1

    Dhambi ilianza mtini ikamalizikia mtini Mungu atusaidie.Barikiweni sana kwa nyimbo nzuri

  • @raphaelmutunga999
    @raphaelmutunga999 4 года назад +3

    I can't have enough of this song, so touching to the point of tears. For sure ours is a gracious God, willing to forgive us.
    Hongera wana AICT CVC kwa kazi nzuri, Mungu na awajalie mema yake. Yet another great new soloist there.
    Listening all the way from Nairobi, Kenya.

  • @danielwanchage8734
    @danielwanchage8734 4 года назад +9

    This young lady she sings well and perfect!! She deserves to be in Kenya indeed

    • @ngwalabenedictor4678
      @ngwalabenedictor4678 3 года назад +1

      Kenya has not reached the level of having girls like this.
      Invest much, may be after 10 years you may

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 3 года назад

      I think u have yo own young ladies

    • @tomkyalo1107
      @tomkyalo1107 Год назад

      ​@@ngwalabenedictor4678 surely bona waonea wakenya?

  • @sam_wa_nduthi254
    @sam_wa_nduthi254 4 года назад +4

    This is always the choir of my choice. Changombe nawapenda sana

  • @upendogospelmedia7286
    @upendogospelmedia7286 2 года назад

    Mungu aendelee kuwatumia vyema, nimebarikiwa na wimbo Sana Sana.... Mungu atawalipa msipozimia mioyo

  • @faithmusyoki5998
    @faithmusyoki5998 4 года назад +1

    Wow...!! Ma favourite..watching frm Kenya..b blessed i say...🙏🙏🙏

  • @timonjenga1552
    @timonjenga1552 Год назад

    This is CVC i know. Brilliant work. The rhythim, the sound tells. This is your logo keep it up. Listening to this song I can feel the God's hollyness.

  • @damsonmsalangi3900
    @damsonmsalangi3900 Год назад +1

    A fantastic sollolist ❤ 😍

  • @nzalimutua5913
    @nzalimutua5913 4 года назад +3

    Indeed God's love is strange..... He still loves us despite our shortcomings.
    Will strive to follow him.
    Great song 🎤

  • @pelesilazaro4312
    @pelesilazaro4312 3 года назад

    Aiseeee mpo visuri Sanam balikiwe saaaaaana nami natamani kuwa kama nyie daaaah

  • @syombuasammysammysyombua4372
    @syombuasammysammysyombua4372 4 года назад +7

    This is my ever listening choir.. God bless you in abundance 🙏🙏

  • @barakaemmanuely8321
    @barakaemmanuely8321 4 года назад +1

    Ujumbe mzur sana Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤

  • @rabiamenshoo1988
    @rabiamenshoo1988 4 года назад +1

    Aimeeeeeeen,wimbo mzuri sana huu,nazidi kubarikiwa

  • @_Dr.Nyamohanga_Nega_PhD
    @_Dr.Nyamohanga_Nega_PhD 3 года назад +2

    I like your songs since time memorial they are refreshing and soul touching 🇰🇪

  • @LagatMichael
    @LagatMichael 4 года назад +5

    All the way from kenya.Nimekuwa nanyi tangu VUNJA.Chang'ome by now should be shooting the best quality video in East Africa.Improve on the quality otherwise setup yote iko sawa sana.God bless you

  • @user-np9qi8zh9l
    @user-np9qi8zh9l 11 месяцев назад +1

    Amen 🙏🙏 Golry to Golry

  • @AzardMkuu-wf1ms
    @AzardMkuu-wf1ms Год назад

    Nyimb munaweza

  • @geraldlaurent7465
    @geraldlaurent7465 4 года назад +1

    Mungu Mzuriii Sana 🙏🙏🙏🙏🙏 Asante kwa huduma ya yenu damu Ya. Yesu iwafunike milele

  • @stephenrimberia5825
    @stephenrimberia5825 4 года назад +2

    A nice song, from Kenya I am blessed by that choir

  • @moronayou5148
    @moronayou5148 Год назад

    My favorite choir❤️❤️❤️🙏

  • @jameskamoliurukundotanzani6153
    @jameskamoliurukundotanzani6153 4 года назад +2

    Binti kajore hongera

  • @moshanaaman5588
    @moshanaaman5588 3 года назад +1

    HUUWBO UMENIGUZA JAMANI JAMANI.

  • @stephenmalasy3587
    @stephenmalasy3587 4 года назад +1

    Nawaelewa Sana tunawasikiliza tupo na juma julius kutoka igunga ziba

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 3 года назад

    Mungu nisaidie nisije nikajificha ninapokutenda dhambi.

  • @esthermutua1287
    @esthermutua1287 4 года назад +1

    Search a powerful and awasome songs ...Be blessed changombe ...Much.love from.kenya

    • @grolysimon4241
      @grolysimon4241 3 года назад

      Amen mbarikiwe sana kwa huduma nzuri

  • @user-ec7ci5yx1l
    @user-ec7ci5yx1l Год назад

    Napenda sana nyimbo zenu zin ni bariki sana

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 5 месяцев назад +1

    Kwaya yangu naipenda

  • @Eliuskip
    @Eliuskip 4 года назад +1

    Very beautiful song!
    Bring your Albums to Nairobi.

  • @elibarikikateman5846
    @elibarikikateman5846 4 года назад +2

    oooooh!!! HALELUJAH!!!!

  • @samlush6127
    @samlush6127 4 года назад +2

    Aict hatari sisi

  • @maitali4448
    @maitali4448 5 месяцев назад

    Hhhiii nfio cbc sio uimbsje wenu wa siku hizi mlioanza kuimba

  • @jefredyfrednandy5880
    @jefredyfrednandy5880 3 года назад

    Safii sana rahabu umejuaa kunifurahishaaa CVC juuu

  • @joidingoliama9321
    @joidingoliama9321 11 месяцев назад

    Hongereni mbarikiwe, mmeimba vizuri sana

  • @danielphilipo6942
    @danielphilipo6942 4 года назад +1

    Nimebarikiwa sauti nzuri sana

  • @nancykiminza3034
    @nancykiminza3034 4 года назад +3

    Wow🎺🎻🥁🎙️🔉💕

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu1 4 года назад +2

    Wimbo mzuri sana na wenye upako 🙏🏻

  • @simonmisese8893
    @simonmisese8893 3 года назад

    Napenda sana kazi zenu wapendwa mungu zaidi kuwabariki sana

  • @user-xm1yi4ve6q
    @user-xm1yi4ve6q 10 месяцев назад +1

    Amen nice song

  • @julietmoonka7155
    @julietmoonka7155 4 года назад +1

    Wimbo mzuri sana. Mbarikiwe.

  • @samwelmagonya6184
    @samwelmagonya6184 3 года назад

    Mungu awabariki sana kwakazi zenu mnazotuletea

  • @evansmogaka289
    @evansmogaka289 3 года назад

    U've been a blessing to me en my entire family love u Aic chang'ombe.

  • @asiaminja3556
    @asiaminja3556 4 года назад

    Damu mpya na anaimbisha vzr sana. ...hongereni sana

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 4 года назад +2

    Nice song's👏👏👏

    • @elizajohn8728
      @elizajohn8728 4 года назад

      Mko vzr Sana ,mpe hi steve.pia Lidia mbona kimya.nna wapenda sana

  • @edwinwafulasirengo9622
    @edwinwafulasirengo9622 4 года назад +1

    Amen. Powerful and touching song. I can't finish listening to it.

    • @maryshirima8128
      @maryshirima8128 3 года назад

      Asante kwa huduma ya uimbaji mliyonayo nyimbo zenu zinatubariki sana

  • @winniemasaku1436
    @winniemasaku1436 4 года назад +1

    Nzuri kama kawaida
    254 watching

  • @Walter-rt9ri
    @Walter-rt9ri 4 года назад +1

    My favorite choir.❤️❤️❤️

  • @annapendokusekwa3616
    @annapendokusekwa3616 3 года назад

    Mungu awabariki sana tene aongeze masolo wa kutosha

  • @kimombokikoti346
    @kimombokikoti346 4 года назад +1

    Amina mungu azidi kuwainua

  • @patriciachebon5227
    @patriciachebon5227 3 года назад

    My all time favourite choir . God bless you much

  • @luvigageorge5150
    @luvigageorge5150 3 года назад

    Mzidi kubarikiwa ktk utunzi wenu

  • @danieliabely1229
    @danieliabely1229 2 года назад

    Mungu awabaliki mnanibalikisaana

  • @davdlugito6787
    @davdlugito6787 4 года назад +1

    Asanteni,,,Sana daaaaaa♥️♥️♥️♥️♥️♥️💯

  • @phiniasshadrackl9601
    @phiniasshadrackl9601 4 года назад

    Huu wimbo ni mzuri sana,
    Mbarikiwe sana CVC .

  • @eunicembula9090
    @eunicembula9090 2 года назад

    Perfect 👍 kabixa ♥️💯

  • @annastaziadaniel6538
    @annastaziadaniel6538 4 года назад +1

    Wimbo muzuri san,,, ❤❤❤

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo2516 3 года назад

    A i c Changombe is a well organised team,may God bless you and uplift you.

  • @samweldaniel8331
    @samweldaniel8331 2 года назад

    Wimbo mzr sana

  • @barakakavageme4338
    @barakakavageme4338 3 года назад

    Mungu azidi kuwatumia katika kazi yake, Mabariwe kwa kazi nzuri

  • @wycliffewekesa5630
    @wycliffewekesa5630 4 года назад +1

    It's really amazing choir

  • @shijaenock1408
    @shijaenock1408 3 года назад

    Wimbo mzr sana, mbarikiwe xana xana

  • @PASCHALNKWABI-jv8ok
    @PASCHALNKWABI-jv8ok Год назад

    Pongezi kwenu watumishi bwana awe nanyi

  • @mbalamwezikulobamalemo1141
    @mbalamwezikulobamalemo1141 2 года назад

    Mungu azidi kuwatumia

  • @mimwaninelitha6666
    @mimwaninelitha6666 4 года назад +1

    Hakika nawapenda MUNGU amewapaka mafuta matakatifu

  • @dismusnyantika7372
    @dismusnyantika7372 4 года назад +2

    Nice song be blessed

    • @kulwajohn2820
      @kulwajohn2820 3 года назад

      Nice song.

    • @isackmakundi195
      @isackmakundi195 3 года назад

      Hii ni kwaya haijawahi kukosea hata siku moja, ni hatari sn. Ni kwaya no moja duniani

  • @justalubadanja4393
    @justalubadanja4393 4 года назад

    Nawapenda sana watumishi wa Mungu

  • @godrivamarko9489
    @godrivamarko9489 3 года назад

    Love you chang'ombe choir My Almighty God bless you more

  • @athanasjuma1459
    @athanasjuma1459 4 года назад +2

    Amazing Sana,, my favourite choir forever

  • @jetrudalucas1623
    @jetrudalucas1623 2 года назад

    Bwana yu pamoja nas

  • @rebecadaniel3581
    @rebecadaniel3581 4 года назад

    Bwanaawabariki watumishi waMungu

  • @sergemaliamungu1959
    @sergemaliamungu1959 3 года назад

    Nzembo kotoko na mateya mingi

  • @kulagwabundu-onyango9883
    @kulagwabundu-onyango9883 2 года назад

    Ameeni!!!!!!!

  • @mathiashamsini5190
    @mathiashamsini5190 3 года назад

    Mbalikiwe sana

  • @haroldemmanuel6259
    @haroldemmanuel6259 4 года назад +1

    Wimbo mzuri.