AIC CHANG'OMBE -JINSI ZILIVYO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 387

  • @medardsilas5869
    @medardsilas5869 Год назад +30

    Jamn 2023 nani anazikubarii hz ngoma,,nipe like zangu

  • @LazaroKajole-bt4nm
    @LazaroKajole-bt4nm 7 месяцев назад +27

    Tunaosikiliza hii nyimbo 2024 tujuane 🔥🔥🔥

  • @Triplek_online
    @Triplek_online 3 месяца назад +7

    May 2024 Bado nyimbo inanibariki sana kama Huwa unarudi kuangalia mara Kwa mara like tujuane❤

  • @user-vc3uu9rd3s
    @user-vc3uu9rd3s 2 месяца назад +3

    Who is with here 2024❤❤

  • @titustito1189
    @titustito1189 14 дней назад

    Ndungu zetu kutoka Tanzania wamebarikiwa na kipawa cha utuzi wa nyimbo za injili.utukufu kwa bwana 🎉
    Nabarikiwa sana kusikiza huu wimbo

  • @user-lq1pn7wi6d
    @user-lq1pn7wi6d 3 месяца назад +3

    It sounds as if it was sang yesterday. & We are in 2024 D k from Kenya baraka Tele kwenu ❤

  • @kelvinamani3957
    @kelvinamani3957 5 месяцев назад +5

    2024 nakutukuza Mungu

  • @user-pu8rn9jn4f
    @user-pu8rn9jn4f 5 месяцев назад +4

    Tanzanias you are wonderful people in all respects, I love your choirs and the presentation by your handsome and beautiful brethren

  • @JacksonLazaro-mm3qs
    @JacksonLazaro-mm3qs 9 месяцев назад +5

    Ni 2023 kwaya hii ni nzur sana ina dumu Zaid na zaidi rudini tena ❤❤❤

  • @pascalkalembo6494
    @pascalkalembo6494 15 дней назад

    Wenye kuwa Africa shikamaneni na Bwana wetu Yesu Kristo ,wazungu wamemuchezea Bwana wetu Yesu Kristo ,songeni mbele ,watawatafuta kama vile watatafuta Njibwe ambavyo wa njenganji waliotupiliya mbali (( Yesu Kristo))(( Njiye Atakaye Kuwa Njiwe ya Musingi)) nendeni mbele .

  • @veeinn7965
    @veeinn7965 Месяц назад

    Bado nikohapa 2024 amen and amen 🙏🏿

  • @jacklinemnaa4194
    @jacklinemnaa4194 Год назад

    2023 nitayakumbuka matendo ya Bwana siku zote🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @muyisengeonaan792
    @muyisengeonaan792 2 дня назад

    The Best song from the best choir !!! Congratulations!!!!!

  • @saifakyando7746
    @saifakyando7746 9 месяцев назад +3

    Nampenda huyu dada kwa kweli anasauti nzuri org nakupenda sana ,sijui jina anaitwa nani

  • @nzoyisabafaustin7610
    @nzoyisabafaustin7610 Год назад

    Dorcas ubalikiwe saaaaaana❤

  • @mauriceonyango5703
    @mauriceonyango5703 4 года назад +22

    Wapendwa Tuko katika mwaka 2020,na kusema ukweli, sijapata kwaya yeyote katika Baraka Africa waliyo imba nyimbo nzuri kama nyingi. Nikikumbuka ile CD ya kwanza GUZA. PLIZ LET SOMEONE DOWN LOAD THEM AGAIN.Mbarikiwe Sana.

  • @CalorineMkondya
    @CalorineMkondya 4 месяца назад +2

    Mungu amewapa kitu cha tofauti Sana hawa wandugu Yesu awabariki Sana wazidi kukua na kuongezeka kiroho na kimwili❤❤❤

  • @ShadyMtush
    @ShadyMtush 5 месяцев назад

    Since I was young about 5yrs l❤your songs ❤❤❤❤❤❤

  • @KambaleKirovi
    @KambaleKirovi Месяц назад

    Waimbaji wenzangu mubarikiwe ni kambale kirovi pa butembo

  • @NyamiziJohn
    @NyamiziJohn 3 месяца назад

    Jaman huyu mama ananibariki sanakwa saut yake nzur ubarikiwe sana fanya kaz ya bwana mwisho utalipwa

  • @dominicphiri6112
    @dominicphiri6112 Год назад +7

    I love this choir, the best even I don't understand their language❤❤❤

  • @estermartine2032
    @estermartine2032 5 лет назад +106

    ambao tunaitazama 2019 na tunaimani itatufikisha 2025 gonga liki👍👍👍

    • @jacobmakono389
      @jacobmakono389 5 лет назад +2

      .."nani alikuwa mshauri wake..nitaitafakari kazi yake..mtukuzeni Mungu.".nabubujikwa na machozi jamani!kazi ya Mungu na hukumu zske hazichunguziki!!

    • @estermartine2032
      @estermartine2032 5 лет назад +1

      mm sichoki kuutazama huu wimbo

    • @cecilialucas7655
      @cecilialucas7655 4 года назад

      Amina Amina najiona fahari juu ya Bwana Mungu

    • @idashumba9214
      @idashumba9214 4 года назад

      @@cecilialucas7655 😘

    • @bennedictskawa9592
      @bennedictskawa9592 4 года назад

      Mi kwa mara ya kwanza nliuskiliza 2012

  • @shabannewdman4650
    @shabannewdman4650 Год назад

    Nawapenda natamani niimbe pamoja na nyinyi nampenda huyu dada hana makuu

  • @RoseRose-mw4nv
    @RoseRose-mw4nv Год назад +1

    Nitayakumbuka matendo ya Bwana naam nitayakumbuka maajabu yake ya kale

  • @eurslahliavi795
    @eurslahliavi795 Год назад

    Hindi zilivyo Tu , hakuna mshauri wa mungu

  • @gloryjaphet5826
    @gloryjaphet5826 Год назад +2

    Tunaozidi kuitazama nakupenda hii nyimbo October 2022❤️❤️🔥🙌

  • @titustito1189
    @titustito1189 14 дней назад

    Isaiah 40:12-13
    [12]Who has measured the waters in the hollow of His hand, Measured heaven with a span And calculated the dust of the earth in a measure? Weighed the mountains in scales And the hills in a balance?
    [13]Who has directed the Spirit of the Lord, Or as His counselor has taught Him?

  • @StellaMwano-mp6gi
    @StellaMwano-mp6gi 7 месяцев назад

    ELOHIM, the best song, move on team❤❤❤

  • @IsmailMgimwa
    @IsmailMgimwa 5 месяцев назад

    Mm ndo nyimbo zangu nazipenda sana

  • @musatiba2056
    @musatiba2056 3 года назад +2

    Kwaya hii naipenda sana yani toka mwaka2013 ipo moyoni mwangu,,ah

  • @helenasamwel9160
    @helenasamwel9160 3 года назад

    Hasa kinamama mnaosolo mnanipa rahaaaaa mimi jamnii

  • @annamushi7357
    @annamushi7357 Год назад +2

    Nabarikiwa sana na nyimbo zenu zote. Mungu awabariki sana kwa kweli. Naomba muweke download

  • @NizigiyimanaSuzanne
    @NizigiyimanaSuzanne 4 месяца назад

    Zaidi yakuwapenda mimi i love you in English

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 3 года назад

    2021 tumrudishie Mungu sifa zake

  • @shidamasau8686
    @shidamasau8686 Год назад +2

    Ila sijui mmeenda wapi tena sasa siwasiikii tena

  • @duncanmponda4645
    @duncanmponda4645 5 месяцев назад +1

    Nawapenda kwa uimbaji wao na miondoko yao ,Mungu awape Neema na Rehema.

  • @bukelebefergusonjr6196
    @bukelebefergusonjr6196 4 года назад +4

    Wimbo bora kabisa kuwahi kuusikia masikioni pangu, japo sio muumini wa J/ pili but Congratulations guys

  • @zuhuramwambalo1767
    @zuhuramwambalo1767 3 года назад

    2021 mpigieni BWANA kelele za shangwe

  • @Victoriaruta
    @Victoriaruta 3 месяца назад +1

    Usipime izinyimbo sio pw ataazichuji tunabarikiwa mno amen

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 Год назад

    Amen 🙏🙏

  • @wilsonoduoromondi8459
    @wilsonoduoromondi8459 5 лет назад +16

    Thumbs up for your soloists her smooth and sweet voice is fantastic and good to hear!

  • @yunisk8620
    @yunisk8620 Год назад

    Amina

  • @mauriceonyuro6189
    @mauriceonyuro6189 Год назад

    Wependwa Kwa hakika,HUU wimbo unanipa amani moyonimwangu kila wakati ninapoiskia Kwa miaka kumi na moja tangu niipate kutoka RUclips.mungu awabariki Sana.

  • @josphinekathanthi6070
    @josphinekathanthi6070 2 года назад

    Mungu awabariki sana nawapenda

  • @Maureen_Mutheu
    @Maureen_Mutheu Год назад +3

    The soloist has a beautiful voice

  • @mwajumaemmanuel9359
    @mwajumaemmanuel9359 2 года назад

    Sjawahi kuchoka kusikiliza hizi nyimbo niwe na furaha au majozi nasikilizaga san. Mbarikiwe mnooo

  • @isaacsopia7934
    @isaacsopia7934 3 месяца назад

    Uimbaji mzuri!

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 3 года назад

    wimbo huu unatafakarisha xana,ee Mungu tumche Mungu kuliko kuabudu wanasiasa wanaopenda kutukuzwa utafikiri wanaweza hata kuumba hata sisimizi

  • @MussaErnest-z9v
    @MussaErnest-z9v 11 месяцев назад

    Nafarijika Sana kwa nyimbozenu

  • @muyisengeonaan792
    @muyisengeonaan792 Год назад +1

    Best song,!! You're the best choir !! I love you so much

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema3656 4 года назад +4

    Asante chang'ombe. Nipo Dubai napenda nyimbo zenu. Lakini mwananchi mwenzenu

  • @fedambogela7325
    @fedambogela7325 6 лет назад +2

    A I C chang'ombe nyimbo zenu zinanibalik sana mungu awepamoja nanyi

  • @baraoshi
    @baraoshi 11 месяцев назад

    The best ever

  • @FidelisKerabu
    @FidelisKerabu 4 месяца назад

    Mimi hapa. Nasikiliza kutoka mjini DOHA-QATAR

  • @privatuskitungutu8710
    @privatuskitungutu8710 9 лет назад +10

    mbarikiwe mnaimba na kupiga vyombo kwa ustadi sana

    • @edwardkasubi1332
      @edwardkasubi1332 3 года назад

      Mmmmmmhhhh kuna mafundi wa vyombo humu sijawahi ona Mimi ni fundi pia lakini hawa kina-Kaka ni hatari sana pia asanteni kwa masololist kiukweli kinaDada nyinyi viwango vyenu ni vya juu mno pia Asante Mwalimu wa Kwaya bila kumsahau mtumzi wa nyimbo na wanaMaombi wa kwaya , Nawapenda sana sana sana sana sana sana sana sana sana mnaniBariki mno

  • @boazkitela6960
    @boazkitela6960 6 месяцев назад

    Mmesahau kuimba hii jumapili kanisani nawaomba siku moja muipige live

  • @dianamasatu8141
    @dianamasatu8141 4 года назад +4

    huu wimbo unaendelea kunibariki 2020

  • @mussauwezo8674
    @mussauwezo8674 3 года назад +1

    Good sana namuelewa solo

  • @nancywaithera8794
    @nancywaithera8794 3 года назад +2

    Wow there power in giving thanks the presence of God is all here in Nairobi kenya through this song may bless whoever wrote this great song .
    I too will tell my great great great grandchildren the great doings of the lord in my life .

  • @fransavinhonacmela827
    @fransavinhonacmela827 3 года назад

    Nabarikiwa 2021 #March kama unakubari kazi za chang'ombe. Like hapa #tujuane

  • @margaretengendi1385
    @margaretengendi1385 4 года назад

    January 2020.
    Bado ninabarikiwa

  • @nehemiashekiondo7287
    @nehemiashekiondo7287 3 года назад

    Amina Nazi nzuri sana mungu awalinde na wapandishe utukufu had I utukufu mbarikiwe sana

  • @user-te6vg7oo8j
    @user-te6vg7oo8j 6 месяцев назад

    I like nyimbo zenu sana barikiweni sana wapedwa

  • @invocavitmbise5296
    @invocavitmbise5296 2 года назад +1

    Huu wimbo nakupenda sana..mbarikiwe sanaa wanakwaya

  • @zackh9722
    @zackh9722 11 месяцев назад

    Ni mwotoooooooo could you please rewind THIZ song🔥🔥😍

  • @kitoileena4710
    @kitoileena4710 3 года назад

    Wimbo umenibariki sana roho mtakatifu awaangaze zaidi mzidi kumtumikia yeye peke yake.amina

  • @fatnarashid3204
    @fatnarashid3204 3 года назад +2

    "Mpigieni Mungu kelele za shangwe"🥰👏

  • @EDISONTIBENDELANA
    @EDISONTIBENDELANA 11 месяцев назад

    Za kale ni dhahabu
    Mungu awaweke miaka elfu watumishi ujumbe unapenya kumoyo

  • @frankcharles7958
    @frankcharles7958 4 года назад +1

    2020 Sept

  • @paulmazanza2949
    @paulmazanza2949 2 года назад +1

    Nyimbo nzuri kama hizi kila ukisikiliza unaona ukuu wa Mungu.

  • @teklamahenge5212
    @teklamahenge5212 5 лет назад +4

    Nawapenda waimbaji wote walio imba wimbo huu matendo yake mungu kweli ni ya ajabu Sana

  • @aughstusmasila8673
    @aughstusmasila8673 Год назад

    Amen amen 🙏 🙌 👏 barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen 🙏 🙌 👏

  • @anthonyadeya6653
    @anthonyadeya6653 Год назад

    Barikiweni Kwa Kwa kueneza injili,nyimbo zenu za baraka kweli

  • @erickmevaashi6167
    @erickmevaashi6167 4 года назад +2

    tunawatakia uimbaji mwema aic chang"ombe nyimbo zenu huwa zinanibariki xn

  • @MiriamJoel-z2w
    @MiriamJoel-z2w 5 месяцев назад

    Amizing song jamani

  • @pendolazaro7436
    @pendolazaro7436 9 месяцев назад

    This song jmn since niko primary

  • @baheyesingu4693
    @baheyesingu4693 3 года назад

    Aic cha ng'ombe jinsi zilivyo

  • @joycemshai2452
    @joycemshai2452 Год назад

    Amen

  • @annapatson7760
    @annapatson7760 4 года назад +4

    Mpigien mungu kelele za shangwe nawapenda mno

  • @cecilialucas7655
    @cecilialucas7655 4 года назад +14

    Nimebarikiwa 2019November 21

  • @helenasamwel9160
    @helenasamwel9160 3 года назад

    Nawapenda Sana kwaya hii sina kwaya inayogusa moyo wangu na kuuhuisha Kila ninaposikiliza nyimbo zao kama nyie Mungu azidi kuwapa mafuta yake

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Год назад +1

    Africa nzima hakuna kwaya iliyoimba kwa kufata maandiko ya Biblia kama hii.hii ni kwaya jamani🙏🙏🙏

  • @edwintallam6202
    @edwintallam6202 2 месяца назад

    Nyimbo safi sana

  • @yunisk8620
    @yunisk8620 Год назад

    Amin sanaaa

  • @zackh9722
    @zackh9722 Год назад

    Ni mwotoooooo🔥🔥🔥😂

  • @anthonymngola9595
    @anthonymngola9595 7 лет назад

    Haki husikia kubarikiwa sana kwa nyimbo zenu,mungu azidi kubariki sauti zenu,ili muinue jina lake,Amina.

  • @vestnagodfrey7317
    @vestnagodfrey7317 Год назад

    Mko vizuri sana nawapenda sana wapendwa wa mungu mungu awabaliki

  • @jefredyfrednandy5880
    @jefredyfrednandy5880 3 года назад

    Safiii sana

  • @Aksamaduma
    @Aksamaduma 4 года назад +2

    Yesu akutunze Mamy Diana!! nakupenda Mungu awabariki jamani

  • @emmanuelmasoko1013
    @emmanuelmasoko1013 5 лет назад +8

    Hivi hawa walio dislike huu wimbo , kwani wenyewe waliumbwa na mungu yupi?

    • @albertjames6845
      @albertjames6845 3 года назад

      Tuwe positive kidogo, labda walidhani ile ni sehemu ya ku-download huu wimbo, wasamehe tu ndugu zetu hawa 😁

  • @joyceamsi6396
    @joyceamsi6396 7 лет назад +15

    Mungu awainue kwa viwango vya juu sana,nabarikiwa na kazi zetu-

  • @bonnysureolkokolaboy4342
    @bonnysureolkokolaboy4342 5 лет назад

    Ukiskia mungu hushuka kupitia sifa amini jmn mungu awabariki waimbaji jamn (Muandishi Wa nyimbo, BT producer) nimebarikiwa sana sana

  • @albertjames6845
    @albertjames6845 5 лет назад +4

    Mungu wetu atukuzwe, sifa na utukufu zimwendee yeye. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @eugenekirck4996
    @eugenekirck4996 2 года назад

    Wimbo nzuri

  • @GaelFaustin
    @GaelFaustin 3 месяца назад

    Ameeeeen

  • @mabitajunior
    @mabitajunior 2 года назад +1

    CVC my best choir ever to date 2022,you are blessed.

  • @denisrotich8832
    @denisrotich8832 5 лет назад +7

    well organised song...this is wonderful.

  • @ramsoaminanakwakopiajoseph7679
    @ramsoaminanakwakopiajoseph7679 3 года назад

    Kila nikiskiza huu wimbo nazidi kubarkiwa, mungu azidi kuwatia nguvu na baraka tele.

  • @anordprotas1976
    @anordprotas1976 5 лет назад

    Hatari sana kweli chang'ombe mungu awatie nguvu zaidi

  • @mawazonendjo7410
    @mawazonendjo7410 7 лет назад +1

    musikufe jamani Ata siwajuwi, lakini nyimbo zenu zina nibariki Sana