Wenye kuwa Africa shikamaneni na Bwana wetu Yesu Kristo ,wazungu wamemuchezea Bwana wetu Yesu Kristo ,songeni mbele ,watawatafuta kama vile watatafuta Njibwe ambavyo wa njenganji waliotupiliya mbali (( Yesu Kristo))(( Njiye Atakaye Kuwa Njiwe ya Musingi)) nendeni mbele .
Wapendwa Tuko katika mwaka 2020,na kusema ukweli, sijapata kwaya yeyote katika Baraka Africa waliyo imba nyimbo nzuri kama nyingi. Nikikumbuka ile CD ya kwanza GUZA. PLIZ LET SOMEONE DOWN LOAD THEM AGAIN.Mbarikiwe Sana.
Isaiah 40:12-13 [12]Who has measured the waters in the hollow of His hand, Measured heaven with a span And calculated the dust of the earth in a measure? Weighed the mountains in scales And the hills in a balance? [13]Who has directed the Spirit of the Lord, Or as His counselor has taught Him?
Wependwa Kwa hakika,HUU wimbo unanipa amani moyonimwangu kila wakati ninapoiskia Kwa miaka kumi na moja tangu niipate kutoka RUclips.mungu awabariki Sana.
Mmmmmmhhhh kuna mafundi wa vyombo humu sijawahi ona Mimi ni fundi pia lakini hawa kina-Kaka ni hatari sana pia asanteni kwa masololist kiukweli kinaDada nyinyi viwango vyenu ni vya juu mno pia Asante Mwalimu wa Kwaya bila kumsahau mtumzi wa nyimbo na wanaMaombi wa kwaya , Nawapenda sana sana sana sana sana sana sana sana sana mnaniBariki mno
Wow there power in giving thanks the presence of God is all here in Nairobi kenya through this song may bless whoever wrote this great song . I too will tell my great great great grandchildren the great doings of the lord in my life .
Jamn 2023 nani anazikubarii hz ngoma,,nipe like zangu
Tupo pamoja 🔥
Hizi ndio zilikua kwaya za kweli sio za kisasa 🎉❤❤❤❤
❤
😊😊@@johnjoycemalusu4886
Tunaosikiliza hii nyimbo 2024 tujuane 🔥🔥🔥
Locked
Am here
Amen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Niko hapa sanaaa ❤
May 2024 Bado nyimbo inanibariki sana kama Huwa unarudi kuangalia mara Kwa mara like tujuane❤
Who is with here 2024❤❤
Ndungu zetu kutoka Tanzania wamebarikiwa na kipawa cha utuzi wa nyimbo za injili.utukufu kwa bwana 🎉
Nabarikiwa sana kusikiza huu wimbo
It sounds as if it was sang yesterday. & We are in 2024 D k from Kenya baraka Tele kwenu ❤
2024 nakutukuza Mungu
Tanzanias you are wonderful people in all respects, I love your choirs and the presentation by your handsome and beautiful brethren
Ni 2023 kwaya hii ni nzur sana ina dumu Zaid na zaidi rudini tena ❤❤❤
Wenye kuwa Africa shikamaneni na Bwana wetu Yesu Kristo ,wazungu wamemuchezea Bwana wetu Yesu Kristo ,songeni mbele ,watawatafuta kama vile watatafuta Njibwe ambavyo wa njenganji waliotupiliya mbali (( Yesu Kristo))(( Njiye Atakaye Kuwa Njiwe ya Musingi)) nendeni mbele .
Bado nikohapa 2024 amen and amen 🙏🏿
2023 nitayakumbuka matendo ya Bwana siku zote🙏🏾🙏🏾🙏🏾
The Best song from the best choir !!! Congratulations!!!!!
Nampenda huyu dada kwa kweli anasauti nzuri org nakupenda sana ,sijui jina anaitwa nani
Dorcas ubalikiwe saaaaaana❤
Wapendwa Tuko katika mwaka 2020,na kusema ukweli, sijapata kwaya yeyote katika Baraka Africa waliyo imba nyimbo nzuri kama nyingi. Nikikumbuka ile CD ya kwanza GUZA. PLIZ LET SOMEONE DOWN LOAD THEM AGAIN.Mbarikiwe Sana.
Innp.
P
Please let me download
Mungu amewapa kitu cha tofauti Sana hawa wandugu Yesu awabariki Sana wazidi kukua na kuongezeka kiroho na kimwili❤❤❤
Since I was young about 5yrs l❤your songs ❤❤❤❤❤❤
Waimbaji wenzangu mubarikiwe ni kambale kirovi pa butembo
Jaman huyu mama ananibariki sanakwa saut yake nzur ubarikiwe sana fanya kaz ya bwana mwisho utalipwa
I love this choir, the best even I don't understand their language❤❤❤
🎉
ambao tunaitazama 2019 na tunaimani itatufikisha 2025 gonga liki👍👍👍
.."nani alikuwa mshauri wake..nitaitafakari kazi yake..mtukuzeni Mungu.".nabubujikwa na machozi jamani!kazi ya Mungu na hukumu zske hazichunguziki!!
mm sichoki kuutazama huu wimbo
Amina Amina najiona fahari juu ya Bwana Mungu
@@cecilialucas7655 😘
Mi kwa mara ya kwanza nliuskiliza 2012
Nawapenda natamani niimbe pamoja na nyinyi nampenda huyu dada hana makuu
Nitayakumbuka matendo ya Bwana naam nitayakumbuka maajabu yake ya kale
Hindi zilivyo Tu , hakuna mshauri wa mungu
Tunaozidi kuitazama nakupenda hii nyimbo October 2022❤️❤️🔥🙌
Nyimbo ziko vizuri
Isaiah 40:12-13
[12]Who has measured the waters in the hollow of His hand, Measured heaven with a span And calculated the dust of the earth in a measure? Weighed the mountains in scales And the hills in a balance?
[13]Who has directed the Spirit of the Lord, Or as His counselor has taught Him?
Very powerful word
ELOHIM, the best song, move on team❤❤❤
Mm ndo nyimbo zangu nazipenda sana
Kwaya hii naipenda sana yani toka mwaka2013 ipo moyoni mwangu,,ah
Hasa kinamama mnaosolo mnanipa rahaaaaa mimi jamnii
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu zote. Mungu awabariki sana kwa kweli. Naomba muweke download
Zaidi yakuwapenda mimi i love you in English
2021 tumrudishie Mungu sifa zake
Ila sijui mmeenda wapi tena sasa siwasiikii tena
Nawapenda kwa uimbaji wao na miondoko yao ,Mungu awape Neema na Rehema.
Wimbo bora kabisa kuwahi kuusikia masikioni pangu, japo sio muumini wa J/ pili but Congratulations guys
2021 mpigieni BWANA kelele za shangwe
Usipime izinyimbo sio pw ataazichuji tunabarikiwa mno amen
Amen 🙏🙏
Thumbs up for your soloists her smooth and sweet voice is fantastic and good to hear!
Wilson Oduor Omondi nawapenda waimbaji ,Mungu awabariki sana
🎉
Rb
Amina
Wependwa Kwa hakika,HUU wimbo unanipa amani moyonimwangu kila wakati ninapoiskia Kwa miaka kumi na moja tangu niipate kutoka RUclips.mungu awabariki Sana.
Mungu awabariki sana nawapenda
The soloist has a beautiful voice
Sjawahi kuchoka kusikiliza hizi nyimbo niwe na furaha au majozi nasikilizaga san. Mbarikiwe mnooo
Uimbaji mzuri!
wimbo huu unatafakarisha xana,ee Mungu tumche Mungu kuliko kuabudu wanasiasa wanaopenda kutukuzwa utafikiri wanaweza hata kuumba hata sisimizi
Jamani sisimizi kweli watu wajitolee kabisa
Nafarijika Sana kwa nyimbozenu
Best song,!! You're the best choir !! I love you so much
Asante chang'ombe. Nipo Dubai napenda nyimbo zenu. Lakini mwananchi mwenzenu
A I C chang'ombe nyimbo zenu zinanibalik sana mungu awepamoja nanyi
The best ever
Mimi hapa. Nasikiliza kutoka mjini DOHA-QATAR
mbarikiwe mnaimba na kupiga vyombo kwa ustadi sana
Mmmmmmhhhh kuna mafundi wa vyombo humu sijawahi ona Mimi ni fundi pia lakini hawa kina-Kaka ni hatari sana pia asanteni kwa masololist kiukweli kinaDada nyinyi viwango vyenu ni vya juu mno pia Asante Mwalimu wa Kwaya bila kumsahau mtumzi wa nyimbo na wanaMaombi wa kwaya , Nawapenda sana sana sana sana sana sana sana sana sana mnaniBariki mno
Mmesahau kuimba hii jumapili kanisani nawaomba siku moja muipige live
huu wimbo unaendelea kunibariki 2020
Good sana namuelewa solo
Wow there power in giving thanks the presence of God is all here in Nairobi kenya through this song may bless whoever wrote this great song .
I too will tell my great great great grandchildren the great doings of the lord in my life .
Nabarikiwa 2021 #March kama unakubari kazi za chang'ombe. Like hapa #tujuane
January 2020.
Bado ninabarikiwa
Amina Nazi nzuri sana mungu awalinde na wapandishe utukufu had I utukufu mbarikiwe sana
I like nyimbo zenu sana barikiweni sana wapedwa
Huu wimbo nakupenda sana..mbarikiwe sanaa wanakwaya
Ni mwotoooooooo could you please rewind THIZ song🔥🔥😍
Wimbo umenibariki sana roho mtakatifu awaangaze zaidi mzidi kumtumikia yeye peke yake.amina
"Mpigieni Mungu kelele za shangwe"🥰👏
Za kale ni dhahabu
Mungu awaweke miaka elfu watumishi ujumbe unapenya kumoyo
2020 Sept
Nyimbo nzuri kama hizi kila ukisikiliza unaona ukuu wa Mungu.
Nawapenda waimbaji wote walio imba wimbo huu matendo yake mungu kweli ni ya ajabu Sana
Amen amen 🙏 🙌 👏 barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen 🙏 🙌 👏
Barikiweni Kwa Kwa kueneza injili,nyimbo zenu za baraka kweli
tunawatakia uimbaji mwema aic chang"ombe nyimbo zenu huwa zinanibariki xn
Amizing song jamani
This song jmn since niko primary
Aic cha ng'ombe jinsi zilivyo
Amen
Mpigien mungu kelele za shangwe nawapenda mno
Nimebarikiwa 2019November 21
Kweli
Nawapenda Sana kwaya hii sina kwaya inayogusa moyo wangu na kuuhuisha Kila ninaposikiliza nyimbo zao kama nyie Mungu azidi kuwapa mafuta yake
Africa nzima hakuna kwaya iliyoimba kwa kufata maandiko ya Biblia kama hii.hii ni kwaya jamani🙏🙏🙏
Nyimbo safi sana
Amin sanaaa
Ni mwotoooooo🔥🔥🔥😂
Haki husikia kubarikiwa sana kwa nyimbo zenu,mungu azidi kubariki sauti zenu,ili muinue jina lake,Amina.
Mko vizuri sana nawapenda sana wapendwa wa mungu mungu awabaliki
Safiii sana
Yesu akutunze Mamy Diana!! nakupenda Mungu awabariki jamani
Hivi hawa walio dislike huu wimbo , kwani wenyewe waliumbwa na mungu yupi?
Tuwe positive kidogo, labda walidhani ile ni sehemu ya ku-download huu wimbo, wasamehe tu ndugu zetu hawa 😁
Mungu awainue kwa viwango vya juu sana,nabarikiwa na kazi zetu-
Mungu awatumie vile apendavyo mbarikiwe sana
God bless you
Ukiskia mungu hushuka kupitia sifa amini jmn mungu awabariki waimbaji jamn (Muandishi Wa nyimbo, BT producer) nimebarikiwa sana sana
Mungu wetu atukuzwe, sifa na utukufu zimwendee yeye. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Wimbo nzuri
Ameeeeen
CVC my best choir ever to date 2022,you are blessed.
well organised song...this is wonderful.
Kila nikiskiza huu wimbo nazidi kubarkiwa, mungu azidi kuwatia nguvu na baraka tele.
Hatari sana kweli chang'ombe mungu awatie nguvu zaidi
musikufe jamani Ata siwajuwi, lakini nyimbo zenu zina nibariki Sana