Ndio wapendwa watamezwa Na Joka ya Zamani wa tumishi wa bongo Shetani Hibirisi ata wa me za ju ya pesa Kueli wats Pe Lekwa Mu GEHANAMungu A mibariki sana Nina wapendwa sana Shalom Shalom
Kweli kabisa tunaona watu saivi hawamwamini Mungu na kuna watu wanalitukana hata neno la Mungu wakijifanya wao Ni manabii kumbe ndani Ni mbwa mwitu kabisa
Mungu awabariki kwa ujumbe was nyimbo . Lakini chungeni waimbaji wa kanisa la AIC Africa mashariki tusije kushikwa na uroho wa densi ambao umetambaa Poole bila kujulikana na umekomaa
2024 still watching the best gospel song. Na ndio mtindo wa kisasa hasa hawa wajiitao manabii
Nani anasikiliza this powerful message from this great choir. I honestly love this song 2024
Aic changombe barikiweni nyote 2024 listening this song nd current situation ya dunia ya sasa tuliyopo❤
Excellent. Am single hapa 254. Nataka Binti. Kutoka tz,, hapa changombe
We mama ni nomah kweny kuimba🥰🤩❣️♥️mungu akuweke jmn
Mubarikiweni sana choir ya aict chang'ombe .ni Charles kyalo nikiwa kitui Nairobi kenya.nyimbo zenu zinanibariki sana .
Like zangu kma bdoo unausikiliza huu mwimbo 2021
salamu kwa mwalimu aliye wafundisha nyimbo hizo MUNGU awabariki wote mlio fanyakazi hiyo
Apostasy Apostasy Apostasy Ba Umbwamito Kuzimu ina ba ngojea sooner Shalom Shalom Shalom ba takatifu y’a Bwana Yesu ADONAI Elohim ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Warakoze
Twabakunda wowe na Vestine ❤️
Nakupenda mpaka naona wivu ❤ ase ulijua kunyoosha mistar mama ❤❤❤
Alakni ni n’a penda iyi Wimbo sana ina fundisho la Nguvu ju y’a apostasie Amen Dada mupendua Acha Mungu wa Biblia À kongezeee Baraka kueli Shalom
Ahsanteni sana kwa nyimbo zenu zote bado tunawapenda 2024
Naupenda sana wimbo huu
Hii kway ina masolo wazuri san pia waimbaji wako sawa Mungu awainue
The song still as new as it was released....here in 2023, ...
Watching from kenya
Jaman oneni mpinga kristo hongereni sana kwa huu wimbo mama barikiwa solo uliipa nguvu choir vijana
Mpinga kristo yupo kweli...2021 tuwangapi?...👍👍🙏🙏
Who is here in 2020 yani bado naipenda sana hii nyimbo uyu mama anaimba sana
Hakika huu ndo wimbo wangu Bora wa nyakati zote! Ahsante Mungu Kwa kwaya hii
Hâta mimi imeni furahisha sana
i love this soloist. she blesses my soul
2024 naangalia tena asante Mungu
Very nice one.thats what's exactly happening nowadays.kongole wanachangombe.napenda Sana kwaya zenu.
Nawapenda Bure ndugu yenu katika KRISTO YESU
Utukufu kwa MUNGU Wa mbinguni, MUNGU awabariki sana, nyimbo zenu nzuri sana, nabarikiwa sana
Mimi in 2023 i still love it..Aic chang'ombe a fav since utotoni wangu nikiwa primary ❤
Huyu mama yupogo wapi hata niende aniwekee mkono kwenye uso wangu mimii😊
These are true singers, filled with the wholly power to deliver.
Mungu awabariki..mnatukumbusha kuzipima roho
Marry Halphan nmeona
2023 who's watching like me ❤
Ndio wapendwa watamezwa Na Joka ya Zamani wa tumishi wa bongo Shetani Hibirisi ata wa me za ju ya pesa Kueli wats Pe
Lekwa Mu GEHANAMungu A mibariki sana Nina wapendwa sana Shalom Shalom
always my No. 1 choir. christians we ought to be vigilant and ask the Spirit of Discernment
2023 naangalia tena kwautukufu wa Mungu nipohai♥️♥️♥️
Mwalimu aliyeandika huu wimbo alitumiwa na Mungu haswa barikiwa sana ❤
Good song unagusa sana huu wimbo kwanza unaujumbe mzuri huchoki hata kuusikiliza
Blessed sana nyie watu mungu awafunulie zaidi na zaidi maana nyimbo zenu zinanguvu za mungu sana ,,, zinafundisha zaidi
i love this choir.. they preach the truth
2021 baada yakuskia Kuna viatu vya shetani
Nashuku nyinyi ndio mtakuwa mkitumbuiza watakatifu mawinguni. Kazi njema Mungu awabariki
Kweli kabisa tunaona watu saivi hawamwamini Mungu na kuna watu wanalitukana hata neno la Mungu wakijifanya wao Ni manabii kumbe ndani Ni mbwa mwitu kabisa
Mungu awabariki sana nafarijika na kuimarika kiroho kila nikisikiliza nyimbo zenu.
hizi sahizi ndio zimepumbaza macho ya wakristo hawaishi kwa neno bali hufuata mtume nanabii anasema nini!Yesu atuponye
10 years later and this prophecy comes to pass, Tujipange Sawa Sawa
Hii wimbo ni mzuri sana👏👏
Zingine roho za kuzimu mama barikiwa sana
My mom said she loves it so much she is having fun and. she is lovely it
To. Day she is having
fun
chang'ombe yaani nachanganyikiwa na nyimbo zenu
kweli flola kweli chag'ombe nawakubali sana
Ni nzuri mno.
Oh my God what a wonderful talent!
2022 still watching, old is gold
Mungu awabariki sana mzidi kumtumikia yeye aliye juu
Naupenda sana Wimborne huu
2019 bado naskiliza
Barikiweni Sana, nyimbo zenu utibu moyo wangu
May God almighty rewards you with all you deserve
Jaman sichokag kuangalia watu hawa wa Mungu
Amen.mbarkiwe
Here in 2023
Nabarikiwa Sana na nyimbo zenu
mbarikiwe sana mnaimba vzr sana
Shalom Shalom thanks
Mliona mbali sana. 2024 wamejaa ni wengi
2024 still on top ❤❤ from Kenya
Huu wimbo kiukweli unatufundisha tujihadhari na shetani
Kabisaaaa
Muririmbirahe none jewe ndumurundi wigitega
Ndashima indirimbo zanyu cane icompa nkabagender nkababona
❤❤ujumbe mzuri sana
wimbo bora sana barikiweni.
Mungu tusaidie kuona haya
Ndio sasa wimbo huu unahitajika zaidi.
My all time best choir ever..Natamani ningekua Tanzania😁
Krb Tanzanian
Nice song
@@dorahyonah5306 Asante sana Dorah.uko pande gani Tanzania
Am also a Kenyan but hua natamani kua mtanzania juu ya nyimbo zao as kumsifu Mungu be blessed more
huuu wimbo watu wa waposa unawahusu 😂😂😂😂 2024
Ameni nipo macho nabarikiwa
God bless your choir
Glory to God,am blessed
I
Mungu aendelee kuwainua kwa kazi nzuri
Ni kweli Mungu wa mbinguni awabariki
Bado hii wimbo nzuri
wooh kweli siku za mwisho!
mungu awabariki maana manabii wa uwongo ni wengi
Mungu awabariki kwa ujumbe was nyimbo . Lakini chungeni waimbaji wa kanisa la AIC Africa mashariki tusije kushikwa na uroho wa densi ambao umetambaa Poole bila kujulikana na umekomaa
Daa nabarikiwa Sana
gress Mshunga nabaliki. wasana
Chang'ombe hawana mpinzani
2022 still hit
Ameen
Yesu awabariki sana
Nashukul mung kuona Kwaya hii inaimba mung biriki Kaz zao amenii
Aiseee kwel naupenda sijui wenzangu nyie kwel unanitia moyo ya kujua kumbe kuna makristo wa uongo
Izaeli Elia ❤
A kind request....can I get the lyrics of this song🙏🙏
Bwana atawalipa kwa huduma nzuri ya kuitangaza injili yake bwana
Its a blessing
Still 2023 rocking
🙏🙏
Huu ndio wimbo bora kabisa kwangu wa muda wote
Yaa kweli
Wimbo poa xana
I remember this song when i was young
Hongeren kwaya
naipenda hii 2024
Mko vzur sanaa
last days in deed, tujiadhari sana.
God bless this choir
Still here 2024 praise the lord
mubalikiwe Chang'ombe
2024 na wimbo huu Bado wanibariki sana
Glory to God
Hii nyimbo irudiwe
Mungu awabariki
Mungu awabaliki
I ❤this song