A.I.C MAKONGORO VIJANA CHOIR - JEHANAMU PANATISHA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Subscribe to Wyld Pytch / 51 Lex: bit.ly/WyldSubs
Wyld Pytch / 51 Lex Records
Web - wyldpytch.com/
Instagram- wyldpytch51lex
Facebook - / 51lexrecords. .
Tiktok: / wyldpytch51lexrecords
Twitter - / wyldpytch
Now 2024 still listening to this nice song...gonga like tukisonga if you are here with me 🙏🙏
tuko pamoja
Still listening 2024
It keeps me going ❤
Everything in this world is vanity.
@@JoeWallace-d4o true
Tunao tazama Wimbo huu 2024 tujuane kwa like
Nipo live toka kiwanja chunya
Ni humu tu😂
Hataree
2024 still listening
kwelihukokutakuwa kulianakusagameno ilawatu hawaelewihayo mungu awabaliki 2024
Kwanzia Leo sitendi zambi tena 😢😢😢😢 eeeeh YEHOVA naomba unisimamie😢😢😢
I'm here 2024 the song never gets old
Here I am 2023 listening to this angelic voices❤❤
Watu wa AIC these types of songs heal our inner child❤
Wimbo Bora mda wote❤
Hii kwaya ni🔥🔥🔥
I wanna go wid dc song in 2024 am proud of you mom...
Wapendwa tujitahidi katika safari ya mbinguni ...watching from 🇰🇪
Jehanamu panatisha mm na watch nikiwa 🇰🇪🇰🇪 2023
Amen amen 🙏 🙌 👏 barikiwa sana wimbo safi sana mtumishi wa mungu amen amen 🙏 🙌 👏
Mungu atupe rehema na neema nyingi
2024gonga like hapa ❤
Wanaotazama huu wimbo 2023 naomba like zenu
Baba hakikisha jina langu limeandikwa kwenye kitabu cha watendao mema😭😭😭😭
Veronica Julius sande
Now it's 2023 and am still listening to this amazing choir.. you made my childhood timé ♥️.. May God continue blessing you ♥️
Nice song walienda wapi kweli 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu turehemu baba
Kwaya anayombia dada Edith naipenda sana
2024 nyimbo zimenilea hizi ndo nlikua nakua kua
Kweli wimbo ulikuwa wimbo...hongera
Nyimbo muzuri kabisa
Time will tell this song is amazing i wil never missing to listern this choir
❤ tupo
I am here in 2024. When one will like this I will always remember the greatness of God and my desires to travel abroad for studies and to change home. Amen.
Who is here after this Corona pandemic Mungu tuhurumia
Jamani kwaya za AIC zaman zilikuwaaaa zinaimbaaaaa Sana jamani za sasa zimekalia kukutaaa viuno tu aibu tupu imebakiiii changombe tuuu kwenye mstaliiiii
Mm na watch nikiwa 🇰🇪
Tunaosikiliz hii nyimbo 2022 mwez huu wa kumi tugonge like apa🙏 mungu ndo mueza wa yote atupe mwisho mema for really jehanam panatisha😔
Na me nimo
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜
Yaani ninabarikiwa ninaposikiliza nyimbo hizi
I also like the song
hakika ni wimbo mzur sana wenye baraka
mungu ashushe barak kwen wot ❤❤❤
Mungu n mwema
Jehanamu panatisha*4
Jehanamu kuna mateso si kidogo tena usiombe
Jehanamu kuna huzuni ya kutisha haina mfano
Jehanamu kuna upweke wa ajabu tena ni balaa
Jehanamu kuna kilio cha milele
Jehanamu panatisha*4
Baba hakikisha jina lako limeandikwa kitabuni
Mama hakikisha jina lako limeandikwa kitabuni*2
Kitabu kile cha ushindi Kitabu kile cha mbinguni
Kitabu kile cha uzima wa milele
Baba hakikisha jina lako limeandikwa kitabuni
Palikuwa na tajiri aliyekula na kunywa siku zote kwa anasa
Mwenyewe alijiona hapo alipo ameshafika ni hakuna tena*2
Hakumjali mungu hakumjua mungu hakumwogopa mungu hakumweshimu mungu
Alipokufa alipokelewa na dhiki huko kuzimuni
Tena alikuwepo maskini aliyeketi mlangoni pa tajiri
Chakula chake makombo na mwili wake vidonda tupu mbwa walilamba *2
Alimjali mungu alimjua mungu alimwogopa mungu alimweshimu mungu
Alipokufa alipokelewa kifuani pa ibrahimu
Baba hakikisha jina lako limeandikwa kitabuni
Katika kuhangaika tajiri alimwona lazaro akiwa kwenye kifua cha ibrahimu akila mema
Lazaro ametaka vidonda havipo tena Lazaro amenawiri si lazaro wa zamani lazaro amenenepa lazaro anapendeza
Tajiri akiwa kwenye kiu ya kufa alinyenyekea kwa ibrahimu
Baba naomba umtume lazaro anidoneshe tone la maji
Nimrudie baba nahangaika mimi
Nimrudie baba ninateseka sana
Ibrahimu kamjibu tajiri hakika hio itakua ngumu
kwasababu katikati yetu sote tumetenganishwa na jimbo kubwa
yavumilie yote
umeyataka wewe
ulichopanda wewe
ndicho unacho vuna
Sikiliza tajiri alibadilisha maombi yake kwa ibrahimu
lazaro awaambie ndugu zangu duniani wasinifuate mimi
sio pazuri humu
kizazaazaa humu
sio salamaa humu
laana tupu humu
ibrahimu alimjibu tajiri hio nayo haiwezekani
kama mioyo yao ni miigumu ata aende nani hawatasikia ooooohhh
Ni kweli. Tuebuke jahanamu
Jehanamu panatisha na Njia panda Nyimbo hizi zimetujenga tangu myaka 2013tulikua tukizisikiliza mara kwa mara.
Blessing, this song never gets old. It speaks tothe soul each and everyday. God bless you Makongoro AIC
Ndio Yako yesu itaniwezesha
Nawafata nikiwa Congo DRC
Hizi ndo nyimbo zilzoninya nimtafute Bwana mwak 2010
Baba naomba uniakikishie nami kina limeandikwa kitabuni yako barikiwa kwaya a c c
Listening this song in 2023 it reminds me too far when i was in my grandma. We accept Jesus Christ as our saviour 🙏🙏🙏
Truly it makes one recall the past,,,,but God is ever faithful in our lives
Wimbo mzuri sana mungu awabariki waimbaji
Nawapongeza Kwa wimbo mzuri 🙏🙏🙏
still listening to it.. no giving up in gospel
wimbo unanikumbusha mbali sana
I wonder where are these artists now, most of songs nowdays are nonsense. Such beautiful songs which teach us are gone. How sad, Mungu atusaidie sana
Mbarikiwe. Choir tam
Hongereni mungu ata wabiriki kwa kazi njema mnafanya
Wimbo mzuri kabisa Luka ule mlango wa 16. Utaona huu ujumbe. Huu wimbo ulitoka miaka ya 2005, nikiwa darasa la 4.
Jehanamu panatisha kweli msitanie.
Nawaombea mungu aendelee kuwap uwezo wa kufikish ujumbe kwetu watu wa mungu
It's 2023 and am here watching this song and I fell proud of ue mom
Mungu a we abariki
Hee mungu wangu inipe mwisho mwema
Jehanam panatisha walai...lets repent🥲
Mungu uxiniache
So blessing song ....🙏 keep it up Makongoro ...May God save us all from this covid 19,:
.
Kama mpya inaupako haichuji mbarikiwe sana
24th August 2024 Am in,,,,A strong message for this generation
BABA naomba nisamehe yale yote nliyotenda nkiyajua na yenye nisiokua nayajua,nifute katika kitabu chahukumu BABA naomba uniweke katika kitabu cha uzima wa MILELE😭😭😭😭😭
I really missed these songs until nikakimbia RUclips...real blessing ❤
Nice song sichoki kuusikiliza huu wimbo kila siku mungu awabariki sana kwa ujumbe huu wa Jehova amen
Ahimidiwe mungu anae watumia nyie waimbaji wainjili kwakweli tunapata neema
Baba naomba jina langu liadikwe kwenye kitabu cha uzima wa milele
Very nice song, Mungu wabariki mara nyingi sana
A very nice song 👌 love it🥰
Kwa kweli imenigusi
Esternjidile653 tupo Yani nabalikiwa sana 😭🙏🙏🙏
Asante waimbaji nimebarikiwa na nyimbo tamu za kumtukuzs mola
Since 2015 now 2024 may God continue being the king in my life ❤
Old is gold for real.
I like the songs , I will never stop listening 🎶 sweet songs
Wimbo mzuri kweli....Jehanamu kweli panatisha....nice one
What a blessing hit! God bless the choir.
Congrats dear brothers and siters................ For sure jehanamu panatisha............. your voices are the best ever!!!!
Mungu awajazie mema sana
Love this song and May God bless all of you guys
Thanks for this, quite an eye opener...I really want to seek Salvation.
First heard this song when I was 10 years old...
Again listening to the same song when am 20..
This far is God❤
Indeed 🙏
It's God upto this far
SAME
Jeanamu si uongo panatisha🌞🌞🌞🌞🌞
Nawapendeni.watuwote.wanao.nijali
Kitambo sana daaah
Nyombo zenu mlizilock nataka Ku downloads haiwez
Wonderful song so touching
GOD BLESS YOU SO MUCH, FOR REAL JEHANAMU PANATISHA
Kweli hakikisha jina lako liko kitabu cha uzima wa milele
Oh jameni Mungu awabariki sana kwa kazi njema
Huu wimbo hutisha sana, jameni tuepuke anasa na tuishi kwenye utakatifu maana Jehanam ipo.
Safi sana
mungu awabarki kwakaz nzur watumish
Utasema mmewahi kufika huko Jehanamu 😂😂😂.
Am blessed now and every moment am here 023
I thank the almighty God that he has given me another chance to watch it from a different perspective. Amen.
God is omnipotent
Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana 2010 msoma hadi leo tarehe 31.8 .2018
Tuko pamoja mm pia inanikumbisha mbal 2010 nilikua nafanya kaz za ndan Singida mjin duuh
My fav song Till Now❤️🥰
I want to join a good choir like this pls ...God called me to sing for him please guys like my comment as you encourage me what to do and at the same time checking wether you are my type cos am looking for a God fearing man 😅😅😅
I might be the one for you
Huu wimbo huwa hauchuji 2024 unanigusa
This is 2024 I'm still listening to this song.
Thanks for this voice and l will be changing my life❤❤❤it my heart
You people bless me alot with your songs. It's ever new to the listeners.