Tabata Mennonite Choir - Getsemane (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Tabata Mennonite Choir - Getsemane (Official Video)
#TabataMennoniteChoir #TabataChoir
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music, kikuyu gospel music, taarab music, bongo movie, bongo movies, tanzania movies, kanumba movie, steven kanumba, swahili gospel music, kikuyu, mugithi, mugithi mix
Tunaosikilikiliza haya madini 2024 tujuane hapa
Naitafuta nidawnlod siipati 😢😢
kitambo sana naipenda
🤞🤞
mimi hapa
Naitwa jakobo athuman hata mm naipenda San pole San umenitoa machoz mungu akubariki
Mm nina miaka 30 tangu nimesikia huu wimbo had leo sijawahi kuchoka kuusikiliza kama naww unajifariji hadi leo 2024 gonga like hapa kisha tuombe MUNGU ikiwezekana hiki kikombe cha uchumi kuyumba biashara hakuna kazi hakuna ikiwezekana hiki kikombe cha umasikini kituepuke
Sema miaka 30 ni uwongo aisee
Wako wapi hawa watu alie na jibu naomba anijibu
Wengine walikufa
Nani Yuko hapa Leo ijumaa kuu bwana yesu asifiwe
AMINA
Wenye tunazidi kubarikiwa 2024 mikono juu
Ijumaa kuu ya Leo 2024, na dude kama hili
Hizi nyimbo ziliimbwa kwa hisia sana, Mungu awabariki
When gospel was truly anointed by the holy Spirit.
I wonder if time will go back to these good days.
Very nostalgic!
Leo1/9/2024❤🎉 who listening with us☝️
wale tumetoka TikTok likes zikuje
Kama nawe pia upo tayar twende weka like ya kuamin💯💯🏃🏃🏃
💯💯
Hizi nyimbo zakitambo zinani Bamba ❤
Nimeuona live 31 August 2024,Elikana ebu rudi kwenye kwaya yako pendwa
Mi muislam lakin naipenda hii nyimbo balaa
Is now your point time to in jesus.May mighty God sum up you to in on his kingdom.Amen
Yesu anakupenda ni muda umefika uokoke, Okoka
Consolata Sankwa emen
Edwin Mgovano emen
Muslam mwenye upendo wa ajabu Mungu akubariki matendo mema
Tujuwane jmn wenzangu tunaoendelea kubalikiwa 2024 na kazi hii na jina la bwan lihimidiwe .
Tuko pamoja
Nice song,I've been blessed a lot may the gospel circulate all over the world Amen
2024 still watching this anointing song ❤
Huu wimbo nikikuwa kijana mdogo marehem baba yangu na mama yangu walikuwa wanaipenda kanda ya wimbo huu leo hawapo duniani nimekumbuka mbali sana
Kwakweli walikuwa wako vizuri
Mungu hakutie nguvu 2 ingawa ni ngumu kujikaza
Pole my dear
pole sana wajina
Pole sana ndugu yangu Kwa kuondokewa na wazazi wako wote
2023....can't stop playing...remind me of my late mom😢😢the song though still have the same power... Jesus I love you no matter the lose of our loved once....Nov 2023 ...
Reminds me of my late mom pia, hili lilikua kanisa tulilokuwa tukisali pamoja alipokuwa hai - Tabata Segeres mennonite, alikua anapenda sana wa zile cd za gospel za akina Rose muhando; very nostalgic kwakwl 🙏🙏
Nimebarikiwa sana na wimbo huu kuelekea pasaka! Mbarikiwe wote
Mungu amrehemu baba yangu, moyoni mwangu UNAISHI. in those days ulikuwa unabonyesha replay kila wimbo ukikaribia kuisha
Nyimbo naipenda sana nilisikia jilani yangu kaupiga nikaukumbuka nikabidi niuckilize❤2024
I'm in Kenya but I started watching this in 2007 until today.ina mafundisho hasaa tuombe bila kuchoka.
Akaomba akisema ee baba ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke ila sii kama nitakavyo Mimi Bali utakavyo wewe basi na sisi tunakuomba utuepushe na kikombe hiki cha korona kama ikikupendeza baba yetu ulie mbinguni
Amen
Yesu akuwa na maombi ya ubinafsi kama sisi ndio maana alitaka kuomba kikombe kimuepuke ila akukumbuka nilazima afe kwaajili ya waliopotea
Tatizo waalimu wa hizi kwaya,,,,wanamalizika naona,,,,,sasa tunabaki na bongofleva za kidini,,,,Eee Mungu tukumbushe tulikotoka na kwaya zenye ujumbe kama huu ziko wapi??
Hata Mimi kwasasa naona bongo fleva tu.sijaona kwaya.
Nyimbo za siku hizi ni mashindano kwenye TV na cyo kufikisha ujumbe wa Mungu kwa Wanadamuu...
Kwel mung atusaidie
pray for them
Pure talent all round. Thanks, good song!!
Waimbaji wimbo wenye ujumbe wenye kutukumbusha,hata tunapokuwa tunamwona ndugu ana wakati mgumu Kesha nae kumwombea,19-12-2020Wiliam cresent kirway toka Haydom-manyara.
Jamani acheni tu kipindi hiki watu walimfuata Yesu na sio miujiza
When Gospel was real, ile kikombe ya laana, kukataliwa niondolee Baba hii mwaka 2024.
Mwalimu wa hii kwaya yupo sawa 2 kabisa.❤❤
Hallelujah it's really a blessing song❤🎉
Iko sawa kabsa iko na mafuzo mazuri
Nimeacha hata kula love song
Huwa najickia faraja san nnaposikilza hii nyimbo mungu awabarik san
Kuna wimbo unaoimba... Maombi ya wenye haki..
Mungu anaskia,wapandao kwa machozi, watavuna kwa shangwe... Nani aneazakuwa anaujua niutafte?
Old is gold,,, Evergreen,, with great message.i heard it when I was young
Nyimbo zinazoishi hadi leo tangu nikiwa mdogo nilikuwa nazipenda hizi nyimbo Mungu aendelee kuwabariki🙏🏿
Ni kwa neema nipo tena🙏🏿
waimbaji wazamani ilikuwa kweli cyo wasasa
Wimbo huu Mimi ulinifanya kumjua mungu kuwa alitupenda sana wanadam
Daaah wazee wakunyatanyata umenikumbusha mbali sana nikiwa mdogo
Best song ever❤️
Mungu tuludishie waimvaji kma Hawa wa Mungu
Listening 2024
❤❤ 2024 Mungu ni mwema
Who is here october2020.nimeamshwa asubuhi ikiimba kwa akili nimeitafuta hadi nimeipata.hamukukesha pamoja nami hata saa moja😭😭😭🙏
HII wimbo ya lini manake in 2014 nilikuwa mdogo na nillikuwa naipenda sana
Marehemu Baba yangu alipenda sana hii nyimbo,Rest Well Dad❤
Amen nabarikiwa sn kusikia sauti nyororo ya kumsifu Mungu
❤ hawa waimbaji waliendaga wapi sijasikiaga nyimbo zao tena barikiwa Sana Kwa nyimbo zenu tam sana
Jamani naomba mungu awape baraka popote mulipo naupenda huu wimbo
Zamani sana aya madini
Leo ni October 15 2023 naangalia wimbo huu,natamani ufanyiwe review
Enzi hizo leo Nina miaka 33 nimeanza kusikia kwenye redio kaset pamoja sana
Kwanza nimeona kwenye tv ulivo isha tu nikakimbilia RUclips niangalie ninavo taka
Hata mm ivo ivo
Mungu awabariki sana wote walioshiriki katika Wimbo huu.
Mungu awabariki nyinyi!!!!!!!
Ndabva ndoiwasei nziyo iyi? Ndinoida ino ndiitira
Mungu awazidishie baraka zake popote mlipo menomite choir ninambarikiwa sana ninaposkia wimbo huu ambao unatukumbusha mateso ya yesu.
Wimbo mzuri sana, ulinitia moyo sana 2007 nkisomea KCSE, Mungu abariki Choir hii
Nabarikiwa Sana na nyimbo hizi
watunzi wa hizi enzi walikua na upako kweli,miaka yote io na bado kusikiza ujumbe ni swari na upako bado watiririka kweli,kuna Mungu aishiye jameni.
Hii album inanikumbusha mbali sana!!
Nipo na haya madni tupo wengi tunaoukubali ndokwanza kama mpya vile
Nabarikiwa mno na wimbo huu ki ukweli
Wimbo bora sana
Akaendelelea mbele kidogo❤❤❤❤ so sweet
nabariki sana❤❤❤
Wacha mungu aendelee kuinuliwa siku zote Amina🙏🙏❤️💕
Amina
Amen
Baraka sana kuusikiliza wimbo huu.
Nyimbo za kutubu dhambi
Hii ni kiboko kabisaaa😊😊😊
Jamani nyimbo napemda kuisikiliza kila ck,,mungu awabariki Sana kwa kz yenu nzuri💕
Wimbo naupenda mno jamani!♥️♥️♥️👏🇹🇿
Nimejikuta nakumbuka huu wimbo usiku huu,2023 lakini ujumbe wake ni maisha ya Leo
2021 bado wimbo unaendelea kuishi🙏🏿
My best song 🔥🔥🔥tangu nilipokua mdg sana
Kwaya,zilikuwa,zamani,saizi,akunalolote zaidiyakujaa majungu
I remember with nostalgia those days early 2000,Injili ilikuwa injili now 2023 the song will stand the test of time ❤Tabata Mennonite stay forever blessed
Majaribu ni kama moto
Hakka huu wimbo unafarji sanaaaaa
Amina
Hii ni nyimbo yangu pendwa sana
Nice so much
Mavazi yao safi kabisa na hapa Ni kabla shetani hajawa Fundi cherehani
Hahaha
Jamani nyimbo ndio hizi sasa
Nimezisikiliza zamani nikiwa primary miaka ya tisini mpaka sasa za moto Mungu aendelee kutupa habari njema kama hizi
Nimebarikiwa Sana Leo tar 15 ya mwez wa 8 mwaka huu 2021 mungu awabariki Sana na ambariki baba angu mzazi mzee bathroom semindu anaumwa " naomba kupitia faraja y wimbo huu na juma 2 ya Leo akabarikiwe 🙏
Huu wimbo ni mtamu Hadi unaskiza unajipata nywele za kichwa zinasimama ..kwanza mpangalio wa wimbo wenyewe na instruments umeweza Kabisa...weka like kama umebarikiwa..
Noma Hii Nondo ❤❤
2022 still loving the song..May God bless the choir
My best gospel song ❤️❤️ barikiwa Sana
2023
Huu wimbo naupenda sana❤❤
Nashindwa kuelewa huu wimb ni wamwaka jana kweli mm naona wakitambo lakn nikama umetoka leo
Hazichuji hizi nyimbo nitamu sana
Huu wimbo umenikumbusha marehemu wazazi wang,Mungu aendelee kuwapumzisha Kwa Amani
Wapumzike kwa Aman
Here are the Swahili lyrics of this Golden Gospel Song:
1a. Wakati ule Yesu, alipokuwa busitanini Getesimane; alimchukua Petro, na Zebedayo
Wakati akienda kuomba;
(Alihuzunikaa, alisononekaa x2)
Ndipo akawambia,
Roho yangu,
Inahuzunikia sijakufax2.
Kaeni hapa mkeshe, Pamoja nami-mi x2.
Akaendelea mbele kidogo (Baba-a),
Akaanguka kifulifuli (Baba-a),
Akaomba akisema eh Baba (Baba-a),
Kikombe hiki kiniepuke (Baba-a),
Wala si kama Mimi ntataka (Baba-a),
Bali ni kama Wewe utataka (Baba-a) x2.
1b. Wakati ule Yesu alipokuwa busitanini Getesimane;
alimchukua Petro na Zebedayo,
Wakati akienda kuomba;
(alihuzunika-a, alisononeka-a x2).
Ndipo akawambia, Roho yangu, Inahuzunikia sijakufa-a x2.
Kaeni hapa mkeshe, Pamoja nami-mi x2.
Akaendelea mbele kidogo, Akanguka kifulifuli,
Akaomba akisema e'Baba, Kikombe hiki kiniepuke,
Wala si kama Mimi ntataka,
Bali ni kama Wewe utataka x2.
2a. Akawajia wale wanafunzi,
akawakuta wameshalala.
Akawambia: Je Petro,
hamkukesha pamoja nami,
(hata saa moja X4).
Kesheni, muombe, msije, mka-ingia majaribuni x2;
[Roho-i, (radhi)X3),
Lakini mwili ni dhaifu] x2.
2b. Akawajia wale wanafunzi,
akawakuta wameshalala,
Akawambia: Je Petro,
Hamkukesha pamoja nami,
(Hata saa moja X4.).
Kesheni, muombe, msije, mka-ingia majaribuni x2,
[Roho-i, (radhi x3),
Lakini mwili ni dhaifu] x2.
3. Akawajia mara ya tatu,
Akawakuta wameshalala,
Akawambia-a saa yaja,
Mwana wa Adamu atakamatwa,
(Twende zetuni x4).
Baba twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), kaka yangu twende (twendeni);
Mama twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), Dada yangu twende (twendeni);
Baba twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), Kaka yangu twende (twendeni);
Mama twende (twendeni), twende (zetuni), Dada yangu twende (twendeni);
4. Dada yangu simama twende, Baba yangu twende;
Kaka yangu simama twende, Kaka yangu twende;
Dada yangu acha twende, Mama yangu twende;
Dada yangu simama twende, Baba(?) yangu twende:
Baba twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), Kaka yangu twende (twendeni);
Mama twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), Dada yangu twende (twendeni);
Baba twende (twendeni), twende (twendeni zetuni), Kaka yangu twende (twendeni);
Mama twende (twendeni), twende (zetuni), Dada yangu twende (twendeni);
(Yule mwenye(???) …acha twende twende zetuni×2).
Umetisha❤😊
Barikiwa saana ndugu zangu
hizi sasa ndo Gospel mtu anaimba akimaanisha siyo za siku izi zenye hata huez tofautisha gospel na secular
Kwel hatahazieleweki uvaaji tu wenyewe haunatpfauti na mtu ambae hamjui mung
2022...time flies..the memories the faith still stands...
Nyimbo yenye baraka hakika mlimtumikia Mungu.
I was looking for this song for decades my mommy wanted me to play it for her am happy she’s happy singing it🥰
Me too ✋️
Proud to be Christian ♥️♥️♥️
Nita download wapi izi nyimbo maana apa Kenya nimezitafuta Sana napata moja moja
2021 feb gonga like twenzetu
Nakumbuka miaka Ile kipindi kile nilipokuwa Mdogo nlikuwa nkisikiliza kabsa hii kwenye radio ya Kanda jamani ❤❤❤❤❤nyimbo zinaoishi Hadi leo😊
One of my favorites ❤❤❤❤
Nakumbuka mbali sana jamani
The best the best the best
Wamenikumbusha Pugu Kajiungeni kipindi hicho
Nazipenda sana nyimbo hiz ni kwaya yangu ninayoipenda milele hakika mnajua kuteka hisia za watu mbarikiwe sana
Amen
Yaan kila ukisikiliza hata amu aishi
Nilisikiliza hii nyimbo nikiwa mdogo mpka now 2022 naupenda San huu wimbo MUNGU awabariki sana