JE UNAJUA ASILI YA MWAKA KOGWA ?
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Watu wa mkoa wa kusini Unguja wilaya ya kusini kijiji cha Makunduchi wameelezea jinsi wanavyothamini mila yao ya mwaka kogwa
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "LIVE:SHUHUDIA WAZIRI MKUU AKIWASILI UKEREWE"
• LIVE:SHUHUDIA WAZIRI M...
~-~~-~~~-~~-~ #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Allah ata tujalia nguvu natakua ya kuiondoa hii mila yenye kujenga Imani za kishikina na masheikh wetu wata fanikiwa kuiondoa Inshallah Kwa mujib nnavo sikia zamani ilkua nanguvu kubwa tofauti na sasa basi kwa uwezo wa Allah uta zidi kupungua hadi kupoeatea kabisa ila watu wanao andika cjui hawna elmu cjui mila ya wamakunduchi haisaidi kitu Mtume Muhammad (S.A.W) alisambaza dini kwa hekma nasio kutoa maneno machafu na kutaja kabila basi tutumie takua coz watu wana sikiliza miziki wana jua kama Haram kubwa kwann tusiache kuckilza tunajua kama zambi
innalilllahi wainna illahi rajiun dah msiba huu jamanii wazee wetu wamenyimwa elimu wamepewaa ujingaa subhanna Wallah mama weee jmnii huumwaka kogwwa kharam
MOJA KATI YA SHIRKI KUBWA AMBAPO ALLAH KASEMA HAMSAMEHE ATAKAE MSHIRIKISHA MUNGU AWAONYESHE NJIA ILIONYOOKA HAO WAMAKUNDUCHI
Sio sote wengine hatusapoti hata kidogo
Duh kweli mnakosea mnahiari skukuu ya mwaka kuliko skukuu za dini astaghfirullah. Huko Iran bado wanayo siku hiyo wanaita siku ya Nuruz "yawm Nnuruz" lakin hawaombi wala hawafanyi ujinga wao wameislimisha imebaki kuwa ni siku ya sherehe but wamakunduchi wenzangu tuepuke shirki
amelaaniwa muisilamu mshirikina fiinarija hannam
Ashirk....
😭😭😭na kesho kawambie mungu hvhvo
🤣🤣🤣🤣
hizo ni shirki na allah ndio anamiliki kila kitu maradhi na uzima rizki na kila kitu vipo mikononi mwake hakika mila Nzuri ya kufuatwa ni mila ya baba yetu ibrahim hizo zenu sio mila ni kuabudia shetani
Sio Mila ya zainzubar ni yawashirazi ni Sawa na kuwaiga mashia Tu
Achen haya mammbo hayaana maaana na munaingia kwemye uchafu ambao ALLAH HARIZII KWASABAB SI SHEREHE ZINAZOENDANA NA SHEREHE ZA ALLAH ALIZOTUFUDISHA NA HII NI SHIRKI TUWACHENI JAMAN TUWACHENI TUWACHENI
Inna lillaahi wainna ilayhi rajiun, huu ni msiba mkubwa kwetu na hii inatokana na kutojifunza Tawhid.
Huyo anae simulia ni Muislam na pengine ni imamu huyo halafu halafu yupo kwenye Kibanda kumefungwa vitambaa veupe na vyekundu, halafu watu wanakuja kuomba kwa matatizo yao na wana fanikiwa.
Nime msikia akisema kuna sehemu wanakuja viumbe wasio one kana na kuwambia wachinje nini kama kuku au ng'ombe hiyo ni shirk.
Tafauti ya mshirikina na kafiri ni -
Kafiri yeye kaiikanusha haqi( UISLAM)
Na mshirikina yeye kakubali haki (Laillahailallah Muhammad RasuluAllaah) halafu ana vijiungu vyengine anavyo viamini kuwa vina msaidia!!! Eti Eti wasipofanya hayo hakutakuwa na kilimo na majanga mengi yata tokea. Subhanaallaah hiyo ni shirk kubwa.
Haroun Ali kweli
Innalillah wainnailayhi rajiuun msiba mkubwa huu
haroun ali mm nin wsws nae hyo
Upuuzi wenu wenyewe muitie hasara serikali babu tafuta kazi yakufanya
Shirki
Hiyo ni Shirk baba yangu rudi kwa mola wako pekee ndiye mgawa riziki na siyo viumbe visivyooneka..
Allah akusamehe hujui utendalo!
🤣🤣🤣🤣
Innalillahi Wainnaillaihi Rajioon
Shirki tuu ....mwaka mkiwacha mtapata matatizo.
Haraaaaaaam
Duh! Eti viumbe visivyoonekana 💀💀💀 na wengi wanafanikiwa.
Afu mapato yanayotokana na sherehe hizo huchukuliwa na serikali, kumbe hata serikali nayo ndiyo 😅!
Hili jambo lait lipo kwa ndugu zetu wapemba mbona hata kwa mitutu ya bunduki lishaondolewa lakin kwa huko lilipo muhudi adi dunia itaisha tena lina nguvu za serekali polen wana mwaka pogwa na kuna siri kubwa ikiwa mkeo hukumpeleka siku hio hapatoshi nyumbani
Hapo sasa mm sendi tena kumbe mnaambiwa na mashetani nini cha kufanya
hizo sio za zanzibar ni mila za wamakunduchi peke yao ni ushirikina eti wanaenda kibandani kuomba ni ushirikina mimi ni mzanzibari ila hizo ni wao wamakunduchi peke yao
Khadija Said Mashaa ALLAH
khadija said nice kabixa
usiseme makunduch peke yao kuna badhi ya wamakunduchi hawa shirki ila kuna watu wanatoka mbalimbali kwenda na simakunduchi tu hata kojani ila una kogwa kimila Mila tu pengine kutwa uko kwa mganga
+Khaitham Mohd kweli wapemba libao na mashungi yao wapo na biashara zote zao wao
kwaiyo we una zungumzia wapemba au ita kua we huijui vizur dini kasome mahadi wata kuelewesha Inshallah
ushirikina mtupu si mila za wazanzibar peke yao wamakunduchi ndo wanafanya ivyo
Ushırıkına tuuuu
N zambi icho mnacho fanya w kuombwa n allah tu na sio mizim hayo n mashetan mna watu mikia
wazanzibar noma wanajifanya wao hawana uchawi huo nini ujinga tu
Sio wote popote pale wajinga wapo aisha
huyu mzee ninoma kwa ushiriki
Tunakwaga to sana bila ya kujitambua
Huo ni mtihani mkubwa wallah mmh!
Fanyeni kama sherehe ya kimchezo ya kupimana nguvu. Lakini msitumbukize kabisa mambo ya ushirikina ndani yake . Allah ni pekee wa kumtegemea kwa kila kitu.
Iyo kuchinja kwa ajili ya shetani Ni ushirikina Tosha.
Zidisheni bidii bs😭😭😭😭
Huyo kaongea pumba sana/upumbavu mnooo
Mwaka kogwa ni shirki
Sasa Sheikh Yussuf Maradhi unafanya nini? Hujenda tu uko mzimuni? Ukakupiga RUQIYYA?
naipenda mwaka kogwa and idumu milele
Unaupenda huu ushirikina wewe mhh sawa
Kudadeki fala wew mshirikina mkubwa
Acheni wanga nyinyi .na ndo mana roho mbaya kweli wazee wengi makunduchi wanga
Itabidi mtufahamishe Mila za znz ni zipi??
Zanzibar ina visiwa vikuu 2 kati ya 55, Pemba wanautamaduni wao waliorithi kwa mababuzao wa kireno. Mojs wapo ni mchezo wa ng'ombe, wanaginingi yao.sasa hizi pia ni shiriki
Mila ya baadhi ya wazanzibar wapumbavu na sio mila ya wazanzibar mm mila yangu ni ya nabii Ibrahim alaihi salam .
Babu shirki io kharam
Mzalendo hukunifahamu. Nilisema vitendo vibaya ndio dhambi sasa kana watu wanaabudu vitu visivyojulikana ni vitendo sasa mimi nimekosea wapi
Shirkii hio. Munaabudu moto namizimu. Hao ndio wanafiki ktk uislamu.
ww mzee mzima una akiki za kishirikina mrudie mola wako shirk sio mzuri
هذا هو الشرك بعينه
waislaam munatia aibu wallahi mutakwenda kujibu akhera
Eti wanaita skukuu ya mwaka ni ushirikina mtupu zamani na watu wa mtende walikuwa wanafanya mila ndogo lakini sasa hakuna tena
Uwongo wee mzee hakuna kitu kamaicho kwamba uwache ushirikina halafu Mungu akupe maradhi, hizo ni mila za kishaytwani tu hakuna lolote, kwaiyo unasema uwo mwaka wako kogwa ni bora kuliko maamrisho ya Allah, subhanahuwataallah, ambayo katuamuru tuache maovu na ujinga kama huo, na tufanye amalnjema kama sala zakkah nk. Mbana hayo yamana hamufanyi na wala hamjapata maradhi usipotoshe watu potea pekeako.
Ushilikina tu babu
hiyo sio mila yetu wamakunduchi huwo ni urikina
daah hii hatari
Hizo sio mila za wairani bali ni mila za watanganyika. Coz huo ni ushirikana na sio mila.
huo ni ukafiri
Wapumbavu ushirikina mtupu
Sikukuku ipi muhimu simadogooo
Kazi ushirikina tu hamna lolote wazee wa makunduchi kesho ahera nyote motoni....
Ktk mambo saba yenye kuangamiza shirki ni lamwazo et " mkiacha mtapata matatizo" mbna mlipoacha kipagana vigongo hamjapata matatizo mukome shirki nyie
Swadakta ushirikina mtupu lol
Haram
Mila na utamaduni sio shirki. Shirki ni neno la Kiarabu maana yake ni kumshirikisha M-Mungu na kitu au jambo. Mwaka ni sherehe sio za kidini bali ni mila na utamaduni. Ukiacha mila na utamaduni unabakia kuwa huna muhimili maslum wa kujifurahisha ndani ya maisha. Tusichanganye mambo shirki haihusiani na sherehe za kimila. Tufahamu kuwa zaidi ya asilimia 90% ya wazanzibari ni Waislamu. Kwa maana hii, mwaka kogwa katu sio ibada watu wana dini zao. Ni sherehe tu ambayo kwa mtazamo wangu lazima tuidumishe. Ina faida kubwa kwa wananchi na watu wengine kutoka nchi mbali mbali huja Zanzibar kuona mwaka kogwa.
Allah akusameh nawe hujui uongealo dah watu washakwambia wasipofanya watapata madhara makubwa unadhani ni nn kama si kuabudu tena na wanakwenda sehem huambiwa cha kufanya na viumbe visivyo onekana na wanafata unadhan n nini kama si shirki
Wacha kujiona msomi wakati ukweli upo wazi mzee ashasema huyo watu wengi huomba mambo yao na hufanikiwa kwenye huo mwaka ..wewe km unalipenda hilo hiari yako hakika ALLAH hamsamehe mshirikina
Abdulkareem Seif mzalendo maoni yangu hayahusiani na elimu ni mtazamo wangu tu. Badala ya kunipa pointi unanishambulia mimi binafsi kwa mada inayotaka mjadala.
Amur wacha kuvuta bangi kavu wew iv kweli n muislamu ww n unajuwa manaana ya iyakanaabudiya waiya kana xtain au nd bangi unavuta nyingi
@@patimabilali7820 Wewe ndio hujui maana yake. Mwaka kogwa ni sherehe tu wacha watu wafurahie maisha kwasababu huko tunakoenda kaburini hakuna mchezo usipoupata hapa duniani utajuaje? Mimi ni Muislam na hakimu wangu ni Mungu sio wewe.
Mjinga mkubwa huyu mzee
Haya mambo ni kwa wamakunduchi tu na sio kwa wazanzibari wote..cha msingi sisi km waislam wenzetu tunatakiwa tufanye nini ili wenzetu watoke ktk njia isiyo sahihi?? Tuwasaidie basi japo mwanzo utakua mgumu lkn mwisho wataelewa kwa maana kukosa elimu nako kunachangia ..ila najiuliza huko maKunduchi hakuna masheikh wenye elimu ??dah inasikitisha mno Allah awaonyeshe njia sahihi wenzetu amin
usiseme ni kwa wa makndchi ni kwakila anaenda kuna wamakunduchi hawaujui haswa nasio kujifanya mashehe mna abudia shetani na kama kweli una takua muelimishe jirani yako japua mmoja nasio ku comment upuz
usizanie kila anae fanya jambo hajui kama baya usi wahukumu masheikh wako ila na wao wana elimisha na wana pata badhi ya watu wanao zinduka huwez kuwaeka watu saw wote hivohivo watafika Inshallah wewe cmu Islam una kaa na makafir ushawahi wasilmisha kwa Ajili ya Allah au ndo wakifanya birthday party umefika nakupeleka flash ya nyimbo pengine anae sherehekea mwaka hajawai zini ata ckumoja but pengine wew ndio starehe yako kubwa
Haufi