MWANZO MWISHO YALIYOJIRI KWENYE MWAKA KOGWA LEO MAKUNDUCHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    cc: Maryam Busara
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Omar (OJ)
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Комментарии • 35

  • @saidsuleiman827
    @saidsuleiman827 3 года назад +5

    İnna lillah wainna ilayhi rajiun ndugu zangu wa kusin hiv ni lini mtaondokana na haya mambo ambayo hayana tija tena kwenye jamii zetu

  • @mohamedsalimaljahdhamy1436
    @mohamedsalimaljahdhamy1436 3 года назад +8

    Inna lillahi wa inna ilaihi raajiun. Huu ni mwezi mtukufu sana na hizi siku 10 za mwanzo ni tukufu zaidi lkn inasikitisha sana Wallahi tunamuasi Allah kwa kisingizio cha utamaduni

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 3 года назад +3

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

  • @biubwasalim3460
    @biubwasalim3460 3 года назад +5

    M Mungu atusameh ndio maana majanga yamekuwa mengi

  • @hemedsaleh581
    @hemedsaleh581 3 года назад +4

    Innalillah wainna ilaih rajiun tutaenda ulizwa kwa yale tuliyaafanya duniani na tutalipwa acheni kumuasi allah

  • @abdillahhassan5423
    @abdillahhassan5423 3 года назад +6

    Huu ni upuuzi ambao MPAKA sasa hivi zanzibar unguja makunduchi upo Watu wanatope za macho bado wanamshirikisha Allah waziwzi tumuogopeni Allah jamani

  • @jumamshenga2666
    @jumamshenga2666 3 года назад +1

    Innalillahi wainnailayhi rajiun matusi jamani sasa viongozi wapo na wananchi wao wanapeana matusi tu Allah atusitiri na dhambi hizi

  • @abdallahali3136
    @abdallahali3136 3 года назад +1

    Mungu hatooacha kutuletea maradhi haya na Yale kwa ufisadi tunao ufanya

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +2

    Upuuzi tu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 года назад +3

    Washenzi tu huyo mm siwapendi

  • @tawakalwamakaru8605
    @tawakalwamakaru8605 3 года назад +1

    kazi ushirikina tu ndo kazi zao kila mshirikina motoni hata km na wewe umo pia motoni👉🔥

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 3 года назад +1

    Siamini kama ni unguja wallahi ushirikina huuuu upuuzi mtupu wakatafute kazi wafanye. Wanawake wanaume zanzibar mambo haya aibu wallahi

  • @biubwasalim3460
    @biubwasalim3460 3 года назад +6

    Eweee siku hizi tukufu jamaniii mnafanya shirk duuu mtihani

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 3 года назад +1

    Zanzibar kumbe bado ujinga upo tuu

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 3 года назад +1

    Huu Ni ktk mwezi mtukufu katika miezi minne mitukufu .watu wafanya ujinga wao na upuuzi wao .ushirikina mtupu watu waacha Mila ya Ibrahim eti wafanya Mila zao

  • @saidsalum9587
    @saidsalum9587 3 года назад

    Kumtukana mtu yoyote. Huo sio uislamu waislamu haifaik kutukanana

  • @khamisihaji2905
    @khamisihaji2905 3 года назад +1

    Kawaida hapo unachukua mke wa mtu au mume wa mtu ni jambo la kawaida zanzibar mzima hawa ndio wanaongoza kwa kila baya matusi zinaa ni kawaida kwao hata ukikaa nae mtaani hirani yako uwe makini sana mara 1 tu anajuchukulia mkeo lkn na yy mke wake hata akimuona anachukuliwa na mwanamme yoyote na yy hasemi chochote laaaanatuwahi.

    • @mwanalelee6
      @mwanalelee6 3 года назад

      Subhanallah kumbe heeeee elimu inahitajika kwa kwel

    • @khamisihaji2905
      @khamisihaji2905 3 года назад

      lee elimu kwa hawa ni bureee 2 sio km nakwambia uwongo amini muungu.

  • @hassanturky7511
    @hassanturky7511 3 года назад

    Kuna milla zinazotakiwa kupigwa marufuku KABISA.mashekhe wapange mihadhara kwa ajili ya kutengeneza watu kielimu na imani.

  • @khalfannasornassor7396
    @khalfannasornassor7396 3 года назад +1

    Nahisi naharibu mb zangu 2

  • @zaytunhijja6771
    @zaytunhijja6771 3 года назад

    Rahaaaaaaaa wenye mapovu stahamilin

    • @alikhamis6326
      @alikhamis6326 3 года назад

      Jitambue dada hatutoki povu ila sss ni waislamu tuna miongozo yetu ila utaejibu kwa Allah dada kwa kutetea mila ambazo mtume muhammad hajatufunza

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g 3 года назад +1

    Wacheni ushirikina vipi nyinyi

  • @massoudmohd609
    @massoudmohd609 3 года назад +1

    Kumbe ndio maana zanzibar haiendi mbele imetawaliwa na watu wajinga na washirikina ndani ya masiku matukufu wanaendekeza shirki

  • @humoudmohammad3125
    @humoudmohammad3125 3 года назад

    .

  • @hajjihijja1989
    @hajjihijja1989 3 года назад

    Acheni ushirikanahuo , ushirikina mtupu ,

  • @iptisamnasrif339
    @iptisamnasrif339 3 года назад

    Mwaka kogwa raha

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 3 года назад

    Hizi mila kiutaratibu wa dini hazikubaliki maana zimeambatana shirki ndani yake,hazina tija kwa taifa wala wao binafsi,ndani yake huzalikana shari kama vile zinaa,andaeni majibu mazuri ya kumjibu Allah kwa kuzidumaza akili zenu na kujipiga kifua

  • @balozichalamila4034
    @balozichalamila4034 3 года назад

    Itikadi za dini isifanye kudharau mambo ya utamaduni wa asili hata hao waliokuletea hiyo dini yako wana utamaduni wao ndio umeufata mpaka leo unataka kudharau utamaduni wako acheni ulimbukeni wa afrika mlio zanzbar kujidai mnamjua mungu kuliko hao waliokufundisheni dini kama mnamjua Allah kuliko hao mwakagogwa mbona hamjapata maendeleo

  • @omyjaku8818
    @omyjaku8818 3 года назад

    Tembo