MWANZO MWISHO YALIYOJIRI KWENYE MWAKA KOGWA LEO MAKUNDUCHI
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
İnna lillah wainna ilayhi rajiun ndugu zangu wa kusin hiv ni lini mtaondokana na haya mambo ambayo hayana tija tena kwenye jamii zetu
Inna lillahi wa inna ilaihi raajiun. Huu ni mwezi mtukufu sana na hizi siku 10 za mwanzo ni tukufu zaidi lkn inasikitisha sana Wallahi tunamuasi Allah kwa kisingizio cha utamaduni
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
M Mungu atusameh ndio maana majanga yamekuwa mengi
Innalillah wainna ilaih rajiun tutaenda ulizwa kwa yale tuliyaafanya duniani na tutalipwa acheni kumuasi allah
Huu ni upuuzi ambao MPAKA sasa hivi zanzibar unguja makunduchi upo Watu wanatope za macho bado wanamshirikisha Allah waziwzi tumuogopeni Allah jamani
Innalillahi wainnailayhi rajiun matusi jamani sasa viongozi wapo na wananchi wao wanapeana matusi tu Allah atusitiri na dhambi hizi
Mungu hatooacha kutuletea maradhi haya na Yale kwa ufisadi tunao ufanya
Upuuzi tu
Washenzi tu huyo mm siwapendi
kazi ushirikina tu ndo kazi zao kila mshirikina motoni hata km na wewe umo pia motoni👉🔥
Siamini kama ni unguja wallahi ushirikina huuuu upuuzi mtupu wakatafute kazi wafanye. Wanawake wanaume zanzibar mambo haya aibu wallahi
Eweee siku hizi tukufu jamaniii mnafanya shirk duuu mtihani
Zanzibar kumbe bado ujinga upo tuu
Huu Ni ktk mwezi mtukufu katika miezi minne mitukufu .watu wafanya ujinga wao na upuuzi wao .ushirikina mtupu watu waacha Mila ya Ibrahim eti wafanya Mila zao
Kumtukana mtu yoyote. Huo sio uislamu waislamu haifaik kutukanana
Kawaida hapo unachukua mke wa mtu au mume wa mtu ni jambo la kawaida zanzibar mzima hawa ndio wanaongoza kwa kila baya matusi zinaa ni kawaida kwao hata ukikaa nae mtaani hirani yako uwe makini sana mara 1 tu anajuchukulia mkeo lkn na yy mke wake hata akimuona anachukuliwa na mwanamme yoyote na yy hasemi chochote laaaanatuwahi.
Subhanallah kumbe heeeee elimu inahitajika kwa kwel
lee elimu kwa hawa ni bureee 2 sio km nakwambia uwongo amini muungu.
Kuna milla zinazotakiwa kupigwa marufuku KABISA.mashekhe wapange mihadhara kwa ajili ya kutengeneza watu kielimu na imani.
Nahisi naharibu mb zangu 2
Rahaaaaaaaa wenye mapovu stahamilin
Jitambue dada hatutoki povu ila sss ni waislamu tuna miongozo yetu ila utaejibu kwa Allah dada kwa kutetea mila ambazo mtume muhammad hajatufunza
Wacheni ushirikina vipi nyinyi
Kumbe ndio maana zanzibar haiendi mbele imetawaliwa na watu wajinga na washirikina ndani ya masiku matukufu wanaendekeza shirki
.
Acheni ushirikanahuo , ushirikina mtupu ,
Mwaka kogwa raha
Acha ujinga hujui kama hiyo ni laana
Hajui uyo
Hizi mila kiutaratibu wa dini hazikubaliki maana zimeambatana shirki ndani yake,hazina tija kwa taifa wala wao binafsi,ndani yake huzalikana shari kama vile zinaa,andaeni majibu mazuri ya kumjibu Allah kwa kuzidumaza akili zenu na kujipiga kifua
Itikadi za dini isifanye kudharau mambo ya utamaduni wa asili hata hao waliokuletea hiyo dini yako wana utamaduni wao ndio umeufata mpaka leo unataka kudharau utamaduni wako acheni ulimbukeni wa afrika mlio zanzbar kujidai mnamjua mungu kuliko hao waliokufundisheni dini kama mnamjua Allah kuliko hao mwakagogwa mbona hamjapata maendeleo
Tembo
🤣🤣