ONA AMSHA AMSHA ILIVYO TIKISA MAENEO YA MJINI -UNGUJA- ZANZIBAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    cc: Maryam Busara
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Omar (OJ)
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Комментарии • 25

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 3 года назад +3

    Almarhum Shaeikh wetu nyundo alipiga vita sana mambo haya yamchanganyiko wanawake na wanaume

  • @wahidajuma8521
    @wahidajuma8521 3 года назад

    Sheikh nyundo Allah akulipe yenye kheir

  • @sulimanmasoud9337
    @sulimanmasoud9337 3 года назад

    Wazugu wanasema hawataki kubadilishwa tabia zao na wamesha fika ka Zanzibar wana ibadilishe tabia ya kizanzibari. Maskini Zanzibar imokatika nakama
    Mgu amjalie wigi warehma Amin Shekh Nyudo. Kachukua asione nakma ya wazazibari. Waze watoto mtajibu nini mtapo .ulizwa au naguvu za C C M mnaziogopa za .Muuba

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +4

    Upuuzi mtupu , kila siku ni hayo hayo hatuoni la maana hata 1 .

  • @jambo3751
    @jambo3751 3 года назад +2

    Ndo ukavaa jezi la utopolo?!!!
    Si ungevaa jezi ya Timu ya Taifa ya Zanzibar(ZANZIBAR HEROES) .

    • @abhaaly
      @abhaaly 3 года назад

      Hapo Ndipo Aliponikera... hahahaha

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад +1

    Je mungejikusanya kama hivyo mukasafisha mitaani mataka na kuyapaka majumba ya zamani japo chokaa. .mana mji wote mchafu . Kaz yenu kufanya maovu to mji wote wa zanzibar umejaa mataka taka

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 3 года назад

    Hamuna kitu Zanzibar sekafa imetolewa mbona hamusemi kituu

  • @mwanakomborajab2091
    @mwanakomborajab2091 3 года назад

    Hongereni

  • @omarsaid7153
    @omarsaid7153 3 года назад +1

    Mwinyi hakutuahidi michezo sisi , alituahidi UCHUMI WA BULUU, AJIRA KWA VIJANA, ELIMU, MAISHA BORA KWA KILA MZANZIBARI. Sasa haya mnotuletea hatuyaelewi. Seems like NCHI IMESHAWASHINDA HII. MTUACHE TU YAANI 😃😃😃😃

  • @newgamerwastaken
    @newgamerwastaken 3 года назад

    First to comment

  • @mukrimchumhaji587
    @mukrimchumhaji587 3 года назад

    Almarhum shekhe nyundo aliyasama haya na ndo tunayaona Allah amrehemu shekhe wetu alivokuwa anasema ukweli mtu

  • @ibrahimlatif1917
    @ibrahimlatif1917 3 года назад

    Sasa we kijana mwenzetu una miaka mingapi???

    • @abhaaly
      @abhaaly 3 года назад

      Kwa Umri Wake Ni Kijana, Tena Sana Na Bado Hatofikia Umri Wa Kutoka Ujana Kwa Zaidi ya Miaka 5 mbele...!!!

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa1697 3 года назад

    Mm naona kuna mengi ya kufanya yenye maana kila kona

  • @eenpaard3915
    @eenpaard3915 3 года назад

    Baada hapo mtu anaenda kula maandazi 8

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 3 года назад

    Jamani ndio mnafanya mazoezi lakini vaeni vizuri muone haya wanawake

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад

    sasa hii ndio neema tuloahidiwa ? yajayo yafurahisha 😂😂😂😂

  • @ahmedomar804
    @ahmedomar804 3 года назад

    Hakuna lolote