ONA AMSHA AMSHA ILIVYO TIKISA MAENEO YA MJINI -UNGUJA- ZANZIBAR
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Almarhum Shaeikh wetu nyundo alipiga vita sana mambo haya yamchanganyiko wanawake na wanaume
Sheikh nyundo Allah akulipe yenye kheir
Wazugu wanasema hawataki kubadilishwa tabia zao na wamesha fika ka Zanzibar wana ibadilishe tabia ya kizanzibari. Maskini Zanzibar imokatika nakama
Mgu amjalie wigi warehma Amin Shekh Nyudo. Kachukua asione nakma ya wazazibari. Waze watoto mtajibu nini mtapo .ulizwa au naguvu za C C M mnaziogopa za .Muuba
Upuuzi mtupu , kila siku ni hayo hayo hatuoni la maana hata 1 .
Kwa kweli
Ndo ukavaa jezi la utopolo?!!!
Si ungevaa jezi ya Timu ya Taifa ya Zanzibar(ZANZIBAR HEROES) .
Hapo Ndipo Aliponikera... hahahaha
Je mungejikusanya kama hivyo mukasafisha mitaani mataka na kuyapaka majumba ya zamani japo chokaa. .mana mji wote mchafu . Kaz yenu kufanya maovu to mji wote wa zanzibar umejaa mataka taka
Hamuna kitu Zanzibar sekafa imetolewa mbona hamusemi kituu
Hongereni
Mwinyi hakutuahidi michezo sisi , alituahidi UCHUMI WA BULUU, AJIRA KWA VIJANA, ELIMU, MAISHA BORA KWA KILA MZANZIBARI. Sasa haya mnotuletea hatuyaelewi. Seems like NCHI IMESHAWASHINDA HII. MTUACHE TU YAANI 😃😃😃😃
First to comment
Almarhum shekhe nyundo aliyasama haya na ndo tunayaona Allah amrehemu shekhe wetu alivokuwa anasema ukweli mtu
Sasa we kijana mwenzetu una miaka mingapi???
Kwa Umri Wake Ni Kijana, Tena Sana Na Bado Hatofikia Umri Wa Kutoka Ujana Kwa Zaidi ya Miaka 5 mbele...!!!
Mm naona kuna mengi ya kufanya yenye maana kila kona
Baada hapo mtu anaenda kula maandazi 8
Jamani ndio mnafanya mazoezi lakini vaeni vizuri muone haya wanawake
Saw saw bidada wambie awo
@@mudathirmkubwamselem5650 umeona habibtiy
Mwana mke anatakiwa kuji sitir
@@mudathirmkubwamselem5650 ndio tena yeye waziri ndio kabisa kwa sababu watu watapata fursa ya kuiga
akijistiri ataona nani kama ana mshepu
sasa hii ndio neema tuloahidiwa ? yajayo yafurahisha 😂😂😂😂
Hakuna lolote