ONA BALAA LA MWAKA KOGWA LEO LILIVYOKUWA MAKUNDUCHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Juma Maulid
    cc: Masoud Maganga
    cc: Sauti Byego
    cc: Maryam Busara
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Mwarabu Mmadi
    Nassor Shaibu
    Abdallah Dula
    Editors:
    Juma Maulid
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Комментарии • 174

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 4 года назад +22

    yaa Allah wasameh hawa waja wako maana hawajuwi walifanyalo aaamin.

  • @abuufauzaanmohd447
    @abuufauzaanmohd447 4 года назад +23

    Anaekubali kuwa serekali haina dini tujuane mapema

    • @sokoinesokoine7468
      @sokoinesokoine7468 4 года назад

      Unasema Serikali haina dini lkn watu wana dini na serikali ni watu....
      asilimia kubwa znz ni waislamu... skukuu zetu waislamu ni mbili tu Eid l fitri na Eid l Adh- haa...
      Turudini kwa Mola wetu mlezi na tumtake Maghfira kwa wingi

  • @faridaalmaawaly955
    @faridaalmaawaly955 4 года назад +14

    Lahawla walaquwata Ila Billah
    Allah awaongoze katika njia ya Kheri watu Hao walio potea
    Amin

    • @maestrojayysule5660
      @maestrojayysule5660 4 года назад +1

      usijifanye msafi wewe mwenyewe zinaaa tupu .mamako

    • @latymdohoma7391
      @latymdohoma7391 4 года назад

      Kwani hiyo ya shari au ww vipi unajua sababu ya hiyockukuuu au ndio unaskiliza maneno ya kuambiwa uliza fuatilia historia unataka kujifanya ww mcha mungu hio ckukuu ipo kpnd na mashekhe wakubwa wakubwa sasa ww jikute mcha mungu kumbe haujui lolote

    • @rashidmohd115
      @rashidmohd115 4 года назад

      @@maestrojayysule5660 iyo zinaa umefanya nae ww' mjinga mmoja'' wee

    • @rashidmohd115
      @rashidmohd115 4 года назад +2

      @@latymdohoma7391 laty' mwaka kogwa imetajwa kwenye kitabu gani Kati ya zaburi,injili,taurat na Qur'an nisaidie, na km huna jibu Apo Basi elewa huo Ni ushirikina tu ukitaka ucitake, Mana kinachofanyika jiulize tu kunamuudhi au kumfurahisha muumba wako'' nipe jibu tafadhali, na jitahid kutoshabikia maasi ktk umri wko' ata km watu wa dunia mzma'' watafanya ww' epuka

    • @Awatee
      @Awatee 4 года назад

      @@maestrojayysule5660 subhana allah

  • @ShaqsyTours
    @ShaqsyTours 4 года назад +9

    Inna Lillahi wainna ilayhi rajiuun huu ni msiba wa hali ya juu kuona kwamba hadi leo kuna watu wanafanya mambo ya ajabu kama haya Allah awaongoze mujielewe na muitambue akhera yenu

    • @khamissalum431
      @khamissalum431 4 года назад +1

      Kwa utamaduni huu hata usipokuwepo jamii haiafhiriki

  • @abuujureyjkhaniy.5520
    @abuujureyjkhaniy.5520 4 года назад +8

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
    Allah akusamehen hamujui mutendaloo huu ni msiba tutajua tukifumba jichoo

    • @khamissiali2231
      @khamissiali2231 4 года назад

      Dah,, ukosefu wa viongozi wa wazuri ktk nchi yetu

  • @khatibsaid9544
    @khatibsaid9544 4 года назад +2

    Yaarab tuingizie tawhid ktk nyoyo zetu na utuonyeshe njia ya kheri na tulinde na athabu ya kaburini na athabu ya moto wa jahannnam amin

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 4 года назад +2

    Watu husoma qurani wajue kuisoma zaidi kwenye hitima tu,na wakitokea mashekh wataka kuelekeza watu ukweli mnawatia ndani , lakini mtambue haya ni matendo ya kijahiliya ambayo watu wamerithi kuroka kwa wazazi wao ambao hawakua na uelewa juu ya wayatendayo

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif667 4 года назад +6

    Ayubu ilikua unyamaze tu mana hayo unayoyasema yatakuja kukukost mbele ya ALLAH

    • @salehhamadi6070
      @salehhamadi6070 4 года назад

      Umeongea point

    • @princeganji2779
      @princeganji2779 4 года назад

      Washirikina tu wote hao

    • @neemaabdallah3567
      @neemaabdallah3567 4 года назад

      Ni Kweli kabisa tena ao wamakunduchi wanasema wakiwa hawakufanya sherehe hizi wanadhurika pia hawazisamini skukuu zetu Za kiislam Innalillahi Wainnaillaihi Rajiuun

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 4 года назад +4

    Allah awaonyeshe njia ilio sahihi wenzetu.

  • @habyalmary8132
    @habyalmary8132 4 года назад +5

    Subhanna Allah, sasa huo sio ushirikina? Lahaula wala quwwata illa billahi.
    Ukienda kusali haimaanishi kua sio mshirikina. Hao washirikina wenyewe huenda misikitini.

  • @mukrimismail9142
    @mukrimismail9142 4 года назад +5

    Hata baazi ya wachawi wanapotaka kwenda uchawini husali rakaa mbili, muheshimiwa umecheka haramu haiwezi kuwa halali kwakuwa mtu alisali ndio baadae akafanya.

  • @truthspeaker2062
    @truthspeaker2062 4 года назад +8

    Kwa utamaduni huu si hasara kupotea . Si kila mila inatakiwa iendelezwe . Vizazi vijavyo vitakuwa vizazi visomi hawatokuwa wagonjwa wa akili in shaa Allah

  • @khamissalum6351
    @khamissalum6351 4 года назад +2

    Ayoub hapo umechemsha wala usitetee ujinga kama huo kupitia dini....Allah awaongoze katika njia sahihi

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 года назад +2

    Tuseme alhamdulilah tusio kuwa na mila tuwaombee na hawa mungu awafunguwe vichwa vyao inshaalah

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba9366 4 года назад

    KTV Online hakika hii nifahariyetu Leo mmeniumiza moyowangu kuonahalihiyo kumbe bado yapo mambohayo Yaa RABBI kwa rehma zako ujaaliem yaondoke kabisa mambohayo hukonikwetu

  • @salummkubwa
    @salummkubwa 4 года назад +3

    Daima pamoja RC Ayub siku moja Allah akipenda utakua Rais wa Wazanzibari, kwa sasa ng’arisha Kusini.

    • @issamohd9955
      @issamohd9955 4 года назад

      naww unaunga mkono ushirikina

  • @hashilfarahani4024
    @hashilfarahani4024 4 года назад +7

    Innalillah wainnaailayhirajiun

  • @yussuphmbaroukalliy2608
    @yussuphmbaroukalliy2608 4 года назад

    Inallilah wainna ilyhi rajiuun mungu awaongoze na awatowe ktk upotofu kama huo

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 4 года назад +4

    Uislam umekamilika umetuekea siku za sherehe vereje munzishe zenu?

  • @zenj1986
    @zenj1986 4 года назад +3

    Mtume muhammad alikuja na kutuletea mila na desturi bora zaidi na alipoona mila ambao zina madhara kwa imani na afya za watu basi alizipika vita. Mila nzuri ndio aliziacha. Mkuu ungeangalia mazuri na mabaya yanayopatikana. Ikiwa mabaya ni mengi basi ndio haifai. Na kama mazuri ni mengi basi itafaa. Kama huna elimu ya dini basi ni vyema walio na elimu ya dini wangelitolea ufafanuzi.

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 4 года назад

    Shukran Ktv tz online hakika hii ni fahari yetu

  • @reymapishinaubabyboy9409
    @reymapishinaubabyboy9409 4 года назад

    Yaani kuna watu wanajifanya wao perfect kwa kila kitu wakiona mila za watu eti subhannallah au utaskia ushirikinaaa wakati wao wenyewe washirikina tena wakubwa na wauwaji au kwakua hamuonekani lkn na nyie pia Allah anawaona mupooo mcpende kulaumu ovyo wacheni kila mmoja afany anachokiona kipo sawa kwake atakae tuhukumu ni mwwnyezi mungu pekeake ole wake yule anamnyooshea kidole mwenziwee mungu anawasubir nanyie

    • @asmamwadini3127
      @asmamwadini3127 Год назад

      Katika uislam...tumeusiwa kukumbushana haijalishi anaekukumbusha ana madhambi kiasi gani ama anafanya makosa gani .."kila mtu ni mchunga wa mwenziwe na tutakwenda ulizwa juu ya tulivyovichunga." Ummah Muhammad ni bora sababu tunaamrishana mema na kukatazana mabaya.

  • @aliiyvuai116
    @aliiyvuai116 4 года назад

    Nlidhani Ayoub atakemea hii mila kumbe anaitetea! "Eti unamuomb m/mungu kupitia mila yako" lkn mila hii haifawi ktk uislam na hatupaswi kuunga mkono mila hii kwan Allah anachukia na akichukia maana yake hasara itatokea kW yeyot anae unga mkono mila hii huko siku ya kiama. MBELE YA ALLAH MILA HII HAIFAI ISPOKUW TUNAZIDHULUMU NAFSI ZETU TU. Allah tuepushe kufany mila potofu km hii ambayo haifai ktk dini sahihi ya UISLAM.

  • @mohammedalnabahan.4127
    @mohammedalnabahan.4127 4 года назад

    Boss ayoub iyo sio hoja kusali, SubuhanaAllah, unamuomba ALLAH kupitia kitu, ila mtaenda kujua mbele ya Allah.

  • @ahmedmwinjuma1496
    @ahmedmwinjuma1496 4 года назад +7

    Ewe mungu usituadhibu kwa wanayofanya wajinga miongoni mwetu

  • @mohammedhamad9392
    @mohammedhamad9392 4 года назад

    Nimejuwa ki2 hapa ,Wana muabudu Sheittani huo moto wanao uzunguka
    Innalillahi wainnaa ilahi raajiuun

  • @kausarabdulwahab3907
    @kausarabdulwahab3907 4 года назад +1

    Allahu A'alam. Faida gani kumpiga mwenzako nakumuumiza. Afadhali Mila ya kimasaai inavutia naina maana pia.

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 4 года назад

      Mila za kimasai zinavutia nini ??kunywa damu?ndo hayo hayo maji ya futi na nyanyo sijaona tofauti wote mungu awahidi tu.tuwaombee lkn hakuna afadhali.

  • @khamistano4848
    @khamistano4848 4 года назад +1

    Kwanini watoto wadogo wamezuiliwa kwenda chuoni kusoma qurani eti kwa kigezo cha corona ,wakati huo mwaka kogwa pia ni muingiliano mkubwa wa watu.

  • @mohamedsaid1804
    @mohamedsaid1804 4 года назад +2

    Allah muongoze huyu Ayoub na hawa wapotevu wengine

  • @umnooralriyami9552
    @umnooralriyami9552 4 года назад +7

    Huyu mkuu wa mkoa ndo vp Sasa uislam ukoapi wee baba

  • @abrahmanifarouckissa5662
    @abrahmanifarouckissa5662 2 года назад

    Mungu Atuongezee

  • @suleimanpandu8955
    @suleimanpandu8955 4 года назад +1

    Tamaduni za kuwasha moto na kucheza wake kwa waume kwenye Uislam hazipo lazima tufike mahala tujitathmini na matendo yetu
    Mimi ni mmakunduchi halisi ila tamaduni izo hazikubaliki tuwe makini na hii ni moja ya shirki
    Rai ikiwa watu wanataka kuomba wakusanyike wakiwa wanaume mbali na wanawake mbali halafu wamuombe Mungu kiudhati na sio kuwasha moto ilo kwenye uislam halipo ama ikiwa ni mila basi izo mila ziende sambamba na matakwa ya Allah na Mtume wake
    Nimpongeze Karume kwa kusema kua msipigane fimbo za kweli mkapasuana piganeni magomba ili kila mmoja akitoka apo awe salama
    Hizi mila kweli zipo kila mataifa kama Misri wanazo mila zao ambazo nabii Mussa ndio alipokwenda kufanya miujiza na kumshinda firauni

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 года назад

      Utapata DHAMBI ukifanya DHAMBI. Usichanganye mambo naomba uelewe vyema kinachofanyika kabla ya kutowa fatwaa nayo ni makosa pia. Muhimu kujielewa ni vigumu kutenganisha wanawake na wanaume sokoni, Shule, kwenye madaladala nk tupo pamoja sitegemei unachosema Dini ya Uislam Makunduchi ipo na inaeleweka vyema sidhani kwamba wataomba Mungu wakiwa mchangayiko wa wanaume na wanawake. Naomba tuelewe hasa HII ni nini, moto unawashwa ili iwe je nk. KUHARAMISHA nako ni dhambi kama vile KUHALALISHA. Kulewa, kuzini na maasia mengine kwamba ni sehemu ya "MWAKA KOGWA". Hivi kama umekwenda kama huyo muandishi hapo upate dhambi ipi na kwa lipi?

    • @suleimanpandu8955
      @suleimanpandu8955 4 года назад

      Sheikh huna hoja

  • @mansourjemedari3963
    @mansourjemedari3963 4 года назад +2

    Muheshimiwa ndio kuchapana bakora du! Mungu ataki hivyo mh. Kipenzi chetu weka Sawa kauli hizo

  • @ahmedmwinjuma1496
    @ahmedmwinjuma1496 4 года назад +1

    Mm nawausia tu kua hakuna mila zaidi ya uislaam nakuwaeleza tu kua mtu asiefahamu dini asizungumze kwenye mambo yadini kwakua hii ni dhimma mbele ya mungu .

  • @othmanal-nabhany9243
    @othmanal-nabhany9243 4 года назад +1

    Kwani hao wamakunduchi wanadini gani au wanaabudu nini ? Mbona kama wamepotea

  • @mohdhassan454
    @mohdhassan454 4 года назад

    It's very wondefull.. i like it

  • @hassanjuma1877
    @hassanjuma1877 4 года назад

    huyuuu jamaaa namkubalisana lkn kwa hapa kachemka sana tena sanaa daaaah khatar

  • @captainsamafa5467
    @captainsamafa5467 4 года назад +3

    allllah Akbar usiwazuie Allah aliwakataza wewe usiwakataze ila tu uanze kusamehewa wewe mchukuwa camera na hakuna anaeweza apo kizuia zinaa na haiwezekani isifanyike

  • @asiriyaaljabriy434
    @asiriyaaljabriy434 4 года назад

    Allah awasameh na awaongoze huu ushirikina mna mshirikisha Allah Audhubilah min shar

  • @abasamwame6583
    @abasamwame6583 4 года назад

    Kwa hili hili hapana mkuu sikuu ni mbili kwa muislamu
    Idi lfitri
    Idi lhaji
    Na tumeelekrzwa taratibu za maombi katika uisalam na so utaratibu huu
    Bismillahi haihalalishi haramu kuwa halali je nikienda kuzini nikasema bismilah zina yangu itakuwa halali huu ni ushirikina completely

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba9366 4 года назад +1

    Nikwetu nasikia uchungu mkubwa kuonahalihiyo sikujua kama mambohayo badoyapo MOLA wangu mlezi niwajawakohao wasamehe waongoze

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 года назад +1

    Migomba iliteketea masking wee

  • @jumalesso
    @jumalesso 4 года назад

    أَلَا لِلَّهِ الدِّينُ الْخَالِصُ ۚ وَالَّذِينَ اتَّخَذُوا مِنْ دُونِهِ أَوْلِيَاءَ مَا نَعْبُدُهُمْ إِلَّا لِيُقَرِّبُونَا إِلَى اللَّهِ زُلْفَىٰ إِنَّ اللَّهَ يَحْكُمُ بَيْنَهُمْ فِي مَا هُمْ فِيهِ يَخْتَلِفُونَ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَا يَهْدِي مَنْ هُوَ كَاذِبٌ كَفَّارٌ
    Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri.

  • @majidkhamis6943
    @majidkhamis6943 4 года назад

    Na usipo rudi kwa allah kwataarifa yako maadam umuislam allah atakurudi na utapoteza hadhi kubwa katika sifa zako na tutakuona fanya toba rudi kwa allah allah atakusameh

  • @masasionlinetv1825
    @masasionlinetv1825 4 года назад

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

  • @umnooralriyami9552
    @umnooralriyami9552 4 года назад +1

    Subhanallah kumbe bado wanafanya

  • @mussajuma9998
    @mussajuma9998 4 года назад +1

    Mila yetu ni uislam mtume alivunja mila zote akafundisha mila ya uislam

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow 4 года назад +1

    Jamani huyu RC ayubu nimmakunduchi ama vp naona mtihani jamani Allah tustiri waja wako pale tunapo kukosea ila kwa huu nimsiba

  • @kidomydecompeter1755
    @kidomydecompeter1755 4 года назад

    Dahhh..serikali bhn..yaan mh Ayoub..baada ya kuwa jembe uboreshaj elimu....Leo anashereheka na mwakakogwa.......

  • @dahirsayed2087
    @dahirsayed2087 4 года назад

    Subhana lwakh ewe mola wetu tuwnusuru na haya mambo ya kiyahudi hii ni kharam kwa waislam

  • @binshaame9591
    @binshaame9591 4 года назад

    Mh. Ayoub unafeliii

  • @machanokhatib5555
    @machanokhatib5555 4 года назад

    Dah! Kawaida unafanya mazur lakn kwa ilo umechemsha

  • @princenyakurungwi6925
    @princenyakurungwi6925 4 года назад

    Rc Ayoub unapotea sana sisi wazanzibar tunakutegemea sana na hop iko siku utakuwa raisi wa Zanzibar hivyo unatuvunja moyo cc tunaokutetea huku mitaan

  • @hamoudmohd9425
    @hamoudmohd9425 4 года назад +1

    Ilo jambo liangalieni vzr apo ni shirk

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 4 года назад +4

    Michanganyiko wanaume na wanawake

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif667 4 года назад

    Nasikitika sana kuona vijana wadogo wanaingia kwenye mambo hayo ya kishirikina

  • @abdulihafidhali5379
    @abdulihafidhali5379 4 года назад +1

    INNALILAH WANNA ILAH RAJIUN

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 4 года назад +1

    Marehem shek ilunga kapungu. Alisema ZANZIBAR ilikuwa madina ltu elmu.. sasa ndio hayo mizimu ya NYERERE.

    • @alhamud2721
      @alhamud2721 4 года назад

      Kilakitu nyerere hebu muacheni baba wawatu apabane na yahuko alikoo

  • @hajikombo8578
    @hajikombo8578 4 года назад +1

    Mambo ya kpuuzi ndio wanapewanguvu na serikali ,laitikama ingelikua Ni muhadhara wa kiislamu apo heee tungeambiwa kunakorona Kama tulivuozuiwa kwenda madrsa kwasasa.

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 4 года назад +1

    Mkuu hapa umechemsa sana
    Hio ni shirki na unawahimiza watu ktk shirki
    Kwa kuwaambia tunaomba kupitia mila
    Mkuu walishasema washirikina waliotangulia maneno kama hayo walipokatazwa kuomba kupitia waasitwa
    لا نعبدهم اياه الا ليقربون الى الله زلفى
    Ukatikati huu kumuomba Allah kwa kupitia mila ni ushirikina, Allah haitaji ukatikati ,kwa hakika hizo mila ,umepoza tuu mkuu ni mizimu ,na mizimu hata sijui ni kiumbe gani wallah .

    • @muhsinmzee3234
      @muhsinmzee3234 4 года назад

      Maneno yako mazuri Maa-shaa-Allaah lkn kama umenukuu aya basi ina makosa rekebisha

  • @abrahmanikabiabrahmani
    @abrahmanikabiabrahmani 4 года назад

    Niujingaaaa mtupuuu

  • @tumabhay8576
    @tumabhay8576 4 года назад +1

    Iyo migomba inaonekana imemalizwa kwa kukatwa katwa.. Hii sherehe ni bure to haina maana pesa 2 upuuzi mtupu bure ghali.

  • @mwambamkombozi4672
    @mwambamkombozi4672 4 года назад

    Bidaa

  • @simonkaggwanjala9597
    @simonkaggwanjala9597 4 года назад +4

    Wee muislam kwel🙄

  • @majidkhamis6943
    @majidkhamis6943 4 года назад

    Na kwataarifa yako kama hujasoma hayo niyaleyale yaliokua yakifanywa wakati Wa ujahilia wakati Wa mtume Muhammad S À W rudi kwenye taarekh au tafuta watu wakusomeshe usikurupuke tu

    • @muhsinmzee3234
      @muhsinmzee3234 4 года назад

      Hebu msikurupuke kutoa comment jamani.
      Wakati wa Mtume S.A.W.W si wakati wa ujahilia, wakati wa ujahilia ni kabla ya ujio wa Mtume S.A.W.W na dini tukufu.
      Umelenga mema na nia njema lkn wasomaji wa mitandao hii wapo wengi wasiojua chochote katika dini wanaweza kubeba makosa tunayoandika na tukawapoteza.

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 года назад +1

    Ushirikina tuu kuabudia mizimu na kila wakiambiwa hawasikii mtihani

  • @saadalghamid9907
    @saadalghamid9907 4 года назад +1

    Kuna moto mkali zaid wa jehanam huo mnaosherekea ni chamtoto tu.

  • @khamismohdali8291
    @khamismohdali8291 4 года назад

    Maombi gn hayo waislsm

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba9366 4 года назад

    YAA RABBI kama ni ummawakohuo usamehe uongoze ktk njia ilionyooka nikombali machozi yananitoka nikiwaangalia jamaazangu wakipoteaa naumia MOLA wangu hakuna linaloshindikana kwako waongoze wasamehe

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 года назад

      Yaani hutoki machozi kwa Iraq, Syria, Libya na mataifa mengine ambako watu wanapigana kwa silaha za moto na kuuwana na kuharibu mali na kila kitu lakini unatoka machozi kwa watu wanaopigana tena kimchezo hapana anaeumizwa wala kupigwa kwa lazima.
      DHAMBI ipo kila utakapoifanya. Naomba ieleweke hasa hii ni kitu gani kabla kila mmoja kutoa fatwaa.

    • @sihabasihaba9366
      @sihabasihaba9366 4 года назад

      @@hajihassan5433 usinihukumu kwa usilolijua tafadhali bilashaka hukunielewa usinijadili kwa usilolijua TAFADHALI hukonikwetu wale ni jamaazangu na ninawajua hizo nchi unazozitaja si jamaazangu unawajuaww

  • @chenywhite4828
    @chenywhite4828 4 года назад

    Kiongoz unafeli chunga kauli zako ww ni muslim na umewekewa kitabu ambacho ni muongozo wako na kwenye hicho kitabu kimesema tufate mila ya babu yetu ibrahim na yhakua ni miongon mwa washirikina huo unao usaport ww ni ushirikina.. jiongeze

  • @truthspeaker2062
    @truthspeaker2062 4 года назад

    Huu ni utamaduni wa mreno ambapo umetokana na wale wakotaka kumchoma nabii ibrahim . Fuatilieni mzee ameir wa bwejuu ameelezea... si utamaduni mzuri kuuendeleza waislamu

    • @albaharyhaji8231
      @albaharyhaji8231 4 года назад

      Watu wa namluzi hao al akhii @adil Abdulsalam ndo walikuwa wakisherehekea hizi mila kwenye uislam hizi sherehe hazipo kabisa..

    • @truthspeaker2062
      @truthspeaker2062 4 года назад

      @@albaharyhaji8231 makusudio yangu ni haramu kuufata

    • @albaharyhaji8231
      @albaharyhaji8231 4 года назад +1

      Nimekufaham vizuri ndugu ndo mana nikasema kwenye uislam hizi sherehe hazipo

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 года назад

    Wanaabudu moto musijitoe fahamu

  • @umnooralriyami9552
    @umnooralriyami9552 4 года назад +2

    Hapo kuchoma moto ni shirki mnaomba mizimu kama mabaniani wanayo sherehe iyo lkn hawapigani

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 года назад

      Elewa maana ya "Shirki", elewa moto unawashwa kwa nini nk. Kiufupi jifunze kwanza hii kitu ni nini hasa kabla ya kutoa fatwaa. Kuwa na sehemu maalum kwa ajili ya kumuomba Mwenyezi Mungu SIO Shirki.

  • @majidkhamis6943
    @majidkhamis6943 4 года назад

    Hapana silka wala mila wala desturi hio ni shirki na nakwataarifa yako ww ayubu ilikua nakukubali sana ila kwa hili umeteleza na utakwenda jibu siku ya kiama

  • @assiakhadijz4167
    @assiakhadijz4167 3 года назад

    Hio ni shirki

  • @hafidhjumasuleiman9078
    @hafidhjumasuleiman9078 4 года назад

    Hatari sana kumbe siku ya mwaka kongwa makunduchi heeeeee

  • @rashidramadhan8998
    @rashidramadhan8998 4 года назад +1

    انا الله و انا اليه راجعون

  • @omarisuleiman2611
    @omarisuleiman2611 4 года назад

    Innaa lillaah wainnaa ilayh raajiuun

  • @naimaally5592
    @naimaally5592 4 года назад

    Hata km mnasema serikali haina dini lkn ukweli usemeni tu km mwaka kogwa ni imani ya kishirikina haina haja ya kutafuna maneno !

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 4 года назад

    Kawaida ya tumbo ni kulalalisha yaliyoharamishwa

  • @harunahakimu1379
    @harunahakimu1379 4 года назад

    Mcheni MwenyezMungu Dunia nistrahee ya muda tu

  • @ابوأزهدالليثي
    @ابوأزهدالليثي 4 года назад

    Korona ipo maskulini tu , uchepe kweliii , haya tutafika tu ?

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 4 года назад

    Jadi io ni nini au majini mizimu mashetan au wafu duh. Sina nijualo langu 👀👀👀🙄🙄

  • @hamisaLbsi
    @hamisaLbsi 7 месяцев назад

    Hawa viongoz wengine utakuwa wamepata uongoz kupitia mizimu ya makunduchi ndo mana wanaunga mkono mambo ya kijinga

  • @mjumbemjumbe2065
    @mjumbemjumbe2065 4 года назад +1

    Shirki kubwaa hapo inafanyika

  • @prittypritty5561
    @prittypritty5561 4 года назад

    Haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha

  • @Omanomanoman-zw5un
    @Omanomanoman-zw5un 4 года назад

    Mwaelekee motoni

  • @princeganji2779
    @princeganji2779 4 года назад

    Washirikina tu

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 4 года назад +1

    Wapuuzi tu mijitu mizima wanashindwa kujielewa ujinga tu

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 4 года назад

    Mm ningetafuta ukuni ili nikitandika mtu anyooshe mikono. 🙌🙆MashaAllah watu wengi. Mm ningetandika mtangaji ili halafu tukimaliza hapo ndio atangaze mana hapo nisehemu ya kutandikana makwaju tu ndio raha ya hiyo sikukuu tukiwa chapa chapa vumbi ndio inapendeza

  • @sihabasihaba9366
    @sihabasihaba9366 4 года назад

    Ewe MOLA mlezi wasamehe hao waleziwetu nduguzetu dadazetu kaka zetu waonyeshe njia njiayako iliyunyooka

  • @rahmasalum7107
    @rahmasalum7107 4 года назад

    Mh hivi no vibaya sana kufanya utamaduni mbaya sana huu uliokuwa hauko kwenye dini yetu ya kislam astahafirullah mwenyez mungu akuongoweni yarabiy ata mwakani muwe mushaamka akili zenu

  • @allykhamis5946
    @allykhamis5946 4 года назад

    Acheni hizi itikadi zisizofaa, uislam hauna haya mambo

  • @Ibrahim-st3uo
    @Ibrahim-st3uo 4 года назад

    إن الشرك لظلم عظيم وقال تعالى وأنه كان رجال من الإنس يعوذون برجال من الجن فزادوهم رهقا

  • @iddyally4439
    @iddyally4439 4 года назад +1

    Utakwenda kuulizwa ndungu uongozi huo ushauri lako

    • @alhamud2721
      @alhamud2721 4 года назад

      Kilamja ataenda kuulizwa

  • @akramwalong5370
    @akramwalong5370 4 года назад

    Mwaka kogwa uo kwio

  • @allykutenga2862
    @allykutenga2862 4 года назад

    Tatizo cc wa ZNZ 2najifanya wa2 wa dini lakn kikubwa kwe2 ni unafiki mkubwa kama hapa wa2 weengi wanajifanya kukosoa lakn kama mioyo ye2 M.mungu ataiweka wazi basi watu watakimbiyana hapa coz utakuta tele wana watt wa nje(nakusudia cc waZNZ ni wazinifu, tuna roho mbaya wenyewe kwa wnyw N.K).

    • @muryd6999
      @muryd6999 4 года назад

      Duh!

    • @saidomar4866
      @saidomar4866 4 года назад

      Wazanzibar tulizonaz ni roho mbay sie kwa sie na ubaguz uliotujaa vifuani mwetu kwa ujinga

  • @yussuffundy4988
    @yussuffundy4988 4 года назад

    Sikukuu ya waabudia moto shirki

  • @muhsinnainoabdullah1539
    @muhsinnainoabdullah1539 4 года назад

    Inalillah waina ilahii rajiun ccm bana haramu bas wataifanya halali yani uyuu nae hujielewi nini anaongea

  • @naimaally5592
    @naimaally5592 4 года назад

    Waisla tunatakiwa tufuate mila ya mtume wetu ya uislam ss km hao hapo ni waislam hiyo mila inafanana nini na tabia za kiislam?