ONA BALAA LA MWAKA KOGWA LEO LILIVYOKUWA MAKUNDUCHI
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
yaa Allah wasameh hawa waja wako maana hawajuwi walifanyalo aaamin.
Wanajua kila kitu ispokua kibri tu ila Allah atawalipa inshallah
Ammin
Anaekubali kuwa serekali haina dini tujuane mapema
Unasema Serikali haina dini lkn watu wana dini na serikali ni watu....
asilimia kubwa znz ni waislamu... skukuu zetu waislamu ni mbili tu Eid l fitri na Eid l Adh- haa...
Turudini kwa Mola wetu mlezi na tumtake Maghfira kwa wingi
Lahawla walaquwata Ila Billah
Allah awaongoze katika njia ya Kheri watu Hao walio potea
Amin
usijifanye msafi wewe mwenyewe zinaaa tupu .mamako
Kwani hiyo ya shari au ww vipi unajua sababu ya hiyockukuuu au ndio unaskiliza maneno ya kuambiwa uliza fuatilia historia unataka kujifanya ww mcha mungu hio ckukuu ipo kpnd na mashekhe wakubwa wakubwa sasa ww jikute mcha mungu kumbe haujui lolote
@@maestrojayysule5660 iyo zinaa umefanya nae ww' mjinga mmoja'' wee
@@latymdohoma7391 laty' mwaka kogwa imetajwa kwenye kitabu gani Kati ya zaburi,injili,taurat na Qur'an nisaidie, na km huna jibu Apo Basi elewa huo Ni ushirikina tu ukitaka ucitake, Mana kinachofanyika jiulize tu kunamuudhi au kumfurahisha muumba wako'' nipe jibu tafadhali, na jitahid kutoshabikia maasi ktk umri wko' ata km watu wa dunia mzma'' watafanya ww' epuka
@@maestrojayysule5660 subhana allah
Inna Lillahi wainna ilayhi rajiuun huu ni msiba wa hali ya juu kuona kwamba hadi leo kuna watu wanafanya mambo ya ajabu kama haya Allah awaongoze mujielewe na muitambue akhera yenu
Kwa utamaduni huu hata usipokuwepo jamii haiafhiriki
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Allah akusamehen hamujui mutendaloo huu ni msiba tutajua tukifumba jichoo
Dah,, ukosefu wa viongozi wa wazuri ktk nchi yetu
Yaarab tuingizie tawhid ktk nyoyo zetu na utuonyeshe njia ya kheri na tulinde na athabu ya kaburini na athabu ya moto wa jahannnam amin
Watu husoma qurani wajue kuisoma zaidi kwenye hitima tu,na wakitokea mashekh wataka kuelekeza watu ukweli mnawatia ndani , lakini mtambue haya ni matendo ya kijahiliya ambayo watu wamerithi kuroka kwa wazazi wao ambao hawakua na uelewa juu ya wayatendayo
Ayubu ilikua unyamaze tu mana hayo unayoyasema yatakuja kukukost mbele ya ALLAH
Umeongea point
Washirikina tu wote hao
Ni Kweli kabisa tena ao wamakunduchi wanasema wakiwa hawakufanya sherehe hizi wanadhurika pia hawazisamini skukuu zetu Za kiislam Innalillahi Wainnaillaihi Rajiuun
Allah awaonyeshe njia ilio sahihi wenzetu.
Subhanna Allah, sasa huo sio ushirikina? Lahaula wala quwwata illa billahi.
Ukienda kusali haimaanishi kua sio mshirikina. Hao washirikina wenyewe huenda misikitini.
Hata baazi ya wachawi wanapotaka kwenda uchawini husali rakaa mbili, muheshimiwa umecheka haramu haiwezi kuwa halali kwakuwa mtu alisali ndio baadae akafanya.
Kwa utamaduni huu si hasara kupotea . Si kila mila inatakiwa iendelezwe . Vizazi vijavyo vitakuwa vizazi visomi hawatokuwa wagonjwa wa akili in shaa Allah
Ayoub hapo umechemsha wala usitetee ujinga kama huo kupitia dini....Allah awaongoze katika njia sahihi
Tuseme alhamdulilah tusio kuwa na mila tuwaombee na hawa mungu awafunguwe vichwa vyao inshaalah
Aamin
Alhamdulillah
KTV Online hakika hii nifahariyetu Leo mmeniumiza moyowangu kuonahalihiyo kumbe bado yapo mambohayo Yaa RABBI kwa rehma zako ujaaliem yaondoke kabisa mambohayo hukonikwetu
Daima pamoja RC Ayub siku moja Allah akipenda utakua Rais wa Wazanzibari, kwa sasa ng’arisha Kusini.
naww unaunga mkono ushirikina
Innalillah wainnaailayhirajiun
Inallilah wainna ilyhi rajiuun mungu awaongoze na awatowe ktk upotofu kama huo
Uislam umekamilika umetuekea siku za sherehe vereje munzishe zenu?
Mtume muhammad alikuja na kutuletea mila na desturi bora zaidi na alipoona mila ambao zina madhara kwa imani na afya za watu basi alizipika vita. Mila nzuri ndio aliziacha. Mkuu ungeangalia mazuri na mabaya yanayopatikana. Ikiwa mabaya ni mengi basi ndio haifai. Na kama mazuri ni mengi basi itafaa. Kama huna elimu ya dini basi ni vyema walio na elimu ya dini wangelitolea ufafanuzi.
Shukran Ktv tz online hakika hii ni fahari yetu
Yaani kuna watu wanajifanya wao perfect kwa kila kitu wakiona mila za watu eti subhannallah au utaskia ushirikinaaa wakati wao wenyewe washirikina tena wakubwa na wauwaji au kwakua hamuonekani lkn na nyie pia Allah anawaona mupooo mcpende kulaumu ovyo wacheni kila mmoja afany anachokiona kipo sawa kwake atakae tuhukumu ni mwwnyezi mungu pekeake ole wake yule anamnyooshea kidole mwenziwee mungu anawasubir nanyie
Katika uislam...tumeusiwa kukumbushana haijalishi anaekukumbusha ana madhambi kiasi gani ama anafanya makosa gani .."kila mtu ni mchunga wa mwenziwe na tutakwenda ulizwa juu ya tulivyovichunga." Ummah Muhammad ni bora sababu tunaamrishana mema na kukatazana mabaya.
Nlidhani Ayoub atakemea hii mila kumbe anaitetea! "Eti unamuomb m/mungu kupitia mila yako" lkn mila hii haifawi ktk uislam na hatupaswi kuunga mkono mila hii kwan Allah anachukia na akichukia maana yake hasara itatokea kW yeyot anae unga mkono mila hii huko siku ya kiama. MBELE YA ALLAH MILA HII HAIFAI ISPOKUW TUNAZIDHULUMU NAFSI ZETU TU. Allah tuepushe kufany mila potofu km hii ambayo haifai ktk dini sahihi ya UISLAM.
Boss ayoub iyo sio hoja kusali, SubuhanaAllah, unamuomba ALLAH kupitia kitu, ila mtaenda kujua mbele ya Allah.
Ewe mungu usituadhibu kwa wanayofanya wajinga miongoni mwetu
Amin
Amiin
Amiin
Nimejuwa ki2 hapa ,Wana muabudu Sheittani huo moto wanao uzunguka
Innalillahi wainnaa ilahi raajiuun
Allahu A'alam. Faida gani kumpiga mwenzako nakumuumiza. Afadhali Mila ya kimasaai inavutia naina maana pia.
Mila za kimasai zinavutia nini ??kunywa damu?ndo hayo hayo maji ya futi na nyanyo sijaona tofauti wote mungu awahidi tu.tuwaombee lkn hakuna afadhali.
Kwanini watoto wadogo wamezuiliwa kwenda chuoni kusoma qurani eti kwa kigezo cha corona ,wakati huo mwaka kogwa pia ni muingiliano mkubwa wa watu.
Allah muongoze huyu Ayoub na hawa wapotevu wengine
Huyu mkuu wa mkoa ndo vp Sasa uislam ukoapi wee baba
Kwani hapo Uislam umekiukwa vipi?
@@hajihassan5433 baba hujui umekiukwa vp
Mungu Atuongezee
Tamaduni za kuwasha moto na kucheza wake kwa waume kwenye Uislam hazipo lazima tufike mahala tujitathmini na matendo yetu
Mimi ni mmakunduchi halisi ila tamaduni izo hazikubaliki tuwe makini na hii ni moja ya shirki
Rai ikiwa watu wanataka kuomba wakusanyike wakiwa wanaume mbali na wanawake mbali halafu wamuombe Mungu kiudhati na sio kuwasha moto ilo kwenye uislam halipo ama ikiwa ni mila basi izo mila ziende sambamba na matakwa ya Allah na Mtume wake
Nimpongeze Karume kwa kusema kua msipigane fimbo za kweli mkapasuana piganeni magomba ili kila mmoja akitoka apo awe salama
Hizi mila kweli zipo kila mataifa kama Misri wanazo mila zao ambazo nabii Mussa ndio alipokwenda kufanya miujiza na kumshinda firauni
Utapata DHAMBI ukifanya DHAMBI. Usichanganye mambo naomba uelewe vyema kinachofanyika kabla ya kutowa fatwaa nayo ni makosa pia. Muhimu kujielewa ni vigumu kutenganisha wanawake na wanaume sokoni, Shule, kwenye madaladala nk tupo pamoja sitegemei unachosema Dini ya Uislam Makunduchi ipo na inaeleweka vyema sidhani kwamba wataomba Mungu wakiwa mchangayiko wa wanaume na wanawake. Naomba tuelewe hasa HII ni nini, moto unawashwa ili iwe je nk. KUHARAMISHA nako ni dhambi kama vile KUHALALISHA. Kulewa, kuzini na maasia mengine kwamba ni sehemu ya "MWAKA KOGWA". Hivi kama umekwenda kama huyo muandishi hapo upate dhambi ipi na kwa lipi?
Sheikh huna hoja
Muheshimiwa ndio kuchapana bakora du! Mungu ataki hivyo mh. Kipenzi chetu weka Sawa kauli hizo
leo mh kaniangush kw aliyosema
@@alizahranmohd4095 lakini hujaumia
Mm nawausia tu kua hakuna mila zaidi ya uislaam nakuwaeleza tu kua mtu asiefahamu dini asizungumze kwenye mambo yadini kwakua hii ni dhimma mbele ya mungu .
Kwani hao wamakunduchi wanadini gani au wanaabudu nini ? Mbona kama wamepotea
It's very wondefull.. i like it
huyuuu jamaaa namkubalisana lkn kwa hapa kachemka sana tena sanaa daaaah khatar
allllah Akbar usiwazuie Allah aliwakataza wewe usiwakataze ila tu uanze kusamehewa wewe mchukuwa camera na hakuna anaeweza apo kizuia zinaa na haiwezekani isifanyike
Allah awasameh na awaongoze huu ushirikina mna mshirikisha Allah Audhubilah min shar
Kwa hili hili hapana mkuu sikuu ni mbili kwa muislamu
Idi lfitri
Idi lhaji
Na tumeelekrzwa taratibu za maombi katika uisalam na so utaratibu huu
Bismillahi haihalalishi haramu kuwa halali je nikienda kuzini nikasema bismilah zina yangu itakuwa halali huu ni ushirikina completely
Nikwetu nasikia uchungu mkubwa kuonahalihiyo sikujua kama mambohayo badoyapo MOLA wangu mlezi niwajawakohao wasamehe waongoze
Migomba iliteketea masking wee
أَلَا لِلَّهِ الدِّينُ الْخَالِصُ ۚ وَالَّذِينَ اتَّخَذُوا مِنْ دُونِهِ أَوْلِيَاءَ مَا نَعْبُدُهُمْ إِلَّا لِيُقَرِّبُونَا إِلَى اللَّهِ زُلْفَىٰ إِنَّ اللَّهَ يَحْكُمُ بَيْنَهُمْ فِي مَا هُمْ فِيهِ يَخْتَلِفُونَ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَا يَهْدِي مَنْ هُوَ كَاذِبٌ كَفَّارٌ
Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri.
Na usipo rudi kwa allah kwataarifa yako maadam umuislam allah atakurudi na utapoteza hadhi kubwa katika sifa zako na tutakuona fanya toba rudi kwa allah allah atakusameh
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Subhanallah kumbe bado wanafanya
Mila yetu ni uislam mtume alivunja mila zote akafundisha mila ya uislam
Jamani huyu RC ayubu nimmakunduchi ama vp naona mtihani jamani Allah tustiri waja wako pale tunapo kukosea ila kwa huu nimsiba
Dahhh..serikali bhn..yaan mh Ayoub..baada ya kuwa jembe uboreshaj elimu....Leo anashereheka na mwakakogwa.......
Subhana lwakh ewe mola wetu tuwnusuru na haya mambo ya kiyahudi hii ni kharam kwa waislam
Mh. Ayoub unafeliii
Dah! Kawaida unafanya mazur lakn kwa ilo umechemsha
Rc Ayoub unapotea sana sisi wazanzibar tunakutegemea sana na hop iko siku utakuwa raisi wa Zanzibar hivyo unatuvunja moyo cc tunaokutetea huku mitaan
Ilo jambo liangalieni vzr apo ni shirk
Michanganyiko wanaume na wanawake
Nasikitika sana kuona vijana wadogo wanaingia kwenye mambo hayo ya kishirikina
INNALILAH WANNA ILAH RAJIUN
Marehem shek ilunga kapungu. Alisema ZANZIBAR ilikuwa madina ltu elmu.. sasa ndio hayo mizimu ya NYERERE.
Kilakitu nyerere hebu muacheni baba wawatu apabane na yahuko alikoo
Mambo ya kpuuzi ndio wanapewanguvu na serikali ,laitikama ingelikua Ni muhadhara wa kiislamu apo heee tungeambiwa kunakorona Kama tulivuozuiwa kwenda madrsa kwasasa.
Mkuu hapa umechemsa sana
Hio ni shirki na unawahimiza watu ktk shirki
Kwa kuwaambia tunaomba kupitia mila
Mkuu walishasema washirikina waliotangulia maneno kama hayo walipokatazwa kuomba kupitia waasitwa
لا نعبدهم اياه الا ليقربون الى الله زلفى
Ukatikati huu kumuomba Allah kwa kupitia mila ni ushirikina, Allah haitaji ukatikati ,kwa hakika hizo mila ,umepoza tuu mkuu ni mizimu ,na mizimu hata sijui ni kiumbe gani wallah .
Maneno yako mazuri Maa-shaa-Allaah lkn kama umenukuu aya basi ina makosa rekebisha
Niujingaaaa mtupuuu
Iyo migomba inaonekana imemalizwa kwa kukatwa katwa.. Hii sherehe ni bure to haina maana pesa 2 upuuzi mtupu bure ghali.
Bidaa
Wee muislam kwel🙄
Na kwataarifa yako kama hujasoma hayo niyaleyale yaliokua yakifanywa wakati Wa ujahilia wakati Wa mtume Muhammad S À W rudi kwenye taarekh au tafuta watu wakusomeshe usikurupuke tu
Hebu msikurupuke kutoa comment jamani.
Wakati wa Mtume S.A.W.W si wakati wa ujahilia, wakati wa ujahilia ni kabla ya ujio wa Mtume S.A.W.W na dini tukufu.
Umelenga mema na nia njema lkn wasomaji wa mitandao hii wapo wengi wasiojua chochote katika dini wanaweza kubeba makosa tunayoandika na tukawapoteza.
Ushirikina tuu kuabudia mizimu na kila wakiambiwa hawasikii mtihani
Kuna moto mkali zaid wa jehanam huo mnaosherekea ni chamtoto tu.
Maombi gn hayo waislsm
YAA RABBI kama ni ummawakohuo usamehe uongoze ktk njia ilionyooka nikombali machozi yananitoka nikiwaangalia jamaazangu wakipoteaa naumia MOLA wangu hakuna linaloshindikana kwako waongoze wasamehe
Yaani hutoki machozi kwa Iraq, Syria, Libya na mataifa mengine ambako watu wanapigana kwa silaha za moto na kuuwana na kuharibu mali na kila kitu lakini unatoka machozi kwa watu wanaopigana tena kimchezo hapana anaeumizwa wala kupigwa kwa lazima.
DHAMBI ipo kila utakapoifanya. Naomba ieleweke hasa hii ni kitu gani kabla kila mmoja kutoa fatwaa.
@@hajihassan5433 usinihukumu kwa usilolijua tafadhali bilashaka hukunielewa usinijadili kwa usilolijua TAFADHALI hukonikwetu wale ni jamaazangu na ninawajua hizo nchi unazozitaja si jamaazangu unawajuaww
Kiongoz unafeli chunga kauli zako ww ni muslim na umewekewa kitabu ambacho ni muongozo wako na kwenye hicho kitabu kimesema tufate mila ya babu yetu ibrahim na yhakua ni miongon mwa washirikina huo unao usaport ww ni ushirikina.. jiongeze
Huu ni utamaduni wa mreno ambapo umetokana na wale wakotaka kumchoma nabii ibrahim . Fuatilieni mzee ameir wa bwejuu ameelezea... si utamaduni mzuri kuuendeleza waislamu
Watu wa namluzi hao al akhii @adil Abdulsalam ndo walikuwa wakisherehekea hizi mila kwenye uislam hizi sherehe hazipo kabisa..
@@albaharyhaji8231 makusudio yangu ni haramu kuufata
Nimekufaham vizuri ndugu ndo mana nikasema kwenye uislam hizi sherehe hazipo
Wanaabudu moto musijitoe fahamu
Hapo kuchoma moto ni shirki mnaomba mizimu kama mabaniani wanayo sherehe iyo lkn hawapigani
Elewa maana ya "Shirki", elewa moto unawashwa kwa nini nk. Kiufupi jifunze kwanza hii kitu ni nini hasa kabla ya kutoa fatwaa. Kuwa na sehemu maalum kwa ajili ya kumuomba Mwenyezi Mungu SIO Shirki.
Hapana silka wala mila wala desturi hio ni shirki na nakwataarifa yako ww ayubu ilikua nakukubali sana ila kwa hili umeteleza na utakwenda jibu siku ya kiama
Hio ni shirki
Hatari sana kumbe siku ya mwaka kongwa makunduchi heeeeee
انا الله و انا اليه راجعون
Innaa lillaah wainnaa ilayh raajiuun
Hata km mnasema serikali haina dini lkn ukweli usemeni tu km mwaka kogwa ni imani ya kishirikina haina haja ya kutafuna maneno !
Kawaida ya tumbo ni kulalalisha yaliyoharamishwa
Mcheni MwenyezMungu Dunia nistrahee ya muda tu
Korona ipo maskulini tu , uchepe kweliii , haya tutafika tu ?
Jadi io ni nini au majini mizimu mashetan au wafu duh. Sina nijualo langu 👀👀👀🙄🙄
Hawa viongoz wengine utakuwa wamepata uongoz kupitia mizimu ya makunduchi ndo mana wanaunga mkono mambo ya kijinga
Shirki kubwaa hapo inafanyika
Haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha haha
Mwaelekee motoni
Washirikina tu
Wapuuzi tu mijitu mizima wanashindwa kujielewa ujinga tu
Mm ningetafuta ukuni ili nikitandika mtu anyooshe mikono. 🙌🙆MashaAllah watu wengi. Mm ningetandika mtangaji ili halafu tukimaliza hapo ndio atangaze mana hapo nisehemu ya kutandikana makwaju tu ndio raha ya hiyo sikukuu tukiwa chapa chapa vumbi ndio inapendeza
Ewe MOLA mlezi wasamehe hao waleziwetu nduguzetu dadazetu kaka zetu waonyeshe njia njiayako iliyunyooka
Mh hivi no vibaya sana kufanya utamaduni mbaya sana huu uliokuwa hauko kwenye dini yetu ya kislam astahafirullah mwenyez mungu akuongoweni yarabiy ata mwakani muwe mushaamka akili zenu
Acheni hizi itikadi zisizofaa, uislam hauna haya mambo
إن الشرك لظلم عظيم وقال تعالى وأنه كان رجال من الإنس يعوذون برجال من الجن فزادوهم رهقا
Utakwenda kuulizwa ndungu uongozi huo ushauri lako
Kilamja ataenda kuulizwa
Mwaka kogwa uo kwio
Tatizo cc wa ZNZ 2najifanya wa2 wa dini lakn kikubwa kwe2 ni unafiki mkubwa kama hapa wa2 weengi wanajifanya kukosoa lakn kama mioyo ye2 M.mungu ataiweka wazi basi watu watakimbiyana hapa coz utakuta tele wana watt wa nje(nakusudia cc waZNZ ni wazinifu, tuna roho mbaya wenyewe kwa wnyw N.K).
Duh!
Wazanzibar tulizonaz ni roho mbay sie kwa sie na ubaguz uliotujaa vifuani mwetu kwa ujinga
Sikukuu ya waabudia moto shirki
Inalillah waina ilahii rajiun ccm bana haramu bas wataifanya halali yani uyuu nae hujielewi nini anaongea
Waisla tunatakiwa tufuate mila ya mtume wetu ya uislam ss km hao hapo ni waislam hiyo mila inafanana nini na tabia za kiislam?