kupika vitumbua vya uji

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • .Michele nusu kilo
    .amira kijiko kimoja cha chakula
    .iliki kijiko kimoja cha chai
    .sukari
    .unga wa maindi kwa kupikia uji

Комментарии • 97

  • @nasraulomi8312
    @nasraulomi8312 11 месяцев назад +2

    Hongera Sana kwa upishi rahisi kwa wamama wote na pia hauna mahitaji mengi unapikika kwa Kila Hali ya mtu Asante sana

  • @KhadijMahenge
    @KhadijMahenge 3 месяца назад +2

    Mimi uwa napika uji wa Mchele kitumbua kinakuwa kizuri sana wa mahindi bora dona

  • @BlastusMkwele
    @BlastusMkwele 6 месяцев назад

    Hongera dada ninakuelewa sana

  • @TumainiKayombo
    @TumainiKayombo 8 месяцев назад

    Hongera Kwa mapishi mazuri

  • @sofic.1622
    @sofic.1622 2 месяца назад +1

    Hongera! Lakin ungekipasua tuone na ndani

  • @AgnesKilongo
    @AgnesKilongo 3 месяца назад

    Hongera aise

  • @joycemakala44
    @joycemakala44 8 месяцев назад

    Hongera dada, nimependa

  • @bakarimgua1558
    @bakarimgua1558 2 месяца назад

    Naomb namb yako naitaj Kuanz biashara hii naitaj unielezee zaid

  • @EdinaMollel-d5c
    @EdinaMollel-d5c Месяц назад

    4:19

  • @anithageorge164
    @anithageorge164 2 месяца назад

    Jitahid ukiwa unafundisha uwe unasema vipimo,hapo hatujui unga kias gan umesema tu amira

  • @reemaalwad3ani616
    @reemaalwad3ani616 2 месяца назад

    Waoooo❤❤❤

  • @sadadossa-zj7on
    @sadadossa-zj7on Год назад

    Hongera

  • @Mayasa-oy5bt
    @Mayasa-oy5bt Год назад

    Very good

  • @SophiaRamadhan-o2g
    @SophiaRamadhan-o2g 9 месяцев назад

    hongela

  • @jumamaganga7751
    @jumamaganga7751 Год назад

    Vizuri san

  • @johnkalinga3786
    @johnkalinga3786 7 месяцев назад

    Congratulations

  • @JustinaPaskari
    @JustinaPaskari 2 месяца назад

    Unalalamo au

  • @hiboabdinasir6621
    @hiboabdinasir6621 Год назад

    Umejaribu kidogo

  • @csfareed1974
    @csfareed1974 2 года назад +1

    Done ✅

  • @lestherusitukanesanasomaam1339
    @lestherusitukanesanasomaam1339 10 месяцев назад

    Assnte sana kwa darasa zuri mmmo.

  • @irenemillinga6484
    @irenemillinga6484 9 месяцев назад

    ASANTE

  • @maryrogers7141
    @maryrogers7141 6 месяцев назад

    Habari nilijaribu kusaga mchele kutumia blender lakini chengachenga zinabaki na hata ivyo naupiga Sana wewe unafanyeje hata visiwe na chenga? Swali 2 na hata baada ya kuupigapiga na kuuweka hamra unakata maji maji yanakuwa juu na unga unakuwa chini na Wala hauumuki kabisa tatizo ni Nini? Naomba nijulishe ili nielewe kwanzia kuandaa mchele, mpaka kusaga na hata kuhumua

  • @luluabdulaziz8556
    @luluabdulaziz8556 2 года назад

    Nice 👍

  • @uziahhumba1705
    @uziahhumba1705 2 года назад

    Nice

  • @athumanngolosa9680
    @athumanngolosa9680 3 месяца назад

    Vp my dear mbonae yametoka maugal jamn

  • @VumiliaSayi
    @VumiliaSayi 4 месяца назад

    Mimi huwa napika vitumbua vinapasuka km andazi nakosea wapi, huwa nakanda ukiwa mzito Kwa kupika huwa naweka maji ya barid

  • @RebecaTlae
    @RebecaTlae Месяц назад

    Dada minataka nijafunze kupika

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  Месяц назад

      Karibu,pia ingia kwenye channel yangu yani bonyeza jina la channel yangu upande ulio andikwa video utakuta nyingi na zamapishi mbalimbali

  • @PiliHashim-wn3ng
    @PiliHashim-wn3ng Год назад

    My unga ulitumia sembe au

  • @SmartnessPaschal
    @SmartnessPaschal 4 месяца назад

    Unga wa mahindi ulio changanyika na mihogo unafaa??

  • @kuthlamyusuf7876
    @kuthlamyusuf7876 3 месяца назад

    Umeandaa vizuri ila moto wako wa kuchoma umekuwa mkali uneviunguza

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  3 месяца назад

      Havikuungua ila simu nilio tumia kurekodi haiku quality, na siku na sapoti ya mwanga

    • @DidiDidi-r3i
      @DidiDidi-r3i 24 дня назад

      Manshaallah vizuri

  • @DoroteaTsino
    @DoroteaTsino 10 месяцев назад

    Nitaka kujua jinsi kuuchanganya maana sijawahi kuona au kupika kabisa hata mara moja unga mahindi unakwepo

  • @ecamachozi136
    @ecamachozi136 Год назад

    Nataka unifunze kupika vitumbua dada

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  Год назад

      Usijali nitakuelekeza we uliza swali

    • @irenemillinga6484
      @irenemillinga6484 9 месяцев назад

      Mi Nina unga wa mchele kutoka supermarket sasa nataka. Kuanza na robo ili nijifinze vipimo vinakuwaje?

  • @asiankwela-de1ls
    @asiankwela-de1ls 11 месяцев назад

    Mimi Huwa zinakiwa lain ndan

  • @VumiliaSayi
    @VumiliaSayi 4 месяца назад

    Uji kwa kawaida uwe km wa kunjwa au nisaidie dada nafeli sana jinsi ya kuandaa

    • @lucybuyunge5419
      @lucybuyunge5419 3 месяца назад

      Dada mm nashindwa kuandaa uji nikipika kitumbua linaiva juu ndani ni uji

  • @ChershAbdallah5-tz8xo
    @ChershAbdallah5-tz8xo 8 месяцев назад

    Je kama n vitumbua vya biashata una viumiua usiku

  • @ednahngedu9152
    @ednahngedu9152 Год назад

    Nataka vya biaxhara vp hapo

  • @SmartnessPaschal
    @SmartnessPaschal 4 месяца назад

    Na ukitumia unga uwo was mchele inawezekana??

  • @fahimajanes1364
    @fahimajanes1364 6 месяцев назад

    Mimi vinakua na maganda magumu shida nini mamy

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  6 месяцев назад

      Moto utakua mdogo kwaiyo unapika kwa mda mrefu ndio husababisha ganda kua gumu

  • @zakinamakongwa2677
    @zakinamakongwa2677 Год назад

    Dada mbona vitumbua vyangu havichamnuli

  • @kuthlamyusuf7876
    @kuthlamyusuf7876 3 месяца назад

    Sioni kutiwa kwa tui la nazi. Vp hapo

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  3 месяца назад

      Ivi ni vitumbua vya kukorogea uji,apo uji ndio umetumika kama tui kipenzi

  • @ShukuranPaulo
    @ShukuranPaulo 8 месяцев назад

    Vyakwangu vinakuwa na ugar ila uji naweka wa mchere shida nini madam

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  8 месяцев назад

      Itakua uji ulikua mzito au mchanganyiko uliufanya mwepesi sana au mzito,ukipika tena jitaidi mchanganyiko uwe wa kati

  • @NeemaMwita-e5j
    @NeemaMwita-e5j 5 месяцев назад

    Je huo uji ni wa sembe au wa dona

  • @khadijaally2174
    @khadijaally2174 2 года назад

    Mi huwa naumua usiku kwa ajili ya asubuhi nisicjelewe kupika ila nakutachamganyiko wangu umekuwa mwepesi Sana navitumnua huganda yani havigeuziki kwenye chuma et shida makosea wapi

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 года назад

      Wakati unapo changanya uji na unga wa mchele itakua mchanganyiko wako unaufanya mwepesi

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 года назад

      Ukiumua usiku hakikisha mchanganyiko wako unakua mzito sana hata ukiuchota na upao haumwagiki mpaka ugonge kwenye bakuli au sufuria ulilo changanyia ndio uanguke

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 года назад

      Hii ni kwa sababu hamira ikianza kufanya kanzi huwa inapunguza ule uzito ndio maana ukichanganya ambao si mzito na unatakiwa ulale lazima uwe mwepesi,nibora uchanganye mzito asubui utakuta ume kua ile rojo unayoitaka kuchomea vitumbua au ikawa nzito kidogo na uongeze maji ya vuguvugu kidogokidogo mpaka upate rojo inayotakiwa pia zingatia na vipimo vya hamira my dear

    • @juddymasili2690
      @juddymasili2690 Год назад +1

      Huenda uji unaweka mwepesi sana inabidi uji wako uwe mzito kiasi na unavochanganya na unga wa mchele mchanganyiko uwe mzito kiasi Ili wakati unaweka sukali hapo utakuonyesha uongeze maji ya vuguvugu kidogo aula

    • @joycehaule1610
      @joycehaule1610 3 месяца назад

      Ukiumua usiku, unatakiwa mchanganyiko wako uwe mzito sana kama inaelekea kwenye ugari laini sana na amira ni kijiko kidogocha sukari nacho kisijae sana.
      Hasubui utakuta umelainika vizuri kabisa kwa kupika ukiona mzito sana unaongeza maji ya uvuguuvugu kiasi cha izito upendao

  • @lucybuyunge5419
    @lucybuyunge5419 3 месяца назад

    Mm v

  • @EmmanuelWankogere-rq9fg
    @EmmanuelWankogere-rq9fg Год назад

    ukisha tengeneza mchanganyiko unakaa Massa mangap

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  Год назад

      Kama utatumia hamira ile inaya umua haraka na mazingira yakawa ya joto inachukua lisaa mpaka lisaa na nusu,kama ni hamira ya kawaida inachukua hadi masaa mawili

    • @EmmanuelWankogere-rq9fg
      @EmmanuelWankogere-rq9fg Год назад

      sawa,asante

    • @EmmanuelWankogere-rq9fg
      @EmmanuelWankogere-rq9fg Год назад

      mchele tuloweke masaa mangapi

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  Год назад

      @@EmmanuelWankogere-rq9fg mchele loweka mpaka ulainike nadhani aichukui ata saa moja,

  • @nasraulomi8312
    @nasraulomi8312 11 месяцев назад

    Type muda baadae yakuandaa kuumuka ni muda gani

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  11 месяцев назад

      Ukitumia hamira ile inayo umua hataka ni lisaa limoja au moja na nusu inategemea na hali ya hewa ya ulipo,kwa hamira hizi za kawaida ni masaa mawili mpaka matatu

  • @joycenyongole638
    @joycenyongole638 2 года назад

    Nimependa unavo elekeza lakin naomba kuelekezwa mamma yakuandaa mchele mwingi keaajili ya biashala

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 года назад +1

      Mambo Joyce,kwa biashara hapa inategemea labda unatengeneza vya kilo ngapi, mfano labda kilo tatu hapa cha muhimu kuzingatia ni uji na hamira ndio vya muhimu kwa kilo tatu unaweza kukoroga uji kwenye sufuria la kilo na nusu au robo au hata uji ukiwa mwingi haijarishi ila usiwe mdogo baada ya kuupooza uji kwenye kuchanganya sasa inatakiwa usiweke uji wote mojakwa moja weka kidogokidogo mpaka mchanganyiko wako hapa usiwe mwepesi,uwe mzito saizi ya kati(ata uji ukibaki unaweza kutumia kwa matumizi mengine) nakama utakua mzito sana baada ya kuumuka (namaanisha ukishaweka hamira na kwa kilo tatu ni vijiko vitatu vya chakula)na bado ukawa mzito chemsha maji ya vuguvugu na ongeza kidogokidogo mpaka upate ile rojo ambayo itafaa kuchomea vitumbua.usijali uliza kama kunasehemu ujaelewa kwenye maelezo

    • @bachrimaseven5049
      @bachrimaseven5049 Год назад

      @@homecookingtz2488 i love you so much

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  Год назад

      Love u more

  • @jescaedward1605
    @jescaedward1605 2 года назад

    Mbona mm naumua napika asubuhi ni kosa

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 года назад

      Upo sahihi kabisa si kosa na vitumbua hutoka vizuri vilevile

  • @ShukuranPaulo
    @ShukuranPaulo 8 месяцев назад

    Je kati ya unga wa mahindi na unga wa mchere upi unatakiwa uzidi

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  8 месяцев назад

      Wa mahindi ni kidogo tu kwaajili ya uji na uji usiwe mzito wala mwepesi uwe saizi ya kati,wa mchele ina tegemea unataka kupika vitumbua vya idadi gani,labda nusu kilo,kilo na nk

    • @ShukuranPaulo
      @ShukuranPaulo 8 месяцев назад

      Nimejaribu vimetoka vzr ila katikati havijaiva

  • @ivethabakamanyisa3137
    @ivethabakamanyisa3137 2 года назад

    Vizuri tu

  • @madievan1821
    @madievan1821 2 года назад +1

    Me vyang vinakua na ugaali ndani shda nn

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 года назад +2

      Hapo itakua uji wa kuvurugia uliweka kidogo,ikasababisha mchanganyiko ukawa mzito,pili unatakiwa uache unga uumuke vizuri kulingana na aina ya hamira kuna ile active unaweza ukaacha lisaa limoja na kuna ile ya kawaida unaacha kama masaa mawili na nusu(ila sanasana ni upended wa uji itakua uliweka kidogo

    • @khadijakombo7006
      @khadijakombo7006 2 года назад +1

      @@homecookingtz2488 mfano kwenye unga wa Mchele kilo moja natakiwa uji wa sembe kiasi gani nipike?ahsante kwa video yako najifunza.

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 года назад +1

      Okay,tumia sufuria la nusukilo kukoroga uji na uji usiwe mzito wala mwepesi,sasa uji ukipoa kwenye kuchanganya uji na unga usiweke ujiwote kwa wakati mmoja ,weka kidogo kidogo ili usizidishe uji na mchanganyiko wako usiwe mwepesi uwe mzito kidogo ili baadae ukiumuka uwe unauzito utakao kupa vitumbua vitavyo chambuka,na kama ulichanganya mchanganyiko na baada ya kuumuka ukawa bado mzito chemsha maji ya vuguvugu kisha weka kiasi ambacho kitafanya mchanganyiko wako uwe na ile rojo (unga wa vitumbua ulio korogwa)ambao sio mwepesi sana na sio mzito ambao utatoa vitumbua vyako vikiwa vimechambuka ndani

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 года назад

      @@khadijakombo7006 👆

    • @joycebalema9889
      @joycebalema9889 Год назад

      @@homecookingtz2488 asante sana nimekuelewa nitajaribu

  • @Upendo-qb2kc
    @Upendo-qb2kc 11 месяцев назад

    Unga wa mahindi uliyo korogea uji ni mahindi ya kukoboa au na inaliweka au hivyohivyo

  • @ireneomben8415
    @ireneomben8415 2 года назад +1

    Jeh kwa vitumbua vya mahind inakuaje hp kweny kuchanganya

    • @ireneomben8415
      @ireneomben8415 2 года назад

      Hii!

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 года назад +1

      Kwenye upande wa vitumbua vya mahindi ukisha koboa mahindi unayaloweka siku tatu baadae unayaosha unayaanika kidogo yasikauke sana kisha unayasaga ukisha pata unga kwenye kuchanganya unatumia mrorongo huohuo kama ivi vya mchele unakoroga uji ukisha maliza unachukua unga wako wa mahindi na kuchanganya

  • @leylafledy82
    @leylafledy82 2 года назад

    Unaumuka kwa mda gani dada

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488  2 года назад +1

      Kama kuna Hali ya joto inatumia dakika 45 hadi 60,kama kunaubaridi Acha lisaa limoja na nusu