JINSI YA KUPIKA VITUMBUA RAHISI SANA/HOW TO MAKE VITUMBUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 апр 2020
  • Nimeelekeza Jinsi Ya Kuanza Kuandaa Uji Wa Vitumbua Na Namna Ya Kuumua Na Kuvichoma Hatua Kwa Hatua.
    -Osha Mchele Kisha Utoe Kwenye Maji,Acha Ujiloeke Wenyewe Kwa Saa Moja. Usiache Ukauke Kabisa Kisha Usage Uwe Unga.
    -Koroga Uji Wa Mahindi Kisha Upooze Utakuwa Uji Mzito Sana Ukipoa Ndio Tunahitaji Hivyo.
    -Uji Ukipoa Vizuri,Weka Unga Wa Mchele Pamoja Na Unga Wa Ngano Kisha Songa Kama Ugali,Hakikisha Unasonga Vizuri.Kisha Weka Maji Kiasi Kupata Uzito Sahihi Kisha Weka Hamira Acha Ika Kwenye Utulivu Masaa 3 Hadi 6.Itakuwa Tayari Kwa Kuweka Viungo.
    -Weka Sukari,Mayai,Hiliki Kisha Koroga Vizuri Tayari Kwa Kuchoma Vitumbua Vyako.
    -Choma Kwa Kufuata Maelekezo Ya Video
    Karibu Sana Mziwanda Bakers
    Tembelea Video Zetu Nyingine Tofauti Kwa Kujipatia Elimu Na Ufahamu Zaidi Juu Ya Mapishi Na Maisha.
    Instagram:mziwanda_bakers

Комментарии • 123

  • @mercelineonyango1682
    @mercelineonyango1682 4 года назад +8

    Hit like then watch.. Here1st .... love you Mziwanda

  • @monikaswai4188
    @monikaswai4188 4 года назад +3

    Nilikuwa naloweka mchele ila ukija blend unakuwa teketeke sana, nimefanya ka wewe umekuwa poa kabisa, asante sana

  • @mariamhaji6293
    @mariamhaji6293 3 года назад +1

    Masha Allah

  • @mwanaidathuman2728
    @mwanaidathuman2728 4 года назад +2

    Asante Sana my Uje utuonyeshe na mkate wa sinia

  • @fatmarashid3629
    @fatmarashid3629 2 года назад +1

    Mashallah adi nimetamani..

  • @firdausimpesi3723
    @firdausimpesi3723 2 года назад

    Mashaallah my i like it's 🥰🥰😘🥰🥰😘😘😘

  • @maryanomar119
    @maryanomar119 4 года назад +1

    Unajuwa upishi dada hongera

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 4 года назад +1

    thanks ....we mwalimu mzuri sana kuliko wa (ds)

  • @vailethvabiliz1053
    @vailethvabiliz1053 2 года назад

    Nitajaribu my dear nimependa somo

  • @faustadonasian2777
    @faustadonasian2777 4 года назад

    Mkamsi!!
    Umenikumbusha mbali sana

  • @beatriceoduor445
    @beatriceoduor445 Год назад

    I have learnt something new in this video.

  • @neveragainneveragain1880
    @neveragainneveragain1880 4 года назад

    Keep up 👍👍💖💖💖🥂

  • @aminamwashabwi6470
    @aminamwashabwi6470 4 года назад +2

    You never let down wallah! Big up!

  • @sporagibron4872
    @sporagibron4872 Год назад

    Asante sana darasa zuri

  • @nellydoor4930
    @nellydoor4930 Год назад

    Asante sana dada kwakutujuza

  • @winnerlucas5924
    @winnerlucas5924 Год назад

    Asanteee sana

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 4 года назад

    Mashaallah ramadhani Mubarak

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 Год назад

    Nzur kwa biashara hii recipe

  • @eastcuisines124
    @eastcuisines124 3 года назад +7

    hii sasa ndo recipe niliyokua naitaka...kitumbua OG

  • @limobaraka1219
    @limobaraka1219 2 года назад

    Unafundisha kweli vizuri my

  • @MaithamaniMathias-fi7vp
    @MaithamaniMathias-fi7vp Месяц назад

    Hasant sana kipenz

  • @MonicaKaskazi-ju2is
    @MonicaKaskazi-ju2is Год назад

    Asante mwaya

  • @juliethurio6840
    @juliethurio6840 4 года назад

    Be blessed mrembo nakupenda

  • @sitiochu9367
    @sitiochu9367 4 года назад

    Asante sana kwamapishi mazuri.

  • @aishachatila1664
    @aishachatila1664 3 года назад +2

    Yaan Mungu akubariki Sana wengine hawaelekez kuusu kukoroga uji,sasa nimekuelewa madam Yan unafundisha vizur ,tengeneza group wasap utufundishe mengi zaidi nimekufatilia unaelewesha kila hatua had mtu anajua,na mm niliwaha jarb kupka ila nilibrend tu mchele bila uji Wala mayai nikiweka tu,iliki,na skar na hamila vilikuw vinanata Sana kwenye kikaangio ,Asante nimejifinza kitu kipya na ntapika vizur.Barikiwa sana

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  3 года назад +1

      Amiin shukran sana na karibu dear

    • @aishachatila1664
      @aishachatila1664 3 года назад

      @@mziwandabakers8297 Asante tengeneza group wasap mamang tujifunze vingi mwee mi naomba na namba yako pia Kama hutojali ma dear

  • @brayufulala5748
    @brayufulala5748 4 года назад +1

    Asante Sana Dada mungu akuzidishiye kila lakheri

  • @hasinarashid2768
    @hasinarashid2768 4 года назад

    Mashallah

  • @astidijakashemeile1918
    @astidijakashemeile1918 4 года назад

    Dada Wewe Mungu akubariki sana

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 4 года назад +1

    Naomba kipimo cha nusu kilo na kwa sisi tunaotumia blenda baada ya kuloweka asante sana

  • @user-uz3ge3tc5f
    @user-uz3ge3tc5f 7 месяцев назад

    Shukurani

  • @suzaneonani4561
    @suzaneonani4561 4 года назад

    Hatuna karai ya vitumbua

  • @gracecharles1244
    @gracecharles1244 4 года назад

    I love u too much ...🥰

  • @mwajumasufian5524
    @mwajumasufian5524 2 года назад

    Asalam alykum maa
    Naomba kuuliza unga wa mchele unaweza kuusaga na kuutumia kwa muda gani au haukai sana unaharibika?

  • @beatriceoduor445
    @beatriceoduor445 Год назад

    Pla where can i get that big pan. I really need to try but o do ny have the pan.

  • @fatmaabuu4982
    @fatmaabuu4982 3 года назад

    Da mziwanda naomba vipimo vya mchele vikombe viwil kwakutumia receip hii pliz

  • @mariamtofiki9489
    @mariamtofiki9489 3 года назад

    Mchele upi dear

  • @florachogo243
    @florachogo243 Год назад

    Yaaaaani unakipaji kikubwa

  • @happynesslema7885
    @happynesslema7885 4 года назад

    Mm vinanishinda kugeuza dada nisaidie

  • @sidikazungu2374
    @sidikazungu2374 4 года назад

    Hapo kwa uji sijaelewa

  • @sumamwampulo146
    @sumamwampulo146 2 года назад

    Je, kama natumia blender kusaga mchele nitafanyaje ili nitumie uji wa ugali. Kwakuwa nikisaga tayari uko kwenye hali ya maji

  • @monikaswai4188
    @monikaswai4188 4 года назад

    Bora umetuambia ukweli wa kuchanganya ngano na sembe maana nimekuwa nikipika vitumbia kwa unga wa mchele peke yake na visiwe vitumbua, Ila baada ya kuangalia kwako vimekuwa vitumbua vya kweli kweli, wanasema sembe haiitajiki mara ngano haiitajiki, ukipika sasa ni shida

  • @asiabeauty9851
    @asiabeauty9851 4 года назад

    Shukrani

  • @zedpineaple7824
    @zedpineaple7824 Год назад

    Naomba kukuuliza wakati unasaga mchele utachanganya na unga wa sembe?

  • @jescammole8652
    @jescammole8652 4 года назад

    Naweza kutumia jiko la gesi!!?

  • @esterinanyagawa9525
    @esterinanyagawa9525 3 года назад

    Nimeipenda hiyo

  • @jullybhera561
    @jullybhera561 4 года назад

    Thnx dada,natamani nikutumie picha,vitumbua kila mtu nyumbn amevielewa.soft na amna ugali wala mafuta..!Ubarikiwee sana
    Tunangojea mkate wa kumimina tu..

  • @rayanassor5077
    @rayanassor5077 3 года назад

    Shukran mm nauliza naomba unijibu ujii lazima upoe halafu lazima utie unga wa ngano

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  3 года назад

      Ni mbwembwe za upishi kuweka ngano sio lazima, kuhusu kupoa ni vizuri upoe ili usongeke vizuri

    • @rayanassor5077
      @rayanassor5077 3 года назад

      @@mziwandabakers8297 shukran mziwanda kwa kunijuza

  • @santinakitalika930
    @santinakitalika930 4 года назад +2

    Hongera sana huna uchoyo ubarikiwe.je huwa kuna ulazima wa kuweka mayai?

  • @kulthumsalim7070
    @kulthumsalim7070 3 года назад

    ❤💛💚💙💜...dear niliuliza vitabu km vipo, kimyaa kilitanda jamani kipenzi😟

  • @reycakesjikoni9085
    @reycakesjikoni9085 4 года назад +1

    Nakutakia Ramadhan kareem mziwanda bakery

  • @fahimanassor9696
    @fahimanassor9696 3 года назад

    Shukran nimejifunza

  • @yasintamtui8609
    @yasintamtui8609 4 года назад

    Asante Dada.
    Hivi huo unga unaweza kuhifadhi zaidi ya Cku moja?

  • @user-cx7tw1xd6i
    @user-cx7tw1xd6i 11 месяцев назад

    Hata Nazi unaweza kutia

  • @carimabadali3713
    @carimabadali3713 3 года назад

    Please Share recepi in inglês

  • @clarabaromekera2793
    @clarabaromekera2793 2 года назад

    Huo unga uliokorogea kama uji umetumia kiasi gani

  • @sidikazungu2374
    @sidikazungu2374 4 года назад

    Natamani ningepata hicho kikaango niko kenya

  • @shinewithme2023
    @shinewithme2023 4 года назад

    Asante sana!!swali je naweza kusaga mchele kwenye brenda na maji?

  • @kagemulontasi204
    @kagemulontasi204 3 года назад

    Mziwanda, unga wa mahindi tunatumia dona au sembe?

  • @akidumutabazi8503
    @akidumutabazi8503 4 года назад +1

    Mm hii njia ni ngumu dear

  • @salmaulomi4451
    @salmaulomi4451 2 года назад

    Naomba contact zako please

  • @theresenahimana7875
    @theresenahimana7875 4 года назад

    Ninaswali, maji ambayo unatumia ukisha weka unga wa mchele kwenye uji wa maindi, ni maji ya uvuguvu wala ni maji ya kawaida. Na 1.5 litters ni vikombe vingapi?
    Asante.

  • @reycakesjikoni9085
    @reycakesjikoni9085 4 года назад

    Hata mm natumia kijiko Ila kile kistik Nashindwa kbsa nachoma choma ovyo , Asante kwa recipe dada

  • @beatriceoduor445
    @beatriceoduor445 Год назад

    I mean i do not have the pan, sorry.

  • @bimmassoud6993
    @bimmassoud6993 3 года назад

    My naomba kuuliza hivyo vitumbua hutumiii Nazi au tui ?

  • @sidikazungu2374
    @sidikazungu2374 4 года назад

    Hapo kwa kisoga ngano na mchele no hapo kwenye uji wa kupoa au wauregesha kwenye moto

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  4 года назад

      Unakoroga uji kama kama kawaida jikoni kisha waupoza ndipo unaendelea na kuweka unga wa Mchele kisha unasonga

  • @jescammole8652
    @jescammole8652 4 года назад

    Dada, tufanyie kwa kipimo kidogo wa familia ndogo tu.

  • @salmahamza4344
    @salmahamza4344 Год назад

    Vipi kama huna Nazi

  • @merymjema6197
    @merymjema6197 4 года назад

    Nilazima kuweka uji wa ugali madam na unga wangano

  • @abdallahmsangi4046
    @abdallahmsangi4046 4 года назад +2

    Hongera dada,nauliza vp unaweza ukasaga mchele ukahifadhi kwa ajili ya matumizi ya masiku mengine?

  • @floshkitchen3061
    @floshkitchen3061 4 года назад

    Na mm nilipika juzi

  • @omanseeb8609
    @omanseeb8609 4 года назад

    My mchele unaosh tu nakusaga hurowekihata kidog au

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  4 года назад

      Unauosha kisha unautoa kwa maji usiuloweke hata kidogo utakuwa ugali

    • @omanseeb8609
      @omanseeb8609 4 года назад

      @@mziwandabakers8297 saw nimeelew shukran

  • @seifjuma3471
    @seifjuma3471 4 года назад

    Naomba kuuliza naweza kupika uji kwakutumia unga wa mchele badala ya wamahindi?

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  4 года назад +1

      Unaweza pia bila shida

    • @seifjuma3471
      @seifjuma3471 4 года назад

      @@mziwandabakers8297 kuna mchele maalum wa vitumbua au mchele wowote , je mchele wa mbeya unafaa? tafadhali naomba unisaidie

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  4 года назад

      @@seifjuma3471 unafaa ata chenga tu zinafaa hakunashida

  • @berthamwakabenga56
    @berthamwakabenga56 3 года назад

    Naomba kipimo Cha mchele kilo moja naweka unga wa sembe kiasi gan na ngano kiasi gani

  • @mariamhaji6293
    @mariamhaji6293 3 года назад

    Masha Allah

  • @mariamhaji6293
    @mariamhaji6293 3 года назад

    Masha Allah

  • @mariamhaji6293
    @mariamhaji6293 3 года назад

    Masha Allah