JINSI YA KUPIKA VITUMBUA RAHISI SANA/HOW TO MAKE VITUMBUA
HTML-код
- Опубликовано: 24 апр 2020
- Nimeelekeza Jinsi Ya Kuanza Kuandaa Uji Wa Vitumbua Na Namna Ya Kuumua Na Kuvichoma Hatua Kwa Hatua.
-Osha Mchele Kisha Utoe Kwenye Maji,Acha Ujiloeke Wenyewe Kwa Saa Moja. Usiache Ukauke Kabisa Kisha Usage Uwe Unga.
-Koroga Uji Wa Mahindi Kisha Upooze Utakuwa Uji Mzito Sana Ukipoa Ndio Tunahitaji Hivyo.
-Uji Ukipoa Vizuri,Weka Unga Wa Mchele Pamoja Na Unga Wa Ngano Kisha Songa Kama Ugali,Hakikisha Unasonga Vizuri.Kisha Weka Maji Kiasi Kupata Uzito Sahihi Kisha Weka Hamira Acha Ika Kwenye Utulivu Masaa 3 Hadi 6.Itakuwa Tayari Kwa Kuweka Viungo.
-Weka Sukari,Mayai,Hiliki Kisha Koroga Vizuri Tayari Kwa Kuchoma Vitumbua Vyako.
-Choma Kwa Kufuata Maelekezo Ya Video
Karibu Sana Mziwanda Bakers
Tembelea Video Zetu Nyingine Tofauti Kwa Kujipatia Elimu Na Ufahamu Zaidi Juu Ya Mapishi Na Maisha.
Instagram:mziwanda_bakers
Hit like then watch.. Here1st .... love you Mziwanda
😘
Nilikuwa naloweka mchele ila ukija blend unakuwa teketeke sana, nimefanya ka wewe umekuwa poa kabisa, asante sana
Masha Allah
Asante Sana my Uje utuonyeshe na mkate wa sinia
Mashallah adi nimetamani..
Mashaallah my i like it's 🥰🥰😘🥰🥰😘😘😘
Unajuwa upishi dada hongera
thanks ....we mwalimu mzuri sana kuliko wa (ds)
Nitajaribu my dear nimependa somo
Mkamsi!!
Umenikumbusha mbali sana
I have learnt something new in this video.
Keep up 👍👍💖💖💖🥂
You never let down wallah! Big up!
🤝
Asante sana darasa zuri
Asante sana dada kwakutujuza
Asanteee sana
Mashaallah ramadhani Mubarak
Amiin
Nzur kwa biashara hii recipe
hii sasa ndo recipe niliyokua naitaka...kitumbua OG
👌👌
Unafundisha kweli vizuri my
Karibu sana ❤❤
Hasant sana kipenz
Asante mwaya
Be blessed mrembo nakupenda
😘😘
Asante sana kwamapishi mazuri.
Mm sijui naferi wap vinanishinda
Yaan Mungu akubariki Sana wengine hawaelekez kuusu kukoroga uji,sasa nimekuelewa madam Yan unafundisha vizur ,tengeneza group wasap utufundishe mengi zaidi nimekufatilia unaelewesha kila hatua had mtu anajua,na mm niliwaha jarb kupka ila nilibrend tu mchele bila uji Wala mayai nikiweka tu,iliki,na skar na hamila vilikuw vinanata Sana kwenye kikaangio ,Asante nimejifinza kitu kipya na ntapika vizur.Barikiwa sana
Amiin shukran sana na karibu dear
@@mziwandabakers8297 Asante tengeneza group wasap mamang tujifunze vingi mwee mi naomba na namba yako pia Kama hutojali ma dear
Asante Sana Dada mungu akuzidishiye kila lakheri
Mashallah
Dada Wewe Mungu akubariki sana
Amiin 🙏
Naomba kipimo cha nusu kilo na kwa sisi tunaotumia blenda baada ya kuloweka asante sana
Shukurani
Hatuna karai ya vitumbua
I love u too much ...🥰
🥰🥰🥰🥰
Asalam alykum maa
Naomba kuuliza unga wa mchele unaweza kuusaga na kuutumia kwa muda gani au haukai sana unaharibika?
Pla where can i get that big pan. I really need to try but o do ny have the pan.
Da mziwanda naomba vipimo vya mchele vikombe viwil kwakutumia receip hii pliz
Mchele upi dear
Yaaaaani unakipaji kikubwa
Mm vinanishinda kugeuza dada nisaidie
Hapo kwa uji sijaelewa
Soma description box nimeelezea pia dear
Je, kama natumia blender kusaga mchele nitafanyaje ili nitumie uji wa ugali. Kwakuwa nikisaga tayari uko kwenye hali ya maji
Bora umetuambia ukweli wa kuchanganya ngano na sembe maana nimekuwa nikipika vitumbia kwa unga wa mchele peke yake na visiwe vitumbua, Ila baada ya kuangalia kwako vimekuwa vitumbua vya kweli kweli, wanasema sembe haiitajiki mara ngano haiitajiki, ukipika sasa ni shida
Shukrani
Naomba kukuuliza wakati unasaga mchele utachanganya na unga wa sembe?
Naweza kutumia jiko la gesi!!?
Nimeipenda hiyo
Thnx dada,natamani nikutumie picha,vitumbua kila mtu nyumbn amevielewa.soft na amna ugali wala mafuta..!Ubarikiwee sana
Tunangojea mkate wa kumimina tu..
Haya dear shukran
Shukran mm nauliza naomba unijibu ujii lazima upoe halafu lazima utie unga wa ngano
Ni mbwembwe za upishi kuweka ngano sio lazima, kuhusu kupoa ni vizuri upoe ili usongeke vizuri
@@mziwandabakers8297 shukran mziwanda kwa kunijuza
Hongera sana huna uchoyo ubarikiwe.je huwa kuna ulazima wa kuweka mayai?
Hapana hakuna ulazima
❤💛💚💙💜...dear niliuliza vitabu km vipo, kimyaa kilitanda jamani kipenzi😟
Vitabu bado sijatoa my dear nitakitangaza kikikamilika
Nakutakia Ramadhan kareem mziwanda bakery
Nakwako pia
Shukran nimejifunza
Karibu dear
Asante Dada.
Hivi huo unga unaweza kuhifadhi zaidi ya Cku moja?
Unga ambao hujaumua unaweza kukaa wiki moja
@@mziwandabakers8297 shukrani
Hata Nazi unaweza kutia
Please Share recepi in inglês
🤝
Huo unga uliokorogea kama uji umetumia kiasi gani
Natamani ningepata hicho kikaango niko kenya
Asante sana!!swali je naweza kusaga mchele kwenye brenda na maji?
Ndio
Nimejifunza kitu apo
K
Mziwanda, unga wa mahindi tunatumia dona au sembe?
Sembe
Mm hii njia ni ngumu dear
Ooh ipo Rahisi my ,share nami ntafurahi kujifunza
Naomba contact zako please
Ninaswali, maji ambayo unatumia ukisha weka unga wa mchele kwenye uji wa maindi, ni maji ya uvuguvu wala ni maji ya kawaida. Na 1.5 litters ni vikombe vingapi?
Asante.
Hata mm natumia kijiko Ila kile kistik Nashindwa kbsa nachoma choma ovyo , Asante kwa recipe dada
Kinatesa sana kispok
@@mziwandabakers8297 Sana Ila manguli ndo hupenda ata mm Bibi,mama hutumia
@@reycakesjikoni9085 mbona nguli😃😃
@@mziwandabakers8297 ngulii maana yake wapishi konkii wa zamani😂😂😂
@@thomassuleman4312 😂😂😂
I mean i do not have the pan, sorry.
My naomba kuuliza hivyo vitumbua hutumiii Nazi au tui ?
Sio lazima ila ukiweka vinanoga zaidi
Hapo kwa kisoga ngano na mchele no hapo kwenye uji wa kupoa au wauregesha kwenye moto
Unakoroga uji kama kama kawaida jikoni kisha waupoza ndipo unaendelea na kuweka unga wa Mchele kisha unasonga
Dada, tufanyie kwa kipimo kidogo wa familia ndogo tu.
Vipi kama huna Nazi
Nilazima kuweka uji wa ugali madam na unga wangano
Mimi nikiweka hivyo naona vinapendeza sana
@@mziwandabakers8297 NAKUPENDA
Hongera dada,nauliza vp unaweza ukasaga mchele ukahifadhi kwa ajili ya matumizi ya masiku mengine?
Ndio
Ndio unaweza ila usiuache ukae sana
@@mziwandabakers8297 ukae Kama kwa muda gani!!?
Na mm nilipika juzi
🥰🥰🥰
My mchele unaosh tu nakusaga hurowekihata kidog au
Unauosha kisha unautoa kwa maji usiuloweke hata kidogo utakuwa ugali
@@mziwandabakers8297 saw nimeelew shukran
Naomba kuuliza naweza kupika uji kwakutumia unga wa mchele badala ya wamahindi?
Unaweza pia bila shida
@@mziwandabakers8297 kuna mchele maalum wa vitumbua au mchele wowote , je mchele wa mbeya unafaa? tafadhali naomba unisaidie
@@seifjuma3471 unafaa ata chenga tu zinafaa hakunashida
Naomba kipimo Cha mchele kilo moja naweka unga wa sembe kiasi gan na ngano kiasi gani
Check ika Malle ameifanya hivi punde
Asanteee
Masha Allah
Masha Allah
Masha Allah