Jinsi ya Kupika Vitumbua Laini Kiurahisi (Swahili)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Mahitaji:
    Vikombe 3 via mchele
    Yai moja
    Sukari kikombe kimono
    Hamira kijiko kikubwa kimoja
    iliki robo kijiko

Комментарии • 179

  • @kissanjulumi-vt3yl
    @kissanjulumi-vt3yl 4 месяца назад

    Asante sana dada vitumbua vizuri kabisa ❤❤

  • @maryrogers7141
    @maryrogers7141 5 месяцев назад +1

    Asante blenda yako ni ya aina gani ili nikainunue kama hiyo. Asante

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 3 года назад

    Vitumbuwa vyako vizuri sana.mashallah. na ukitumia mchele wa mspembe ama pia vitumbuwa vinatoka kama hivyo vizuriiiiiiii mashallah.

  • @UncleD255
    @UncleD255 4 года назад +1

    Sauti tu inaonyesha wewe ni mpishi. Hongera. 👍👍

  • @neemarichard188
    @neemarichard188 3 года назад

    Asante sanaaaaa dada kwa kutufundisha mungu akubariki sana

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 5 лет назад +2

    Assalam Aleikum shukuran sana kwa maelekezo ya upishi wa Vitumbua, ombi langu tuandikie vipimo vyote kwa maandishi sababu vipimo ni muhimu sana ukizidisha kitu mambo yote yataharibika baada ya kupika kitumbua huenda wakanitambua.

  • @janekweka970
    @janekweka970 2 года назад

    Uko vzri sana nimekupenda sana nimejifunza

  • @user-ck3ue9mz1g
    @user-ck3ue9mz1g 11 месяцев назад

    Wooow❤❤❤vizuri alafu visafi Tena havina mafuta mengi nitajaribu🎉

  • @haithamchende1085
    @haithamchende1085 2 года назад +1

    Masha allah hadi raha

  • @user-zp2dv8bi5y
    @user-zp2dv8bi5y 8 месяцев назад

    Asante sna upishi wako mzur ntajalb kupka

  • @eetlady
    @eetlady 6 лет назад +3

    Wonderful, love this jirani.

    • @achiadewilo942
      @achiadewilo942 5 лет назад

      A Santa dada kwa vitumbuwa mimi nataka unionyeshe ngisi ya kupika sabusa.zahunji.or kusukuma

  • @TheKidevu
    @TheKidevu 4 года назад +1

    Uko vizuri, kwa hili darasa sasa nataka kuanza biashara hii mtaani kwangu.

  • @devothadonaldsimbi3499
    @devothadonaldsimbi3499 5 лет назад +1

    Ahsante kwa pishi la vitumbua ,nitajaribu leo.

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 7 месяцев назад

    Asantee Sana nimejifunza

  • @elizabethmirriam6018
    @elizabethmirriam6018 2 года назад

    Rahisi sana dear size ,,simuxt nazi

  • @petronillamnyambi7607
    @petronillamnyambi7607 2 года назад

    Safi kweli sikujua kama unaweza kutumia yai

  • @ummuntasire5841
    @ummuntasire5841 5 лет назад

    Vitumbua vizuri sana.kwanini wengine wantia Nazi au uji.

    • @faizasaid8262
      @faizasaid8262 4 года назад

      Um Muntasire nazi inanoga

    • @faizasaid8262
      @faizasaid8262 4 года назад

      Um Muntasire uji rabda wanao fanya biashara ndo wanapendelea

  • @janekweka970
    @janekweka970 2 года назад +1

    Uko vizuri sana ila nina swali je unatoa mafunzo on line na ni kiasigani

  • @dionisiabaynit2916
    @dionisiabaynit2916 2 года назад

    Hongera dada umenitamanisha,

  • @felistakway9846
    @felistakway9846 Год назад

    Upo vizuri sana

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 5 лет назад +1

    Vinaonesha maashallah😋😋😋

  • @marymlyandingu6980
    @marymlyandingu6980 5 лет назад +1

    Umetisha vitumbua vitumbua sana

  • @user-li5rf4eu5m
    @user-li5rf4eu5m 7 месяцев назад

    Asante nimependa makeshift yako

  • @qwan9233
    @qwan9233 5 лет назад +1

    ما شاء الله👌

  • @rehemaedward9494
    @rehemaedward9494 7 месяцев назад

    nmekuelewa sn my dear

  • @herculesthepower1544
    @herculesthepower1544 4 года назад +1

    Looks delicious 😋😋😋

  • @shamsaabdallah1096
    @shamsaabdallah1096 Год назад

    Very nice dear..

  • @halimatajiri2993
    @halimatajiri2993 5 лет назад +1

    MashaAllah recipe nzuri sana

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 года назад

    Maa Shaa Allah

  • @navojosephat656
    @navojosephat656 3 года назад

    Mchele gani ni mzuri kwa vitumbua, nimejaribu wa Jasmine havikutoka vizuri

  • @georgemwabuka5142
    @georgemwabuka5142 7 месяцев назад

    Nimependa

  • @phillisgachuhi7
    @phillisgachuhi7 3 года назад

    Good job hongera

  • @lulustanley340
    @lulustanley340 7 месяцев назад

    . Hatari za leo ninataka Kutengeneza vitumbua naomba kutumia mchele gani vitumbua vyangu viww vizuri.

  • @hamishintay5165
    @hamishintay5165 Год назад +1

    Nikitumia vyombo vya kawaida naomba nielekeze

  • @theresianyoni1544
    @theresianyoni1544 6 лет назад +1

    Tanx dear...tunasubria bagia sasa

  • @monicamanasseh4395
    @monicamanasseh4395 8 месяцев назад

    Good job

  • @floridabikaru1824
    @floridabikaru1824 4 года назад +3

    Hapa umeonyesha jinsi ya kutumia maji kuna wengine wanatumia uji wa sembe je inakuwa na kwa kutumia maji waweza kupika vitumbua vya biashara

  • @mariamhaji6293
    @mariamhaji6293 4 года назад

    Masha Allah

  • @awashilwavu5513
    @awashilwavu5513 5 лет назад

    Asante dada kwa kushea na sisi

  • @MonicaWaziri-ov9cz
    @MonicaWaziri-ov9cz 11 месяцев назад

    Wengine wanachanganya na unga wa ngano ila wewe sijaona uweke hapo inakuaje au si lazima

  • @estherfultang7415
    @estherfultang7415 7 месяцев назад

    Tunaomba vipimo kamili vya mchele

  • @ukendemasangya7963
    @ukendemasangya7963 3 года назад +2

    Very nice, kindly share accurate measurements

  • @estherwanjiru854
    @estherwanjiru854 4 года назад

    Mmm looks so sweet

  • @nelisimutasa7906
    @nelisimutasa7906 7 месяцев назад

    Asante kwa darasa nataka kufahamu kama unga wamchele unaweza kusaga na kuutunza kama wakusonga ugali nikawa natumia kidogo kidogo nikitaka kupika vitumbua??

  • @emmybasley9293
    @emmybasley9293 6 лет назад +1

    Asante saana dada nmekuelewa vzur asante kwa kushare nasi ubarikiwe🙇

  • @catherinengowi6256
    @catherinengowi6256 4 года назад +1

    Mom big up

  • @rehemammari3626
    @rehemammari3626 6 лет назад

    Asante kwa kushare na sisi

  • @hamisamaundi5661
    @hamisamaundi5661 5 лет назад +2

    Shuklani dada🙏

  • @sahrayousof9968
    @sahrayousof9968 4 года назад

    Nice vitumbua

  • @jenimagova1151
    @jenimagova1151 9 месяцев назад

    Naomba kuuliza ñilazima kuweka nazi

  • @kaladskel9098
    @kaladskel9098 5 лет назад +1

    vizur sana

  • @luluwillium1364
    @luluwillium1364 4 года назад

    So nice

  • @nautharmamu3934
    @nautharmamu3934 6 лет назад +2

    maa shaa Allah nzuri bila Nazi wow

  • @catherinebarn1493
    @catherinebarn1493 7 месяцев назад

    Kuna mama Kaseya kuhusu mkutumia Michele wa mapembe huo ni upi na unatoka seems gani ya nchi

  • @aminaally270
    @aminaally270 3 года назад +1

    Asante kwa somo nimepika Leo vimetosa safi ila samahani nauliza nipunguze nini au niongeze nini ili nipate kitumbua laini sana?

  • @singejejechantal8105
    @singejejechantal8105 2 года назад

    Shukran

  • @shukrisaliim9299
    @shukrisaliim9299 4 года назад

    Maashaa allaah

  • @sterasteward5961
    @sterasteward5961 2 года назад

    Katuni

  • @farhiaaddedadeed1836
    @farhiaaddedadeed1836 4 года назад

    Thank you

  • @leahdavid8408
    @leahdavid8408 8 месяцев назад

    Masaa matatu mbona me huwa hata lisaa haliishi unakuta mchanganyiko umeshaumuka vyakutosha

  • @fatmaali4654
    @fatmaali4654 9 месяцев назад

    Musijaribu kupika vitumbia na maji,vimekukutaaa😂

  • @paulomonga6988
    @paulomonga6988 2 года назад

    Vizur sana hongera

  • @saimamohamed6058
    @saimamohamed6058 5 лет назад

    Love your recipe

  • @fehmidamccarthy7843
    @fehmidamccarthy7843 5 лет назад +6

    Can you please write the excat measurements in the recipe instead of only saying it in the vedio only

    • @flomaje1J
      @flomaje1J Год назад

      Measurements are in the description box

  • @luciamagulu6004
    @luciamagulu6004 2 года назад

    Asante

  • @user-fg1rz7of5x
    @user-fg1rz7of5x 6 месяцев назад

    Oh! Vp kwawale ambao wanatumia kusaga unga wao mashineni ndo aanze kuuandaa process nizipi?

  • @jeniphaibrahim4894
    @jeniphaibrahim4894 9 дней назад

    Asante, Nauliza niko kenya kimoja niuzeje yaani pesa ngapi?

    • @kilimanjaroflavour
      @kilimanjaroflavour  5 дней назад

      @@jeniphaibrahim4894 Mi nauza in the US so siwezi kukupangia uuze bei gani in Kenya while I don't know your costs there or even familiar with kenyan currency.

  • @samiaarimkone
    @samiaarimkone 5 лет назад

    Shukurani

  • @ashuraomary4475
    @ashuraomary4475 4 года назад

    Ukovizurisana

  • @faizaummumohamed5363
    @faizaummumohamed5363 2 года назад

    My friend no coconut milk is it OK?????

  • @mwanaharusisalim9019
    @mwanaharusisalim9019 6 лет назад +1

    asante

  • @MuyabiPaul-zr6mm
    @MuyabiPaul-zr6mm Год назад

    Naomba unipe Somo hili na Mimi nitengeneze?.mwasiliano Yako tafadhali, vifaa vyote ninavyo ila Kila nikijaribu vinaharibika tuu

  • @felisterchuma1504
    @felisterchuma1504 Год назад

    Kama niasubui unaloweka saangapi

  • @maliahfarid4851
    @maliahfarid4851 5 лет назад

    mchele ni aina gani

  • @habibaabdallah5403
    @habibaabdallah5403 5 лет назад

    Kuweka tui silazima au havitiwi tuwi

  • @betrilaanicety2283
    @betrilaanicety2283 Год назад

    Je pishi hili huwezi kutumia maziwa?

  • @nelisimutasa7906
    @nelisimutasa7906 7 месяцев назад

    kama nina blenda naweza loweka mchele kwa muda naukiwa laili nikachanganya navitu vingine nkasaga pamoja baadae nikapata mchanganyiko wavitumbua ?? natakakujua kama inaruhusiwa asante

  • @olivadaniel6801
    @olivadaniel6801 6 лет назад +1

    vinavutia kwakweli je lazima kublend Mchele je nikipeleka kwa machine

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 7 месяцев назад

    Nimependa mapishi yako

  • @ladylucky1714
    @ladylucky1714 6 лет назад

    Thank you for sharing

    • @kilimanjaroflavour
      @kilimanjaroflavour  6 лет назад

      You welcome Dear

    • @emmalukuvi1192
      @emmalukuvi1192 6 лет назад

      unaosha maji unamwaga au

    • @kilimanjaroflavour
      @kilimanjaroflavour  6 лет назад

      Emma Lukuvi yes unaosha kwanza mchele kwanza, halafu unaweka maji mpaka yafunike mchele baada ya masaa 8 una usaga

  • @maryrogers7141
    @maryrogers7141 5 месяцев назад

    Habari nilijaribu kusaga na blender wangu ukawa na chenga ndogondogo wewe unafanyeje vyakwako visiwe na chengachenga au ni maandalizi gani ktk kuandaa mchele huo hata wakati wa kublend visiwe na chengachenga chengachenga kwa ndani?

    • @kilimanjaroflavour
      @kilimanjaroflavour  5 месяцев назад

      Blenda ziko tofauti, Mimi ya kwangu inasaga vizuri hadi uji una lainika kabisa. Blenda yako ndio shida

  • @salmamalipula8455
    @salmamalipula8455 6 лет назад

    Moto kwenye jiko kiasi gani

  • @faizaummumohamed5363
    @faizaummumohamed5363 2 года назад

    My friend please the sound is very low

  • @geselaoscaremanuel6481
    @geselaoscaremanuel6481 Год назад

    Naomba namba ya sim jmn

  • @sofiamohamedi3974
    @sofiamohamedi3974 2 года назад

    Nimependa mapishi yako dada ila mi nina shida ya flapein, je naipataje

    • @flomaje1J
      @flomaje1J Год назад

      Nunua Amazon ila matunda ni madogo

  • @doriskabogo3743
    @doriskabogo3743 3 года назад

    👍

  • @user-uw4zg5wc5u
    @user-uw4zg5wc5u Год назад

    Je kama ninunga TU utauloweka?

    • @kilimanjaroflavour
      @kilimanjaroflavour  Год назад

      Yes, kama ni unga tuu weka viungo vyako kama iliki sukari na hamira kama unataka kuweka mayai weka halafu acha unga uumuke

  • @haddadmohammedhassan4898
    @haddadmohammedhassan4898 Год назад

    How u didn't put any liquid ?????

    • @kilimanjaroflavour
      @kilimanjaroflavour  Год назад

      When you soak the rice over night it soaks lots of water, you just have to drain the water and blend it without adding water the see if you need to add or no. You can just add very little if you need it dipending on how thung the mixture is.

  • @anikaanikaa7617
    @anikaanikaa7617 2 года назад

    Hukorogei uji?

  • @KidsTv-en5fs
    @KidsTv-en5fs 6 лет назад +8

    Thank you for the recipe but could you please make an English version.

    • @kilimanjaroflavour
      @kilimanjaroflavour  6 лет назад

      Kids Tv sure I will

    • @sofiafarah6137
      @sofiafarah6137 4 года назад

      ⁰⁰⁰⁰0000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000

  • @zoab2699
    @zoab2699 2 года назад

    Dada hiyo khamira ya haraka ni nusu saa tu unaumuka we unasema msaa ma 3 😲

  • @cynthyazubery5986
    @cynthyazubery5986 5 лет назад

    Sukari ya Brown hauwezi kutumia?

  • @rukiyaomar4948
    @rukiyaomar4948 3 года назад

    Napenda kujuwa vitumbuwa huwa havihitaji nazi?

    • @kilimanjaroflavour
      @kilimanjaroflavour  3 года назад

      Chaguo lako, kama unataka nazi unawza kuweka nzi badala ya maji

  • @nageryt
    @nageryt 6 лет назад +1

    Asante!! Umetumia kikombe kipi cha kupimia? Please post picha

    • @kilimanjaroflavour
      @kilimanjaroflavour  6 лет назад +1

      Lilian Nagery unaweza tumia mchele nusu kilo sio lazima kikombe

  • @florankya5836
    @florankya5836 5 лет назад +1

    Ahsante kwa kushare nasi! Na pia naomba kuuliza? Umenunua wapi hicho kikaangio? Thx

    • @devothajoseph5386
      @devothajoseph5386 5 лет назад

      Flora Nkya Mimi nauza

    • @devothajoseph5386
      @devothajoseph5386 5 лет назад

      Flora Nkya reply me if you want napatikana dar es salaam sinza! 🙏

    • @ambrosiamlinga8402
      @ambrosiamlinga8402 3 года назад

      Hawezi kukuambia, wewe nenda kariakoo vipo vingi

    • @flomaje1J
      @flomaje1J Год назад

      @@devothajoseph5386 Je uko nchi gani maana na mimi nataka kununua

  • @marypaul6221
    @marypaul6221 11 месяцев назад

    Kama ukipika vitumbua halafu vikawa vigumu unakuwa umekosea nini!?,,

  • @leokamil2075
    @leokamil2075 6 лет назад +1

    Je umetumia mchele upi?Na kipimo ulichotumia ni kikombe au?

  • @HabibaAbdallah-nu4ze
    @HabibaAbdallah-nu4ze 5 месяцев назад

    Moto ni kiasi gani?

  • @twariatiomary486
    @twariatiomary486 5 лет назад

    Je kama natumia unga wa mchele naumuaje

  • @maryrogers7141
    @maryrogers7141 5 месяцев назад

    Na pia nilikuwa naupiga sana na blender hata kutoa chenga na zinabakia chenga ndogondogo sana lakini na hata ninapojaribu kuhumua unakata maji unga wote unakuwa kwa chini na hauumuki tatizo ni nini jamani?

    • @kilimanjaroflavour
      @kilimanjaroflavour  5 месяцев назад

      Labda hujaweka hamira ya kutosha halafu ulizidisha maji

    • @maryrogers7141
      @maryrogers7141 4 месяца назад

      Asante kunijibu nitajaribu kuandaa ivyo