Assalam Aleikum shukuran sana kwa maelekezo ya upishi wa Vitumbua, ombi langu tuandikie vipimo vyote kwa maandishi sababu vipimo ni muhimu sana ukizidisha kitu mambo yote yataharibika baada ya kupika kitumbua huenda wakanitambua.
Asante kwa darasa nataka kufahamu kama unga wamchele unaweza kusaga na kuutunza kama wakusonga ugali nikawa natumia kidogo kidogo nikitaka kupika vitumbua??
@@jeniphaibrahim4894 Mi nauza in the US so siwezi kukupangia uuze bei gani in Kenya while I don't know your costs there or even familiar with kenyan currency.
kama nina blenda naweza loweka mchele kwa muda naukiwa laili nikachanganya navitu vingine nkasaga pamoja baadae nikapata mchanganyiko wavitumbua ?? natakakujua kama inaruhusiwa asante
Habari nilijaribu kusaga na blender wangu ukawa na chenga ndogondogo wewe unafanyeje vyakwako visiwe na chengachenga au ni maandalizi gani ktk kuandaa mchele huo hata wakati wa kublend visiwe na chengachenga chengachenga kwa ndani?
When you soak the rice over night it soaks lots of water, you just have to drain the water and blend it without adding water the see if you need to add or no. You can just add very little if you need it dipending on how thung the mixture is.
Na pia nilikuwa naupiga sana na blender hata kutoa chenga na zinabakia chenga ndogondogo sana lakini na hata ninapojaribu kuhumua unakata maji unga wote unakuwa kwa chini na hauumuki tatizo ni nini jamani?
Asante sana dada vitumbua vizuri kabisa ❤❤
Asante blenda yako ni ya aina gani ili nikainunue kama hiyo. Asante
@@maryrogers7141 Ninja brand
Vitumbuwa vyako vizuri sana.mashallah. na ukitumia mchele wa mspembe ama pia vitumbuwa vinatoka kama hivyo vizuriiiiiiii mashallah.
Sauti tu inaonyesha wewe ni mpishi. Hongera. 👍👍
Asante sanaaaaa dada kwa kutufundisha mungu akubariki sana
Assalam Aleikum shukuran sana kwa maelekezo ya upishi wa Vitumbua, ombi langu tuandikie vipimo vyote kwa maandishi sababu vipimo ni muhimu sana ukizidisha kitu mambo yote yataharibika baada ya kupika kitumbua huenda wakanitambua.
Ametaja apo vipimo
Asante Sana kwa upichi wako mzuri
Uko vzri sana nimekupenda sana nimejifunza
Wooow❤❤❤vizuri alafu visafi Tena havina mafuta mengi nitajaribu🎉
Masha allah hadi raha
Asante sna upishi wako mzur ntajalb kupka
Wonderful, love this jirani.
A Santa dada kwa vitumbuwa mimi nataka unionyeshe ngisi ya kupika sabusa.zahunji.or kusukuma
Uko vizuri, kwa hili darasa sasa nataka kuanza biashara hii mtaani kwangu.
Mroki Mroki all the best my friend. Tutaongea zaidi
Kuna video ya bhajia
Ahsante kwa pishi la vitumbua ,nitajaribu leo.
Asant
Asantee Sana nimejifunza
Rahisi sana dear size ,,simuxt nazi
Safi kweli sikujua kama unaweza kutumia yai
Vitumbua vizuri sana.kwanini wengine wantia Nazi au uji.
Um Muntasire nazi inanoga
Um Muntasire uji rabda wanao fanya biashara ndo wanapendelea
Uko vizuri sana ila nina swali je unatoa mafunzo on line na ni kiasigani
Hongera dada umenitamanisha,
Upo vizuri sana
Vinaonesha maashallah😋😋😋
Umetisha vitumbua vitumbua sana
Asante nimependa makeshift yako
ما شاء الله👌
nmekuelewa sn my dear
Looks delicious 😋😋😋
Very nice dear..
MashaAllah recipe nzuri sana
Maa Shaa Allah
Mchele gani ni mzuri kwa vitumbua, nimejaribu wa Jasmine havikutoka vizuri
@kilimanjaro flavour
Mi natumia jasmine labda kuna kitu una kosea
Nimependa
Good job hongera
. Hatari za leo ninataka Kutengeneza vitumbua naomba kutumia mchele gani vitumbua vyangu viww vizuri.
Nikitumia vyombo vya kawaida naomba nielekeze
Tanx dear...tunasubria bagia sasa
Good job
Hapa umeonyesha jinsi ya kutumia maji kuna wengine wanatumia uji wa sembe je inakuwa na kwa kutumia maji waweza kupika vitumbua vya biashara
Masha Allah
Asante dada kwa kushea na sisi
Wengine wanachanganya na unga wa ngano ila wewe sijaona uweke hapo inakuaje au si lazima
Tunaomba vipimo kamili vya mchele
Very nice, kindly share accurate measurements
Mmm looks so sweet
Asante kwa darasa nataka kufahamu kama unga wamchele unaweza kusaga na kuutunza kama wakusonga ugali nikawa natumia kidogo kidogo nikitaka kupika vitumbua??
Asante saana dada nmekuelewa vzur asante kwa kushare nasi ubarikiwe🙇
Mom big up
Hongera sanaaa
Ni vizur sanaa🥰
Asante kwa kushare na sisi
Shuklani dada🙏
Mbona hujatumia nazi? Dear
Nice vitumbua
Naomba kuuliza ñilazima kuweka nazi
vizur sana
So nice
maa shaa Allah nzuri bila Nazi wow
Kuna mama Kaseya kuhusu mkutumia Michele wa mapembe huo ni upi na unatoka seems gani ya nchi
Asante kwa somo nimepika Leo vimetosa safi ila samahani nauliza nipunguze nini au niongeze nini ili nipate kitumbua laini sana?
Sorry vimetoka
Shukran
Maashaa allaah
Katuni
Thank you
Masaa matatu mbona me huwa hata lisaa haliishi unakuta mchanganyiko umeshaumuka vyakutosha
Musijaribu kupika vitumbia na maji,vimekukutaaa😂
Naomba namba yako Dada
Vizur sana hongera
Love your recipe
Can you please write the excat measurements in the recipe instead of only saying it in the vedio only
Measurements are in the description box
Asante
Oh! Vp kwawale ambao wanatumia kusaga unga wao mashineni ndo aanze kuuandaa process nizipi?
Asante, Nauliza niko kenya kimoja niuzeje yaani pesa ngapi?
@@jeniphaibrahim4894 Mi nauza in the US so siwezi kukupangia uuze bei gani in Kenya while I don't know your costs there or even familiar with kenyan currency.
Shukurani
Ukovizurisana
My friend no coconut milk is it OK?????
asante
umepikia kwenye jiko gani??
Naomba unipe Somo hili na Mimi nitengeneze?.mwasiliano Yako tafadhali, vifaa vyote ninavyo ila Kila nikijaribu vinaharibika tuu
Sasa somo si hilo hapo kwemye vidoe jamani🤦♀️
Kama niasubui unaloweka saangapi
mchele ni aina gani
Kuweka tui silazima au havitiwi tuwi
Habiba Abdallah mi situmii tui kama unataka unaweza
Je pishi hili huwezi kutumia maziwa?
kama nina blenda naweza loweka mchele kwa muda naukiwa laili nikachanganya navitu vingine nkasaga pamoja baadae nikapata mchanganyiko wavitumbua ?? natakakujua kama inaruhusiwa asante
vinavutia kwakweli je lazima kublend Mchele je nikipeleka kwa machine
Oliva Daniel ni sawa tuu
Nimependa mapishi yako
Thank you for sharing
You welcome Dear
unaosha maji unamwaga au
Emma Lukuvi yes unaosha kwanza mchele kwanza, halafu unaweka maji mpaka yafunike mchele baada ya masaa 8 una usaga
Habari nilijaribu kusaga na blender wangu ukawa na chenga ndogondogo wewe unafanyeje vyakwako visiwe na chengachenga au ni maandalizi gani ktk kuandaa mchele huo hata wakati wa kublend visiwe na chengachenga chengachenga kwa ndani?
Blenda ziko tofauti, Mimi ya kwangu inasaga vizuri hadi uji una lainika kabisa. Blenda yako ndio shida
Moto kwenye jiko kiasi gani
Salma Malipula medium
Salma Malipula medium, but inategemea unatumia jiko la aina gani though
My friend please the sound is very low
Naomba namba ya sim jmn
Nimependa mapishi yako dada ila mi nina shida ya flapein, je naipataje
Nunua Amazon ila matunda ni madogo
👍
Je kama ninunga TU utauloweka?
Yes, kama ni unga tuu weka viungo vyako kama iliki sukari na hamira kama unataka kuweka mayai weka halafu acha unga uumuke
How u didn't put any liquid ?????
When you soak the rice over night it soaks lots of water, you just have to drain the water and blend it without adding water the see if you need to add or no. You can just add very little if you need it dipending on how thung the mixture is.
Hukorogei uji?
Thank you for the recipe but could you please make an English version.
Kids Tv sure I will
⁰⁰⁰⁰0000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
Dada hiyo khamira ya haraka ni nusu saa tu unaumuka we unasema msaa ma 3 😲
Sukari ya Brown hauwezi kutumia?
Napenda kujuwa vitumbuwa huwa havihitaji nazi?
Chaguo lako, kama unataka nazi unawza kuweka nzi badala ya maji
Asante!! Umetumia kikombe kipi cha kupimia? Please post picha
Lilian Nagery unaweza tumia mchele nusu kilo sio lazima kikombe
Ahsante kwa kushare nasi! Na pia naomba kuuliza? Umenunua wapi hicho kikaangio? Thx
Flora Nkya Mimi nauza
Flora Nkya reply me if you want napatikana dar es salaam sinza! 🙏
Hawezi kukuambia, wewe nenda kariakoo vipo vingi
@@devothajoseph5386 Je uko nchi gani maana na mimi nataka kununua
Kama ukipika vitumbua halafu vikawa vigumu unakuwa umekosea nini!?,,
Uji mzito halafu hauja umuka vizuri
Je umetumia mchele upi?Na kipimo ulichotumia ni kikombe au?
leo kamil amesema vikombe 3
Moto ni kiasi gani?
Medium heat
Je kama natumia unga wa mchele naumuaje
Huu alioumua ndio wa mchele
Na pia nilikuwa naupiga sana na blender hata kutoa chenga na zinabakia chenga ndogondogo sana lakini na hata ninapojaribu kuhumua unakata maji unga wote unakuwa kwa chini na hauumuki tatizo ni nini jamani?
Labda hujaweka hamira ya kutosha halafu ulizidisha maji
Asante kunijibu nitajaribu kuandaa ivyo