Mim ni mtanzania kutoka tanga,ila nipo nairobi hii biashara ya chapati ungeanzisha uku yani ungepata sana maali panaitwa kikomba bama kuna chapati za ajabu alafu,chai iwe nzuri,maarage safi.. Mmhh watu watajilamba Ila ongera❤
❤❤ For the 1st time to follow instructions in RUclips and I succeeded. My chapatis are layered now my family is happy as we share the meal. Blessings gal. Subscribed too.
Nashukuru sana siwezagi kabisa kwenye chapati nitajifinza samahani naweza kukanda unga saa nne usiku nikazipika asubuhi nijibu tafadhali nijifunze zaidi
@@joshuachimwejo5892 theirz a day wanted to write wait then wrote kuma which is bad manners but for us in ug kuma is Wait, u c the way was ashamed of my self
Hello Aisha. Am glad to say am a pro-layered-chapati maker because of your video. Thank you so much for this video.
Wooow happy to hear that ❤❤❤❤thank you and congratulations
Fantastic🎉🎉
Mim ni mtanzania kutoka tanga,ila nipo nairobi hii biashara ya chapati ungeanzisha uku yani ungepata sana maali panaitwa kikomba bama kuna chapati za ajabu alafu,chai iwe nzuri,maarage safi..
Mmhh watu watajilamba
Ila ongera❤
Chapati zinauguza kifua kikuu na kuumiza.mikono
😂ni gikomba
Chapati nzuri laina na hazina mafta mingi mashallah mungu akuzidishie ❤
Mie hapa, kajawa na furaha tele, Kwanj kafunzwa kitu chenye umuhimu sana, mashalaha dada❤
Maashallah chopo nzuri sana kwa muonekano
❤❤
Simply look sweet, congratulations
Asante Sana dear Leo nimepika chapati nzur na laini kwa Mara ya kwanza😍😍nimeweza kbsa kupitia recipe yako❤barikiwa
Nimefrah mnoo kupata feedback yako kipnzi😍😍umeweza ukaweza ten love honger n asant san❤❤
@@AishaManirakizamaji ni baridi au moto au warm,temperature ya maji pls
@@trizahmacharia2939 dear maji ni warm
Me too I've succeeded for the first time in over decade 😅😅
@@AishaManirakizaa/alaykum naomba kuuliza maji warm ndo yep?
Mashaallah asante kipenzi, nitajaribu leo za biashara
Ila kuna sehem sijaele umekandisha maji bila kuweka mafuta??
@@hakizimanarahma6515dear Mafuta nimeweka kwenye donge
Shukran sana kwachapati nzuri hazna mafuta MENGI,mashaallha ubarikiwe
Asante pia love❤❤
These chapatis, zapendeza sana...🎉🎉
❤
Good work I'm try it
❤❤ For the 1st time to follow instructions in RUclips and I succeeded. My chapatis are layered now my family is happy as we share the meal. Blessings gal. Subscribed too.
Wonderful!♥️♥️♥️
🎉😮😢😂❤nampenda😁😁😁
Touch and hold a clip to pin it. Unpinned clips will be deleted after 1 hour.
😢😢😢😢jodaj
❤
J
@@HildaDavid-zg3se❤❤❤
Nikipata bibi kama chapati kwangu zitakuwa zinalia kila Sunday enyewe ni tamu congrats🎉🎉🎉
Nashukuru sana siwezagi kabisa kwenye chapati nitajifinza samahani naweza kukanda unga saa nne usiku nikazipika asubuhi nijibu tafadhali nijifunze zaidi
Ndio dear unawez😮kwani niza biashara? Kam jibu ni yes ni check Instagram ao fcbook nikupe moe tips🤗
Waooooo nice like it❤❤
Nisawa ? Ni unga gani na mafuta gani unatumia kwa kutengeneza chapati ?
Asante naona hii ni simple nimeipenda
Mashallah mungu akubarik
Waoh nitasipika ivyo mashalla tamu
Asante kwa fundisho Hilo nzuri
You will be the best one day
@@Nims643nipitie please
Nipitie please ❤
I love it! Keep sending us !!
Very simple way thank you.
❤it en ur process..I love to make chapatis
Wow very wounderful l have learned something
❤❤❤
Looks very nice,I m trying too
I love it l will try to prepare once
Thank you so much 🥰 God bless you
Wow 😲😲😲 mashaallh amazing 😍😍😍
Uwiii jaman chapati nzur sana I like it 😍
Looks very delicious ❤it
I have strong message but I don't trust my Swahili but have learnt some thing much love from ug
We don't do exams here buddy! You just write fearlessly!😅
@@joshuachimwejo5892 theirz a day wanted to write wait then wrote kuma which is bad manners but for us in ug kuma is Wait, u c the way was ashamed of my self
Thankz alot nimejaribu but umetoka hivi vivi...from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂
😅😅😅Jaribu tena hadi you perfect it
Congratulations ,Kenya always to the World
Thank you
Umeelewa hii kiswahili aje? 😂 Like Madonge ni what?? Nipee translation please.
@@BerryHopes 😂 😂 madonge are the little lumps you make before rolling out the chapos
I love 💕 this will try
Asante kwa somo lako madam now ntakua mpishi mzur ka chapati
Mashaalla naaam dadaangu uko vizr
Sweet chapati❤❤ naomba munipitie
Mashaala dada kwa chapati soft
It looks so yummy 🤤🤤🤤
Im so perfect on chapati making cos of you
Wooow happy to hear that dear ❤❤❤❤
Just wonderful
Thanks siz nimependa chapo zako at least nimejifunza kitu kutoka kwako 💞💞💞
I feel like this is another way to make chapati in that case I will try this. Thanks for sharing though
Hope you enjoy, ❤️❤️❤️
Nimependa hii njia mpya kwangu
Wow v well A2Z explained chapatis recipe n demonstrated to a supper results,I'm pleased n happy watching ur post from TANGA Tanzania .
My pleasure 😊
Jameni natamani kimoja nile dadangu❤
Wow so good 🙏🙏
Nzuri sana jamani ❤❤❤❤❤❤
Hongera sana kipenzi tunashukuru kwa SoMo i will try this❤
Wow....
So nice❤
Good job. Will try it. Thank you.
Mashaallah hongera
I've never cooked chapati,bt following your instructions I did it.❤️❤️
Mashallah Dada yan I will try nmependa ubarikiwe
Good job, chapati poa she,asante
I will try this thank you dear for teach us ❤❤
❤❤❤❤
Naenda kupika Leo Leo.shukrani
Hizi chapati zapendeza kweli... nahisi tu kuzila.
Nitaanza kupika jinsi iyo sasa. Nimependezwa ! 😊
Mmh kweli chapati safi,ongera
MMM YUMMY👌 THANKS FOR SHATING🙏GOD BLESS U ALWAYS AMEEN🤲🌹
Thank you so much🙏❤️❤️
Good job have gained something will try this method
Good one I love it
RUclips has suggested thia for me wow❤❤
Wooo nice ❤
Ni mafta gani na unga gani unatumia kwa kutengeneza chapati ?
Wow it looks yummy
Asante nimependa mashaallah ❤️
Looks great I would like to taste.
Have you tasted🫣🫣🫣🫣
Meipenda mashallah
Ni chapati nzuri daima,swali langu ni nusu unga unatumia maji kiasi gani
Asante nime shukuru kwaku juwa zaidi
Ni sai diye na omba namba yako whatsapp svp
My dear ni check Instagram ao fcbook nipo kama Aisha Tunda
Chapati nzuri sana Masha'Allah 😋👌
Wooow Asantee sana dada angu❤❤nafrah mnoo kupata comment yako❤❤shukran sisi
Mashaa ALLAH ❤
Tabarakallah dear shukran
Nimependa Sana dada yangu ,lakini sijui kupika chapati na watoto wangu wanapenda Sana chapati Sana
Mashaala chapati nzuri sana
Masha Allah it looks yummy
Thank you 😊
@@AishaManirakizaKWA CHAI YA MAZIWA TAMU SANA UNAKUNYWA SIO KUCHOVYA CHAI SIO MCHUZI 😂😂😂😂😂
Ni nzurr aisee
Nice chapati ❤❤❤❤❤
Nzuri sana sana❤❤❤❤
Mm nkpika chapat inakuwa ngum km maisha yang 😂
😂😂😂
😂😂
Asante sn kwa kutufundisha mungu akupe maisha marefu dada
Amiin kipnz ❤❤shukran pia
Upishi safi dadaah ....👋👋👋👏👋👋
Shukran San ❤❤
Ma sha Allah
Nimepika chapati nimeweza nimeojesha watu na nimepata order. Ubarikiwe dada
Woow honger San my dear asante sana na barikiwa pia kipnz ❤❤❤
Asante sana kwa elimu maana chapati wengi tunashindwa kupika japonica tuna zipenda
Mashallah delicious
Nimeipenda ahsante
I lyke it
Waaoooh chapat ni nzuri
Hongera sana kwa ununifu
Also me I like this stile of kooks
Tanks so much I wish ungeziona zip kama hapo kwenye pich zilichambuka sanaaa😊
Watching from South Sudan juba ❤❤❤❤
Hapo kwenye kusukuma round hapooo😊raman ya africa inanihusu
What a Good recipe, kudos Aisha! I wish my darling new these skills...
Good work
Waooh, chapati tamuuuu
Nzuri sana♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Na s usishow uko wapi ili niwe nkikutembelea kuja kula 😢😅😅
Hapa jogoo road
Lovely tried it ❤❤❤
Ngoja nijaribu kesho sijui ntaweza kweli
Utaweza tu na kama ukikwama mahali ni check Instagram ao fcbook tupike pamoj
iko bie sana
Good work.