Chapati Mchambuko. Taaamu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Unga Kg 1
    maziwa 3tbsp
    sukari 3tbsp
    chumvu 1/2 tsp
    iliki 1tsp

Комментарии • 47

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 6 месяцев назад +4

    Assalam Aleikum mambo yamekwenda vizuri kilicho haribu mambo yote ni hizo kucha ndani umejaa uchafu wa kila aina hata ukinawa kwa sabuni hujawa msafi dawa yake uzikate kama za kubandika ndio balaa zaidi uamuzi uko kwako lakini ujue unalisha watu uchafuuuuu!!!!!

    • @magrethmlewa3422
      @magrethmlewa3422 3 месяца назад

      Ila watu mmezidi ujuaji kwenye maisha ya watu unakula wewe kwan ebu acheni watu waishi maisha yao uyo ni mtu mzima anajua anachokifanya

    • @abdullahalmahrooqi8306
      @abdullahalmahrooqi8306 3 месяца назад

      @@magrethmlewa3422 huu ndio ujinga wacha watu wafanye mambo yao kama haya ya mtoto kaingiliwa na baba yake kaka kamuowa dada yake tena anatolewa kwenye mitandao anahojiwa halafu anajibu mtoto mzuri kama huyu nimeona hasara aolewe na mtu baki Subhana Llah nyie wapigieni debe mtayakuta na mtaulizwa hata ikiwa kafiri Mungu ni yuleyule mmoja.

    • @abdullahalmahrooqi8306
      @abdullahalmahrooqi8306 3 месяца назад

      @@magrethmlewa3422 huyu ni mwanamke ndio ukaingia kati kujibu angelikuwa mwanamme ungetia lako au unataka akupende kwa kumtetea? Wewe hujui kama kuna watu wakienda haja wanapangusia karatasi au jiwe sasa huyo akusukumie chapati itakuwaje utasema unahisi harufu ya hiliki au karafuu?

    • @user-yc3tk4sm3k
      @user-yc3tk4sm3k 20 дней назад

      Kwan ww xi upokee elimu unayopewa kucha zinakuhusu nini umbea tu afu ww mwanaume acha hizo

  • @ShaydaAlly-rm8ft
    @ShaydaAlly-rm8ft 5 месяцев назад

    hongera sana dada ang unapka vzur sana

  • @user-oc4sq3xq5i
    @user-oc4sq3xq5i 10 месяцев назад

    Nashukuru mungu sasahv nimekuwa mtaalamu wakupik chapati

  • @patriciandinda8582
    @patriciandinda8582 2 месяца назад

    Wow the chapati ever🙏🙏

  • @cookingwithmimmo
    @cookingwithmimmo Год назад +1

    Asante kwa mapishi yako, nimeipenda sana

  • @zengeummu9575
    @zengeummu9575 Год назад +1

    Maaaashaallah huwa nakufatilia sana my dear na huwa najifunza mengii

    • @malkiafoods
      @malkiafoods  Год назад

      Barikiwa sana love

    • @MissRahma-z2h
      @MissRahma-z2h 27 дней назад

      Jamani dada sorry naomba unitajie hz ingredients bulizzoweka chumb sukar na nn

  • @JobNdeke
    @JobNdeke Год назад

    🎉🎉

  • @ElicahMugitya-ql7mo
    @ElicahMugitya-ql7mo Год назад

    Nimependa huwa nakufatilia na kujifunza kama maandazi n.k 😘

  • @kakozietho2303
    @kakozietho2303 9 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @user-kd5mr7wu2x
    @user-kd5mr7wu2x Год назад +1

    Nataka kujiunga na darsa lako naomba muongoz

  • @mercymuhunyo8434
    @mercymuhunyo8434 Год назад

    From Tiktok am here❤

  • @esterdanford5563
    @esterdanford5563 7 месяцев назад

    Wakati wa kukandia unaeka vegetable fat oil kama kimbo au prestige?

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 10 месяцев назад +1

    Salam tuandikie vipimo unga wa maziwa vijiko vingapi? sukari chumvi? Maji glass ngapi? Mafuta? Na huyo jogoo hana heshima anapiga kelele au anataka chapati mpe mimi nitalipa.

    • @malkiafoods
      @malkiafoods  10 месяцев назад

      Angalia kwenye description box dear

  • @SaudaMuhammedyussuf
    @SaudaMuhammedyussuf Год назад

    Mimi nataka kuku😊😊😊😊

  • @zainablema17
    @zainablema17 Год назад

  • @TeclaMtweve
    @TeclaMtweve 8 месяцев назад

    Dada malkia mejaribu kupika mara ya pili mefata process zile ila zimekuwa ngumu nimefeli wapi sijui

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 Год назад +1

    Kucha zikiwa ndefu kwenye upishi ni mtihani.

  • @NackNzily
    @NackNzily 2 месяца назад

    Jamn napenda niifnye biashar mtaj kam shingp

  • @zengeummu9575
    @zengeummu9575 Год назад

    Nataka kujiunga na madarasa yako, Naomba muongozo

  • @nattymnaro541
    @nattymnaro541 10 месяцев назад

    Samli ipi unatumia Malkia?

  • @delightnkya6086
    @delightnkya6086 Год назад

    Nimeweza aisee Kila siku natamani kupika chapati

  • @lilianjulius9500
    @lilianjulius9500 Год назад +1

    Mbona zangu hazichambuki hivo,nakosea wapiii😢

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Год назад

      Pol sn my 😂😂😂😂 jaribu tena uone😅😅😅😅

    • @Awatee
      @Awatee 10 месяцев назад

      ​@@AAA-zu1vy😂😂😂

  • @maryjoseph926
    @maryjoseph926 9 месяцев назад

    Sijawahi jaribu haki jumapili ntajaribu

  • @fooddiarytz
    @fooddiarytz Год назад

    Chapatii ❤

  • @user-vm1fq3qq9v
    @user-vm1fq3qq9v Год назад

    Nielekeze vitu ulivyochanganya

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Ndio kila mkunjo unamatokeo yake

  • @neemakusenha2540
    @neemakusenha2540 Год назад +1

    Dada unga ni ppf??

  • @user-kv5eo8ix9k
    @user-kv5eo8ix9k Год назад

    Wanawekaga hamira hawasemi

    • @sary-s6i
      @sary-s6i Год назад

      Alf kweli nimegundua

    • @happylema6763
      @happylema6763 8 месяцев назад

      Hakuna hamira inayowekwa bwana jaribu kila mara utapata matokeo mazuri zinavimba vizuri tuu

  • @ElicahMugitya-ql7mo
    @ElicahMugitya-ql7mo Год назад

    Hello

  • @esthermollel1461
    @esthermollel1461 Год назад

    Kama hupendelei sukari unaweza usiweke.

  • @faridarashid1198
    @faridarashid1198 2 месяца назад

    kwanza sili chakula cha mtu mwenye kucha ndefu
    wrong personal hygiene

  • @stellashayo1242
    @stellashayo1242 Год назад +1

    Mafuta gani umechomea chapati zako? @malkia?

  • @user-qn3wp7py8z
    @user-qn3wp7py8z Год назад