MAPISHI YA VITUMBUA/jifunze kupika Vitumbua na Sisi/ Tanzanian YouTuber

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 янв 2022
  • Hellow dears
    Hii Video nitakua namuelekeza fau jinsi yakupika Vitumbua… hope utaenjoy kuiangalia na pia utajifunza kitu chochote…
    Video ya Kutengeneza Vitumbua:
    Instagram @ikamalle
    #vitumbu #tanzanianyoutuber #mapishi
  • ХоббиХобби

Комментарии • 55

  • @tridabalira5992
    @tridabalira5992 2 года назад +2

    Welldone. Your daughter is brave and beautiful. I like the idea of using minimal oil. Great job.

  • @Furaha-hx6lv
    @Furaha-hx6lv 11 месяцев назад +1

    Wow mtoto mzuri anapikavutumbua vizuri sana endelea ivo mama kumfundisha .alafu anamfanana sana mdogo wangu mpaka nashindwa kwani ni lipacha wake au ninependa anitafute niongee naye kweli ❤

  • @betty_900
    @betty_900 2 года назад +4

    Your baby gal is so pretty 😁😍with love from Kenya

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Месяц назад +1

    So cute girl mashallah ❤

  • @safiashariff8473
    @safiashariff8473 2 года назад +3

    Nmependa sana convo zako na mwanao! Nme imagine nikiwa na binti yangu 😄 Allah awatunze 😍

  • @mziwandabakers8297
    @mziwandabakers8297 2 года назад

    Maa shaa Allah

  • @catherinenicodemus1574
    @catherinenicodemus1574 2 года назад

    Hongera Ni vizuri he vyombo kikiwa kipya unafanyaje changu si special

  • @salmaalnaamani2786
    @salmaalnaamani2786 2 года назад

    Mansha'Allah mwanao au wa mziwanda bakers😍😍

  • @khadijahaji6341
    @khadijahaji6341 2 года назад +1

    Mashalla

  • @maryrogers7141
    @maryrogers7141 3 месяца назад

    Habari niblend mchele niliupga sana chengachenga zilibakia na hata ninapouhumua unakata maji maji yanakuwa juu unga unabaki chini na wala hauumuki kabisa tatizo ni nini? Kwa wanaopika uji wao unakuwa mzuri wala haujitengi na maji na unakuwa na povu kiasi ukiweka uji kwenye kikaangia kitumbua ukikigeuza kinageuka vizuri. Je nifanyeje basi kwanzia hatua ya kuandaa mchele kuuloweka , kuusaga na hata kuhumua. Naomba unifahamishe nijue hatua zote hizo . Asante

  • @georginakemboi1576
    @georginakemboi1576 2 года назад +1

    Dada anajua kazi hongera

  • @itshaluastyle
    @itshaluastyle 2 года назад +1

    Mashallah

  • @fideahyera2599
    @fideahyera2599 Год назад

    Mashallahaa

  • @swabribwana5399
    @swabribwana5399 2 года назад

    Mashaallah

  • @fadnanoor5121
    @fadnanoor5121 2 года назад +1

    Mashacala

  • @annaprosper2435
    @annaprosper2435 2 года назад

    Nakupenda bure dada 🥰🥰🥰

  • @asmahtamla4749
    @asmahtamla4749 Год назад

    Hongera zako dada umekuza bintiyo anaelekea vizuri Sana ktk mapishi na anapenda Big up to you dada

  • @RoseEdward-vm5he
    @RoseEdward-vm5he 3 месяца назад

    Kwa nn mm vyangu vinakuwa kati na tundu au flati aviwi duala ukikibinua

  • @salmaalnaamani2786
    @salmaalnaamani2786 2 года назад +1

    Hodari mwanao kaweza💪💪

  • @Georges.Kitchen
    @Georges.Kitchen 2 года назад +1

    Dada anajitahidi sana ❤️ nashukuru sana kwa recipe nzuri 😘

  • @wildtodiet835
    @wildtodiet835 2 года назад

    ❤️❤️❤️❤️

  • @cholesarah332
    @cholesarah332 2 года назад +1

    Your Daughter is so pretty 💜
    Thanks for the recipe

  • @bijouxjuwaisy4680
    @bijouxjuwaisy4680 2 года назад +1

    Maziwa haiwezekani tumia nasfasi ya nazi

  • @user-wx6os9uy8c
    @user-wx6os9uy8c 3 месяца назад

    Nimeipend hiyo

  • @ciekeyslebulu6393
    @ciekeyslebulu6393 2 года назад

    Jaman nataka kujua jinsi ya kuchanganya unga wa mchele wa biashara msaada please 🙏

  • @judicahillary9910
    @judicahillary9910 2 года назад +1

    Dada ameweza aisee ananishinda had mm 😃😀😀

  • @elizabethtr5rrtakonaay413
    @elizabethtr5rrtakonaay413 2 года назад +1

    Eti dada nimejaribu kutengeneza na mm but haziivi kati uji unabaki kati afu nje zimeiva nakosea wapi?
    Ninaacha kwa muda wa dakika 45 nikaona zimefura hadi kumwagika nieleweshe plz

    • @stevejobz4481
      @stevejobz4481 2 года назад

      Unaweka amira nyingi na maji au tui jepesi sana

  • @SunnyAlve
    @SunnyAlve 2 года назад

    listen please?

  • @OmarAhmed-ht2ns
    @OmarAhmed-ht2ns 2 года назад

    Nataka hicho chuma cha kuchomea vitumbua nitakipata vipi? Niko mombasa kenya. Shukran

  • @user-pj7ks7jn5m
    @user-pj7ks7jn5m 5 месяцев назад

    Hatukuona kipimo camcele umepia kikombe gani

  • @reginanguomoja6900
    @reginanguomoja6900 2 года назад +1

    Dada miye kila nikijaribu nashindwa kabisa

    • @asmahtamla4749
      @asmahtamla4749 Год назад

      Kikubwa uckate tamaa pambana utaweza tu rahic my

  • @christinahillary3417
    @christinahillary3417 2 года назад

    Vikombe viwili mbona vimetoka vingi

  • @nasirasalim9622
    @nasirasalim9622 Год назад

    Kwani mnaweka maji kiasi gani

  • @jennymallya4533
    @jennymallya4533 Год назад

    Na hawataki kwely kujeuzika jamani

  • @Odama-dn7xy
    @Odama-dn7xy 2 года назад

    Mbon ujatumia uji wa sembe

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 2 года назад

    Hadi raha kumfundisha mtoto mapishi🥰

  • @mariammaina2141
    @mariammaina2141 2 года назад

    Hiyo pan naeza ipata wapi

    • @ikamalle
      @ikamalle  2 года назад

      Hii niliinunua kwenye duka la vyombo vya mtumba

  • @husnaabdillah4648
    @husnaabdillah4648 2 года назад

    Umetumia mchele gani

  • @handwatchmaro4124
    @handwatchmaro4124 2 года назад

    Unga wa mahindi unawekwaga kwa ajili gani dada. Naona wewe hujaweka na wengine wanaweka

    • @ikamalle
      @ikamalle  2 года назад

      Ni recipe 2 tofauti…..

  • @muuzneally8050
    @muuzneally8050 2 года назад

    Unatumia mchele gn naomba kujua

  • @alesmakasi7805
    @alesmakasi7805 2 года назад +1

    Ni lazima kuweka Nazi!?

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад +1

    Maa shaa Allah