MAPISHI YA VITUMBUA/jifunze kupika Vitumbua na Sisi/ Tanzanian YouTuber
HTML-код
- Опубликовано: 11 янв 2022
- Hellow dears
Hii Video nitakua namuelekeza fau jinsi yakupika Vitumbua… hope utaenjoy kuiangalia na pia utajifunza kitu chochote…
Video ya Kutengeneza Vitumbua:
Instagram @ikamalle
#vitumbu #tanzanianyoutuber #mapishi - Хобби
Welldone. Your daughter is brave and beautiful. I like the idea of using minimal oil. Great job.
Wow mtoto mzuri anapikavutumbua vizuri sana endelea ivo mama kumfundisha .alafu anamfanana sana mdogo wangu mpaka nashindwa kwani ni lipacha wake au ninependa anitafute niongee naye kweli ❤
Your baby gal is so pretty 😁😍with love from Kenya
So cute girl mashallah ❤
Nmependa sana convo zako na mwanao! Nme imagine nikiwa na binti yangu 😄 Allah awatunze 😍
Maa shaa Allah
Hongera Ni vizuri he vyombo kikiwa kipya unafanyaje changu si special
Mansha'Allah mwanao au wa mziwanda bakers😍😍
Mashalla
Habari niblend mchele niliupga sana chengachenga zilibakia na hata ninapouhumua unakata maji maji yanakuwa juu unga unabaki chini na wala hauumuki kabisa tatizo ni nini? Kwa wanaopika uji wao unakuwa mzuri wala haujitengi na maji na unakuwa na povu kiasi ukiweka uji kwenye kikaangia kitumbua ukikigeuza kinageuka vizuri. Je nifanyeje basi kwanzia hatua ya kuandaa mchele kuuloweka , kuusaga na hata kuhumua. Naomba unifahamishe nijue hatua zote hizo . Asante
Dada anajua kazi hongera
Mashallah
Mashallahaa
Mashaallah
Mashacala
Nakupenda bure dada 🥰🥰🥰
Hongera zako dada umekuza bintiyo anaelekea vizuri Sana ktk mapishi na anapenda Big up to you dada
Asante ❤️
Kwa nn mm vyangu vinakuwa kati na tundu au flati aviwi duala ukikibinua
Hodari mwanao kaweza💪💪
Dada anajitahidi sana ❤️ nashukuru sana kwa recipe nzuri 😘
Karibu sanaa
@@ikamalle ikaa umetumia mchele gani dear
❤️❤️❤️❤️
Your Daughter is so pretty 💜
Thanks for the recipe
Your welcomed
Maziwa haiwezekani tumia nasfasi ya nazi
Nimeipend hiyo
Jaman nataka kujua jinsi ya kuchanganya unga wa mchele wa biashara msaada please 🙏
Dada ameweza aisee ananishinda had mm 😃😀😀
😂😂😂
@@ikamalle itabid nikaze buti 😀😀😀
Eti dada nimejaribu kutengeneza na mm but haziivi kati uji unabaki kati afu nje zimeiva nakosea wapi?
Ninaacha kwa muda wa dakika 45 nikaona zimefura hadi kumwagika nieleweshe plz
Unaweka amira nyingi na maji au tui jepesi sana
listen please?
Nataka hicho chuma cha kuchomea vitumbua nitakipata vipi? Niko mombasa kenya. Shukran
Hatukuona kipimo camcele umepia kikombe gani
Dada miye kila nikijaribu nashindwa kabisa
Kikubwa uckate tamaa pambana utaweza tu rahic my
Vikombe viwili mbona vimetoka vingi
Kwani mnaweka maji kiasi gani
Na hawataki kwely kujeuzika jamani
Mbon ujatumia uji wa sembe
Hadi raha kumfundisha mtoto mapishi🥰
Hiyo pan naeza ipata wapi
Hii niliinunua kwenye duka la vyombo vya mtumba
Umetumia mchele gani
Unga wa mahindi unawekwaga kwa ajili gani dada. Naona wewe hujaweka na wengine wanaweka
Ni recipe 2 tofauti…..
Unatumia mchele gn naomba kujua
Wakawaida
Ni lazima kuweka Nazi!?
Sio lazima
Maa shaa Allah