Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Nice recipe dear friendAt look so delicious 👍👍
yummy yummy thank you for sharing this amazing recipe sis
Welcome
Great recipe my host
Dah safi😊😊😊😊
Gosh.....|I wish i could order some. Looks absolutely delicious and very well made. Drooling
Thanks dear will visit you today
Maa shaa Allah zinakaa vizuri tu sanaaaa😋😋😋
Shukran san kipenzi
Maa sha ALLAH
Mashaallah tabarakallah sis.May Allah bless your work❤
Shukran my love penda sana ww😘
Am here againWatching and sending supportLet's goo
Thanks babe
So yummy 😋
Mashallah nice recipe
Shukran sana
Thanks for ur recipe.ntajaribu
Asante kipenzi all the best😘
MashaAllah. Thank u love kwa kushare! Nafaidika sana na recipe zako. BarakaAllah Feek ❤
Am soo Humbled habibty much love kwa genuine support yako😘😘
Vitumbua vizuri sana vinaonekana. Ma Shaa Allah..shkrn kwa recipe yako
karibu sana kipenzi
MashaAllah MashaAllah👌👌👌😋😋😋tamu sana..vitumbua pambe sana
Shukran mpenzi nakuletea🤤
Maa Shaa Allaah
Tabarakallah
Hii pan ndio sasa nataka pia nitengeneze hizi mautamu. I can just imagine how tasty they are 👌👌
Huko lazima nirahisi sis ukiwa nayo utapenda
Mapishi. Mazuri maashaallaah
Shukran mpenzi
Masha allah. Ni vizuri saana Mungo akubariki. In sha alla
Ameen na asante sana love
Following you from fb...thank you
Yeeees thanks babyyy
I love this aki hadija nakuambia umeiva kwa mapishi
Shukran mkaka😘😘
Sio lazima uji?
❤ nimependa sana my
Asante my love
mashaallah mashaallah vitumbua vyanitoa mate😂😂😂
Karibu kipenzi
So delicious.Where can one buy that vitumbua pan?
Yategemea uko wap
Yani hapa nakaa nakula mpak chai iishe kweny chup 😋❤️😋
Hahaha chai itakukoma🤣asante kaka
Mashallah 🥰🥰
Tabarakallah ❤️
Nice 👍
Thanks sana
I like the recipe
Thanks soo much
Mashaalah
Mash allah unaweza kugeuza na tablespoon ni rahis sana badala ya kijiti
InshaAllah mpenzi nitafanya hivyo next time
Asalam aleykum Khadija pliz niambie nitapata wapi Hilo karai la vitumbua
To be continued
MashàAllah
Vzur nimekusoma ✊
Thank youuu
Mashallah vinaonekana vimenonga
Vimenoga balaa mpenzi
My favorite snacks as a child nilipenda kuzinunua sana nimejua jinsi ya kupika
Thanks dear
Vko poa Sana nimeipenda
Asante sana babe
Mashaallah naweza kutumia mchele wa pisholi tupu
pishori best
@@HadijaSheban shukurani san
mchele wa pisholi ndo upi? Long grain au basmati ?
Napenda vitumbua jaman
Kama mimi
Na ni aina gani yamchele unaotumika kupika vitumbua au ni mchele wowote??
Nzur
🤗🤗
😋😋😋😋❤❤👍👍👍✌✌👌👌
MashaAllah please dia kuwa ukituwekea recipe hapo chini kwa description box
InshaAllah love
ہم اس سے گل پانڑہ کہتے ہیں
Masha Allah so yummy May Allah bless you thanks for sharing ❤🎉
Onapika viizuli asanti sana
Karibu sana
Are these cooked on low heat?
Yes
Hii pan naweza pata wapi jamani
Acha nijaribu jamn
Naweza pata namba za simu
Mashaallah yani mpaka mate tanitoka😋
You please have this as an English recipe!?
@@HadijaSheban thank you!
Asalam alyekum Hadija nieleweshe kwa jiko la ges tutawezaje pika naomba nieleweshe nami nipike
Waaleykhm mussalam ndio mpenzi kwa moto mdogo sana
Masha Allah,daa dida sheeba naomba kujua wapi nitapata pan kama hiyo Yako plzzz 🙏
Uko wapi kipenzi
Mimi pia nakihitaji nipo US
Vinavutia sana
Asante baby
Can I just use rice flour ?
instagram.com/reel/CmEQXKXrw4P/?igshid=YmMyMTA2M2Y= tizama hii love
Mashaallah n kama upendi tui unaweza tumia maziwa?
lazima tui
Mbona vinakuwa vigumu please nijibu nakosea wapi?
Where can I find the pan?
Uko wapi?try kuangalia kwa maduka ya vitu vya wholsale
Kwan mbn naonaga wanatia unga wa sembe
Hadija kama huna nazi naweza tumia maziwa au?
Lazima nazi
Salam , would you plz write the recipe here in comments in English
You mean the ingredients?
@@HadijaSheban yes plz
Je nimchele wa aina gan unafaa kupikia vitumbua?
Pishori mpenzi
Asalam aleikum dada mimi nime hama hapa pakistan lakini hakuna nazi fresh naweza kutumia tui wa mkebe ??
Waaleykhm mussalam warahmtullah wabarakatu yes tumia
je hautii unga
Je hunaweza kutengeneza bil nazi
Sijajaribu dear maybe ujaribu na maziwa uniambie ila nazi nunua hata supermarket zile za parket
mbna vyengine ua nivigumu ua wamekosea wap
Mchanganyiko ukiwa mzito huwa hivyo
MashaAllaah yaani vyavutia sana Hiyo pen yako umeinunulia wapi
Mpenzi mimi huwa nauza wewe uko wapi? Nimetoa zanzibar shukran
@@HadijaSheban MashaAllaah khery Mie nipo jermany sizani kama nitakuwa mtaje wako 🥰🥰
@@HadijaSheban Asalam aleikum nahitaji hiyo pan nipo mombasa changamwe
can i use stevia ??
What's that
@@HadijaSheban it like instead of sugar, you can use stevia ( sweetener ) low calorie sugar
Is it not necessary to add an egg?
Yes sio lazima it's optional
Je naweza tumia maziwa
hapana
hai
Nimejaribu kupika vitumbua leo dada hadija havijatoka vizuri kunasehemu sijapatia ila sikati tamaa😅😅👏
Pole love nambie vimetokeaje uje tiktok pia nimeeka video mpya inaeza kusaidia
Itakuwa unga umefanya mwepec
nchi hizi vitumbua vinagoma hata ukifuata Recipe
Kuweka maji adi tui
Started following you recently nina swali waeza tumia maziwa ama n lazima tui la nazi
lazima tui la nazi
@@HadijaSheban thanks for the reply❤
What is hamira in English, please?
Yeast
Ni lazima kutumia tui la nazi ?
Kulingana na hii recipe ndio ila wengine wanatumia maziwa jaribu uje uniambie vimekuaje
Baada ya kuchanganya kila kitu....unga utauuacha uomoke kwa mda gani
Mpaka uonoke
Hbr kama ni vya biashara naweza kupika mda gan maan nataman kuamka mapema maan nawahi kazini
vya biashara hivi unaeza kusaga usiku sanne kabla ulale hamira upunguze kidogo alafu funika lala ukiamka vishaumuka ila unatakiwa mchele uwe umeusoak tangu asubui
Samahani umepimia kikombe gani kupimia mchele?
Tumia kikombe chochote tu darling bora tui utumie kikombe hicho hicho hata glass sawa
ulizo je unaweza changa unga wangano kwenye muchangano huyu?
hapana mi sichanganyi
Mimi vyangu vilitoka Kama vinanata ndani Pia laini sijui nilikosea wapi
Havijaiva basi moto ulikua mkali sana
Jiko gani imetimia?
Gas
Tafadhali maelekezo kwa kutumiya jiko la umeme
Kwakwel sijawai kutumia jiko la umeme
Kama hauna nazi utafanyaje
Lazima nazi nikama mkate wa sinia jaribu na maziwa utupe results ila sijawahi fanya
Je naweza pika kwa jiko lolote au ni la stima tu
langu sio la stima ila hata mkaa unaeza bora uwe makini na moto usiwe mwingi
Mchele gani unatumia
Nimetumia pishori unaeza tumia wowote
Unatumia Michele upi kitumbo, VIP, au Michele wa kawaida??
Pishori dear
Asalam aleykum kipenz hadija shaban
Waalykhm msalam mpenzi shukran sana kwakuja 😘😘😘
Mbona vitumbua vinakua ngumu
Je unaweza tumiya jiko la umeme
Sijawai tumia
Kama sina nazi je nafanyaje
lazima nazi
ila pamoja na yote dear chennga azitaisha kbisa? c ndio au
Aziezi isha mpenzi inafaa kua smooth tu ila bado hubaki
Haziishi kweli lkn kusaga kwa machine ndio huwa lainiii
okey dear
Nice recipe dear friend
At look so delicious 👍👍
yummy yummy thank you for sharing this amazing recipe sis
Welcome
Great recipe my host
Dah safi😊😊😊😊
Gosh.....|I wish i could order some. Looks absolutely delicious and very well made. Drooling
Thanks dear will visit you today
Maa shaa Allah zinakaa vizuri tu sanaaaa😋😋😋
Shukran san kipenzi
Maa sha ALLAH
Mashaallah tabarakallah sis.May Allah bless your work❤
Shukran my love penda sana ww😘
Am here again
Watching and sending support
Let's goo
Thanks babe
So yummy 😋
Mashallah nice recipe
Shukran sana
Thanks for ur recipe.ntajaribu
Asante kipenzi all the best😘
MashaAllah. Thank u love kwa kushare! Nafaidika sana na recipe zako. BarakaAllah Feek ❤
Am soo Humbled habibty much love kwa genuine support yako😘😘
Vitumbua vizuri sana vinaonekana. Ma Shaa Allah..shkrn kwa recipe yako
karibu sana kipenzi
MashaAllah MashaAllah👌👌👌😋😋😋tamu sana..vitumbua pambe sana
Shukran mpenzi nakuletea🤤
Maa Shaa Allaah
Tabarakallah
Hii pan ndio sasa nataka pia nitengeneze hizi mautamu. I can just imagine how tasty they are 👌👌
Huko lazima nirahisi sis ukiwa nayo utapenda
Mapishi. Mazuri maashaallaah
Shukran mpenzi
Masha allah. Ni vizuri saana Mungo akubariki. In sha alla
Ameen na asante sana love
Following you from fb...thank you
Yeeees thanks babyyy
I love this aki hadija nakuambia umeiva kwa mapishi
Shukran mkaka😘😘
Sio lazima uji?
❤ nimependa sana my
Asante my love
mashaallah mashaallah vitumbua vyanitoa mate
😂😂😂
Karibu kipenzi
So delicious.Where can one buy that vitumbua pan?
Yategemea uko wap
Yani hapa nakaa nakula mpak chai iishe kweny chup 😋❤️😋
Hahaha chai itakukoma🤣asante kaka
Mashallah 🥰🥰
Tabarakallah ❤️
Nice 👍
Thanks sana
I like the recipe
Thanks soo much
Mashaalah
Tabarakallah
Mash allah unaweza kugeuza na tablespoon ni rahis sana badala ya kijiti
InshaAllah mpenzi nitafanya hivyo next time
Asalam aleykum Khadija pliz niambie nitapata wapi Hilo karai la vitumbua
To be continued
MashàAllah
Tabarakallah
Vzur nimekusoma ✊
Thank youuu
Mashallah vinaonekana vimenonga
Vimenoga balaa mpenzi
My favorite snacks as a child nilipenda kuzinunua sana nimejua jinsi ya kupika
Thanks dear
Vko poa Sana nimeipenda
Asante sana babe
Mashaallah naweza kutumia mchele wa pisholi tupu
pishori best
@@HadijaSheban shukurani san
mchele wa pisholi ndo upi? Long grain au basmati ?
Napenda vitumbua jaman
Kama mimi
Na ni aina gani yamchele unaotumika kupika vitumbua au ni mchele wowote??
Nzur
🤗🤗
😋😋😋😋❤❤👍👍👍✌✌👌👌
MashaAllah please dia kuwa ukituwekea recipe hapo chini kwa description box
InshaAllah love
ہم اس سے گل پانڑہ کہتے ہیں
Masha Allah so yummy May Allah bless you thanks for sharing ❤🎉
Onapika viizuli asanti sana
Karibu sana
Are these cooked on low heat?
Yes
Hii pan naweza pata wapi jamani
Acha nijaribu jamn
Naweza pata namba za simu
Mashaallah yani mpaka mate tanitoka😋
You please have this as an English recipe!?
@@HadijaSheban thank you!
Asalam alyekum Hadija nieleweshe kwa jiko la ges tutawezaje pika naomba nieleweshe nami nipike
Waaleykhm mussalam ndio mpenzi kwa moto mdogo sana
Masha Allah,daa dida sheeba naomba kujua wapi nitapata pan kama hiyo Yako plzzz 🙏
Uko wapi kipenzi
Mimi pia nakihitaji nipo US
Vinavutia sana
Asante baby
Can I just use rice flour ?
instagram.com/reel/CmEQXKXrw4P/?igshid=YmMyMTA2M2Y= tizama hii love
Mashaallah n kama upendi tui unaweza tumia maziwa?
lazima tui
Mbona vinakuwa vigumu please nijibu nakosea wapi?
Where can I find the pan?
Uko wapi?try kuangalia kwa maduka ya vitu vya wholsale
Kwan mbn naonaga wanatia unga wa sembe
Hadija kama huna nazi naweza tumia maziwa au?
Lazima nazi
Salam , would you plz write the recipe here in comments in English
You mean the ingredients?
@@HadijaSheban yes plz
Je nimchele wa aina gan unafaa kupikia vitumbua?
Pishori mpenzi
Asalam aleikum dada mimi nime hama hapa pakistan lakini hakuna nazi fresh naweza kutumia tui wa mkebe ??
Waaleykhm mussalam warahmtullah wabarakatu yes tumia
je hautii unga
Je hunaweza kutengeneza bil nazi
Sijajaribu dear maybe ujaribu na maziwa uniambie ila nazi nunua hata supermarket zile za parket
mbna vyengine ua nivigumu ua wamekosea wap
Mchanganyiko ukiwa mzito huwa hivyo
MashaAllaah yaani vyavutia sana
Hiyo pen yako umeinunulia wapi
Mpenzi mimi huwa nauza wewe uko wapi? Nimetoa zanzibar shukran
@@HadijaSheban MashaAllaah khery Mie nipo jermany sizani kama nitakuwa mtaje wako 🥰🥰
@@HadijaSheban Asalam aleikum nahitaji hiyo pan nipo mombasa changamwe
can i use stevia ??
What's that
@@HadijaSheban it like instead of sugar, you can use stevia ( sweetener ) low calorie sugar
Is it not necessary to add an egg?
Yes sio lazima it's optional
Je naweza tumia maziwa
hapana
hai
Nimejaribu kupika vitumbua leo dada hadija havijatoka vizuri kunasehemu sijapatia ila sikati tamaa😅😅👏
Pole love nambie vimetokeaje uje tiktok pia nimeeka video mpya inaeza kusaidia
Itakuwa unga umefanya mwepec
nchi hizi vitumbua vinagoma hata ukifuata Recipe
Kuweka maji adi tui
Started following you recently nina swali waeza tumia maziwa ama n lazima tui la nazi
lazima tui la nazi
@@HadijaSheban thanks for the reply❤
What is hamira in English, please?
Yeast
Ni lazima kutumia tui la nazi ?
Kulingana na hii recipe ndio ila wengine wanatumia maziwa jaribu uje uniambie vimekuaje
Baada ya kuchanganya kila kitu....unga utauuacha uomoke kwa mda gani
Mpaka uonoke
Hbr kama ni vya biashara naweza kupika mda gan maan nataman kuamka mapema maan nawahi kazini
vya biashara hivi unaeza kusaga usiku sanne kabla ulale hamira upunguze kidogo alafu funika lala ukiamka vishaumuka ila unatakiwa mchele uwe umeusoak tangu asubui
Samahani umepimia kikombe gani kupimia mchele?
Tumia kikombe chochote tu darling bora tui utumie kikombe hicho hicho hata glass sawa
ulizo je unaweza changa unga wangano kwenye muchangano huyu?
hapana mi sichanganyi
Mimi vyangu vilitoka Kama vinanata ndani Pia laini sijui nilikosea wapi
Havijaiva basi moto ulikua mkali sana
Jiko gani imetimia?
Gas
Tafadhali maelekezo kwa kutumiya jiko la umeme
Kwakwel sijawai kutumia jiko la umeme
Kama hauna nazi utafanyaje
Lazima nazi nikama mkate wa sinia jaribu na maziwa utupe results ila sijawahi fanya
Je naweza pika kwa jiko lolote au ni la stima tu
langu sio la stima ila hata mkaa unaeza bora uwe makini na moto usiwe mwingi
Mchele gani unatumia
Nimetumia pishori unaeza tumia wowote
Unatumia Michele upi kitumbo, VIP, au Michele wa kawaida??
Pishori dear
Asalam aleykum kipenz hadija shaban
Waalykhm msalam mpenzi shukran sana kwakuja 😘😘😘
Waalykhm msalam mpenzi shukran sana kwakuja 😘😘😘
Mbona vitumbua vinakua ngumu
Je unaweza tumiya jiko la umeme
Sijawai tumia
Kama sina nazi je nafanyaje
lazima nazi
ila pamoja na yote dear chennga azitaisha kbisa? c ndio au
Aziezi isha mpenzi inafaa kua smooth tu ila bado hubaki
Haziishi kweli lkn kusaga kwa machine ndio huwa lainiii
Great recipe my host
Je unaweza tumiya jiko la umeme
Maa sha ALLAH
Acha nijaribu jamn
okey dear