JIFUNZE KUPIKA VISHETI VYA SUKARI LAINI NA VITAMU BALAAH

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 85

  • @PishiLetu
    @PishiLetu  9 месяцев назад +3

    JE UNATAKA KUPIKA NASI WASILIANA NASI (0765-92 64 58)

  • @NuruNuru-z6b
    @NuruNuru-z6b 6 месяцев назад

    Mashaallah hiki kipindi cha mapishi lakin tukizungumzia maisha yake mm na ww pia tunapata kujifunza alimopitia na kujua,asant dada kwa mapishi❤

  • @HadijaOssodo
    @HadijaOssodo 10 месяцев назад +1

    Allah akulipe umeniongezea kitu Kuhusu kutokuchemsha siag maana ni kweli vinakatika kwenye shila❤🙏

  • @LukiaMuhamed
    @LukiaMuhamed 10 месяцев назад +5

    Munaongea sana, punguza maneno na huzingatie kupika

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 10 месяцев назад +2

    Mashallah kazi za ndani uarabuni zimekusaidia kujifunza Mapishi ❤❤

  • @SuadSalim-om3ig
    @SuadSalim-om3ig 10 месяцев назад +1

    Mashallah Mashallah ❤❤❤

  • @MalkiaRashid
    @MalkiaRashid 10 месяцев назад

    Mashallah hongera sana

  • @Leo-g8u8c
    @Leo-g8u8c 9 месяцев назад +2

    sukari sjaelew ulivotia👌

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva 10 месяцев назад

    Mashallah shukrani tumepata mengi ❤

  • @LaurentyRoman-zc9pz
    @LaurentyRoman-zc9pz 8 месяцев назад

    Nimeenda naomba unielekeze vizuri besti.

  • @salma0000
    @salma0000 3 месяца назад

    Ni Shira sio "shila". Asante kwa mapishi

  • @adijashaban4793
    @adijashaban4793 10 месяцев назад +1

    ManshaAllah shukran uyu dada anafanana na Layla

  • @BernadethaSheni
    @BernadethaSheni 7 месяцев назад

    Nitakutafuta my dear

  • @Swaabeeryna
    @Swaabeeryna 9 месяцев назад +2

    Shila😂
    Siagi na Samli ni vitu viwili tofauti

  • @مريمزكواني
    @مريمزكواني 10 месяцев назад

    Mashallah Tabaraka Lwah ❤️

  • @zenjibar64
    @zenjibar64 10 месяцев назад +4

    Siz. Pls jitahidi nguo. Yako mikono ikunje kidogo .

  • @agnessahia415
    @agnessahia415 7 месяцев назад

    Napenda visheti mno dada samahani naomba kujua ukiweka yai je vinakaa mda Gani bila kuharibika

  • @nasrasheikh1020
    @nasrasheikh1020 10 месяцев назад

    Upishi wa visheti, nimependa masha a Allah, ila ingependeza zaidi vikaliwa na kahawa

  • @upendogerlad594
    @upendogerlad594 10 месяцев назад +2

    Na kg1 ngano, siagi robo ni nyingi. Inapunguzwa kdg.

  • @monicaisuja8917
    @monicaisuja8917 9 месяцев назад

    Asante mi itaniongezea kipato

  • @Marrymolel-ou3zu
    @Marrymolel-ou3zu 8 месяцев назад

    Asante sana

  • @patriciaissa6598
    @patriciaissa6598 10 месяцев назад

    Hongera Sana

  • @tasnimmaka9747
    @tasnimmaka9747 9 месяцев назад

    Asante sana hapo kwa baking likua sijui mimi likua naeka sasa nimejua

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 10 месяцев назад

    Miaka 5 watoto 5 😮mashallah mpemba wa dar

  • @EasterAlexander-w6j
    @EasterAlexander-w6j 9 месяцев назад +2

    Kwakweli maongezi nimengi kuliko vitendo

  • @MzeeAhmad
    @MzeeAhmad 9 месяцев назад +1

    Kanaongea sn Acha wenye ujuzi waongeye ayo yakuliza watoto ayatuhusu

  • @AzahIssere-up1ts
    @AzahIssere-up1ts 10 месяцев назад

    Manshallah madam brembo

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 9 месяцев назад +1

    Mapish au maisha ya mpishi duuh too funny

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft 10 месяцев назад +18

    Mm mtu ananikwaza akianza kusema meme 😡 kwan kula vishet lazm umpikie mume? Mm napika na nakula na wanangu uku tunachek move ni safi sana ❤

  • @selenezekiel3497
    @selenezekiel3497 9 месяцев назад +1

    Aiseee mnaongea mpaka mnakera mmmmh

  • @JescaDominic
    @JescaDominic 8 месяцев назад

    Mnaongea sana kuliko kufany tunachoangalia bwana

  • @khadijaabdallah1402
    @khadijaabdallah1402 9 месяцев назад +3

    Pishi zuri ila zingatia kuvaa nguo ya mikonomifupi unapokuwa unapika kuzingatia usafi.

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 9 месяцев назад +1

    💖

  • @brembotravel8465
    @brembotravel8465 10 месяцев назад

    Safiii sanaa.💥💥💥 good job 👍🫶

  • @aminakidunda3263
    @aminakidunda3263 10 месяцев назад +1

    Huweki hamira ama magad soda

  • @EverTarimo-f4r
    @EverTarimo-f4r 4 месяца назад

    😂mwandishi hujui unachofanya unauliza maswali tofaut na kipindi hayo mahojiano au mapishi

  • @marymwapiya1274
    @marymwapiya1274 10 месяцев назад

    Asante sana

  • @JescaDominic
    @JescaDominic 8 месяцев назад

    Acha kuongea fany a ukichiambiw Yanmhhhhhh 😢 mnaboa sana hmfai

  • @bas2823
    @bas2823 9 месяцев назад +1

    VISHETI VINALIWA NA KAHAWA SIKU ZA EID NA SIKU ZOZOTE ZELE PIA UNAWEZA KULA KWA CHAI UKITAKA PIA! LAKINI CHAI INA SUKARI NA VISHETI VINA NA SUKARI PIA! LAKINI KWA KAHAWA NI UZURI ZAIDI👌"

  • @MariamMohamed-wo3vi
    @MariamMohamed-wo3vi 9 месяцев назад

    Thanks

  • @salma0000
    @salma0000 3 месяца назад

    Miaka 6 ya ndoa imeondoa R zako zote😂

  • @mackrinajulius
    @mackrinajulius 10 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @upendogerlad594
    @upendogerlad594 10 месяцев назад

    Siagi ya visheti inayeyushwaa.

  • @umratmasoud8916
    @umratmasoud8916 10 месяцев назад

    Dada brembo maashallah... Dada asnath💜💜💜💜

  • @esthercharles5945
    @esthercharles5945 9 месяцев назад

    Mgonjwa tupu sukari sukari,chemsha muhigo magimbi kunywea chai

  • @mwanahawaamir8197
    @mwanahawaamir8197 10 месяцев назад

  • @meowzna
    @meowzna 10 месяцев назад

    🙏👍😋

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 10 месяцев назад +1

    Sor sijaelewa, ivo visheti hujaweka baking soda wala baking powder?

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 10 месяцев назад

      Baking powder unaweka.

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 10 месяцев назад +1

      @@RitbayRitbay sawa na baking soda hauweki ?

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 10 месяцев назад

      @@ashurajengela3926 huweki

  • @bas2823
    @bas2823 9 месяцев назад

    VISHETI LIWA SIKU ZA EID SIO MWEZI WA RAMADHAN! VINALIWA AS A TAQADUM NA KAHAWA SIO TEA SHAI) TEA) CHAI) ALWAYS VISHETI HULIWA KWA KAHAWA👌 VISHETI VINALIWA KILA SIKU SIO LAZIMA IWE EID" NI KAMA TAQADUMU KWA KAHAWA VINALIWA NA SIO CHAI! LAKINI UKITAKA CHAI UNALIA PIA!

  • @AtienookothSelinaokoth
    @AtienookothSelinaokoth 9 месяцев назад

    Sasa tusikue mazungumzo au?

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 10 месяцев назад

    Visheti kwa kahawa

  • @MuuAisary
    @MuuAisary 10 месяцев назад +2

    Umetumia maji moto au baridi

  • @AgnesMwendamseke
    @AgnesMwendamseke 10 месяцев назад +1

    Tuambie umetumia maji yamoto au baridi,lkn pia umetumia baking powder?

  • @aishaalmukhiani789
    @aishaalmukhiani789 10 месяцев назад

    Shila 😂

  • @HfvJfv-zf2dt
    @HfvJfv-zf2dt 10 месяцев назад

    MashaAllah kazi mzuri lakin kunja nguo yako

  • @KeziaKitina
    @KeziaKitina 8 месяцев назад

    Nauliza ukitia mayai haviharibiki kwa haraka

  • @salmaelhinai833
    @salmaelhinai833 10 месяцев назад +1

    Mbona visheti na juice havi endani kabisa visheti mwenziwe ni kahawa

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 10 месяцев назад +1

      Haswaaa na Siku ya Eid ndio Vinaliwa Na Sio Mwezi wa RAMADHANI 😢... Visheti mwezio Kahawa

    • @asilahassan9965
      @asilahassan9965 10 месяцев назад

      Hmn kila mtu na mapendekezo yake vpnz

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 10 месяцев назад +1

      @@asilahassan9965 Yaani Anasemea kuwa visheti mwenzake Kahawa Habibty

    • @aromaofzanzibar
      @aromaofzanzibar 10 месяцев назад +3

      Kweli haviendi na juice muhimu kujua uhalisia wa vyakula

    • @shamymtanda1656
      @shamymtanda1656 9 месяцев назад

      Siyo Kila mtu anakunywa kahawa

  • @zawadiissa8274
    @zawadiissa8274 10 месяцев назад

    Sukari muka weka vipi ndani ya Visheti?

  • @esthercharles5945
    @esthercharles5945 9 месяцев назад

    Hadi nguo inaingia kwa bakuki la ngano

  • @patriciaissa6598
    @patriciaissa6598 10 месяцев назад

    Samahani kilo unauzaje

  • @najmanuru2021
    @najmanuru2021 9 месяцев назад

    Hiki ni kipindi cha maisha ya mtu sio mapishi 😂😂 yan watu wamejaa kwa comment hawajaelewa kipi kaeka wapi kiasi gani maana umebase kumuliza maswali kuhusu maisha yake than what she is preparing

  • @brembotravel8465
    @brembotravel8465 10 месяцев назад

    Nimependa usafi na mpangilio nzurii wa Kila kitu

  • @nasranakudwali1083
    @nasranakudwali1083 10 месяцев назад

    Hiki kipindi huwa kinaonyweshwa siku gani kwa wenye azam

    • @PishiLetu
      @PishiLetu  10 месяцев назад

      Kila siku ya Jumatano Saa 11 Jioni, Jehova Jire Tv. Kingamuzi cha Azam kwenye Other Channel Namba 006

  • @EligiaMligo
    @EligiaMligo 9 месяцев назад

    Mbadala wa siagi

  • @MaryKazungu-id2oo
    @MaryKazungu-id2oo 9 месяцев назад

    Too much talking mnaboesha

  • @minniegomal
    @minniegomal 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @bakemaummy374
    @bakemaummy374 10 месяцев назад