jinsi ya kupika vitumbua vya biyashara kwa urahisi|how to cook ricepancake recipe.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 фев 2022

Комментарии • 62

  • @ElynessKaunja-lq4em
    @ElynessKaunja-lq4em 2 месяца назад +1

    Ahsante Sana! Nmependaa💯

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid8200 Год назад +2

    Ahlam mziki inatuumiza vichwa lakini mapishi mazuri sana Masha Allah 🎉❤😊

  • @HadijaSheban
    @HadijaSheban Год назад +1

    MashaaAllah

  • @nellahpeter1235
    @nellahpeter1235 23 дня назад

    Hello...mbona vyangu nikipika ngozi inakuwa laini?badala ya kuwa kavu?

  • @erikahastie773
    @erikahastie773 Год назад +1

    Where to get a pan for vitumbua like that here in Kenya

  • @fatmakhalef3450
    @fatmakhalef3450 2 года назад

    Mashaa Allah. Kabila gani la basmati rice unatumia . (Brand ipi) thanks

  • @sirielohizza188
    @sirielohizza188 Год назад +2

    Jamn my dear naomba kujua kilo inatoa vitumbua vingp

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  Год назад

      Ooh mpenzi 1kg ya mchele inatoa vitumbua kama 30 naa lakini inategemea na ujazo wako utakavyo weka kwenye hivyo viduwara vyako lakini kilo moja unatoa vingi kiyasi hebu jaribu☺️

  • @rzqy7521
    @rzqy7521 2 года назад +3

    Mashaaalah mchele ambao sio basmat haufai?

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  2 года назад +1

      Sina uhakika mpenzi mimi kiupande wangu tokea nianze pishi hili nimeanza na basmati tu tena sio kila basmati ziko nyengine hazifai kwa vitumbua.

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 Год назад

      @@ahlamverynice.3605 shukran na kama basmati ni yaina gani maana basmati zipo nyingi

  • @sabrinashabani507
    @sabrinashabani507 2 года назад

    Mashallah pambe ntajaribu in shaa allah

  • @iyobosaigodan6008
    @iyobosaigodan6008 2 года назад +1

    Mom zo leker

  • @rithaalberto7521
    @rithaalberto7521 2 года назад +2

    Hey, nimependa sana mapishi yako, sasa vitumbua kama hivyo niuzaje?

  • @Binti1801
    @Binti1801 Год назад +1

    Asante, nina swali, kwanini unaweka sukari baada ya kusagika unga? Na pia kama naona uji ni mzito baada ya kuumuka naweza kuweka maji kidogo ili uwe mwepesi? Asante sana

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  Год назад +1

      Okay naweka sukari baada ya kusagika kwa sababu sukari nyepesi kuliko mchele halafu jengine sukari inakawaida ya kuunguza blenda sasa hakuna tatizo kuweka mwanzo ama baada niwewe mwenyewe tu utakavyo urahisi wako
      Na jengine unaweza ndio kuongeza maji lakini kama uko na tui la nazi itapendeza zaidi ok naimani nimekujibu vizuri swali lako mpenzi Asante kwa kuniuliza.

  • @user-ff1hl1ev7k
    @user-ff1hl1ev7k 8 месяцев назад +2

    M naomba kuuliza ivi unaweza kusaga kila kitu usiku alaf asubuhi ukachoma tu

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  7 месяцев назад

      Kiukweli sijawahi kujaribu hivyo unavyo sema lakini kama unataka kujaribu sio mbaya ispokua usiweke hamira uje uiweke asubuhi then uwisubirie uumuke ndio uchome ukiweka kabisa hiyo usiku mchanganyiko wako utakua mkali na havitakuwa vizuri vitumbua Vyako ok karibu tena. 🙏🏼

  • @danielanyika488
    @danielanyika488 Год назад +2

    Mchele unalowekwa kwa muda gani????

  • @saidothmansleiman6322
    @saidothmansleiman6322 2 года назад +1

    Mhh

  • @evelinasabini4905
    @evelinasabini4905 26 дней назад +1

    Auwezi kutumia maji badala ya nazi

  • @emmychristopherndelwa1683
    @emmychristopherndelwa1683 2 года назад +1

    Naomba uwe unatuwekea vipimo kamili kwa vikombe na kwa grams

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  2 года назад

      ok sawa lakini hii ipo simply saana haina vikome nigilasi 2 tu za sukari na nimeweka lakini usjali ntajitahidi inshallah 🙏🏼 💖

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +1

    Tunaomba maelekezo ya vipimo asante sana

  • @user-rb2ot8py5f
    @user-rb2ot8py5f 3 месяца назад +1

    Kwa nn hiko cha katikati hukitumii

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  3 месяца назад

      Kwasababu kinawahi kuchomek kwa haraka saana ukiwa na jiko kama hili langu lakini muda mwengine huwa nakitumia

  • @hajraabdallah2018
    @hajraabdallah2018 2 года назад +1

    kwanini unaweka sukari baada ya kusagika?

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  2 года назад

      Kwa sababu sukari ukiweka mwanzoni uzito unakuwa mwingi kwenye kusaga kwavile sukari nyepesi kusagika haina neno kuweka mwisho ok kwa mimi naona hivyo bora na rahisi pia Asante 🙏🏼

  • @ShaibuMlewa-rk2rc
    @ShaibuMlewa-rk2rc Год назад +2

    Sukari umeweka Aina gani Ile nyeupe ya viwandani au

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  7 месяцев назад

      Kawaida sisi huku nilipo sukari yetu tunayo tumiya ni sukari nyeupe sasa sijajuwa kama ni ya viwandani au vipi? Karibu. 🙏🏼

  • @pelagiaweiss2206
    @pelagiaweiss2206 8 месяцев назад +2

    Kama hutaki watu wajifunze basi usionyeshe maana uweki hata vipimo na maswali haujibu

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  7 месяцев назад

      My dear samahani ukiangalia kwa makini hizi video zangu zote nimejitahidi kuelezea vizuri na kuwaandikia maelezo na vipimo vyake sasa sijuwi tatizo lako liko wapi au tatizo langu mimi irudie video kwa umakini utaona vipimo mwanzo wa video huwa naweka vipimo vyote ok. 🙏🏼

  • @Robloxisgoatedfr
    @Robloxisgoatedfr Год назад

    So you're the mom of walid?

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +2

    Habari samahani naomba kukuuliza kilo moja ya mchele hamira itakuwa kiasi gani kama ni ile ya vipakiti ?Na tui kiasi gani,je yai hufanya vitumbua viwe laini ni kweli ?asante sana

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  7 месяцев назад

      Okay, bila samahani 1kg ya mchele una weka vipakti 2 vya hamira na tuwi utaweka 1L lisiwe zito saana na kuhusu yai kwenye vitumbua sio lazima cha muhimu mchanganyiko wako usage vivuri na vitumbua vyako ukisha choma vihifadhi vizuri lakini ukipenda kuweka sio mbaya utaongeza ladha na kuboresha zaidi nimekujibu hivi kwa sababu usijiwekee kwenye akili yako huwezi pika vitumbua mpaka uwe na yai no hapana ukiweka sawa usiweke ni sawa vitumbua vinatoka tena vizuri tu ok karibu saana. 🙏🏼

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 7 месяцев назад

      @@ahlamverynice.3605 Asante sana ubarikiwe 🙏

    • @dynamic6689
      @dynamic6689 5 месяцев назад +1

      ​@@ahlamverynice.3605samahani kama kilo 1 ya mchele ni Lita 1 ya tui la nazi, mbona kwenye vidio umeweka Lita 1 kwenye kilo 2 za mchele?

  • @abdallaabdalla7026
    @abdallaabdalla7026 2 года назад +3

    Ukitumia mchele wa basmati kupika mkate wa mchele hauna shida

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  2 года назад

      Hauna shida ndio lakini sio kila basmati kuna basmati zile zisizo mafuta ndio nzuri kwa vitumbua au mkate.

    • @Binti1801
      @Binti1801 Год назад

      Samahani, basmati zisiso na mafuta ndio zipi please? Asante

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605  Год назад

      Ukienda dukani kuna michele mingi saana na aina tofauti sasa kwa mchele wa mapishi haya unahitaji mchele wenye vumbi vumbi jeupe yani sio ile yakuteleza ata kama sio basmat lakini uhakikishe mchele unao tumiya usiwe wakuteleza wala ule wakunukiya ile ndio inamafuta ok nazani utakuwa umenielewa karibu saana 😊🙏

  • @salmahamza4344
    @salmahamza4344 Год назад +1

    Vipi kama huna Nazi wafanyaje

  • @cherrydabosslady
    @cherrydabosslady 2 года назад

    Basmati una ladha kweli 🙄

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Год назад +1

    Mbona hukuweka vipimo?

  • @cherrydabosslady
    @cherrydabosslady 2 года назад +1

    Mchele umeuloweka kwa muda gani ?