Ooh mpenzi 1kg ya mchele inatoa vitumbua kama 30 naa lakini inategemea na ujazo wako utakavyo weka kwenye hivyo viduwara vyako lakini kilo moja unatoa vingi kiyasi hebu jaribu☺️
Asante, nina swali, kwanini unaweka sukari baada ya kusagika unga? Na pia kama naona uji ni mzito baada ya kuumuka naweza kuweka maji kidogo ili uwe mwepesi? Asante sana
Okay naweka sukari baada ya kusagika kwa sababu sukari nyepesi kuliko mchele halafu jengine sukari inakawaida ya kuunguza blenda sasa hakuna tatizo kuweka mwanzo ama baada niwewe mwenyewe tu utakavyo urahisi wako Na jengine unaweza ndio kuongeza maji lakini kama uko na tui la nazi itapendeza zaidi ok naimani nimekujibu vizuri swali lako mpenzi Asante kwa kuniuliza.
Kiukweli sijawahi kujaribu hivyo unavyo sema lakini kama unataka kujaribu sio mbaya ispokua usiweke hamira uje uiweke asubuhi then uwisubirie uumuke ndio uchome ukiweka kabisa hiyo usiku mchanganyiko wako utakua mkali na havitakuwa vizuri vitumbua Vyako ok karibu tena. 🙏🏼
Kwa sababu sukari ukiweka mwanzoni uzito unakuwa mwingi kwenye kusaga kwavile sukari nyepesi kusagika haina neno kuweka mwisho ok kwa mimi naona hivyo bora na rahisi pia Asante 🙏🏼
My dear samahani ukiangalia kwa makini hizi video zangu zote nimejitahidi kuelezea vizuri na kuwaandikia maelezo na vipimo vyake sasa sijuwi tatizo lako liko wapi au tatizo langu mimi irudie video kwa umakini utaona vipimo mwanzo wa video huwa naweka vipimo vyote ok. 🙏🏼
Habari samahani naomba kukuuliza kilo moja ya mchele hamira itakuwa kiasi gani kama ni ile ya vipakiti ?Na tui kiasi gani,je yai hufanya vitumbua viwe laini ni kweli ?asante sana
Okay, bila samahani 1kg ya mchele una weka vipakti 2 vya hamira na tuwi utaweka 1L lisiwe zito saana na kuhusu yai kwenye vitumbua sio lazima cha muhimu mchanganyiko wako usage vivuri na vitumbua vyako ukisha choma vihifadhi vizuri lakini ukipenda kuweka sio mbaya utaongeza ladha na kuboresha zaidi nimekujibu hivi kwa sababu usijiwekee kwenye akili yako huwezi pika vitumbua mpaka uwe na yai no hapana ukiweka sawa usiweke ni sawa vitumbua vinatoka tena vizuri tu ok karibu saana. 🙏🏼
Ukienda dukani kuna michele mingi saana na aina tofauti sasa kwa mchele wa mapishi haya unahitaji mchele wenye vumbi vumbi jeupe yani sio ile yakuteleza ata kama sio basmat lakini uhakikishe mchele unao tumiya usiwe wakuteleza wala ule wakunukiya ile ndio inamafuta ok nazani utakuwa umenielewa karibu saana 😊🙏
Ahsante Sana! Nmependaa💯
Ur welcome dear 😊
Ahlam mziki inatuumiza vichwa lakini mapishi mazuri sana Masha Allah 🎉❤😊
Ooh pole asantee pia
MashaaAllah
Asantee mpenzi 😍😍
Hello...mbona vyangu nikipika ngozi inakuwa laini?badala ya kuwa kavu?
Where to get a pan for vitumbua like that here in Kenya
Mashaa Allah. Kabila gani la basmati rice unatumia . (Brand ipi) thanks
kabila la Tailand umeandikwa TAI kwa ufupi.
Jamn my dear naomba kujua kilo inatoa vitumbua vingp
Ooh mpenzi 1kg ya mchele inatoa vitumbua kama 30 naa lakini inategemea na ujazo wako utakavyo weka kwenye hivyo viduwara vyako lakini kilo moja unatoa vingi kiyasi hebu jaribu☺️
Mashaaalah mchele ambao sio basmat haufai?
Sina uhakika mpenzi mimi kiupande wangu tokea nianze pishi hili nimeanza na basmati tu tena sio kila basmati ziko nyengine hazifai kwa vitumbua.
@@ahlamverynice.3605 shukran na kama basmati ni yaina gani maana basmati zipo nyingi
Mashallah pambe ntajaribu in shaa allah
inshallah Asante saana 🙏🏼🥰
Mom zo leker
Ja, dankjewel 🥰
Hey, nimependa sana mapishi yako, sasa vitumbua kama hivyo niuzaje?
Inategemea na ulipo mpenzi Asante saana pia 🙏🏼
Asante, nina swali, kwanini unaweka sukari baada ya kusagika unga? Na pia kama naona uji ni mzito baada ya kuumuka naweza kuweka maji kidogo ili uwe mwepesi? Asante sana
Okay naweka sukari baada ya kusagika kwa sababu sukari nyepesi kuliko mchele halafu jengine sukari inakawaida ya kuunguza blenda sasa hakuna tatizo kuweka mwanzo ama baada niwewe mwenyewe tu utakavyo urahisi wako
Na jengine unaweza ndio kuongeza maji lakini kama uko na tui la nazi itapendeza zaidi ok naimani nimekujibu vizuri swali lako mpenzi Asante kwa kuniuliza.
M naomba kuuliza ivi unaweza kusaga kila kitu usiku alaf asubuhi ukachoma tu
Kiukweli sijawahi kujaribu hivyo unavyo sema lakini kama unataka kujaribu sio mbaya ispokua usiweke hamira uje uiweke asubuhi then uwisubirie uumuke ndio uchome ukiweka kabisa hiyo usiku mchanganyiko wako utakua mkali na havitakuwa vizuri vitumbua Vyako ok karibu tena. 🙏🏼
Mchele unalowekwa kwa muda gani????
Masaa 6 au usiku kucha siku ya pili unausaga.
Mhh
Yummy 😋
Auwezi kutumia maji badala ya nazi
Kwa mimi siwezi
Naomba uwe unatuwekea vipimo kamili kwa vikombe na kwa grams
ok sawa lakini hii ipo simply saana haina vikome nigilasi 2 tu za sukari na nimeweka lakini usjali ntajitahidi inshallah 🙏🏼 💖
Tunaomba maelekezo ya vipimo asante sana
Kwa nn hiko cha katikati hukitumii
Kwasababu kinawahi kuchomek kwa haraka saana ukiwa na jiko kama hili langu lakini muda mwengine huwa nakitumia
kwanini unaweka sukari baada ya kusagika?
Kwa sababu sukari ukiweka mwanzoni uzito unakuwa mwingi kwenye kusaga kwavile sukari nyepesi kusagika haina neno kuweka mwisho ok kwa mimi naona hivyo bora na rahisi pia Asante 🙏🏼
Sukari umeweka Aina gani Ile nyeupe ya viwandani au
Kawaida sisi huku nilipo sukari yetu tunayo tumiya ni sukari nyeupe sasa sijajuwa kama ni ya viwandani au vipi? Karibu. 🙏🏼
Kama hutaki watu wajifunze basi usionyeshe maana uweki hata vipimo na maswali haujibu
My dear samahani ukiangalia kwa makini hizi video zangu zote nimejitahidi kuelezea vizuri na kuwaandikia maelezo na vipimo vyake sasa sijuwi tatizo lako liko wapi au tatizo langu mimi irudie video kwa umakini utaona vipimo mwanzo wa video huwa naweka vipimo vyote ok. 🙏🏼
So you're the mom of walid?
Yes mom walid 😊
Habari samahani naomba kukuuliza kilo moja ya mchele hamira itakuwa kiasi gani kama ni ile ya vipakiti ?Na tui kiasi gani,je yai hufanya vitumbua viwe laini ni kweli ?asante sana
Okay, bila samahani 1kg ya mchele una weka vipakti 2 vya hamira na tuwi utaweka 1L lisiwe zito saana na kuhusu yai kwenye vitumbua sio lazima cha muhimu mchanganyiko wako usage vivuri na vitumbua vyako ukisha choma vihifadhi vizuri lakini ukipenda kuweka sio mbaya utaongeza ladha na kuboresha zaidi nimekujibu hivi kwa sababu usijiwekee kwenye akili yako huwezi pika vitumbua mpaka uwe na yai no hapana ukiweka sawa usiweke ni sawa vitumbua vinatoka tena vizuri tu ok karibu saana. 🙏🏼
@@ahlamverynice.3605 Asante sana ubarikiwe 🙏
@@ahlamverynice.3605samahani kama kilo 1 ya mchele ni Lita 1 ya tui la nazi, mbona kwenye vidio umeweka Lita 1 kwenye kilo 2 za mchele?
Ukitumia mchele wa basmati kupika mkate wa mchele hauna shida
Hauna shida ndio lakini sio kila basmati kuna basmati zile zisizo mafuta ndio nzuri kwa vitumbua au mkate.
Samahani, basmati zisiso na mafuta ndio zipi please? Asante
Ukienda dukani kuna michele mingi saana na aina tofauti sasa kwa mchele wa mapishi haya unahitaji mchele wenye vumbi vumbi jeupe yani sio ile yakuteleza ata kama sio basmat lakini uhakikishe mchele unao tumiya usiwe wakuteleza wala ule wakunukiya ile ndio inamafuta ok nazani utakuwa umenielewa karibu saana 😊🙏
Vipi kama huna Nazi wafanyaje
Kama huna nazi usifanye mpenzi mpaka upate
Basmati una ladha kweli 🙄
Saana tu jaribu utaona
Mbona hukuweka vipimo?
Nimeweka angalia vizuri video inapo anza mpenzi.
@@ahlamverynice.3605 Alaa basi nimeirejesha mara mbili😂😩
Ok Asante
Mchele umeuloweka kwa muda gani ?
Usiku kucha au masaa 6 dear