Ahlam very nice.
Ahlam very nice.
  • Видео 38
  • Просмотров 248 507

Видео

jinsi ya kupika kaimati tamu na rahisi saana.
Просмотров 1,8 тыс.Год назад
jinsi ya kupika kaimati tamu na rahisi saana.
jinsi ya kutengeneza juice ya mabungo nitamu saana.
Просмотров 4,2 тыс.Год назад
#ahlamverynice #juice #mabungo #juicefresh
jinsi ya kutengeneza visheti vitamu na vilaini saana.
Просмотров 6 тыс.Год назад
#ahlamverynice #visheti #coffee #yummyrecipe
jinsi ya kutengeneza chapati laini saana
Просмотров 8 тыс.Год назад
#chapati #ahlamverynice #softchapati #indianfood
Mikate ya ufuta Recipe/how to make sesame bread.
Просмотров 95 тыс.2 года назад
Mikate ya ufuta Recipe/ how to make sesame bread recipe swahilifood speciaal bread
jinsi ya kutengeneza mahamri matamu/maandazi ya mafuta.
Просмотров 4 тыс.2 года назад
jinsi ya kutengeneza mahamri matamu/maandazi ya mafuta my insta: mapishi_ya_ahlam my tiktok: www.tiktok.com/@ahlamverynice
jinsi ya kupika vitumbua vya biyashara kwa urahisi|how to cook ricepancake recipe.
Просмотров 17 тыс.2 года назад
jinsi ya kupika vitumbua vya biyashara kwa urahisi|how to cook ricepancake recipe.
jinsi ya kupika tambi za kukaanga kwanjia rahisi.😋 👌
Просмотров 4 тыс.2 года назад
@Ahlamverynice #tambizakukaanga #ahlamverynice
jinsi ya kupika viyazi na mboga mboga/how to make vegetables and potatoes recipe.
Просмотров 1,4 тыс.2 года назад
#Ahlamverynice #potato #vegetables #chicken
Jinsi ya kutengeneza katlesi za samaki/how to make fesh katles.
Просмотров 3,3 тыс.2 года назад
katles za samaki nitamu saana unaweza kula muda wowote kama chakula chepesi please jaribu uwone thank you 😊 🙏🏼 check my insta for more video's instagram: mapishi_ya_ahlam? #feshkatles #katleszasamaki #potato's #katles #ahlamverynice #katleszasamki #feshkatles
jinsi ya kutengeneza sambusa za nyama / Beef samosa recipe 😋 .
Просмотров 54 тыс.2 года назад
#samosa #Ahlamverynice #sambusa
How to make turkey recipe for Christmas🦃 / jinsi ya kuchoma batamzinga🦃
Просмотров 2,4 тыс.2 года назад
Hii video maalumu kwa Christmas 🎄 💓 #Turkeyrecipe #Ahlamverynice #batamzinga #kalkoen #Christmas check my instagram for more video's instagram: mapishi_ya_ahlam?
how to make delicious chocolate marble cake / jinsi ya kuandaa cake tamu.👌😉😋
Просмотров 2 тыс.2 года назад
how to make delicious chocolate marble cake / jinsi ya kuandaa cake tamu.👌😉😋
how to cook spinach and meat 😉/mchicha na nyama 😋👌
Просмотров 1,1 тыс.2 года назад
how to cook spinach and meat 😉/mchicha na nyama 😋👌
how to make Chicken pinda kaas souce🍗/Peanut butter souce 🥜 jinsi ya kupika mchuzi wa karanga.
Просмотров 1,3 тыс.2 года назад
how to make Chicken pinda kaas souce🍗/Peanut butter souce 🥜 jinsi ya kupika mchuzi wa karanga.
how to cook ugali/fufu / jinsi ya kupika ugali/fufu
Просмотров 1,6 тыс.3 года назад
how to cook ugali/fufu / jinsi ya kupika ugali/fufu
How to cook spaghetti 🍝 😋 simple and yummy.👌
Просмотров 1,3 тыс.3 года назад
How to cook spaghetti 🍝 😋 simple and yummy.👌
How to cook meat and potatoes this is yummyfood. 😋👌
Просмотров 1,3 тыс.3 года назад
How to cook meat and potatoes this is yummyfood. 😋👌
how to make omlette/ jinsi ya kutengeneza mayai. #omlette
Просмотров 2973 года назад
how to make omlette/ jinsi ya kutengeneza mayai. #omlette
how to make pannenkoeken/ jinsi ya kupika mikate ya maji.
Просмотров 6853 года назад
how to make pannenkoeken/ jinsi ya kupika mikate ya maji.
How to make Chicken vegetables / jinsi ya kupika Makange ya kuku😋👌
Просмотров 1,4 тыс.3 года назад
How to make Chicken vegetables / jinsi ya kupika Makange ya kuku😋👌
how to make spongcake simple and soft.👌/ jinsi ya kupika mkate wa mayai kwa urahisi.
Просмотров 1,3 тыс.3 года назад
how to make spongcake simple and soft.👌/ jinsi ya kupika mkate wa mayai kwa urahisi.
Jinsi ya kuandaa break fast kwa haraka saana / How to make break fast.
Просмотров 5473 года назад
Jinsi ya kuandaa break fast kwa haraka saana / How to make break fast.
jinsi ya kupika chips mayai kwa njia ya rahisi .
Просмотров 3453 года назад
jinsi ya kupika chips mayai kwa njia ya rahisi .
How to make orange cake/jinsi ya kutengeneza cake ya chungwa 🍊 kwajia rahisi saana.
Просмотров 1,7 тыс.3 года назад
How to make orange cake/jinsi ya kutengeneza cake ya chungwa 🍊 kwajia rahisi saana.
jinsi ya kupika kamba wakukaanga kwa njia nyengine👌 / how to cook prawns fry recipe.
Просмотров 5253 года назад
jinsi ya kupika kamba wakukaanga kwa njia nyengine👌 / how to cook prawns fry recipe.
mapishi matamu😋👌
Просмотров 4013 года назад
mapishi matamu😋👌
How to make chicken pilao. jinsi yakupika pilao kwa njia rahisi.
Просмотров 1,3 тыс.3 года назад
How to make chicken pilao. jinsi yakupika pilao kwa njia rahisi.
How to make smoothie🥤😋👌
Просмотров 1823 года назад
How to make smoothie🥤😋👌

Комментарии

  • @MariaMagele
    @MariaMagele 19 дней назад

    Kwani bungo haichanganywi na tunda jingine

  • @monalisawm
    @monalisawm 24 дня назад

    Amazing these samosas look so delicious and the technique of folding samosas is good. Congratulations

  • @شريفهالكندي
    @شريفهالكندي Месяц назад

    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته احلام جزاك الله خيرا على الوصفات الرائعة انا احب الطبخ ومن متابعتي لأصنافك علمت انك ما شاء الله لا قوة إلا بالله ممتازة في الطبخ سؤالي كم رقم البروتين الموجود في الدقيق المستخدم في عمل شباتي وخبز سمسم ؟ ...بالتوفيق الغالية

  • @ummuipty789
    @ummuipty789 2 месяца назад

    Assalam Aleykum waeza fanya kwa unga wakawaida ama

  • @ummuipty789
    @ummuipty789 2 месяца назад

    Mashallah Mashallah

  • @skolastikapaulo3146
    @skolastikapaulo3146 2 месяца назад

    Jmn pan shingap hii

  • @everlynemshai8389
    @everlynemshai8389 2 месяца назад

    SIJAONA UKIKANDA UNGA

  • @nellahpeter1235
    @nellahpeter1235 3 месяца назад

    Hello...mbona vyangu nikipika ngozi inakuwa laini?badala ya kuwa kavu?

  • @evelinasabini4905
    @evelinasabini4905 3 месяца назад

    Auwezi kutumia maji badala ya nazi

  • @naidiidris6994
    @naidiidris6994 4 месяца назад

    Shukran sana dada. Je hii kilo moja umepata takriban mikate mingapi?

  • @ElynessKaunja-lq4em
    @ElynessKaunja-lq4em 5 месяцев назад

    Ahsante Sana! Nmependaa💯

  • @AnnaNeri-q3h
    @AnnaNeri-q3h 5 месяцев назад

    Mashallah ahsante sana. Wapi ntapata hiyo pan ya ufuta

  • @zuleikhanoor2905
    @zuleikhanoor2905 5 месяцев назад

    How many chapatis can u get out of 1kg ?

  • @DoreenNoel-x1x
    @DoreenNoel-x1x 6 месяцев назад

    Kwa nn hiko cha katikati hukitumii

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605 5 месяцев назад

      Kwasababu kinawahi kuchomek kwa haraka saana ukiwa na jiko kama hili langu lakini muda mwengine huwa nakitumia

  • @ChausikuMzungu
    @ChausikuMzungu 6 месяцев назад

    Maa shaa Allah..nami nilifanya majibu ni 🔥🔥😋😋😘

  • @MariamuFaraji
    @MariamuFaraji 6 месяцев назад

    Unaweza ukaweka tangawizi

  • @FahimaAbdi-fo5do
    @FahimaAbdi-fo5do 6 месяцев назад

    Hiyo nyama unasaga na nn jaman😢

  • @FahimaAbdi-fo5do
    @FahimaAbdi-fo5do 6 месяцев назад

    Hiyo nyama unasaga na nn jaman😢

  • @FahimaAbdi-fo5do
    @FahimaAbdi-fo5do 6 месяцев назад

    Hiya nyama unsaga na nn ama mwanunua vile

  • @bas2823
    @bas2823 6 месяцев назад

    THANKS👍❤

  • @AzizaAbdullah-e7q
    @AzizaAbdullah-e7q 6 месяцев назад

    Mashalahkwaess

  • @AzizaAbdullah-e7q
    @AzizaAbdullah-e7q 6 месяцев назад

    Shukran

  • @AzizaAbdullah-e7q
    @AzizaAbdullah-e7q 6 месяцев назад

    Naombufanyesamosayakenyans

  • @ks2155
    @ks2155 6 месяцев назад

    Shukran sana kwa recipe, nimepika leo mikate imetokea mizuri sana. Allah akubarik. Ameen

  • @MamaUmmy-k3j
    @MamaUmmy-k3j 6 месяцев назад

    Siagi ya chumvi

  • @FarhatAbass-b5c
    @FarhatAbass-b5c 7 месяцев назад

    Naomb recipe

  • @MA-kh2lr
    @MA-kh2lr 7 месяцев назад

    Mashallah Mashallah Mkate Ajjab. Allahumma Baarik.

  • @لوووي11
    @لوووي11 7 месяцев назад

    Masha Allah very nice I will try

  • @umiy1971
    @umiy1971 8 месяцев назад

    What size of sambusa wrapper you use

  • @slh961
    @slh961 8 месяцев назад

    Ma shaa Allah ❤👌🏻

  • @cookinghouse5784
    @cookinghouse5784 8 месяцев назад

    Make sure these mandas are halal if it is china they pig fat on mandas

  • @hajrabaimohamed5749
    @hajrabaimohamed5749 8 месяцев назад

    Thank you for sharing

  • @selmezahor4696
    @selmezahor4696 9 месяцев назад

    Ma Sha Allah kipenz mpak nimezitaman,❤

  • @FATUMASWALIHU
    @FATUMASWALIHU 9 месяцев назад

    asante

  • @OmanIbra-d6u
    @OmanIbra-d6u 10 месяцев назад

    Mashaalla

  • @rukkysayid6613
    @rukkysayid6613 10 месяцев назад

    MashaAllah

  • @pelagiaweiss2206
    @pelagiaweiss2206 10 месяцев назад

    Kama hutaki watu wajifunze basi usionyeshe maana uweki hata vipimo na maswali haujibu

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605 10 месяцев назад

      My dear samahani ukiangalia kwa makini hizi video zangu zote nimejitahidi kuelezea vizuri na kuwaandikia maelezo na vipimo vyake sasa sijuwi tatizo lako liko wapi au tatizo langu mimi irudie video kwa umakini utaona vipimo mwanzo wa video huwa naweka vipimo vyote ok. 🙏🏼

  • @MayyahMayyah-m3r
    @MayyahMayyah-m3r 11 месяцев назад

    M naomba kuuliza ivi unaweza kusaga kila kitu usiku alaf asubuhi ukachoma tu

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605 10 месяцев назад

      Kiukweli sijawahi kujaribu hivyo unavyo sema lakini kama unataka kujaribu sio mbaya ispokua usiweke hamira uje uiweke asubuhi then uwisubirie uumuke ndio uchome ukiweka kabisa hiyo usiku mchanganyiko wako utakua mkali na havitakuwa vizuri vitumbua Vyako ok karibu tena. 🙏🏼

  • @RSJq4
    @RSJq4 11 месяцев назад

    Baada ya dakika ngap unaugeuza ili kwa chini usikakamae

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605 11 месяцев назад

      Unausubiria kama 1 min hivi halafu unaugeuza karibu saana 😊

    • @RSJq4
      @RSJq4 11 месяцев назад

      Okay shukran

  • @khadijasaid781
    @khadijasaid781 11 месяцев назад

    Sijahamu kwa kweli mbn hujawek maelekezo my dear

  • @Deedeevenice
    @Deedeevenice 11 месяцев назад

    Hi, can someone please share AUTHENTIC Tanzanian vegetable sambusa with raw onion and no garlic or coriander powder ( original recipe only had green chilli and ginger) but cinnamon and clove powder? I have had them with a tiny bit of sultana and lemon juice only! No red chilli powder

  • @salhasaid1027
    @salhasaid1027 Год назад

    nimejaribu maelekezo yako kila kitu..the results comes out perfect..🎉...nimejiona chef na mm..thkx dear

  • @fatimaomar1508
    @fatimaomar1508 Год назад

    I love this bread if you translate in English I will be very great full thakyou

  • @jackiepaul001
    @jackiepaul001 Год назад

    🤤🤤

  • @FADIYATALIB
    @FADIYATALIB Год назад

    Ukisema vikombe 4 ni vikombe vipi ( design)

  • @UlendeCaissa-pd2yr
    @UlendeCaissa-pd2yr Год назад

    Mimi sijuwe kusukuma

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605 10 месяцев назад

      Jitahidi kuangalia hii video itakufundisha jinzi ya kusukuma ok au unamaanisha kusukuma nini?

  • @glorymafuru6342
    @glorymafuru6342 Год назад

    Izo manda ni special?? Nasikia zinauzwaga sijawahi ziona me nikitengeneza manda mwenyewe samosa zinakua ngumu😢sijui nakosea wap🤔

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605 Год назад

      Yes hizi ni special zakununua supar markt au maduka ya wahindi

    • @ludiaelias6487
      @ludiaelias6487 10 месяцев назад

      Shoppers zipo ila za azam

  • @alrahbialrahbi277
    @alrahbialrahbi277 Год назад

    Manshalah zangu zinakuwa na mafuta yani nyama sijue please reply

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад

    Habari samahani naomba kukuuliza kilo moja ya mchele hamira itakuwa kiasi gani kama ni ile ya vipakiti ?Na tui kiasi gani,je yai hufanya vitumbua viwe laini ni kweli ?asante sana

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605 10 месяцев назад

      Okay, bila samahani 1kg ya mchele una weka vipakti 2 vya hamira na tuwi utaweka 1L lisiwe zito saana na kuhusu yai kwenye vitumbua sio lazima cha muhimu mchanganyiko wako usage vivuri na vitumbua vyako ukisha choma vihifadhi vizuri lakini ukipenda kuweka sio mbaya utaongeza ladha na kuboresha zaidi nimekujibu hivi kwa sababu usijiwekee kwenye akili yako huwezi pika vitumbua mpaka uwe na yai no hapana ukiweka sawa usiweke ni sawa vitumbua vinatoka tena vizuri tu ok karibu saana. 🙏🏼

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 10 месяцев назад

      @@ahlamverynice.3605 Asante sana ubarikiwe 🙏

    • @dynamic6689
      @dynamic6689 8 месяцев назад

      ​@@ahlamverynice.3605samahani kama kilo 1 ya mchele ni Lita 1 ya tui la nazi, mbona kwenye vidio umeweka Lita 1 kwenye kilo 2 za mchele?

  • @ibtisamjuma4180
    @ibtisamjuma4180 Год назад

    Me naomba kuuliza kuna ulazima wa kuupiga sana au unachnganya kama wew mpka uchangnyike vizur tu?

    • @ahlamverynice.3605
      @ahlamverynice.3605 Год назад

      Hakuna ulazima wa kuupiga saana changanya vizuri ukichanganyika basi unauwacha umuke

    • @ibtisamjuma4180
      @ibtisamjuma4180 Год назад

      @@ahlamverynice.3605 shukran