homecookingTz
homecookingTz
  • Видео 83
  • Просмотров 439 272

Видео

jinsi ya kupika mseto wa maharage wanazi/chakula kizuri sana😋
Просмотров 52День назад
*Mahitaji .Mchele kilo moja .Maharage nusu kilo .binzari ya njano kijiko cha chai .binzari nyembamba/jira kijiko cha chai .Kitunguu kimoja kikubwa .Kitunguu swaumu kijiko kimoja cha chakula .Nyanya tatu saizi ya kati .Cubes mbili .Hoho mbili saizi ya kati .Karoti tatu saizi ya kati
jinsi ya kutengeneza maziwa ya soya/tumia njia hii kuzuia kuharibikamapema
Просмотров 8721 день назад
*Virutubisho .protini nyingi zaidi ya iliopo kwenye nyama .yana mafuta yasiyo kuwa na lehemu(cholesterol) .wanga .yana madini ya calcium na madini chuma .yana vitamins A,B,C,D,E na K *faida .huondoa utapia mlo .hupunguza athari za magonjwa ya kansa ya matiti kwa wanawake Pia magonjwa ya moyo na kisukari .huboresha meno na mifupa .pia watu wenye upungufu wa kinga mwilini wanashauliwa wa tumie kw...
mkate wa mvuke/kama hauna oven njia hii ni rafiki
Просмотров 5021 день назад
Ngano nusu kilo/500g Hamira vijiko viwili vya chai Sukari vijiko vinne vya chakula Siagi kijiko kimoja cha chakula Chunvi nusu kijiko cha chai Mafuta ya kupikia kijiko cha chai
pika hivi kashata za ufuta,haziitaji mambo mengi
Просмотров 47Месяц назад
pika hivi kashata za ufuta,haziitaji mambo mengi
pika ndizi mzuzu/mkono watembo+mayai/chakula cha haraka
Просмотров 72Месяц назад
.ndizi mzuzu nne .chunvi kiasi chako. .nyanya mbili kubwa .vitunguu viwili saizi ya kati .hoho moja ya kiasi Sotojo cubes moja .pilipili manga kijiko cha chai
jinsi ya kupika samaki wa kupaka/samaki wa kupaka kwa rojo ya nazi
Просмотров 43Месяц назад
*viungo vya kumpaka samaki .kitunguu swaumu na tangawizi kijiko1 cha chakula .manjani kijiko1 cha chai .pilipili manga kijiko1 cha chai pilipili ya unga kijiko 1 cha chai mafuta ya kupikia vijiko viwili vya chakula *rojo ya nazi .tui jepesi la nazi vikombe viwili .kitunguu swaumu na tangawizi kijiko1cha chakula .kitunguu maji kidogo kilicho sagwa au kukwanguliwa .pilipili manga nusu kijiko cha ...
macaroni/makaroni ya nyama😋 /tumia njia hii nyepesi kuandaa
Просмотров 812Месяц назад
mahitaji .macaroni 500g .nyama ya ng'ombe 500g .chumvi kijiko kimoja cha chakula .haladari kijiko cha chai .pilipili manga kijiko cha chai .currypowder kijiko cha chakula .soy source vijiko viwili vya chakula .hoho moja kubwe .nyanya tatu .kitunguu maji viwili saizi ya kati .kitunguu swaumu&tangawizi kijiko kimoja cha chakula .siagi kijio kimoja cha chakula
uji wa nazi,rahisi kuandaa na nimtam sana😋
Просмотров 1052 месяца назад
.unga wa mchele vijiko vitano .tui jepesi/tui la pili vikombe vitatu .tui zito kikombe kimoja .hiliki kijiko cha chai .pilipili manga kijiko cha chai
kutengeneza tofu/jibini ya maharage ya soya/ukitumia njia hii☝hauto acha kula tofu😋
Просмотров 3262 месяца назад
kutengeneza tofu/jibini ya maharage ya soya/ukitumia njia hii☝hauto acha kula tofu😋
jinsi ya kupika wali wa njano/wali wa manjano/tumeric rice/ wali mzuri sana
Просмотров 1422 месяца назад
jinsi ya kupika wali wa njano/wali wa manjano/tumeric rice/ wali mzuri sana
jinsi ya kupika vipopoo/matobosha ya unga wa ngano na nazi🌾
Просмотров 1526 месяцев назад
jinsi ya kupika vipopoo/matobosha ya unga wa ngano na nazi🌾
kupika muhogo wa nazi /mtamu na rahisi kupika
Просмотров 33410 месяцев назад
kupika muhogo wa nazi /mtamu na rahisi kupika
kupika uji wa ngano mzuri na mtamu
Просмотров 80710 месяцев назад
kupika uji wa ngano mzuri na mtamu
jinsi ya kupika ndizi za maarage nzuri na tamu
Просмотров 35310 месяцев назад
jinsi ya kupika ndizi za maarage nzuri na tamu
jinsi ya kupika njegere zenye rojo nzuri ya kuvutia
Просмотров 25211 месяцев назад
jinsi ya kupika njegere zenye rojo nzuri ya kuvutia
mchuzi mzuri wa mkia wa ng'ombe😋/pika kwa kutumia njia hii☝
Просмотров 41311 месяцев назад
mchuzi mzuri wa mkia wa ng'ombe😋/pika kwa kutumia njia hii☝
jinsi ya kupika mchemsho mzuri wa nyama ya bata
Просмотров 1,4 тыс.11 месяцев назад
jinsi ya kupika mchemsho mzuri wa nyama ya bata
jinsi ya kukaanga mihogo milaini na mitamu(tumia njia hii☝
Просмотров 7 тыс.11 месяцев назад
jinsi ya kukaanga mihogo milaini na mitamu(tumia njia hii☝
pika hivi majani ya maboga yenye karanga, utaipenda mboga hii😋
Просмотров 11 тыс.11 месяцев назад
pika hivi majani ya maboga yenye karanga, utaipenda mboga hii😋
jinsi ya kupika wali mweupe/wa maji ulio chambuka vizuri 🍚 🌾
Просмотров 3 тыс.Год назад
jinsi ya kupika wali mweupe/wa maji ulio chambuka vizuri 🍚 🌾
jinsi ya kupika tambi za nyama ya kusaga kwa wepesi na haraka
Просмотров 4,5 тыс.Год назад
jinsi ya kupika tambi za nyama ya kusaga kwa wepesi na haraka
siri ya kupika maandazi laini ya maziwa😋 tumia njia hii nyepesi sana
Просмотров 597Год назад
siri ya kupika maandazi laini ya maziwa😋 tumia njia hii nyepesi sana
jinsi ya kupika pilau ya viungo vizima/pilau ya kizamani/pilau ya magome
Просмотров 318Год назад
jinsi ya kupika pilau ya viungo vizima/pilau ya kizamani/pilau ya magome
pika hivi mchuzi wa samaki mbichi aina ya kambale ni mtamu sana😋
Просмотров 1,3 тыс.Год назад
pika hivi mchuzi wa samaki mbichi aina ya kambale ni mtamu sana😋
kutengeneza nyama ya kusaga kwa blenda nyumbani
Просмотров 6 тыс.Год назад
kutengeneza nyama ya kusaga kwa blenda nyumbani
kupika supu ya boga/pumpkin soup
Просмотров 1,1 тыс.Год назад
kupika supu ya boga/pumpkin soup
kupika kaimati/kalimati(mandazi ya maji yasiyo nyonya mafuta ndani)
Просмотров 8 тыс.Год назад
kupika kaimati/kalimati(mandazi ya maji yasiyo nyonya mafuta ndani)
kuandaa na kupika mboga ya kisamvu(kisamvu cha karanga)
Просмотров 5 тыс.Год назад
kuandaa na kupika mboga ya kisamvu(kisamvu cha karanga)
kupika vipopoo/mathobosha kwa njia mbili(kusonga na kukanda)
Просмотров 1,7 тыс.Год назад
kupika vipopoo/mathobosha kwa njia mbili(kusonga na kukanda)

Комментарии

  • @UpendoKilomo
    @UpendoKilomo 3 дня назад

    Uwezi kuipika kwanza alafu ukasaga kwa blenda ya kawaida

  • @Mamabhoke
    @Mamabhoke 5 дней назад

  • @Mamabhoke
    @Mamabhoke 5 дней назад

    Nice

  • @Mamabhoke
    @Mamabhoke 5 дней назад

    Nice

  • @SiaCollins
    @SiaCollins 10 дней назад

    Wow that's good

  • @zawadimatei7374
    @zawadimatei7374 10 дней назад

    Mashaa Allah😋

  • @neypaul6416
    @neypaul6416 12 дней назад

    Yummy

  • @faridandanga
    @faridandanga 20 дней назад

    Yan umeelekeza Kam mwalimu unaefundisha mtu anaetak kujifunza nd man imekuwa rahis hongera sana na ahsante sana umenitoa aibu Leo shoga hanguu🙏🙏🔥

  • @mariaisdory1168
    @mariaisdory1168 21 день назад

  • @EvelynMollel-f3i
    @EvelynMollel-f3i 22 дня назад

    Waooo

  • @rizeve
    @rizeve 27 дней назад

    Nxur saaana

  • @joyceshanh
    @joyceshanh Месяц назад

    ndalu kwetu singida

  • @Ms.T
    @Ms.T Месяц назад

    Santa mma!

  • @EdinaMollel-d5c
    @EdinaMollel-d5c Месяц назад

    ❤ 4:19

  • @Ms.T
    @Ms.T Месяц назад

    Asante mma... Unikumbusha uswahilini utotoni mwangu...

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Месяц назад

    Sahani yako ongeza mboga za majani

  • @IreneBrianna
    @IreneBrianna Месяц назад

    Bila nazi auivi???

  • @Mwajuma-y1n
    @Mwajuma-y1n Месяц назад

    Good

  • @aidamwakalinga6182
    @aidamwakalinga6182 Месяц назад

    Makapi unaweza tumia kufanyia Nini?

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488 Месяц назад

      Makapi yana pika vitu vingi mfano unaweza changanya na ngano na viungo vingine ukatengeneza cookies,mkate,nk. na kama uyahitaji basi utalisha mifugo

    • @aidamwakalinga6182
      @aidamwakalinga6182 Месяц назад

      @@homecookingtz2488 ahsante

  • @RebecaTlae
    @RebecaTlae Месяц назад

    Dada minataka nijafunze kupika

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488 Месяц назад

      Karibu,pia ingia kwenye channel yangu yani bonyeza jina la channel yangu upande ulio andikwa video utakuta nyingi na zamapishi mbalimbali

  • @IbraFareed
    @IbraFareed Месяц назад

    Hongera ❤

  • @MagrethMasunde
    @MagrethMasunde 2 месяца назад

    Asante sans nilikuwa sijui jinsi ya kuchanganya huo unga wa ulezi Asante sana

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 2 месяца назад

    😎

  • @bakarimgua1558
    @bakarimgua1558 2 месяца назад

    Naomb namb yako naitaj Kuanz biashara hii naitaj unielezee zaid

  • @winnersgeneralsupplies639
    @winnersgeneralsupplies639 2 месяца назад

    Asante sana naomba kujuwa unga wa mtama na wa kimea cha ulezi unatakiwa uwiano wa kipimo cha sawa kwa sawa kama ni gm 500 kwa 500 au ni ngapi kwa ngapi au nakadiria tu kiasi chochote?

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 месяца назад

    ❤❤❤

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 месяца назад

    Asante sana nimejifunzA video vizuri kutoka kwako Nimekupend kwa upoke wako ulioutumia❤❤❤

  • @idayagicheha
    @idayagicheha 2 месяца назад

    Inakaa murenda mbona

  • @reemaalwad3ani616
    @reemaalwad3ani616 2 месяца назад

    Waoooo❤❤❤

  • @anithageorge164
    @anithageorge164 2 месяца назад

    Jitahid ukiwa unafundisha uwe unasema vipimo,hapo hatujui unga kias gan umesema tu amira

  • @JustinaPaskari
    @JustinaPaskari 2 месяца назад

    Unalalamo au

  • @KAHINDITV
    @KAHINDITV 2 месяца назад

    Umeeleweka yan unajua kuelezea vzr sana

  • @sofic.1622
    @sofic.1622 2 месяца назад

    Hongera! Lakin ungekipasua tuone na ndani

  • @athumanngolosa9680
    @athumanngolosa9680 3 месяца назад

    Vp my dear mbonae yametoka maugal jamn

  • @eunicebodoye4994
    @eunicebodoye4994 3 месяца назад

    Hongera my barikiwa mno kwa darasa

  • @KhadijMahenge
    @KhadijMahenge 3 месяца назад

    Mimi uwa napika uji wa Mchele kitumbua kinakuwa kizuri sana wa mahindi bora dona

  • @NeemaMlay-r8v
    @NeemaMlay-r8v 3 месяца назад

    Asante sana kwa somo nimelipenda

  • @kuthlamyusuf7876
    @kuthlamyusuf7876 3 месяца назад

    Umeandaa vizuri ila moto wako wa kuchoma umekuwa mkali uneviunguza

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488 3 месяца назад

      Havikuungua ila simu nilio tumia kurekodi haiku quality, na siku na sapoti ya mwanga

    • @DidiDidi-r3i
      @DidiDidi-r3i 24 дня назад

      Manshaallah vizuri

  • @kuthlamyusuf7876
    @kuthlamyusuf7876 3 месяца назад

    Sioni kutiwa kwa tui la nazi. Vp hapo

    • @homecookingtz2488
      @homecookingtz2488 3 месяца назад

      Ivi ni vitumbua vya kukorogea uji,apo uji ndio umetumika kama tui kipenzi

  • @AgnesKilongo
    @AgnesKilongo 3 месяца назад

    Hongera aise

  • @fat-hummary6704
    @fat-hummary6704 3 месяца назад

    Asante kwa Elimu

  • @shadrackwilfred2606
    @shadrackwilfred2606 3 месяца назад

    Kazi nzuri Ahsante dada

  • @lucybuyunge5419
    @lucybuyunge5419 3 месяца назад

    Mm v

  • @quenielizzie9724
    @quenielizzie9724 4 месяца назад

    Chumvi kwenye mlenda hamna

  • @Truly_Afrikan
    @Truly_Afrikan 4 месяца назад

    Next time kabla uweke viungo vyako au maji Acha Kwanza achemke na maji ulooshea ,atajikamua maji mwenyewe, yatakuwa meupe kama Mazi ,yakikauka sasa unaongeza maji kiasi tuu na sio bwawa + hizo spices sasa

  • @teddymanyinyi3964
    @teddymanyinyi3964 4 месяца назад

    Dah!!! Nimependa Asante kwa kutufundisha

  • @CareenSungi-yh2bf
    @CareenSungi-yh2bf 4 месяца назад

    Tamuuu

  • @_hn9_938
    @_hn9_938 4 месяца назад

    Unajua sana dada 😂 . Kuna mama aliniomba nikachinje kuku nlikuwa sijui Cha kufanya umeniheshimisha

  • @IdyyLalalr-se1cs
    @IdyyLalalr-se1cs 4 месяца назад

    Nice

  • @zulekha3028
    @zulekha3028 4 месяца назад

    😋😋😋