Nimekupata mno kiongozi Usishangae sana kwa maana imeandikwa RUSHWA HUPOFUSHA Viongozi wetu wote ni vipofu kwa Rushwa Cha msingi Tufunge na kusali sana MUNGU Atasikia hiking kilio time will tell
Magufuli hakuhamisha Masai acha kuongopa wewe hata kama hatukumkubali ila siyo kumbebesha vitu vya Uongo coz hata swala la bandari Magufuli ndiye aliye tufunguwa macho kuhusu mikataba mibovu na alikataa ubinafsishaji wa hivyo na aliheshimu rasilimali za inchi.
Uko....sawa...point.
Well noted Sir
TANGANYIKA NA RASIRIMALI ZA WATANGANYIKA LAZIMA ZIRUDI MIKONONI MWA WATANGANYIKA. WAPENDE WASIPENDE.
Mm nimuzazibar ila munaogeya ukweli mana nass piya tunayo mazila ila wakutusemeya hakuna tumechoka na ccm ❌ demeni tu ukweli humundani
Bishop umenikumbusha kitabu cha marehemu Shaaban Robert TAMBUENI HAKI ZENU Watized hatujui kbs haki zetu tunashangilia upumbavu wa viongozi
Nimekupata mno kiongozi
Usishangae sana kwa maana imeandikwa RUSHWA HUPOFUSHA Viongozi wetu wote ni vipofu kwa Rushwa
Cha msingi Tufunge na kusali sana MUNGU Atasikia hiking kilio time will tell
Watanganyika tumekuwa ngombe na Wazenji kupe Tunanyonywaaaa!!!!
Mpemba!! Hayo mambo ya wachina kuwatesa Watanganyika yapo!! na yanatisha na yamezidi Yale ya wakoloni.
SERIKALI TATU NI MUHIMU SANA ILI KILA MTU AWE NA SERIKALI YAKE
Mwenye akili hajisifu kuwa ana akili. Lilianza wakati wa Magu mbona hamkusema
Magufuli hakuhamisha Masai acha kuongopa wewe hata kama hatukumkubali ila siyo kumbebesha vitu vya Uongo coz hata swala la bandari Magufuli ndiye aliye tufunguwa macho kuhusu mikataba mibovu na alikataa ubinafsishaji wa hivyo na aliheshimu rasilimali za inchi.
Ulitaka nini Mbele ya yule Dicteta hujipendi atakuua ogopa JPM
Hazina yako. Ilipo ndipo moyo wako utakapoweka!
MZEE FUMBUA MACHO, KUNA PAHALA UMETUFUMBA MACHO.
MBONA MAGUFULI ALIKUWA ANAPINGA HAYO NA BADO MLIKUWA MNAMPONDA??
MSIMAMO WAKO UKO WAPI??