Tumeacha Kuhubiri Ujumbe Tulioachiwa...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 15

  • @fanuelburra5664
    @fanuelburra5664 8 месяцев назад +1

    Hongera sana Bishop Kazi yako ni njema nakukumbuka sana kipindi uko pale mwanza unafundisha kwenye redio na Emanuel rimon kama sijakosea maana miaka mingi imepita

  • @nabiiilyaaseliya2551
    @nabiiilyaaseliya2551 8 месяцев назад +1

    Bishop hongera sana sasa Unasogea. Taarifa tu ukigusa hiyo Kingdom USA watakufukuza. Kama unasikia kuanza hiyo huduma jiandae kisaikolojia kukabiliana na misukosuko ushauri hamia Africa kwanza si lazima Tz. Msome sana Dr Myles Munroe.
    AGAYAAA

    • @bishopaugustinempemba4561
      @bishopaugustinempemba4561  8 месяцев назад +1

      Afrika ni nyumbani. Hata kama Tanzania haitaki ni sawa tuu. Hata Yesu alikataliwa na watu wake akaenda kwingine na akawawezesha. Hatuna muda wa kupoteza kwa kusubiri akili za kisiasa ambazo zimeshindwa kuisogeza nchi pazuri. Leo dola moja inakimbilia kwenda kuwa shs elfu tatu. Balaa kubwa ndugu yangu Eliya

  • @charleskatemi5874
    @charleskatemi5874 8 месяцев назад +1

    I'm blessed

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel 2 месяца назад

    T.f.e 101nimasomo uliotufundisha hadileotunaishi kwaushindi na mafanikio. Barikiwa baba

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 месяцев назад +1

    👊✌👍.

  • @kahema_steven
    @kahema_steven 8 месяцев назад +1

    Bishop tumekumic Sana huku Tz

  • @davidsonstevenson2653
    @davidsonstevenson2653 8 месяцев назад +1

    agaya

  • @barakaayubu6126
    @barakaayubu6126 8 месяцев назад +1

    Bishop Bishop huo ni ukweli kamili..!!

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 4 месяца назад +1

    😂kweli pastor nilienda kanisa moja wanahubir uchawi tu mapepo,mpk ibada inaisha

  • @dismasbaltazary9129
    @dismasbaltazary9129 8 месяцев назад +1

    Hakika bshop nimekumiss pia redion

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 8 месяцев назад +1

    Hakika mtumishi wa MUNGU

  • @makwayabakari3806
    @makwayabakari3806 8 месяцев назад

    Bishopu wewe nimkweli upendio uongo kabisa uko sawa

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 8 месяцев назад

    Agaya 😂😂😂

  • @harimmdahe5616
    @harimmdahe5616 8 месяцев назад

    Bishop hatukupati kabisa,clip zako za kiimani na za kisiasa kutuelimisha hatuzipati mkuu tunaomba utuelekeze tutazipataje updated zote unazozitoa bishop tusaididie ili tupate masomo yako yote.