Ninyi Watumishi Majambazi😳

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024

Комментарии • 73

  • @annamsami2425
    @annamsami2425 Год назад

    Amina nakuelewa san mwalimu wa Neno Mungu azidi kukutumia tupate kufunguliwa ufahamu .

  • @jacksonmkuye7739
    @jacksonmkuye7739 4 года назад +2

    Amina baba Injili hii ni adim sana kwa sasa, Tz naisikia kwa wachache sana akiwemo mtumishi wa Mungu Mbarikiwa Mwakipesile.

  • @georginnathornhill4052
    @georginnathornhill4052 4 года назад +2

    Huduma zote tano zilikuwa ndani ya Yesu. .ubarikiwe mtumishi.

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 4 года назад +1

    Agayah! Mungu akubariki sana Bishop, Endelea kusimama kwenye kweli

  • @laurentbulabo5002
    @laurentbulabo5002 4 года назад +5

    Mtumishi Mwenyenzi Mungu akujalie afya njema njema,tunakuombea uongeze ujasili wa kuihubili kweli katikati ya mbwa mwitu.

    • @lovnesfwalo7030
      @lovnesfwalo7030 3 года назад

      Mungu akujalie. Hakika Mungu amekuita kwa makusudi makubwa.

  • @andrewsam364
    @andrewsam364 4 года назад +2

    Leo namshukuru Mungu maana nimelisikia nenolauzima namafundisho yakweli.ubarikiwe mtumishi

  • @furahayabwana6127
    @furahayabwana6127 4 года назад +2

    Asante sana 👏👏👏 YESU ni MUNGU.

  • @davidmbago3883
    @davidmbago3883 Год назад

    Haleluyaa Bishop uko sawa kabisa tumejichafua bora tupone tu

  • @greygoryhenry1969
    @greygoryhenry1969 2 года назад

    Ukweli Mtupu! Ubarikiwe Mkuu Mungu Akuweke na akuzidishie

  • @ambassadorkateme5903
    @ambassadorkateme5903 4 года назад +3

    Nimeamua kuichukua niwe nasikiliza kwenye TV yetu ..umepony mioyo ya watu,ubarikiwe umetumiwa na Mungu

  • @rightclick10
    @rightclick10 2 года назад +1

    Injili ya vitu. watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh6906 3 года назад

    Barikiwa sana mpendwa BISHOP

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 4 года назад +2

    Bishop Naweza Kuweka Video hii Kwenye Channel Yangu? Huwezi Kuamini Nilikuwa Namlilia Mungu kwa Miaka zaidi ya 12 auinue Mtu Kama Wewe Asafishe Mafisi yote haya!

  • @sparamcuthbert4530
    @sparamcuthbert4530 4 года назад

    Nakuombea Sana mtumishi wa Mungu.
    Hubiri injili yakweli usibadilike kabisa mtumishi.
    Nakufuatilia mtumishi tena nakuelewa.
    Mungu akutunze Sana.

  • @barakasylvester83
    @barakasylvester83 4 года назад +3

    Watumikao njisi hiyo hawamtumikii Mungu bali matumbo yao.soma filipi 3:19 rumi 16:18 barikiwa sana.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 4 года назад +2

    Amen Amen Amen, Ni wezi na Wana wa Ibilisi, Tena wasio na Huruma!

  • @johnsonchristian2731
    @johnsonchristian2731 4 года назад +1

    Umeendelea kuwa msaada na kimbilio letu..barikiwa sana baba

  • @greygoryhenry1969
    @greygoryhenry1969 3 года назад

    Ubarikiwe Mtumishi Wa Kweli! Mungu Akubariki Sana

  • @agnesslucas4744
    @agnesslucas4744 2 года назад

    Amina unayoyasema nikweri kabisa waachewizi

  • @berthasamwel9955
    @berthasamwel9955 4 года назад +1

    Safi sana Mtumishi, songa Mbele nyosha ruler

  • @patrickkiboma504
    @patrickkiboma504 4 года назад +2

    Ameeen. Be blessed.

  • @dennismfinanga4581
    @dennismfinanga4581 2 года назад

    Hii imekaa sawasawa.Ahsante sana maana rula imenyooka.

  • @derickmtono2527
    @derickmtono2527 4 года назад +1

    Hapa umegusa penyewe powerful message

  • @remmyalfred6736
    @remmyalfred6736 5 месяцев назад +1

    👏👏👏👏👏

  • @stevenbunzari4422
    @stevenbunzari4422 4 года назад +2

    Glory Glory Glory!

  • @ayubusanya8940
    @ayubusanya8940 4 года назад +1

    Umeeleweka mteule wa Bwana Yesu

  • @mosesshaban6960
    @mosesshaban6960 3 года назад

    Nakukubari sana Mana unasema ukweli wote ubarkiwe sana mtumishi

  • @herintimizi5154
    @herintimizi5154 Месяц назад

    This’s the word of Truth, it takes “Revelation of Holy Spirit to understand and accept this, for those who will understand then Truth will set them free, Matthew 24, Remember this message was preached 4 years ago and not still not expired, ask yourself why!

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 2 года назад

    Definitely, ni majizi wakubwa!

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 4 года назад +1

    Aise huu ni ujumbe wa ukweli kabisa,Mungu tutie nguvu maana tunaposema kweli ya Kristo tunaonekana kama tunawakaza watu lakini ukweli ni kwamba kweli itabaki kuwa kweli tu.

  • @paulomanoni3798
    @paulomanoni3798 3 года назад

    Bi shop kuna mtumishi wa mungu maeneo ya busweru bondeni mwanza kumuona tu elf kumi tufumbue macho baba.

  • @ellyetlawe5931
    @ellyetlawe5931 4 года назад +3

    Makavu livee..😃

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 3 года назад

    Bishop wetuleo amekasirika mbaya lkn ni kweli inakasirisha mno

  • @georginnathornhill4052
    @georginnathornhill4052 4 года назад +2

    Makavu live uwizi mtupu😂😂 ni kweli mtumishi wanawaonea wana wa Africa hiyo injli ya toa hela ndo umwone mtume au nabii sijawahi kuiona hapa 🇺🇸

  • @bantusworshipingpraisingan4294
    @bantusworshipingpraisingan4294 4 года назад

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 4 года назад

    Hongera kwa ufafanuzi mzuri.

  • @daudistephano1989
    @daudistephano1989 Год назад

    Ni kweli Huduma zote zipo

  • @mitanotena5149
    @mitanotena5149 4 года назад +1

    Kanisa leo!!lin vioja haswaaaa

  • @lucymerchioly711
    @lucymerchioly711 Год назад

    MUNGU atusaidie sana

  • @barnabazawadi5686
    @barnabazawadi5686 4 года назад +1

    Nakuunga mkono sana

  • @veromtumbika8470
    @veromtumbika8470 4 года назад +1

    Amina mtumishi

    • @danielmakelemo2395
      @danielmakelemo2395 4 года назад

      Ahahahaa mtumishi enzi za YESU hakukuwa na ma V8 sasa hivi hata kwnye nyumba za watumishi hatulali tukifanya semina ni Hotel. Me naona kama karoho la Gehazi kakuvuta Pesaa.

    • @cosmamosesmango1574
      @cosmamosesmango1574 4 года назад

      Mutu wa MUNGU ubarikiwe karibu kenya

    • @rosemukuri1327
      @rosemukuri1327 4 года назад

      Amina mtume nakufurahiya
      Mungu akurinde ngambo zote kukusikiriza binanipa ngivu tena za kuamini basi Mungu akuinuwe zaidi kwa sifa zake ili izojambaze zione kama Mungu anainuwa
      Nakuandikiya nafuraha mingi rohoni Mungu shaidi nakupenda kwa Jina la Yesu anuliwa Mtumwa

    • @onesmokamili2968
      @onesmokamili2968 4 года назад

      Kweli inaendelea kutuweka huru

    • @charleskuyeko4400
      @charleskuyeko4400 4 года назад

      Huo ndio utumishi wa kweli. Mungu akubariki Sana.

  • @monalisa7742
    @monalisa7742 4 года назад +1

    We we ni mkweli daima.tueleze tupone mtumishi wa Mungu.

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 4 года назад +1

    Hao manabii na mitume ukiwauliza. Je Yesu alifanya hivyo? hujibu kwamba Yesu alisema mtafanya ishara na miujiza kuliko aliyofanya.

  • @georginnathornhill4052
    @georginnathornhill4052 4 года назад

    Ameeen

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥✌

  • @babarahym9306
    @babarahym9306 4 года назад

    nakukubali sana

  • @fidelisluhunajr7982
    @fidelisluhunajr7982 4 года назад

    Mtumishi iko sahihi kabisa

  • @sylvestermhojaaron9659
    @sylvestermhojaaron9659 4 года назад

    Mimi nakuelewaga sana mtumishi, YESU akuzidishie hekima na kibali

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 Год назад

    Ata mm naamini tu hawapo hawa ni Fanya biashara

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 3 года назад

    Mchungaji anaongea kwa uchungu jmn😭😭😭

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 года назад

    Wachache njo watakusikiliza lakini nawe umehesabiwa kati yakundi la mu nyama umeongea kweli ila mitandao imekuhesabu kwakundi la mpinga kristo

  • @ellymusa5598
    @ellymusa5598 4 года назад

    Bishop naomba namba yako

  • @aloycechanunda9237
    @aloycechanunda9237 3 года назад

    bishop unatilisha mtango pori maandiko yanasema unabii wa mwisho ni kutoka kwa Yohana kazi ya nabii nikuyabashiri yajayo nayo yatatukia . hao manabii wanaotumia unabii wao kwakutumia jina la Yesu wakati maandiko yameandikwa ombeni kwa jina la Yesu na mtapewa unabii wao u wapi

  • @ellymusa5598
    @ellymusa5598 4 года назад

    Bishop kanisa lako laitwaje

  • @abellmainge1023
    @abellmainge1023 4 года назад

    Nani mwingine yupo karibu Tanzania anaeweza kutusaidia km wewe.?? Tusaidie

  • @azizaz1628
    @azizaz1628 4 года назад

    Kwanza tungejuwa nn maana ya utume nann maana ya unabii mm naona kuna sababu km 2 zinazofanya watu wakatae mitume na manabii. 1.wimbi kubwa la mitume na manabii wa uongo lililoifunika Dunia. 2.niwale wasiyotambua majira na nyakati kwa lugha nyepesi hawasomi maandiko.
    Matendo 2:17 anasema, itakuwa ktk ck za mwisho asema Mungu nitawamwagia watu wote roho yangu na wana wenu na binti zenu watatabiri, na vijana wenu wataona maono na wazee wenu wataota ndoto. Naamu, na ck zile nitawamwagia watumishi wangu wannaume na wanawa ke roho yangu nao watatabiri.

  • @abellmainge1023
    @abellmainge1023 4 года назад

    Nani mwingine yupo karibu Tanzania anaeweza kutusaidia km wewe.?? Tusaidie