Bishop Naweza Kuweka Video hii Kwenye Channel Yangu? Huwezi Kuamini Nilikuwa Namlilia Mungu kwa Miaka zaidi ya 12 auinue Mtu Kama Wewe Asafishe Mafisi yote haya!
This’s the word of Truth, it takes “Revelation of Holy Spirit to understand and accept this, for those who will understand then Truth will set them free, Matthew 24, Remember this message was preached 4 years ago and not still not expired, ask yourself why!
Aise huu ni ujumbe wa ukweli kabisa,Mungu tutie nguvu maana tunaposema kweli ya Kristo tunaonekana kama tunawakaza watu lakini ukweli ni kwamba kweli itabaki kuwa kweli tu.
Ahahahaa mtumishi enzi za YESU hakukuwa na ma V8 sasa hivi hata kwnye nyumba za watumishi hatulali tukifanya semina ni Hotel. Me naona kama karoho la Gehazi kakuvuta Pesaa.
Amina mtume nakufurahiya Mungu akurinde ngambo zote kukusikiriza binanipa ngivu tena za kuamini basi Mungu akuinuwe zaidi kwa sifa zake ili izojambaze zione kama Mungu anainuwa Nakuandikiya nafuraha mingi rohoni Mungu shaidi nakupenda kwa Jina la Yesu anuliwa Mtumwa
bishop unatilisha mtango pori maandiko yanasema unabii wa mwisho ni kutoka kwa Yohana kazi ya nabii nikuyabashiri yajayo nayo yatatukia . hao manabii wanaotumia unabii wao kwakutumia jina la Yesu wakati maandiko yameandikwa ombeni kwa jina la Yesu na mtapewa unabii wao u wapi
Kwanza tungejuwa nn maana ya utume nann maana ya unabii mm naona kuna sababu km 2 zinazofanya watu wakatae mitume na manabii. 1.wimbi kubwa la mitume na manabii wa uongo lililoifunika Dunia. 2.niwale wasiyotambua majira na nyakati kwa lugha nyepesi hawasomi maandiko. Matendo 2:17 anasema, itakuwa ktk ck za mwisho asema Mungu nitawamwagia watu wote roho yangu na wana wenu na binti zenu watatabiri, na vijana wenu wataona maono na wazee wenu wataota ndoto. Naamu, na ck zile nitawamwagia watumishi wangu wannaume na wanawa ke roho yangu nao watatabiri.
Amina nakuelewa san mwalimu wa Neno Mungu azidi kukutumia tupate kufunguliwa ufahamu .
Amina baba Injili hii ni adim sana kwa sasa, Tz naisikia kwa wachache sana akiwemo mtumishi wa Mungu Mbarikiwa Mwakipesile.
Jackson MKUYE uko vizuri mch
Huduma zote tano zilikuwa ndani ya Yesu. .ubarikiwe mtumishi.
Agayah! Mungu akubariki sana Bishop, Endelea kusimama kwenye kweli
Mtumishi Mwenyenzi Mungu akujalie afya njema njema,tunakuombea uongeze ujasili wa kuihubili kweli katikati ya mbwa mwitu.
Mungu akujalie. Hakika Mungu amekuita kwa makusudi makubwa.
Leo namshukuru Mungu maana nimelisikia nenolauzima namafundisho yakweli.ubarikiwe mtumishi
Asante sana 👏👏👏 YESU ni MUNGU.
Haleluyaa Bishop uko sawa kabisa tumejichafua bora tupone tu
Ukweli Mtupu! Ubarikiwe Mkuu Mungu Akuweke na akuzidishie
Nimeamua kuichukua niwe nasikiliza kwenye TV yetu ..umepony mioyo ya watu,ubarikiwe umetumiwa na Mungu
Injili ya vitu. watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Barikiwa sana mpendwa BISHOP
Bishop Naweza Kuweka Video hii Kwenye Channel Yangu? Huwezi Kuamini Nilikuwa Namlilia Mungu kwa Miaka zaidi ya 12 auinue Mtu Kama Wewe Asafishe Mafisi yote haya!
Weka kokote ujumbe ufike
Great thinker
Nakuombea Sana mtumishi wa Mungu.
Hubiri injili yakweli usibadilike kabisa mtumishi.
Nakufuatilia mtumishi tena nakuelewa.
Mungu akutunze Sana.
Watumikao njisi hiyo hawamtumikii Mungu bali matumbo yao.soma filipi 3:19 rumi 16:18 barikiwa sana.
Amen Amen Amen, Ni wezi na Wana wa Ibilisi, Tena wasio na Huruma!
Umeendelea kuwa msaada na kimbilio letu..barikiwa sana baba
Ubarikiwe Mtumishi Wa Kweli! Mungu Akubariki Sana
Amina unayoyasema nikweri kabisa waachewizi
Safi sana Mtumishi, songa Mbele nyosha ruler
Ameeen. Be blessed.
Hii imekaa sawasawa.Ahsante sana maana rula imenyooka.
Hapa umegusa penyewe powerful message
👏👏👏👏👏
Glory Glory Glory!
Umeeleweka mteule wa Bwana Yesu
Nakukubari sana Mana unasema ukweli wote ubarkiwe sana mtumishi
This’s the word of Truth, it takes “Revelation of Holy Spirit to understand and accept this, for those who will understand then Truth will set them free, Matthew 24, Remember this message was preached 4 years ago and not still not expired, ask yourself why!
Definitely, ni majizi wakubwa!
Aise huu ni ujumbe wa ukweli kabisa,Mungu tutie nguvu maana tunaposema kweli ya Kristo tunaonekana kama tunawakaza watu lakini ukweli ni kwamba kweli itabaki kuwa kweli tu.
Bi shop kuna mtumishi wa mungu maeneo ya busweru bondeni mwanza kumuona tu elf kumi tufumbue macho baba.
Makavu livee..😃
Bishop wetuleo amekasirika mbaya lkn ni kweli inakasirisha mno
Majizi matupu hayo
Makavu live uwizi mtupu😂😂 ni kweli mtumishi wanawaonea wana wa Africa hiyo injli ya toa hela ndo umwone mtume au nabii sijawahi kuiona hapa 🇺🇸
Amina mtumishi wa Mungu
Hongera kwa ufafanuzi mzuri.
Ni kweli Huduma zote zipo
Kanisa leo!!lin vioja haswaaaa
MUNGU atusaidie sana
Nakuunga mkono sana
Amina mtumishi
Ahahahaa mtumishi enzi za YESU hakukuwa na ma V8 sasa hivi hata kwnye nyumba za watumishi hatulali tukifanya semina ni Hotel. Me naona kama karoho la Gehazi kakuvuta Pesaa.
Mutu wa MUNGU ubarikiwe karibu kenya
Amina mtume nakufurahiya
Mungu akurinde ngambo zote kukusikiriza binanipa ngivu tena za kuamini basi Mungu akuinuwe zaidi kwa sifa zake ili izojambaze zione kama Mungu anainuwa
Nakuandikiya nafuraha mingi rohoni Mungu shaidi nakupenda kwa Jina la Yesu anuliwa Mtumwa
Kweli inaendelea kutuweka huru
Huo ndio utumishi wa kweli. Mungu akubariki Sana.
We we ni mkweli daima.tueleze tupone mtumishi wa Mungu.
Hao manabii na mitume ukiwauliza. Je Yesu alifanya hivyo? hujibu kwamba Yesu alisema mtafanya ishara na miujiza kuliko aliyofanya.
Ameeen
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥✌
nakukubali sana
Mtumishi iko sahihi kabisa
Mimi nakuelewaga sana mtumishi, YESU akuzidishie hekima na kibali
Ata mm naamini tu hawapo hawa ni Fanya biashara
Mchungaji anaongea kwa uchungu jmn😭😭😭
Wachache njo watakusikiliza lakini nawe umehesabiwa kati yakundi la mu nyama umeongea kweli ila mitandao imekuhesabu kwakundi la mpinga kristo
Hata Yesu hawakumkubali japo alikuwa ni kweli na uzima
Bishop naomba namba yako
fumbuamacholeo@gmail.com
bishop unatilisha mtango pori maandiko yanasema unabii wa mwisho ni kutoka kwa Yohana kazi ya nabii nikuyabashiri yajayo nayo yatatukia . hao manabii wanaotumia unabii wao kwakutumia jina la Yesu wakati maandiko yameandikwa ombeni kwa jina la Yesu na mtapewa unabii wao u wapi
Bishop kanisa lako laitwaje
You have a power of the living God Bishop
Liko mwanza linaitwa TFE kwa neema
Nani mwingine yupo karibu Tanzania anaeweza kutusaidia km wewe.?? Tusaidie
Kwanza tungejuwa nn maana ya utume nann maana ya unabii mm naona kuna sababu km 2 zinazofanya watu wakatae mitume na manabii. 1.wimbi kubwa la mitume na manabii wa uongo lililoifunika Dunia. 2.niwale wasiyotambua majira na nyakati kwa lugha nyepesi hawasomi maandiko.
Matendo 2:17 anasema, itakuwa ktk ck za mwisho asema Mungu nitawamwagia watu wote roho yangu na wana wenu na binti zenu watatabiri, na vijana wenu wataona maono na wazee wenu wataota ndoto. Naamu, na ck zile nitawamwagia watumishi wangu wannaume na wanawa ke roho yangu nao watatabiri.
Wwwqwwwwwww
Nani mwingine yupo karibu Tanzania anaeweza kutusaidia km wewe.?? Tusaidie