Haya watukanaji fungasha mizigo na kuondoka.Na mhakikishe mnaondoka mpaka na vumbi lenu mnapangusa kabisa.Yaani hata vumbi lenu halitakiwi hakikisha mnaacha mmesafisha kabisa na kudeki juu mtuachie hewa safiiii baridiii tupumue kwa amani na tusikilize mafundisho bila bugudha.Ni kwa amani tuu.Ahsante mtumishi wa Mungu kunisemea jambo ambalo huwa linaniudhi sana.MATUSI.
Thank GOD, cs i just received my full doze of covid vaccination a few moment ago with no any side effect seen or changing to be zombie as many people says. Thanks bishop for your encouragement & God bless you forever.
Asante sana Bishop Mpemba watanzania wanapenda sana matusi....hlf sio lazma u comments kitu unaweza ukaangalia kitu kama uelewi uliza au pita kushoto na sio kutukana mtu...ushamba na ujinga kabsa
Ebu mtumishi wa Mungu umezungumzia Sana Jambo la haki na vile viongozi wengi was dini ni waoga kuikosoa serikali maali ambapo wanatendea wananchi wake wenyewe mambo ya ukatili mpaka kufikia kiwango Cha kumuita kiongozi anaejaribu kupigania maslai mapana ya taifa gaidi mtumishi swala hili unalizunguzaje sababu sisi wananchi vichwa vinatuuma atujui lakufanya.
Bishop ukisema tegemea yote ndio utumishi hata Bwana Yesu alisema yeye ni Kristo si kutukanwa tu aliuawa kabisa. Ukiona unaumia matusi ya wanaotukana inawezekana umeshindwa kutetea hoja yako au kiroho bado mchanga. Na unachosema wewe si lazima kiwe sahihi inawezekana huna taarifa za kutosha. Usijiamini kupita kiasi ni Mungu tu ambaye hana kasoro. Kubali usemwe hata kutukanwa na usiache kuelimisha na usivunjike moyo maadam unamtumikia Mungu. Agayaaa
Hulka yangu si ya kukatishwa tamaa na mwanadamu. Nawasaidia wenye akili ili wasipoteze muda wao. Siwezi ruhusu pia mtu anipotezee muda. Wenye mawazo ya hovyo najua cha kuwafanya. Hawawezi kuendelea kuchangia kwenye channel yangu. Naamini channel hii itakuwa moja ya channels chache za Kiswahili zinazoelimisha watu kwenye kona za faida!
Siku zote nasema asante Bishop maana umekuwa roll model wangu miaka Mingi sasa
Haya watukanaji fungasha mizigo na kuondoka.Na mhakikishe mnaondoka mpaka na vumbi lenu mnapangusa kabisa.Yaani hata vumbi lenu halitakiwi hakikisha mnaacha mmesafisha kabisa na kudeki juu mtuachie hewa safiiii baridiii tupumue kwa amani na tusikilize mafundisho bila bugudha.Ni kwa amani tuu.Ahsante mtumishi wa Mungu kunisemea jambo ambalo huwa linaniudhi sana.MATUSI.
Yan mtumishi mim unavyo hongea na barikiwa San
Umeongea sahii mtumishi wa Mungu. Baraka za Mungu ziwe nawe. Amen.
Thank GOD, cs i just received my full doze of covid vaccination a few moment ago with no any side effect seen or changing to be zombie as many people says. Thanks bishop for your encouragement & God bless you forever.
You have chosen the right way. Congratulations!!
@@bishopaugustinempemba4561 amen! thanks.
Asante kwa kutujuza.... mi napenda kujifunza!!
Asante sana Bishop Mpemba watanzania wanapenda sana matusi....hlf sio lazma u comments kitu unaweza ukaangalia kitu kama uelewi uliza au pita kushoto na sio kutukana mtu...ushamba na ujinga kabsa
Ebu mtumishi wa Mungu umezungumzia Sana Jambo la haki na vile viongozi wengi was dini ni waoga kuikosoa serikali maali ambapo wanatendea wananchi wake wenyewe mambo ya ukatili mpaka kufikia kiwango Cha kumuita kiongozi anaejaribu kupigania maslai mapana ya taifa gaidi mtumishi swala hili unalizunguzaje sababu sisi wananchi vichwa vinatuuma atujui lakufanya.
Kweli. Mungu akubariki
ubarikiwe sanaa kaka
Bishop ukisema tegemea yote ndio utumishi hata Bwana Yesu alisema yeye ni Kristo si kutukanwa tu aliuawa kabisa.
Ukiona unaumia matusi ya wanaotukana inawezekana umeshindwa kutetea hoja yako au kiroho bado mchanga.
Na unachosema wewe si lazima kiwe sahihi inawezekana huna taarifa za kutosha.
Usijiamini kupita kiasi ni Mungu tu ambaye hana kasoro.
Kubali usemwe hata kutukanwa na usiache kuelimisha na usivunjike moyo maadam unamtumikia Mungu.
Agayaaa
Hulka yangu si ya kukatishwa tamaa na mwanadamu. Nawasaidia wenye akili ili wasipoteze muda wao. Siwezi ruhusu pia mtu anipotezee muda. Wenye mawazo ya hovyo najua cha kuwafanya. Hawawezi kuendelea kuchangia kwenye channel yangu. Naamini channel hii itakuwa moja ya channels chache za Kiswahili zinazoelimisha watu kwenye kona za faida!
ivii lyasa wwe nimkristo muislam jitaidi bas usiwe vugu vugu ukatapikwa
Tupo Pamoja Mkuu!
Amen.
Agayaaaaa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Swali langu kwako mtumishi wa Mungu je kila mtu ana Roho Mtakatifu,je Nitajuaje kuwa mm nina Roho Mtakatifu?
Ukimwamini Yesu tu unapewa Roho Mtakatifu ndani yako!
@@bishopaugustinempemba4561 Kuna clip ulitoa kuusu watumishi wezi nilifunguk mno pia mminimtumishi wamungu naomb utusaidie bba