Acha Nikuambie Hiviii..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Pepere:fumbuamacholeo@gmail.com

Комментарии • 26

  • @ngalulabutungo9660
    @ngalulabutungo9660 3 года назад +1

    Siku zote nasema asante Bishop maana umekuwa roll model wangu miaka Mingi sasa

  • @doreenkissia1087
    @doreenkissia1087 3 года назад

    Haya watukanaji fungasha mizigo na kuondoka.Na mhakikishe mnaondoka mpaka na vumbi lenu mnapangusa kabisa.Yaani hata vumbi lenu halitakiwi hakikisha mnaacha mmesafisha kabisa na kudeki juu mtuachie hewa safiiii baridiii tupumue kwa amani na tusikilize mafundisho bila bugudha.Ni kwa amani tuu.Ahsante mtumishi wa Mungu kunisemea jambo ambalo huwa linaniudhi sana.MATUSI.

  • @morrispaulo9615
    @morrispaulo9615 3 года назад

    Yan mtumishi mim unavyo hongea na barikiwa San

  • @MmungaMLTV
    @MmungaMLTV 3 года назад

    Umeongea sahii mtumishi wa Mungu. Baraka za Mungu ziwe nawe. Amen.

  • @raphaelshan4905
    @raphaelshan4905 3 года назад +2

    Thank GOD, cs i just received my full doze of covid vaccination a few moment ago with no any side effect seen or changing to be zombie as many people says. Thanks bishop for your encouragement & God bless you forever.

  • @barnabazawadi5686
    @barnabazawadi5686 3 года назад

    Asante kwa kutujuza.... mi napenda kujifunza!!

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 3 года назад

    Asante sana Bishop Mpemba watanzania wanapenda sana matusi....hlf sio lazma u comments kitu unaweza ukaangalia kitu kama uelewi uliza au pita kushoto na sio kutukana mtu...ushamba na ujinga kabsa

  • @williamswai3747
    @williamswai3747 3 года назад

    Ebu mtumishi wa Mungu umezungumzia Sana Jambo la haki na vile viongozi wengi was dini ni waoga kuikosoa serikali maali ambapo wanatendea wananchi wake wenyewe mambo ya ukatili mpaka kufikia kiwango Cha kumuita kiongozi anaejaribu kupigania maslai mapana ya taifa gaidi mtumishi swala hili unalizunguzaje sababu sisi wananchi vichwa vinatuuma atujui lakufanya.

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 3 года назад

    Kweli. Mungu akubariki

  • @duniamapitosotewamungu3467
    @duniamapitosotewamungu3467 3 года назад

    ubarikiwe sanaa kaka

  • @nabiiilyaaseliya2551
    @nabiiilyaaseliya2551 3 года назад

    Bishop ukisema tegemea yote ndio utumishi hata Bwana Yesu alisema yeye ni Kristo si kutukanwa tu aliuawa kabisa.
    Ukiona unaumia matusi ya wanaotukana inawezekana umeshindwa kutetea hoja yako au kiroho bado mchanga.
    Na unachosema wewe si lazima kiwe sahihi inawezekana huna taarifa za kutosha.
    Usijiamini kupita kiasi ni Mungu tu ambaye hana kasoro.
    Kubali usemwe hata kutukanwa na usiache kuelimisha na usivunjike moyo maadam unamtumikia Mungu.
    Agayaaa

    • @bishopaugustinempemba4561
      @bishopaugustinempemba4561  3 года назад +1

      Hulka yangu si ya kukatishwa tamaa na mwanadamu. Nawasaidia wenye akili ili wasipoteze muda wao. Siwezi ruhusu pia mtu anipotezee muda. Wenye mawazo ya hovyo najua cha kuwafanya. Hawawezi kuendelea kuchangia kwenye channel yangu. Naamini channel hii itakuwa moja ya channels chache za Kiswahili zinazoelimisha watu kwenye kona za faida!

    • @hopefor2088
      @hopefor2088 3 года назад

      ivii lyasa wwe nimkristo muislam jitaidi bas usiwe vugu vugu ukatapikwa

  • @greygoryhenry1969
    @greygoryhenry1969 3 года назад

    Tupo Pamoja Mkuu!

  • @freewaykweka8752
    @freewaykweka8752 3 года назад +1

    Amen.

  • @drsumatz7539
    @drsumatz7539 3 года назад

    Agayaaaaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @barnabasmajige8473
    @barnabasmajige8473 3 года назад

    Swali langu kwako mtumishi wa Mungu je kila mtu ana Roho Mtakatifu,je Nitajuaje kuwa mm nina Roho Mtakatifu?

    • @bishopaugustinempemba4561
      @bishopaugustinempemba4561  3 года назад

      Ukimwamini Yesu tu unapewa Roho Mtakatifu ndani yako!

    • @hopefor2088
      @hopefor2088 3 года назад

      @@bishopaugustinempemba4561 Kuna clip ulitoa kuusu watumishi wezi nilifunguk mno pia mminimtumishi wamungu naomb utusaidie bba