Wa Tanzania sio wajinga hatudanganyiki na helicopter semeni sera zenu mtatufanyia nini wa Tanzania sio kila wakati eti tulikimbia nchi, tumepanda ndege sasa hamja pewa dola mnazurura na ndege je mkipewa dola?... Tuwe makini na hawa matapeli wa kisiasa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
ww jamaaaa ndege ni usafir kama usafri mwingine na hawa jamaa mulio wapa miaka 62 ya uhuru hadi leo nishida kila kona maish magumu banda mmeuza na kila kitu mmeuza masai mnawafukuza kwao bora hata hawa wanatusaidia kutpatia upeo
Viongozi wa chadema hamjitambui mnapenda sufa na matusi ndiyo Sera za viongozi ninyii
Wa Tanzania sio wajinga hatudanganyiki na helicopter semeni sera zenu mtatufanyia nini wa Tanzania sio kila wakati eti tulikimbia nchi, tumepanda ndege sasa hamja pewa dola mnazurura na ndege je mkipewa dola?... Tuwe makini na hawa matapeli wa kisiasa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
ww jamaaaa ndege ni usafir kama usafri mwingine na hawa jamaa mulio wapa miaka 62 ya uhuru hadi leo nishida kila kona maish magumu banda mmeuza na kila kitu mmeuza masai mnawafukuza kwao bora hata hawa wanatusaidia kutpatia upeo