MAZITO YA MBOWE NA LEMA MPAKANI(NAMANGA)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • IPINDA ONLINE TV...........Asante kw Kuchagua Ipinda Online Tv........Usisahau Kusubscribe Channel yetu

Комментарии • 21

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x 2 месяца назад +4

    Sisi wamasai niwajinga San wanasifi ujinga ya CCM

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x 2 месяца назад +2

    Kweli kabisa mwapie

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi 2 месяца назад +1

    Tuwatarifu ccm Siku ya kura umeme usikate maana awo ccm ni Giza la shetani

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 месяца назад

    Nani ashauri fisi emu kwani wao wana akili matope mnatakiwa mpishe tumechoka na mambogamboga

  • @DaanmeipukiMakesen
    @DaanmeipukiMakesen 2 месяца назад

    Tuondoe huu upumbavuwa kanyonywa huni ukatili tanafanyiwa na ccm lakini leo tuambie 🦾✌️✌️mbele

  • @hakiyangu
    @hakiyangu 2 месяца назад

    Hivi watanganyika tunaipenda nchi yetu? Kama tunaipenda Tanganyika yetu basi tufanye jambo la kumpendeza mungu wetu aliyetupa nchi tajiri hii.

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x 2 месяца назад

    ✌️✌️✌️✌️💯💯💯

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 2 месяца назад

    Wapi lisu au kawakacha

    • @hakiyangu
      @hakiyangu 2 месяца назад

      Unawaza ujinga wakati wenzio wanapigania uchumi na maendeleo ya nchi.

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 2 месяца назад

      @@hakiyangu nahisi mjinga ni wewe ambae hujatafakari swali langu na kukurupuka kujibu

    • @hakiyangu
      @hakiyangu 2 месяца назад

      @@PrinceHendry-hp8vv sasa swali lako la kuukiza wapi alipo lisu si ni ujinga., comment kwa anachoongea

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 2 месяца назад

      @@hakiyangu ni haki yako

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 месяца назад

    MNASEMA TUNA RASILIMAL AF HAMSHAUR ZITUMIKE VIP KUINGIZA MAPATO AU NDO MNATAKA ZIUZWE ILI TUPATE PESA EM PUNGUZEN KULALA MIKA MJIKITE KWENYE KUISHAURI SELIKAL KULALAMIKA MTUACHIE SIS

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 2 месяца назад +1

      Yani Hawa cdm ndio wenye uwezo na plani mpya ya uongozi.. ccm imejaa wapumba woote hanazo. Sasa unataka Hawa wawafundishe ccm kuongoza alafu wajisifu? Kama ccm Wana akili siwangeyafanya hayo yanayosemwa kwakua wao ndio wenye dhamana kwa Sasa. Niwapumbavu ccm wote.

    • @ikotilissu5380
      @ikotilissu5380 2 месяца назад

      Kama una rasilimali zote hizo halafu hujui uzitumieje unataka ushauri maanake ni mpumbavu pisha hapo

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 месяца назад

    ACHEN KUROPOKA SAS MNASEMA TUNAKILA KITU AF HAMTOI USHAURI HIZO LASILIMALI ZITUMIKE VIP IL KUINGIZA MAPATO ONESHEN BAS UWEZO WENU KWA KUISHAURI SELIKAL SIO KULALAMIKA TU SASA SS TULALAMIKE NA NYIE WASOMI MLALAMIKE SAS FAIDA YENU IKO WAP S BORA MJE TULIME TU 😢😢😢

    • @mgungulem3187
      @mgungulem3187 2 месяца назад

      Washauriwe mara ngapi?? Angalia wafanya biashara Leo Kariakoo mawazo yao yote yametupwa wamebaki kulalamika

    • @ambitiousholyspirit395
      @ambitiousholyspirit395 2 месяца назад

      Walishaur mambo mengi bungeni mliwasikiluza badala yake tumetoka uchuni wa kati na tmerudi hatua zaid nyuma,

    • @Noelkitoi
      @Noelkitoi 2 месяца назад

      Watu wa ccm awana tofauti na kondom

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 2 месяца назад

      Toa ushauri.

    • @isackphilipo9870
      @isackphilipo9870 2 месяца назад

      Mie mmasai nimekombolewa kwasasa ni mwana Chadema