MBOWE AFUNGUKA WENZA WA VIONGOZI KULIPWA, MISHAHARA YA WABUNGE KUONGEZWA, GHARAMA ZIMEPANDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 мар 2024

Комментарии • 216

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda 2 месяца назад

    Mungu ibariki sauti ya chadema ✌️🇹🇿 wa Tz tumechoka sana

  • @allytv1714
    @allytv1714 4 месяца назад +4

    Yaan hii nchi masikini ni wengi wenye ziki ni wengi na wasiyo jua haki zao ni wengi lkn hayo makundi yote ndo yananunulika siku za uchaguzi na kupewa kanga na kofia na sukari ,mchele pia pesa wanauza haki zao wanateseka miaka 10 na shida zao

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @DeficitNuts
    @DeficitNuts 4 месяца назад +1

    Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @augustinesombi6285
    @augustinesombi6285 4 месяца назад +8

    Sasa kwann mlikuwa mnamtukana JPM,,, mzee wangu nakuombea Sana, ulivyofariki,, na mm kama mjasiriamali mdogo nikafilisika, love JPM, R.I.P my president

    • @user-jc8vi7hm6e
      @user-jc8vi7hm6e 4 месяца назад

      Wewe ni kama mimi ndugu yangu toka pale kila kitu kimefilisika

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 4 месяца назад +1

      Hoja yko nn

    • @ramadhanmwandambotuntufye5972
      @ramadhanmwandambotuntufye5972 4 месяца назад

      Hata yeye hakuwa na jipya hata huyo anayepiga kelele akipewa nchi naye atakuwa ni wale wale tu.

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s 4 месяца назад +1

      Muuaji yule aliepoteza roho za wanyonge kibao duu bado mnamkumbuka yule dictator?Aaaa ok kwa sababu hawajauliwa baba zako,wajomba zako,ndugu zako wala kutekwa na kubambikiziwa kesi za uongo wewe ni aina ya watu wabinafsi na wenye roho mbaya ya wengine hayakuhusu.Una roho kam ya Magu ukikosolewa kixogo tu umeondoka na roho ya mtu.Poor on uuuuu.

    • @aishaabrahaman9957
      @aishaabrahaman9957 4 месяца назад

      ​@@user-oh6pc7zd4sweweee mavuzi kweli

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 4 месяца назад +7

    Kuna wajinga wanasema Mbowe ana njaa, knina zako, huoni alivyonenepa mbwa wew

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA 4 месяца назад +4

    Kwa hiyo hizi nyumba za viongozi familiya yote inalipwa mishahara Jamani Mrudieni Mungu hii dhuluma ya hali juu kesho mtajibu mmepeleka wapi Jasho la Watu

    • @babalao910
      @babalao910 4 месяца назад +2

      Dhuluma tunaichagua wenyewe.

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k 4 месяца назад

      Watanzania bado wamelala fofo,ukija uchaguzi wanakwambia ccm mbele kwa mbele, HAKIKA INASIKITISHA ,,,CCM HAIFAI INATUFANYA WATANZANIA KUWA MAFUKARA

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @LucasNtalima
    @LucasNtalima 4 месяца назад +3

    Jamani kama ni kweli wabunge mwogopeni Mungu waangalie idara ya afya puguzeni mishahara muwaogezee kama mnautu hao ndio wanahangaika na uhai wenu.

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 4 месяца назад +1

      Kuna Walimu pia

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @StephanoMoses
    @StephanoMoses 4 месяца назад +1

    NDIO MAANA DENI LA TAIFA LINAZIDI KUKUA NA LINATUUMIZA SISI WANANCHI MAANA WALAJI NI VIONGOZI NA WENZA WAO ILA WALIPA DENI NI WANANCHI.
    TZ TZ Nakupenda kwa moyo wote

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 4 месяца назад +2

    Nikiwa raisi ya nchi hii mbuge atalipwa kama walimu wa kawaida ,shule zimechakaa ,azina rangi mnalipwa Hela kibao

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 4 месяца назад +3

    Mulipokuwa wabunge mulileta hoja za kupunguziwa mishara yenu bungeni ...hebu acheni hizo zenu hata kama ni kutafuta huruma kutoka kwa wananchi lakini sio hivi 😂😂😂

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 4 месяца назад

      Wameishiwa hawa

    • @mgoamkiza1117
      @mgoamkiza1117 4 месяца назад

      Muongo huyo mbowe😂😂😂😂

  • @simonitaagesti4765
    @simonitaagesti4765 4 месяца назад +3

    mbona kipindi upo mbunge ukuleta izo hoja ndugu yngu kwani miaka yako hao walimu awakuwepo

  • @silivestatesha9262
    @silivestatesha9262 4 месяца назад +2

    Unapesa sana mbowe mungu kakubariki sana nautajiri naumarufu watu wamachame tuna kukubali sana kaka yetu mboe

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 4 месяца назад +1

    Wanasiasa nyie ni wapumbavu sana. Hamna uwezo wowote wa kubadilisha maisha yetu sisi tunamtegemea Mungu 2

    • @LuganoPondo-km8ub
      @LuganoPondo-km8ub 4 месяца назад +1

      Acha ujinga kijana,mungu alishakupa akili, tumia akili vizuri

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k 4 месяца назад

      ​@@LuganoPondo-km8ubhilo jamaa sijui limeenda shule au halijenda,,nafikiri darasa LA 3 ,nafikiri ni chawa LA mama

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka 4 месяца назад +2

    Wewe jee!!!msitundanganye acha tuishi mungu ndie msaada wa kututoa kwa yeyote anatuonea kwenye pesa wote mmepotea

    • @richardmbasha1411
      @richardmbasha1411 4 месяца назад +1

      Tumia akili kidogo bana na wewe..ah

    • @allytv1714
      @allytv1714 4 месяца назад +1

      Mungu anasema jisaidie na mimi ntakusaidia

    • @EdwardJohn-xz5oi
      @EdwardJohn-xz5oi 4 месяца назад

      Kitabu gani hicho??​@@allytv1714

    • @herybertsabai6503
      @herybertsabai6503 4 месяца назад

      Lakini sio kwa chadema ​@@richardmbasha1411

    • @peterdeus6093
      @peterdeus6093 4 месяца назад

      Huu ndo ujinga wa waafrika sasa hapa MUNGU anahusikaje

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 4 месяца назад +3

    Mlikuwa wabunge mbona hamkupeleka hoja bungeni mpunguziwe ni unafiki tu

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 4 месяца назад +2

    Tangu dunia iumbwe maisha hayajawahi kuwa rahisi! Sema sera mzee Acha kukauka koo bure!😂😂

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 4 месяца назад

      Kweli kabisa anapandikiza chuki kwa police

    • @luckiiinuswe1725
      @luckiiinuswe1725 4 месяца назад +1

      Nyie n mitapeli mnaopinga​@@Mumewangu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад +1

      ​@@luckiiinuswe1725tena yakupindukia

  • @ngamugamahonzelosanga3316
    @ngamugamahonzelosanga3316 4 месяца назад

    Mbowe upo sahihi unaongea ukweli baadhi ya viongozi wameziba pamba masikio lakini ukweli tunataka katiba mpya CCM wasikikilizeni wananchi acheni kupuuza puza kizazi hiki sio cha lipite bila kupingwa wala ndio mzee ni kizazi cha wasomi wanaohoji pia acheni kupeana vyeo kwa kujuana au wale wale miaka yote ni vibaya sana Hongera sana Mh Mbowe unatufungua masikio

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 4 месяца назад +5

    Kama kweli Kuna serikali isiyo na huruma ni hii ya ccm

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 4 месяца назад +3

    NA YEYE ATWAMBIE YALE MABILIONI YA RUZUKU WALIYOPEWA NA MH.SAMIA YAKO WAPI??

    • @chacha-255
      @chacha-255 4 месяца назад

      ni kodi za wananchi sio pesa za Samia, kwenye demokrasia ni lazima na sio ombi kila chama kipewe ruzuku

    • @peterjengela1770
      @peterjengela1770 4 месяца назад

      Ruzuku ya chama wamenunulia jengo ambalo sasa ni OFISI YA CHAMA DAR NA TAIFA

  • @thomasmichaellukumai-ny7se
    @thomasmichaellukumai-ny7se 4 месяца назад +2

    Mbona ukuongea ukiwa uko ukusema hayo

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @AdenAdiliano-rh8zf
    @AdenAdiliano-rh8zf 4 месяца назад +1

    Hata wewe mwenyewe ungekua Rais haya tusingeyasikia Mimi siko na Chama ila Wana siasa waliowengi ni kujali familia zao to

  • @boniventurehussein7276
    @boniventurehussein7276 4 месяца назад +1

    😢eh mungu tusaidie maskini wa Tanzania maana ya mke.nini? Nikumhudumia mumeo analipwaje tena? Da😢😢😢😢

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @ezekieldeus6022
    @ezekieldeus6022 2 месяца назад

    Hivi nikwanini, watz, wale wanaopata nafasi za ajira serikalini wanajipa haki zaidi ya gawio la keki ya nchi hii kuliko hili kundi la watz, wa nchi hii?. Je hiyo ndiyo haki?.

  • @mgoamkiza1117
    @mgoamkiza1117 4 месяца назад +1

    Mbona ww huo mshahara hukuwahi kusema wakati bado uko bungeni?au mbona hukuwahi kutoka maoni ya kusema kuwa mnapewa pesa nyingi au leo ndo umejua kuwa mwananchi wanamaisha magum?😂😂 acha maigizo mbowe ww

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 4 месяца назад +2

    Leo ndo mnasema kwa kua hampo mafarakan mbona mlivyokuwepo madarakan hamkusema?

    • @Enugundani8299
      @Enugundani8299 4 месяца назад

      Hapo ndiyo unasema nn dada?

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 3 месяца назад

      Kwa taarifa yako. Alipokuwa bungeni, wabunge wa upinzani ndiyo wanaotutetea.

  • @abbassaid9305
    @abbassaid9305 4 месяца назад +1

    Mbona kipindi upo bungeni ulikua hulalamiki upunguziwe mshahàra mzee acha unafiki

    • @godfreyvedastus4329
      @godfreyvedastus4329 4 месяца назад

      Kwani kipindi kile yy akiwa bungeni ww chakula ulikuwa unanunua bei geni? Je, mishahara ya Walimu na police ya kipindi kile na leo imebadilika kama ilivyo ya wabunge wa leo?

  • @methewbuzuruga-eg8oz
    @methewbuzuruga-eg8oz 4 месяца назад +3

    Yaani ndugu yangu mbowe maneno hayo maneno yako yanatuumiza sana sisi wanyonge ila maneno hayo kwa jamaa zetu ndiyo kabisa hawakubali katiba kabisa

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 4 месяца назад +1

    Wanasiasa ndio munaoongoza kuila Nchi Wewe Mbowe mwenyewe hapo Na CHADEMA yako
    Munakula mamilioni ya Ruzuku kutoka ktk kodi za wananchi maskini

    • @StevenGendo-vx9jo
      @StevenGendo-vx9jo 4 месяца назад

      Kamwambie baba ako nae ale

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 4 месяца назад

      @@StevenGendo-vx9jo
      Mdingi ni Mkulima maskini Bahi hapa
      Analima alizeti tu
      Sio MWANASIASA kama Mbowe

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 4 месяца назад

    Yesu kristu mbinguni,kweli alisema magufuli hii nchi inshla narisilimali kubwa,sasa kwahyo baba yngu lazima umasikini uwepo mkubwa,hli yamaisha IWE ngumu kuliko,vitu virakuwa juu sana,mabando ytakuwa juu sana,kwasababu tu wameamua kujilimbikizia Mali nafedha.Hawezi kukubali kubadilisha katiba miaka mia.Kwapesa hizo wanazopkea,nastarehee hizo turasali jmn.Duuu mpka moyo unagonga

  • @kingmpeto4510
    @kingmpeto4510 4 месяца назад

    Kumbe mbowe nae unasauti ya kike mzr kiasi icho kwa Nini usingekua mtoto wa kike tu tujue 1😂😂

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 4 месяца назад

    MUNGU atuinulie viongozi wazalendo watakaotuongoza kuijenga nchi yetu kwa moyo.

  • @zakariamachinga151
    @zakariamachinga151 4 месяца назад

    Mwenyewe mwizi wa Madini Tanzanite ndiko umepata fedha mboe tunakufaham sana, Dawa yako alikuwa Magu.. katiba ya Watanzania na sisi wenyewe inatutosha sana , sehemu ya kubadili ni hakuna vyama vingi kimabaki chama kimoja

  • @user-bm4nu8xp4t
    @user-bm4nu8xp4t 4 месяца назад

    Hawa wanafki tu. Kama mlkuwa mnalipwa mil.13 hamkuona tatzo kipndi hicho mkaibua leo hii mpo nje ya system ndo mnajifanya kuongea. Mungu atusaidie sisi watanzania

    • @godfreyvedastus4329
      @godfreyvedastus4329 4 месяца назад

      Gharama za maisha za kipindi kile na sasa zimebadilika sana, kama wao wamejiongezea mishahara kulingana na Hali ya maisha je hili kundi lingine linaishije? Kuweni welewa basi mbona mnafikiri kwa chuki na kuchukulia mambo kirahisi?

  • @allytv1714
    @allytv1714 4 месяца назад

    Watanzania awawezi elewa unachoongea kama siyo mzalendo jamani mbn izo pesa za raia wanagawana ivo na family zao

  • @AyubuMwalongo
    @AyubuMwalongo 4 месяца назад

    Siku moja nikifa niende mbinguni. Amen 😭😭😭😭😭

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 4 месяца назад +1

    Ulipokuwepo bungeni ulipokea na ukakataa,umetoka leo unatomboka tombola acha unafiki

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 4 месяца назад

    Watu tuna akili ya nzi, hawakuelewi hao, CCM watakula mpaka waharishe na kutapika

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 месяца назад

    Raus kapata wapi pesa ya kumpa mbowe ameuza karafuu huko zanzbar acha ujinga pesa zote ni za kwetu. Walipa Kodi kakojoe ulale

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 4 месяца назад

    Ndiyo maana tunaumizwa sana, na deni la Taifa kupanda.

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 4 месяца назад

    Hapo tu kwenye pensheni ya ya maraisi waastafu, 80% na wake zao 60% , du inatisha!! Na mbunge naye mshahara million 18?kwa wengine nchi hii ni maskini , pesa hakuna , hali ikiwa nzuri , utasikia wakisema. Haya bana yetu macho. Haki iko mbinguni tu .

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 4 месяца назад

    Sija ona shida iko wapi ata wange kua wana lipwa mabilion si wame tumikia nchi pasavyo wacha waleo pesa zao.mpaka kufa

  • @stephenwakunyala4004
    @stephenwakunyala4004 4 месяца назад

    Kweli Imekuwa Selikali ya Matapeli kwa Mishahara hiyo

  • @AntonyDova
    @AntonyDova 4 месяца назад

    Inatisha sana dah

  • @saidabdus9014
    @saidabdus9014 4 месяца назад +1

    Mlipokuwa mkilipwa mlikua mnapokea au mliacha?

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 4 месяца назад +2

      Zito Kuna kipindi alitoa hoja wapunguziwe mshahara hao wakiwa wabunge walitaka wamtenge wapuuzi sana hao

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 4 месяца назад +1

    Hata wewe asali ya ubunge ulilamba na hukulalamika! Mbowe bwana! Toa sera zako! Wewe utafanyaje???😅😅😅

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 4 месяца назад

      Wameishiwa tu huyu

  • @marceljohnkimaty4986
    @marceljohnkimaty4986 3 месяца назад

    Hata mlipokuwa mnakula milioni 13 hazikuwa chache. Za sasa 18 zinawauma kwa sababu mmezikosa. Shame on you!

  • @noelmaro7456
    @noelmaro7456 4 месяца назад

    mbona walivyo kua bungen awajawai kulalamika wametoka ndo wanaanza kelele ambazo azina afya

  • @tabiasaidi2931
    @tabiasaidi2931 4 месяца назад

    Ivi kweli huo ni mkutano wa hadhara au kikao cha familia

  • @erastomathias911
    @erastomathias911 4 месяца назад

    Ni kweli kabixa

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 4 месяца назад

    SHKAMOO SIASA,UKIIJUA HII HAIKUPI SHIDA😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.use your brain.

  • @user-fn1iv1hk6h
    @user-fn1iv1hk6h 4 месяца назад +2

    Wa600

  • @V24hrs
    @V24hrs 4 месяца назад

    Mwenyekiti wa milele .

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @youngchezo2744
    @youngchezo2744 4 месяца назад

    Duuu!

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 4 месяца назад

    Kama kwel haya ni ya kwel badi ccm ni zaid ya shetan aliyeko dunian,

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 4 месяца назад

    Nawe mbowe kuwa mkweli mbona wakati ukiwa bungeni sijawahi sikia nondo kama hizi,ok tume amka katiba ni ya muhimu

  • @ANRAHIMKADUMA
    @ANRAHIMKADUMA 4 месяца назад

    Familia zinashindwa kusomesha watoto kumbe kuna mafedha yapo majumbani kwa viongozi punguzeni hizo zisaidie wengine

  • @user-nz9eb4ud6y
    @user-nz9eb4ud6y 3 месяца назад

    Hapa wanaotuangusha ni vyombo vya dola pindueni vitu ebo

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 4 месяца назад

    Lakin kweli hii sawa aisee izo pesa ni Bora hata watoe mikopo isiyo na vikwazo kibao Hadi kuipata kwa mwananch mmoja mmoja sio had vikundi ili wafanye biashara lakn leo hii hata kuipata mikopo TU ni tabu wakat Kuna watu wanachezea pesa za nchi

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @user-mm6fe9vz2p
    @user-mm6fe9vz2p 4 месяца назад +1

    Unastahili kuwa raise wa nchi hii

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 4 месяца назад

    miCCM MITUPU MBOWE HATARI

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 месяца назад +4

    Hapo mbowe umeongea kama kamanda kwel

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 4 месяца назад

      Hii nchi tunakoenda sivyo jamani

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 4 месяца назад

      Hana lolote alipokuwopo Bungeni mbona aliluwa kimya

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 4 месяца назад +1

    Kwanza mnaudini sana natulisha washtukia

    • @Enugundani8299
      @Enugundani8299 4 месяца назад

      Anaesema udini ndiyo mdini, acha udini ndugu

    • @EdwardJohn-xz5oi
      @EdwardJohn-xz5oi 4 месяца назад

      ​@martinsindani8299Na ww umeona ehee

    • @efrahimphilipo4337
      @efrahimphilipo4337 4 месяца назад

      Yaani tanzania rahisi sana kuongoza we tumia2 dini au ukanda unawaburuta kama kondoo waendao machinjioni hawana ata uwezo wa kufikiri hata kidogo oooh may lord have mercy on us

  • @user-hh3hu4eg1z
    @user-hh3hu4eg1z 4 месяца назад +1

    Inawezekana Kodi yangu inawafanya watu wavimbe

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 4 месяца назад +1

    Raia wa Tanzania wanadanganywa ka hawa wanasiasa. Wapi ambapo mfumo wa maisha haujapanda duniani? Wapi wabunge wanalipwa Mishahara midogo? Angasema kua anakwenda kurudisha sehemu ya pesa alizopewa bungeni

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 4 месяца назад

      Wameishiwa hawa

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 4 месяца назад +1

      Hatukatai wao kulipwa, tatizo kubwa wanajilipa wao Tu, wengine wanawalipa kidogo Hilo ndio tatizo

  • @katapaj2336
    @katapaj2336 4 месяца назад

    Mboe ni ccm kubali kataa😂😂😂

  • @user-le2ep5nq8c
    @user-le2ep5nq8c 3 месяца назад

    Sawa sisi wastafu Wacha tufe na kikokoto

  • @TECHEASY101
    @TECHEASY101 4 месяца назад

    👉kwakua uchaguzi unakaribia ningependa kuuliza .Hivi kipi kianze kati ya katiba mpya na uchaguzi.👉Je tuchague viongozi kwanza ili waende kutuongoza jinsi wanavyojua wao kwakua katiba ya sasa wananchi hawaitaki!👉.Au tuandike kwanza katiba mpya ambayo viongozi watakaoteuliwa baadae wawe na mwongozo ambao wananchi wameuchagua ya namna ya kutuongoza?. 👉Na kama tutaamua kuanza na katiba mpya kwanini uchaguzi usisogezwe mbele ili kuepusha kisingizio cha mda? Maana Uchaguzi ni kwaajili ya wananchi na katibampya ni kwa ajili ya wananchi kwaiyo wananchi si wanatakiwa waamue mambo haya wapate kwa mda gani? 🙏🙏

  • @jafaryshuigwa9162
    @jafaryshuigwa9162 4 месяца назад +2

    Wewe mwenyewe mchumia tumbo tu kama wachumia tumbo wengine na hauna hoja yoyote ya msingi zaidi ya kupiga kelele tu

  • @gwamakagwamaka
    @gwamakagwamaka 4 месяца назад +2

    Mungu akutunze mbowe ila watranzania baadhi yao in mazuzu wew tunakuombea kila itwapo leo

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 4 месяца назад

      Gwamaka Siasa mchezo mchafu je yeye kama angekuwa Rais angekataa mkewe asilipwe mshahara halooooo ya Ccm kila mtu anakula urefu wa kamba yake

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 4 месяца назад

      ​​@@margarethpolepole7438Akili mbovu hio Bibie

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @kelvinryoba779
    @kelvinryoba779 4 месяца назад

    Hakika mwenyezi Mungu akupiganie tutakuwa mengi

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @noelmaro7456
    @noelmaro7456 4 месяца назад

    wangeongea walivyo kua bungen ningeona ni akili

  • @zakariamachinga151
    @zakariamachinga151 4 месяца назад

    Mboe si masikin ni mwizi wa madini

  • @husseinothman1257
    @husseinothman1257 4 месяца назад

    Kwakuwa tu haupo mjengoni.

  • @Jal210
    @Jal210 4 месяца назад +2

    Mbowe huna lolote umepotea mwelekeo

  • @rizikifungo8717
    @rizikifungo8717 4 месяца назад

    Miladi onesha uhalisia wa hadhara usidanganye

  • @mgoamkiza1117
    @mgoamkiza1117 4 месяца назад

    Mboye unasera jamaangu bali huo ni uchonganishi

  • @hamidumpiga6283
    @hamidumpiga6283 4 месяца назад

    Kodi za ruzuku wanachukua ambazo ni kodi zetu wapumbavu

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 4 месяца назад

    DICTATOR WA DEMOKRASIA MNGANGANIA. MADARAKA JEE UKIPEWA NCHI WEWE UTAKUAJE?DU MINGU ATUNUZURU KWA MBALI KABISA.HUFAI HUNA DEMOKRASIA NA HATA HUIJUI.

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 4 месяца назад

    Nahamia Senegal soon

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 4 месяца назад

    Kweli blo kitaa kwa moto

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @nicebatare2737
    @nicebatare2737 4 месяца назад

    Ukapeleka wapi😂😂😂😂😂

  • @edsonpetro3754
    @edsonpetro3754 4 месяца назад

    Niatali

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 4 месяца назад

    Mishahara ya wabunge ipunguzwe hii itagarim taifa yetu

  • @kedricksiame6167
    @kedricksiame6167 4 месяца назад

    Mpiga picture mbona kama wewe ni mwana CCM unavo piga huzingatii

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 4 месяца назад

    Leo maskini wanaletewa mchele wenye sumu na Marekan, watafanyaje, huku viongozi wa serikalini wanatafuna Mitaji ya maskini?

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @user-gc5vf8sh7f
    @user-gc5vf8sh7f 4 месяца назад +1

    Yaan mda mwingine unawezasema "mimi si M tz,mana hatuelewi,
    Najua kuna viongoz wa upinzani wanatufungua masikio,
    Asante kamanda Mboe🎉

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 4 месяца назад

    Wambia maana watanzania sikiolakufa

  • @kingmpeto4510
    @kingmpeto4510 4 месяца назад

    Kengeza wewe 😂😂😂 unaitfuna Chadema husemi umewaharibu vijana apo Chadema wengi wao hawana tofauti na Afande Rama wa Zanzibar ayo hamsemi. Chadema ni chama Cha udini na ukabila hamsemi mpo kim'ya chura nyinyi mwananiliwi ckuiz anapaka mkorogo ushamwaribu

  • @bundalaizina652
    @bundalaizina652 4 месяца назад

    Mbona wafanyakazi wengine hawafanyiwi hivyo

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 4 месяца назад

    Katiba mbovu imepita muda wake

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 4 месяца назад

    Bas akitusanua hiv mamwijaku yana mchukia

    • @DeficitNuts
      @DeficitNuts 4 месяца назад

      Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 месяца назад

    Mbowe ungekuwa wewe ndiyo Rais ungekataa mkeo asilipwe mshahara acha hayooo kila jambo na wakati wake mbona wewe ulikuwa unakunywa Faru John kuwatsfuna wabunge wako wa Viti maalum

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 4 месяца назад

    Ingawa na wewe ulikula ule mpunga, bado wenye busara tunakubali kuwa maneno yako ni mazito na ya msingi, ni wakati sasa wa kuamka,,,,ingawa tunashindwa sasa tumpe nani ikiwa wewe mwenyewe ulikuwepo bungeni na ukala mpunga mkubwa huku polisi, walimu na watumishi wengine wa serikali wakilipwa kiduchu

  • @tabiasaidi2931
    @tabiasaidi2931 4 месяца назад

    Ww una huruma na nan

  • @JosiaWmela
    @JosiaWmela 4 месяца назад

    Mungu akupe neema uzid kuwapigania watanzania

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 4 месяца назад

    Millard ayo umelipwa bei gani

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 4 месяца назад

    Fatani mkubwa mchochezi mkubwa huna hoja mkenge mkubwa

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 4 месяца назад

    Mbna duniani kote maisha yamepanda mpuuzi wee

    • @stevenmariwa5197
      @stevenmariwa5197 4 месяца назад

      Kakojoe ukalale wew Bado hujui maana halisi ya maisha ya mtanzania

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 4 месяца назад

      @@stevenmariwa5197 hakuna chochote maisha magumu duniani kote c Tanzania tu nenda Kenya Uganda ukaone. Wamekosa hoja now ni kubwajaja tu hata hawaoni aibu mafatani na waongo wakubwa hata dini zao hawaziogopi kwa maneno ya uongo ufatani mtupu

    • @joojombi2341
      @joojombi2341 4 месяца назад

      @@stevenmariwa5197 wee c mkenge tu fatani mkubwa kama wao mlokosa issues mnahangaika na uongo mtupu. Njoo Zanzibar tukulee Maandazi wahed

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 4 месяца назад

    Waaaaa mungu tunakuomba uikopoe nchi yetu sisi wananchi wa chini tunatezeka juu serikali ya uyu mama samia kila kitu imekua juu uko vizuri muechimiwa mbowe Taifa letu imeuswa na samia na kikwete na mkewe

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 4 месяца назад

      Hayo ni mazungumzo ya siasa, Mbowe akiwa Rais mpaka kuku wake atalipwa. Aache hizo, anaing'ang'ania IKULU kwa ajili ya tumbo lake na sio wananchi.

    • @Jal210
      @Jal210 4 месяца назад

      Shukuru mungu Tanzania maendeleo mazuri nenda KENYA uone economic growth two chini

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 4 месяца назад +1

    Mjomba hauna point sikuiz umekua kama mbwa Koko.