Yaan hii nchi masikini ni wengi wenye ziki ni wengi na wasiyo jua haki zao ni wengi lkn hayo makundi yote ndo yananunulika siku za uchaguzi na kupewa kanga na kofia na sukari ,mchele pia pesa wanauza haki zao wanateseka miaka 10 na shida zao
Sasa kwann mlikuwa mnamtukana JPM,,, mzee wangu nakuombea Sana, ulivyofariki,, na mm kama mjasiriamali mdogo nikafilisika, love JPM, R.I.P my president
Muuaji yule aliepoteza roho za wanyonge kibao duu bado mnamkumbuka yule dictator?Aaaa ok kwa sababu hawajauliwa baba zako,wajomba zako,ndugu zako wala kutekwa na kubambikiziwa kesi za uongo wewe ni aina ya watu wabinafsi na wenye roho mbaya ya wengine hayakuhusu.Una roho kam ya Magu ukikosolewa kixogo tu umeondoka na roho ya mtu.Poor on uuuuu.
Kwa hiyo hizi nyumba za viongozi familiya yote inalipwa mishahara Jamani Mrudieni Mungu hii dhuluma ya hali juu kesho mtajibu mmepeleka wapi Jasho la Watu
NDIO MAANA DENI LA TAIFA LINAZIDI KUKUA NA LINATUUMIZA SISI WANANCHI MAANA WALAJI NI VIONGOZI NA WENZA WAO ILA WALIPA DENI NI WANANCHI. TZ TZ Nakupenda kwa moyo wote
Mulipokuwa wabunge mulileta hoja za kupunguziwa mishara yenu bungeni ...hebu acheni hizo zenu hata kama ni kutafuta huruma kutoka kwa wananchi lakini sio hivi 😂😂😂
Mbowe upo sahihi unaongea ukweli baadhi ya viongozi wameziba pamba masikio lakini ukweli tunataka katiba mpya CCM wasikikilizeni wananchi acheni kupuuza puza kizazi hiki sio cha lipite bila kupingwa wala ndio mzee ni kizazi cha wasomi wanaohoji pia acheni kupeana vyeo kwa kujuana au wale wale miaka yote ni vibaya sana Hongera sana Mh Mbowe unatufungua masikio
Hivi nikwanini, watz, wale wanaopata nafasi za ajira serikalini wanajipa haki zaidi ya gawio la keki ya nchi hii kuliko hili kundi la watz, wa nchi hii?. Je hiyo ndiyo haki?.
Mbona ww huo mshahara hukuwahi kusema wakati bado uko bungeni?au mbona hukuwahi kutoka maoni ya kusema kuwa mnapewa pesa nyingi au leo ndo umejua kuwa mwananchi wanamaisha magum?😂😂 acha maigizo mbowe ww
Kwani kipindi kile yy akiwa bungeni ww chakula ulikuwa unanunua bei geni? Je, mishahara ya Walimu na police ya kipindi kile na leo imebadilika kama ilivyo ya wabunge wa leo?
Yesu kristu mbinguni,kweli alisema magufuli hii nchi inshla narisilimali kubwa,sasa kwahyo baba yngu lazima umasikini uwepo mkubwa,hli yamaisha IWE ngumu kuliko,vitu virakuwa juu sana,mabando ytakuwa juu sana,kwasababu tu wameamua kujilimbikizia Mali nafedha.Hawezi kukubali kubadilisha katiba miaka mia.Kwapesa hizo wanazopkea,nastarehee hizo turasali jmn.Duuu mpka moyo unagonga
Mwenyewe mwizi wa Madini Tanzanite ndiko umepata fedha mboe tunakufaham sana, Dawa yako alikuwa Magu.. katiba ya Watanzania na sisi wenyewe inatutosha sana , sehemu ya kubadili ni hakuna vyama vingi kimabaki chama kimoja
Hawa wanafki tu. Kama mlkuwa mnalipwa mil.13 hamkuona tatzo kipndi hicho mkaibua leo hii mpo nje ya system ndo mnajifanya kuongea. Mungu atusaidie sisi watanzania
Gharama za maisha za kipindi kile na sasa zimebadilika sana, kama wao wamejiongezea mishahara kulingana na Hali ya maisha je hili kundi lingine linaishije? Kuweni welewa basi mbona mnafikiri kwa chuki na kuchukulia mambo kirahisi?
Hapo tu kwenye pensheni ya ya maraisi waastafu, 80% na wake zao 60% , du inatisha!! Na mbunge naye mshahara million 18?kwa wengine nchi hii ni maskini , pesa hakuna , hali ikiwa nzuri , utasikia wakisema. Haya bana yetu macho. Haki iko mbinguni tu .
Lakin kweli hii sawa aisee izo pesa ni Bora hata watoe mikopo isiyo na vikwazo kibao Hadi kuipata kwa mwananch mmoja mmoja sio had vikundi ili wafanye biashara lakn leo hii hata kuipata mikopo TU ni tabu wakat Kuna watu wanachezea pesa za nchi
Yaani tanzania rahisi sana kuongoza we tumia2 dini au ukanda unawaburuta kama kondoo waendao machinjioni hawana ata uwezo wa kufikiri hata kidogo oooh may lord have mercy on us
Raia wa Tanzania wanadanganywa ka hawa wanasiasa. Wapi ambapo mfumo wa maisha haujapanda duniani? Wapi wabunge wanalipwa Mishahara midogo? Angasema kua anakwenda kurudisha sehemu ya pesa alizopewa bungeni
👉kwakua uchaguzi unakaribia ningependa kuuliza .Hivi kipi kianze kati ya katiba mpya na uchaguzi.👉Je tuchague viongozi kwanza ili waende kutuongoza jinsi wanavyojua wao kwakua katiba ya sasa wananchi hawaitaki!👉.Au tuandike kwanza katiba mpya ambayo viongozi watakaoteuliwa baadae wawe na mwongozo ambao wananchi wameuchagua ya namna ya kutuongoza?. 👉Na kama tutaamua kuanza na katiba mpya kwanini uchaguzi usisogezwe mbele ili kuepusha kisingizio cha mda? Maana Uchaguzi ni kwaajili ya wananchi na katibampya ni kwa ajili ya wananchi kwaiyo wananchi si wanatakiwa waamue mambo haya wapate kwa mda gani? 🙏🙏
Kengeza wewe 😂😂😂 unaitfuna Chadema husemi umewaharibu vijana apo Chadema wengi wao hawana tofauti na Afande Rama wa Zanzibar ayo hamsemi. Chadema ni chama Cha udini na ukabila hamsemi mpo kim'ya chura nyinyi mwananiliwi ckuiz anapaka mkorogo ushamwaribu
Mbowe ungekuwa wewe ndiyo Rais ungekataa mkeo asilipwe mshahara acha hayooo kila jambo na wakati wake mbona wewe ulikuwa unakunywa Faru John kuwatsfuna wabunge wako wa Viti maalum
Ingawa na wewe ulikula ule mpunga, bado wenye busara tunakubali kuwa maneno yako ni mazito na ya msingi, ni wakati sasa wa kuamka,,,,ingawa tunashindwa sasa tumpe nani ikiwa wewe mwenyewe ulikuwepo bungeni na ukala mpunga mkubwa huku polisi, walimu na watumishi wengine wa serikali wakilipwa kiduchu
@@stevenmariwa5197 hakuna chochote maisha magumu duniani kote c Tanzania tu nenda Kenya Uganda ukaone. Wamekosa hoja now ni kubwajaja tu hata hawaoni aibu mafatani na waongo wakubwa hata dini zao hawaziogopi kwa maneno ya uongo ufatani mtupu
Waaaaa mungu tunakuomba uikopoe nchi yetu sisi wananchi wa chini tunatezeka juu serikali ya uyu mama samia kila kitu imekua juu uko vizuri muechimiwa mbowe Taifa letu imeuswa na samia na kikwete na mkewe
Mungu ibariki sauti ya chadema ✌️🇹🇿 wa Tz tumechoka sana
Yaan hii nchi masikini ni wengi wenye ziki ni wengi na wasiyo jua haki zao ni wengi lkn hayo makundi yote ndo yananunulika siku za uchaguzi na kupewa kanga na kofia na sukari ,mchele pia pesa wanauza haki zao wanateseka miaka 10 na shida zao
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Sasa kwann mlikuwa mnamtukana JPM,,, mzee wangu nakuombea Sana, ulivyofariki,, na mm kama mjasiriamali mdogo nikafilisika, love JPM, R.I.P my president
Wewe ni kama mimi ndugu yangu toka pale kila kitu kimefilisika
Hoja yko nn
Hata yeye hakuwa na jipya hata huyo anayepiga kelele akipewa nchi naye atakuwa ni wale wale tu.
Muuaji yule aliepoteza roho za wanyonge kibao duu bado mnamkumbuka yule dictator?Aaaa ok kwa sababu hawajauliwa baba zako,wajomba zako,ndugu zako wala kutekwa na kubambikiziwa kesi za uongo wewe ni aina ya watu wabinafsi na wenye roho mbaya ya wengine hayakuhusu.Una roho kam ya Magu ukikosolewa kixogo tu umeondoka na roho ya mtu.Poor on uuuuu.
@@user-oh6pc7zd4sweweee mavuzi kweli
Kuna wajinga wanasema Mbowe ana njaa, knina zako, huoni alivyonenepa mbwa wew
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Kwa hiyo hizi nyumba za viongozi familiya yote inalipwa mishahara Jamani Mrudieni Mungu hii dhuluma ya hali juu kesho mtajibu mmepeleka wapi Jasho la Watu
Dhuluma tunaichagua wenyewe.
Watanzania bado wamelala fofo,ukija uchaguzi wanakwambia ccm mbele kwa mbele, HAKIKA INASIKITISHA ,,,CCM HAIFAI INATUFANYA WATANZANIA KUWA MAFUKARA
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Jamani kama ni kweli wabunge mwogopeni Mungu waangalie idara ya afya puguzeni mishahara muwaogezee kama mnautu hao ndio wanahangaika na uhai wenu.
Kuna Walimu pia
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
NDIO MAANA DENI LA TAIFA LINAZIDI KUKUA NA LINATUUMIZA SISI WANANCHI MAANA WALAJI NI VIONGOZI NA WENZA WAO ILA WALIPA DENI NI WANANCHI.
TZ TZ Nakupenda kwa moyo wote
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Nikiwa raisi ya nchi hii mbuge atalipwa kama walimu wa kawaida ,shule zimechakaa ,azina rangi mnalipwa Hela kibao
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Mulipokuwa wabunge mulileta hoja za kupunguziwa mishara yenu bungeni ...hebu acheni hizo zenu hata kama ni kutafuta huruma kutoka kwa wananchi lakini sio hivi 😂😂😂
Wameishiwa hawa
Muongo huyo mbowe😂😂😂😂
mbona kipindi upo mbunge ukuleta izo hoja ndugu yngu kwani miaka yako hao walimu awakuwepo
Waambie kabisa,,kelele tu leo
Nikweli, Ila alichosema pia nikweli
Unapesa sana mbowe mungu kakubariki sana nautajiri naumarufu watu wamachame tuna kukubali sana kaka yetu mboe
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Wanasiasa nyie ni wapumbavu sana. Hamna uwezo wowote wa kubadilisha maisha yetu sisi tunamtegemea Mungu 2
Acha ujinga kijana,mungu alishakupa akili, tumia akili vizuri
@@LuganoPondo-km8ubhilo jamaa sijui limeenda shule au halijenda,,nafikiri darasa LA 3 ,nafikiri ni chawa LA mama
Wewe jee!!!msitundanganye acha tuishi mungu ndie msaada wa kututoa kwa yeyote anatuonea kwenye pesa wote mmepotea
Tumia akili kidogo bana na wewe..ah
Mungu anasema jisaidie na mimi ntakusaidia
Kitabu gani hicho??@@allytv1714
Lakini sio kwa chadema @@richardmbasha1411
Huu ndo ujinga wa waafrika sasa hapa MUNGU anahusikaje
Mlikuwa wabunge mbona hamkupeleka hoja bungeni mpunguziwe ni unafiki tu
Nyambole ww
Mkumas ww
Tangu dunia iumbwe maisha hayajawahi kuwa rahisi! Sema sera mzee Acha kukauka koo bure!😂😂
Kweli kabisa anapandikiza chuki kwa police
Nyie n mitapeli mnaopinga@@Mumewangu
@@luckiiinuswe1725tena yakupindukia
Mbowe upo sahihi unaongea ukweli baadhi ya viongozi wameziba pamba masikio lakini ukweli tunataka katiba mpya CCM wasikikilizeni wananchi acheni kupuuza puza kizazi hiki sio cha lipite bila kupingwa wala ndio mzee ni kizazi cha wasomi wanaohoji pia acheni kupeana vyeo kwa kujuana au wale wale miaka yote ni vibaya sana Hongera sana Mh Mbowe unatufungua masikio
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Kama kweli Kuna serikali isiyo na huruma ni hii ya ccm
NA YEYE ATWAMBIE YALE MABILIONI YA RUZUKU WALIYOPEWA NA MH.SAMIA YAKO WAPI??
ni kodi za wananchi sio pesa za Samia, kwenye demokrasia ni lazima na sio ombi kila chama kipewe ruzuku
Ruzuku ya chama wamenunulia jengo ambalo sasa ni OFISI YA CHAMA DAR NA TAIFA
Mbona ukuongea ukiwa uko ukusema hayo
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Hata wewe mwenyewe ungekua Rais haya tusingeyasikia Mimi siko na Chama ila Wana siasa waliowengi ni kujali familia zao to
😢eh mungu tusaidie maskini wa Tanzania maana ya mke.nini? Nikumhudumia mumeo analipwaje tena? Da😢😢😢😢
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Hivi nikwanini, watz, wale wanaopata nafasi za ajira serikalini wanajipa haki zaidi ya gawio la keki ya nchi hii kuliko hili kundi la watz, wa nchi hii?. Je hiyo ndiyo haki?.
Mbona ww huo mshahara hukuwahi kusema wakati bado uko bungeni?au mbona hukuwahi kutoka maoni ya kusema kuwa mnapewa pesa nyingi au leo ndo umejua kuwa mwananchi wanamaisha magum?😂😂 acha maigizo mbowe ww
Leo ndo mnasema kwa kua hampo mafarakan mbona mlivyokuwepo madarakan hamkusema?
Hapo ndiyo unasema nn dada?
Kwa taarifa yako. Alipokuwa bungeni, wabunge wa upinzani ndiyo wanaotutetea.
Mbona kipindi upo bungeni ulikua hulalamiki upunguziwe mshahàra mzee acha unafiki
Kwani kipindi kile yy akiwa bungeni ww chakula ulikuwa unanunua bei geni? Je, mishahara ya Walimu na police ya kipindi kile na leo imebadilika kama ilivyo ya wabunge wa leo?
Yaani ndugu yangu mbowe maneno hayo maneno yako yanatuumiza sana sisi wanyonge ila maneno hayo kwa jamaa zetu ndiyo kabisa hawakubali katiba kabisa
Wanasiasa ndio munaoongoza kuila Nchi Wewe Mbowe mwenyewe hapo Na CHADEMA yako
Munakula mamilioni ya Ruzuku kutoka ktk kodi za wananchi maskini
Kamwambie baba ako nae ale
@@StevenGendo-vx9jo
Mdingi ni Mkulima maskini Bahi hapa
Analima alizeti tu
Sio MWANASIASA kama Mbowe
Yesu kristu mbinguni,kweli alisema magufuli hii nchi inshla narisilimali kubwa,sasa kwahyo baba yngu lazima umasikini uwepo mkubwa,hli yamaisha IWE ngumu kuliko,vitu virakuwa juu sana,mabando ytakuwa juu sana,kwasababu tu wameamua kujilimbikizia Mali nafedha.Hawezi kukubali kubadilisha katiba miaka mia.Kwapesa hizo wanazopkea,nastarehee hizo turasali jmn.Duuu mpka moyo unagonga
Kumbe mbowe nae unasauti ya kike mzr kiasi icho kwa Nini usingekua mtoto wa kike tu tujue 1😂😂
MUNGU atuinulie viongozi wazalendo watakaotuongoza kuijenga nchi yetu kwa moyo.
Mwenyewe mwizi wa Madini Tanzanite ndiko umepata fedha mboe tunakufaham sana, Dawa yako alikuwa Magu.. katiba ya Watanzania na sisi wenyewe inatutosha sana , sehemu ya kubadili ni hakuna vyama vingi kimabaki chama kimoja
Mhhh kumbe nayeye ana serikali
Hawa wanafki tu. Kama mlkuwa mnalipwa mil.13 hamkuona tatzo kipndi hicho mkaibua leo hii mpo nje ya system ndo mnajifanya kuongea. Mungu atusaidie sisi watanzania
Gharama za maisha za kipindi kile na sasa zimebadilika sana, kama wao wamejiongezea mishahara kulingana na Hali ya maisha je hili kundi lingine linaishije? Kuweni welewa basi mbona mnafikiri kwa chuki na kuchukulia mambo kirahisi?
Watanzania awawezi elewa unachoongea kama siyo mzalendo jamani mbn izo pesa za raia wanagawana ivo na family zao
Siku moja nikifa niende mbinguni. Amen 😭😭😭😭😭
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Ulipokuwepo bungeni ulipokea na ukakataa,umetoka leo unatomboka tombola acha unafiki
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Watu tuna akili ya nzi, hawakuelewi hao, CCM watakula mpaka waharishe na kutapika
Raus kapata wapi pesa ya kumpa mbowe ameuza karafuu huko zanzbar acha ujinga pesa zote ni za kwetu. Walipa Kodi kakojoe ulale
Ndiyo maana tunaumizwa sana, na deni la Taifa kupanda.
Hapo tu kwenye pensheni ya ya maraisi waastafu, 80% na wake zao 60% , du inatisha!! Na mbunge naye mshahara million 18?kwa wengine nchi hii ni maskini , pesa hakuna , hali ikiwa nzuri , utasikia wakisema. Haya bana yetu macho. Haki iko mbinguni tu .
Sija ona shida iko wapi ata wange kua wana lipwa mabilion si wame tumikia nchi pasavyo wacha waleo pesa zao.mpaka kufa
Kweli Imekuwa Selikali ya Matapeli kwa Mishahara hiyo
Inatisha sana dah
Mlipokuwa mkilipwa mlikua mnapokea au mliacha?
Zito Kuna kipindi alitoa hoja wapunguziwe mshahara hao wakiwa wabunge walitaka wamtenge wapuuzi sana hao
Hata wewe asali ya ubunge ulilamba na hukulalamika! Mbowe bwana! Toa sera zako! Wewe utafanyaje???😅😅😅
Wameishiwa tu huyu
Hata mlipokuwa mnakula milioni 13 hazikuwa chache. Za sasa 18 zinawauma kwa sababu mmezikosa. Shame on you!
mbona walivyo kua bungen awajawai kulalamika wametoka ndo wanaanza kelele ambazo azina afya
Ivi kweli huo ni mkutano wa hadhara au kikao cha familia
Ni kweli kabixa
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
SHKAMOO SIASA,UKIIJUA HII HAIKUPI SHIDA😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.use your brain.
Wa600
Mwenyekiti wa milele .
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Duuu!
Kama kwel haya ni ya kwel badi ccm ni zaid ya shetan aliyeko dunian,
Nawe mbowe kuwa mkweli mbona wakati ukiwa bungeni sijawahi sikia nondo kama hizi,ok tume amka katiba ni ya muhimu
Familia zinashindwa kusomesha watoto kumbe kuna mafedha yapo majumbani kwa viongozi punguzeni hizo zisaidie wengine
Hapa wanaotuangusha ni vyombo vya dola pindueni vitu ebo
Lakin kweli hii sawa aisee izo pesa ni Bora hata watoe mikopo isiyo na vikwazo kibao Hadi kuipata kwa mwananch mmoja mmoja sio had vikundi ili wafanye biashara lakn leo hii hata kuipata mikopo TU ni tabu wakat Kuna watu wanachezea pesa za nchi
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Unastahili kuwa raise wa nchi hii
Jidanganye
miCCM MITUPU MBOWE HATARI
Hapo mbowe umeongea kama kamanda kwel
Hii nchi tunakoenda sivyo jamani
Hana lolote alipokuwopo Bungeni mbona aliluwa kimya
Kwanza mnaudini sana natulisha washtukia
Anaesema udini ndiyo mdini, acha udini ndugu
@martinsindani8299Na ww umeona ehee
Yaani tanzania rahisi sana kuongoza we tumia2 dini au ukanda unawaburuta kama kondoo waendao machinjioni hawana ata uwezo wa kufikiri hata kidogo oooh may lord have mercy on us
Inawezekana Kodi yangu inawafanya watu wavimbe
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Raia wa Tanzania wanadanganywa ka hawa wanasiasa. Wapi ambapo mfumo wa maisha haujapanda duniani? Wapi wabunge wanalipwa Mishahara midogo? Angasema kua anakwenda kurudisha sehemu ya pesa alizopewa bungeni
Wameishiwa hawa
Hatukatai wao kulipwa, tatizo kubwa wanajilipa wao Tu, wengine wanawalipa kidogo Hilo ndio tatizo
Mboe ni ccm kubali kataa😂😂😂
Sawa sisi wastafu Wacha tufe na kikokoto
👉kwakua uchaguzi unakaribia ningependa kuuliza .Hivi kipi kianze kati ya katiba mpya na uchaguzi.👉Je tuchague viongozi kwanza ili waende kutuongoza jinsi wanavyojua wao kwakua katiba ya sasa wananchi hawaitaki!👉.Au tuandike kwanza katiba mpya ambayo viongozi watakaoteuliwa baadae wawe na mwongozo ambao wananchi wameuchagua ya namna ya kutuongoza?. 👉Na kama tutaamua kuanza na katiba mpya kwanini uchaguzi usisogezwe mbele ili kuepusha kisingizio cha mda? Maana Uchaguzi ni kwaajili ya wananchi na katibampya ni kwa ajili ya wananchi kwaiyo wananchi si wanatakiwa waamue mambo haya wapate kwa mda gani? 🙏🙏
Wewe mwenyewe mchumia tumbo tu kama wachumia tumbo wengine na hauna hoja yoyote ya msingi zaidi ya kupiga kelele tu
Mungu akutunze mbowe ila watranzania baadhi yao in mazuzu wew tunakuombea kila itwapo leo
Gwamaka Siasa mchezo mchafu je yeye kama angekuwa Rais angekataa mkewe asilipwe mshahara halooooo ya Ccm kila mtu anakula urefu wa kamba yake
@@margarethpolepole7438Akili mbovu hio Bibie
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Hakika mwenyezi Mungu akupiganie tutakuwa mengi
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
wangeongea walivyo kua bungen ningeona ni akili
Mboe si masikin ni mwizi wa madini
Kwakuwa tu haupo mjengoni.
Mbowe huna lolote umepotea mwelekeo
Unagongwa na popo
Miladi onesha uhalisia wa hadhara usidanganye
Mboye unasera jamaangu bali huo ni uchonganishi
Kodi za ruzuku wanachukua ambazo ni kodi zetu wapumbavu
DICTATOR WA DEMOKRASIA MNGANGANIA. MADARAKA JEE UKIPEWA NCHI WEWE UTAKUAJE?DU MINGU ATUNUZURU KWA MBALI KABISA.HUFAI HUNA DEMOKRASIA NA HATA HUIJUI.
Nahamia Senegal soon
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Kweli blo kitaa kwa moto
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Ukapeleka wapi😂😂😂😂😂
Wewe unataka apeleke wapi?
Niatali
Mhhhh! Ayaa!
Mishahara ya wabunge ipunguzwe hii itagarim taifa yetu
Mpiga picture mbona kama wewe ni mwana CCM unavo piga huzingatii
Leo maskini wanaletewa mchele wenye sumu na Marekan, watafanyaje, huku viongozi wa serikalini wanatafuna Mitaji ya maskini?
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Yaan mda mwingine unawezasema "mimi si M tz,mana hatuelewi,
Najua kuna viongoz wa upinzani wanatufungua masikio,
Asante kamanda Mboe🎉
Wambia maana watanzania sikiolakufa
Kengeza wewe 😂😂😂 unaitfuna Chadema husemi umewaharibu vijana apo Chadema wengi wao hawana tofauti na Afande Rama wa Zanzibar ayo hamsemi. Chadema ni chama Cha udini na ukabila hamsemi mpo kim'ya chura nyinyi mwananiliwi ckuiz anapaka mkorogo ushamwaribu
Mbona wafanyakazi wengine hawafanyiwi hivyo
Katiba mbovu imepita muda wake
Bas akitusanua hiv mamwijaku yana mchukia
Hongera kwa kupewa kazi ya kubisha kuwa kweli ile SIO MAITI 🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜🚜
Mbowe ungekuwa wewe ndiyo Rais ungekataa mkeo asilipwe mshahara acha hayooo kila jambo na wakati wake mbona wewe ulikuwa unakunywa Faru John kuwatsfuna wabunge wako wa Viti maalum
Ingawa na wewe ulikula ule mpunga, bado wenye busara tunakubali kuwa maneno yako ni mazito na ya msingi, ni wakati sasa wa kuamka,,,,ingawa tunashindwa sasa tumpe nani ikiwa wewe mwenyewe ulikuwepo bungeni na ukala mpunga mkubwa huku polisi, walimu na watumishi wengine wa serikali wakilipwa kiduchu
Ww una huruma na nan
Mungu akupe neema uzid kuwapigania watanzania
Millard ayo umelipwa bei gani
Wekula ugali tu hujielewi
Fatani mkubwa mchochezi mkubwa huna hoja mkenge mkubwa
Kama wewe ni kiongozi jibu Kwa hoja
Mbna duniani kote maisha yamepanda mpuuzi wee
Kakojoe ukalale wew Bado hujui maana halisi ya maisha ya mtanzania
@@stevenmariwa5197 hakuna chochote maisha magumu duniani kote c Tanzania tu nenda Kenya Uganda ukaone. Wamekosa hoja now ni kubwajaja tu hata hawaoni aibu mafatani na waongo wakubwa hata dini zao hawaziogopi kwa maneno ya uongo ufatani mtupu
@@stevenmariwa5197 wee c mkenge tu fatani mkubwa kama wao mlokosa issues mnahangaika na uongo mtupu. Njoo Zanzibar tukulee Maandazi wahed
Waaaaa mungu tunakuomba uikopoe nchi yetu sisi wananchi wa chini tunatezeka juu serikali ya uyu mama samia kila kitu imekua juu uko vizuri muechimiwa mbowe Taifa letu imeuswa na samia na kikwete na mkewe
Hayo ni mazungumzo ya siasa, Mbowe akiwa Rais mpaka kuku wake atalipwa. Aache hizo, anaing'ang'ania IKULU kwa ajili ya tumbo lake na sio wananchi.
Shukuru mungu Tanzania maendeleo mazuri nenda KENYA uone economic growth two chini
Mjomba hauna point sikuiz umekua kama mbwa Koko.