NABII KIBOKO YA WACHAWI WA BUZA AIKATAA VITA ya MWAMPOSA "NINA HESHIMA KUBWA, KUNANJIA WAMEIPASUA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 мар 2024
  • #MzalendoTv #KaziIendelee #M4C
  • СпортСпорт

Комментарии • 275

  • @Aminatwahily
    @Aminatwahily День назад

    Mungu akubariki baba Dominic nabii kiboko ya wachawi unaweza baba na utaweza zaidi ya hapo long life father ❤

  • @rachelmosha5619
    @rachelmosha5619 3 дня назад

    Mtumishi kiboko ya wachawi hongera Sana kwa kazi unayoifanya ya kuwasaidia watu

  • @JosephMollel-wz7kn
    @JosephMollel-wz7kn 2 дня назад

    Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina

  • @user-zs6kw8ks4m
    @user-zs6kw8ks4m Месяц назад +8

    Mtumishi wamungu hutasikia akisema vibaya Kwa watumishi wengine hongera mtumishi

  • @festomaswaga-ht5yi
    @festomaswaga-ht5yi 24 дня назад +1

    Ubarikiwe baba mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏 mimi festo kutoka dodoma

  • @BarakaDonasiani-pj9bx
    @BarakaDonasiani-pj9bx 2 месяца назад +3

    Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria

  • @FridaMtui-pp3lt
    @FridaMtui-pp3lt Месяц назад +1

    Naomba mungu anipe kazi,mume sahihi na amponye Mama yangu

  • @Prolimina-im2fo
    @Prolimina-im2fo 4 дня назад

    Amina baba naomba uniombee

  • @Prolimina-im2fo
    @Prolimina-im2fo 4 дня назад

    Amina baba

  • @bonithakankerauwera2323
    @bonithakankerauwera2323 2 месяца назад +2

    Gloire gloire gloire gloire à l'éternel lui-même vraiment

  • @sharonjosephine6252
    @sharonjosephine6252 7 дней назад

    Mungu anatutizama kwa jicho la tofauti na la kibinadam soo acheni kuhukumu...

  • @filimonmpinge6039
    @filimonmpinge6039 2 месяца назад +2

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mungu alisaidie kanisa la Leo liwe na macho ya ROHONI

  • @Stella-118
    @Stella-118 2 месяца назад +7

    Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.

    • @hafsalucky1088
      @hafsalucky1088 2 месяца назад

      Mtumishi apige kazi, Mungu ndie aliemuita, hao wanapinga waendelee TU, Si tunasonga mbele hatuyumbishwi

    • @vinuskalonga4656
      @vinuskalonga4656 2 месяца назад

      Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie.
      Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama.
      AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 .
      KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.

  • @fanuelMndeme
    @fanuelMndeme 3 дня назад

    Ubariwe

  • @josephkileo-wk6ye
    @josephkileo-wk6ye 8 дней назад

    Amina baba mtumishi please naomba uniombee nateseka sana baba

  • @lusajoully
    @lusajoully 20 дней назад

    Amina

  • @muhasatv9245
    @muhasatv9245 Месяц назад +4

    TUNAOSOMA HUKU TUMEWEKA POZI ILI MB ZISIENDE TUJUANE.

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 2 месяца назад +42

    Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 месяца назад

      Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake

    • @Neema-qm9kk
      @Neema-qm9kk 2 месяца назад +2

      Asante kwa ushauri. Mimi huwa ninapenda mtu anayesema kweli

    • @agneskawamala618
      @agneskawamala618 2 месяца назад +1

      Mwizi tu

    • @janethelly4986
      @janethelly4986 2 месяца назад +2

      Mimi nilienda nikatoa 80k na sikuonana nae ,nilipewa mungine kabisaaa akunitabiria chochote

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 месяца назад +2

      Kuna dini kuna waganga wa kienyeji sasa hivi Manabii wengi wako kama Wanageria wanskomba sadaka za wajinga nfiyo waliwao

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 9 дней назад

    Hongera. Sana baba

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 2 месяца назад +4

    Mtumishi mbona ameweka nywele kisholobalo

  • @estermohammed4335
    @estermohammed4335 7 дней назад

    Amen Baba

  • @Zumlatti
    @Zumlatti 8 дней назад

    Amina niombee namim nateseka

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 3 месяца назад +1

    👏👏

  • @salmamose4244
    @salmamose4244 Месяц назад

    Bwana Yesu asifiwe sir

  • @norahmajaliwa3841
    @norahmajaliwa3841 2 месяца назад +4

    Bwana Yesu akulinde Mtumishi

  • @charlesfaru485
    @charlesfaru485 Месяц назад

    hongela sana baba mchungaji

  • @estermohammed4335
    @estermohammed4335 7 дней назад

    Umeniona jamani Baba na hiyo roho ya chuma ulete nisaidie nakata roho ya chuma ulete

  • @NaomiSilayo
    @NaomiSilayo 9 дней назад

    Amina baba tusaidie

  • @estermohammed4335
    @estermohammed4335 7 дней назад

    Naomba niombee uchumi watoto na furaha yangu

  • @VeronicaChaudele
    @VeronicaChaudele 5 часов назад

    Kiboko ya wachawi ubarikiwe😅😅

  • @Eunice-kb8yz
    @Eunice-kb8yz 6 дней назад

    Baba tuko pamoja naomba niombee uchumi wangu hauko sawa mimi na mume wang.yunis pallangyo

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 29 дней назад

    Anaemsema Nabii Inawezekana ni Upande wapili kwahiyo ,binadamu tusiogope Mungu nimwema Sana,Hata YESU aliitwa mchawi

  • @felisianafelisiani7519
    @felisianafelisiani7519 29 дней назад

    Ameeni

  • @MartinKimbwereza
    @MartinKimbwereza 13 дней назад

    mimi naomba kupona mkono na mguu mungu akutie nguvu

  • @Stella-118
    @Stella-118 2 месяца назад +10

    Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.

  • @Yusta-vx6ns
    @Yusta-vx6ns 2 месяца назад

    ❤🎉

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 10 дней назад

    Nabii naomba tusaidie tumezulumiwa Mali zetu Na hakuna amani naomba msaada.

  • @NaimaAlly-bh6yn
    @NaimaAlly-bh6yn Месяц назад

  • @user-yj2wm7rh6u
    @user-yj2wm7rh6u 2 месяца назад +4

    Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 2 месяца назад +2

      Roho ya upotofu inakunyemelea mwombe mungu akuokoe na hiyo kuamini manabii wa uongo

    • @mzalendomediatz
      @mzalendomediatz  2 месяца назад

      Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz

    • @RodahAdonice-dz4sm
      @RodahAdonice-dz4sm Месяц назад

      Hamna kitu hapo Mwenyezi Mungu awasaidie sana

  • @JosephNnko-nz6kk
    @JosephNnko-nz6kk 17 дней назад

    Nabii nakubali wewe naomba uniombee Sana by josephu arusha

  • @BahatiMrema-lc3zv
    @BahatiMrema-lc3zv 24 дня назад

    Amina baba natamani uniombee

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 9 дней назад

    Nabii nisaidie naitwa chiungo Aisha Anton Sina maisha nakufuatila

  • @EvaSadala-vv8jn
    @EvaSadala-vv8jn 4 дня назад

    Mi kwenye kutoa pesa tena unaagizwa nyingine kama lk 2 tena toa 2hivohivo kiwango hicho ni kawaida Lkn hapana hapo uwe bilionea

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 9 дней назад

    Fungua na ww kanisa lako udangaye watu kama ni kaz rahis acha kumkashfu nabii

  • @EnnyMnzava
    @EnnyMnzava 28 дней назад

    Bwana yes asifiwe mtumish nahitaji nipate kazi ,nyumba .gari nakufunguliwa kiuchumi

  • @user-bj6bs9do2f
    @user-bj6bs9do2f 3 месяца назад +4

    Kumbe Ndio Wewe Mchungaji Maana dah Sipatagi Usingizi bila kusikiliza kipindi Chako 🙏🙏Hila Siwezi Mukumu Mtu kwa Muonekano

  • @JamilaAdamu-nr1wu
    @JamilaAdamu-nr1wu 2 месяца назад

    🙏🙏

  • @user-te4nq8vv6c
    @user-te4nq8vv6c 14 дней назад

    Mimi ombi langu baba niweze kushinda kesi mahakamani naomba maombi yako baba 🙏🙏🙏🙏

  • @Malkia01
    @Malkia01 17 дней назад

    Jmn had ukutane na huyo unatoa hela mnapitishwa kil kigenge wa shemas utowe maokoto yaan mtu asiejuw cuba ataon nadangany aisee eeh😢

  • @devotamwambola8303
    @devotamwambola8303 2 месяца назад +3

    Huyu Hapana Mungu anisamehe.Kwanza kujichubua ni kosa kubwa sana.Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa imani

  • @HanniaKanti
    @HanniaKanti 13 дней назад

    Mbona msg hujibu

  • @rehemakudra868
    @rehemakudra868 22 дня назад

    Nimekukubali

  • @DerckMchomvu-kw4ro
    @DerckMchomvu-kw4ro 19 дней назад

    Nisaidie nabii

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 11 дней назад

    Nimekutana nae kwa shida binafsi nimegundua huyu jamaa ni tapeli wa waziwazi na mbabaishaji mkubwa

  • @HassaniChamb0
    @HassaniChamb0 6 дней назад

    Samahani. Nna dada yang anamatatizo a naitw a mariamu ramadhani naomba umtabiri Anam toto mgojwa

  • @MartinKimbwereza
    @MartinKimbwereza 13 дней назад

    naomba kkutolewa kwenye nguvu zagiza na laana nibarikiwe kwenye uchimi

  • @user-kh5xu3vu1x
    @user-kh5xu3vu1x 2 месяца назад

    Mmmmmm

  • @WinifridaNgalamika
    @WinifridaNgalamika 20 дней назад

    Nataka kujua kuusu dada yangu grace

  • @Yusta-vx6ns
    @Yusta-vx6ns 2 месяца назад

    ❤🎉🙏

  • @FadhilFadhil-zr1xs
    @FadhilFadhil-zr1xs 17 дней назад

    Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako

  • @iptysamjamal
    @iptysamjamal 28 дней назад

    Nabii komboa familia yangu

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 2 месяца назад +1

    Safi sana mtumishi

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 2 месяца назад +3

    Yesu wangu huyu nilimsikiliza redioni tu kumbe ndo yupo hivi😂😂😂

  • @claudiokatucha6652
    @claudiokatucha6652 Месяц назад

    Claudio OSKA KATUCHA nina changamoto ya kufungwa kiuchumi naomba niombee

  • @JaphetIramba
    @JaphetIramba 17 дней назад

    NAITWA MMASSY BABA NAOMBA UANGALIE FAMILIA YANGU MAISHA AYAELEWEKI

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌

  • @user-wy1or9fm2s
    @user-wy1or9fm2s 13 дней назад

    Kwani ni waislamu someni jamani hani mathayo 24 a1=24 kwa sisi waislamu ni mtihani kwetu hata kama makafiri waponya na mtume wa mwisho ni Muhammad kama ukimuona mwislamu ana wafata waliopotea (Wakorintho 15 :18

  • @clouartmichael7296
    @clouartmichael7296 2 месяца назад

    Mathayo 7:15

  • @petermuturi4564
    @petermuturi4564 Месяц назад +1

    Nashukulu.sana kwa unabii yako vile naona kwako nimetamani miaka mingi tafathali baba na kuheshimu na ninaamini ukitamka neno kwangu unabii wangu utapata nguvu na nifanikiwe mimi niko kenya peter

  • @iptysamjamal
    @iptysamjamal 28 дней назад

    Nabii mume wangu biasharà hàzieñdi na pesa hazionekan zaitun jafar cjui anaemroga nan

  • @ManenoLwanji
    @ManenoLwanji 2 месяца назад

    Siijaelewa Huyu ameongea me ngi LA kin jibulake liko kitabu cha mate nd ya mtume 8,9 ,1o 🎉

  • @h.mau9989
    @h.mau9989 27 дней назад

    vijembe haviishi piga kaz baba

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 9 дней назад

    Kama humkubali tunamkubali

  • @patrickmalewo5098
    @patrickmalewo5098 2 месяца назад +2

    Jamani hichi kizazi Cha nne ktk huduma.kizazi Cha kwanza Cha Dr.Moses kolola na Emmanuel Lazaro kizazi Cha pili Cha akina Mwingira ,kakobe na Lusekelo Mzee wa upako,na dastan maboya.hichi kizazi Cha tatu na Cha nne wakina mwamposa,kuhani mussa n.k huna haja ya kuhukumu acha wafanyekazi ya Mungu.Mungu ndie anaehukumu .

  • @user-ke9bg1dm9c
    @user-ke9bg1dm9c 13 дней назад

    Nitabilie

  • @happyminja-kb1ow
    @happyminja-kb1ow 3 месяца назад

    Muuhubirini MUNGU WA ukweli acheni kumsikiza .....

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 2 месяца назад

    Mwamposa anatufundisha tusimzalau mtumishi wa Mungu yoyote

  • @sinagogimwaibata3146
    @sinagogimwaibata3146 23 дня назад

    Nabii nitabirie mwanao ,mwaibata

  • @NyiranezaWarda-bk1yn
    @NyiranezaWarda-bk1yn Месяц назад

    Mungu akupe ushindi roho wamungu akufunike akusimamishiye bendela yawushindi 🥰💯🙏🙏🙏

  • @user-bs1od1zl4m
    @user-bs1od1zl4m 24 дня назад

    Natamani kukutananna mtumishi mzuri kama huyu make Hana rohoya kinyongo au rohoya kwanini

  • @AbdallahNzumila
    @AbdallahNzumila Месяц назад

    Mungu azidi kukutumia Kwa viwango vya juu endelea kufungua na kusaidia watu wenye matatizo mungu azidi kukubariki mtumishi Nina Imani na weww

  • @user-kv7cp3ce8i
    @user-kv7cp3ce8i Месяц назад

    Kazi unaiweza, hongera sana

  • @LuciaMakarange-vb8mc
    @LuciaMakarange-vb8mc 2 месяца назад

    Mutume mwaiposa anatufndisha tusimuzalau mutumishi wa mungu yoyot na sio mutmish tu bal anatufundisha mambo mengine ni vzr kuyapotezea

    • @mzalendomediatz
      @mzalendomediatz  2 месяца назад

      Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz

  • @BintiKessy
    @BintiKessy Месяц назад

    Mungu akubariki postor

  • @EdgaNdale-iw3vf
    @EdgaNdale-iw3vf 8 дней назад

    Niponye

  • @mamaleo5047
    @mamaleo5047 2 месяца назад +2

    Usimseme msa wewe fanya yako mchungaji kuhani muache

  • @DominickMushi-sc2gr
    @DominickMushi-sc2gr 24 дня назад

    Past Nina shida baba

  • @ShalifaOmary
    @ShalifaOmary 2 месяца назад +1

    Fari pupa

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 2 месяца назад +1

    Simkaombee kwenye nchi zenu? Mmeona Tanzania ni rahisi kuwapata malimbukeni wa kudanganywa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 месяца назад

      Kashayalisha matango pori ya kutosha

    • @geofreylucas7870
      @geofreylucas7870 2 месяца назад

      Kwani ni raia wa wapi huyu????
      Mana nilimsikiaga kwenye radio akisema nilipofanikiwa kupata uraia Tanzania sas nchi ndo sikujua anatokea nchi gani

  • @SeifJuma-yt1pk
    @SeifJuma-yt1pk Месяц назад

    Mi nataka nije kwako uko dar uniondolee nguvu za giza zinanisumbua na uniulie mchawi wangu anaeniroga Niko chato

  • @user-lb5zn1ro4i
    @user-lb5zn1ro4i 2 месяца назад

    Unamkosoa mtumishi wew upo sawa ?? MUNGU awasaidie,😢

    • @mariamswedi1140
      @mariamswedi1140 2 месяца назад +1

      someni maneno ya Mungu mnaangamia kwa kukosa maarifa hakuna Mungu hapa shauri zenu kuzimu na jehanam ipo

  • @oscarakyoo4641
    @oscarakyoo4641 2 месяца назад

    huyu mtu aliniambia mwaka jana kabla mwaka aujaisha nitatolewa kafara na ndugu zangu ,lkn mpaka saiv nadunda 😂😂😂uyu mwongo ,mwenye masikio na asikie 😢😢

    • @mzalendomediatz
      @mzalendomediatz  2 месяца назад

      Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz

    • @gracekiula5890
      @gracekiula5890 Месяц назад

      Mimi aliniambia sifiki tarehe 27 Desemba mpaka leo nipo

  • @AshuraIbrahimu-lq7qc
    @AshuraIbrahimu-lq7qc 2 месяца назад

    Mimi naomba unisidie baba naumwa nashida sana nisaidie

    • @mzalendomediatz
      @mzalendomediatz  2 месяца назад

      Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz

  • @MagrethMwanga-dn1ol
    @MagrethMwanga-dn1ol Месяц назад

    Nabii nitabilie Mage

  • @IreneAlex-nv8uj
    @IreneAlex-nv8uj 2 месяца назад +2

    Asant mung kwakuniletea mkomboz he Sasa nko mzma

  • @BarazilLwezaula
    @BarazilLwezaula 2 месяца назад +1

    Cheni shingoni niyanini na ereni sikioni niyanini wew jambazi

    • @jasmineomary4325
      @jasmineomary4325 2 месяца назад

      Huyu sio jambazi acha kutukana watumishi wa mungu

    • @jasmineomary4325
      @jasmineomary4325 2 месяца назад

      Unaitaka cheni au mana umeacha kuisikiliza point zake umedili na cheni how com?

    • @claracalvin5055
      @claracalvin5055 Месяц назад

      Hyo heren iko wap me sjaona

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md Месяц назад

      @@jasmineomary4325 hata lusfaa NI mtumishi anatumika kuwapeleka wengi motoni

  • @athumannyungundileki9799
    @athumannyungundileki9799 2 месяца назад

    Mbona nabii kajichubua au ndo yale yanayo semwa na akina mwakwembe

  • @msodokielias3985
    @msodokielias3985 2 месяца назад

    Mwacheni mtumishi wa mungu mwamposa ni fireeee

  • @DottoPwele
    @DottoPwele Месяц назад

    Baba mungu akubarik naakusimamie uendelee kuwa ponya watu asnte Mimi niMefunguliwa kwenye mambo mengi sanà

  • @mwatabubwire8148
    @mwatabubwire8148 2 месяца назад

    .nabii kataminyororo jinamwatabu ramadhani