NABII KIBOKO YA WACHAWI WA BUZA AIKATAA VITA ya MWAMPOSA "NINA HESHIMA KUBWA, KUNANJIA WAMEIPASUA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • #MzalendoTv #KaziIendelee #M4C

Комментарии • 367

  • @filimonmpinge6039
    @filimonmpinge6039 5 месяцев назад +11

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mungu alisaidie kanisa la Leo liwe na macho ya ROHONI

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 месяцев назад +53

    Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 5 месяцев назад

      Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake

    • @Neema-qm9kk
      @Neema-qm9kk 5 месяцев назад +2

      Asante kwa ushauri. Mimi huwa ninapenda mtu anayesema kweli

    • @agneskawamala618
      @agneskawamala618 5 месяцев назад +1

      Mwizi tu

    • @janethelly4986
      @janethelly4986 5 месяцев назад +2

      Mimi nilienda nikatoa 80k na sikuonana nae ,nilipewa mungine kabisaaa akunitabiria chochote

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 5 месяцев назад +2

      Kuna dini kuna waganga wa kienyeji sasa hivi Manabii wengi wako kama Wanageria wanskomba sadaka za wajinga nfiyo waliwao

  • @BarakaDonasiani-pj9bx
    @BarakaDonasiani-pj9bx 5 месяцев назад +7

    Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria

  • @BenardSaimon
    @BenardSaimon Месяц назад +1

    Mtumishi wa mungu endelea kuifanya kazi ya mungu kwa moyo mungu azidi kukutia nguvu ,na mungu azidi kutufungua kupitia wewe

  • @rachelmosha5619
    @rachelmosha5619 3 месяца назад +1

    Mtumishi kiboko ya wachawi hongera Sana kwa kazi unayoifanya ya kuwasaidia watu

  • @JanethEmmanuel-mr5le
    @JanethEmmanuel-mr5le 2 месяца назад +3

    Amina baba naomba uniombee nipate kazi pia baba angu nae apone mguu

    • @SeleAlfan
      @SeleAlfan 2 месяца назад

      Mm Mkonga selemani naomb msaanda wa biashar yangu na kunisaindia kuusu mambo yangu ya kuenda ulaya tatu naomb Moto nipo Malawi lilongwe

  • @muhasatv9245
    @muhasatv9245 4 месяца назад +8

    TUNAOSOMA HUKU TUMEWEKA POZI ILI MB ZISIENDE TUJUANE.

  • @user-zs6kw8ks4m
    @user-zs6kw8ks4m 4 месяца назад +10

    Mtumishi wamungu hutasikia akisema vibaya Kwa watumishi wengine hongera mtumishi

  • @user-yj2wm7rh6u
    @user-yj2wm7rh6u 5 месяцев назад +6

    Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 5 месяцев назад +2

      Roho ya upotofu inakunyemelea mwombe mungu akuokoe na hiyo kuamini manabii wa uongo

    • @sautiyamzalendo
      @sautiyamzalendo  5 месяцев назад +1

      Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz

    • @RodahAdonice-dz4sm
      @RodahAdonice-dz4sm 4 месяца назад

      Hamna kitu hapo Mwenyezi Mungu awasaidie sana

  • @sharonjosephine6252
    @sharonjosephine6252 3 месяца назад +1

    Mungu anatutizama kwa jicho la tofauti na la kibinadam soo acheni kuhukumu...

  • @Stella-118
    @Stella-118 5 месяцев назад +8

    Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.

    • @hafsalucky1088
      @hafsalucky1088 5 месяцев назад

      Mtumishi apige kazi, Mungu ndie aliemuita, hao wanapinga waendelee TU, Si tunasonga mbele hatuyumbishwi

    • @vinuskalonga4656
      @vinuskalonga4656 4 месяца назад

      Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie.
      Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama.
      AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 .
      KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.

  • @josephkileo-wk6ye
    @josephkileo-wk6ye 3 месяца назад +2

    Amina baba mtumishi please naomba uniombee nateseka sana baba

  • @Zumlatti
    @Zumlatti 3 месяца назад +2

    Amina niombee namim nateseka

  • @JosephMollel-wz7kn
    @JosephMollel-wz7kn 3 месяца назад +1

    Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina

  • @richardmboyo8724
    @richardmboyo8724 2 месяца назад +1

    Mungu akubariki nabii watu wengi wanapona kabisa

  • @MartinKimbwereza
    @MartinKimbwereza 27 дней назад

    namshukuru mungu kwa wema anaonitendea kila siku

  • @Stella-118
    @Stella-118 5 месяцев назад +10

    Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.

    • @LydiaAllen-wl9db
      @LydiaAllen-wl9db 5 месяцев назад +1

      Acheni ushamba

    • @RodahAdonice-dz4sm
      @RodahAdonice-dz4sm 4 месяца назад

      Polen sana

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Месяц назад

      Wenye matatizo ya akili mpo wengi, we taaahira kweli ambulance ipeleke mtu kansan

  • @bonithakankerauwera2323
    @bonithakankerauwera2323 5 месяцев назад +2

    Gloire gloire gloire gloire à l'éternel lui-même vraiment

  • @nataliedayana9824
    @nataliedayana9824 2 месяца назад +1

    Kwel unaomba lakin sasa pesa unaitisha kubwa sana jamani laki 5 maombi ya mmoja mmoja kama huna laki 2unusu hapo nmetoka mkoan sijala sijalal huruma hakunaa kabsaa leo nmeondok nmeskitika kukalia kit wa laki 3 🥱🥱sisi wa elfu 10 tununue utumbo tule tukalale

  • @EvaSadala-vv8jn
    @EvaSadala-vv8jn 3 месяца назад +1

    Mi kwenye kutoa pesa tena unaagizwa nyingine kama lk 2 tena toa 2hivohivo kiwango hicho ni kawaida Lkn hapana hapo uwe bilionea

  • @wilfredjohn4829
    @wilfredjohn4829 2 месяца назад

    Kumbe kuwa na kanisa ni kupata hamasa ktk makanisa mengine sikujua ila Mungu tunasihi huruma zako na rehema zako ndani ya Kanisa na Taifa letu Amen...

  • @SalomeKyamba-mk6zq
    @SalomeKyamba-mk6zq 2 месяца назад +1

    Huyu kijana ni tapeli hamjui Mungu yeye ni mpinga Kristo

  • @NaomiSilayo
    @NaomiSilayo 3 месяца назад +1

    Amina baba tusaidie

  • @MageLuvanda
    @MageLuvanda Месяц назад

    Wewe ni tapeli kunajirani yangu aliambiwa atoe laki moja kukuona baada ya hapo akanza kutolewa maneno machafu na pesa mumechukuwa na kumwabia uliitwa ata ukishitaki mungu awezi kuwabariki kwa utaperi

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 3 месяца назад

    Anaemsema Nabii Inawezekana ni Upande wapili kwahiyo ,binadamu tusiogope Mungu nimwema Sana,Hata YESU aliitwa mchawi

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 5 месяцев назад +4

    Mtumishi mbona ameweka nywele kisholobalo

  • @LuluJackson-u6e
    @LuluJackson-u6e Месяц назад

    Yan tz tumepatkana jmn mmh ,mungu kama aishivyo ipo sku

  • @AnnamarySeth
    @AnnamarySeth 2 месяца назад

    Amen Baba

  • @user-bj6bs9do2f
    @user-bj6bs9do2f 5 месяцев назад +4

    Kumbe Ndio Wewe Mchungaji Maana dah Sipatagi Usingizi bila kusikiliza kipindi Chako 🙏🙏Hila Siwezi Mukumu Mtu kwa Muonekano

  • @norahmajaliwa3841
    @norahmajaliwa3841 5 месяцев назад +4

    Bwana Yesu akulinde Mtumishi

  • @StellaRupia
    @StellaRupia Месяц назад

    Mashaka ni pale mtumishi wa mungu anapoleta bili kwa ajili ya maombi ndipo inakuwa biashara,

  • @bensonmwita-f1g
    @bensonmwita-f1g Месяц назад

    safi.sana

  • @Stella-118
    @Stella-118 5 месяцев назад +7

    Hakuna mtu aliekuwa mbishi kuamini kama mimi 😮lakini miujiza niliyotendewa na madhabahu ya kiboko siwezi sahau maishani mwangu na si mimi hata niliowapeleka nao wanamshangao so mimi sijali watu wanasema nini ninachoshukuru ni kuwa mungu wa Dominic ametenda.

    • @user-qu2ky6mi6v
      @user-qu2ky6mi6v 5 месяцев назад

      Yani napenda sana mm bando langu lote ni Kwa kiboko ya wachawi napenda sana mahubiri yake na Hana kinyongo na mtu

    • @flavianmasokoto5321
      @flavianmasokoto5321 5 месяцев назад +1

      Someni biblia achen uvivu

    • @tulihamwe24hrs32
      @tulihamwe24hrs32 5 месяцев назад

      Kweli Mungu wa Dominic amefanya 😂😂😂😂

    • @mossesmabulajr.3453
      @mossesmabulajr.3453 4 месяца назад

      😂😢😅

    • @Elizaobed
      @Elizaobed 4 месяца назад

      Hakuna mtumishi humu huyu mpiga lamri mmoja anaesema hahubiri watu waende mbinguni hata chambe ya kimungu hana

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 3 месяца назад +1

    Nimekutana nae kwa shida binafsi nimegundua huyu jamaa ni tapeli wa waziwazi na mbabaishaji mkubwa

  • @patrickmalewo5098
    @patrickmalewo5098 5 месяцев назад +2

    Jamani hichi kizazi Cha nne ktk huduma.kizazi Cha kwanza Cha Dr.Moses kolola na Emmanuel Lazaro kizazi Cha pili Cha akina Mwingira ,kakobe na Lusekelo Mzee wa upako,na dastan maboya.hichi kizazi Cha tatu na Cha nne wakina mwamposa,kuhani mussa n.k huna haja ya kuhukumu acha wafanyekazi ya Mungu.Mungu ndie anaehukumu .

  • @user-on5pu8wv4g
    @user-on5pu8wv4g 2 месяца назад

    Amina Baba zidi kubarikiwa 🙏🙏

  • @VeiceNasson
    @VeiceNasson 2 месяца назад

    Naomba niombee nateseka na magonjwa namtoto wangu Toka azaliwe Hana ufahamu mzuri kifafa v

  • @Eunice-kb8yz
    @Eunice-kb8yz 3 месяца назад

    Baba tuko pamoja naomba niombee uchumi wangu hauko sawa mimi na mume wang.yunis pallangyo

  • @maureenlilykiwia1515
    @maureenlilykiwia1515 5 месяцев назад +1

    Hatuko hapa kuhukumu watumishi wa Mungu kwasababu sisi sio tuliowapa mafuta wala sio tuliowaita.lakini hapa mhh changa la macho jina La Yesu linatumika vibaya na kusababisha mwili wa Kristo kutukanwa...vile vimawe anavyotoa watu kwa kigezo cha kupiga hela noooooooooo kwa kweli Mungu uturehemu

    • @sautiyamzalendo
      @sautiyamzalendo  5 месяцев назад

      Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz

  • @JoyceMassawe-f5i
    @JoyceMassawe-f5i 2 месяца назад

    Baba nakupenda sana nisaidie mume wangu anaumwa sana pressure na figo

  • @Prolimina-im2fo
    @Prolimina-im2fo 3 месяца назад

    Amina baba

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy 2 месяца назад

    Mwamposa yup huyo aliyemaliza watu moshi mageneza 25 mashujaa baada ya kda akapanda cheo mungu atawahukumu sana nyie chezen na mungu

  • @devotamwambola8303
    @devotamwambola8303 5 месяцев назад +3

    Huyu Hapana Mungu anisamehe.Kwanza kujichubua ni kosa kubwa sana.Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa imani

  • @AishaNasolo-j2u
    @AishaNasolo-j2u 2 месяца назад

    Bwanayesu asifiwe mtumishi Mimi naitwa Aisha nipo dodoma kibaigwa naomba msaada wamaombi ninamtoto wangu anaitwa hadija anasumbuliwa na ugonjwa wa kifafa nimwaka watatu naomba maada

  • @felicianathomas3319
    @felicianathomas3319 Месяц назад

    Mungu anakuona

  • @Aminatwahily
    @Aminatwahily 2 месяца назад

    Mungu akubariki baba Dominic nabii kiboko ya wachawi unaweza baba na utaweza zaidi ya hapo long life father ❤

  • @anoldkyaruzi8541
    @anoldkyaruzi8541 Месяц назад

    Amen

  • @AnordLeonard-pg9bv
    @AnordLeonard-pg9bv 3 месяца назад

    Amina

  • @Malkia01
    @Malkia01 3 месяца назад

    Jmn had ukutane na huyo unatoa hela mnapitishwa kil kigenge wa shemas utowe maokoto yaan mtu asiejuw cuba ataon nadangany aisee eeh😢

  • @FadhilFadhil-zr1xs
    @FadhilFadhil-zr1xs 3 месяца назад

    Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako

  • @Prolimina-im2fo
    @Prolimina-im2fo 3 месяца назад

    Amina baba naomba uniombee

  • @salmamose4244
    @salmamose4244 4 месяца назад

    Bwana Yesu asifiwe sir

  • @user-te4nq8vv6c
    @user-te4nq8vv6c 3 месяца назад

    Mimi ombi langu baba niweze kushinda kesi mahakamani naomba maombi yako baba 🙏🙏🙏🙏

  • @richardmboyo8724
    @richardmboyo8724 2 месяца назад

    Naomba uniombee baba nipate kazi ya kudumu

  • @SixtenTenga
    @SixtenTenga 2 месяца назад

    Naomba ndoa yangu ipone in Jesus name amen

  • @JosephNnko-nz6kk
    @JosephNnko-nz6kk 3 месяца назад

    Nabii nakubali wewe naomba uniombee Sana by josephu arusha

  • @user-wy1or9fm2s
    @user-wy1or9fm2s 3 месяца назад

    Kwani ni waislamu someni jamani hani mathayo 24 a1=24 kwa sisi waislamu ni mtihani kwetu hata kama makafiri waponya na mtume wa mwisho ni Muhammad kama ukimuona mwislamu ana wafata waliopotea (Wakorintho 15 :18

  • @MartinKimbwereza
    @MartinKimbwereza 3 месяца назад

    mimi naomba kupona mkono na mguu mungu akutie nguvu

  • @petermuturi4564
    @petermuturi4564 4 месяца назад +1

    Nashukulu.sana kwa unabii yako vile naona kwako nimetamani miaka mingi tafathali baba na kuheshimu na ninaamini ukitamka neno kwangu unabii wangu utapata nguvu na nifanikiwe mimi niko kenya peter

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 2 месяца назад

    Huyu mwizi tapeli alaf anajichubua hakuna mtumish wa Mungu wa hivi ANAOMBA laki Tano ndio umuone wakati Yesu mwenyewe watu walimuona bure

  • @EnnyMnzava
    @EnnyMnzava 3 месяца назад

    Bwana yes asifiwe mtumish nahitaji nipate kazi ,nyumba .gari nakufunguliwa kiuchumi

  • @FridaMtui-pp3lt
    @FridaMtui-pp3lt 4 месяца назад +1

    Naomba mungu anipe kazi,mume sahihi na amponye Mama yangu

  • @charlesfaru485
    @charlesfaru485 4 месяца назад

    hongela sana baba mchungaji

  • @estermohammed4335
    @estermohammed4335 3 месяца назад

    Umeniona jamani Baba na hiyo roho ya chuma ulete nisaidie nakata roho ya chuma ulete

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 2 месяца назад

    hongera sana

  • @GraceSilo-vt6ke
    @GraceSilo-vt6ke 2 месяца назад

    Amina baba uniombee ninashida baba ninamaisha magumu sana Kila ninachokifanya hakifanikiwi

    • @sautiyamzalendo
      @sautiyamzalendo  2 месяца назад

      Pole, nakusihi endelea kutufuatilia Mzalendo Tv

  • @estermohammed4335
    @estermohammed4335 3 месяца назад

    Naomba niombee uchumi watoto na furaha yangu

  • @felisianafelisiani7519
    @felisianafelisiani7519 3 месяца назад

    Ameeni

  • @DenisSimon-u2o
    @DenisSimon-u2o 2 месяца назад

    amee

  • @mamaziada134
    @mamaziada134 5 месяцев назад +1

    Domi baba yangu usiwasikilize watu fanya ulicho jaariwa na mungu nakuamini aslimia mia na ukuisomatu ujumbe huu nami nitapona kwa imani ubarikiwe niombee naitwa esta andrea

    • @sautiyamzalendo
      @sautiyamzalendo  5 месяцев назад

      Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 3 месяца назад

    Hongera. Sana baba

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 3 месяца назад

    Nabii naomba tusaidie tumezulumiwa Mali zetu Na hakuna amani naomba msaada.

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 2 месяца назад

    Huyu ni kiboko ya MKOROGO 😂😂😂 sugu kibao mkononi hakuna mtumish wa Mungu anafeki Hadi rangi ya mwili wake

  • @AbdallahNzumila
    @AbdallahNzumila 4 месяца назад

    Mungu azidi kukutumia Kwa viwango vya juu endelea kufungua na kusaidia watu wenye matatizo mungu azidi kukubariki mtumishi Nina Imani na weww

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz 5 месяцев назад +7

    Kumbe ndo huyu nilifikiri ni mbaba kumbe ni muhuni muhuni tu

  • @boniphaceemmanuel6604
    @boniphaceemmanuel6604 Месяц назад

    KWA HIYO UMEAMUWA KUSAIDIA SERIKALI KUJENGA BARABARA ILI WASIKUCHUKULIE HATUWA😂😂😂😂 DINI UMEIGEUZA BIASHARA UNAJIITA KIBOKO WA WACHAWI ACHA TUKUZOOM NYUMA YA PAZIA....

  • @MartinKimbwereza
    @MartinKimbwereza 3 месяца назад

    naomba kkutolewa kwenye nguvu zagiza na laana nibarikiwe kwenye uchimi

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 3 месяца назад

    Nabii nisaidie naitwa chiungo Aisha Anton Sina maisha nakufuatila

  • @DrAmiijmpembaThedon
    @DrAmiijmpembaThedon Месяц назад

    Nakurespect baba

  • @claudiokatucha6652
    @claudiokatucha6652 4 месяца назад

    Claudio OSKA KATUCHA nina changamoto ya kufungwa kiuchumi naomba niombee

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co 3 месяца назад

    Fungua na ww kanisa lako udangaye watu kama ni kaz rahis acha kumkashfu nabii

  • @JaphetIramba
    @JaphetIramba 3 месяца назад

    NAITWA MMASSY BABA NAOMBA UANGALIE FAMILIA YANGU MAISHA AYAELEWEKI

  • @HassaniChamb0
    @HassaniChamb0 3 месяца назад

    Samahani. Nna dada yang anamatatizo a naitw a mariamu ramadhani naomba umtabiri Anam toto mgojwa

  • @StanleyChibwete
    @StanleyChibwete 2 месяца назад

    Tembea na mikoani siyo unakaa mahalipamoja tu daresaalamutu na sisi tunahitaji hudumayako njoo dodoma kalibu sana

  • @user-cp3uo9gz2x
    @user-cp3uo9gz2x 2 месяца назад

    Kwakweli mm simfahamu ila nimeongea point sana saana

  • @iptysamjamal
    @iptysamjamal 3 месяца назад

    Nabii mume wangu biasharà hàzieñdi na pesa hazionekan zaitun jafar cjui anaemroga nan

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 месяца назад

    Huyu ni tapeli ,waziri wa mambo ya ndani tunaomba chukua hatua

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 5 месяцев назад +1

    Simkaombee kwenye nchi zenu? Mmeona Tanzania ni rahisi kuwapata malimbukeni wa kudanganywa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 месяцев назад

      Kashayalisha matango pori ya kutosha

    • @geofreylucas7870
      @geofreylucas7870 5 месяцев назад

      Kwani ni raia wa wapi huyu????
      Mana nilimsikiaga kwenye radio akisema nilipofanikiwa kupata uraia Tanzania sas nchi ndo sikujua anatokea nchi gani

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 Месяц назад

    Safi mtumishi huna kinyongo na mtu

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 5 месяцев назад +3

    Yesu wangu huyu nilimsikiliza redioni tu kumbe ndo yupo hivi😂😂😂

  • @AlphonceSosela
    @AlphonceSosela 2 месяца назад

    Naomba nitabilie Alphonce sotery sosela

  • @MassAlex-dv7rs
    @MassAlex-dv7rs 5 месяцев назад +4

    Huu sio wakati wa kuua wachawi ni wakati wa kuwafanya watu hawa kuwa wema,tambua ukiwa muuwaji nawewe pia ni mchawi.😂😮😅

    • @jasmineomary4325
      @jasmineomary4325 5 месяцев назад +1

      Sio kweli we husomi bible inasema usimwache mchawi Aishi sio unaongea TU bila kujuwa

    • @miriamgeorge2929
      @miriamgeorge2929 5 месяцев назад +1

      Hasomi biblia angekuwa anasoma wala asingesema hivyo

    • @RodahAdonice-dz4sm
      @RodahAdonice-dz4sm 4 месяца назад +1

      ​@@jasmineomary4325mnadanganywa nanyi mnakubali kisasi ni cha Mungu tu na si mwanadam nyie ndo hamsomi biblia vizuri

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 4 месяца назад

      ​​@@miriamgeorge2929usitumie mstali mmoja kujidanganya soma uelewa Hilo Neno Lina maana gani baada ya kifo cha yesu msalabani na alieokoka aikilogeka na kuwaogopa wachawi bado haeliwi KAZI ya yesu msalabani

  • @JoyceMassawe-f5i
    @JoyceMassawe-f5i 2 месяца назад

    Pia BIASHARA baba zimekuwa ngumu sana baba

  • @BahatiMrema-lc3zv
    @BahatiMrema-lc3zv 3 месяца назад

    Amina baba natamani uniombee

  • @LuciaMakarange-vb8mc
    @LuciaMakarange-vb8mc 5 месяцев назад

    Mutume mwaiposa anatufndisha tusimuzalau mutumishi wa mungu yoyot na sio mutmish tu bal anatufundisha mambo mengine ni vzr kuyapotezea

    • @sautiyamzalendo
      @sautiyamzalendo  5 месяцев назад

      Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz

  • @ManenoLwanji
    @ManenoLwanji 5 месяцев назад

    Siijaelewa Huyu ameongea me ngi LA kin jibulake liko kitabu cha mate nd ya mtume 8,9 ,1o 🎉

  • @DottoPwele
    @DottoPwele 4 месяца назад

    Baba mungu akubarik naakusimamie uendelee kuwa ponya watu asnte Mimi niMefunguliwa kwenye mambo mengi sanà

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 5 месяцев назад

    Mwamposa anatufundisha tusimzalau mtumishi wa Mungu yoyote

  • @fanuelMndeme
    @fanuelMndeme 3 месяца назад

    Ubariwe

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 6 месяцев назад +1

    👏👏