Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina
Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria
Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.
Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie. Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama. AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 . KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.
Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo
Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake
Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.
Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii
Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako
Kwani ni waislamu someni jamani hani mathayo 24 a1=24 kwa sisi waislamu ni mtihani kwetu hata kama makafiri waponya na mtume wa mwisho ni Muhammad kama ukimuona mwislamu ana wafata waliopotea (Wakorintho 15 :18
Nashukulu.sana kwa unabii yako vile naona kwako nimetamani miaka mingi tafathali baba na kuheshimu na ninaamini ukitamka neno kwangu unabii wangu utapata nguvu na nifanikiwe mimi niko kenya peter
Jamani hichi kizazi Cha nne ktk huduma.kizazi Cha kwanza Cha Dr.Moses kolola na Emmanuel Lazaro kizazi Cha pili Cha akina Mwingira ,kakobe na Lusekelo Mzee wa upako,na dastan maboya.hichi kizazi Cha tatu na Cha nne wakina mwamposa,kuhani mussa n.k huna haja ya kuhukumu acha wafanyekazi ya Mungu.Mungu ndie anaehukumu .
huyu mtu aliniambia mwaka jana kabla mwaka aujaisha nitatolewa kafara na ndugu zangu ,lkn mpaka saiv nadunda 😂😂😂uyu mwongo ,mwenye masikio na asikie 😢😢
Mungu akubariki baba Dominic nabii kiboko ya wachawi unaweza baba na utaweza zaidi ya hapo long life father ❤
Mtumishi kiboko ya wachawi hongera Sana kwa kazi unayoifanya ya kuwasaidia watu
Bwana YESU apewe sifa, naomba maombi Yako, Nina sumbuliwa na Sukari,macho kutoona vizuri,miguu kuwa na vidonda na kikohozi kisichopona HIVYO naomba maombi Yako sana naitwa Maina
Mtumishi wamungu hutasikia akisema vibaya Kwa watumishi wengine hongera mtumishi
Ubarikiwe baba mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏 mimi festo kutoka dodoma
Muuni tu uyo na hizi ndio siku za mwisho wanakuja manabii wa uwongo watanzania jiangalieni.sana na watu kama.hawa mtafuteni mungu kw bidii na kulijua neno na mungu bibria
Naomba mungu anipe kazi,mume sahihi na amponye Mama yangu
Amina baba naomba uniombee
Amina baba
Gloire gloire gloire gloire à l'éternel lui-même vraiment
Mungu anatutizama kwa jicho la tofauti na la kibinadam soo acheni kuhukumu...
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Mungu alisaidie kanisa la Leo liwe na macho ya ROHONI
Nabii endelea baba wewe ni mteule wa mungu.hayo maneno ya binadamu yasikuvunje nguvu, hata Yesu alidhihakiwa na kutukanwa lakini hakuacha kundoo wapotee bila mchungaji. Sisi tunaohudhuria kwenye ibada zako ndio tunaoujua ukweli wa mambo sio kwa kuhadithiwa bali kwa kushuhudia kwa macho yetu mawili mungu akulinde baba.
Mtumishi apige kazi, Mungu ndie aliemuita, hao wanapinga waendelee TU, Si tunasonga mbele hatuyumbishwi
Sawa kabisa. Chapa Injili mtumishi wa Mungu. Watu na wakristo 😂wanaomjua Mungu kwa kutumia Biblia, hawezi kumtukana mchungaji mwenzao yeyote yule kihivyo. Aibu kubwa Lazima awe na woga. Yesu aliwaambia wanafunzi wake, hao wanaomhubiri Yesu wako pamoja na sie.
Falme iliyogawanyika haiwezi kusimama. Huwezi mnyanyua Yesu huku unatumikia shetani na bado ukasimama.
AIBU KUBWA SANA KUONA SIE WAUMINI TUNAONA WACHUNGAJI WETU, WANAODAI WAMJUA YESU, HATA HILO AGIZO RAHISI HIVYO LA MUNGU WANASHINDWA KULIHESHIMU😢 .
KAWADANGANYENI BASI WATU NA NYIE MUONE MOTO NA MASHIMO ya Mungu yakiwameza wazima wazima.
Ubariwe
Amina baba mtumishi please naomba uniombee nateseka sana baba
Amina
TUNAOSOMA HUKU TUMEWEKA POZI ILI MB ZISIENDE TUJUANE.
Nimemsikiliza huyu Sana hakuna anachohubili anachofanya NI kuwadanganya watu Kwa kivuli cha injili tena kuna majilani zangu wawili walienda huko wachoambiwa kumwona watoe elfu 20 walitoa na hawakuluhusiwa kumwona mpaka wanaondoka na hiyo pesa hawakuludishiwa nawaomba wa tz kuweni makini na watapeli wa injili jifunzeni kusoma bibilia na kuomba wenyewe mathayo 7:7. Mungu anawaalika watu wote waombe mungu hamilikiwi na MTU manabii wa Leo hutumia ujinga wa watu kutojua maandiko kuwadanganya na kuwaibia amkeni swala la kuomba NI la kila MTU alieamini na kutubu dhambi mungu Hana upendeleo
Hivi sisi waumini wa kila madhehebu yote hamjasoma biblia agano la kuwa kutatokea Manabii wa uongo magonjwa yasiyotibika kama ukimwi corona kansa ebola nk wengi wao wanashiriki hasa nguvu za kishirikina za chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao hasa sisi wanawake
Asante kwa ushauri. Mimi huwa ninapenda mtu anayesema kweli
Mwizi tu
Mimi nilienda nikatoa 80k na sikuonana nae ,nilipewa mungine kabisaaa akunitabiria chochote
Kuna dini kuna waganga wa kienyeji sasa hivi Manabii wengi wako kama Wanageria wanskomba sadaka za wajinga nfiyo waliwao
Hongera. Sana baba
Mtumishi mbona ameweka nywele kisholobalo
Amen Baba
Amina niombee namim nateseka
👏👏
Bwana Yesu asifiwe sir
Bwana Yesu akulinde Mtumishi
hongela sana baba mchungaji
Umeniona jamani Baba na hiyo roho ya chuma ulete nisaidie nakata roho ya chuma ulete
Amina baba tusaidie
Naomba niombee uchumi watoto na furaha yangu
Kiboko ya wachawi ubarikiwe😅😅
Baba tuko pamoja naomba niombee uchumi wangu hauko sawa mimi na mume wang.yunis pallangyo
Anaemsema Nabii Inawezekana ni Upande wapili kwahiyo ,binadamu tusiogope Mungu nimwema Sana,Hata YESU aliitwa mchawi
Ameeni
mimi naomba kupona mkono na mguu mungu akutie nguvu
Hivi hao matomaso hawaoni ambulance za serikali zinavyoleta wagonjwa madhabauni na mipira ya gas na wanainuka? Hebu fika ujionee na huyo aliekwambia anetoa 20 na hajamuona yy alikuja kupatamuujiza tuu. Lakini imani hakuwa nayo. Maana watu wanakanyaga tu kwenye ardhi ya kanisa na anapona.
Acheni ushamba
Polen sana
❤🎉
Nabii naomba tusaidie tumezulumiwa Mali zetu Na hakuna amani naomba msaada.
❤
Mimi Namshukuru mungu kwa matendo makuu anayoyatenda ndani ya madhabahu ya Mungu wa nabii kiboko WA wachawi ninafuatilia masomo yake ninajifunza mengi Mungu akubariki sana Nabii
Roho ya upotofu inakunyemelea mwombe mungu akuokoe na hiyo kuamini manabii wa uongo
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
Hamna kitu hapo Mwenyezi Mungu awasaidie sana
Nabii nakubali wewe naomba uniombee Sana by josephu arusha
Amina baba natamani uniombee
Nabii nisaidie naitwa chiungo Aisha Anton Sina maisha nakufuatila
Mi kwenye kutoa pesa tena unaagizwa nyingine kama lk 2 tena toa 2hivohivo kiwango hicho ni kawaida Lkn hapana hapo uwe bilionea
Fungua na ww kanisa lako udangaye watu kama ni kaz rahis acha kumkashfu nabii
Bwana yes asifiwe mtumish nahitaji nipate kazi ,nyumba .gari nakufunguliwa kiuchumi
Kumbe Ndio Wewe Mchungaji Maana dah Sipatagi Usingizi bila kusikiliza kipindi Chako 🙏🙏Hila Siwezi Mukumu Mtu kwa Muonekano
Iman haba
🙏🙏
Asante kwa kufuatilia @mzalendomediatz
Mimi ombi langu baba niweze kushinda kesi mahakamani naomba maombi yako baba 🙏🙏🙏🙏
Muombe mungu wako ww
Jmn had ukutane na huyo unatoa hela mnapitishwa kil kigenge wa shemas utowe maokoto yaan mtu asiejuw cuba ataon nadangany aisee eeh😢
Huyu Hapana Mungu anisamehe.Kwanza kujichubua ni kosa kubwa sana.Kweli watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa imani
Ni mkongo kwaiyo iyo ni kawaida acha kujaji
Mbona msg hujibu
Nimekukubali
Nisaidie nabii
Nimekutana nae kwa shida binafsi nimegundua huyu jamaa ni tapeli wa waziwazi na mbabaishaji mkubwa
Samahani. Nna dada yang anamatatizo a naitw a mariamu ramadhani naomba umtabiri Anam toto mgojwa
naomba kkutolewa kwenye nguvu zagiza na laana nibarikiwe kwenye uchimi
Mmmmmm
Nataka kujua kuusu dada yangu grace
❤🎉🙏
Sharoom naitwa zuhura naomba umsaidie mama yng anaitaji kuuza nyumba yake hapo Kwa azizi ally mana tumepiga sana simu Yako aipokelewi mana mama yng anasikiliza sana kuhusu miujiza yako
Nabii komboa familia yangu
Safi sana mtumishi
Yesu wangu huyu nilimsikiliza redioni tu kumbe ndo yupo hivi😂😂😂
Claudio OSKA KATUCHA nina changamoto ya kufungwa kiuchumi naomba niombee
NAITWA MMASSY BABA NAOMBA UANGALIE FAMILIA YANGU MAISHA AYAELEWEKI
❤❤❤❤❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Kwani ni waislamu someni jamani hani mathayo 24 a1=24 kwa sisi waislamu ni mtihani kwetu hata kama makafiri waponya na mtume wa mwisho ni Muhammad kama ukimuona mwislamu ana wafata waliopotea (Wakorintho 15 :18
Mathayo 7:15
Nashukulu.sana kwa unabii yako vile naona kwako nimetamani miaka mingi tafathali baba na kuheshimu na ninaamini ukitamka neno kwangu unabii wangu utapata nguvu na nifanikiwe mimi niko kenya peter
Nabii mume wangu biasharà hàzieñdi na pesa hazionekan zaitun jafar cjui anaemroga nan
Siijaelewa Huyu ameongea me ngi LA kin jibulake liko kitabu cha mate nd ya mtume 8,9 ,1o 🎉
vijembe haviishi piga kaz baba
Kama humkubali tunamkubali
Jamani hichi kizazi Cha nne ktk huduma.kizazi Cha kwanza Cha Dr.Moses kolola na Emmanuel Lazaro kizazi Cha pili Cha akina Mwingira ,kakobe na Lusekelo Mzee wa upako,na dastan maboya.hichi kizazi Cha tatu na Cha nne wakina mwamposa,kuhani mussa n.k huna haja ya kuhukumu acha wafanyekazi ya Mungu.Mungu ndie anaehukumu .
Nitabilie
Muuhubirini MUNGU WA ukweli acheni kumsikiza .....
Mwamposa anatufundisha tusimzalau mtumishi wa Mungu yoyote
Kabisa na ăjawai kumutkan mutumishi yoyote
Nabii nitabirie mwanao ,mwaibata
Mungu akupe ushindi roho wamungu akufunike akusimamishiye bendela yawushindi 🥰💯🙏🙏🙏
Natamani kukutananna mtumishi mzuri kama huyu make Hana rohoya kinyongo au rohoya kwanini
Mungu azidi kukutumia Kwa viwango vya juu endelea kufungua na kusaidia watu wenye matatizo mungu azidi kukubariki mtumishi Nina Imani na weww
Kazi unaiweza, hongera sana
Mutume mwaiposa anatufndisha tusimuzalau mutumishi wa mungu yoyot na sio mutmish tu bal anatufundisha mambo mengine ni vzr kuyapotezea
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
Mungu akubariki postor
Niponye
Usimseme msa wewe fanya yako mchungaji kuhani muache
Amuache Kuhani wetu Mussa Richard Mwacha
Past Nina shida baba
Fari pupa
Simkaombee kwenye nchi zenu? Mmeona Tanzania ni rahisi kuwapata malimbukeni wa kudanganywa
Kashayalisha matango pori ya kutosha
Kwani ni raia wa wapi huyu????
Mana nilimsikiaga kwenye radio akisema nilipofanikiwa kupata uraia Tanzania sas nchi ndo sikujua anatokea nchi gani
Mi nataka nije kwako uko dar uniondolee nguvu za giza zinanisumbua na uniulie mchawi wangu anaeniroga Niko chato
Unamkosoa mtumishi wew upo sawa ?? MUNGU awasaidie,😢
someni maneno ya Mungu mnaangamia kwa kukosa maarifa hakuna Mungu hapa shauri zenu kuzimu na jehanam ipo
huyu mtu aliniambia mwaka jana kabla mwaka aujaisha nitatolewa kafara na ndugu zangu ,lkn mpaka saiv nadunda 😂😂😂uyu mwongo ,mwenye masikio na asikie 😢😢
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
Mimi aliniambia sifiki tarehe 27 Desemba mpaka leo nipo
Mimi naomba unisidie baba naumwa nashida sana nisaidie
Asante kwa kutufuatilia @mzalendomediatz
Nabii nitabilie Mage
Asant mung kwakuniletea mkomboz he Sasa nko mzma
Cheni shingoni niyanini na ereni sikioni niyanini wew jambazi
Huyu sio jambazi acha kutukana watumishi wa mungu
Unaitaka cheni au mana umeacha kuisikiliza point zake umedili na cheni how com?
Hyo heren iko wap me sjaona
@@jasmineomary4325 hata lusfaa NI mtumishi anatumika kuwapeleka wengi motoni
Mbona nabii kajichubua au ndo yale yanayo semwa na akina mwakwembe
Mwacheni mtumishi wa mungu mwamposa ni fireeee
Baba mungu akubarik naakusimamie uendelee kuwa ponya watu asnte Mimi niMefunguliwa kwenye mambo mengi sanà
.nabii kataminyororo jinamwatabu ramadhani