Hao walio comment hivyo pamoja na nyinyi watu wa Millard nyote ni wapuuzi,mbon hamumshangai diamond na hamisa mobeto pamoja na haji manara hao nao tuwaambie Nini njaa au kitugani
Kama Steve Nyerere anahisi ni njaa,basi aanze kuwaambia akina Diamond,Manara na Hamisa Mabeto,wote walikuwa Simba ila wakahamia Utopolo. Atuachie dada yetu Irene Uwoya ainjoy kuwa unyamani.
Acheni hayo mambo ya kinafiki,mbona kwa Hamisa hamzungumzii???!!!pia huyo Diamond naye hadi anajihisi aibu kujiita tena jina la SIMBA ukizingatia na tuzo ya kukuza brand tayari anayo
Njaa mbaya jmn Irene Leo Ni mnyama ajabu japo si ajabu,kapata bwana bhn Kule Simba piga Pesa dada angu,km vile KIBA jipigieni Hela mkiwamaliza rudini nyumbani
Watu wote mnao mwambie Irene woya kwamba njaa amna hakili mbona wapo wengitu wanaobadili ata uraiya na kuingia nchi nyingine wakati yeye niwa nchi nyingine acha mtu atafute maokoto
Wabongo bwana wanashangaa Enga ikitundikwa nguo ni ujinga UWOYA KATUMIKA KAMA ENGA SHIDA IPO WAPI.HAPO NI KUWASIFU SIMBA KWA UBUNIFU WAO WA KUMTUMIA UWOYA KAMA ENGA YA DHAA YAO.
Mbona waandishi m ahoji Sanaa Mambo yanayoihusu Simba tu na kwa wale waliohamia Simba itakua ni kiu au? Mbona hamuwataji akina cheupe dawa na mashoga zako ? Si alikua mtukanaji mzuri au nnajitoa akili ? Wacheni mapenzi kwenye kazi nyinyi
Hao walio comment hivyo pamoja na nyinyi watu wa Millard nyote ni wapuuzi,mbon hamumshangai diamond na hamisa mobeto pamoja na haji manara hao nao tuwaambie Nini njaa au kitugani
IRENE uko SMART SANA !!!!, MAPOVU yangewatoka saa ngapi????
Smart sanaaa
Kama Steve Nyerere anahisi ni njaa,basi aanze kuwaambia akina Diamond,Manara na Hamisa Mabeto,wote walikuwa Simba ila wakahamia Utopolo.
Atuachie dada yetu Irene Uwoya ainjoy kuwa unyamani.
Wamuache Irene uwoya kapendez haswa. One love SIMBA
Kaziii kaziii pambana dada owoya
Aloo! jezi nzuriiii hasa ya red
Acheni hayo mambo ya kinafiki,mbona kwa Hamisa hamzungumzii???!!!pia huyo Diamond naye hadi anajihisi aibu kujiita tena jina la SIMBA ukizingatia na tuzo ya kukuza brand tayari anayo
Kama chama kavaa jezi ya yanga alikuwa Simba Irine kwani yy ninani
Kapendeza haswa 🎉🎉
Ni mchungaji wa kanisa Gani?
Kwani shida nini?mbona wengi wanahamahama?huyu steve hamtendei haki huyu dada.siyo vzr
Kwan diamond ana njaaa 😅😅Kwan kiba ana njaa nyie Kuma nn
Bila ya kutukana ujumbe hauwezi ukafika?? Tukumbuke wote tumezaliwa kwa njia ya hicho kitu akiwemo mama yako .
Amekana Chama naye sio njaa?
Kwani hapo tatizo nn hiyo nibiasharaaaa sio mapenzi na club
Jezii nzuriiiii kweliii
Me mwenyew cjaelewa
Sawasawa kabisa hizi ndio dalili za kiama na ujio wa wachungaj wa bongo move
Hiyo siyo Jezi 😂😂😂ni SANDA so Soon she will be in 😅
Safi woya
Mijezi ya magoma fc, haina mvuto
Jez n kali
Mama Mchungaji
Sisi wabongo uelewa mdogo kukariri kunatutesa sanaa pesa na tumbo zinafanana Steven acha ushamba ww
Huyu anatafuta maokoto na so dhambi mama mtumishi ucjal piga kazi
Njaa ipi??
Hao hawana wakina Steve hawana akili sasa mtu kama kalipwa asifanye???anajirfutia pesa mnataka akadange???
Leo kwa uwoya mnasema tamaa na kiba nae Ana tamaa achani uzandik
kweli
🔥🔥
Ni manadilishano Tuuu
Coz Hamisa Atavaa Ya Yanga
Njaa mbaya jmn Irene Leo Ni mnyama ajabu japo si ajabu,kapata bwana bhn Kule Simba piga Pesa dada angu,km vile KIBA jipigieni Hela mkiwamaliza rudini nyumbani
Ubwela ubwela tupo juuu😂
VIPI DIAMOND, MANARA NA MOBETO N NJAA ZIMEWAPELEKA UTOPOLO
Mtu mfupi tulia,,njaa we una shibe??
Ameiyelewa
Kalii
Ubaya ubwela tu safi irene
Mchungaji mwenye shepu zaidi duniani 🔥
Shepu wapi bhana😂😂
😂😂😂
@@PaulinaOctavian Ina maana huoni?Kweli?😂😂
@@Esquire266 akuna shepu apo 🤣🤣
@@PaulinaOctavian Rangi anayo,maziwa yapo vizuri, shepu anayo.Jamani, huoni hayo yote,kweli?😂😂
Amependeza
Simba nao wapuuzi tu, wana wake wamejaa tena warembo kweli kweli
huyo steve anawivu sana
Kigumu kuhama ni kabila na ukoo tu
Irene ni mchungaji sasa atashabikiaje timu ambayo hata kwenye biblia haipo
😂😂😂😂😂
Mmejinunulia Sanda mapema hongereni Kwa kuujua msiba wenu na kujiandalia mazishi mema wananchi wanakaribia kuja kuua
SIMBA NI KAMA MAJI,USIPO KUNYWAA UTAOGA,TULIANZA NA KIBA NOW N ZAMU YA UWOYA,HII NDOO MAANA HALISI YA UBAYA UBWELA
Steve mshamba ulipewa hata uongoz ukashindwa sababu ya mdomo 😂
Mbona amzungumzii ya hamissa mobeto na azizi k acheni unafki
Basi tutengemee kumuona hamisa mabetto nae akivaa jezi mpya ya yanga wakiwa wanatabulisha niko pale 😁😁
Yeah watu wanazingatia maokoto,washamba wachache tu ndio hawaelewi
Shabiki wa Yanga kafanya kazi na Simba, kachukua pesa zake na anaendelea kushabikia Yanga shida ipo wapi???
Hii ndio bongo full usaliti
Itakuwa kaona yanga wapo busy na kazi na c mapenzi...Yanga Bingwa
Bwanaake anaitwa AHUA
Hacheni usenge kwani hamtaki atengeneze pesa?
Ubaya ubwela
Watu wote mnao mwambie Irene woya kwamba njaa amna hakili mbona wapo wengitu wanaobadili ata uraiya na kuingia nchi nyingine wakati yeye niwa nchi nyingine acha mtu atafute maokoto
Wabongo bwana wanashangaa Enga ikitundikwa nguo ni ujinga UWOYA KATUMIKA KAMA ENGA SHIDA IPO WAPI.HAPO NI KUWASIFU SIMBA KWA UBUNIFU WAO WA KUMTUMIA UWOYA KAMA ENGA YA DHAA YAO.
Hiyo ni kazi jamani
Mijez mibayaaaa
Jezi mbaya kwako kwetu nzuri sana. Umalaya peleka kwenu
nyerere upo vzr mwambie aache tamaa
Mbona waandishi m ahoji Sanaa Mambo yanayoihusu Simba tu na kwa wale waliohamia Simba itakua ni kiu au? Mbona hamuwataji akina cheupe dawa na mashoga zako ? Si alikua mtukanaji mzuri au nnajitoa akili ? Wacheni mapenzi kwenye kazi nyinyi
Yuko kikazi😂😂😂😂😂😂😂😂
Imeandikwa Sanda?. Mkosi
Kakasirika mmempaa mobeto aziz key na yeye anataka apewe mtu simba awa wachezaji wageni waliokuja
Ww miladi mbona atukuelew kuna vitu vya kuposti
Millardayo utopolo
Sasa n maamuzi yeye inahusu nn mjinga nn
Asa kama ni ambasador.
Kwaiyo walio ama wananjaa mfate na manara chaajabu nin
Mtu mfupi mbwatukaji huyo hana njaa kama nyinyi mlivyo toka kwawazazi mpaka yeye hawana njaa
Toka lini wasanii wa bongo wakawa na msimamo
Uwoya moto
Acheni ushamba
Baba mtoto wake alikua mchezaji wa simba hamisa mobeto
Ao wote anatafuta maslai akuna mshabiki apo ata mmoja ukianzia mond manaea na wengine ambao stowataja
Sanda tena mbele
Dada umenikosha nimekupenda bulee kalibu musimbazi
Jezi za simba sc ni hatari ni kali utakosaje kuvaa
Huyu amelipwa Hela atangaze biashara Sasa shida ipo wapi mwana
Hiyo sindilia jez gani
Wivu 2 unawasumbu weka yako 2one hapo
Kwan stive nyerere yeye ninanii, wazee wengine waajabu sana.
Watanzania wana kaushaba furani Hivi 🤣🤣🤣
Duh ila neno (Sanda) hapo limekaaje??
Neno sanda kwako ni geni?mbona mnavaa mavazi ya kutoka kwa wazungu yameandikwa fila?
Sanda ni kifupi cha Jina Sandalandi hivyo basi tasfiri yake ni jina sio sanda ya kuzikia
mwacheni mama mchungaji kwani wakwanza yy kuhama fyuuu
Jamani mbona mna Hanisa mobeto huko chaajabu nini Hyline kuja Simbaaaaa. Utopoloooooooooooo🐸🐸🐸🐸
#Hyline😂😂😂😂😂mmmh😂😂 hata kiswahili zerooo
Steve mbn povu linakutoka Kwan yanga unaimilik wewe mfyuuuu
Media unprofessional
Kusema kutolewa utu kivipi Kwan ni kazi haramu?? Wangapi wanahama timu bhn achen hizo bhn
𝐚𝐦𝐮𝐧𝐚 𝐧𝐣𝐚𝐚𝐚 𝐣𝐚𝐦𝐚𝐧 𝐢𝐥𝐚 𝐚𝐧𝐚𝐢𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐤𝐚𝐳 𝐲𝐚𝐤𝐞 ❤❤❤❤
Stev nyerere wewe nijinga sana
Huo mjadala wa kijinga Owoya ni msanii na nihaki yake kuvaa stive sawa na ashura tu utu kwa yanga asipige ela kwa ajili ya utopolo fala stive kweli
Sisi wabongo uelewa mdogo kukariri kunatutesa sanaa pesa na tumbo zinafanana Steven acha ushamba ww
Ubaya ubwela