STEVE ASHTUSHWA NA UWOYA KUVAA JEZI YA SIMBA “NJAA MBAYA, NIMELIA SANA' IDRIS APIGILIA MSUMARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024

Комментарии • 107

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 2 месяца назад +16

    Hao walio comment hivyo pamoja na nyinyi watu wa Millard nyote ni wapuuzi,mbon hamumshangai diamond na hamisa mobeto pamoja na haji manara hao nao tuwaambie Nini njaa au kitugani

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 месяца назад +6

    IRENE uko SMART SANA !!!!, MAPOVU yangewatoka saa ngapi????

  • @user-dp4uo3xh
    @user-dp4uo3xh 2 месяца назад

    Smart sanaaa

  • @IsaacPhilemon-mt7bk
    @IsaacPhilemon-mt7bk 2 месяца назад +4

    Kama Steve Nyerere anahisi ni njaa,basi aanze kuwaambia akina Diamond,Manara na Hamisa Mabeto,wote walikuwa Simba ila wakahamia Utopolo.
    Atuachie dada yetu Irene Uwoya ainjoy kuwa unyamani.

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 месяца назад

    Wamuache Irene uwoya kapendez haswa. One love SIMBA

  • @elsonmushi9491
    @elsonmushi9491 2 месяца назад +2

    Kaziii kaziii pambana dada owoya

  • @Mmexicotz
    @Mmexicotz 2 месяца назад +3

    Aloo! jezi nzuriiii hasa ya red

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 2 месяца назад +1

    Acheni hayo mambo ya kinafiki,mbona kwa Hamisa hamzungumzii???!!!pia huyo Diamond naye hadi anajihisi aibu kujiita tena jina la SIMBA ukizingatia na tuzo ya kukuza brand tayari anayo

  • @CatherineAtilio
    @CatherineAtilio 2 месяца назад +3

    Kama chama kavaa jezi ya yanga alikuwa Simba Irine kwani yy ninani

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 2 месяца назад +1

    Kapendeza haswa 🎉🎉

  • @barakaayubu6126
    @barakaayubu6126 2 месяца назад

    Ni mchungaji wa kanisa Gani?

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 2 месяца назад

    Kwani shida nini?mbona wengi wanahamahama?huyu steve hamtendei haki huyu dada.siyo vzr

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 2 месяца назад +6

    Kwan diamond ana njaaa 😅😅Kwan kiba ana njaa nyie Kuma nn

    • @salemarahbi9171
      @salemarahbi9171 2 месяца назад +1

      Bila ya kutukana ujumbe hauwezi ukafika?? Tukumbuke wote tumezaliwa kwa njia ya hicho kitu akiwemo mama yako .

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547 2 месяца назад

    Amekana Chama naye sio njaa?

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 2 месяца назад

    Kwani hapo tatizo nn hiyo nibiasharaaaa sio mapenzi na club

  • @AshaMwamba-g3l
    @AshaMwamba-g3l 2 месяца назад +1

    Jezii nzuriiiii kweliii

  • @Prisca-ro6os
    @Prisca-ro6os 2 месяца назад

    Me mwenyew cjaelewa

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele 2 месяца назад +2

    Sawasawa kabisa hizi ndio dalili za kiama na ujio wa wachungaj wa bongo move

  • @nadhifamustapha7557
    @nadhifamustapha7557 2 месяца назад +1

    Hiyo siyo Jezi 😂😂😂ni SANDA so Soon she will be in 😅

  • @adolfjoakim7995
    @adolfjoakim7995 2 месяца назад

    Safi woya

  • @iddykwangaya2794
    @iddykwangaya2794 2 месяца назад

    Mijezi ya magoma fc, haina mvuto

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 2 месяца назад

    Jez n kali

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961 2 месяца назад

    Mama Mchungaji

  • @elsonmushi9491
    @elsonmushi9491 2 месяца назад

    Sisi wabongo uelewa mdogo kukariri kunatutesa sanaa pesa na tumbo zinafanana Steven acha ushamba ww

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 2 месяца назад

    Huyu anatafuta maokoto na so dhambi mama mtumishi ucjal piga kazi

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 2 месяца назад

    Njaa ipi??

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 2 месяца назад

    Hao hawana wakina Steve hawana akili sasa mtu kama kalipwa asifanye???anajirfutia pesa mnataka akadange???

  • @abdalahhassan5759
    @abdalahhassan5759 2 месяца назад

    Leo kwa uwoya mnasema tamaa na kiba nae Ana tamaa achani uzandik

  • @FATUMABACARCADANGE
    @FATUMABACARCADANGE 2 месяца назад

    kweli

  • @IsayaMalinda45
    @IsayaMalinda45 2 месяца назад

    🔥🔥

  • @adolfkimaro5267
    @adolfkimaro5267 2 месяца назад

    Ni manadilishano Tuuu
    Coz Hamisa Atavaa Ya Yanga

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 2 месяца назад

    Njaa mbaya jmn Irene Leo Ni mnyama ajabu japo si ajabu,kapata bwana bhn Kule Simba piga Pesa dada angu,km vile KIBA jipigieni Hela mkiwamaliza rudini nyumbani

  • @Faya884
    @Faya884 2 месяца назад

    Ubwela ubwela tupo juuu😂

  • @franccoz94
    @franccoz94 2 месяца назад +1

    VIPI DIAMOND, MANARA NA MOBETO N NJAA ZIMEWAPELEKA UTOPOLO

  • @LindaMbilinyi
    @LindaMbilinyi 2 месяца назад +6

    Mtu mfupi tulia,,njaa we una shibe??

  • @Muhairy
    @Muhairy 2 месяца назад

    Ameiyelewa

  • @rudiutotoni.
    @rudiutotoni. 2 месяца назад

    Kalii

  • @BaoEngenMasaki
    @BaoEngenMasaki 2 месяца назад +3

    Ubaya ubwela tu safi irene

  • @Esquire266
    @Esquire266 2 месяца назад +1

    Mchungaji mwenye shepu zaidi duniani 🔥

    • @PaulinaOctavian
      @PaulinaOctavian 2 месяца назад +1

      Shepu wapi bhana😂😂

    • @Gersah
      @Gersah 2 месяца назад

      😂😂😂

    • @Esquire266
      @Esquire266 2 месяца назад

      @@PaulinaOctavian Ina maana huoni?Kweli?😂😂

    • @PaulinaOctavian
      @PaulinaOctavian 2 месяца назад

      @@Esquire266 akuna shepu apo 🤣🤣

    • @Esquire266
      @Esquire266 2 месяца назад

      @@PaulinaOctavian Rangi anayo,maziwa yapo vizuri, shepu anayo.Jamani, huoni hayo yote,kweli?😂😂

  • @faridarahasanakwakweliutas4168
    @faridarahasanakwakweliutas4168 2 месяца назад

    Amependeza

  • @victorgogadi55
    @victorgogadi55 2 месяца назад

    Simba nao wapuuzi tu, wana wake wamejaa tena warembo kweli kweli

  • @hopemwalemwale2100
    @hopemwalemwale2100 2 месяца назад

    huyo steve anawivu sana

  • @PhilipLupilli
    @PhilipLupilli 2 месяца назад

    Kigumu kuhama ni kabila na ukoo tu

  • @EsterMwalongo-ox2sk
    @EsterMwalongo-ox2sk 2 месяца назад +2

    Irene ni mchungaji sasa atashabikiaje timu ambayo hata kwenye biblia haipo

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 2 месяца назад

    Mmejinunulia Sanda mapema hongereni Kwa kuujua msiba wenu na kujiandalia mazishi mema wananchi wanakaribia kuja kuua

  • @franccoz94
    @franccoz94 2 месяца назад

    SIMBA NI KAMA MAJI,USIPO KUNYWAA UTAOGA,TULIANZA NA KIBA NOW N ZAMU YA UWOYA,HII NDOO MAANA HALISI YA UBAYA UBWELA

  • @boniventurehussein7276
    @boniventurehussein7276 2 месяца назад

    Steve mshamba ulipewa hata uongoz ukashindwa sababu ya mdomo 😂

  • @Willsonadamu449
    @Willsonadamu449 2 месяца назад

    Mbona amzungumzii ya hamissa mobeto na azizi k acheni unafki

  • @kudrathmohammed
    @kudrathmohammed 2 месяца назад +1

    Basi tutengemee kumuona hamisa mabetto nae akivaa jezi mpya ya yanga wakiwa wanatabulisha niko pale 😁😁

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 2 месяца назад

      Yeah watu wanazingatia maokoto,washamba wachache tu ndio hawaelewi

  • @antonychristian1369
    @antonychristian1369 2 месяца назад

    Shabiki wa Yanga kafanya kazi na Simba, kachukua pesa zake na anaendelea kushabikia Yanga shida ipo wapi???

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 2 месяца назад

    Hii ndio bongo full usaliti

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 2 месяца назад

    Itakuwa kaona yanga wapo busy na kazi na c mapenzi...Yanga Bingwa

  • @relaxstarman
    @relaxstarman 2 месяца назад

    Bwanaake anaitwa AHUA

  • @abuushaymaatz
    @abuushaymaatz 2 месяца назад

    Hacheni usenge kwani hamtaki atengeneze pesa?

  • @shabaniahamadi3798
    @shabaniahamadi3798 2 месяца назад +2

    Ubaya ubwela

  • @EssauPeter
    @EssauPeter 2 месяца назад

    Watu wote mnao mwambie Irene woya kwamba njaa amna hakili mbona wapo wengitu wanaobadili ata uraiya na kuingia nchi nyingine wakati yeye niwa nchi nyingine acha mtu atafute maokoto

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 2 месяца назад

    Wabongo bwana wanashangaa Enga ikitundikwa nguo ni ujinga UWOYA KATUMIKA KAMA ENGA SHIDA IPO WAPI.HAPO NI KUWASIFU SIMBA KWA UBUNIFU WAO WA KUMTUMIA UWOYA KAMA ENGA YA DHAA YAO.

  • @julianagowele9163
    @julianagowele9163 2 месяца назад

    Hiyo ni kazi jamani

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 2 месяца назад

    Mijez mibayaaaa

    • @saimonntani6831
      @saimonntani6831 2 месяца назад

      Jezi mbaya kwako kwetu nzuri sana. Umalaya peleka kwenu

  • @FATUMABACARCADANGE
    @FATUMABACARCADANGE 2 месяца назад +2

    nyerere upo vzr mwambie aache tamaa

  • @Mufti-g3x
    @Mufti-g3x 2 месяца назад

    Mbona waandishi m ahoji Sanaa Mambo yanayoihusu Simba tu na kwa wale waliohamia Simba itakua ni kiu au? Mbona hamuwataji akina cheupe dawa na mashoga zako ? Si alikua mtukanaji mzuri au nnajitoa akili ? Wacheni mapenzi kwenye kazi nyinyi

  • @VedasElly
    @VedasElly 2 месяца назад

    Yuko kikazi😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @filbertjohn9356
    @filbertjohn9356 2 месяца назад

    Imeandikwa Sanda?. Mkosi

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 2 месяца назад

    Kakasirika mmempaa mobeto aziz key na yeye anataka apewe mtu simba awa wachezaji wageni waliokuja

  • @MbossoMbosso-rw4ox
    @MbossoMbosso-rw4ox 2 месяца назад

    Ww miladi mbona atukuelew kuna vitu vya kuposti

  • @Muhairy
    @Muhairy 2 месяца назад

    Sasa n maamuzi yeye inahusu nn mjinga nn

  • @richardngubesi8419
    @richardngubesi8419 2 месяца назад

    Asa kama ni ambasador.

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton9522 2 месяца назад

    Kwaiyo walio ama wananjaa mfate na manara chaajabu nin

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 2 месяца назад +1

    Mtu mfupi mbwatukaji huyo hana njaa kama nyinyi mlivyo toka kwawazazi mpaka yeye hawana njaa

  • @hilalisaidseif8483
    @hilalisaidseif8483 2 месяца назад

    Toka lini wasanii wa bongo wakawa na msimamo

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 2 месяца назад

    Uwoya moto

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 2 месяца назад

    Acheni ushamba

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 2 месяца назад

    Baba mtoto wake alikua mchezaji wa simba hamisa mobeto

  • @Kidera-w8s
    @Kidera-w8s 2 месяца назад

    Ao wote anatafuta maslai akuna mshabiki apo ata mmoja ukianzia mond manaea na wengine ambao stowataja

  • @JUSTNEMITOMINGI
    @JUSTNEMITOMINGI 2 месяца назад

    Sanda tena mbele

  • @rosemwanazyungu1175
    @rosemwanazyungu1175 2 месяца назад

    Dada umenikosha nimekupenda bulee kalibu musimbazi

  • @gabrielnybala2165
    @gabrielnybala2165 2 месяца назад

    Jezi za simba sc ni hatari ni kali utakosaje kuvaa

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 2 месяца назад

    Huyu amelipwa Hela atangaze biashara Sasa shida ipo wapi mwana

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el 2 месяца назад

    Hiyo sindilia jez gani

    • @TedyElisha
      @TedyElisha 2 месяца назад

      Wivu 2 unawasumbu weka yako 2one hapo

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 2 месяца назад

    Kwan stive nyerere yeye ninanii, wazee wengine waajabu sana.

  • @kudrathmohammed
    @kudrathmohammed 2 месяца назад

    Watanzania wana kaushaba furani Hivi 🤣🤣🤣

  • @hangoson24
    @hangoson24 2 месяца назад

    Duh ila neno (Sanda) hapo limekaaje??

    • @RizikMjujulu
      @RizikMjujulu 2 месяца назад

      Neno sanda kwako ni geni?mbona mnavaa mavazi ya kutoka kwa wazungu yameandikwa fila?

    • @joycesamweli1219
      @joycesamweli1219 2 месяца назад +1

      Sanda ni kifupi cha Jina Sandalandi hivyo basi tasfiri yake ni jina sio sanda ya kuzikia

  • @mwanaishamasoud
    @mwanaishamasoud 2 месяца назад

    mwacheni mama mchungaji kwani wakwanza yy kuhama fyuuu

  • @godfreymasele8853
    @godfreymasele8853 2 месяца назад

    Jamani mbona mna Hanisa mobeto huko chaajabu nini Hyline kuja Simbaaaaa. Utopoloooooooooooo🐸🐸🐸🐸

  • @AishaJuma-py7ve
    @AishaJuma-py7ve 2 месяца назад

    Steve mbn povu linakutoka Kwan yanga unaimilik wewe mfyuuuu

  • @richshayo4924
    @richshayo4924 2 месяца назад

    Media unprofessional

  • @officialYvaH3232
    @officialYvaH3232 2 месяца назад

    Kusema kutolewa utu kivipi Kwan ni kazi haramu?? Wangapi wanahama timu bhn achen hizo bhn

  • @HellenSteven-y2y
    @HellenSteven-y2y 2 месяца назад

    𝐚𝐦𝐮𝐧𝐚 𝐧𝐣𝐚𝐚𝐚 𝐣𝐚𝐦𝐚𝐧 𝐢𝐥𝐚 𝐚𝐧𝐚𝐢𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐤𝐚𝐳 𝐲𝐚𝐤𝐞 ❤❤❤❤

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 2 месяца назад

    Stev nyerere wewe nijinga sana

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 2 месяца назад

    Huo mjadala wa kijinga Owoya ni msanii na nihaki yake kuvaa stive sawa na ashura tu utu kwa yanga asipige ela kwa ajili ya utopolo fala stive kweli

  • @elsonmushi9491
    @elsonmushi9491 2 месяца назад

    Sisi wabongo uelewa mdogo kukariri kunatutesa sanaa pesa na tumbo zinafanana Steven acha ushamba ww

  • @omaryrazalo4302
    @omaryrazalo4302 2 месяца назад

    Ubaya ubwela