MANENO YA MZEE EDWIN MTEI KWA MHE FREEMAN MBOWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024

Комментарии • 9

  • @norahlyasenga5265
    @norahlyasenga5265 2 года назад +1

    Mungu Ampe maisha marefu kaka Mbowe. Upendo wako uwe kioo kwa wengine. Wewe so mtu wa kulipiza. Wacha Mungu wa kisasi awajibu

  • @HassanAlJabri
    @HassanAlJabri 2 года назад

    Ahh maisha....mzee wetu pia kaondokewa na mama, tabu sana, ninamuhisi mzee neno moja moja anyonena, mola amrehemu kipenzi chake.....😭😢😢😢

  • @goodlucknnko1280
    @goodlucknnko1280 2 года назад

    Mzee amezeeka sana,. Mungu aendelee kumtunza

  • @mofatv5565
    @mofatv5565 2 года назад

    Jamani Mungu awaits nguvu na mzee mtei

  • @maikoandrew58
    @maikoandrew58 2 года назад

    Siku nyingi sana sijamuona Mzee Edwin Mtei

  • @marysadiki1887
    @marysadiki1887 2 года назад

    Mzee mtei

  • @Benj722
    @Benj722 2 года назад

    Dah mzee mtei kazeeka jamani

  • @ThomasMselle-rw5ej
    @ThomasMselle-rw5ej 3 месяца назад

    Hivi watu wanaibiwa ufahamu kiasi hiki. Miaka hii azizeeke kwanini je wewe ni kijana kama ulivyokuwa mwaka jana? Unasmshangaa huyu mzee aliyejaliwa na MUNGU miaka hiyo kwa kuwa ni mzee mwema mcha MUNGU utaweza kupata neema hiyo hata babako babu yako hakujaliwa. Mshangae Mtei kuwa umri huo ana hekima nzuri na kufanya hayo anayoyafanya kwa neema za MUNGU!!

  • @markokaaya7515
    @markokaaya7515 2 года назад

    😭😭😭😭😭😭😭