Nitawashangaa sana Chadema kama hawafanyi zaidi katika kujiandaa na uchaguzi wakati wanapoandamana! Kwa maandamano wafanyayo wanazo fursa lukuki...Mikutano ya kuuza sera, kuongeza wanachama, kupanga safu za kugombea, kujulisha uovu uliopo na mapungufu yaliyopo katika utawala uliopo, kuelimisha na kubainisha mikakati ya namna ya kukabiliana na kuupiga vita utawala wa kiimla uliopo....n.k. Sidhani kama wapo kutembea tu mitaani! Nitawashangaa sana!
Wananchi Tukifikiri vizuri, tunaona wazi ccm hawana njia halali ya kushinda uchaguzi kihalali kwa kura za watu tuliopigwa na njaa na kila aina ya dhiki mpaka sasa,lakini watawanunua baadhi kwa fedha zetu wenyewe wanazokusanya kwaajili ya uchaguzi tu! Propaganda zipo nyingi mno hata Makonda kaokoka! ila watu tunalia,na tuna jambo letu, wasipotumia hila watasngukia pua tu!
Tulishasema huenda uchaguzi ukawa mgumu sana Kwa wapinzani kuliko 19/20. "Zubaeni kwenye maandamano mkiwa na polisi wao mkaacha mikakati ya mapambano kipindi cha chaguzi".
Nitawashangaa sana Chadema kama hawafanyi zaidi katika kujiandaa na uchaguzi wakati wanapoandamana! Kwa maandamano wafanyayo wanazo fursa lukuki...Mikutano ya kuuza sera, kuongeza wanachama, kupanga safu za kugombea, kujulisha uovu uliopo na mapungufu yaliyopo katika utawala uliopo, kuelimisha na kubainisha mikakati ya namna ya kukabiliana na kuupiga vita utawala wa kiimla uliopo....n.k. Sidhani kama wapo kutembea tu mitaani! Nitawashangaa sana!
Nakushukru sana kwa kuwashtua,ila asilimia kubwa ya watz wako makiniwa sasa si kama enzi zile unagombea
Asante sana dr.wambie hao baadae wsnabak kisema wameibiwa kumbe uzembe wao.
Wananchi Tukifikiri vizuri, tunaona wazi ccm hawana njia halali ya kushinda uchaguzi kihalali kwa kura za watu tuliopigwa na njaa na kila aina ya dhiki mpaka sasa,lakini watawanunua baadhi kwa fedha zetu wenyewe wanazokusanya kwaajili ya uchaguzi tu! Propaganda zipo nyingi mno hata Makonda kaokoka! ila watu tunalia,na tuna jambo letu, wasipotumia hila watasngukia pua tu!
Safi Santa Dr. Slaa nakuomba uwashirikishe kwa hayo mawazo Yako.
Tulishasema huenda uchaguzi ukawa mgumu sana Kwa wapinzani kuliko 19/20. "Zubaeni kwenye maandamano mkiwa na polisi wao mkaacha mikakati ya mapambano kipindi cha chaguzi".
DR SLAA UNGEKUA UNAWASHTUA WENZAKO PALE UNAPOONA KUNA JAMBO AMBALO NI LA MUHIMU KULIKO KUJA HUKU KUONGELEA PLEASE
Chade.ma.changamkeni.wakti.ni.huu.hamjachelewa.ccm.wataanza.kutoa.mlungula.hongo.watu.waonywe.nyerere.alishinda.alitumia.lugha.safi.mshikamano
Kila.siku.pewe.na.mjumbe.kuwatembele.mara.kw.mara.mkiwawezesha