Toooba!!! "WATANZANIA WANATESWA SANA NA UONGOZI WA CCM" CHADEMA WAJILIPUA //WATAJA MADHAIFI HAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 7

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 3 месяца назад

    Mbona huulizi Nyerere amekaa miaka mingapi

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 3 месяца назад

    Mama Samia hawezi akakoroga sumu ya panya alafu akayanywa mchana kweupe.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 3 месяца назад

    Jamani Kuna Nini Sasa hivi mbona Kila mtanzania bara wanalalamika

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад

    Nataka mifumo ibadiriswe mara moja. Na hili genge la CCM kwa sababu mifumo ya kumfanya mtu mmoja kuwa mungu. Mifumo iondoe UCHAWA. Hata vyama vingine pia ni kama boya za CCM. Kweli hatuna Inchi ila tuna TANURU LA MAUWAJI

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад

    Huyu Samia atawamaliza kwa sababu anawachawa wengi sana. Na ameisha jotangaza Raisi wa 2025.

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 3 месяца назад

    Mbona hammusemi mbowe kuwa amekaa miaka 24 kama mwenyekiti was chadema taifa hayo siyo mateso .mnaangalia ccm kuna chama chochote kikija kitawapa wananchi pesa ?!!!.Hoja zenu hizo hazina mashiko

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 3 месяца назад

    asanteni watanganyika. Tunafumbwa macho na muu ngano maridhiano ni makubaliano ya Samia na mbowe sio watanganyika wamekubali upuuzi tunataka tuwe na wagombea huru Tanganyika asanteni sana wenu ni. Simba sauti ya wanyonge tuamke kwa kishindo