CHADEMA KIMEUMANA: MSIGWA NA WENZAKE WAFUTA UONGOZI WOTE MBEYA MJINI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • CHADEMA KIMEUMANA: MSIGWA NA WENZAKE WAFUTA UONGOZI WOTE MBEYA MJINI...
    MWENYEKITI wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mch. Peter Msigwa, ameeleza kuwa uongozi wote wa jimbo la Mbeya Mjini umefutwa kwa sababu za utovu wa nidhamu.
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 28

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 года назад

    Lema atoe utabili 😂😂😂😂yeye ni mwenyezi mungu makubwa jamani

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 года назад +1

    Kweli kabisaa hakuna kubembereza mtu

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 2 года назад

    Saf Sana maamuzi sahihi kuondoa mapandikizi ya fisiemu

  • @ip_header
    @ip_header 2 года назад +2

    Tatizo la baadhi ya viongozi wa Chadema mkitofautiana mawazo ni tatizo, ukimsikikiliza aliefukuzwa anasema katiba haikufuatwa.
    Mnaua chama kwa ubinafsi

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 года назад

      Chadema haifi na haivurugiki ,alifukuzwa Halima na chama kikopalepake

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 2 года назад

    Msigwa msigwa! tulishakujua kivuluge mzoefu acha acha kuvuluga chama

  • @mathewmathayo212
    @mathewmathayo212 2 года назад +3

    Shida ya nchi hii ukisema ukweli lazima uonekane hauna nizamu nina wasiwasi sana yawezekana ni yaleyale kama ya ccm ok ndiyo vyama vyetu kwa lema atoe utabiri siyo utabiri kwa kwa viongozi wa ccm tu

  • @ojasoojaso9479
    @ojasoojaso9479 2 года назад

    Ni njia nzuri Kwani kuna nafasi ya rufaa ,na hasa akina mama wanaongeza japo nao ni miongoni mwa viongozi wanaotoka madarakani.
    Naona kidonda kimepata dawa halisia nayo ni uchaguzi ndani ya siku 60

  • @christopherngereri76
    @christopherngereri76 2 года назад

    Faridi faridiioooo

  • @dennismwakilembe5800
    @dennismwakilembe5800 2 года назад +1

    Wanachama wa Chadema wamechakaa
    Wamebomoka Meno utazani bunzi lililo kosa maindi😄😄😄

  • @christinamsigwa5942
    @christinamsigwa5942 2 года назад +2

    Msigwa fukuza wote: wote wanaofanana na mimea au mmea unokaribia kufa fukuza woteeee mzeee ila hauna uwezo wa kuweka ndani! 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @allyhassan2973
    @allyhassan2973 2 года назад +1

    Hiyo ni kuua chama. Mnapo fukuza wanachama mjue kua mnapunguza nguvu ya chama na wapiga kura kwa ujumla. Ushaura fanyeni uchunguzi wa kina kwani haiwezeka wote wasife. Hapo.

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 2 года назад

    Mwambigija katolea nje

  • @devidmwakipunda1697
    @devidmwakipunda1697 2 года назад

    Wapigadiri mnagombania vyeo

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 2 года назад

    Anatumika huyo achana nae Mwambigija

  • @omarymkungwa7657
    @omarymkungwa7657 2 года назад

    Mzee wa mjini kashasema atoki na ukienda utapigwa na mayai viza

  • @jumamaswe4963
    @jumamaswe4963 2 года назад

    Mhhh

  • @jacksongidion5170
    @jacksongidion5170 2 года назад

    Is

  • @christopheranna9412
    @christopheranna9412 2 года назад

    Huyu jamaa nahisi alikuwa pandikizi

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 2 года назад +1

    Hawa mbuzi bado wako hai tu.

  • @kelvinmwakyusah7311
    @kelvinmwakyusah7311 2 года назад

    Hao mamluki. Ndio hawatakiwi kabisa

  • @alimohd9492
    @alimohd9492 2 года назад

    Msigwa rudi kanisan ule sadaka

    • @faridhassan6834
      @faridhassan6834 2 года назад

      Huyo siasa zilishafeli na uongonwake sijui kanisa itakuwaje sasa

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 года назад

    .