CHADEMA KIMEUMANA: MSIGWA NA WENZAKE WAFUTA UONGOZI WOTE MBEYA MJINI...
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- CHADEMA KIMEUMANA: MSIGWA NA WENZAKE WAFUTA UONGOZI WOTE MBEYA MJINI...
MWENYEKITI wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mch. Peter Msigwa, ameeleza kuwa uongozi wote wa jimbo la Mbeya Mjini umefutwa kwa sababu za utovu wa nidhamu.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Lema atoe utabili 😂😂😂😂yeye ni mwenyezi mungu makubwa jamani
Kweli kabisaa hakuna kubembereza mtu
Saf Sana maamuzi sahihi kuondoa mapandikizi ya fisiemu
Tatizo la baadhi ya viongozi wa Chadema mkitofautiana mawazo ni tatizo, ukimsikikiliza aliefukuzwa anasema katiba haikufuatwa.
Mnaua chama kwa ubinafsi
Chadema haifi na haivurugiki ,alifukuzwa Halima na chama kikopalepake
Msigwa msigwa! tulishakujua kivuluge mzoefu acha acha kuvuluga chama
Shida ya nchi hii ukisema ukweli lazima uonekane hauna nizamu nina wasiwasi sana yawezekana ni yaleyale kama ya ccm ok ndiyo vyama vyetu kwa lema atoe utabiri siyo utabiri kwa kwa viongozi wa ccm tu
Ni njia nzuri Kwani kuna nafasi ya rufaa ,na hasa akina mama wanaongeza japo nao ni miongoni mwa viongozi wanaotoka madarakani.
Naona kidonda kimepata dawa halisia nayo ni uchaguzi ndani ya siku 60
Faridi faridiioooo
Wanachama wa Chadema wamechakaa
Wamebomoka Meno utazani bunzi lililo kosa maindi😄😄😄
Msigwa fukuza wote: wote wanaofanana na mimea au mmea unokaribia kufa fukuza woteeee mzeee ila hauna uwezo wa kuweka ndani! 🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo ni kuua chama. Mnapo fukuza wanachama mjue kua mnapunguza nguvu ya chama na wapiga kura kwa ujumla. Ushaura fanyeni uchunguzi wa kina kwani haiwezeka wote wasife. Hapo.
Mwambigija katolea nje
Wapigadiri mnagombania vyeo
Anatumika huyo achana nae Mwambigija
Mzee wa mjini kashasema atoki na ukienda utapigwa na mayai viza
Hakuna kitu icho atakwenda tu
Mhhh
Is
Huyu jamaa nahisi alikuwa pandikizi
Hawa mbuzi bado wako hai tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍
😂😂😂 wapo
Hao mamluki. Ndio hawatakiwi kabisa
Msigwa rudi kanisan ule sadaka
Huyo siasa zilishafeli na uongonwake sijui kanisa itakuwaje sasa
.